🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июн 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 257

  • @michaelmwandemange5093
    @michaelmwandemange5093 4 дня назад +28

    Kaaa kimya huna lolote zaidi ya ufisadi na kuwakandamiza watu wa chini

    • @hassanissah1177
      @hassanissah1177 2 дня назад +2

      Nenda shule acha kupiga kelele ,aya alisha ongea kikwete ubungo wakati azindua mwendo kasi mzee alikuwa ana vission kubwa na matunda yake ndo haya

    • @MarckAbubakary
      @MarckAbubakary 16 часов назад

      Acha kutuna viongozi waliopambania nchi ww hata Kijiji hujawai kukiongoza tumia hekima

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 5 дней назад +32

    Nyie na timu Msoga ndio mlipinga kila mradi ,Rufiji kwa sababu ya ufisadi wenu wa gesi Lindi na Mtwara ..!! Mwacheni JPM .Ndani ya miaka mitano amefanya kazi kubwa kuliko uliyofanya miaka 10

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 5 дней назад +2

      Hakuna binadamu aliyekamilika maana hata enzi za Jk ajira zilikuwa uhakika vp kipnd cha Jpm

    • @gosbertbuberwa6198
      @gosbertbuberwa6198 5 дней назад +6

      Kabisaaa! Jembe Magufuli Litabaki Kuwa Mioyoni Mwa Watanzania! Mpaka Sasa Tunamkumbuka!

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 5 дней назад +4

      ​@@Abuu-gs1yikuma ww umetumwa kjib kla sms??

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 4 дня назад +3

      ukichanganya na miaka 10 aliyokuwa waziri wa mambo ya nje.. ni miaka ishirini with nothing to show for... mademu tuu! na ndio maana tunaye mediocre anayeitwa Daktari Kilaza Samia (demu wake aliyetokana na mashangingi wa CCM!) .. Udaktari bila shule..??

    • @gosbertbuberwa6198
      @gosbertbuberwa6198 4 дня назад +3

      @@personpeter2221 Nahisi Analiwa Na Jamaa Maana Anamtetea Kinomaaa!

  • @MathiasMongo-jk9so
    @MathiasMongo-jk9so 4 дня назад +17

    Dr JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI we steel remember you forever

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 5 дней назад +36

    Hana jipya zaidi ya Kujitekenya Mwenyewe na kucheka mwenyewe

    • @BituroPaschalKazeri
      @BituroPaschalKazeri 5 дней назад +2

      Chuki zinakufanya uwe kipofu

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 5 дней назад +1

      ​@@BituroPaschalKazeri sio kweli

    • @benjaminjoseph1747
      @benjaminjoseph1747 5 дней назад +4

      Mzeee wa porojo. Meneno mengi matendo hakuna. Not without magufuli had we been where we are now.

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 5 дней назад +1

      true 👍👍👍😎😎😎

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 5 дней назад +3

      ​@@BituroPaschalKazerisio chuki huyu jamaa alitakiwa mpaka Sasa awe jela ameifilisi Sana nchi kwenye utawala wake

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 13 часов назад +1

    Physics yangu haitaenda bure naitumia vyema, naendelea kuichimba, MUNGU anipe umri mrefu kuna kitu nitaki'launch dunia niishangaze, keep this massage, MUNGU akinipa umri mrefu na afya njema basi nitakuwa raisi wa Tanzania

  • @aloycerocky
    @aloycerocky 5 дней назад +31

    Unasemaje ulimwachia Magu wakati mwenyewe umesema ham kuwa. na pesa acha Magu aitwe jembe daima

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 5 дней назад +20

    Ulimuachia!! Kwani mradi ulianza mwaka gani acha porojo

    • @samwelkavwanga4491
      @samwelkavwanga4491 5 дней назад

      Ujui chochote Kaa kimya

    • @ContentSmartphone-rq6po
      @ContentSmartphone-rq6po 5 дней назад

      @@samwelkavwanga4491 inja ww unamtetea msenge mwenzio kumamae zenu nyie ndo mmefanya nchi imeganda mkunduwako ww na msogawako

