Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Very very likeable person- much love from Uganda
this guy he makes me smile !
Sijui kwa nini uku teuliwa miaka mingi unachekesha sana good blessing u so much
Truthful Man.
Kiutu uzima ndio mistari yenyewe hiyo ishatoka,joke na ukweli humu humu lkn pia ni"Good sense of human"splendid RC!!
Dah nime Cheka Sana , ila kweli mama Yuko vizuri 🤣🤣🤣🤣
President Nyerere arije zaa kabisa uyo Nibaba au papa wetu Nyere politics wise man same bravo often!
I love the guy
Makongoro kwa kupenda chini na pombe za ubanda😄😄😄
Wewe mtu unachekesha sana nakupenda mpaka naumwa
Jamaa jinga kweli😂😂😂😂😂
Eti kwa mupenda chini na pombe za ubanda 😅😅😅
Makongolo ni comedian wa kizaliwa
wadada wa zamani walikuwa hawatumii P2 na Shisha Mabinti wa saisi mjifunze kujitunza
Ndio bb siasa haitaji mtu.jina mama kasheelewa huyo,aah roseeeeeer
VITU VIMEPANDA BEI SICHEKI NI HUZUNII 😢😢😢
Huyu mshikaj mm nahic ni bao la bafun
Kwa wale tulioelewa.Ashapiga mistari hapo
Mzee Mcheshi sana
Makongoro ni Comedian kwelii!!!!!!!! Sasa huuu c uch.......zi. Nondo zinaibiwa ww unaleta comedy, fanya kazi.
Hata mimi namshangaa! Yan kaz yake kuchekacheka tuuu hayuko seriously na kazi yake 😠😡ananikera basi tu
Kakosea wapi sasa wivu huo
Ww ndio naona unaleta upenzi kuliko uhalisia, nadhani hujui kuwekwa kweke hapo watu napiga kupitia yy
Sio wivu hayupo serious na kazi sasa mradi ataukagua SAA ngapi na kujua mapungufu
Duuh... hii serikali jmn kazi ipo
Now funny
Kila kitu ukizidisha inakuwa mbaya ,Mheshimiwa makongoro jaribu upunguze joke sina ,hiyo sio nzuri kwa kinongozi.
Fala wewe amekuumiza nini au amekuzidi sera na Mistari huna ndio maana unasema apunguze mizaha. Innocent Nzovuyase huna lolote lile la kutuambia juu ya Mh. Makongoro Nyerere. We ni sawa na teja la madawa ya kulevya na kulewa migongo.
@innocent Kuna kaukweli kwenye unachosema, ila jamaa pia ni mtu kazi kuliko wanasiasa wengi wanaonekana serious
Hakuna kazi awamu hiii ni sanaaaa tupu na mibei juuuuuu kama tupo jehanamu
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO KUSHOTO 👈NAAMINI MTAUPENDA 💥*
Haaa
Mh!!!
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆
Hahahaha
Hahah
Kila siku vicheko tumechoka miladi iishe 🖕
Very very likeable person- much love from Uganda
this guy he makes me smile !
Sijui kwa nini uku teuliwa miaka mingi unachekesha sana good blessing u so much
Truthful Man.
Kiutu uzima ndio mistari yenyewe hiyo ishatoka,joke na ukweli humu humu lkn pia ni"Good sense of human"splendid RC!!
Dah nime Cheka Sana , ila kweli mama Yuko vizuri 🤣🤣🤣🤣
President Nyerere arije zaa kabisa uyo Nibaba au papa wetu Nyere politics wise man same bravo often!
I love the guy
Makongoro kwa kupenda chini na pombe za ubanda😄😄😄
Wewe mtu unachekesha sana nakupenda mpaka naumwa
Jamaa jinga kweli😂😂😂😂😂
Eti kwa mupenda chini na pombe za ubanda 😅😅😅
Makongolo ni comedian wa kizaliwa
wadada wa zamani walikuwa hawatumii P2 na Shisha
Mabinti wa saisi mjifunze kujitunza
Ndio bb siasa haitaji mtu.jina mama kasheelewa huyo,aah roseeeeeer
VITU VIMEPANDA BEI SICHEKI NI HUZUNII 😢😢😢
Huyu mshikaj mm nahic ni bao la bafun
Kwa wale tulioelewa.
Ashapiga mistari hapo
Mzee Mcheshi sana
Makongoro ni Comedian kwelii!!!!!!!! Sasa huuu c uch.......zi. Nondo zinaibiwa ww unaleta comedy, fanya kazi.
Hata mimi namshangaa! Yan kaz yake kuchekacheka tuuu hayuko seriously na kazi yake 😠😡ananikera basi tu
Kakosea wapi sasa wivu huo
Ww ndio naona unaleta upenzi kuliko uhalisia, nadhani hujui kuwekwa kweke hapo watu napiga kupitia yy
Sio wivu hayupo serious na kazi sasa mradi ataukagua SAA ngapi na kujua mapungufu
Duuh... hii serikali jmn kazi ipo
Now funny
Kila kitu ukizidisha inakuwa mbaya ,Mheshimiwa makongoro jaribu upunguze joke sina ,hiyo sio nzuri kwa kinongozi.
Fala wewe amekuumiza nini au amekuzidi sera na Mistari huna ndio maana unasema apunguze mizaha. Innocent Nzovuyase huna lolote lile la kutuambia juu ya Mh. Makongoro Nyerere. We ni sawa na teja la madawa ya kulevya na kulewa migongo.
@innocent Kuna kaukweli kwenye unachosema, ila jamaa pia ni mtu kazi kuliko wanasiasa wengi wanaonekana serious
Hakuna kazi awamu hiii ni sanaaaa tupu na mibei juuuuuu kama tupo jehanamu
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO KUSHOTO 👈NAAMINI MTAUPENDA 💥*
Haaa
Mh!!!
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆
Hahahaha
Hahah
Kila siku vicheko tumechoka miladi iishe 🖕
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