PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU MSTAAFU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
    LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 308

  • @augustinesimwiya9091
    @augustinesimwiya9091 2 года назад +6

    Asanteni kwa Kumbukizi hii Muhimu ya Mzee wetu Moses Nnauye imetujuza mengi kuhusu nchi yetu🇹🇿🇹🇿🙏

  • @naftalimhemi1208
    @naftalimhemi1208 2 года назад +9

    Mzee Moses Nawye alitutembelea JKT Oljoro 1978.Anapopiga siasa yake alipiga na Kodiani.Makruti hadi walisahau muda wa kula.Walicheza sana.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад +13

    Sio wakati wa siasa za maneno....Ni wakati wa maendeleo kwa vitendo....darasa tuliisha Pata... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 2 года назад +10

    Hii ndiyo team ya kigogo, ukitaka kujua nyuma ya panzia wanapongezana kumlaza uncle katika nyumba ya milele. Huu ni unafki wa hali ya juu. Mungu anawaona.

  • @alphoncehume9495
    @alphoncehume9495 2 года назад +3

    Mungu akubariki zaidi mzee Yusuf Makamba hekima zako zinahitajika muda wote na hazitachuja. Mungu akupe maisha marefu zaidi na zaidi watanzania tukufaidi zaidi

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 2 года назад +19

    Dunia hakuna Siri inayodumu maisha yote...tatizo huwa ni muda tu

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 2 года назад +7

    Mapungufu kwa kila mtu yapo,ila mazuri pia kila mtu anayo,wazee wangu mungu awape umri mrefu nyinyi ni motivation yetu.

  • @meryevance6944
    @meryevance6944 2 года назад +3

    Mungu atayaweka azalani maovu yao timu kigogo mumuhue mtu heti mtamalaki nchi Mungu atawaumbua subiri wanafiki kubwa Mungu Mambo yenu niwkt tu yatakuwa qazi

  • @evampuya4552
    @evampuya4552 2 года назад +2

    Namkumbuka mzee moses Nnauye alikuwa mlezi wa shule yetu sumve sec Kwimba Mwanza mungu amlaze mahali pema peponi

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud2545 4 месяца назад

    Hayo sio maneno ya Mwenye ezi Mungu...bali ni maneno ni ya Mtumi Muhammad saw.shukrn

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 2 года назад +14

    Kama ulikua huijui team kikwete ndo hii hapa, hii ndo team ilitaka kumuweka Membe awe rais lkn Mkapa akasema hapana tumpe Magufuli

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 2 года назад +8

    Wanajeshi wasitaafu katika ubora wao, Kikwete, Makamba,Kinana wote ni Wanajeshi wasitaafu wanamkumbuka mjeshi mwenzao Moses.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 2 месяца назад

    Pamoja na madhaidha yako mazuri nakushukuru sana Mhe Yusuf Makamba Mhe daktari Kikwete Rais mstaafu jamani wazee wangu nna uchumba na Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu jamani lakini naona mambo kama hayaendi kabisa naomba Dua zenu nyingi zinahitajika sana Mhe Rais mstaafu jamani.

  • @clementkivegalo2604
    @clementkivegalo2604 2 года назад +6

    Mungu aendelee kumjalia afya njema na maisha marefu Mzee Yusufu Makamba.

    • @peterbayo4677
      @peterbayo4677 2 года назад

      Anafaa kuwa mwigizaji maana ni msanii mzuri sana!
      🤗🤗🤗🤗🤗🤗

    • @sememakolo9360
      @sememakolo9360 Год назад

      Kwalupi alilolifanya

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar7537 2 года назад +1

    Wamzee muongo sema tu mwanao au watoto wenu mnatka watuongoze maisha manguful aliwayoosha kwel saf sana mlikuwa kimnya

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 2 года назад +12

    wazee wa kuliangamiza Taifa🤣🤣

    • @princemucho6067
      @princemucho6067 2 года назад +1

      Yaaaani nimecheka mbaya Daaah🤣🤣😅😅😅🤣

  • @alfredibrahim9251
    @alfredibrahim9251 2 года назад +17

    Sawa nchi ya kurithiana tusubiri na januari mtoto wake apewe cheo na riziwani mwanae atapewa wale ambao hawana wazazi serikalini tusubiri mwaka 20100

