PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU MSTAAFU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Asanteni kwa Kumbukizi hii Muhimu ya Mzee wetu Moses Nnauye imetujuza mengi kuhusu nchi yetu🇹🇿🇹🇿🙏
Miso jiongeze ndg yangu
Mzee Moses Nawye alitutembelea JKT Oljoro 1978.Anapopiga siasa yake alipiga na Kodiani.Makruti hadi walisahau muda wa kula.Walicheza sana.
Sio wakati wa siasa za maneno....Ni wakati wa maendeleo kwa vitendo....darasa tuliisha Pata... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Hii ndiyo team ya kigogo, ukitaka kujua nyuma ya panzia wanapongezana kumlaza uncle katika nyumba ya milele. Huu ni unafki wa hali ya juu. Mungu anawaona.
Una ushahidi?
Mungu akubariki zaidi mzee Yusuf Makamba hekima zako zinahitajika muda wote na hazitachuja. Mungu akupe maisha marefu zaidi na zaidi watanzania tukufaidi zaidi
Dunia hakuna Siri inayodumu maisha yote...tatizo huwa ni muda tu
Mapungufu kwa kila mtu yapo,ila mazuri pia kila mtu anayo,wazee wangu mungu awape umri mrefu nyinyi ni motivation yetu.
Mungu atayaweka azalani maovu yao timu kigogo mumuhue mtu heti mtamalaki nchi Mungu atawaumbua subiri wanafiki kubwa Mungu Mambo yenu niwkt tu yatakuwa qazi
Namkumbuka mzee moses Nnauye alikuwa mlezi wa shule yetu sumve sec Kwimba Mwanza mungu amlaze mahali pema peponi
Hayo sio maneno ya Mwenye ezi Mungu...bali ni maneno ni ya Mtumi Muhammad saw.shukrn
Kama ulikua huijui team kikwete ndo hii hapa, hii ndo team ilitaka kumuweka Membe awe rais lkn Mkapa akasema hapana tumpe Magufuli
WanAfik hawa wanafanya tz yao ya ukoo
Wanajeshi wasitaafu katika ubora wao, Kikwete, Makamba,Kinana wote ni Wanajeshi wasitaafu wanamkumbuka mjeshi mwenzao Moses.
Pamoja na madhaidha yako mazuri nakushukuru sana Mhe Yusuf Makamba Mhe daktari Kikwete Rais mstaafu jamani wazee wangu nna uchumba na Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu jamani lakini naona mambo kama hayaendi kabisa naomba Dua zenu nyingi zinahitajika sana Mhe Rais mstaafu jamani.
Mungu aendelee kumjalia afya njema na maisha marefu Mzee Yusufu Makamba.
Anafaa kuwa mwigizaji maana ni msanii mzuri sana!
🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Kwalupi alilolifanya
Wamzee muongo sema tu mwanao au watoto wenu mnatka watuongoze maisha manguful aliwayoosha kwel saf sana mlikuwa kimnya
wazee wa kuliangamiza Taifa🤣🤣
Yaaaani nimecheka mbaya Daaah🤣🤣😅😅😅🤣
Sawa nchi ya kurithiana tusubiri na januari mtoto wake apewe cheo na riziwani mwanae atapewa wale ambao hawana wazazi serikalini tusubiri mwaka 20100
Umeona eeeh ndo nimeelewa kwa nini hawakumpenda Magufuli, walilidhiana uangalizi wa watoto wao lol! Kisa wana historia ndani ya serikali. Angalau Magufuli hakupenda kuuendekeza huu upuuzi kwani na sisi hatufai kuongoza? Mafisadi wakubwa
Nalo neno hilo ndg yangu maana majina yanaanza kurudi koo zilezile utadhani wengine hawajasoma
kila mtu anahaki ya kuwa kiongozi
@@thomaschengena6369 ndo maana tunashangaa Kwa nini uongozi uwe WA kiukoo?
Ma Yudaaa!
