Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

ALI KAMWE AMTETEA INJINIA HERSI, AMCHANA VIBAYA MAGOMA, AJIBU HOJA ZAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 133

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Месяц назад +4

    Nikweli Mimi Leo Sikuwa Sawa Nimeonba Ruhusa Kazini Kwavile Siko Sawa.. Asante Sana Semaji..Allah Akuhifadhi Na Kilashari Fitna Zawaja Kwa Choyo...

  • @SwediramadhaniJuma
    @SwediramadhaniJuma Месяц назад +2

    Ally huna hoja mbele ya mzee magoma, unatetea ugali tu mpuuzi ww! Hy mzee anaijuwa yanga kabla hujazaliwa

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 Месяц назад +4

    Nan wa ovyoo 😂😂😂😂 mmeweka viongozi majambazi😂😂😂 magoma kawanyooshaa bisha kwa hoja dogo af ukumbuke uyo n baba ako😂😂😂

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 Месяц назад +1

      Kwenye taasisi ,weka ubaba pembeni😅

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Месяц назад +3

    Mimi ni mkenya lakini NI mwana Yanga damu damu!!! Wazee watuwachie Yanga yetu! Yaani sisi huku diaspora tuko pamoja huko!!!

  • @EzekielGittu
    @EzekielGittu Месяц назад +4

    Semaji upo vizuri sanaaaa kwa maelezo yako.

    • @mussandikumana3561
      @mussandikumana3561 Месяц назад

      Ila tuu Manara kesi akifunguliwa watumike pamoja bila chuki ao maneno ya mambo yalio pita wewe Kama wale Bros wa Azam Hadji anaitajika
      (Oublier le passe )

    • @DulaMudi
      @DulaMudi Месяц назад

      m semaji m somi ongea kaka

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj Месяц назад +2

    Unatoa wapi NGUVU ya kupingana na mahakama

  • @SwediramadhaniJuma
    @SwediramadhaniJuma Месяц назад +2

    Wewe kiazi kwel umekuja kutetea uozo, tuambie mahakama imeamuanini

  • @JohnMasonga
    @JohnMasonga Месяц назад +1

    acha kuongea uongo na kudanganya watu ujui historia ya magoma na injinia wenu

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Месяц назад +1

    Ali mdogo wangu tone yako tu inaonesha panics na hasira ndani yake ikumbukwe iliyotoa hukumu ni mahakama ukisema hoja zao ni za hovyo na watu ni wa hovyo means chombo kilichotoa haki kwa hoja za hovyo na chenyewe ni hovyo is that what you exactly mean? Vyema kujifunza kuwa calm kwenye changamoto zinapotokea makasiriko hajawahi leta suluhu sahihi

  • @SwediramadhaniJuma
    @SwediramadhaniJuma Месяц назад +1

    Kama mlifanya marekebisho ya katiba mbn hamkuirudisha kwa wanachama Kama wanahaki.

  • @FrankCharles-gv5cs
    @FrankCharles-gv5cs Месяц назад +3

    Hao wazee hawajitambui wazoea kutuludisha nyuma.Hii ni level nyingine tunataka mafanikio ss watuache vijana tufanye kazi.

  • @franccoz94
    @franccoz94 Месяц назад +2

    WAZEE WA YANGA WAPEWEE TEAM YAO,ACHA JANJA JANJA

  • @likubaro7443
    @likubaro7443 Месяц назад +1

    Jambo hili lilipelekwa muda mrefu Sana,mpaka leo mahakama wanataka hukumu ndio mnaona Kuna mamluki

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Месяц назад

    MZEE MAGOMA HAKUTAMBUI NYAMBAFU WEWE😅

  • @williammapunda1012
    @williammapunda1012 Месяц назад +6

    Waache porojo wazingatie Sheria. Kumbuka unaposema hoja za hovyo maana yake MAHAKAMA ni ya hovyo.
    Waandishi hawataenda mahakani jipangeni kisheria

    • @user-sj2rw5ev2v
      @user-sj2rw5ev2v Месяц назад

      Pimbi ww

    • @WakaliFashionTz
      @WakaliFashionTz Месяц назад

      Hata mahakam ni ya hovyo unatoaje hukm Kwa Saini za kughushi

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 Месяц назад

      We kaache kahangaike..kamesema wana Members elf 80 na kwenye Mkutano anasema walikuwa wamekidhi AKIDI..? huyu ni Bwege mtoto

  • @HajiMiraji-hn1dq
    @HajiMiraji-hn1dq Месяц назад

    upo sawa kaka

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 Месяц назад +3

    Iv wew all kamwe unaakil kwahyo unakinzana na maaakamaa au umedharau au umekuja kujifunza kujibu