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад +5

      Umeona eeeh ndo nimeelewa kwa nini hawakumpenda Magufuli, walilidhiana uangalizi wa watoto wao lol! Kisa wana historia ndani ya serikali. Angalau Magufuli hakupenda kuuendekeza huu upuuzi kwani na sisi hatufai kuongoza? Mafisadi wakubwa

    • @benardmapuga8370
      @benardmapuga8370 2 года назад +1

      Nalo neno hilo ndg yangu maana majina yanaanza kurudi koo zilezile utadhani wengine hawajasoma

    • @thomaschengena6369
      @thomaschengena6369 2 года назад

      kila mtu anahaki ya kuwa kiongozi

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад

      @@thomaschengena6369 ndo maana tunashangaa Kwa nini uongozi uwe WA kiukoo?

  • @davinaheven4794
    @davinaheven4794 2 года назад +4

    Ma Yudaaa!

  • @evampuya4552
    @evampuya4552 2 года назад +1

    Mungu awape Maisha marefu wazee wetu mna hekima utu na upendo tele

  • @rukkysayid6613
    @rukkysayid6613 2 года назад +11

    Wamefurahi serikali imerudi mikononi mwao wanafiq wakubwa 😏

    • @mohammedshaaban9509
      @mohammedshaaban9509 2 года назад

      Wew ndio mnafiki wa kwanzaa,kwa kuongea usichokijuaa

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 2 года назад

      @@mohammedshaaban9509 kwendaaa ww unakijua nn eeh😏😏

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 2 года назад +10

    Mmmh ama kweli damu ya mtu nzito iko siku mtasema yote mliyo yafanya.

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      Unamaanisha nini?

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад +6

    RIP shujaa wawili wazalendo walimu wawili JK Nyerere na JPM ..,. Haya mliobaki uzeni nchi hata vijukuu vyenu siku moja vipige makaburi yenu kwa urafi na ubinafsi wenu..

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 года назад +16

    Hakuna Siri Duniani Hapa haitafichuliwa....

  • @erickcleophas682
    @erickcleophas682 2 года назад +21

    Ila hawa siyo bure kuna kitu wanapongezana. Jogoo halijawika tutaona mengi.

  • @francisibrahim2206
    @francisibrahim2206 2 года назад +7

    Siasa za maji taka! Hata mfanyeje, "Wa mbili havai moja"

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 2 года назад +10

    Ishi miaka 1000 hapa duniani kwa mungu ni sawa na siku moja tu,endeleen na unafiki wenu mungu wetu anakuonen,na tunakuomba usituache pigana nao wanao iyumbisha Tzania kwani tangu JPM aondoke hatujui kinacho endelea ktk nchi yetu hatuwezi peke yetu hatuwezi tunaomba toba na rehema pale tulipokosea tukaenda kinyume na wewe unatujua vyema tunomba rehema zako mungu wetu ameren.

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 2 года назад +1

    Mmmmmmmh mzee makamba amechanganyikiwa...kwahio hizo nyimbo ni swadakka tuljaaria...innalillah wa innaillah rajiuuun

  • @MegaAbby1010
    @MegaAbby1010 2 года назад +3

    Hii historia tamu sana

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 2 года назад +2

    Mhh kazi kweli kweli

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 2 года назад +5

    Mashalla baba yangu mzee makamba allah azidi kukupa umri mrefu na afya njema kila siku maana huwa unatupa faraja sana 😄❤️

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph4907 2 года назад +3

    Hizi namba mungu anaziona!! Pumzika baba

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 2 года назад +4

    Mungu tuokoe na hili genge kwa namna yoyote ile eti wanaumia flyover kuitwa kijazi na mfugale ee mungu vunja hili genge kwa kukitoa kichwa Chao kichwa Chao unaijua wewe mungu wetu tutendee mungu watatumaliza mungu ni watu hatari sana hawa watu

