ZUMARI | Aden Rage akumbushia mkasa usajili wa Mbuyu Twite aliyedakwa na Yanga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • “Nikawapiga tano bila” maneno ya Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC, Aden Rage akisimulia mkasa wa usajili wa Mbuyu Twite beki wa zamani wa Yanga SC, ambaye usajili wake ulizua gumzo.
    Mahojiano haya yamefanywa na mtangazaji Jafari Mponda wa kipindi cha Zumari.

Комментарии • 9

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Год назад +1

    Story nzuri sana

  • @waolive963
    @waolive963 Год назад +2

    Daaah huyu mzee ni hazina kubwa sana

  • @user-ex1um2qk1e
    @user-ex1um2qk1e Год назад +2

    Mi Niko kenya lakini mzee rage heshiima yako,

  • @bakarikifaru
    @bakarikifaru Год назад +1

    Hongera mzee rage

  • @mwaka43
    @mwaka43 5 месяцев назад

    Mtu wa Mpira ni Mtu wa Mpira TU!! Rage mazungumzo yake yote yanaelekea kwenye Mpira tu

  • @mwaka43
    @mwaka43 5 месяцев назад

    Simbachawene mliyemweka kwenye Picha Siye!!

  • @mauridcharles
    @mauridcharles 5 месяцев назад

    Mtuwa mpila uyu sio mtuwa kupenda timu

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 11 месяцев назад +1

    Mtafute SHEIKH PONDA ISA PONDA

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 6 месяцев назад

      Ili afanye nini? Ponda hachelewi kuchafua hali ya hewa.