SIKIA..!! Vituko vya Makongoro Nyerere mbele ya RAIS SAMIA | "Nivue barakoa..?"
HTML-код
- Опубликовано: 8 апр 2022
- #MwlNyerere #Miaka100yaNyerere #RaisSamia #MakongoroNyerere
Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere aitoa salamu za familia wakati wa Mdahalo wa Kitaifa wa kuadhimisha miaka 100 ya kuzaliwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere leo tarehe 09 Aprili, 2022 Shule ya Uongozi Kibaha, Pwani.
Mwl.Nyerere amerudi mpaka raha .Ana upendo sana makongoro na watu na Tanzania pia .hongera mtoto wa mzee wetu wa taifa.
You deserve high position for sure,you remind us our beloved Father of our Nation Julius Nyerere,Thank you Sir.God bless you
Mwalimu Nyerere ni mwalimu pia kwa wazazi wengi, tujifunze kuishi maisha ambayo watoto wetu hawatatuonea aibu bali watajivunia kuitwa watoto wetu..Mungu azidi kukutunza mhshmw.
M
Nimependa hotuba yake.
Ubinadamu kwanza. Mbwembwe zimenogesha lkn alichokuwa anaongea anakifahamu." Barakoa hoyeee!
Wenye akili wanamuelewa alichokuwa anamaanisha.Alikuwa anafikisha ujumbe.
Makongoro Ana jipya kichwani akuna kitu baba yake alikuwa na uwezo mkubwa sana
Ahsante Muheshimiwa Makongoro kwa hotuba nzuri za kumkumbuka Mwalimu Julius Nyerere kwa bidii zake za kazi na mengineyo aloyafanya ya maendeleo.ya nchi yetu Tanzania.
Wonderful, legacy's records are in the register of our creator. In the fullness of time he reveals how his servants worked when they were on earth. Even Nyerere's grand children will bear testimony at 200 years of his remembrance. Great men's works live on for many seasons.
Hongera sana Mzee Makongoro Mungu akujalie Maisha mema na hekima zaidi.
Makongoro anapenda kufarahi na watu TENA ni mtoto wa mjini sana nasikia lugha zake
Kweli lazima kuena comedy kidogo
Huyu mwana wa Marehemu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere nimcheshi kweli 😂. Ana hekima na talanta ya kuwa msanii. Usemi wake hapa umenifurahisha sana. Mwenyezi Mungu ayiweke roho ya marehemu Mwalimu Nyerere pahali pema peponi 🙏.
Makongoro ni kichwa sana japo wengi hawamuelewi, amewaponda sana tena kwa kutumia tafisida kali
Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki afrika
Nampenda Makongoro...sichoki kumsikilizaga,!.. Makongoro Mungu azidi kukuinua😅
Speach za makongoro zinahitaji akili kubwa Sana kuzielewa
Namuelewa saana
Kiswahili chatuzidi sisi wakenya lakini hongera makongoro
Makongoro.mtani wangu upo vizuri kwa utani mi muhaya
Kaka umetisha sana ooyee
Sawakaka nakuheshim sana unajuaa
Sawaaa
Namkubali sana majaliwa na mama samia wanafanya kazi
A good teacher
Daaa point sana sana
Wape vidonge vyao walioisahau familia ya RIP Mwl Nyerere wakajitukuza wao na familia zao Mh Samia akakukumbuka.
Siku moja mtoto mmoja wapo wa Mwl. Nyerere akiwa Rais itakuwa raha sana. Tutakuwa tunaita Rais Nyerere
Rosemary asingefariki angepanda sana.