Mungu awape Maisha marefu wazee wetu mna hekima utu na upendo tele
Wamefurahi serikali imerudi mikononi mwao wanafiq wakubwa 😏
Wew ndio mnafiki wa kwanzaa,kwa kuongea usichokijuaa
@@mohammedshaaban9509 kwendaaa ww unakijua nn eeh😏😏
Mmmh ama kweli damu ya mtu nzito iko siku mtasema yote mliyo yafanya.
Unamaanisha nini?
RIP shujaa wawili wazalendo walimu wawili JK Nyerere na JPM ..,. Haya mliobaki uzeni nchi hata vijukuu vyenu siku moja vipige makaburi yenu kwa urafi na ubinafsi wenu..
Duuuh,
Umejuaje?
Hakuna Siri Duniani Hapa haitafichuliwa....
Ila hawa siyo bure kuna kitu wanapongezana. Jogoo halijawika tutaona mengi.
Hiyo utajua ww
Siasa za maji taka! Hata mfanyeje, "Wa mbili havai moja"
Ishi miaka 1000 hapa duniani kwa mungu ni sawa na siku moja tu,endeleen na unafiki wenu mungu wetu anakuonen,na tunakuomba usituache pigana nao wanao iyumbisha Tzania kwani tangu JPM aondoke hatujui kinacho endelea ktk nchi yetu hatuwezi peke yetu hatuwezi tunaomba toba na rehema pale tulipokosea tukaenda kinyume na wewe unatujua vyema tunomba rehema zako mungu wetu ameren.
Mmmmmmmh mzee makamba amechanganyikiwa...kwahio hizo nyimbo ni swadakka tuljaaria...innalillah wa innaillah rajiuuun
Mwehu
Hii historia tamu sana
Mhh kazi kweli kweli
Mashalla baba yangu mzee makamba allah azidi kukupa umri mrefu na afya njema kila siku maana huwa unatupa faraja sana 😄❤️
Faraja gani ya unafiq 😏😏
@@rukkysayid6613 Mmhu Astagfirullah laadhwim,,😔😒
Khaaaaa😳
Hizi namba mungu anaziona!! Pumzika baba
Mungu tuokoe na hili genge kwa namna yoyote ile eti wanaumia flyover kuitwa kijazi na mfugale ee mungu vunja hili genge kwa kukitoa kichwa Chao kichwa Chao unaijua wewe mungu wetu tutendee mungu watatumaliza mungu ni watu hatari sana hawa watu
Mungu alishatuokoa na jambazi kuu limezikwa chato 😂
unapotoa jina la eneo kuna utaratibu wake Rais Magufuli alikuwa anakurupuka tu na kutoa majina ya marafiki zake bila kufuata utaratibu.Kujenga miradi hakuanza magufuli Marais wote walikuwa wanatekeleza miradi lakini walikuwa hawatoi majina hovyo hovyo halmashauri na wananchi wa eneo husika.Ukweli lazima usemwe magufuli alifanya kazi yake vizuri lakini alikuwa na mapungufu pia lazima mapungufu yake lazima yasemwe.
@@omarymkamba3045 100% real talk
Wahuni
Hii ni dalili ya Nape kusaka madaraka
Very crucial Makamba still active ameongea mambo ya msingi saaana kuhusu NNAUYE mhsrip wazee wenye TIJA ya kuacha URITHI na umoja wa KITAIFA
Fisi wameachiwa bucha kuuuzaaa !!!!!!!!!
Allah atuongoze inshaAllah 😥
Haya maisha jamani Mungu ndo mbabe kuliko takataka yoyote hapa duniani,kuna bwana mmoja alitaka hawa wazee wale nyasi lakini sasa hivi wanakula bata kwa amani zote,
Major Yusuph Makamba, Kanali Jakaya Kikwete, Kanali Abdurahman Kinana wakimzungumzia Brigedia Jenerali Moses Nnauye
Kikwete a good leader..I can't forget his speech at Mandela funeral.
That was super eloquent Speech ever...
Good Leader - Good Speech!?!?!?!?!?
What is a good leader to you !!!speech!!?. Look Tanzania was during his presidency term??? Drugs every corner, corruption, unemployment, fund mismanagement and then tell me where was his good leadership?
@@mekin8684 unemployment? You are not serious bro.