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 Месяц назад +4

    Mmebaka katiba

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Месяц назад +1

    Ndiyo maana vyombo vya habari vingine hata sitaki kusikiliza mwandishi baada ya kuhoji na kuuliza maswali ya msingi anasikiliza umbea

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂kwetu furaha

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Месяц назад +1

    Leo umekuwa mkweli mna wanacha elfu 80 tu hahahahahaaaaa

  • @EsteR-dt9iw
    @EsteR-dt9iw Месяц назад

    Huyo mzee asiturudishe nyuma kwani iyo miaka minne iliyo pita hakuona tulivyo teseka? Leo tunakwenda vizuri anataka kutualibia atuachie yanga yetu

  • @emanwelmsuya7320
    @emanwelmsuya7320 Месяц назад +1

    Ivikwanini watu hawapendi kuzungumza vitu vizuri ivi yanga ikikorofishana simba unafurahia yanisielewi hii

  • @hamzayusuph6052
    @hamzayusuph6052 Месяц назад

    Ukipenda kukaa katika MATAKO ya matajiri mengi yatakukuta,WEWE KENGE ALI KAMWE BADO MDOGO USITAKE WAPA HUZUNI YA MAISHA WAZAZI WAKO HUYO MZEE UNGEKUWA NA HEKIMA NA BUSARA HUYO NI UMRI WA WAKUBWA ZAKO KWENU UNAMWITA KAMA MTOTO MWENZIO BASI SUBIRI BACK BURST YAKE.

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 Месяц назад

    Wananchi wote hatuwezi kwenda Bungeni ndio maana kuna wawakilishi

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 Месяц назад

    Bahati hawa wazee wasasa wengi wao walikuwa wavuta bangi katika ujana wao Leo anaonekana Mzee kumbe nijitu la hovyo kabisa

  • @LovelyPipette-ew7lv
    @LovelyPipette-ew7lv Месяц назад

    Wana yanga tupo pamoja kuiombea timu yetu pendwa hakika mungu atatushindia dhidi ya waovu.

  • @HawangaMohamed
    @HawangaMohamed Месяц назад +1

    Inamaana bungeni tungeingia wananchi wote bungeni ndo maana kuna wawakilishi

  • @PacchaYassin
    @PacchaYassin Месяц назад

    Anataka vile visent alivyokuwa anakula avifaid na sasa.

  • @IvanSaid-ef8tb
    @IvanSaid-ef8tb Месяц назад

    Kwahyo wanachoma wote waende mkutanoni ukumbi upi Sasa utatosha mfano bungeni badala ya wabunge wananchi waende watatosha au utaratibu up

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt Месяц назад

    Pamoja na yote ila isifikie hatua ya kumvunjia heshima mzee watu mana huyo ni kama baba yenu pia!mana nimeona wengi wenu hamna hoja bali ni mihemko na kukosa busara!huyo mzee mngemwita kwenye kamati zenu huko muyaongee kwa sababu huyo mzee sio chizi mpaka kufika huko alipofika!heshima ishike hatam hauwezi kumwita mzee wako ni mtu wa hovyo huko ni kukosa hadabu

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga Месяц назад

    Ana miaka mingap yanga

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Месяц назад +1

    Soka la bongo ovyo sana

  • @zakaria924
    @zakaria924 Месяц назад +1

    Kuni zikiwaka huteketea na kugeuka kuwa majivu! Bundi katua na hizo ndiyo kasheshe zake!

  • @jumakuchele3624
    @jumakuchele3624 Месяц назад

    Huyo magoma kumanina zake ataka kuturudisha nyuma kwenye mabakuri tulikotoka sisi hatutaki kuteseka kama mikia fc

  • @yassinhabibu
    @yassinhabibu Месяц назад

    Hao wazee wa ovyo xana badala wawe watu wa maana ndo wanakuwa wa ovyo,nyie wazeee acheni njaa kama mlijisahau kutengenez maisha yenu ujanani Leo ndo mnakumbuka?,acheni njaa

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Месяц назад

    Nyie angaikeni na mipira wenzenu huko wanapiga pesa

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga Месяц назад +1

    Bora usemaji tumpe ommy wa dubai

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Месяц назад

    Watu wa hovyo!!!! Semaji kama semaji!!! Leo semaji kacharuka mbaya!!!!