    • @ubunifulifestyle3492
      @ubunifulifestyle3492 4 дня назад

      Mbona mnahangaika kuzuia hisia za watu, kaeni kimya watu watoe yamoyoni mwao hamuwezi zuia hisia za watu, wote tulikuepo na tunaujua utawala wake na wa magu kaeni kimya kama mmetumwa wapiga dili nyinyi​@@samwelkavwanga4491

    • @ShinjeMackenzie
      @ShinjeMackenzie 4 дня назад

      @@samwelkavwanga4491 ww ndiye hujuwi kaa kimya ww

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 3 дня назад

      ​@@samwelkavwanga4491MMA yako anajuta kukuzaa kwenye juwa kali la saa 7 ona sasa hasara yake 🤣🤣🤣

  • @Adonkamotci
    @Adonkamotci 5 дней назад +22

    Ache una fiki uyo Mzee kao ngoza watu wame ona uyo sio kiongozi uyo Ni mwana siAsa kibaraka mkubwa wa mabeberu R l p Doctor jonih pombe magufuri 💞💞 mzalendo wa kweli 💞

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 5 дней назад +1

      Ni mtazamo wako

    • @Adonkamotci
      @Adonkamotci 5 дней назад +2

      @@Abuu-gs1yi sawa sku pingi Una macho Rakini Uwoni Nayote lyo kwa kuwa Umekosa Utu

    • @eliaspeter4017
      @eliaspeter4017 4 дня назад +1

      Lakini huyu huyu Mh Rais J K Kikwete ndiye aliye tuambia kuwa Magufuli anatosha, hakika alitosha, Mzee alifanya yake

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4p 5 дней назад +14

    Lakini Mh. zile hela za ESCROW zingetusaidia sana kwenye huu mradi wa SGR. Maana zile alizochukuwa Rugemalilila 30% ndo zinazungumziwa lakin 70% hazijulikani zilienda wapi. Lakin wewe ndo ulikuwa Rais. Tunaziomba mkuu samahani lakini.

  • @Afrikalove736
    @Afrikalove736 День назад +2

    Maguli utabaki miyoyoni mwetu maishani yetu hadi vizazi vitakiri wewe ni Jembe,hawa wengine ni porojo tu.

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 3 дня назад +5

    Ujenzi miundo mbinu na Taifa kwa ujumla mwachi JPM We ongelea mpira

  • @godfreyjulius5132
    @godfreyjulius5132 5 дней назад +17

    Mungu ikikupendeza naomba chukua na huyu mnafiki.

  • @veraisaria
    @veraisaria 5 дней назад +22

    Chuma jpm chuma cha pua yule nanyi mtakufa tu acheni unafki hapo mnataka kumpa sifa huyo mzee na kuhakikisha legacy ya jpm haipo mtakufa midomo wazi nyie😮😮

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 5 дней назад

      Mungu ndiye mwenye kuhukumu ww nani

    • @gosbertbuberwa6198
      @gosbertbuberwa6198 5 дней назад +6

      Mzimu Wa Magufuli Unawaandama!

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 5 дней назад +3

      Hakika 🙏🙏🙏

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 5 дней назад

      sasa huyu kikwete sindio alikuwa raisi wa mangu sasa anasema uwongo vipi jamani

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 5 дней назад +3

      @@kasimkassam9565 Hata magu alikuwa raisi wakikwete au Hujui Hilo 😏

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 3 дня назад +5

    Wewe uliishia wapi ?
    Wewe ulimwachia magari ya mwendo Kasi tu sio SGR na akazitoa UDA zako zote

  • @Masa__966
    @Masa__966 5 дней назад +20

    Anko Magu hawezi kuwa namawazo yakukushauri uende ukakope…!

