EXCLUSIVE: JAKAYA KIKWETE / MAISHA Baada ya URAIS / BIASHARA BINAFSI / AFUNGUKA MENGI | GOOD MORNING

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июн 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 30

  • @nivesmapunda694
    @nivesmapunda694 7 дней назад +4

    Mmmmm mh.Rais mstaafu tunakukumbuka sana hasa sisi watumishi wa umma. Mungu akujalie maisha marefu!

  • @ramadhanijuma4130
    @ramadhanijuma4130 7 дней назад +3

    Safi sana interview inamafunzo mazuri

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 6 дней назад

    Jakaya ..always happier
    May Lord bless you mzee

  • @jumambaga7825
    @jumambaga7825 3 дня назад

    Big brain kikwete huyu mzee anamafira mapana sana busara na hekma mungu ampe maisha marefu🤝🔥👍🏾

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 дня назад

    mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 7 дней назад +2

    Hongera sana wa SA Fi Kwa interview yenye akili,💪💪💪

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 5 дней назад

      Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 5 дней назад +1

      @@user-fr7jj1bo7y Sasa wewe ulikuwa wapi nawe si ungeba😲

  • @RogersMasamalo
    @RogersMasamalo 20 часов назад

    Watanzania hata ufanye kazi vp mazuri hawayaoni..mimi ni Kati ya watu ambao nilipenda kazi na uongozi na mabadiliko sekta ya biashara ya mitandao.

  • @yohanamaiga3031
    @yohanamaiga3031 7 дней назад +2

    Asante sana Rais Mstaafu Kikwete.

  • @RogersMasamalo
    @RogersMasamalo 20 часов назад

    Watanzania hata ufanye mazuri vipi,wanaangalia mabaya tu Mungu anawaona jamani.

  • @jumambaga7825
    @jumambaga7825 3 дня назад

    Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾

  • @ndonjelaurent3182
    @ndonjelaurent3182 7 дней назад +3

    Mh Jakaya Mrisho Kikwete una akili kubwa sana

  • @shadrackmijjinga9793
    @shadrackmijjinga9793 4 дня назад

    Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y 5 дней назад +1

    Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona

  • @jofreykivambe6520
    @jofreykivambe6520 5 дней назад +1

    JK mara ya mwisho tumeonana wakati wa maziko ya aliekuwa Waziri wa Fedha Mgimwa.....

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 2 дня назад

    Shati zuri nyie,dah

  • @More_Tv111
    @More_Tv111 4 дня назад

    Rais wetu mpendwa

  • @jofreykivambe6520
    @jofreykivambe6520 5 дней назад

    Anazeeka JK... usiseme hazeeki, anaazeeka mtu wetu

  • @phaustinemmao424
    @phaustinemmao424 7 дней назад +1

    Msoga

  • @bonintajiri3958
    @bonintajiri3958 5 дней назад

    Mungu akubariki kiozi wetu

  • @saidkajagale3716
    @saidkajagale3716 3 дня назад

    Tutunze afya ni mtaji

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 6 дней назад +1

    Rais akasema hawa watu siwawez kwl uongoz kaz wale wenye D mbili tumemuelew mzee wa Msoga inabid tujiffunze namna ya kupata viongozi wazalendo kwl kwl hasa wale wapenda maendeleo ya watu wa chini lkn sio viongoz kama hawa ambao nachukulia raisi raisi tu vitu vya muhim kwenye jamii nzima sio kwa maslahi ya wachache