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      Mungu alishatuokoa na jambazi kuu limezikwa chato 😂

    • @omarymkamba3045
      @omarymkamba3045 2 года назад +2

      unapotoa jina la eneo kuna utaratibu wake Rais Magufuli alikuwa anakurupuka tu na kutoa majina ya marafiki zake bila kufuata utaratibu.Kujenga miradi hakuanza magufuli Marais wote walikuwa wanatekeleza miradi lakini walikuwa hawatoi majina hovyo hovyo halmashauri na wananchi wa eneo husika.Ukweli lazima usemwe magufuli alifanya kazi yake vizuri lakini alikuwa na mapungufu pia lazima mapungufu yake lazima yasemwe.

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      @@omarymkamba3045 100% real talk

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 2 года назад +5

    Wahuni

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 2 года назад +14

    Hii ni dalili ya Nape kusaka madaraka

  • @emmanuelellymwakyusa2900
    @emmanuelellymwakyusa2900 2 года назад +2

    Very crucial Makamba still active ameongea mambo ya msingi saaana kuhusu NNAUYE mhsrip wazee wenye TIJA ya kuacha URITHI na umoja wa KITAIFA

  • @sweetbertmachomba4448
    @sweetbertmachomba4448 2 года назад +14

    Fisi wameachiwa bucha kuuuzaaa !!!!!!!!!

  • @modricseif1018
    @modricseif1018 2 года назад +2

    Allah atuongoze inshaAllah 😥

  • @godfreyngajilo2653
    @godfreyngajilo2653 2 года назад +2

    Haya maisha jamani Mungu ndo mbabe kuliko takataka yoyote hapa duniani,kuna bwana mmoja alitaka hawa wazee wale nyasi lakini sasa hivi wanakula bata kwa amani zote,

  • @mablogu5850
    @mablogu5850 2 года назад +5

    Major Yusuph Makamba, Kanali Jakaya Kikwete, Kanali Abdurahman Kinana wakimzungumzia Brigedia Jenerali Moses Nnauye

  • @backsa6214
    @backsa6214 2 года назад +7

    Kikwete a good leader..I can't forget his speech at Mandela funeral.

    • @adamhenrymwashambo6649
      @adamhenrymwashambo6649 2 года назад +1

      That was super eloquent Speech ever...

    • @edwardmizambwa237
      @edwardmizambwa237 2 года назад

      Good Leader - Good Speech!?!?!?!?!?

    • @mekin8684
      @mekin8684 2 года назад

      What is a good leader to you !!!speech!!?. Look Tanzania was during his presidency term??? Drugs every corner, corruption, unemployment, fund mismanagement and then tell me where was his good leadership?

    • @boeihongoa1436
      @boeihongoa1436 2 года назад

      @@mekin8684 unemployment? You are not serious bro.
      Get a life.

    • @annethebenezer5409
      @annethebenezer5409 2 года назад

      E

  • @sleimbh
    @sleimbh 2 года назад +3

    Dakika ya 3 Mzee kaongopa ! Ni hadith na sio Quran.

  • @jofreymanfred6560
    @jofreymanfred6560 2 года назад

    Tz nakupenda nakupenda

  • @geofreynjanga6794
    @geofreynjanga6794 2 года назад +5

    Dunia ni mapito mzee ....

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 2 года назад +23

    Shujaa JPM ameondoka ndo wanatoka adharani, tulikuwa tunasikia sauti za kurekodi tu dadek

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 2 года назад +1

    Maajabu

  • @thadeusalucas2823
    @thadeusalucas2823 2 года назад +17

    Kwa kauli ya Makamba baba yake Freeman Mbowe aliiachia nchi hii sadakat el jalia je yanayompata mbowe ndiyo malipo sahihi ya aina hiyo ya sadaka?