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Месяц назад

    DUH! NJA ZINAWATESA HAWA ( ) WALIZOEA KUGAWANA VIJISENTI 😂😂😂😂😂😂

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Месяц назад

    Muongo wewe huna Members elf 80 na uwe na Adabu kwa wazee wako..we ni mtoto mdogo sana kwenye Yanga...shauri yako..we idharau Busara utaona...but hata hiyo Katiba ulitakiwa uirudishe kwa Members waipitie..siyo kwa Kamati...acha kurukaruka

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q Месяц назад

    Hao ndiy waliokiendesha maisha yao kupitia yanga, kumkataa Eris ni uchuzi

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Месяц назад

    Madram kawashika tayari nyie nendeni mahakani kabla hawajakazia hukum haya mambo ni ya kisheria semaji

  • @emmanuelnyakunga8320
    @emmanuelnyakunga8320 Месяц назад

    Wazee walizoea Kutumika kama kamati ya Ufundi wameona saiv hawaitwi soka limekuwa la kitaalam mno kuliko walivokuwa wanatumika hao wazee kwakupiga Ndumba😂

  • @moneycreator5736
    @moneycreator5736 Месяц назад

    Wazee wakacheze na wazee wenzao

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад

    BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 Месяц назад

    Huyu mtu dressing code yake inaonyesha wazi kabisa ni jitu ambalo halijitambui na hata huyu hakimu inaonyesha wazi hakutumia busara na yeye inaonyesha anajambo lake

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga Месяц назад

    Au ndo Dubai

  • @SHERANasibu
    @SHERANasibu Месяц назад +1

    Sis yanga tumeridhia kumpa tim mzee wetu mzee kagomaaa

  • @user-wb9gy2xx3p
    @user-wb9gy2xx3p Месяц назад

    Anachomaanisha kuwa alikuwa na hoja za hovyo, kikundi cha watu wa hovyo yaani hadi wanasheria,karani wa mahakama na hakimu nao n wa hovyo

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x Месяц назад

      Aliamuaje maswala ya mpira wakati caf wapo?

  • @user-zn5vu5yi1d
    @user-zn5vu5yi1d Месяц назад

    Mbona serikali hawailalamikii kuhusu wabunge wachache kuwakilisha watu wengi?

  • @nurukimario-ob7dr
    @nurukimario-ob7dr Месяц назад

    Aowazee wapuuuuz akilizao zipo kwawake zao awana akili awajajielewa bado ndowauni walio zeeka ao

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu Месяц назад

    Wew ondoka hujulikan kikatiba mbumbavu wew"tuachie yanga yetuuu!nani aliwachaguaa??

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Месяц назад

    Simba mulichelewa. Timu ipo Avic na inasubir kuwashenyeta mungelianzisha kabla hatujasajili na kwa taarifa yenu mumelichokoza mtapigwa 10 huu msimu. Watu wenu wanaenda kifungoni kwa kosa la kuhushi sahihi ya mama mwenye heshima na jina lake

  • @WilliamuPaulo
    @WilliamuPaulo Месяц назад

    Upo.sswa ndugu chapeni kazi tupo nyuma yenu

  • @user-cr5jy8mk6r
    @user-cr5jy8mk6r Месяц назад

    Nyinyi MAKOLO mwambieni MANGOMA aje klabuni kwenu kupiga ngoma hana lolote huyo hivi anafikiri uendeshaji club ni sawa na kuuza KAHAWA NA KASHATA huyo hata kama ni Mwanachama yeye na mwenzake wafukuzwe hawatufai waende huko waache UPUMBAVU

  • @YohanaMagembe-vz7rg
    @YohanaMagembe-vz7rg Месяц назад

    Yaani mpaka mseme😂😂😂

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 Месяц назад +1

    IPO SIKU MAGOMA ATAELEWEKA LAKINI ITAKUA WAMECHELEWA

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад

    Mkiambiwa usemaji kazi za watu mnabisha😊,,sasa huo mziki angeucheza manara aaah we ujanuna kabisa uko hapi.

  • @MonaMaiko
    @MonaMaiko Месяц назад

    Katumwa huyo akome akome akome Israel mtoa roho huyo mangoma

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Месяц назад

    Watu Nataka Nafasi Hiyo Ulio Kalia Aliy Kamwe Kama Hujuwi Na Mzungu Msuwali Yupo Nyuma Yao Wanakuonea Choyo
    Kuhusu Wandishi wahabari Wa Tanzania Wanapenda Unafiki Na Kufanya Fitna Hawana Mazungumzo Wala Hawajuwi Kumuhoji Mtu Wapo Wapo Tuu...