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 3 дня назад +1

      Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 дня назад

      ​@@user-fr7jj1bo7y kweli kabsa nandivo wanavoiba sasahivi

    • @ms123ru
      @ms123ru 2 дня назад

      Kumbukaa kikwetee ndio Rais mwenye miradi mingi kuliko raisi yoyote yule njoo kwa hojaa tubishane

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 дня назад

      @@ms123ru mmmmmh ?? unaota ukiwa unatembea wewe

  • @Masa__966
    @Masa__966 5 дней назад +17

    Anko Magu alijenga bila madeni na bila kuongeza kodi, kwaijo hacheni uongo…!

  • @stanslauslupelele5726
    @stanslauslupelele5726 5 дней назад +19

    Kwani kusema ukweli hamwezi hakuna wakumfananisha na jpm

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 5 дней назад +6

    Mzee anaongea kama anakunwa msuzi wa babu Saya 😂😂😂

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 5 дней назад +15

    Hiki kijamaa nikibnafsi saaana cjawahi ona kapeleka barabara ya lami nyumbani kwake badala yakupeleka vijijini mwenzie magufuli miaka 5 kaiheshimisha mwanza

    • @mwajumagomera7609
      @mwajumagomera7609 3 дня назад +3

      Si mwanza tu tabora,mpka dodoma kiukweli hana baya yaani mikoa ya huku imejaliw kwa kipindi cha magu,mungu amrehemu😢.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 дня назад

      ​@@mwajumagomera7609❤❤❤❤👏👏

    • @ms123ru
      @ms123ru 2 дня назад

      Sasa hapo mbinafsi nani??

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 дня назад

      @@mwajumagomera7609 🙏🙏🙏🙏😘

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 2 дня назад

      @@ms123ru Kikwete ndio mbinafsi we angalia ukanda wake wapwani alivo uacha kimaendeleo upo zoofulihali alicho fanikiwa mikupeleka nibarabara yalami nyumbani kwaketu mpuuzi sana

  • @mangobase
    @mangobase 5 дней назад +24

    Mzee wa porojo anaongea kama vile sisi hatukuwepo pia tulikua hatuoni.... Nchi Enzi yake ilikua ya upigaji tu...

  • @josephamos6636
    @josephamos6636 16 часов назад +2

    Mzee anapenda kujiweka kuwa kila kitu alianzisha yeye lakini hakuna kitu

  • @mwenem8130
    @mwenem8130 4 дня назад +5

    MZEE ACHA UONGO!!! RIP JPM Chuma toka Chato

  • @hydarymwenda3352
    @hydarymwenda3352 5 дней назад +5

    Mbona zembwela ametaka kuuliza kuhusu mikopo amekatishwa Mara mbili. Something is wrong

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie 5 дней назад +17

    Hicho kiredio cha kishetani kiongo sana mwamba jpm tu acheni uongo

  • @Kakozi-pj6ib
    @Kakozi-pj6ib 2 дня назад +3

    Unaongea nini wewe mzee tuna jua kila kitu " kwanza 2015 haukutaka JPM awe raïs " leo et fyoto fyoto ulimuachia mradi wa treni ya umeme "" Mungu ana kuona "

  • @wta_Tanzania
    @wta_Tanzania 3 дня назад +3

    Eeee Mungu ikikupendeza mchukue na remote ya msoga ili TV yetu tuiwashe wenyewe

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 День назад +3

    Hakuna lolote hapo, RIP JPM, Nyerere aliacha Dodoma, bwawa la umeme, Mv Victoria, Ndege nk yeye alifanya nn hapo
    Ukweli JPM angekuwapo Hadi Leo Tanzania ingekuwa ulaya ndogo, Hakuna anayebisha ktk hili.Alikuwa na maono makubwa Kama Nyerere
    Kizuri chajiuza.......... hakuweka bango lkn bado angalia hai, "mtanikumbuka kwa mazuri....."