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 2 года назад +15

    Wenye CCM yao wamerudi safii sana

    • @bepalilogathbepali9547
      @bepalilogathbepali9547 2 года назад +1

      Mpaka rahaa jaman

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад +1

      Usafi uko wapi enzi zao ukivaa nguo ya ccm kaliakoo unazomewa au mmesahau

    • @ibrahkimesu2402
      @ibrahkimesu2402 2 года назад +1

      Wanajijenga wakupigeni halafu nyie hao hao mnashangilia. Waafrika bwana

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад

      @@ibrahkimesu2402 wanafurahia dili Lao la bandali ya Bagamoyo hela inaingia siku si nyingi unaona mkwere anavyocheka Kwa raha zake na wabongo walioshikiwa akili wanafurahia anyway labda hao nao wako kwenye mikondo ya upigaji

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 2 года назад +4

    Hakuna mtu mbaya na anayeharibu hii nchi na kutengeneza makundi mabaya kama kikwete

    • @dadialidadi1622
      @dadialidadi1622 Год назад

      Achaa kumsemaa kikwete mbuz wewe kikwete aliajir mpaka wengne wakawa wanachaguaa kaz kaa kimyaaa nyau kutesaa kwa zamuuuu kwan huu uongoz wa saiv upo sawa tuu kikwete is the king of tz alikua anajua kuish na watuu

    • @dadialidadi1622
      @dadialidadi1622 Год назад

      Mbnaa mambo yako swa sisahau magu alirejesha watu jkt walivurugwaa mpakaa wengne wakajinyongaa lakn kikwete alikuaa ukingiaa jakata utaumiaaa lakn utapata japo panadol ya ajiraaaaa achaa aendeleeeee ding wetuu hahahahahahahaa

  • @isayamganule1741
    @isayamganule1741 2 года назад +16

    Ujue muangalie mara nyingi sura ya mtu inaendana na matendo yake kazee kanafiki hako na s yy na timu yote ilokoo hapa ni ya wanafiki na mafisad wa mali za taifa

    • @Emmadav1
      @Emmadav1 2 года назад +1

      Mioyo yenu imejaa chuki na visasi

  • @FIFO28
    @FIFO28 2 года назад +11

    Dunia imefikia mwisho kwa kweli.... maneno mengi no results...

  • @ketrachupi4385
    @ketrachupi4385 2 года назад +3

    🤗

  • @jamalrichmond2892
    @jamalrichmond2892 2 года назад +2

    RIP MAGUFULI

  • @athumanhassani9794
    @athumanhassani9794 2 года назад +2

    Maisha tanaenda lesi mzee wakusambaa mnafiki aliongiza mkoa kibabe nakiwabomilea machinga leo yupowapi kazeeka kawaachia wengine wacheni ufisidi msiwanyonye maskini ikiwa mnakula nguvu zao

  • @johnmichael1360
    @johnmichael1360 2 года назад +7

    Hili group hatari sana kwa tanzania

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      Hatari kushinda chato gang? Kwa nini usirudi kwenu Burundi utuachie Tanzania yetu mxiuuuu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 года назад +4

    Mliua nchi nyamaza kabisa baba yangu

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 2 года назад +2

    kweli Jpm alikuwa anaogopeka kwa watu wote wasingeweza kuongelea maswala ya nnauye

  • @ibrahkimesu2402
    @ibrahkimesu2402 2 года назад +13

    Madhulmati wanaoiteketeza nchi yetu, wanaodhani wanaimiliki nchi wako ndani. Iko siku Mungu atatulipia. Devils on the loose.

  • @thobiasmushangaki9470
    @thobiasmushangaki9470 2 года назад +2

    Wazee wanaiharibu Nchi hii maskini RIP JPM

  • @marcogodfreymboya7349
    @marcogodfreymboya7349 2 года назад +2

    Tumepigwa

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 2 года назад +1

    Dah nchi yangu...

