Kumbe % kubwa ya Watz maisha hayatofautiani sana. Cha ajabu wengine wanapopata madaraka husahau walikotoka. Wangekumbuka tulikotoa Tz ingekuwa mbali sana. Hongera J Makamba.
Umeni toa machozi maisha yako kama yangu ila mi si kupata bahat ya kusoma ata dalasa moja mama alikufa nikiwa mtoto sana baba nae akuwa na ela ata mia kwaiyo sikupelekawa shule kabisa bwana mungu uwalisha ndege wakati awalimi wala awana gala lakini uwalisha kwetu kamachum bukoba kagera sija wai kumwombea MTU kitu na asikifanikiwe ivo kaka j kuna2 mungu ata kitenda kizuli sana tuwe pamoja katika maombi ukija kulala shukulu na ukiamka omba maombi mafupi
Aisee umetoka mbali kaka usikatae tamaa zote zinazotokea ktk maisha nichangamoto ila mm naamini utafika mbali sana sababu unafaham maisha halisi ya mtanzania
Aisee Comrade January, umenikumbusha mbali sana maisha ya miaka 80, kusubiri mgao wa sukari na chumvi, kuuza pombe , kuchunga etc. Very interesting history. Muhimu umefanikiwa kumwenzi baba yako Mzee Yusufu Makamba.
Historia ya Maisha yako inafundisha ,Hamasisha,Leta funzo ... Leo nimekufutilia wewe na baba yako na Mzee wetu mzee Makamba. Kwa hakika nimejifunza Mengi Sana.
Mara zote huyu Mh. January ninamkubali sana japo mimi si wa chama chake. Nadhani amepata baraka kwa Mungu kupitia kuwahudumia wazee na wakimbizi kwa moyo wote. Utafika mbsli sana Mtanzania mwenzangu. God bless you.
Hongera sana king'ang'anizi!... hata biblia inatufundisha kung'ang'ania! tazama Yakobo alimganda malaika kulipokaribia kukucha hadi akambariki! SURE NEVER GIVE UP!!!..
Baada ya kusikia mwenywe historia ya maisha yako ya changamoto na moyo wako wa kujitolea kusaidia wenye shida kubwa ambao ni wakimbizi, nakubariki kwa kazi y'ako mpya uliyopewa na mheshimiwa raisi mama Samia hivi majuzi. Moyo wako usijje badilika na kurudi nyuma.
Very good inspiring story never give up.men and women life is about fighting infact.ever one of us do meet the same life .Now mr makamva should prepare himself for .a ledership.position of high position in the next coming years ahead as he know the real day yo day life of common citizen
Mashaallah una historia ya ujasiri mkubwa na mimi nlikuwa nasikia makamba lakini nitafauti nlivokuwa nafikiria kwani nilijua ni mzee lakini mashaallah kijana nasaha yangu ningekushauri ubadilishe dini toka ukristo kwenda uislam nakuhakikishia utaipamba vizuri zaidi historia yako
Historia nzuri sana ya mh January Makamba Kwa sehemu zote alizozitaja bahati nzuri ninazijua ni sehemu zenye changamoto nyingi ila mh kapambana mpaka kufikia mafaniokio siyo kitu kidogo Hongera sana mh waziri
GOD is great.Cha muhimu maishani,ni mtu asikate tamaa haraka maishani.Moral lesson,it pays to be stubborn/pushy in life.Asante sana for sharing this inspiring story.
Kaanza kazi na miaka 20? Rudi nyuma JKT mwaka mmoja, kidato cha tano na sita miaka miwili, kidato cha kwanza hadi cha nne miaka minne, miaka saba ya shule ya msingi jumla miaka minne. Tufanye alianza darasa la kwanza na miaka sita na hakukariri darasa. Kama alianza 1981 ina maana alianza na miaka 7 kuna gap ya mwaka mmoja. Tuwe waangalifu kwa sababu hii ni kumbukumbu na haitoweza kuwa altered kote inakopita hasa kwa mtu mwenye matazamio.
Kwa dhati familia zetu hasa mabibi zetu to date ambao wapo hai, tumesomeshwa na kuendesha maisha yetu kwa biashara ya pombe. Millard hayo umekuwa ukitizama pemben kwa muda kidogo. Mhe we ni kiongozi na una inspire watu wengi
Hapo Makamba....??? baba yako alikuwa mtumishi .kada mzoefu wa chama ndio maana umekwenda kihivyo. angekuwa mvuja jasho.......asingeyaweza hayo....acha tuu mshukuru Mungu...si vibaya ukaa kimya. nafikiri wakati huu ni wakati sasa mwingine .zamu ya wengine kwa hawamu hii.
