PART 2: PROF ASSAD ATOKWA NA MACHOZI MBELE YA KIKEKE, NILITISHIWA, AFUNGUKA MAZITO MNO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии •

  • @constantinemanyanda6667
    @constantinemanyanda6667 4 месяца назад +51

    Prof Assad ww ni mtu na nusu very humble kwanza nliwah kukutana nae posta anatembea tu kwa miguu
    hii story imeni inspire kua honest n humble Mungu akubarik sana mzee.

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 4 месяца назад +41

    Mwenyezi Mungu mtie nguvu profesa Asad.Huyu bwana alifanya kazi nzuri sana kwenye maswala ya ukaguzi serikalini. Sema nchi hii ni ngumu sana.

  • @charlesmassawe4119
    @charlesmassawe4119 4 месяца назад +32

    Huyu baba, ana qualities ambazo sijui kama kuna mtumishi wa umma wa sasa anaweza kufikia hata 70% ya quality alizokuwa nazo, very integrity man mwenye hofu ya Mungu, very painful experience amekutana nayo ktk majukumu ya kazi. Mungu ampe faraja na amani ktk yote aliyopitia. Maisha yake ni ushuhuda mkubwa sana, Mungu aendelee kumpigania.🙏🙏

    • @ALIMOHD-bk9lr
      @ALIMOHD-bk9lr 2 месяца назад

      Wapo japo wachache

    • @FAUZALRIYAMIY
      @FAUZALRIYAMIY Месяц назад

      HUYU PROFESSOR ALIPITIA KIPINDI KIGUMU CHA UTAWALA WA KIDIKTETA
      NASHANGAA SANA WAKATI ULE WATANZANIA WALIUFYATA HAKUNA VYAMA VYA SIASA WALA VIONGOZI WA DINI MADHEHEBU YOTE WALA HAKI ZA.BINADAMU ZILIZOKEMEA HII NCHI NI YA AJABU SANA TUNAPENDWA KUTAWALIWA KIBABE

  • @deohank5995
    @deohank5995 4 месяца назад +99

    Asante Mungu umenipa somo zuri toka kwa mja wako Prof. Assad. Mwenyezi Mungu azidi kukupa afya njema.

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 4 месяца назад +186

    Mimi siijui dini ya kiislam mm ni mkristo lakn hakika Profesa ww ni muislam saf na ni mtu wa mungu binafs ulitolewa kihuni ofisini lakn ww ni mtu wa mungu watu kama ww ni wachache sana mungu akutunze mzee wetu ww ni hazina ya taifa hakika

    • @sanaaseif2731
      @sanaaseif2731 4 месяца назад +11

      Allah akuongoze na ww upate Nuru ya uislam jitahidini kufatilia kwa uwezo wa mungu utaiona haki

    • @osmanmussa9979
      @osmanmussa9979 4 месяца назад +6

      Apewe Nchi iki mpendeza Muumba hapo mbele kwani tuna hitaji Viongozi kama hawa kuongoza Taifa

    • @osmanmussa9979
      @osmanmussa9979 4 месяца назад

      ​@@sanaaseif2731aamren

    • @humphreymorise
      @humphreymorise 4 месяца назад +7

      @@sanaaseif2731 hapo ndo mnapokosea watu wa dini, haimaanishi alipo sio sehemu sahihi, ukristo na uislam ni dini nzuri sana

    • @deomuganda4840
      @deomuganda4840 4 месяца назад +3

      Nakuombea kwa uishi na hekima pia uweze kuisaidia Jamii.
      Mola akubariki sana.

  • @ellyrenalda5883
    @ellyrenalda5883 Месяц назад +2

    Pole sana Prof., you are among few civil servants mliokuwa mkisimamia maadili ya kazi na ucha Mungu.