Get a life.
E
Dakika ya 3 Mzee kaongopa ! Ni hadith na sio Quran.
Tz nakupenda nakupenda
Dunia ni mapito mzee ....
Shujaa JPM ameondoka ndo wanatoka adharani, tulikuwa tunasikia sauti za kurekodi tu dadek
Maajabu
Kwa kauli ya Makamba baba yake Freeman Mbowe aliiachia nchi hii sadakat el jalia je yanayompata mbowe ndiyo malipo sahihi ya aina hiyo ya sadaka?
Wenye CCM yao wamerudi safii sana
Mpaka rahaa jaman
Usafi uko wapi enzi zao ukivaa nguo ya ccm kaliakoo unazomewa au mmesahau
Wanajijenga wakupigeni halafu nyie hao hao mnashangilia. Waafrika bwana
@@ibrahkimesu2402 wanafurahia dili Lao la bandali ya Bagamoyo hela inaingia siku si nyingi unaona mkwere anavyocheka Kwa raha zake na wabongo walioshikiwa akili wanafurahia anyway labda hao nao wako kwenye mikondo ya upigaji
Hakuna mtu mbaya na anayeharibu hii nchi na kutengeneza makundi mabaya kama kikwete
Achaa kumsemaa kikwete mbuz wewe kikwete aliajir mpaka wengne wakawa wanachaguaa kaz kaa kimyaaa nyau kutesaa kwa zamuuuu kwan huu uongoz wa saiv upo sawa tuu kikwete is the king of tz alikua anajua kuish na watuu
Mbnaa mambo yako swa sisahau magu alirejesha watu jkt walivurugwaa mpakaa wengne wakajinyongaa lakn kikwete alikuaa ukingiaa jakata utaumiaaa lakn utapata japo panadol ya ajiraaaaa achaa aendeleeeee ding wetuu hahahahahahahaa
Ujue muangalie mara nyingi sura ya mtu inaendana na matendo yake kazee kanafiki hako na s yy na timu yote ilokoo hapa ni ya wanafiki na mafisad wa mali za taifa
Mioyo yenu imejaa chuki na visasi
Dunia imefikia mwisho kwa kweli.... maneno mengi no results...
🤗
RIP MAGUFULI
Maisha tanaenda lesi mzee wakusambaa mnafiki aliongiza mkoa kibabe nakiwabomilea machinga leo yupowapi kazeeka kawaachia wengine wacheni ufisidi msiwanyonye maskini ikiwa mnakula nguvu zao
Hili group hatari sana kwa tanzania
Hatari kushinda chato gang? Kwa nini usirudi kwenu Burundi utuachie Tanzania yetu mxiuuuu
Mliua nchi nyamaza kabisa baba yangu
kweli Jpm alikuwa anaogopeka kwa watu wote wasingeweza kuongelea maswala ya nnauye
Madhulmati wanaoiteketeza nchi yetu, wanaodhani wanaimiliki nchi wako ndani. Iko siku Mungu atatulipia. Devils on the loose.
Kweli kaka mashetani hawa
Barakoa vipi leo
Jisumbue kwa mawazo yasiyo na maana.
Shetani wa kwanza ni wew
@@mohammedshaaban9509 mwiisilamu hajawahi kuwa mwema
Wazee wanaiharibu Nchi hii maskini RIP JPM
Tumepigwa
Dah nchi yangu...
Hiz comments za humu hatar sana mweee🙌🙌🙌🙌
Bigup mzee makamba,hotuba tamu hawa ndo walikuwa Wana siasa Bora,
Hata hawa watekaji wakisema na kutupiana sifa, hakuna kiongozi Tanzania, aliowaguusa watu kama JOHN POMBE MAGUFULI. LEGACY YAKE HAITAPOTELEA KWENYE MANENO YA HAWA WASALITI WA WATANZANIA WALIO WENGI. HAWATAIFUTA KAMWE. Watajisifu wawo kwa wawo na familia zawo, lakini Watanzania walio wengi wanaona kama hadithi zisizokuwa na ukweli wowote.
