MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 06/09/2025

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Tazama kipindi cha Mshikesmhike kikiwa na habari kemkem ikiwemo maandalizi ya Taifa Stars kwenda kuikabili Guinea katika mechi za Kufuzu AFCON 2025

Комментарии • 11

  • @hijakinina1793
    @hijakinina1793 9 дней назад

    Tatizo lake kazi aliyopewa aiwezi uwezo wake kufundisha wanawake

  • @DamianoTippe
    @DamianoTippe 9 дней назад

    Karia usitudanganye wewe sawa sehemu Yako unafanya vizuri lakini mwalimu ameharibu usimtetee basi kama amefanya mabaliko ya kumchezesha beki kuwa winga tungapata matokeo ungesema hayo unayosema hivo ni sawa

  • @AliAbdallahali-g8e
    @AliAbdallahali-g8e 9 дней назад

    Ivikahuyo kalia kigezoganikilimiweka kwenyeuongozi mkubwa mbonakamambumbu hataongeayake hanalolote

  • @gastonegodfrey7426
    @gastonegodfrey7426 9 дней назад

    Tunamtaka Samatta na Msuva

  • @AliAbdallahali-g8e
    @AliAbdallahali-g8e 9 дней назад

    Hakunakochahapo nyumbani unacheza namabekisitakweli achaujinga kamuite samata na msuva wanawezakutusaidiasana ushindi bilamsuvasahau

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 9 дней назад

    2:44

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 9 дней назад

    Ali kamwe musimchukulie ni hafubrein

  • @AliAbdallahali-g8e
    @AliAbdallahali-g8e 9 дней назад

    Ivi kalikado naemnamuhojikweli?huyombeatu hanalaziada

  • @salvatoryoscar823
    @salvatoryoscar823 9 дней назад

    Ali kamwe una mambo ya kitoto mno, hivi utakuwa lini? Unabishana na nani? Au unaangaika na na nini? Mbona unabishana na ukuta???? Acha utoto kijana

    • @user-th4gk9yk7g
      @user-th4gk9yk7g 9 дней назад

      Tanzania wasiendi kuwa shambulia 🇬🇳 guinea bali wacheze kwa tahazari kubwa alau sare inaweza kuiweka Tanzania nafasi nzuri naikitokea kupata ushindi itakuwa vizuri ila sizani kama itakuwa raisi

  • @AliAbdallahali-g8e
    @AliAbdallahali-g8e 9 дней назад

    Nashindwakujua kocha kawazanini mpakakumuacha samata na msuva tusipofuzu nitamuona kalia ndomjinga