  • @kilianakitanda9470
    @kilianakitanda9470 4 месяца назад +60

    Huyu mtu ilikuwa zawadi kutoka kwa Mungu. I really appreciate you prof

  • @lindatogether
    @lindatogether Месяц назад +2

    One of the smartest and very ethical and faithful a country has ever had. Mungu akuweke sana Prof. na akufanyiwe wepesi kwenye kila jambo lako lenye heri

  • @anethmugisha9238
    @anethmugisha9238 Месяц назад +4

    Hongera kubwa kwa Crown Media! Mmeonyesha kuwa vyombo vya habari vinaweza kuwa chachu ya mabadiliko chanya kwa taifa letu. Weledi wenu, uzalendo wenu, na juhudi za kuhakikisha jamii inapata habari za kweli na zisizoegemea upande wowote ni hatua kubwa katika kujenga demokrasia imara.
    Salim Kikeki, mfano wa kuigwa, ni kioo cha maadili bora ya uandishi wa habari - akitufikishia ujumbe wa umuhimu kwa taifa letu kwa usawa na uadilifu. Hii ni kazi ya kujivunia na tunatoa shukrani kwa Crown Media Digital, TV, na timu nzima ya Crown kwa jitihada zenu za kujenga jamii yenye ufahamu na umoja.
    Endeleeni kuwa sauti ya haki na daraja la mawasiliano bora kwa kila Mtanzania. Asanteni kwa kuonyesha kuwa demokrasia ya kweli huanza na habari za kweli! Well done, Crown Media.

  • @idimsomali1571
    @idimsomali1571 4 месяца назад +39

    Hii ndio interview bora zaidi niloiangalia na kuisikiliza.ipo na maelezo ya ukweli kwa mwenye akili na busara tu atairudi kuiangalia tena.Prof.Assad ni mtu sahihi sana kujua uongozi unavyopaswa uwe.Hongera sana Prof.Assad,Pole sana kwa kifo cha mkeo,Allah S.W amsamehe madhambi yake.Salimmmmmmmm Kikeke big up sana,mahojiano bora sanaaaaa hayaa

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 3 месяца назад +4

    Tatizo la Prof Assad alikuwa mtu mwema kati kati ya watu wengi waovu hii ni hatari sana ktk nchi hii.Kila siku utaonekana mkorofi,mkali na mkaidi.
    Pole sana Prof, samehe ,sahau songa mbele brother.

  • @salimsaid8348
    @salimsaid8348 4 месяца назад +54

    ALLAH akulipe kheri Professor, InshaAllah ALLAH akujaaliye ukutane nae mkeo peponi. Amin

    • @abubakarsuleman1983
      @abubakarsuleman1983 4 месяца назад +2

      Amin yarabal alamin ,na sisi Allah atupe wake wema,

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 2 месяца назад +2

    JABALI LA TAALUMA NYETI KTK DUNIA. I'M SO PROUD OF YOU FATHER ❤❤❤❤❤❤

  • @IddWashokera
    @IddWashokera 4 месяца назад +3

    Mwenyezi mungu azidi kukusimamia Prof. Assad. Wewe ni mfano wa kuigwa kwa taifa letu. Umesimamia haki na ukweli na mwenyezi Mungu atakulipa ipasavyo. Ninatamani siku moja nikuone ili nikupe maua yako usi kwa uso. Wewe na familia yako mbarikiwe.🤲🏾

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 4 месяца назад +16

    Pole Profisa .Mwenyezi Mungu atakupa nguvu zaidi na moyo wa subira

  • @faridhassan2308
    @faridhassan2308 4 дня назад

    Safi sana Allah akupe maisha marefu prof

  • @busandashanyangi6742
    @busandashanyangi6742 4 месяца назад +20

    Pole sana Prof. Hakika maneno yako yamenigusa kiasi cha kulengwa-lengwa machozi. Binafsi, nimewiwa kukuombea kwani unatambua nguvu za Mwenyezi Mungu 'Glory be to Allah'. Mungu akulinde sana sana. Amina.

