ZUMARI: MNADHIMU MKUU MSTAAFU WA JWTZ - ABULRAHMAN SHIMBO - 30/08/2021
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)
Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka
Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo
Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia
Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB
Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa
Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.
Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝
Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.
Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri
Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.
Hakika inapendeza kusikiliza 🎉
Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏
HONGERA SANA
Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako
NI KWELI
Mzee mkarimu sana nilipata bahati ya kukutana naye akiwa baloz
MAJARIBU HAYOOOO
Uwiiiiii
Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.
MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA
Ahaaaaa
Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo
WACHAAA
JAMANI,JAMANIIII
Background sound ya nini
Kwenye mahojiano
NIKWELI KABISA
Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.
Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo
TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU
Maashallah kiboko
What an interview 🎉
❤❤❤❤
NIKAZI NGUMU SANA
HAWALALI JAMANI
TUWAOMBEE SANA
Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa
HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE
❤Amen
MUNGU MLINDE SANA
HAKUNA KULALA
DUUUUUH
POLENI SANA
mwamba huyo
HEEEEEEEE SAFI SANA
CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂
Nakukubari ruteni jenelali
KARAMAAAAA
Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.
HONGERENI
NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO
KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO
POKEA MAUA YAKOOOO
UAMINIFU
Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu
MLIWAKOMESHA
NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA
Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu
HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO
Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?
MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z
NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE
KUMBEEEE
BUSARA
NUNDU ZAKUTOSHA
MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA
KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA
UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA
Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje
Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea
Utumishi ulio tukuka mzee wetu
Amesahau kuwa alikua acaunt pale same pia kasomea Maore
scauti pale same
ruclips.net/video/cINtLySSFUU/видео.html
FANYA JEMA MOJA, UPATE DHAWABU KUMI.
NIKWELI KABISA
HONGERA SANA
DUUUUUH
POLENI SANA