KIKAO: JANUARY MAKAMBA USO KWA USO NA SALIM KIKEKE/ MASWALI MAGUMU NA MAZITO | KASRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 136

  • @MohamedHarithi
    @MohamedHarithi 3 месяца назад +27

    Kiukweli sisi ni vijana but hatupend kufatilia vitu muhimu ila bro kikeke #ali kiba mnafaaa kasli bonge la kipindi na hiii ipeleken azam nahisi hiii itakua ni mmoja kti ya vipindi bora ndan ya tz ❤❤❤❤🎉

    • @elisharaphael8680
      @elisharaphael8680 3 месяца назад +1

      Na ndio maana tunabaki kulalamika tu mitandaoni lakini kujitokeza hadharani hatuwezi, hatusikili na hatutaki kujifunza tukafahamu vitu kwa undani

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork 3 месяца назад +7

    Kipindi kizuri sana hongera my brother Kikeke... Tunajifunza mengi wafuatiliaji! Tupe madini - Ezden J.

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 Месяц назад +1

      Asante sana my brother from another mother

  • @nicholausluvanda1502
    @nicholausluvanda1502 3 месяца назад +2

    Hongera sana Salim Kikeke, umekuja ku-revolutionize mindsets zetu vijana watanzania kufatilia masuala yenye umuhimu na tija kwa taifa letu. Hii itasaidia sana vijana kufatilia masuala ya uchumi, kuji-engage kwenye shughuli za uzalishaji na uchumi kwa ukubwa wake, badala ya ku-focus na masuala ya michezo na entertainments, ingawaje ni mazuri kwa burudani, lakini ni muhimu yakafwata kwa kiasi na wakati maalum, na sio kuwa center ya narratives zetu mainstreams. Kongole !

  • @nabaodesigner9449
    @nabaodesigner9449 3 месяца назад +6

    Salimu Kikeke nina kukubali sana, na maojiano yako na mueshimiwa waziri umenikosha sana. Nina amini uta boresha Crown 👑 media. Nina kufatiliya toka USA 🇺🇸 Atlanta Georgia

    • @King_Kalinga_Tz
      @King_Kalinga_Tz 3 месяца назад

      Njoo na kwangu ucheke mkuu...usisahau KUSUBSCRIBE

  • @JamalyzoMilanzi
    @JamalyzoMilanzi 3 месяца назад +13

    Kazi njema sana mnafanya vyema sana crown media 👑 hapo ni nyumbani

  • @MohamedHarithi
    @MohamedHarithi 3 месяца назад +8

    For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz 3 месяца назад +1

    Crown ❤

  • @IsraelSamberu
    @IsraelSamberu 3 месяца назад +2

    Nyie ngozi nyeusi mmezidi kusafiri, na hatuoni faida yeyote zaidi kuuza bandari, ww makamba ungependeza zaidi kama utaachia hiyo nagasi uliyo nayo umekula kwa mda mrefu inatosha tuwape nafasi watu wengine. My brother kikeke huyo hawezi kupingana na mama samia. Unajaribu kumtwanga maswali magumu sana bigup

  • @ndayizeyecharles1024
    @ndayizeyecharles1024 3 месяца назад +1

    ❤ great

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад +2

    thank you Salim for this great Interview..but the interviewee seem to give general responses, he isnt finishing them so as to get exactly what the common w/nchi wants to know..he tried though but we would appreciate antoher inteview with him. one mor thing Salim, would you mind checking out the roundtable ya Ruto na Journalist as well as the X Space between him and the Gen Zs of Kenya? these are very keen and critical ideas laid down by their President that he has been working on for sometime. it will help u while interviewing our head of state one day or even key leaders in our govt sir..thanks again

  • @alihussein4303
    @alihussein4303 3 месяца назад

    Big Up Crown,Big Up Tanzania ✊🏿

  • @zingahassan5851
    @zingahassan5851 3 месяца назад

    Good program from Salim kikeke#kASRI...Big up for the cameras..4K.. mashallah #crown media...🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @honestthomas1549
    @honestthomas1549 3 месяца назад +12

    Kikeke umeuliza swali la kibingwa sana... Matajiri wanataka nn kwetu

  • @irenesimalike3962
    @irenesimalike3962 Месяц назад

    Nakushukuru Mh Makamba kwa juhudi kubwa ya kuleta hiyo sera. Natumaini waziri wa sasa atafuatilia utekelezaji wake.