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 года назад +5

    Hiz comments za humu hatar sana mweee🙌🙌🙌🙌

  • @stafordgamba4753
    @stafordgamba4753 2 года назад +3

    Bigup mzee makamba,hotuba tamu hawa ndo walikuwa Wana siasa Bora,

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 2 года назад +4

    Hata hawa watekaji wakisema na kutupiana sifa, hakuna kiongozi Tanzania, aliowaguusa watu kama JOHN POMBE MAGUFULI. LEGACY YAKE HAITAPOTELEA KWENYE MANENO YA HAWA WASALITI WA WATANZANIA WALIO WENGI. HAWATAIFUTA KAMWE. Watajisifu wawo kwa wawo na familia zawo, lakini Watanzania walio wengi wanaona kama hadithi zisizokuwa na ukweli wowote.

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      Aliwagusaje watanzania? Alifanikiwa kuondoa umasikini?

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 года назад +1

      @@itwaaky75 Kama Mwenyezi Mungu angemuweka zaidi ya miaka mingine mitano Tanzania ingepiga hatuwa kubwa.Mmutakataa, , mutamubeza, , mutamutuhumu, lakini hamutafuta mengi aliyoyafanya pale watangulizi wake walishindwa. Ndiyo maana mpaka sasa watekaji wao serikali hii wamejaribu kulibulula jina lake kwenye matope wameshindwa kufanikiwa. JOHN POMBE MAGUFULI ATABAKI KWENYE MIYOO YA WATANZANIA WALIO WENGI. .

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      @@gracegrace6200 kama hakuajiri, watu walifunga biashara amabazo zilikua zimeajiri watu na wakaenda kuwa machinga huoni aliongeza umasikini zaidi, sasa angepunguzaje?

    • @immaculatemakene7546
      @immaculatemakene7546 2 года назад +2

      @@itwaaky75 Wewe hata umchukie vpi Magufuri unadhalilika tu !!! Hivi huoni aibu !!!!??? Wewe ni Mwizi wa mali za Umma unazo chuki binafsi.

    • @immaculatemakene7546
      @immaculatemakene7546 2 года назад +2

      @@gracegrace6200 Grace ungemfahamu huyu mwenye jina hilo usingemjibu lolote ungemdhalau tu, huyu ni Mzenji atakuwa au Cheti feki !!!!!

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 года назад +9

    NAMBA CHAFU HIZO ZILIZOMDONDOSHA JAMAA...!....ZIMEKUTANA...!

  • @gipsonibushatabushata1646
    @gipsonibushatabushata1646 2 года назад +1

    Wewe mzeell

  • @goodluckmunisi4340
    @goodluckmunisi4340 2 года назад +7

    Wenye nchi yao wamefika moto tunao🤣🤣🤣

  • @hamsinitimbersupplytanzani4928
    @hamsinitimbersupplytanzani4928 2 года назад +3

    Tanzania ndio nchi mtu anakuchukia hata hajawahi kukuona😂😂😂😂😂

    • @benardmapuga8370
      @benardmapuga8370 2 года назад

      Sio lzm uonekane tulifundishwa somo la history kuwa babu zetu walinyanyaswa na wakoloni nasi tukawachukia kwani tuliwaona?

  • @isayamganule1741
    @isayamganule1741 2 года назад +3

    Sura mbaya kama kibwengo sasa iv mnakula bata tu kwa mh.Magufuli mlikiona cha Moto kwanza CCM itakufa na kupotelea mbali

    • @jameskemege2663
      @jameskemege2663 2 года назад

      Watu wanasherekea ushindi ila angalia pia zenu zinawaelekeza wapi

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan3970 2 года назад +1

    Ila Mungu 😉😉😭😭😭😭jpm Allah Huko Ulipo Akufanyie tafifu Tumewafaham wanafki wako

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 2 года назад +7

    Alijipachika jina lake mtaa wenye historia ya wapigania uhuru eneo la gerezani kariakoo mtaa wa mbaruku akaita makamba kuforce tu.maeneo ya kutoa jinalake yapo mengi nchini lkn kataka sifa ya kishamba tu.aende zake

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud2545 4 месяца назад

    Nyerere ana sadaka jaria gani?usipeane sifa zikapitiliza mzee ama ndo huo uzee unakuingilia vbaya?chunga usemayo mzee wangu ulimi usikuponze

  • @meshasjaguar6136
    @meshasjaguar6136 2 года назад +2

    Sisi atutaki story zenu tunataka mabadiliko ya maisha

  • @daviddouglas8943
    @daviddouglas8943 2 года назад +4

    Anampigia promo Nape apate cheo toka kwa mama SHH, dah.