HAYA MAJIBIZANO NI HAMASA YA KIPEKEE KWA VIJANA, MH JANUARY MAKAMBA NI MFANO WA KUIGWA NA KILA MMOJA WETU. HAKIKA NI HAZINA KUBWA YA UONGOZI KWA TAIFA LETU. MUNGU AKUSIMAMIE KATIKA SAFARI HII.
Kiswahili zaidi
Jamaa ni mkweli sanananana
Bibi alikua muuza gongo na yote yanayohusu
Barikiwa sana mkuu
January kumbe maisha unayajua sana.aise mtu asiyekujua hawezi amini.Umeishi maisha yote,hongera sana mh.Tuna cha kujifunza toka kwako.
Big up Muheshimiwa unafaa
kuongoza kwangu sababu kubwa unaijuwa nchi yako vizuri na unajuwa matatizo yetu Watanzania vizuri. All the best
Kumbe % kubwa ya Watz maisha hayatofautiani sana. Cha ajabu wengine wanapopata madaraka husahau walikotoka. Wangekumbuka tulikotoa Tz ingekuwa mbali sana. Hongera J Makamba.
Unatisha sana Brother Makamba!Sala za Makasisi uliowatizama miaka miwili zitakulinda Daima milele na milele.Amina
Umeni toa machozi maisha yako kama yangu ila mi si kupata bahat ya kusoma ata dalasa moja mama alikufa nikiwa mtoto sana baba nae akuwa na ela ata mia kwaiyo sikupelekawa shule kabisa bwana mungu uwalisha ndege wakati awalimi wala awana gala lakini uwalisha kwetu kamachum bukoba kagera sija wai kumwombea MTU kitu na asikifanikiwe ivo kaka j kuna2 mungu ata kitenda kizuli sana tuwe pamoja katika maombi ukija kulala shukulu na ukiamka omba maombi mafupi
Father alikuwa na kipato lkn hujataja mahala alipofadhili chochote kitu ukiwa chuo, siasa nzuri sana
Aisee umetoka mbali kaka usikatae tamaa zote zinazotokea ktk maisha nichangamoto ila mm naamini utafika mbali sana sababu unafaham maisha halisi ya mtanzania
Hongera kwa ufafanuzi mzuri bro ,hata ule utata wa jina Bashite ulikuwa unatakiwa uwe wa wazi kama huu.
Hongera sana mr January Makamba.mengi.umeyapitia uongozi.hakika unaouzoefu
OK brother nimekusoma
Aisee Comrade January, umenikumbusha mbali sana maisha ya miaka 80, kusubiri mgao wa sukari na chumvi, kuuza pombe , kuchunga etc. Very interesting history. Muhimu umefanikiwa kumwenzi baba yako Mzee Yusufu Makamba.
Historia ya Maisha yako inafundisha ,Hamasisha,Leta funzo ... Leo nimekufutilia wewe na baba yako na Mzee wetu mzee Makamba. Kwa hakika nimejifunza Mengi Sana.
Mara zote huyu Mh. January ninamkubali sana japo mimi si wa chama chake. Nadhani amepata baraka kwa Mungu kupitia kuwahudumia wazee na wakimbizi kwa moyo wote. Utafika mbsli sana Mtanzania mwenzangu. God bless you.
Hongera sana king'ang'anizi!... hata biblia inatufundisha kung'ang'ania! tazama Yakobo alimganda malaika kulipokaribia kukucha hadi akambariki! SURE NEVER GIVE UP!!!..
Baada ya kusikia mwenywe historia ya maisha yako ya changamoto na moyo wako wa kujitolea kusaidia wenye shida kubwa ambao ni wakimbizi, nakubariki kwa kazi y'ako mpya uliyopewa na mheshimiwa raisi mama Samia hivi majuzi. Moyo wako usijje badilika na kurudi nyuma.
Nilifikiri amekulia pizza na baga kumbe ni mtu aliekulia maisha ya kawaida big up brother Makamba
Emmanuel huyo mbona hajasema kama kasomea morogoro pia muulize musiba atakupa data zake zote
Safi uko vizuri
Very inspirational, Big Up
Mr.January Makamba, fantastic story, nmefurahi sana story ya akafanta. Kaka, you are a real Tanzanian
Very good inspiring story never give up.men and women life is about fighting infact.ever one of us do meet the same life .Now mr makamva should prepare himself for .a ledership.position of high position in the next coming years ahead as he know the real day yo day life of common citizen
Historia nzuri sana yenye mafunzo
January,you life story is very interesting. But keep quite now.