  • @ommydec2887
    @ommydec2887 3 месяца назад +1

    Super🔥🔥🔥

  • @ArshavinSungura
    @ArshavinSungura 2 месяца назад

    Wow kikeke🎉🎉🎉

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 3 месяца назад

    Honger salimu San

  • @mohamednabahan9031
    @mohamednabahan9031 3 месяца назад +2

    Kazi nzuri sana inavutia kufatilia habari zenu hongereni sana

  • @maridadifarid9734
    @maridadifarid9734 Месяц назад +1

    Makama anamapungufu yake kama mtumishi ila mtu mmoja muhimu sana. Anajua na anaweza.

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 9 дней назад

      Mapungufu Gani? Kuna mengine tunajazwa na Watu tu kwa Chuki Binafsi

  • @samraper1274
    @samraper1274 3 месяца назад

    Safi sana kazi nzuri nimependa mahojiano

  • @mjukuuthebrand
    @mjukuuthebrand 3 месяца назад

    Safi sana

  • @viootanzania9080
    @viootanzania9080 3 месяца назад

    Mwenzi mungu awape hitaji lenu crown media inshaahllah by yusuf kutoka dodoma

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 3 месяца назад +1

    Crown niya moto wazee

  • @elvinl1029
    @elvinl1029 3 месяца назад +2

    Good saana

  • @halfanihamadi3683
    @halfanihamadi3683 3 месяца назад

    Nzuri sana

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 3 месяца назад

    Hii Tv Itafika mbari sana Pongezi kwa Kiba Kikeke Wajina Mtu sahii Drc kwetu

  • @zuwenarajab6675
    @zuwenarajab6675 3 месяца назад

    Masha Allah tabarakallah! Kipindi kizuri sana Salim. Nakumbuka kipindi chako cha "kisa na mkasa na Salim Kikeke"

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 3 месяца назад

    Crown kazi zuri sn❤❤

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 3 месяца назад

  • @JOSEPHMWASHIUYA-h2o
    @JOSEPHMWASHIUYA-h2o 3 месяца назад +1

    Super brand

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 3 месяца назад +5

    Kikeke naomba ujaribu kumtafuta boss TCRA atueleze kwanini makampuni ya simu yanatuibia na wao wamenyamaza tu unaweka vocha hujaitumia ikipta saa 24 imeisha hii manake nini na wao wapo kimya tu mtafute kaka mambo kibao tu nimeona hata uvivu kuandika

    • @juniormsumari6036
      @juniormsumari6036 2 месяца назад

      Hiyo changamoto yako ni rahisi kujibiwa, utaelezwa tu kuwa unapotaka kununua bando huwa kuna maelezo yapo pale kwamba bando hili litaexpire ndani ya saa 24, siku 7, siku 30 n.k ss unaponunua alaf hutumii then likiisha ulalamike hapo utakuwa haupo sahihi ndio maana wakaweka na huduma ya kifurushi cha halichachi ambacho ni mahususi kwa watu wa aina kama yako. But ili kujenga hoja ni vzr ungeshauri labda katika maboresho ikiwemo kuongeza dakika au Mb kwenye kifurushi cha halichachi, na tatizo lingine ni kujua kwanini sasa hv Mb's zinalika sana tofauti na awali? Tukiweza kupata majibu ya haya maswali ndipo mjadala wetu unaweza ukaanzia hapo, kwamba tufanyeje sasa ili kuweza kuboresha huduma za mitandao yetu ya simu.