  • @edithkovary5771
    @edithkovary5771 2 года назад +13

    Lazima aongee alilolitaka ameshalipata.Alinyamza kimya baada ya JPM Kuondoka kila mtu anarudi. Japo wameshastaafu.

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад +3

      Wacha watu wawe huru jambazi sugu limezikwa chato

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 2 года назад +1

      @@ghoststpatrick9878 😂😂😂

    • @ibrahkimesu2402
      @ibrahkimesu2402 2 года назад +3

      Hawajastaafu kuiba wamestaafu uongozi tu. Upigaji una kustaafu?

    • @ibrahkimesu2402
      @ibrahkimesu2402 2 года назад +1

      @@ghoststpatrick9878 baa yako angevaa condom kusingezaliwa takataka kama wewe nguruwe kasoro rangi. Mnashindana na marehemu wakatiijambazi halisi inaendelea kuwaibia! Lazima wewe ni ndugu zako hayo majangili yakipora unatumwa timwa nayo. Tunawazoom tu ipo siku mtatafuta pa kutokea

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад +1

      @@ibrahkimesu2402 ahahahaha Ibrah umepanick ! Jambazi jambazi tuu we tukana unavyoweza it won't change anything ... Chaliiii in chato 😂😂😂

  • @meryevance6944
    @meryevance6944 2 года назад +3

    Huyu Mzee makamba nimunafiki ndio maana munapehana nafsi za ugozi nchi mumefanya yenu mpk magufuli mumemua naunafiki mtupu

    • @benardmapuga8370
      @benardmapuga8370 2 года назад +1

      We nae jitahidi kuandika tukuelewe hoja nzuri lkn maneno unatuchanganya

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 2 года назад +3

    CCM HOOYE

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 2 года назад +2

    Aliposema moyo wa ukarimu na upendo, Nape got emotional akakimbilia ndani kwenda kutoa chozi kidogo

  • @najumongdeoxcar6728
    @najumongdeoxcar6728 2 года назад +4

    Dah kwer tuxhapigwa na kitu kizito Kama mwendo ndo huu

  • @malaakyakub2559
    @malaakyakub2559 2 года назад +1

    Subxanallah nyinbo sio sadakatul jaaria ?

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 2 года назад +11

    MAJAMBAZI WAKUBWA!

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 2 года назад +14

    Hawo ndiyo mapapa wa nchi miradi yote ya kimkakati imesimama wananchi tujipange 2025 tuumalizie huu uchafu tuanze upya

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 2 года назад +1

      Haha hilo jambo sahau aisee nchi hii ni mali ya CCM na maslahi ya chama kwa ujumla

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад

      Mjipange kweli hayo mapapa hayatakubali kuiachia nchi kiurahisi hivyo! Kama wamemuondoa mwenzi wao kisa alikuwa anawabana!

    • @blessroberto764
      @blessroberto764 2 года назад

      Fisi kakabiziwa bucha

    • @salvatorymtunga2802
      @salvatorymtunga2802 2 года назад

      Hamna kiongozi aliyeongoza kwenye nchi hii na hata nchi zote duniani aliyekosa mapungufu na mema, wote wametawala kwa nyakati tofauti na huwezi kuwalinganisha maana mda ulukuwa tofauti.Viongozi ni kama wachezaji wa mpira wa miguu, mchezaji akikosa kufunga goli.utawasikia mashabiki wanavyomshambulia, ila wewe shabiki ukiingia uwanjani unaweza usiguse mpira kwa dk 30 nzima.

    • @saimonjmai801
      @saimonjmai801 2 года назад

      Upo nchi gani ndugu, hii inchi iogope Sana siasa yake nizaidi ya hizo fikra zako

  • @kuntakinteomolo2832
    @kuntakinteomolo2832 2 года назад +2

    Na Field marshall john okelo apewe mtaa gani Zanzibar?