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c 13 часов назад

    Mh kikwete nataka kuja msoga siku moja nipate hekima yako baba nina mtoto wa kiume nataka kujua siku moja anaweza vip kuongoza inch ya Tz inshalaah👏👏👏

  • @AngelaAndrew-rf1ho
    @AngelaAndrew-rf1ho 3 дня назад +2

    Mlisema amefanya vitu ambavyo haviko kwenye ilani sasa kumbe ulianzisha hiyo wewe akaendeleza. Hongera
    Mwenzetu wa umbwe sec

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 4 дня назад +4

    JPM CONTINUE TO REST IN PEACE.
    WANYONGE WENGI WANAKUKUMBUKA.
    MENGI ULIYAFANYA HATA KAMA HAUPO KIMWILI KIROHO POKEA MAUA YAKO

  • @user-nr2ud1dm3y
    @user-nr2ud1dm3y 5 дней назад +10

    Nchi hii ni tajiri kama akipatikana kiongozi mzalendo wa kweli wala hatutakopa

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 4 дня назад +5

    Mh ungekaa kimya baba

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i 18 часов назад +2

    Acha kudanganya Watanzania, hii treni ni ya Magufuli na Samia, tena funga mdomo

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj 5 дней назад +20

    Anajifagilia tu uyo mlabata akufaa kuwa kiongozi

  • @chazimunishi3339
    @chazimunishi3339 4 дня назад +4

    aje awadanganye vi2kuu vake mpuuzi 2

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 3 дня назад +4

    Linapenda kujipakulia minyama

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 2 дня назад +3

    JPM alitofuatisha Siasa na Vitendo. Anazeeka na Porojo+Unafiki mtupu

  • @user-qx4pc3rx8g
    @user-qx4pc3rx8g 5 дней назад +17

    Reli yake alikiri ilikua ya kawaida so ya umeme ache uongo huyo babu Magufuli jembe

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 5 дней назад +12

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nimecheeeeeeeeeeka

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 День назад +1

    Kumtoa magufuli,katika mioyo ya watanzania ni ngumu sana sana mwacheni mwamba mwacheni apumzike tu.

  • @fikiripazi9630
    @fikiripazi9630 3 дня назад +3

    hahah muheshimiwa anaongelea mambo mazuri ya nchi jamaa kochomekea mpira wa miguu. hii nchi ina waandishi wa hovyo sana

  • @khamisshabani691
    @khamisshabani691 3 дня назад +4

    we babu acha uongo kaziimekushinda magu jembe

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 5 дней назад +15

    acheni utapeli... eti alimuachia

  • @Gamba177
    @Gamba177 2 дня назад +2

    Mshashiba kipolo kelele nyingi kuleni halafu mkanye

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 5 дней назад +9

    Machawa katika ubora wao. Hata kuangalia huu uongo kichefu chefu.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 3 дня назад +2

    Huyu dingi sijawahi muelewa

  • @user-fh4oo5jd6w
    @user-fh4oo5jd6w 3 дня назад +11

    magufuli alikuwa kiongozi c mwanasiasa

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 3 дня назад +4

    Mzee anatupigia hadithi za abunuasi tu kanakwamba hatukuwepo wakati huo mradi wa reli unaanza.
    Dunia ya sasa watu wengi wamesoma na wana taarifa nyingi kuliko unavydhani mzee

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 дня назад

      😂😂😂😂😂

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 День назад

      Kama kweli Mungu yupo atajibu kilio Cha Watanzania, watu walilia sijapatakuona sidhani Kama itatokea tena ndani ya miaka50 ijayo

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 5 дней назад +9

    Wewe ulifanyaje

  • @jafarinauma6798
    @jafarinauma6798 День назад

    Nakuelewa mh JK nilipata ajira kwenye utawala wako kwa kweli ilikuwa uhakika sana wengi tulipata ajila
    Mwenyezi Mungu akulinde akupe miaka mingi duniani inshaallah...
    Ulifanya sana kwa upande wako lakini hukuwa mchoyo kwenye kutujali

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 5 дней назад +2

    Ww uliza naswaki ya msingi achana na uswahili aisee uliza mikopo na je anahusika na bandari ya bagamoyo?