    • @ProsperReuben-fg6uh
      @ProsperReuben-fg6uh 8 дней назад

      Wanakiburi na madharau mno

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 3 месяца назад

    Kazi nzuri sn

  • @AhmedAhmed-z6m7t
    @AhmedAhmed-z6m7t 3 месяца назад

    Safi sana hapo kwenye Diaspora mmeupiga Mwingi

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад +6

    Uwekezaji wa Makamba ni bomu. Huyu jamaa hana record nzuri. Serikali ina recycle watu wale wale wakati tuna vijana welevu na uwezo wa kuleta maendeleo makubwa. Shida hawajulikani. Hawana wazazi waliokuwa kwenye system

  • @mohamednabahan9031
    @mohamednabahan9031 3 месяца назад

    Kanzi nzuri sana

  • @abuuahmad623
    @abuuahmad623 3 месяца назад +3

    Niseme kuwa inaonekana hizi elimu za miradi ya viongozi kusafiri na kuitafutia nchi watanza nia hawana na wala viongozi hawaambi watanzania

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 3 месяца назад +2

    Welldone kikeke kwa maswali mazuri, na je kwani lazima rais asafiri kila mara na msururu wa watu, kazi ya balozi ni nini.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 месяца назад +2

    👊✌️👍.

  • @LauMagwaja
    @LauMagwaja 3 месяца назад

    Saf sana kiba na bro kikeke kipnd kizur

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 3 месяца назад

    Mahojiano hadi Raha ❤❤😊😊

  • @REMMY962
    @REMMY962 3 месяца назад +1

    Maswali yalikuwa sawa na muhimu ila JANUARY MAKAMBA alijibu kwa juu juu tu, hilo ni changa la macho, kumekosekana maswali ya kukaza supana. huu ushilikiano na nchi za magharibi uta cost Tanzania vitu vikubwa ambae hamtokuja kusahau yani subiri mda kidogo mtaanza kuona madhara yake.

  • @muddyChela-vc3kw
    @muddyChela-vc3kw 3 месяца назад

    Umu 2 kwa👑👑👑 ni nyumbani

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 3 месяца назад

    Kuhusu hadhi maalum ni jambo zuri sana

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 3 месяца назад

    Tz vibari changamoto wanazungusha sana

  • @OkoaAfrika
    @OkoaAfrika 3 месяца назад

    Hapa safi nitakuwa na nyinyi mpaka mwisho.

  • @JOHNINSURANCE
    @JOHNINSURANCE 3 месяца назад +1

    Hizi habar safi kabsa kusklza sio vyombo vngne makelelekelele meeengi kwakwel yani.

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 3 месяца назад +1

    Yani nimeanza kusikiliza leo nimeanza na naibu waziri mkuu na hii kwakweli njia hii mliyo ishika iwehivi hivi

  • @SilimaUssi
    @SilimaUssi 3 месяца назад

    Zanzibar,Malawi na Tanganyika

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 месяца назад

    Hapa ni home

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 месяца назад +2

    Kazi nzuri saaana Mhe January Makamba

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 3 месяца назад

    Kwa swala la wana diasporas hapo mh makamba umefanya vizuri.
    Manake hapo zamani wanadiasbora kutwa kutishiwa na kuwa hawawezi kumiliki ardhi...

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 3 месяца назад

    Regardless of whatever people say, I always say this man deserves to be a president and infact i wish CCM can make this decision in 2025 before it’s too late. Scrap that Samia off our faces please

  • @erickmakundi9760
    @erickmakundi9760 2 месяца назад

    Lkn kwann alitumbuliwa?

  • @hussein_mbonye
    @hussein_mbonye 2 месяца назад

    LEO OSCAR UKO VIZURI SANA.... UNAULIZA MASWALI MUHIMU SANA. BORA YULE CHAWA HAYUPO ANGEHARIBU INTERVIEW

  • @user-sr9js6rj5v
    @user-sr9js6rj5v 3 месяца назад +2

    Semeni ukweli lini vitatolewa hivyo hadhi maalum, sasa ni miaka kadhaa tunasikia na kuambiwa kesho kesho na huu mwaka unaisha pia. Ni lini???

  • @wamburawambura1968
    @wamburawambura1968 3 месяца назад

    🤔

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 3 месяца назад

    Kikeke uko vizuri sana, kinachosikitisha nikuwa bajeti ya ofisi ya Rais ni siri, wakati hapo kenya kila safari ya rais vyombo vya habari vinapewa gharama zilizotumika.

