SIKIA..!! Vituko vya Makongoro Nyerere mbele ya RAIS SAMIA | "Nivue barakoa..?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 апр 2022
  • #MwlNyerere #Miaka100yaNyerere #RaisSamia #MakongoroNyerere
    Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere aitoa salamu za familia wakati wa Mdahalo wa Kitaifa wa kuadhimisha miaka 100 ya kuzaliwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere leo tarehe 09 Aprili, 2022 Shule ya Uongozi Kibaha, Pwani.

Комментарии • 222

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Год назад +5

    Mwl.Nyerere amerudi mpaka raha .Ana upendo sana makongoro na watu na Tanzania pia .hongera mtoto wa mzee wetu wa taifa.

  • @BernardUrassa
    @BernardUrassa 3 месяца назад +1

    You deserve high position for sure,you remind us our beloved Father of our Nation Julius Nyerere,Thank you Sir.God bless you

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 года назад +2

    Mwalimu Nyerere ni mwalimu pia kwa wazazi wengi, tujifunze kuishi maisha ambayo watoto wetu hawatatuonea aibu bali watajivunia kuitwa watoto wetu..Mungu azidi kukutunza mhshmw.

  • @mackiemguhi692
    @mackiemguhi692 2 года назад +7

    Nimependa hotuba yake.
    Ubinadamu kwanza. Mbwembwe zimenogesha lkn alichokuwa anaongea anakifahamu." Barakoa hoyeee!

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 2 года назад

      Wenye akili wanamuelewa alichokuwa anamaanisha.Alikuwa anafikisha ujumbe.

    • @lucasharison2441
      @lucasharison2441 2 года назад

      Makongoro Ana jipya kichwani akuna kitu baba yake alikuwa na uwezo mkubwa sana

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 4 месяца назад

    Ahsante Muheshimiwa Makongoro kwa hotuba nzuri za kumkumbuka Mwalimu Julius Nyerere kwa bidii zake za kazi na mengineyo aloyafanya ya maendeleo.ya nchi yetu Tanzania.

  • @samuelnyariki7275
    @samuelnyariki7275 Год назад +1

    Wonderful, legacy's records are in the register of our creator. In the fullness of time he reveals how his servants worked when they were on earth. Even Nyerere's grand children will bear testimony at 200 years of his remembrance. Great men's works live on for many seasons.

  • @user-sv2cc4xn1m
    @user-sv2cc4xn1m 6 месяцев назад +1

    Hongera sana Mzee Makongoro Mungu akujalie Maisha mema na hekima zaidi.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 года назад +3

    Makongoro anapenda kufarahi na watu TENA ni mtoto wa mjini sana nasikia lugha zake

  • @mikekamili6686
    @mikekamili6686 4 месяца назад

    Huyu mwana wa Marehemu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere nimcheshi kweli 😂. Ana hekima na talanta ya kuwa msanii. Usemi wake hapa umenifurahisha sana. Mwenyezi Mungu ayiweke roho ya marehemu Mwalimu Nyerere pahali pema peponi 🙏.

  • @profbznesyohana6989
    @profbznesyohana6989 2 года назад +3

    Makongoro ni kichwa sana japo wengi hawamuelewi, amewaponda sana tena kwa kutumia tafisida kali

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 3 месяца назад +1

    Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki afrika

  • @BrendaKimario-ys7lk
    @BrendaKimario-ys7lk Год назад +1

    Nampenda Makongoro...sichoki kumsikilizaga,!.. Makongoro Mungu azidi kukuinua😅

  • @selemanimadeha4658
    @selemanimadeha4658 2 года назад +4

    Speach za makongoro zinahitaji akili kubwa Sana kuzielewa

  • @GeoffreyMaweu
    @GeoffreyMaweu 4 месяца назад +1

    Kiswahili chatuzidi sisi wakenya lakini hongera makongoro

  • @user-kw8pe9pk4l
    @user-kw8pe9pk4l День назад

    Makongoro.mtani wangu upo vizuri kwa utani mi muhaya

  • @SmonTangas
    @SmonTangas 9 месяцев назад +3

    Kaka umetisha sana ooyee

    • @SmonTangas
      @SmonTangas 9 месяцев назад

      Sawakaka nakuheshim sana unajuaa

    • @SmonTangas
      @SmonTangas 9 месяцев назад

      Sawaaa

  • @calvinkambanga8312
    @calvinkambanga8312 Год назад +1

    Namkubali sana majaliwa na mama samia wanafanya kazi

  • @amosshidai8378
    @amosshidai8378 5 месяцев назад

    A good teacher

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 6 месяцев назад +1

    Daaa point sana sana

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 3 часа назад

    Wape vidonge vyao walioisahau familia ya RIP Mwl Nyerere wakajitukuza wao na familia zao Mh Samia akakukumbuka.

