Karia usitudanganye wewe sawa sehemu Yako unafanya vizuri lakini mwalimu ameharibu usimtetee basi kama amefanya mabaliko ya kumchezesha beki kuwa winga tungapata matokeo ungesema hayo unayosema hivo ni sawa
Tanzania wasiendi kuwa shambulia 🇬🇳 guinea bali wacheze kwa tahazari kubwa alau sare inaweza kuiweka Tanzania nafasi nzuri naikitokea kupata ushindi itakuwa vizuri ila sizani kama itakuwa raisi
Tatizo lake kazi aliyopewa aiwezi uwezo wake kufundisha wanawake
Karia usitudanganye wewe sawa sehemu Yako unafanya vizuri lakini mwalimu ameharibu usimtetee basi kama amefanya mabaliko ya kumchezesha beki kuwa winga tungapata matokeo ungesema hayo unayosema hivo ni sawa
Ivikahuyo kalia kigezoganikilimiweka kwenyeuongozi mkubwa mbonakamambumbu hataongeayake hanalolote
Tunamtaka Samatta na Msuva
Hakunakochahapo nyumbani unacheza namabekisitakweli achaujinga kamuite samata na msuva wanawezakutusaidiasana ushindi bilamsuvasahau
2:44
Ali kamwe musimchukulie ni hafubrein
Ivi kalikado naemnamuhojikweli?huyombeatu hanalaziada
Ali kamwe una mambo ya kitoto mno, hivi utakuwa lini? Unabishana na nani? Au unaangaika na na nini? Mbona unabishana na ukuta???? Acha utoto kijana
Tanzania wasiendi kuwa shambulia 🇬🇳 guinea bali wacheze kwa tahazari kubwa alau sare inaweza kuiweka Tanzania nafasi nzuri naikitokea kupata ushindi itakuwa vizuri ila sizani kama itakuwa raisi
Nashindwakujua kocha kawazanini mpakakumuacha samata na msuva tusipofuzu nitamuona kalia ndomjinga