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga Месяц назад

    Huyu dogo kakulia wapi ili tuangalie michezo alicheza

  • @Williammkandawile
    @Williammkandawile Месяц назад

    Shower

  • @evaristgaspa6074
    @evaristgaspa6074 Месяц назад

    Huyo mchawi

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Месяц назад +1

    SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ MAJILANI MKOWAP😢😢😅😅😂😂

  • @VictarKeya
    @VictarKeya Месяц назад

    Alli kamwe akili aina unamtukana mzee wa watu anae kuzaa laana inakuadama mamake wewe ndio wa ovyo

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq Месяц назад

    Huyo mxee akaongoze familia yake

  • @AbdulmarickLuhoma
    @AbdulmarickLuhoma Месяц назад

    Muuwen uyo mpumbavu anaetaka kuivunja yanga

  • @IbrahimOmar-tu5tc
    @IbrahimOmar-tu5tc Месяц назад

    Akaongoze familia yke kwanza yanga nguv moja

  • @salumhamad
    @salumhamad Месяц назад

    uhakik🎉

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 Месяц назад +2

    Mtajua nyie mmeweka vibaka watoke

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga Месяц назад

    Wakati unafukuzia kazi yanga ulikua mwanachama wa yanga?

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад

    Acheni timu yetu

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje Месяц назад

    Wakwanza wa hovyo niwewe unakula hunenepi ka mchawi

  • @nestoryMlenge
    @nestoryMlenge Месяц назад

    Unareweka somaji

  • @user-nz8uq5lq6x
    @user-nz8uq5lq6x Месяц назад

    Simba nyie acheni midogo

  • @NyabasindiRutayagi-q3i
    @NyabasindiRutayagi-q3i Месяц назад

    Huyo katumwa na hataweza

  • @mrajani786
    @mrajani786 Месяц назад

    Semaji nunua hao wawili kamamagoli matano

  • @LeonardNilongo
    @LeonardNilongo Месяц назад +1

    Oya nachatak injinia habak

  • @experymassawe3521
    @experymassawe3521 Месяц назад

    Unatetea ugali dogo kushabikia team sio, Sawa ita ovyo ila mahakama ndo walisha amua

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Месяц назад

    Nyamaza kimya wee mfungwa. Umepinduliwa na mahakama. Kama unaendelea kudharau mahakama utaenda keko kunyea debe.

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj Месяц назад

    Unatetea ugali wako 😂

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад

    Na wewe si wewe ni njaa zako tu

  • @hassan-sarumbo
    @hassan-sarumbo Месяц назад +1

    😂😂😂ubaya ubwera kumbe yanga mnqsiri na hamsemi

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Месяц назад +1

    HAYA MAELEZO KAYATOE MAHAKAMANI

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n Месяц назад

    We dogo2 unajua habari za wazee acha kuchongaa

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 Месяц назад

    Mwehu wewe huna hata kadi

  • @franklaurent216
    @franklaurent216 Месяц назад

    Kawashika vibaya

  • @FeydhullahTwalib
    @FeydhullahTwalib Месяц назад

    Kunanini unajua kulumbiza wewe

  • @RenatusFumbuka-gw4jo
    @RenatusFumbuka-gw4jo Месяц назад

    Hayo maelezo mngetoa mahakamani

  • @Shabani-uz1sb
    @Shabani-uz1sb Месяц назад

    Ww, Unatetea, Ugali, Hunaunachokijua, danganya, matutusa

  • @rizikylaizer1602
    @rizikylaizer1602 Месяц назад

    Nenda mahakamani acha porojo😂😂

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Месяц назад

    UKIZUNGUMZA OVYO KUHUSU MAHAKAMA NI UTOVU WA NIDHSMU KWA MAHAKAMA .....UNA WATUSI WAANDISHI WA HABARI

  • @AllyMwitu
    @AllyMwitu Месяц назад

    Haahaha

  • @johnsonsamwel7207
    @johnsonsamwel7207 Месяц назад

    Bwabwabwabwaaaaaaana bado,toka waachie wenye timu yao

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Месяц назад

    Wanaojua kuzungumza wanazungumza mahakamani hapo unabweka tu kama jibwa koko

  • @user-pm7oe5gj8g
    @user-pm7oe5gj8g Месяц назад

    Kwanini maelezo hamkuyatoa mahakamani? Sahv hata ukiongea sana haisaidii....

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Месяц назад

    Umezoe kumtukana na kumsemea hovyo baba yako sasa jiangalie usije kuitukana mahakama na maamuzi yake utakwenda jela,hiyo miwani yalo ya buku jero isikupe kiburi

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Месяц назад

    Sasa mbona unaongea kwa kupanic. Ongea smart na nenda hoja kwa hoja. Pia usimkalipie kana kwamba ni mtoto

  • @PiusMnzajila
    @PiusMnzajila Месяц назад +2

    Mm naambatana na Ali kamwe alicho kisema kwenye mkutano