ZUMARI || Kamanda Abdallah W. Mssika mshindi wa tuzo ya nishani ya vita vya Kagera
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Amewahi kuwa mkuu wa Uhusiano kwa Umma Makao Makuu Dar es Salaam -Mstaafu
Amewahi pia kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera na Shinyanga
Ni miongoni mwa Makanda wa mwanzo kuanzisha Kanda Maalum ya Kipolisi Dar es Salaam.
Miongoni mwa washiriki wa vita ya Kagera na kutunukiwa nishani ya vita
-Akiwa RCO Kituo cha Polisi Osterbey ndie aliyeongoza polisi kuweka Ulinzi kwenye tukio la kulipuliwa Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam
Hongera Sana kamanda,nimekuwa much interested na history yako pamoja na udhoefu wako,Zaid Kwa kaz uliyofany mkoan kwangu Kagera na henzi hizo kumkamata mhaini WA nchi yetu.Well done.
Hongera sana Kamanda Mssika, history nzuri mno ya KAZI zako.
Mashallah alinisaidia sana shinyangaAllah amlipe.
Hongera saana kamanda Sheikh Abdalla msika kwa kuweza kustaafu vyema na kumaliza majukumu yako vyema kabisa ulik I wa mchapakazi mwenye weledi kabisa hongera saana nkuu
Kamanda mssika alikua Sio mtu wa kujiona. Alikua akifika Njia ya ng'ombe akitokea kwake Bucha.. Anawapa lift Watu Hana Makuu.. Naikumbuka discover yake nyekundu BSD na Mitsubishi colt yake.. Mama amuangalie ampe hata kitengo na Allah amjalie Afya njema kamanda
Be blessed Mzee wangu 🏹🙌
Namkumbuka mtoto wake Mohamed msika nimesoma nae o level
Respect sir ,and we'll trained officer,to the current officers pay visit to him for more advice, Afande sir.
Huyu Kamanda ni Mwalimu mzuri sana
Mtoto wa wazir hiyo watt wa mawazir mpoooo
kamanda msomi huyo,kumbe alipigana uganda paia hongera zake
Shukrani
Tunaiomba serikali yetu iwakumbuke watu kama hawa lamanda msika alikuwa ni mfano bora wa kuigwa hivyo tunaishauri serikali yetu iwakumbuke sana wakongwe wetu hawa walilitumika taifa letu hili kwa uweledi wa hali ya juu mno na izidi kuwatumia ili waweze kufanikisha mengi,huyu kamanda hana do na alikuwa hana ubabaishaji wowote
Kazi nzuri saana Babu yangu🇹🇿🥰😍🙌🤝
Kazizur
Kongole kwa utumishi bora
Daah, vyuma vimeondoka na vinazidi kuondoka, natamani kuona wanaobaki jeshini wawe conki km hawa wazee
Naiomba hii part 2 yake tafadhari
Jafari mponda