MPANGO MZITO CCM KUMALIZA UPINZANI 2025. DR SLAA ANAONGEA USIKU HUU SIRI NZITO UCHAGUZI MKUU UJAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 37

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Месяц назад +4

    Dr Uko vizuri. Napenda njisi unavyotuelemisha.

  • @alfoncemaganga5441
    @alfoncemaganga5441 Месяц назад +6

    Mwacheni huyo Mzee aongee ,nchi hii mtu wa HALI ya chini maisha ni magumu kasoro ninyi machawa

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Месяц назад +1

    Anacho zungumza dr ni kweli ila makabaira mabepari wanachomwa na ndiyo mnaona anaogea ovyo lakini miaka itakuja mtamkumbuka huyu baba. Vihera mnavyo pewa havina manufaa kwa taifa. Mtamkumbuka siku zitakuja toweni hoja msitukane matusi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 22 дня назад

    Watu wanaongea GNU nadhani kama ni Mbowe basi naona anakata tamaa. Ni njia ya kutafuta kupata cho chote.

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Месяц назад +2

    Kweli wanaccm umeingiwa na ugonjwa wa kufikiri. Huyu Rais hana stahili kuwepo bara km rais, yeye ni Mzanzibar, Zanzibar wana Rais wao, bendera yao, Bunge lao, wimbo wao na Rais wao hata huyu mama akiwepo huko ndiye anayepigiwa mizinga 21, yaani Samia hatambuliwi, je Bara yupo km nani? Zumbumbuku hamjitambui. Amkeni kumpinga aende zake. Hawa wabunge machawa hawajitambui? Km mnajitambua kwa nini hamjengi hoja? Au njaa inawasumbua?

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Месяц назад

      Maoni yako yako sawa kabisa wewe una akili kubwa sana HONGERA SANA NDUGU YANGU.BARIKIWA SANA.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Месяц назад

      Mbona mwinyi aliitawala Tanzania Bara acha ubaguzi kwa vile huyu ni mwanamke ungewakosoa wale walioanzisha Muungano kama kuna nakosa kwa kipindi hiki ongwa yarekebishwe

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 Месяц назад

      @@margarethpolepole7438 Mwinyi alipotawala Wazanziba walikuwa hajafanya mabadiliko yakufuta mambo ya muungano. Huyu Mwanamke ameyaona lakini haoni km makosa, sasa haya yanatosha kufuta urais wake bara. Bangladesh

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 22 дня назад

    Mkiwa mtaendelea kuimba wimbo wa warabu tutaingia pa baya mimi sijui kama si watumwa sasa?

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Месяц назад

    Hamza mungu hanajivu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 22 дня назад

    Watanganyika mnamkubali Samia wakati ni mzanzibari ?Anainchi yake, anakatiba hata kama ni karatasi lakini anakaratasi lao huko kwao, wanawimbo wao wa Taifa anang'ang'ania Tanganyika kwa nini? Na ninyi Watanganyika bado mnamtaka. Stratege zetu ni kuinuka na Tanganyika wakati wa uchaguzi wa mwakani. Wakati wanafanya uchaguzi Watanganyika chukuweni Tanganyika ili Samia abaki na Tanzania yake. Kwani Zanzibar walijitoaje katika muungano?

  • @user-ni7nw1xz9j
    @user-ni7nw1xz9j Месяц назад +2

    Dr.Slaa ndugu yangu kweli umejitahidi kwa uwezo wako wote lakini.waTz waliowengi nisawa nakuku.

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 Месяц назад

      kabisa ndugu tukipata tshet na kofia za chama basi ccm mbele kwa mbele

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Месяц назад +2

    WEWE HUWEZI KUWA MSEMAJI WAWA TANZANIA KWANZA HUNA HIKMA NA BUSARA

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Месяц назад

      Hamza huna kitu. India I hawa wa kijinga na kipumbavu kwenye mambo muhimu kama haya.