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 3 месяца назад +1

    Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa

  • @SawayaNm
    @SawayaNm 2 месяца назад

    I definitely don’t understand Kiswahili anymore! What is Sera? I call TZ Embassy in NY and nime uliza is true I don’t need a visa anymore since I was born in TZ and I am US citizen now! Wame sema BIG NO! Makamba was my school mate in Forest Hill! I am shocked with this misinformation! This is considered very misinformation in Media! No wonder why he lost his post as Foreign Minister! 😳😢😮😅

  • @danielmgalla558
    @danielmgalla558 3 месяца назад

    Nadhan muoneshe full picha za discussion itapendeza zaidi

  • @athumanhusen6008
    @athumanhusen6008 3 месяца назад

    Makamba ni mwizi

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 3 месяца назад +1

    Asante kikeke umekuja tufungua akili mkuu

  • @MussaAlly-t6m
    @MussaAlly-t6m 3 месяца назад +1

    Mh hii aiko sawa tuwe makini sana watu ambao sio watanzania

  • @loyalmediatz
    @loyalmediatz 3 месяца назад

    Hii ni interview bora kati ya zote ulizowah kufanya katika siku za hivi karibuni, tafadhal naomba uione comment hii #kikeke

  • @harunking5418
    @harunking5418 27 дней назад

    Mbona anatoa alama(points) za historia 😂

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 3 месяца назад

    Mlete Lissu Hapo

  • @KeloRichard
    @KeloRichard 3 месяца назад

    Kazi ngumu akiwezi ,bwawa la nyerere alishindwa,alisema mwezi wa sita ,kaja musukuma mwezi wa pili tu kitu teyari, uyo kazi laini na maneno mengi ,si tunataka vitendo

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 3 месяца назад +1

    Mmewatambua hadhi kivipi wanadayasbora...

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 3 месяца назад

    Nimempenda salimu ulipomgomea Mzee alipotaka kusema kuwa kwamba wao ndo wamefanya pato liongezeke from diaspora baada ya kuanza hatua wakati hizo uwekezaji ulikuwa uleule

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 3 месяца назад

    Inchi ngumu sana hii.

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 3 месяца назад

    Waziri anajibu vzr katuria bila kupaniki kweli kakomaa mkuu

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 3 месяца назад +1

    this guy ni kiongozi kudos

  • @MussaAlly-t6m
    @MussaAlly-t6m 3 месяца назад

    Wahindi wapo wengi Dunia

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 3 месяца назад +1

    Musaada WA nini

  • @abuuanwar0076
    @abuuanwar0076 3 месяца назад +1

    Mbona wawekezaji wanakuja kufanya biashara za kawaida sana, hamuoni mnaongeza ushindani kwa watanzania?

  • @MrOnii255
    @MrOnii255 3 месяца назад +1

    izi camera jaman aiiiiih

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 3 месяца назад +1

    Mh.Tueleze Wazi Tumejiandaa Vipi Na Hawa Mnaowathamini Sana Wawekezaji Tunanufaika Na Nini Hasa???Mfano Uliopo Wazi Ni Rasilimali Tulizo Nazo,Mh.Huoni Tunawapa Wao Zaidi Kuja Kama Wawekezaji???Tungewaajiri Tunapata Zaidi.Fikiria Hili!!!!

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 3 месяца назад

      Hajiamini kama sisi wenyewe twaweza. Kwanza wangetoa hati milkiki kwa watanzania wote nchini. Wakawekeza kwa watanzania wenyewe. Huwezi kutulinganisha na uwingi wa India na wengi wahindi hawana nchi. Sisi tunayo.

  • @hajiseleman6632
    @hajiseleman6632 3 месяца назад +3

    @kikeke punguza spana hizo

    • @King_Kalinga_Tz
      @King_Kalinga_Tz 3 месяца назад

      😂😂
      Za kichwaaaa
      Njoo na kwangu ucheke mkuu

  • @JackJack-oi2io
    @JackJack-oi2io 3 месяца назад +1

    We kikeke😂 napenda maswal yko yapo kwetu laiay

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 3 месяца назад

    Nina washukuru yote wa heshimiwa kwa kutufahamisha mambo mazuri ya maendeleo.