Aliwagusaje watanzania? Alifanikiwa kuondoa umasikini?
@@itwaaky75 Kama Mwenyezi Mungu angemuweka zaidi ya miaka mingine mitano Tanzania ingepiga hatuwa kubwa.Mmutakataa, , mutamubeza, , mutamutuhumu, lakini hamutafuta mengi aliyoyafanya pale watangulizi wake walishindwa. Ndiyo maana mpaka sasa watekaji wao serikali hii wamejaribu kulibulula jina lake kwenye matope wameshindwa kufanikiwa. JOHN POMBE MAGUFULI ATABAKI KWENYE MIYOO YA WATANZANIA WALIO WENGI. .
@@gracegrace6200 kama hakuajiri, watu walifunga biashara amabazo zilikua zimeajiri watu na wakaenda kuwa machinga huoni aliongeza umasikini zaidi, sasa angepunguzaje?
@@itwaaky75 Wewe hata umchukie vpi Magufuri unadhalilika tu !!! Hivi huoni aibu !!!!??? Wewe ni Mwizi wa mali za Umma unazo chuki binafsi.
@@gracegrace6200 Grace ungemfahamu huyu mwenye jina hilo usingemjibu lolote ungemdhalau tu, huyu ni Mzenji atakuwa au Cheti feki !!!!!
NAMBA CHAFU HIZO ZILIZOMDONDOSHA JAMAA...!....ZIMEKUTANA...!
Wewe mzeell
Wenye nchi yao wamefika moto tunao🤣🤣🤣
Tanzania ndio nchi mtu anakuchukia hata hajawahi kukuona😂😂😂😂😂
Sio lzm uonekane tulifundishwa somo la history kuwa babu zetu walinyanyaswa na wakoloni nasi tukawachukia kwani tuliwaona?
Sura mbaya kama kibwengo sasa iv mnakula bata tu kwa mh.Magufuli mlikiona cha Moto kwanza CCM itakufa na kupotelea mbali
Watu wanasherekea ushindi ila angalia pia zenu zinawaelekeza wapi
Ila Mungu 😉😉😭😭😭😭jpm Allah Huko Ulipo Akufanyie tafifu Tumewafaham wanafki wako
Alijipachika jina lake mtaa wenye historia ya wapigania uhuru eneo la gerezani kariakoo mtaa wa mbaruku akaita makamba kuforce tu.maeneo ya kutoa jinalake yapo mengi nchini lkn kataka sifa ya kishamba tu.aende zake
Nyerere ana sadaka jaria gani?usipeane sifa zikapitiliza mzee ama ndo huo uzee unakuingilia vbaya?chunga usemayo mzee wangu ulimi usikuponze
Sisi atutaki story zenu tunataka mabadiliko ya maisha
Anampigia promo Nape apate cheo toka kwa mama SHH, dah.
Lazima aongee alilolitaka ameshalipata.Alinyamza kimya baada ya JPM Kuondoka kila mtu anarudi. Japo wameshastaafu.
Wacha watu wawe huru jambazi sugu limezikwa chato
@@ghoststpatrick9878 😂😂😂
Hawajastaafu kuiba wamestaafu uongozi tu. Upigaji una kustaafu?
@@ghoststpatrick9878 baa yako angevaa condom kusingezaliwa takataka kama wewe nguruwe kasoro rangi. Mnashindana na marehemu wakatiijambazi halisi inaendelea kuwaibia! Lazima wewe ni ndugu zako hayo majangili yakipora unatumwa timwa nayo. Tunawazoom tu ipo siku mtatafuta pa kutokea
@@ibrahkimesu2402 ahahahaha Ibrah umepanick ! Jambazi jambazi tuu we tukana unavyoweza it won't change anything ... Chaliiii in chato 😂😂😂
Huyu Mzee makamba nimunafiki ndio maana munapehana nafsi za ugozi nchi mumefanya yenu mpk magufuli mumemua naunafiki mtupu
We nae jitahidi kuandika tukuelewe hoja nzuri lkn maneno unatuchanganya
CCM HOOYE
Aliposema moyo wa ukarimu na upendo, Nape got emotional akakimbilia ndani kwenda kutoa chozi kidogo
Dah kwer tuxhapigwa na kitu kizito Kama mwendo ndo huu
Subxanallah nyinbo sio sadakatul jaaria ?