  • @RevCharlesJPeter
    @RevCharlesJPeter 8 месяцев назад

    Siku moja mtoto mmoja wapo wa Mwl. Nyerere akiwa Rais itakuwa raha sana. Tutakuwa tunaita Rais Nyerere

  • @user-eq2nq6os7v
    @user-eq2nq6os7v 10 месяцев назад +1

    Congratulations ❤❤❤

  • @muhwezitimothy1316
    @muhwezitimothy1316 Год назад

    Asante sana

  • @kanyamagaraabdallah8300
    @kanyamagaraabdallah8300 2 года назад +1

    oui je attends bien , et je dit que , dieu benisse Rais nyerere du TZ , ameeni

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya6721 Год назад

    Very nice speech excellent 100 mcheshi sana una roho nyeupe sana Kama baba yako

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 года назад +2

    Safi

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 3 месяца назад +1

    Kuna vitu vitatu tu ambavyo mtu huna uwezo au uhuru ea kuchagua. Vitu hivyo ni:-
    1. Mungu wako
    2. Mzazi wako na
    3. Jirani yako.
    TAFAKARI

  • @deuskalinga2449
    @deuskalinga2449 8 месяцев назад

    Good speaker hono. Makongoro

  • @ignatiusm.ndwiga7438
    @ignatiusm.ndwiga7438 Год назад +1

    A good speaker. God bless him.❤

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Год назад

    😍🥰♥️🔥🔥🔥 Makongoro oyeee

  • @kazitembo4928
    @kazitembo4928 3 месяца назад +1

    Makongoro oyeeeh,, lakini mzee wasila akawepo yupo

  • @beckasalum2620
    @beckasalum2620 2 года назад

    Ongera makongoro, mungu mpunguzie azabuza kabur mwalim nyelele

  • @user-yd9up9zg4t
    @user-yd9up9zg4t 5 месяцев назад +1

    Mungu ibariki Tanzaniaaa

  • @salummwanga8181
    @salummwanga8181 2 года назад +2

    Sionagi umuhim wa vituko kwake, labda umsifie kuwa anachapa kaz, vituko na vichekesho vinasaidia nn ktk jamii za sasa?

  • @yusrakahera7589
    @yusrakahera7589 День назад

    Oyoooo kererereeerr

  • @meshackchavo4928
    @meshackchavo4928 2 года назад +1

    Nakukubali sana makongoro

  • @FelisianLiheta-nf2nr
    @FelisianLiheta-nf2nr Год назад +1

    Safi sana

  • @peterkesimba9619
    @peterkesimba9619 2 года назад

    Very wise

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya6721 Год назад

    Namkubali sanaa best yangu apo vipi Sasa lol!

  • @michaelkaswahili9593
    @michaelkaswahili9593 Год назад +2

    Ok

  • @nickdhaemperor-ox7sz
    @nickdhaemperor-ox7sz Год назад +3

    Natamani sana niingie Tanzania

  • @TECHTZTV
    @TECHTZTV 2 года назад +3

    Yani katika wanasiasa sichoki kuwasikiliza ni huyu ,lisu,msigwa,mbowe,na lema

  • @noelmugizi5853
    @noelmugizi5853 2 года назад

    Anabahatisha

  • @andrewalbin3847
    @andrewalbin3847 3 месяца назад +1

    7:00 vidole oyeeee😂😂😂

  • @missangela6720
    @missangela6720 2 года назад +3

    Waliomwelewa alichozungumza jmn

  • @hindisaid2413
    @hindisaid2413 Год назад +2

    Yani hata mbele ya raisi yeye anaendelea na vituko😅

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Год назад

    As philosopher as the father

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 2 года назад +1

    Sawa!

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277 2 года назад

    Duh

  • @samuelkamau3418
    @samuelkamau3418 2 года назад +1

    Why no one will mention how he is a spitting resemblance of Mwalimu Julius Nyerere

  • @user-cw2hf5zp6u
    @user-cw2hf5zp6u 2 месяца назад

    Daah namkubali

  • @josephkithama9739
    @josephkithama9739 Год назад

    Wakati tukisoma Tabora,alikuwa anapiga bendi ya Tabora Boys alikuwa mpigaja mzuri wa bass guitar, watu walikuwa wanachanganyikiwa.mtu wa watu kama baba wa Taifa