  • @MasoudJuma-i1j
    @MasoudJuma-i1j 3 месяца назад +1

    Mashaallah.....the way he talk it reflect that is a real professor .....kindness integrity and God fearness......Best interview with the lesson inside it...congrats to crown 👏👏👏👏

  • @thadeimlughu7841
    @thadeimlughu7841 Месяц назад +1

    Mwenyez Mungu azidi kumbariki, ampe faraja, na kila lililojema kwake. Itoshe kusema nimejifunza mengi kwake.

  • @jordanmwamlima7579
    @jordanmwamlima7579 4 месяца назад +38

    Am always seeing you as hero of this nation. Am so proud of you, you're honest and very committed! may Allah bless you all time Prof. Assad inshallah 🙏🏽🙏🏽

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 4 месяца назад +19

    I have not only noted but also learned something. Excellent Prof. Assad

  • @ibrahimmeresho797
    @ibrahimmeresho797 Месяц назад +1

    Prof anahofu sana ya Mungu ni mwalimu bora na mtumishi bora ambao wanahitajika sana kwenye maendeleo ya nchi yetu

  • @twalimshare2915
    @twalimshare2915 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 4 месяца назад +129

    Hii ni Crown media sasa Salim huyu mzee anastahili hio crown kuvishwa kwenye kichwa chake kwa habari, masikitiko, ukweli na hali halisi ya nchi yetu ilipofikia. Asanteni kwa mchango wenu 🤝, pole Pro maumivu ya kila Mtanzania ni maumivu ya kila mtu

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 4 месяца назад +9

      Kuna binadam duniani wanazaliwa ili kutenda haki kwa kipaji walichopewa na Mungu ,kweli alistahili hata kuwa PM wa Tz sema kwa vile hutupendi vizuri na tuko na njaa kweli tawala nyingi Africa zinaona watu hawa ni wasaliti tu

    • @Eagle10303
      @Eagle10303 4 месяца назад +8

      Big brain professor, we pray for you and our beloved late mother, inshaallah M/ Mungu amrehemu.
      That big time respond broke me into tear for real😢
      Inshaallah akupe uimara zaidi.
      Inna lilah wainnailah raj un.

    • @LuqmanStar-p7w
      @LuqmanStar-p7w 4 месяца назад +4

      Allah ampe Nuru katika kaburi lake, ampe Pepo ya firdausi kesho inshallah. Atupe na Sie elimu yakuijua haki na kuifuata

    • @KidegeKidege
      @KidegeKidege 4 месяца назад +1

      Mashaa Allah

    • @KidegeKidege
      @KidegeKidege 4 месяца назад +1

      Alhamdulilah

  • @hajimtundu6936
    @hajimtundu6936 Месяц назад +1

    Allah akupe kila lakheri profesa Asad,wallahiy binafsi nskupenda sana kwaajili ya Allah, Allah atupe sote mwisho mwemaa

  • @margretben6920
    @margretben6920 4 месяца назад +48

    Professor Assad you are strong and stronger. Mungu ampe kauli Thabiti mama yetu huko kwa mwenyezi Mungu... Don't tear down Sir.

  • @faridmnyamike556
    @faridmnyamike556 3 месяца назад +1

    A humble man, bold human being on earth, good example to human kind on earth, Allah akulipe kheri na Allah akuongoze katika njia iliyonyooka Prof. Assad, Umetifundisha vingi sana Mzee wetu Assad. Asante sana Salim Kikeke.

  • @ishmaelngowi
    @ishmaelngowi Месяц назад

    Jah bless you Baba

  • @barackthomas8010
    @barackthomas8010 4 месяца назад +71

    One of the best interview. Hivi ndinyo media zinapaswa kufanya kazi. Maudhui yanayofundisha.

    • @mwaulambo
      @mwaulambo 4 месяца назад +1

      Exactly! Media nyingine utani utani umezidi kwa kweli na vipindi vya michezo na umbea umbea

    • @barackthomas8010
      @barackthomas8010 4 месяца назад

      @@mwaulambo wanafanyaga umbeya

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 4 месяца назад

      Kaakweli crown itawapita muda si mrefu​@@mwaulambo

    • @emmanuelburchard3153
      @emmanuelburchard3153 4 месяца назад +1

      Huyu Kikeke ni international journalist. Ameanza vzr. Tunamfuatilia sana.

