ZUMARI: MNADHIMU MKUU MSTAAFU WA JWTZ - ABULRAHMAN SHIMBO - 30/08/2021

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 76

  • @williamdetkvant1313
    @williamdetkvant1313 3 года назад +13

    Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)

  • @yasameja2241
    @yasameja2241 3 месяца назад

    Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka
    Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo
    Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 2 года назад +2

    Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB

  • @stephenaxwessp7087
    @stephenaxwessp7087 8 месяцев назад +1

    Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa

  • @RamadhanAli
    @RamadhanAli 2 года назад +1

    Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 3 года назад +5

    Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 3 года назад +4

    Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 6 месяцев назад

    Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri

  • @jumannemlacha7429
    @jumannemlacha7429 2 года назад +4

    Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.

  • @rafoursamiol5244
    @rafoursamiol5244 2 месяца назад +1

    Hakika inapendeza kusikiliza 🎉

  • @thelixyn1315
    @thelixyn1315 3 года назад +3

    Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    HONGERA SANA

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +3

    Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    NI KWELI

  • @ZuhuraOmar-x5t
    @ZuhuraOmar-x5t 2 месяца назад

    Mzee mkarimu sana nilipata bahati ya kukutana naye akiwa baloz

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    MAJARIBU HAYOOOO

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    Uwiiiiii

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm 8 месяцев назад +1

    Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    Ahaaaaa

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 7 месяцев назад

    Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    WACHAAA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    JAMANI,JAMANIIII

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha5466 28 дней назад

    Background sound ya nini
    Kwenye mahojiano

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    NIKWELI KABISA

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi5020 6 месяцев назад

    Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.

  • @LeonardWilliamGenerali
    @LeonardWilliamGenerali 8 месяцев назад +1

    Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU

  • @h77-f8m
    @h77-f8m 7 месяцев назад

    Maashallah kiboko

  • @isackmgema7376
    @isackmgema7376 7 месяцев назад

    What an interview 🎉

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    NIKAZI NGUMU SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    HAWALALI JAMANI

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    TUWAOMBEE SANA

  • @abdulrahmanmwadini5925
    @abdulrahmanmwadini5925 2 года назад

    Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    ❤Amen

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    MUNGU MLINDE SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    HAKUNA KULALA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    DUUUUUH

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    POLENI SANA

  • @MkwizuMajidi
    @MkwizuMajidi Месяц назад

    mwamba huyo

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    HEEEEEEEE SAFI SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂

  • @mutahangarwasamwel4643
    @mutahangarwasamwel4643 3 года назад +2

    Nakukubari ruteni jenelali

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    KARAMAAAAA

  • @vanpzle6710
    @vanpzle6710 8 месяцев назад +1

    Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    HONGERENI

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    POKEA MAUA YAKOOOO

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    UAMINIFU

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +3

    Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    MLIWAKOMESHA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA

  • @jumamwanga6634
    @jumamwanga6634 8 месяцев назад +1

    Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 7 месяцев назад

    Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    KUMBEEEE

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    BUSARA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    NUNDU ZAKUTOSHA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA

  • @hazjay4671
    @hazjay4671 2 года назад +3

    Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 7 месяцев назад

      Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 3 года назад +1

    Utumishi ulio tukuka mzee wetu

  • @sheikhabdul-raufalmunaawiy3367
    @sheikhabdul-raufalmunaawiy3367 2 года назад

    ruclips.net/video/cINtLySSFUU/видео.html
    FANYA JEMA MOJA, UPATE DHAWABU KUMI.

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    NIKWELI KABISA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    HONGERA SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    DUUUUUH

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 3 месяца назад

    POLENI SANA