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 дня назад +2

    Duh, alimwachia Magufuli nini?😂😂😂

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1oo 4 дня назад +3

    Dah huyu jamaaa amesababisha tuishi kama wapangaji anajuakupamba kama mtakatifu

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i 18 часов назад +1

    Natafuta kiki, alimwachia Magufuli wapigaji? Mbona wananchi hatukujua, au mlifanya siri?

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 3 дня назад +2

    JPM alikuwa Raisi wa ukweli

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli 2 дня назад +1

    Wewe unaweza kucheza disiko2

  • @kamanzicrouch3881
    @kamanzicrouch3881 4 дня назад +6

    Jamani kwa kua magu hayupo ajiteteye basi kila mtuu mazuri yake anajipakulia mema ya watu

  • @butungo1
    @butungo1 12 часов назад

    Nimesoma comments...nadhani aliyepaswa kuhojiwa ni Rais Samia maana ndiye anatekeleza SGR kwa sasa. Otherwise, JPM hasahsuliki kabisa

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 5 дней назад +15

    Wakati jpm anaanza mlisema anafanya yale ambayo hayako kwenye Irani je mlikiwa wapi kuanza hata jpm aliyasema sana walikuwa wapi kuyafanya haya? Mama makinda alisikika hata kuhamia Dodoma kuna viongozi walikuwa wamepinga, jpm oyeeeee

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 5 дней назад

      .Jifunze kusikiliza upate ujuzi kuongea unaongea tu unalolifahamu wewe.Kama hujui jambo kwani lazima ubishe walishajaribu kuanza Waziri akiwa samweli sitta hela ikawa hakuna wakati huo nchi ilikiwa na madeni makubwa.Ila JK alitaka kujaribu kuanza

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 5 дней назад +1

      Oyeeeeeee 🎉🎉🎉🎉

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 4 дня назад +1

      ​@@AllyMaya-yj3xd Kwani wakati Magufuli anaanza ujenzi nchi haikuwa na madeni??

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 3 дня назад +1

      ​​@@robertzamani5612Awm tano yaan miaka 1960-2021 almost 61 yrs wamekopa 60 trln but 3 yrs snc 2021 up to date 31trln deni ILO iko sawa hii?

    • @user-gv8yn9lg1i
      @user-gv8yn9lg1i 18 часов назад

      Ni kweli kabisa huyu jamaa muongo sana, miradi ya Jpm imegeuka kuwa yake, hata aibu hana, hivi anatufanya Watanzania wajinga?

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 4 дня назад +3

    @patricknyiti5303 ukichanganya na miaka 10 aliyokuwa waziri wa mambo ya nje.. ni miaka ishirini .. with nothing to show for... mademu tuu! na ndio maana tunaye mediocre anayeitwa Daktari Kilaza Samia (demu wake aliyetokana na mashangingi wa CCM!) ..
    PhD bila shule..?? Udaktari na uraisi wa kuvulia chupi vigogo wa CCM?

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u День назад +1

    Dr Magufuli ametuachia Tanzaniampya hatakimataifa namajiranizetu wanalijuahilo tena kwa mufa mfupitu wa.miakamitanotu VIP angemalizamuhulawake ? Muda huo mufupialifanya hata yaliyoshindika miaka karibu 50 so We are talking either alot for nothing or from out of nothing..