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 4 месяца назад

      Kabisa

  • @MzeeZayumba
    @MzeeZayumba 2 месяца назад +1

    Mashallah prof. Mnyenyekevu mwenye khof ya m/mungu

  • @airMH370
    @airMH370 4 месяца назад +16

    Lecturer wangu professor wangu principal WA CHUO changu, it's pleasure to see your review sir.

  • @cardoerick5958
    @cardoerick5958 4 месяца назад +68

    Ninajivunia sana kukaa meza moja na kufanya kazi na wewe prof 🙏🙏

  • @JhonsonCharo
    @JhonsonCharo 4 месяца назад +3

    Mungu azidi kukubariki Prof. Assad na akupe nguvu na maisha marefu

  • @Twasabuni
    @Twasabuni 3 месяца назад +1

    ALLAH akulipe kheri Professor, InshaAllah ALLAH akujaaliye ukutane nae mkeo peponi pamoja na waja wema. Mzee Asad unahema na busara za utosha. Amin

  • @anasabubakary5886
    @anasabubakary5886 4 месяца назад +12

    THE BEST INTERVIEW OF THE YEAR......BIG UP CROWN MEDIA

  • @lindajohansen9220
    @lindajohansen9220 4 месяца назад +3

    Usijali wala usihuzunike sana Prof. Mungu alisha lipa deni Prof. Mungu wetu anaona na anasikia maombi yetu! Na hakika alitujibu vizuri sanaaa. Pole sana kwa msiba wa mpenzi mkeo. Mungu ashukuriwe milele.

  • @nassormziray5522
    @nassormziray5522 4 месяца назад +16

    MashaAllah hakika hii interview ni lesson kubwa kwetu na kuna mazingatio ndani yake
    PROF ASAD ALLAH akulip kheir baba angu pmja na marhum mkeo
    aamin

  • @junglejingIes
    @junglejingIes 4 месяца назад +2

    Mwenyezi Mungu awatie nguvu Prof Assad!

  • @meshacknyiti8020
    @meshacknyiti8020 4 месяца назад +2

    Mungu akutangulie sana Prof. Assad wewe ni kielelezo kwa vijana wengi mno, maisha yako ni mfano kuwa katiba na misingi ya ukweli na uadilifu hutetewa na wananchi. Mungu akutangulie na amlaze mama mahala pema!! Tanzanians know deep down you are a very good person keep mentoring the young generation, Sala zangu ziko pamoja na wewe!!

  • @TwahaGora
    @TwahaGora 4 месяца назад +6

    learning is not just in the classroom, I have seen a lot but you are a general in particular, may God grant you patience and a long useful life and let us learn

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 4 месяца назад +8

    Pole sana Assad kwa kumpoteza mama yetu. Mungu azidi kukutia nguvu.

  • @RichardNjuga
    @RichardNjuga 4 месяца назад +2

    I learnt a great lesson,from you prof,Asad,May God bless you!

  • @AbdallahHuweid
    @AbdallahHuweid Месяц назад +1

    Allah atupe subra na atupunguzie mitihani profesa allah akupe subra na waslam wote amin

  • @Bennie77
    @Bennie77 4 месяца назад +1

    Daaah! Hearttouching, specially hapo kwa mke wake. God bless u prof

  • @AbdallahLuambano-l1f
    @AbdallahLuambano-l1f 4 месяца назад +2

    Kikeke endelea kutufundisha, Prof. Nawe endelea kutufundisha namna ya kusimamia kile tunachokihitaji katika maisha yetu. Ulifanya Kazi kubwa sana katika mazingira magumu na Bado hukutoka na kutuambia yaliyokuwa yanakusibu. Kikeke wewe ni hazina kwa Taifa lakini upande uliochagua kufanya kazi naona kabisa watawala hawajafurahia lkn kwa busara utakazozichota "off mic" nadhani itakusaidia kuhimili mambo. Kikubwa UBBC utakulinda huku tumaini namba liwe Mwenyezi Mungu. Nimelia haki, mahojiano Bora kabisa kupata kuyasikiliza katika ardhi ya Tanzania

