MAKONGORO NYERERE AVUNJA MBAVU MBELE YA RAIS AKIWATAMBULISHA MAWAZIRI ASEMA 'AMEOLEWA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024
  • Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

Комментарии • 31

  • @AdamEvarist
    @AdamEvarist 2 месяца назад +7

    Free and confident, Royal family. Mzee huna bayaaaaa

  • @masikapazi2231
    @masikapazi2231 2 месяца назад +2

    Daaaaa namkubali sana uyu mwamba kwa Hotuba zake na vichekesho vyake hongera sana mkuu

  • @damianikimario5695
    @damianikimario5695 2 месяца назад +8

    Kazi nzuri bwana makongoro umeunogesha mkutano tabasamm oyeeeii.. kazi iedelee...👊

  • @maulidimchambwa5804
    @maulidimchambwa5804 2 месяца назад +2

    Nyerere makongoro

  • @viatuvikali4938
    @viatuvikali4938 2 месяца назад +4

    KAMA BABA KAMA MTOTO r.i.p. BABA WA TAIFA

  • @MwazoaMwazoa
    @MwazoaMwazoa 2 месяца назад +6

    Huyu wizara ya michezo inamfaa sana.

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye3010 2 месяца назад +4

    SAFI SANA

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 2 месяца назад +2

    Local speech.

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 2 месяца назад

    ❤❤

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 3 месяца назад +6

    Zero Diplomacy

    • @ephremmtuya3094
      @ephremmtuya3094 3 месяца назад

      To much jokes

    • @geofreybahema5118
      @geofreybahema5118 2 месяца назад +3

      Jokes amabzo ni legally so shut up yur mouth and kkama hujui ilo ndo dhumuni lao coz they him

    • @Kombs-cr2mj
      @Kombs-cr2mj 2 месяца назад

      This is politics

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад +9

    Vunjana tu mbavu wakati watu wanalia njaa Kali Kodi kali

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 2 месяца назад

      Huyu nae amezidi mzaha mzaha, wakati mwingine mzaha weka pembeni... piga kazi, maana zamana uliyopewa ni kutumikia wananchi na siyo mzaha mzaha kila wakati.

    • @Kombs-cr2mj
      @Kombs-cr2mj 2 месяца назад

      Kwenu kukiwa na hali ngumu hamcheki? U must be sick

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 3 месяца назад +4

    Una akili nyingi sana Makongoro😂

  • @GodwinMujuniMakarius
    @GodwinMujuniMakarius 2 месяца назад +1

    Huyu baba namkibaro

  • @copsauctionmartcourtbroker4709
    @copsauctionmartcourtbroker4709 2 месяца назад

    Safi

  • @WilliamArego
    @WilliamArego 2 месяца назад

    Makongoro oyeeeeeeee

  • @athanasvahaye7725
    @athanasvahaye7725 2 месяца назад

    Anajua kutawala jukwaa

  • @edmundrutahiwa
    @edmundrutahiwa 2 месяца назад

    Swala sio kuongea point ni kuwachekesha watu…mzeee jitahid sana mzee watu wasikuzoeee hvyo..hata media naona kilaa sku znasema kuwavunjaa mbavu

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 2 месяца назад +1

    Kikohoz Sasa

  • @brunomtweve8073
    @brunomtweve8073 3 месяца назад +3

    Hahahahahahaha

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs 2 месяца назад

    Spiritual leaders ni kama amewasahau but ni watu muhimu saana hapo,ama ni vile mikutano haifunguliwi na maombi na kufungwa na maombi

  • @sixdaud2513
    @sixdaud2513 2 месяца назад

    Mh majembe kwerkwer

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 2 месяца назад

    Kwani hawa Wanaume wao hawajaoa? Sehemu kubwa imekuwa comedy 😂😂😅😅

  • @yohanalukindo3737
    @yohanalukindo3737 2 месяца назад

    Zawad kwa raisi unatoa maji mtoni unapeleka baharini ngoja nikalie choon kwanza

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 3 месяца назад +2

    Ameolewa ni Neno Kubwaaaa 😮 ???? Kuna nini Vijana munatongoza Wakuu wetu ???😂😂😂

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 месяца назад

    Ofisi za mawaziri na ma naibu zote zimebaki na makarani tu, sijajua hii huwa imekaaje. Wote hawa ni lazima walipwe posho za safari.