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 14 часов назад +1

    Mzee wa pwani wa porojo porojo 😅hamna kitu hapo 😅😅😅

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 3 дня назад +1

    Mazuri yako yanazidiwa na mabaya yako, wauza nadaiwa ya kulevya ulitajiwa wauzaji wote pamoja na mwanao ukaendelea kucheka vijana wakahalibika kwa cheko zako

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x День назад

    acheni.mzee jk kafanya mambomengisana, ilawengi mnachuki nawazeewetu, inaonekana mnaocoment humu.hamna uelewa juu yamamboya taifahili, udumu zaidi mzeejakaya wenizao wazalendo wachache Africa,

  • @Madizizi
    @Madizizi 5 дней назад +10

    Kuma kweli huyu

  • @MohamedSleyim
    @MohamedSleyim 18 часов назад

    Chuo Kikuu Dodoma, Malagarasi JK, Mloganzila/Muhimbili, Kigamboni Bridge,Barabara kiwango cha lami Mkoa hadi Mkoa, na mengine mengi.Pia ndiye aliyemleta JPM kuwa Rais.Mpeni haki jamani.

  • @alfredbomani8047
    @alfredbomani8047 20 часов назад

    Duuuh Ama kweli nakumbuka wimbo wa Kimgwendu- Mipango..... jee Bwawa la umemw? Kubwa ya yote Kuhamia Macao Dodoma. ....!!!???😮

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 дня назад +1

    Aendeleze ? Inamaana ulikuwa umekwishaanzisha wewe au wakabla yako . 😮😮😮

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 День назад

    Huyu mzee tunamchekea mnoo ,,,mnafiki huyu ,,,tena achana kabisa na jpm unafikiri hatujui,,,,nahawa wandishi wa habari wanafiki tuuu

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 2 дня назад

    asantee sanaaa mleziii wa yangaa african kikubwaa ni usawa wa taifaaa tu Yangaa oooyeeeee endeleaaa kutupaa raha wananchiiii😂😂😂😂

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 День назад

    Atakumbukwa kwa kujenga chuo kikuu udom barabara ya tegeta mpaka bagamoyo sijui kwann hukuipanua njia mbili hapo ulichemka

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 4 дня назад +2

    Mzee wetu, Mh rais Jakaya Mrisho Kikwete, hakika kazi uliifanya kwa namna Mungu alivyokuongoza, umefanya mengi mno, uluma maafisa 12 wakajifunze namna Malaysia walivyo piga hatua kubwa kiuchumi, ukawa na vipaumbele kadhaa wa namna ya kujenga taifa, lakini Pia ukatuambia sisi wananchi kuwa Dr John Joseph Magufuli anatosha hakika alitosha, Mungu ailaze roho yake pema peponi.
    Mzee wetu uishi maisha marefu.

  • @josephmuchiri3180
    @josephmuchiri3180 4 дня назад +8

    King Magufuri rip

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela3485 5 дней назад +2

    Hakuna ulazima wa kukopa. Nchi hii ni tajiri sana ,rubi,spino,dhahabu,almasi na madini mengine mengi huwa mnayafanyia nini? hiyo mikopo mna mambo yenu mnayoyajua

    • @TuhabarishaneTv
      @TuhabarishaneTv 5 дней назад +1

      Kwa nchi hasa hizi za kwetu tuna utajiri mkubwa wa Mali na sio wa pesa. Ili kuuendeleza utajiri huo wa ardh, madini, milima, sehemu za majini. Uwekezaji wake unahitaji wataalamu na pesa na ndio serikali inakopa ili kuuendeleza. So shauri serikali ifanye nin maana wanaona.

    • @aloycesilwela3485
      @aloycesilwela3485 3 дня назад +1

      @@TuhabarishaneTv sidhani kama ni hivyo,kwa nini kama wanataka pesa wasiuze madini,kwanza sasa hivi wenzetu walioendelea hawatunzi pesa wanatunza dhahabu au almasi kwa sababu hizo ndio pesa zenyewe

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i 18 часов назад

    Treni ya Jpm imeanza kufanya kazi umeanza kuongea uongo, hata aibu huna.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s День назад

    Ni ufisadi tu mpaka Sasa,

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d 3 дня назад +1

    Uyu ni mnafiki muongo hakuwa na mpango wowote kwa nini usichukue kijiti hii minafiki, ivi miaka 10 kipi ulichokifanya? Eti nilimuachia magufuri kwa nini usifanye wewe? Acha uongo wewe mzee

