ZIPO HOJA SAMIA NA KINANA HAWAWEZI KUZIJIBU. ASKOFU MPEMBA KAMVAA KINANA NA RAIS SAMIA KUUZA TAIFA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 май 2024

Комментарии • 45

  • @ashelmichael4308
    @ashelmichael4308 2 месяца назад +3

    Mungu akubariki mtumishi unachoongea ni kweli

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 2 месяца назад +4

    Kiburi na ubabe wa kijinga cha maccem

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 2 месяца назад +2

    Namuomba mungu uchaguzi wa mwaka huu unikute Niko hai nahisi kama anguko kubwa la ccm linakuja watu wanahasira sasahivi kutoa hela Makato yameongezeka tena jamani inchi hii hapana jamani viongozi muwe na huruma

  • @user-wk4br3rc6u
    @user-wk4br3rc6u 2 месяца назад +1

    Nipo makini sana kukusikia mkuu ila nasikitika San waelewa wote wanaitwa wabaguzi baada ya kutupa majibu inshallah Allah anaanza kutuonyesha Nuru sasa amina

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 2 месяца назад +2

    Huyu jamaa ni kipanga...
    Natamani kila mtanzania amsikilize huyu kaka!!
    Na anaitwa nani....

  • @user-or2od2rz1c
    @user-or2od2rz1c 2 месяца назад

    good point mungu akulinde kuna mzuzu yanchi hii mengine uchawa mbele ukweli pembeni yanaangalia mutombo yao tu

  • @user-rl6vf9tg8m
    @user-rl6vf9tg8m 2 месяца назад +1

    IPO ck Allah ataiona tanzania

  • @sabriabdalla9562
    @sabriabdalla9562 2 месяца назад

    As long as Tanganyika haipo ni sawa tu Mzanzibari kuchukua nafasi za kazi kama Mtanzania... To solve issue hii tuidai Tanganyika kwanza.

  • @amayamaya2306
    @amayamaya2306 2 месяца назад +1

    Udin tu

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 2 месяца назад

    From zanzibar sijamaliza kuiskiliza lkn bro uko sahihi unacho nena

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b 2 месяца назад +1

    Tushikamanejamani Judaism Bandari na city vyetu yote alivowapa wageni huyu mama hafai hata kidogo

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 2 месяца назад

    Ccm imefika mwisho jaman maana imetunyanyasa sana tumenyonya sana wao matajili sana

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 2 месяца назад

    Mm nasubilia majibu kutoka kwa Wana ccm?????

  • @raymondmwakalindile7315
    @raymondmwakalindile7315 2 месяца назад +1

    Hawana majibu😢😢😢

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 месяца назад +1

    Shoga ni mama yako acha tusikilize hoja za msingi usilete ufara kwenye mambo sensitive

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 2 месяца назад

    Asante. Asikofu. Gumby’s. Gumby’s macho

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo 2 месяца назад

      Asante......ni Askofu Gumby.. Hii huyu Askofu ni mwamba!!

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 2 месяца назад

    Kweli mchungaji.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 2 месяца назад

    Yaani Hawa hoja zao ni vitisho na kuiba kura

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 месяца назад

    UMEONGEA UKWELI BISHOP MPEMBA

  • @thomasbrotherscotractorslt1299
    @thomasbrotherscotractorslt1299 2 месяца назад +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @juliethmziray
    @juliethmziray 2 месяца назад

    Kikokotoo kinaniumza sanaaaaa jamaniii tusaidienii

  • @user-hi7df6js2m
    @user-hi7df6js2m 2 месяца назад

    Askofu Mpemba heko, lakini hivi sasa ni moja tu, Watanganyika tunataka katiba yetu na serikali yetu na hakuna Mzanzibari wa kuzuia katiba ya Tanganyika, mbona wenyewe Zanzibar ina katiba yake.

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 2 месяца назад

    Mbona hakuna watanganyika ambao ni wakuu wa wilaya au wa mikoa huko zanzibar?

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 2 месяца назад

    Bro una upeo kama baba lissu

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 2 месяца назад

    Kwanza Hawa hata mungu ange wachukua TU maana kazi ya wazee ni kushauri sasa Hawa wazee wamegeuka kuwa wachonganishi maana ndio wanatia kiburi Hawa watawala one day we shall do things

  • @user-un5dm8gj7p
    @user-un5dm8gj7p 2 месяца назад

    Hafai uyu kibaka anahonga Nchi yetu kwa waharabu pumbavu

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 2 месяца назад

    Mkuu pmj

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 2 месяца назад

    SHIDA YA NCHI HII HELIMU NA UCHAWA TU

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 2 месяца назад

    Sisi wanaEAC wazamani ndio kabisaaa. Wametudhulumu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 месяца назад

    Kigamboni education center to be ccm membership lean how experience of political education explanation democracy wich it has more tactics of propaganda mostly ccm believe that win peaple maindset is mix of little truth and much propaganda wich it has been there for long time
    But now we tanzania realize such political it let we Tanzania safering we no longer need such behavior to our national let all resources under forenor hand

  • @OmariNkalami-nh6fl
    @OmariNkalami-nh6fl 2 месяца назад

    Makonda jibu2?😮

  • @rastheunique
    @rastheunique 2 месяца назад

    I hate CCM to the maximum 😩😩

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад

    Udongo umekolea maji hawana majibu

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Месяц назад

    CCM HAWANA ULUMA NA WANANCHI WA NCHI HII CCM WOTE WEZI NA IPO SIKU NCHI CCM WATAITUMBUKIZA KWENYE MACHAFUKO KWA NN RAIS SAMIA ASIWATOE WANANCHI WA KIZIMKAZI AKAWAPELEKA MAFIA WAMASAI AKAWAACHA LOLIONDO?

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 месяца назад +3

    Ccm toweni majibu siyo matusi maana wajinga wataanza kusema ubaguzi ubaguzi tunaposema katiba ya muhimu ni pamoja nakuyaweka yote hayo sawa.

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga6234 2 месяца назад

    Ubaguzi unakudumbua

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 месяца назад +1

    Ila mnawachoma bwege moja anaye sema lisu ni mbaguzi anajaribu. Kuweka vyama vya upinzani kuwa vinaunga mkono ubaguzi wa lisu hayupo mjinga kama huyo . Sisi hatupo tayari kura makombo.

  • @amayamaya2306
    @amayamaya2306 2 месяца назад

    Hojazote zimejibwa Tatizo ni udini tu Bandari mkapa Aliwapa wachina mbona hamkuhoji Mashoga wakichadem chama cha kidini na mashoga lgbt kwawaznz sio watanzania udiniiii unawamalizaaa

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 2 месяца назад

    Inawezekana Hawa Watawala waliopo ndio miongoni mwa wale aliowatuhumu CDF. Ndio maana hawana na hawajali maumivu wanayopitia na kufanyiwa Watanganyika.