Congratulations ❤❤❤
Asante sana
oui je attends bien , et je dit que , dieu benisse Rais nyerere du TZ , ameeni
Very nice speech excellent 100 mcheshi sana una roho nyeupe sana Kama baba yako
U
Safi
Kuna vitu vitatu tu ambavyo mtu huna uwezo au uhuru ea kuchagua. Vitu hivyo ni:-
1. Mungu wako
2. Mzazi wako na
3. Jirani yako.
TAFAKARI
Good speaker hono. Makongoro
A good speaker. God bless him.❤
Sawa ccm oyeee
Hapo sawa
😍🥰♥️🔥🔥🔥 Makongoro oyeee
Makongoro oyeeeh,, lakini mzee wasila akawepo yupo
Ongera makongoro, mungu mpunguzie azabuza kabur mwalim nyelele
Mungu ibariki Tanzaniaaa
Sionagi umuhim wa vituko kwake, labda umsifie kuwa anachapa kaz, vituko na vichekesho vinasaidia nn ktk jamii za sasa?
Oyoooo kererereeerr
Nakukubali sana makongoro
Safi sana
Very wise
Namkubali sanaa best yangu apo vipi Sasa lol!
Ok
Natamani sana niingie Tanzania
Karibu
Uje kufanyaje kaa hukohuko
Yani katika wanasiasa sichoki kuwasikiliza ni huyu ,lisu,msigwa,mbowe,na lema
uko sahihi Makobgoro huchoki kumsikiliza
Mmmh huyu simuelewaginhuyu jamaa.
Anabahatisha
7:00 vidole oyeeee😂😂😂
Waliomwelewa alichozungumza jmn
Yani hata mbele ya raisi yeye anaendelea na vituko😅
As philosopher as the father
Sawa!
Ubarikiwe.sanaaaaaa
Duh
Why no one will mention how he is a spitting resemblance of Mwalimu Julius Nyerere
Daah namkubali
Wakati tukisoma Tabora,alikuwa anapiga bendi ya Tabora Boys alikuwa mpigaja mzuri wa bass guitar, watu walikuwa wanachanganyikiwa.mtu wa watu kama baba wa Taifa
Like father Like son
Hata baba yake alikua mcheshi sana
Wenye akili nyingi tumekuelewa 🤣😆😆💪💪
Barakoa hoyeeee😂😂😂
Vizurisana inaletaupendo kwa wazalendo wa Tanzania tumkumbuke mwalimu
Kama utani vile lkn Msg inafika vizuri kama ilivyokusudiwa
Makongoro mmpe uongozi tu kwa vile ni mtoto wa hayati nyerere lakini ni mtu wa comedian sana kwa kuongeza jiji la arusha ni bomu kabisa mlevi sana
Jiji la Arusha haiko Manyara we MTU. Huijui hata nchi Yako unathubutuje KUCOMMENT?
@@whimsymaverick3057 😅😅 mwambie afatilie hata hutuba za Mwl Nyerere zilikuwa na ucheshi ndani yake
Mimi ni mmoja wa wale waliokuwa na wasi wasi kuwa baada ya Mwal. kung'atuka nchi hii itakuwaje? Juu ya umoja wetu, uwadilifu wa viongozi na mengine mengi. Namshukuru Sana Mungu wasi wasi wangu ulikuwa sahihi kabisa tangu Mwal. ang'atuke TUNASHUHUDIA UFISADI MTUPU awamu kwa awamu!!! Na sasa umoja wetu u mashakani, sote TUNASHUHUDIA MKATABA WA DP WORLD ULIVYO uibua UDINI NA UMETUGAWA AAJABU!!! WATU wameacha kujibu HOJA WANACHOMEKEA UDINI!!! Kama hawajui madhara MAKUBWA yanayosababishwa na UDINI. WAISLAMU NA WAKRISTO TUMEISHI KAMA NDUGU MIAKA YOTE YA MWAL. UFISADI HAUKUSHUHUDIWA, KAMA NIMESAHAU NIKUMBUSHE!!! UFISADI BAADA YA MWAL. NITAKUKUMBUSHA KWA UFUPI: LOLIONDO, UFISADI HUU ULIONDOKA NA UHAI WA MWANDISHI WA HABARI NDG YETU KATABARO, EPA, ITPL, MEREMETA NA RICHIMOND N.K. MWALIMU ALIWAHI KUSEMA KUWA : SIKUWA NAAPA KWA KUTANIA MUNGU SI MTAANI WANGU, HUYO NDIYE MWALIMU J. K. NYERERE. NANI KAMA NYERERE MIONGONI MWAO?