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King 3 месяца назад

    Rais ajaye

  • @Ba63828
    @Ba63828 3 месяца назад +1

    Rushwa inachafua jitihada za serikali

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 3 месяца назад

    Salim hiyo hadhi maalum ni kwamba imeshaanza tayari mbona hujambana hapo aweke tangazo rasmi kwenye port of entry zote watu wasisumbuliwe

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 3 месяца назад +1

    Vijana wasio ona mbali ndio wanaoona kikeke anauliza vitu mhimu hapo utana vichwa vidogo visivyo ona mbali wapo tu

    • @HanafiRamadhani-vf4de
      @HanafiRamadhani-vf4de 3 месяца назад

      ina wezekana unacho sema kiko sawa tunaomba utuelimishe kwanini hayuko sawa

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 3 месяца назад

    Kikeke toa ndevu upo kama mapung'o?

  • @sf2tv
    @sf2tv 2 месяца назад

    Koti la kuazima

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 2 месяца назад

    Anaongea kama sio kiongozi aiseh

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 3 месяца назад +1

    Makamba,Ni Kwa nini watalamu wetu hawaunganishi wafanya Biashala kutoka inchi zote za inje zijenge viwanda TZ ?

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 3 месяца назад +1

    Na kwanini tunategemea misaada na nchi ina utajiri mkubwa na je riba yake ni ngapi

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 3 месяца назад

      Mpe elimu huyo. Anajibu juu na haelewi haya mambo kinaganaga. Ni mpiga filimbi mzuri.

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 3 месяца назад

    Crown ni mabingwa sana

  • @Felister-d4r
    @Felister-d4r 3 месяца назад

    Kipindi ni kizuri maoni yangu
    Ungeongeza kamera nyingine moja ambayo itakua inawaonyesha wawili kwa pamoja.

  • @karthala6676
    @karthala6676 3 месяца назад

    Wapi kwenda kupata Hiyo card nikija Tanzania

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 3 месяца назад

    Hakika safari it's too much jaman MARAFIKI SI ata Kwa simu wanaweza kuwasiliana ?? Safari nyingi na zinatumia mabilion ya ela jaman it's too much kama mwalimu Nyerere aloanzisha ili TAIFA alitambea lakin akawa na muda wa kutulia KUJENGA nchi yake ,sisi tunaozurura Zaid Leo mmmmm hatukatai kutembea ila mmmmmm MWOGOPENI MUNGU maana ata huo uwekezaji bado wazawa hawanufaiki wanaishia kuwa MACHINGA na vibarua je inatufaisiha Nini NO

  • @irenesimalike3962
    @irenesimalike3962 Месяц назад

    Napongeza hiyo sera ya hati maalum lakini mbona hakuna utekelezaji wa hiyo sera?

  • @mrremote8113
    @mrremote8113 2 месяца назад

    Mbona anaongea vitu vile vile waliovyofanya wenzie anaulizwa vitu vya msingi anajibu utumbo tu hiyo wizara haifai kabisa zaidi anajitengenezea njia ya kushibisha tumbo lake

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 3 месяца назад

    Hujamaha akili yake yote hatakuwa raisi wa tanzania

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp 3 месяца назад

    January katupiga changa la macho kama kusafir sana Kwa rais ndio kuleta maendeleo ya nchi basi kipindi Cha kikwete tungekua tulishatoka kwenye kundi la nchi maskn Magufuli ambaye alikua hasafir Kwa mda mfup tukaingia kwenye nch za uchumi wa kati kwaiyo msione wananchi punguan sana mama apunguze kudhurula uko nje mabaloz wafanye Kaz Yao

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 3 месяца назад +1

    HIKI KIJAMAAA KIJANUARI HUWA SIKIEREWI KIONGO SANAA KINASIFIA UJINGA RAIS ANASAFIRI OVYOO

  • @harunking5418
    @harunking5418 27 дней назад

    Kazi ya mwanadiplomasia na balozi wanafanya kazi gani? Sawa india wameadjust ununuzi wao wa mbaazi je wanapata nn kwenu? Ume adjust nini?

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 3 месяца назад

    Baloz anafanya nini kuongelea mbaazi kuluko rais aende kuongelea mbaaz