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 Месяц назад

      kisa mwislam ndo kila kitu sawa

  • @johnmmasi6976
    @johnmmasi6976 Месяц назад

    Mhe Slaa acha kisasi na lowasa
    Hayupo Tena
    Rudi CHADEMA tuendeleze vita ya ukombozi wa taifa letu Tanganyika
    Nakushauri kama mzee mwenzangu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Месяц назад

      @@johnmmasi6976 Hata huko Chadema hakuba kitu axha akae hivyohivyo kuwaelimisha watanzaniq wenyekuelewa watamuelewa wasimuelewa hawatamuelewa kila jambo linakwenda na wakati wake atakumbukwa kama Magufuli aasa hivi mijizi kibao

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Месяц назад +1

    KAAKIMYA MSALITI NAMBA 1NCHII HII NI WEWE HUNA HIKMA NI MBUMBU HUYO UNAFIKI WAKO WAPELEKEYE WATOTO WAKO NYUMBANI HAPA UPATIKITU USITAKI KUJI CHOMEKA CHOMEKA NAUZEWAKO HUU BADO UNASEMA UONGO WEWE UNANUKA ZAMBI WADANGA HAO HAO

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Месяц назад +2

      Hamza hana usaliti wewe tatizo wewe ni no shule acha kukurupuka chunguza kabla ya kufyatuka kwako huyo Msomi nyau wewe nenda kasome quran yako

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 Месяц назад +2

      Hamzaheri una uhakika na maneno yako ya kumnanga mzungumzaji?! Kama unadhani kashfa yako iko sawa,jitokeze utupe mifano na ushahidi ili tukuamini wewe!

    • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
      @yosephatMasanyiwa-oh1rl Месяц назад +2

      Dogo mwache tu Slaa anaelimisha sana. Msamehe nasi tulishamsamehe

    • @graysonpastory1918
      @graysonpastory1918 Месяц назад

      Kweli we ni fyatu sn

  • @2003hintay
    @2003hintay Месяц назад

    Kaa kimya wewe umeishiwa njaa inakusumbua

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Месяц назад +1

      Boya wewe

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Месяц назад +1

      Wewe ndiyo unasumbuliwa na njaa usicheze na mtu aluyekwenda shule tena anaetoka kanda ta kaskazini

    • @2003hintay
      @2003hintay Месяц назад

      @@margarethpolepole7438 macho yatamtoka bure hapati kitu analialia kila siku. Nani hajaenda shule sasa walokwenda shule Wana busara zao sio kila siku kulaumu tii. Kaskazini kuna nini subiri sasa mtakavyoishia maandamano na mapovu yakiwatoka huku watu wala kiulaini

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 Месяц назад

      Hata wewe una njaa.
      Njaa imetanda Tanzania yote kila mtu analia...

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 Месяц назад

      ​@TM-zs3rm you're the number one boya..😂

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Месяц назад

    WEWE HATA FAMILIA HUNA SIJAWAHI KUSIKIA HATA MWANAO MOJA UTAKUWA MSEMAJI WAWA TANZANIA HIYO HURUMA UMEITOWA WAPI AO NJAA IMEZIDI WEWE MZEE HUSIKI HATUKUNDI KAA MBALI NA TAIFA HILI ACHA USALITI KAA NA HAKO KAKIKUNDI KAKO KAMA SHETANI KIFO CHAKO KITAKUWA KIBAYA SANA

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Месяц назад +1

      Hamza pole sana inaelekea wewe ni mjinga usie jielewa nenda shule hata hiyo ya masijid hujui kitu ana familua iliyokwenda shule wewe hangaika na simu janja yako usicheze na watu wa kaskazini nyau wewe

    • @salmajafari6838
      @salmajafari6838 Месяц назад

      ​@@margarethpolepole7438fact

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 Месяц назад +1

      Hamza tulia acha pupa wewe mja wa Alah, hata unaloliona ndilo kundi kubwa la kuwaumiza wananchi,basi amini hata hako hako kakikundi kanaweza kuwa na nguvu kubwa.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Месяц назад +1

      Hamza kifo cha mtu anakijua Mungu. Tuwe na akiba ya maneno. Pua ya binadamu wote imeelekea chini. Wote wenye mwili tutakufa.