MAJAMBAZI WAKUBWA!
Hawo ndiyo mapapa wa nchi miradi yote ya kimkakati imesimama wananchi tujipange 2025 tuumalizie huu uchafu tuanze upya
Haha hilo jambo sahau aisee nchi hii ni mali ya CCM na maslahi ya chama kwa ujumla
Mjipange kweli hayo mapapa hayatakubali kuiachia nchi kiurahisi hivyo! Kama wamemuondoa mwenzi wao kisa alikuwa anawabana!
Fisi kakabiziwa bucha
Hamna kiongozi aliyeongoza kwenye nchi hii na hata nchi zote duniani aliyekosa mapungufu na mema, wote wametawala kwa nyakati tofauti na huwezi kuwalinganisha maana mda ulukuwa tofauti.Viongozi ni kama wachezaji wa mpira wa miguu, mchezaji akikosa kufunga goli.utawasikia mashabiki wanavyomshambulia, ila wewe shabiki ukiingia uwanjani unaweza usiguse mpira kwa dk 30 nzima.
Upo nchi gani ndugu, hii inchi iogope Sana siasa yake nizaidi ya hizo fikra zako
Na Field marshall john okelo apewe mtaa gani Zanzibar?
Mmh, acheni kujifanya miungu watu. Acheni KULITUMIA JINA LA NYERERE
Naomba baba utusaidie aya ya ngapi wengine hatujasoma
Heeeee mzeeee
Zeee snichi sana hili...
Wazee wakukunja nne
Ila huyu mzee aisee ni very fun na anajua kuteka jukwaa na attention ya wasikilizaji🤣🤣
Wafu hawana kumbukumbu lolote,sema usemavyo,lakini kila mtu atakufa
Hakika umenena
We mzee vipi nyimbo swadakatul jaaria
Utubie usiku mzima we
Amepotoka...! Porojo nyingi sana,mtu mwenye hekima ni yule anayekaa kimya.
Yaani huyu mzee anaona daraja kupewa jina la mtu ni kitu kikubwa sana kwake ndiyo maendeleo kwake. Hii ndiyo sababu mpaka leo miaka 60 baada ya Uhuru bado tunahangaika na umeme, maji, madawati, madarasa, Barabara. Tanzania tuko nyuma sana for 60 years tungelikuwa tunajenga blockchain infrastructures DeFi, POV, metaverse, tungelikuwa na research instructions kama research solar energy, cancer, diabetes. AI. Mambo kibao. Lakini kwa style hii 60 years hire kabisa. Omg brain ni bidhaa adimu sana
Haya ndio mliokuwa mnayataka kurithishana watoto na vitukuu wenu kulipana fhadila na JPM Hakutaka na alitaka kuyavunja haya madudu yenu na hapa umeyasema yote na kuonyesha dhamila yenu na why mlimchukia. Story nyingi ohh sijui wazee wa nchi zaidi ya unafki tu
KWA kweli mh jakaya ni mtu wa mfano ktk ma Rais Tanzania!
Ubunge alikupaje mzee mbona unatoboa siri tena hadi Mh anaangalia chini
Bado tena bado kabisa wazee waaina hii ktk dunia ya sasa ni mzigo tu hawanafaida kwa Taifa
Punguza chuki
Mimi Nina mawazo tofauti namuona Mzee MAKAMBA kama Mzee anayetakiwa kugawa vipaji kwa watunwengine huyu mzee ana mambo mengi sana
Huyu mzee hakuna lolote kama mtoto wake yananiboa
Wanaokufa wanadhambi kweli!
Makamba akikutana na Kikwete, nawe jiandae kuvunjika mbavu kwa kicheko kama huna nongwa nao! Anayosema ni ya kweli vijana wa ccm choteni katika historia ya hao wazee na hao wanaowafanyia dua, hawakua na mapito yaliyo mepesi!
Nchi ipo mahala salama sasa