Namuomba mungu uchaguzi wa mwaka huu unikute Niko hai nahisi kama anguko kubwa la ccm linakuja watu wanahasira sasahivi kutoa hela Makato yameongezeka tena jamani inchi hii hapana jamani viongozi muwe na huruma
Nipo makini sana kukusikia mkuu ila nasikitika San waelewa wote wanaitwa wabaguzi baada ya kutupa majibu inshallah Allah anaanza kutuonyesha Nuru sasa amina
Askofu Mpemba heko, lakini hivi sasa ni moja tu, Watanganyika tunataka katiba yetu na serikali yetu na hakuna Mzanzibari wa kuzuia katiba ya Tanganyika, mbona wenyewe Zanzibar ina katiba yake.
Kwanza Hawa hata mungu ange wachukua TU maana kazi ya wazee ni kushauri sasa Hawa wazee wamegeuka kuwa wachonganishi maana ndio wanatia kiburi Hawa watawala one day we shall do things
Kigamboni education center to be ccm membership lean how experience of political education explanation democracy wich it has more tactics of propaganda mostly ccm believe that win peaple maindset is mix of little truth and much propaganda wich it has been there for long time But now we tanzania realize such political it let we Tanzania safering we no longer need such behavior to our national let all resources under forenor hand
CCM HAWANA ULUMA NA WANANCHI WA NCHI HII CCM WOTE WEZI NA IPO SIKU NCHI CCM WATAITUMBUKIZA KWENYE MACHAFUKO KWA NN RAIS SAMIA ASIWATOE WANANCHI WA KIZIMKAZI AKAWAPELEKA MAFIA WAMASAI AKAWAACHA LOLIONDO?
Ila mnawachoma bwege moja anaye sema lisu ni mbaguzi anajaribu. Kuweka vyama vya upinzani kuwa vinaunga mkono ubaguzi wa lisu hayupo mjinga kama huyo . Sisi hatupo tayari kura makombo.
Hojazote zimejibwa Tatizo ni udini tu Bandari mkapa Aliwapa wachina mbona hamkuhoji Mashoga wakichadem chama cha kidini na mashoga lgbt kwawaznz sio watanzania udiniiii unawamalizaaa
Inawezekana Hawa Watawala waliopo ndio miongoni mwa wale aliowatuhumu CDF. Ndio maana hawana na hawajali maumivu wanayopitia na kufanyiwa Watanganyika.
Mungu akubariki mtumishi unachoongea ni kweli
Kiburi na ubabe wa kijinga cha maccem
Namuomba mungu uchaguzi wa mwaka huu unikute Niko hai nahisi kama anguko kubwa la ccm linakuja watu wanahasira sasahivi kutoa hela Makato yameongezeka tena jamani inchi hii hapana jamani viongozi muwe na huruma
Nipo makini sana kukusikia mkuu ila nasikitika San waelewa wote wanaitwa wabaguzi baada ya kutupa majibu inshallah Allah anaanza kutuonyesha Nuru sasa amina
Huyu jamaa ni kipanga...
Natamani kila mtanzania amsikilize huyu kaka!!
Na anaitwa nani....
good point mungu akulinde kuna mzuzu yanchi hii mengine uchawa mbele ukweli pembeni yanaangalia mutombo yao tu
IPO ck Allah ataiona tanzania
As long as Tanganyika haipo ni sawa tu Mzanzibari kuchukua nafasi za kazi kama Mtanzania... To solve issue hii tuidai Tanganyika kwanza.
Udin tu
From zanzibar sijamaliza kuiskiliza lkn bro uko sahihi unacho nena
Tushikamanejamani Judaism Bandari na city vyetu yote alivowapa wageni huyu mama hafai hata kidogo
Ccm imefika mwisho jaman maana imetunyanyasa sana tumenyonya sana wao matajili sana
Mm nasubilia majibu kutoka kwa Wana ccm?????
Hawana majibu😢😢😢
Shoga ni mama yako acha tusikilize hoja za msingi usilete ufara kwenye mambo sensitive
Asante. Asikofu. Gumby’s. Gumby’s macho
Asante......ni Askofu Gumby.. Hii huyu Askofu ni mwamba!!
Kweli mchungaji.
Yaani Hawa hoja zao ni vitisho na kuiba kura
UMEONGEA UKWELI BISHOP MPEMBA
🙏🙏🙏🙏🙏
Kikokotoo kinaniumza sanaaaaa jamaniii tusaidienii
Askofu Mpemba heko, lakini hivi sasa ni moja tu, Watanganyika tunataka katiba yetu na serikali yetu na hakuna Mzanzibari wa kuzuia katiba ya Tanganyika, mbona wenyewe Zanzibar ina katiba yake.
Mbona hakuna watanganyika ambao ni wakuu wa wilaya au wa mikoa huko zanzibar?
Bro una upeo kama baba lissu
Kwanza Hawa hata mungu ange wachukua TU maana kazi ya wazee ni kushauri sasa Hawa wazee wamegeuka kuwa wachonganishi maana ndio wanatia kiburi Hawa watawala one day we shall do things
Hafai uyu kibaka anahonga Nchi yetu kwa waharabu pumbavu
Mkuu pmj
SHIDA YA NCHI HII HELIMU NA UCHAWA TU
Sisi wanaEAC wazamani ndio kabisaaa. Wametudhulumu
Kigamboni education center to be ccm membership lean how experience of political education explanation democracy wich it has more tactics of propaganda mostly ccm believe that win peaple maindset is mix of little truth and much propaganda wich it has been there for long time
But now we tanzania realize such political it let we Tanzania safering we no longer need such behavior to our national let all resources under forenor hand
Makonda jibu2?😮
I hate CCM to the maximum 😩😩
So do I
Udongo umekolea maji hawana majibu
CCM HAWANA ULUMA NA WANANCHI WA NCHI HII CCM WOTE WEZI NA IPO SIKU NCHI CCM WATAITUMBUKIZA KWENYE MACHAFUKO KWA NN RAIS SAMIA ASIWATOE WANANCHI WA KIZIMKAZI AKAWAPELEKA MAFIA WAMASAI AKAWAACHA LOLIONDO?
Ccm toweni majibu siyo matusi maana wajinga wataanza kusema ubaguzi ubaguzi tunaposema katiba ya muhimu ni pamoja nakuyaweka yote hayo sawa.
Ubaguzi unakudumbua
Ila mnawachoma bwege moja anaye sema lisu ni mbaguzi anajaribu. Kuweka vyama vya upinzani kuwa vinaunga mkono ubaguzi wa lisu hayupo mjinga kama huyo . Sisi hatupo tayari kura makombo.
Hojazote zimejibwa Tatizo ni udini tu Bandari mkapa Aliwapa wachina mbona hamkuhoji Mashoga wakichadem chama cha kidini na mashoga lgbt kwawaznz sio watanzania udiniiii unawamalizaaa
We mpemba una nchi yako iache tanganyik
Sikiliza ndugu usisebebe mambo juu juu
Bro hakuna udini Wala nini huuniukweli from Zanzibar
Inawezekana Hawa Watawala waliopo ndio miongoni mwa wale aliowatuhumu CDF. Ndio maana hawana na hawajali maumivu wanayopitia na kufanyiwa Watanganyika.