Lijenje yuko wapi mbona linapotezewa?
Aijirudii bwana enzi mungu amlazemahali pema
Kumbe kwenye Chawa umo.
Baba wa Taifa hakuwa mnyonyaji wala hakuwa fisadi.
Mwalimu alikuwa mzalendo.
Mwalimu aliwachukia wanyonyaji na hasa wakoloni Mamboleo.
Dah huyu jamaa anaongea kama Nyerere!!
L
👏🏽👏🏽👏🏽🙏🏾🙏🏾🙏🏾✔️✔️✔️
Nawapenda nyie ndugu watanzania.
Mola kawapa kisichopatikana duniani.
Hayo ndo mnayoweza
Nimemuona manara
Makongoro bana anachekesha sana aisee
Sport
aslm mumu plz anzishabishara yakwakoo itwe jina hiloo nimekutabiriya jina zuri kabisaa ukishindwa kufanya bisharas ni weww
Mwalimu nyerere ametuachia picha halisi
Aibu.
Siasa ni nzuli kwa mwana siasa aliye iva kisiasa,siyo kama wale wanao piga siasa kama wanagombana nawa tu,mala kutukana mala kukejeli mala kupiga siasa za kuzalaulina mala kusimanga viongozi walio tangulia mbele za haki,siasa iliyo nzuli niile yenye usitalabu kama vile makongoro anavo ipiga kama kinanda cha kanisa ni safisana
Ccm hamuoni aibu kukusanyana dhambi zimewajaa Kwa kunyanyasa watu na unafiki mwingi? Pindi magufuli yupo hai mlikuwa hamumwambii akikosea alipokufa mnaanza kusema kakosea je yakwenu ambayo mpo sahihi ni yapi? Mungu anawaona Tubuni ,Tunataka katiba mpya,tume huru ya uchaguzi
Ukiona walikuwa hawamuambii ni kwasababu alikuwa dikteta
@@charlesngwembele4541 huo ni unafiki na wala siyo udikiteta ni ujinga kumsema mtu aliyelala
@@zeralucyntazimila6600 fact
Jemeni my Kiswahili siyo fasihi. But naskia Makongolo Nyerere akisema "Wanapenda Kiki", Jemeni nini maana ya KIKI? Salam's kutoka Toronto Canada
Ulikuwa una mwita Mwalimu au Baba?
Makamu mpya wa Zamani tangu uhuru
Ndugu zetu mna wengi wa kuwafaa-mpokeeni huyo!
Baki nae tu,huku hatuna kibanda Cha kumuweka
tumelewa 😂😂😂😂
Ok mh makongoro mungu akubariki sana!
Makongoro hoooye
Hahaaaa
Bwana ni mwema san
Iskadafaaauuu haa
R.I.P JKNyerere🙏
Naona hata aibu kuendelea kutizama na kusikiliza
Kama siyo mtu smart kumwelewa makongoro itakuwa ngumu sana
Kweli kabisa
kaka shikamio kiki long distance Orr short kiki
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Makongoro oyeeeèeeeeeeeeeeeeeeeee!
Mako hoooye!
Kutoa kofia kutoa kofia kutoa kofia
waaaaa !😁😁😁😁😁
Huyo atakuwa amelewa huyo
Kawaponda kwenye kustaafu,nadhani wengine awakumhelewa kama wakina Kinana nawengineo mambumbumbu.
Asante thamk you
Makongoro my friend ulisaliwa kweli
M23
Nina amini
Baba
Mm
Elasto
Bagamoyo
Mjoo.ule samaki
.samàkdds
Sun of first late julias kambarege first president repablic of tanzanian regional commissioner of ngorongoro but leader stroke comedian following late julias kambarege Nyerere jokes during his life time on his leadership can crush late people get angry at the beginning of meetings but at the end laphing sun also on seem truck creat lmotion of angry at the end laphing sun of late julias kambarege Nyerere makongoro Nyerere short briefing under full gavment official
Bro i guess is possessed with Nyerere spirit
Exactly 💯
, 0:33 😮55