  • @ashaanab-sy4cq
    @ashaanab-sy4cq 4 месяца назад +2

    Professor Assad Mwenyezi Mungu Akujaalie Heri Na Baraka Tele,Endelea Kuwa Humble💪💪

  • @elizabethkitundu1936
    @elizabethkitundu1936 Месяц назад +1

    Kaka yangu Profesa Asad nakupa pole sana kaka yangu nakuombea kwa mwenyezi Mungu akuponye majeha akutie nguvu
    Nakupenda!

  • @brunomacha1614
    @brunomacha1614 4 месяца назад +2

    This man have very strong heart. Great lessons to learn

  • @munic6686
    @munic6686 3 месяца назад +1

    Pole sana prof Allah akutie nguvu sisi sote njia ni moja ,tumuombe Allah atupe mwisho mwema aamin

  • @Igauf3
    @Igauf3 4 месяца назад +44

    Who is cutting onions….I can see how deeply he loved his wife, and it’s clear she meant the world to him. His love for her is beautiful and inspiring, and I’m sure she felt deeply cherished by him. The man of integrity.

  • @msakalajr4422
    @msakalajr4422 4 месяца назад +61

    Member wa Muslim university of morogoro like hapa

  • @titokikungwe7636
    @titokikungwe7636 3 месяца назад +2

    Mungu akubariki sana profesa

  • @josephnyimbo9919
    @josephnyimbo9919 4 месяца назад +1

    A Godly Man, Principled and highly Mannered🙏

  • @khanmzandah8956
    @khanmzandah8956 4 месяца назад +3

    Prof you're one of the very few patriotic but also the smart of the smartests

  • @lawimichaelwerewere7619
    @lawimichaelwerewere7619 Месяц назад +1

    Waislam wote wangekuwa kama yujamaa dini ingekuwa moja tu Mungu akulinde mzee wetu

  • @maggie658
    @maggie658 4 месяца назад +3

    Mungu humjibu mwenye kiburi. Mungu alijibu kwa Motooo

  • @FransiscoKaiza
    @FransiscoKaiza 4 месяца назад +1

    Mzee ulipo tupo mungu akujalie afya njema Mzee wetu yupo mungu Mzee asadi🇹🇿♥️💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 3 месяца назад +2

    Masha Allah. Tuakubali sana kazi yko profesa assad

  • @mbatemgingamwita5944
    @mbatemgingamwita5944 4 месяца назад +2

    Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu,akuongoze akulinde akutunze hakika wewe ni mfano wa kuigwa si tanzania bali dunia nzima, kwa kila mwenye kupenda na kusimamia kweli na haki, Mwenyezi Mungu akulinde amina.

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 3 месяца назад +2

    God bless you too, hope God will help you for ever.Amen

  • @Safreenfeen
    @Safreenfeen 4 месяца назад +25

    Pole sana Profesa……Allah atakupa kilicho bora zaid….na sisi kwake tutarejea na yeye Allah amjaalie awe banat wa pepon na wewe utakutana nae kwenye firdaus

  • @Kideko74
    @Kideko74 4 месяца назад +2

    Allah ndie mgawaji wa rizki na kila kitu be blessed sana professor Assad

  • @regansophen
    @regansophen 4 месяца назад +14

    The real definition of Professor

  • @kakoyolasayuki1111
    @kakoyolasayuki1111 4 месяца назад +1

    Prof. Hongera kwa Busara alizokupa Mola.
    Hakika ulitolewa ofsini Kinyume cha Sheria.
    Asante kwa kutueleza ukweli.
    Wewe ni Jabali usie ogopa Mwanadamu.