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli 2 дня назад +1

    Ulimuachia na here acha uongo,umemuachia ufisad angekua zaifu kama wewe asinge fanta hats moja

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u День назад

    Kaulimbiu yaMagufuli hapakazitu Rais aliyepo anaiendeleza kwakaulimbiu hiyohiyokazi iendelee nakazikweli inaendelea situnaona... hatuhitaji with zakufikirika tunahitaji kazi tufaidi kodizetu kama ile awamunanasasahivi siyo kufanya n chi kamakampuni yamtubinafisi .

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 3 дня назад +1

    Kwendaaa

  • @MbossoMbosso-rw4ox
    @MbossoMbosso-rw4ox 21 час назад +1

    Ww mzeee una lolote mbona ujibu maswali muhmu unaluka lukaaa kama uwez kaaa kmyaaaaaaaaaaaaa

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla5355 3 дня назад +1

    Uongo bana

  • @awazioga1823
    @awazioga1823 5 дней назад +6

    Acha uhongo we mzee

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 3 дня назад +2

    Kumbe anaona wazungu kwake kama MUNGU 🤣🤣🤣

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 11 часов назад

    Ukitaka kuona huyu msoga hapendwi we soma komenti utaona watanzania walivokuwa wanampenda jpm yani basitu mungu akipendezwa angechukua na huyu mana huenda mioyo ya watanganyika ikapona kidogo

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 5 дней назад +5

    Unatia aibu tu

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 5 дней назад

      Sio kweli ila mtazamo wako tu,,,labda kama ulikimbia umande ila kama ulisoma enzi za Jk.....

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 5 дней назад +1

      Siri ya ubinadamu, mtu akifikia umri Kikwete upendwa sana, huyu ni binadamu ana tofauti na sisi. Kama tunashindwa mengine basi tuheshimu umri wake.

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 3 дня назад +1

      ​@@GodfreyOswardsi umuheshimu ww tu kwanini utusemee na sisi? 🤣🤣

  • @JamesChrizestome
    @JamesChrizestome День назад

    Hii kitu tuongee ukweli palipo pa kumpongeza Magu apongezwe tu tuache porojo

  • @amashakigelulye7632
    @amashakigelulye7632 4 дня назад +2

    maguuuuuuuuuuu,mengine rubbish!

  • @butungo1
    @butungo1 12 часов назад

    Siasa bana...RIP JPM

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv 4 дня назад +5

    Mbona hukusema wakati jpm hajafa😂😂😂😂

  • @James-yz8yh
    @James-yz8yh 3 дня назад +1

    mr misifa

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 5 дней назад +4

    😡😡😡

  • @PatriciaKitundu
    @PatriciaKitundu День назад

    Duuh! Huyu ashastaafu mbona si apumzike tu busara ndogo sana kucheka Cheka mi hapana

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po День назад +1

    Teem mashoga😂😂

  • @bonyngoyindengoyinde6139
    @bonyngoyindengoyinde6139 19 часов назад

    Nadhan n Bora msiltaje jina la Magu, mnatukera kwakwel, hailnganishwi uyo m2, mwachen apumzike

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 День назад

    Sisi watanzania tunaemjua ni JPM pekee ndiye aliepambana kuleta hayo maendeleo na siyo nyinyi. Lala salama baba JPM 😢

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 5 дней назад +1

    Mhh maisha haya ww acha tuu

  • @wirangamochemba7063
    @wirangamochemba7063 13 часов назад

    Kidole cha kushoto pete na cha kulia pete vp ndo free Mason au

  • @PatriciaKitundu
    @PatriciaKitundu День назад

    Duuh! Misifa yaan haiwezekan mtu afe afu ujisifu et nilimwachia hakupo hakupo

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 14 часов назад

    Ni bora ungekaa kimya mzee kikwete uliitafuta nchi mtalii moon walker