ZUMARI || Kamanda Abdallah W. Mssika mshindi wa tuzo ya nishani ya vita vya Kagera

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Amewahi kuwa mkuu wa Uhusiano kwa Umma Makao Makuu Dar es Salaam -Mstaafu
    Amewahi pia kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera na Shinyanga
    Ni miongoni mwa Makanda wa mwanzo kuanzisha Kanda Maalum ya Kipolisi Dar es Salaam.
    Miongoni mwa washiriki wa vita ya Kagera na kutunukiwa nishani ya vita
    -Akiwa RCO Kituo cha Polisi Osterbey ndie aliyeongoza polisi kuweka Ulinzi kwenye tukio la kulipuliwa Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam

Комментарии • 18

  • @Amoskyakajumba
    @Amoskyakajumba 3 месяца назад

    Hongera Sana kamanda,nimekuwa much interested na history yako pamoja na udhoefu wako,Zaid Kwa kaz uliyofany mkoan kwangu Kagera na henzi hizo kumkamata mhaini WA nchi yetu.Well done.

  • @getrudemadeko3703
    @getrudemadeko3703 7 месяцев назад +1

    Hongera sana Kamanda Mssika, history nzuri mno ya KAZI zako.

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 7 месяцев назад +2

    Mashallah alinisaidia sana shinyangaAllah amlipe.

  • @hajjsuleiman3317
    @hajjsuleiman3317 9 месяцев назад +2

    Hongera saana kamanda Sheikh Abdalla msika kwa kuweza kustaafu vyema na kumaliza majukumu yako vyema kabisa ulik I wa mchapakazi mwenye weledi kabisa hongera saana nkuu

    • @kudramunisi2370
      @kudramunisi2370 3 месяца назад

      Kamanda mssika alikua Sio mtu wa kujiona. Alikua akifika Njia ya ng'ombe akitokea kwake Bucha.. Anawapa lift Watu Hana Makuu.. Naikumbuka discover yake nyekundu BSD na Mitsubishi colt yake.. Mama amuangalie ampe hata kitengo na Allah amjalie Afya njema kamanda

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 7 месяцев назад

    Be blessed Mzee wangu 🏹🙌

  • @dicksonmoshi7480
    @dicksonmoshi7480 3 месяца назад +1

    Namkumbuka mtoto wake Mohamed msika nimesoma nae o level

  • @elvisbunde6454
    @elvisbunde6454 7 месяцев назад +1

    Respect sir ,and we'll trained officer,to the current officers pay visit to him for more advice, Afande sir.

  • @lamecklaurentius8936
    @lamecklaurentius8936 8 месяцев назад +1

    Huyu Kamanda ni Mwalimu mzuri sana

  • @jisrainomwa4015
    @jisrainomwa4015 4 месяца назад +2

    Mtoto wa wazir hiyo watt wa mawazir mpoooo

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 10 месяцев назад +1

    kamanda msomi huyo,kumbe alipigana uganda paia hongera zake

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Год назад

    Shukrani

  • @hajjsuleiman3317
    @hajjsuleiman3317 9 месяцев назад +3

    Tunaiomba serikali yetu iwakumbuke watu kama hawa lamanda msika alikuwa ni mfano bora wa kuigwa hivyo tunaishauri serikali yetu iwakumbuke sana wakongwe wetu hawa walilitumika taifa letu hili kwa uweledi wa hali ya juu mno na izidi kuwatumia ili waweze kufanikisha mengi,huyu kamanda hana do na alikuwa hana ubabaishaji wowote

    • @ShamimuAbasi
      @ShamimuAbasi 3 месяца назад

      Kazi nzuri saana Babu yangu🇹🇿🥰😍🙌🤝

  • @aziza9093
    @aziza9093 8 месяцев назад

    Kazizur

  • @johnhosea1321
    @johnhosea1321 7 месяцев назад

    Kongole kwa utumishi bora

  • @orgenesdigina
    @orgenesdigina 11 месяцев назад

    Daah, vyuma vimeondoka na vinazidi kuondoka, natamani kuona wanaobaki jeshini wawe conki km hawa wazee

  • @rashidimwambichi3340
    @rashidimwambichi3340 Год назад

    Naiomba hii part 2 yake tafadhari
    Jafari mponda