  • @abdulazizhabib4581
    @abdulazizhabib4581 4 месяца назад +2

    Pole sana professor allah akupe subra,na allah ampe janatulfirdaus mama yetu

  • @weremamwita9740
    @weremamwita9740 Месяц назад

    Asand Brotherly, uwe na moyo mkuu. Dua yangu Mungu akupe wepesi mpenzi wetu. umenigusa lakini endelea kumtumainia Mungu. Pole

  • @mwitajoseph5003
    @mwitajoseph5003 4 месяца назад +3

    Thanks prof. Amazing story, umenisaidia sana

  • @Zai-vh7jd
    @Zai-vh7jd 4 месяца назад +2

    Pole sana Prof. Mungu ampe iepo njema mama yetu, inshaallah! Upweke unaumiza, Allah akujaalie namna njema ya kukabiliana na upweke na awape nguvu wanao wawe faraja kwako.

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili 4 месяца назад +6

    Baraka llah:, ya Allah nakuomba kwa rehema yako nipate mke mwema kama alivo kua mke wa prof : Assad ya Allah nakuomba kwa rehema yako iliyo tukuka uikubali Dua yangu inshallah 😢

  • @geofreymwakasenga7054
    @geofreymwakasenga7054 2 месяца назад

    Mungu aendelee kukubariki na kukutunza Prof. You are very Unique.

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 4 месяца назад +2

    Professor Assad! The God fearing man and a model moral person!!...he makes me cry!!...

  • @TamimuMshare
    @TamimuMshare 4 месяца назад +1

    Mwenyezimungu s,w akutie nguvu sana profesa asad

  • @tukuyufm
    @tukuyufm 29 дней назад

    We❤ you professor Assad, ethical leader

  • @ChristinaKilianNyoni-xb7lk
    @ChristinaKilianNyoni-xb7lk 4 месяца назад +1

    Mungu akulinde daima...👏👏👏👏👏

  • @geofreykayombo401
    @geofreykayombo401 4 месяца назад +25

    i feel that pain,mzee mungu atakuapa nguvu zaidi

  • @AzizMasenga
    @AzizMasenga 4 месяца назад +24

    Allah Aendelee kukupa subira na msimamo wa kuamini kadar na Afya njema mzee Asad. Na Amsamehe mama yetu Yale aliyomkosea.

  • @suleimanmsekeni977
    @suleimanmsekeni977 4 месяца назад +1

    Allah Swt! Akuhifadhi ndugu yangu, wasomi wenye mtazamo na mwenendo katika Ncni hii ni wachache mno. Walio wengi hawana hofu ya Mungu hapa Duniani wanaona wamefika, msiba mkubwa!

  • @Josephgoliama1
    @Josephgoliama1 2 месяца назад +2

    Professor namkubali sana. Ni ndoto yangu siku moja nionane naye ana kwa ana. Nakukubali sana

  • @fidelisgeorgesinsangoh7244
    @fidelisgeorgesinsangoh7244 4 месяца назад +14

    The best interview ever in my life....🙏🙏🙏🙏
    Be blessed Prof ASSAD

  • @tam5262
    @tam5262 12 дней назад

    Pole sana Prof

  • @AmirMuhango
    @AmirMuhango 4 месяца назад +31

    Miongoni mwa wanazuoni wangu bora kupata kuwafaham Allah akulipe badala njema Prof.Assad

  • @razackmsangi2275
    @razackmsangi2275 3 месяца назад +1

    Allah Akbar MwenyeziMungu amtilie nuru kaburi lake dada yetu aliyakua mkeo na wewe akuzidishie subra bila shaka ataendelea kukulipa thawabu kwa subra yako pia atakupa kilicjo Bora zaidi ya hicho alichochukua Nadi atujaalie mwisho mwema amiynn yarabb

  • @carolakinasha2106
    @carolakinasha2106 4 месяца назад +3

    Tunakupenda sana Prof Assad. Historia itakukumbuka kwa uadilifu wako. Mungu akutunze uishi sana

  • @halimangereza4214
    @halimangereza4214 4 месяца назад +2

    nimeishi kushuhudia mtu mwenye alama zote za uchamungu...Pole sana prof kwa mitihan ulopitia. Allah amrehemu mke wako na akuzidishie wewe pamoja na family ustahmilivu na uwezo wa kuhimili hilo.