Big up mzee makamba katuretea msomi bumbuli mahezanguru oyeeee
ruclips.net/video/gQHGced56RU/видео.htmlsi=U_dFrE0x54eLjRuJ
ubarikiwe sana kwa kuwatunza wazee Mungu akubariki jmm January! uwe na maisha marefu sana kaka!
Safi sana,Kwa kweli unastahili kuwa zaidi na vivyo ulivyo saidiwa nawe saidia wahitaji waloko shule/vyuo wasio na uhakika wa Ada na meals
Sure God will reward you for that service to the old religious monks
Historia nzuri ya maisha yako kiongozi wetu,haina kona kona kabisa.Unastahili kabisa kuwa kiongozi ktk nchi yetu.
I SALUTE TO YOU.
Safi sana
Big up brother
ruclips.net/video/gQHGced56RU/видео.htmlsi=U_dFrE0x54eLjRuJ
Uko vzr
Mashaallah una historia ya ujasiri mkubwa na mimi nlikuwa nasikia makamba lakini nitafauti nlivokuwa nafikiria kwani nilijua ni mzee lakini mashaallah kijana nasaha yangu ningekushauri ubadilishe dini toka ukristo kwenda uislam nakuhakikishia utaipamba vizuri zaidi historia yako
Acha ukabila wewe ndiye ubadili
kwani ni mkristo huyu si Islamic?
your back ground has given you a strong understanding ya maisha, safi na pongezi kwa kuyapitia hayo yote! Mungu mwema.
Historia nzuri sana ya mh January Makamba Kwa sehemu zote alizozitaja bahati nzuri ninazijua ni sehemu zenye changamoto nyingi ila mh kapambana mpaka kufikia mafaniokio siyo kitu kidogo Hongera sana mh waziri
Upole wako ndio kulikutoa kiti chako next time kua mkali mzee kazini.
Ok ... Bila ya hizi interview unaweza kumdharau mtu SALUTE TO U ...
Dah story nzr sana mkuu, hakika unastahili pongezi
Great January Makamba nmefurai kusikia historia yako hakika maisha ni historia na udhubutu. God bless
ruclips.net/video/gQHGced56RU/видео.htmlsi=U_dFrE0x54eLjRuJ
Mungu amrehemu Mzee Mkapa kwa busara na upeo.
Good story mkuu
safi sana stori hii imenikumbusha mbali sana
MUNGU NI MWEMA, JANUARI MAKAMBA AMEUZA GONGO NA BIBI YAKE, LEO HII NI WAZIRI. DAAH, MUNGU NI MWEMA
Elifuraha Stanley duh we have something in common hata sisi tulipelekwa kwa bibi kilosa kweli Mungu ni mwema
Nimefurahi sana umenikumbusha nyumbani hongera sana ndo maana unabusara sana barikiwa sana
GOD is great.Cha muhimu maishani,ni mtu asikate tamaa haraka maishani.Moral lesson,it pays to be stubborn/pushy in life.Asante sana for sharing this inspiring story.
ndio mheshimiwe... nina imanı kwa hayo uliopitia... utawatumikia wananchi vizuri..
Masha Allah historia yako inasktsha sana na inavutia .Allah atakuongoza
amazing life story of lovely inspiring man. you have a lot to educate others. thanks for sharing
Yani nimekupenda mwanangu Mungu ahendelee kukutunza mpaka katanga unakakukumbuka
Mh hongera sana nimekukubali, mimi nilienda shule bila viatu nilisoma kwa kilimo cha tumbaku
Nice bro.... Youth we should patient for any snake way we pass through. Thanks
Umejifunza maisha ya Bk kweli nimecheka sana sana
dah.. safi sana broo nimeipenda history yako
Du umenikumbusha mbali sana!!maisha yangu kijijini
Tunaomba iendelee part 2
Inspiring indeed.
Good ! Congrats
Nimeipendaaaa, umehasooo
am so inspired by the story ,so motivated
Wooow hongera sana
Mzee makamba amefanya kazi na wajomba zangu na baba yangu singida
Kaanza kazi na miaka 20? Rudi nyuma JKT mwaka mmoja, kidato cha tano na sita miaka miwili, kidato cha kwanza hadi cha nne miaka minne, miaka saba ya shule ya msingi jumla miaka minne. Tufanye alianza darasa la kwanza na miaka sita na hakukariri darasa. Kama alianza 1981 ina maana alianza na miaka 7 kuna gap ya mwaka mmoja. Tuwe waangalifu kwa sababu hii ni kumbukumbu na haitoweza kuwa altered kote inakopita hasa kwa mtu mwenye matazamio.
nimejikuta namfollow@january makamba!! umeni inspire bro.