  • @eugenenkandu1287
    @eugenenkandu1287 Год назад

    Like father Like son

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 2 года назад +3

    Hata baba yake alikua mcheshi sana

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 2 года назад +1

    Wenye akili nyingi tumekuelewa 🤣😆😆💪💪

  • @emanuelmuna1242
    @emanuelmuna1242 2 года назад +1

    Barakoa hoyeeee😂😂😂

  • @ramaaman9173
    @ramaaman9173 2 года назад +1

    Vizurisana inaletaupendo kwa wazalendo wa Tanzania tumkumbuke mwalimu

  • @allymwazoa2284
    @allymwazoa2284 8 месяцев назад

    Kama utani vile lkn Msg inafika vizuri kama ilivyokusudiwa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +3

    Makongoro mmpe uongozi tu kwa vile ni mtoto wa hayati nyerere lakini ni mtu wa comedian sana kwa kuongeza jiji la arusha ni bomu kabisa mlevi sana

    • @whimsymaverick3057
      @whimsymaverick3057 2 года назад +1

      Jiji la Arusha haiko Manyara we MTU. Huijui hata nchi Yako unathubutuje KUCOMMENT?

    • @laurinfred2931
      @laurinfred2931 2 года назад +1

      @@whimsymaverick3057 😅😅 mwambie afatilie hata hutuba za Mwl Nyerere zilikuwa na ucheshi ndani yake

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 11 месяцев назад +1

    Mimi ni mmoja wa wale waliokuwa na wasi wasi kuwa baada ya Mwal. kung'atuka nchi hii itakuwaje? Juu ya umoja wetu, uwadilifu wa viongozi na mengine mengi. Namshukuru Sana Mungu wasi wasi wangu ulikuwa sahihi kabisa tangu Mwal. ang'atuke TUNASHUHUDIA UFISADI MTUPU awamu kwa awamu!!! Na sasa umoja wetu u mashakani, sote TUNASHUHUDIA MKATABA WA DP WORLD ULIVYO uibua UDINI NA UMETUGAWA AAJABU!!! WATU wameacha kujibu HOJA WANACHOMEKEA UDINI!!! Kama hawajui madhara MAKUBWA yanayosababishwa na UDINI. WAISLAMU NA WAKRISTO TUMEISHI KAMA NDUGU MIAKA YOTE YA MWAL. UFISADI HAUKUSHUHUDIWA, KAMA NIMESAHAU NIKUMBUSHE!!! UFISADI BAADA YA MWAL. NITAKUKUMBUSHA KWA UFUPI: LOLIONDO, UFISADI HUU ULIONDOKA NA UHAI WA MWANDISHI WA HABARI NDG YETU KATABARO, EPA, ITPL, MEREMETA NA RICHIMOND N.K. MWALIMU ALIWAHI KUSEMA KUWA : SIKUWA NAAPA KWA KUTANIA MUNGU SI MTAANI WANGU, HUYO NDIYE MWALIMU J. K. NYERERE. NANI KAMA NYERERE MIONGONI MWAO?

  • @stantonemgao3771
    @stantonemgao3771 Год назад +1

    Lijenje yuko wapi mbona linapotezewa?

  • @user-ct3um3fr6j
    @user-ct3um3fr6j 4 месяца назад

    Aijirudii bwana enzi mungu amlazemahali pema

    • @drkalokola5861
      @drkalokola5861 4 месяца назад

      Kumbe kwenye Chawa umo.

    • @drkalokola5861
      @drkalokola5861 4 месяца назад

      Baba wa Taifa hakuwa mnyonyaji wala hakuwa fisadi.
      Mwalimu alikuwa mzalendo.
      Mwalimu aliwachukia wanyonyaji na hasa wakoloni Mamboleo.

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 Год назад +1

    Dah huyu jamaa anaongea kama Nyerere!!

  • @uzimaafricanheritagetv8189
    @uzimaafricanheritagetv8189 Месяц назад +2

    L

  • @BernardUrassa
    @BernardUrassa 3 месяца назад

    👏🏽👏🏽👏🏽🙏🏾🙏🏾🙏🏾✔️✔️✔️

  • @jamesmuringi1791
    @jamesmuringi1791 5 месяцев назад +1

    Nawapenda nyie ndugu watanzania.
    Mola kawapa kisichopatikana duniani.

  • @tibonmbingi1082
    @tibonmbingi1082 2 месяца назад

    Hayo ndo mnayoweza

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 2 года назад +1

    Nimemuona manara

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Год назад

    Makongoro bana anachekesha sana aisee

  • @mwazaniedward8119
    @mwazaniedward8119 Год назад

    Sport

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад

    aslm mumu plz anzishabishara yakwakoo itwe jina hiloo nimekutabiriya jina zuri kabisaa ukishindwa kufanya bisharas ni weww

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 2 года назад +2

    Mwalimu nyerere ametuachia picha halisi

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 4 месяца назад

    Aibu.