  • @shamissuleiman4082
    @shamissuleiman4082 4 месяца назад +11

    Asante Prof. Kwa somo la maisha. Such a very humble and God fearing man..Allah akupe kilichobora na akulipe kheir kila siku..we will be waiting to read your memoir

  • @Alex_Anania
    @Alex_Anania 4 месяца назад +3

    Asante Sana Profesa.Mungu ampe mama Kauli thabiti.Kazi uliyoifanya ni nzuri mno na ya kutukuka Sana.

  • @mustaphermdetele6120
    @mustaphermdetele6120 3 месяца назад

    Allah amzidishie Busara na Hekima Prof. Amjalie pia mama pumziko jema

  • @shaabanjabir7555
    @shaabanjabir7555 4 месяца назад +2

    Maa Shaa Allah it's the best interview,prof Asad Allah akuhifadh na akupambe na uchamungu

  • @yusuphmahamudu5503
    @yusuphmahamudu5503 Месяц назад

    Allah akulipe uadilifu wako prof your roll model

  • @hawampate5029
    @hawampate5029 4 месяца назад +4

    I enjoyed and learned a lot from this wise man

  • @janethndonde4886
    @janethndonde4886 4 месяца назад +10

    Pole Salim Kikeke naona ulichoka sana na yote ulioyasikia kutoka kwa Prof.Nice and touching interview

  • @MrKirumbuyo
    @MrKirumbuyo 4 месяца назад +2

    A very humble guy.....I wish I get time to learn at the feet of this great individual....Mungu aendelee kumtunza!

  • @rajenderrobert8605
    @rajenderrobert8605 4 месяца назад +13

    Proffessor Assad Hongera sana kwa kutoyumba wala kuyumbishwa na kutambua kuwa hakuna Mamlaka kubwa zaidi ya Mungu mmoja muumba wa Mbingu na Nchi
    Hatima yote wote ni moja . Kwake tulitoka na kwake tutarejea
    Tuwakumbushe waliojisahau
    Najivunia kwamba Ulikuwa Mwalimu wangu UDSM 2006-2009 mtu Mwenye Msimamo wako mkali sana kwa Mwenyezi Mungu

  • @charlesmonyo7735
    @charlesmonyo7735 3 месяца назад

    Mzee wangu mungu akulinde.mungu akutangulie kila atua moja unayopiga. Akika mungu ni mwema

  • @rajabmohammed234
    @rajabmohammed234 4 месяца назад +3

    Allah azid kukupa subra,nguvu na ampunguzie adhabu y kaburi mke wako&Alitie nuru kaburi lake liwe miongon mwa viwanja vy pepo In-shaa-llah

  • @maribaisack2097
    @maribaisack2097 2 месяца назад

    An elite prof....congrats sana

  • @markjason2035
    @markjason2035 4 месяца назад +4

    Mi jamaa huwa namkubali sana 🎉 particularly alivosema watumishi wengi waserikali uwezo wao ni mdogi kwenye nafasi zao

  • @SophiaMohamedy
    @SophiaMohamedy 3 месяца назад

    Much respected man in Tanzania..Maa Ash Allah

  • @AmisamauridNgagada
    @AmisamauridNgagada 3 месяца назад

    Kupitia Kwa watu kama Hawa huwa nawaheshimu sana waislamu💯💯

  • @amaninyekele5002
    @amaninyekele5002 4 месяца назад +14

    mtu muungwana sana na mpenda Mungu. Mungu akujaalie maisha marefu yenye furaha tele Prof