😂😂😂😂 gongo na ulanz navikumbukaa sanaa mpwpwaaaa😅😅😅
Mirad hongera Kwa kani nzuri. Asante Kwa kindi cha kumketa January big up. Nimeyapenda mazungumzo yetu
Sio Miradi ni Milard
Daah hongera sana bro
Singida ina historia ndefu kwa viongozi na watu wengi maarufu.
That is good story
vizuri sana mheshimiwa januari
Mashaaalah
Uko vizuri brother
Dah inasisimua sana lkn imekujenga kuwa kiongoz mwenye nidhamu..!!!
Pia Mkapa Mungu amjalie afya njema
Karibu mbelei wananchi wanakusubiri
Nakuelewa sana brother makamba unajua nini unafanya
Kwa dhati familia zetu hasa mabibi zetu to date ambao wapo hai, tumesomeshwa na kuendesha maisha yetu kwa biashara ya pombe. Millard hayo umekuwa ukitizama pemben kwa muda kidogo. Mhe we ni kiongozi na una inspire watu wengi
Ackland Michael
Very interesting story brother. God bless your futute inshaallah
HONGERA SANA MH HISTORIA YA KUSISIMUA MUNGU AZIDI KUTUBARIKI NIMEJIFUNZA VINGI HAPO .MILARD AYO HONGERA
Historia nzur sana mh January makamba
Mungu manaweza ,,,,,,,
Millard Ayo uko juu si kama hao wanaotumaliziaga bundle na vi habari vyao vya kizushi
hongera sana mh january makamba kumbe ulitugawia chakula kambini safi sana wakati huo nilikua na miaka 8
Samuel M'mass
Skwa nakufaham january lakini leo nimekufaham hongera sana
kama umesikia eeeeee nyingi like
Quite interesting. Mungu akuimarishe, akuongoze katika Njia yako
Hapo Makamba....??? baba yako alikuwa mtumishi .kada mzoefu wa chama ndio maana umekwenda kihivyo.
angekuwa mvuja jasho.......asingeyaweza hayo....acha tuu mshukuru Mungu...si vibaya ukaa kimya.
nafikiri wakati huu ni wakati sasa mwingine .zamu ya wengine kwa hawamu hii.
Stori nzuri lushoto oyeee
Big up
Makamba jembe sn hongera bro
Interesting multifaceted experience; expectedly has cultivated you into a person with multifaceted approaches to cope with challenges
Keep it up❤
Umehasoo broo
Hahahahaa... Lesson to me!
Nakupenda makamba
🎉
Safi sana
nimeipenda historia yako broo
Daymondi
huyu kaka mstarabu sana yani hata ongea yake ni nzuri sana mungu akulinde kila pande broo
Huyu gaidi🙄
gooooooo story
Mhm!!
Wewe ulisoma kitajiri sisi tulisoma bila viatu, lubisi gongo pombe zilitusomesha.
January hongera. hata mtoto uliemzaa sikumoja anaweza akakukataa baba yake. kwaiyo hongera kwa ukomavu wa siasa. hii ndio demokursia ya nchi yetu
Ni mfano mwema kwa vijana wengi sana nchini
daaaah kumb ulisoma HGE nakubali sanaaa NIPE LIKE ZAKO UTAYEISOMA COMMENT HII
Mashallah hongera januwari umetoka mbali
Makaba nimekukubari siwegine abao wamejaa matusi viywanimwao natamani kuoba naww karibu bukoba nikuguse nipoke kama iyo ekima.
BG up kwake bt alikua na hope coz njia ilkua imefyekwa tayali. Wengine wamekwama coz hakuna wa kuwasafishia njia....!!
HAYA MAJIBIZANO NI HAMASA YA KIPEKEE KWA VIJANA, MH JANUARY MAKAMBA NI MFANO WA KUIGWA NA KILA MMOJA WETU. HAKIKA NI HAZINA KUBWA YA UONGOZI KWA TAIFA LETU. MUNGU AKUSIMAMIE KATIKA SAFARI HII.
This is my next President 2025
Sifuti comment ili ikifika mpate ushahidi....
Thubutuuu!!! Akiwa Prezda Ntakunya Mavi Mafungu Mafungu Kuanzia Dar Mpaka Moro
good bro
Umetusaidia kumjua kwa sehemu Mhesh January. Endelea kutujuza. Mwishowe umuulize kuhusu kichwa kukosa nywele.
Siyo kweri
jmn ..galanos boiz keep it up