  • @johnmabugalusalulo2066
    @johnmabugalusalulo2066 6 месяцев назад

    Siasa ni nzuli kwa mwana siasa aliye iva kisiasa,siyo kama wale wanao piga siasa kama wanagombana nawa tu,mala kutukana mala kukejeli mala kupiga siasa za kuzalaulina mala kusimanga viongozi walio tangulia mbele za haki,siasa iliyo nzuli niile yenye usitalabu kama vile makongoro anavo ipiga kama kinanda cha kanisa ni safisana

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 2 года назад +3

    Ccm hamuoni aibu kukusanyana dhambi zimewajaa Kwa kunyanyasa watu na unafiki mwingi? Pindi magufuli yupo hai mlikuwa hamumwambii akikosea alipokufa mnaanza kusema kakosea je yakwenu ambayo mpo sahihi ni yapi? Mungu anawaona Tubuni ,Tunataka katiba mpya,tume huru ya uchaguzi

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 2 года назад

      Ukiona walikuwa hawamuambii ni kwasababu alikuwa dikteta

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 2 года назад +1

      @@charlesngwembele4541 huo ni unafiki na wala siyo udikiteta ni ujinga kumsema mtu aliyelala

    • @laurinfred2931
      @laurinfred2931 2 года назад

      @@zeralucyntazimila6600 fact

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s 4 месяца назад

    Jemeni my Kiswahili siyo fasihi. But naskia Makongolo Nyerere akisema "Wanapenda Kiki", Jemeni nini maana ya KIKI? Salam's kutoka Toronto Canada

  • @josephkithama9739
    @josephkithama9739 Год назад +1

    Ulikuwa una mwita Mwalimu au Baba?

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman3158 2 года назад +1

    Makamu mpya wa Zamani tangu uhuru

  • @michaelkimune7024
    @michaelkimune7024 3 месяца назад +1

    Ndugu zetu mna wengi wa kuwafaa-mpokeeni huyo!

    • @tibonmbingi1082
      @tibonmbingi1082 2 месяца назад

      Baki nae tu,huku hatuna kibanda Cha kumuweka

  • @januaymagori4642
    @januaymagori4642 2 года назад

    tumelewa 😂😂😂😂

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 Год назад

    Ok mh makongoro mungu akubariki sana!

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 8 месяцев назад

    Makongoro hoooye

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Год назад

    Hahaaaa

  • @yustasemayengo3068
    @yustasemayengo3068 Год назад

    Bwana ni mwema san

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад

    Iskadafaaauuu haa

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon3624 8 месяцев назад

    R.I.P JKNyerere🙏

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад

    Naona hata aibu kuendelea kutizama na kusikiliza

  • @sundaykomba1327
    @sundaykomba1327 2 года назад +3

    Kama siyo mtu smart kumwelewa makongoro itakuwa ngumu sana

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад

    kaka shikamio kiki long distance Orr short kiki

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Makongoro oyeeeèeeeeeeeeeeeeeeeee!

  • @keffaonchiri7813
    @keffaonchiri7813 4 месяца назад

    Mako hoooye!

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 2 года назад

    Kutoa kofia kutoa kofia kutoa kofia
    waaaaa !😁😁😁😁😁

  • @noelmugizi5853
    @noelmugizi5853 2 года назад

    Kawaponda kwenye kustaafu,nadhani wengine awakumhelewa kama wakina Kinana nawengineo mambumbumbu.

  • @LerwenceokuloMolle
    @LerwenceokuloMolle 5 месяцев назад +2

    Makongoro my friend ulisaliwa kweli

  • @Leminelimited
    @Leminelimited 4 месяца назад +1

    M23

  • @tondiyeamani2948
    @tondiyeamani2948 Год назад +1

    Nina amini

  • @ElastoMashine-nw2dz
    @ElastoMashine-nw2dz 3 месяца назад

    Baba
    Mm
    Elasto
    Bagamoyo
    Mjoo.ule samaki
    .samàkdds

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 4 месяца назад

    Sun of first late julias kambarege first president repablic of tanzanian regional commissioner of ngorongoro but leader stroke comedian following late julias kambarege Nyerere jokes during his life time on his leadership can crush late people get angry at the beginning of meetings but at the end laphing sun also on seem truck creat lmotion of angry at the end laphing sun of late julias kambarege Nyerere makongoro Nyerere short briefing under full gavment official

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 Год назад +1

    Bro i guess is possessed with Nyerere spirit

  • @user-yy5eb3ih5t
    @user-yy5eb3ih5t 4 месяца назад

    , 0:33 😮55