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +6

    Mmh, acheni kujifanya miungu watu. Acheni KULITUMIA JINA LA NYERERE

  • @madamuhimu9354
    @madamuhimu9354 Год назад

    Naomba baba utusaidie aya ya ngapi wengine hatujasoma

  • @oscarmisiru9725
    @oscarmisiru9725 2 года назад

    Heeeee mzeeee

  • @kilamiko8299
    @kilamiko8299 2 года назад

    Zeee snichi sana hili...

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 2 года назад +3

    Wazee wakukunja nne

  • @mathewbundu235
    @mathewbundu235 2 года назад

    Ila huyu mzee aisee ni very fun na anajua kuteka jukwaa na attention ya wasikilizaji🤣🤣

  • @emamkuyu4061
    @emamkuyu4061 2 года назад +8

    Wafu hawana kumbukumbu lolote,sema usemavyo,lakini kila mtu atakufa

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 года назад +3

    We mzee vipi nyimbo swadakatul jaaria
    Utubie usiku mzima we

    • @aishaally2611
      @aishaally2611 2 года назад

      Amepotoka...! Porojo nyingi sana,mtu mwenye hekima ni yule anayekaa kimya.

  • @mekin8684
    @mekin8684 2 года назад +2

    Yaani huyu mzee anaona daraja kupewa jina la mtu ni kitu kikubwa sana kwake ndiyo maendeleo kwake. Hii ndiyo sababu mpaka leo miaka 60 baada ya Uhuru bado tunahangaika na umeme, maji, madawati, madarasa, Barabara. Tanzania tuko nyuma sana for 60 years tungelikuwa tunajenga blockchain infrastructures DeFi, POV, metaverse, tungelikuwa na research instructions kama research solar energy, cancer, diabetes. AI. Mambo kibao. Lakini kwa style hii 60 years hire kabisa. Omg brain ni bidhaa adimu sana

  • @luvangakalinga8698
    @luvangakalinga8698 2 года назад +2

    Haya ndio mliokuwa mnayataka kurithishana watoto na vitukuu wenu kulipana fhadila na JPM Hakutaka na alitaka kuyavunja haya madudu yenu na hapa umeyasema yote na kuonyesha dhamila yenu na why mlimchukia. Story nyingi ohh sijui wazee wa nchi zaidi ya unafki tu

  • @SubilagaKabango-bu8tu
    @SubilagaKabango-bu8tu Год назад

    KWA kweli mh jakaya ni mtu wa mfano ktk ma Rais Tanzania!

  • @KilonzoGodson
    @KilonzoGodson 12 дней назад

    Ubunge alikupaje mzee mbona unatoboa siri tena hadi Mh anaangalia chini

  • @mwigaali1942
    @mwigaali1942 2 года назад +2

    Bado tena bado kabisa wazee waaina hii ktk dunia ya sasa ni mzigo tu hawanafaida kwa Taifa

  • @raphaelmrisho1520
    @raphaelmrisho1520 2 года назад +4

    Mimi Nina mawazo tofauti namuona Mzee MAKAMBA kama Mzee anayetakiwa kugawa vipaji kwa watunwengine huyu mzee ana mambo mengi sana

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail2578 2 года назад +2

    Huyu mzee hakuna lolote kama mtoto wake yananiboa

  • @BabuJuma-ze6to
    @BabuJuma-ze6to Год назад

    Wanaokufa wanadhambi kweli!

  • @kastulideemay6721
    @kastulideemay6721 2 года назад +3

    Makamba akikutana na Kikwete, nawe jiandae kuvunjika mbavu kwa kicheko kama huna nongwa nao! Anayosema ni ya kweli vijana wa ccm choteni katika historia ya hao wazee na hao wanaowafanyia dua, hawakua na mapito yaliyo mepesi!

  • @mhandoomary8539
    @mhandoomary8539 2 года назад +1

    Nchi ipo mahala salama sasa