ZUMARI - AZAM TV | Paul Kimiti, waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu kwenye utawala wa Nyerere
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Miongoni mwa viongoz wazoefu wa Tanzania aliyewahi kuhudumu wakati wa Mwalimu Nyerere kisha kuhudumu kwenye serikali zilizofuata.
Je, katika kipindi hicho chote alifanya nini? Je, historia yake hadi kufikia kwenye uongozi wa serikalini ni ipi?
Ungana na Jaafar Mponda katika ZUMARI akizungumza na waziri wa zamani Paul Kimiti.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Dhuuuu!! Yaani leo ndugu
Mtangazaji umenikumbusha maisha yangu ya shule.
Namkumbuka sana Mh.
Mzee Kimiti nikiwa shule.
God Bless him.
Mheshimiwa Peter Kimiti pokea salaam zangu nyingi sana. Mungu akulinde. Mimi Gabriel Kige Machotta Katibu wa taxi CCM Uyole wakati huo. Nadhani unanikumbuka.😃😃💖💖
Nimefurahishwa na kipindi hiki lakini zaidi namna ambavyo mzee Paul Kimiti alivyolitumikia Taifa letu, ninajua uzalendo wake unyenyekevu na upendo na ucheshi, alikuwa mtu wa watu, nimeandika hivi kwa sababu nimekutana na mzee Kimiti mara kadhaa akiwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, naamini hata tukikutana naye leo atanikumbuka. Mzee wangu Mungu akubariki na akupe maisha mema.
Ni kweli ulipokua mkuu wa mkoa wa Mbeya tulikupenda sana.hakika mzee Kimiti ni mzalendo wa kweli.mungu akupe maisha marefu
Nakutakia kila la kheri katka maisha yako kama mstaafu . Mungu akulinde
Hawa ndo wazalendo Original!!natamani wangekuwa madarakani na uzee wao. walijitolea kila kitu kwa ajili ya Taifa lao!! Mungu akuzishie Umli mrefu na Afya njema mzee KImiti
Namkumbuka sana mzee Paul Kimiti wakati huo akiwa Mkuu wa Chuo MATI Nyegezi. Baba namefurahi sana kukuona ukiwa bado unapeta tena unacharaza na gitaa. Nakutakia kila la kheri baba.
Baba natamani nikuone umenifurahisha na utendaji wako wa kazi zote ulizo fanya Allah akubariki Akupe uzima afya bora na maisha marefu inshallah
Kipindi kizuri sana kaka Jaffar. Nakupa kongore
ASANTE MZEE KIMITI, UMENIJENGA SANA. ELIMU HAINA MWISHO. HATA MTU AKIFA BADI DHAMIRA NDOTO NA MATAMANII HAYAFI BALI YANAANZA NA KUSHAMIRI KAMA MWANZO. ASNTE SANA BABA. 🙏
asante programme safi sana, you are very creative. watafute wanawake waliofika vyeo vya ngazi za juu kabisa jeshini, wapo hapo wanahesabika, na walikwepo jeshini wakati wa vita ya uganda, jaribu kuwatafuta kaka, watakuwa na nafasi na mafunzo mazuri sana kwa kinadada :)
U mfano wa kiugwa kwa uzalend, utu nakupenda watu. Tunakukunbuka Baba. Mungu akuongezee maisha zaidi
Mwandishi/ mtangazaji Amiri mponda hakuwa articulate kuuliza maswali vizuri ameacha point nyingi muhimu mfano hiyo santuri aliyotunga mzee kimiti ilipata sifa sana ulaya ndo maana walipata pesa nyingi na ilikuwa maarufu sana.kipindi nipo ulaya watu wengi wenye umri mkubwa waliniuzia sana mtunzi vipi bado yupo ?? Lakini mtangazaji hajagusia hilo sana.ingefaa akaweka ile origin play watu wasikie
Kipindi kizuri, maudhui yake yanavutia, mtangazaji amesherehesha vizuri sana akiwemo namna ya uulizaji maswali kulingana na mhojiwa maswali hakika Kipindi na mtangazaji vipo vizuri barabbara, zidi kuongeza bidii fukua viongozi zaidi wa zamani tuzidi kupata tusiyoyafahamu juu yao.
Hongera mtangazaji, Hongera Kipindi cha Zumari Hongereni Azam TV.
Vipindi kama hivi ni muhimu sana.tunajifunza na kufahamu kwamba kujenga nchi siyo lele mama.Pongezi kwa muandaaji wa kipindi...hivi ndo vipindi haswaa
Mungu akulinde
Mungu Ambarik sana
Mashallah
Watu na haki. Safi kabisa ndio JPM alovyozingaria. Hongera Mzee Kimiti.
Don’t be blind, unaelewa maana ya neno HAKI?
Huyu Mzee ni kweli kabisa kiongozi wa kuigwa
jamani ikiwapendeza nendeni mfanye mahojiano pia nawazee wa wa maisha ya kawaida ukiacha hawa waliohudumu nafasi kubwa, wakulima,wafugaji,wakata mkonge,nk
Huo wimbo nimeupenda,,
Mzee umenikumbusha saana babu zangu wakina chief mhumbi ziota na msisa ziota nahisi umri wenu ulikuwa sawa
Kweli mzee ni mzalendo wanacho niudhi Mimi hawakai kwenye mikoa Yao waliko toka Kama walivyo Akina msekwa sumaye arecela
Nimependa hiki kipindi saaafi sana
Kafunika vjn aloo wengi ni wanamuzk ila hawajui kupiga vyombo vya mzk
Nimefurahi kukuona babu watoto wetu Safia Z maskn dada yake mama ngalu nae alifariki namama yake safia Paskalia
Hakika mkoa Mbeya ulikufaa sana pia mimi binafsi ulinifaa sana sitokusahau nakutakia maisha marefu
Cha zamani ni dhahabu
Please mtangazaji Zima background music ili tuweze msikia mgeni badala ya muziki kutuchanganya
Wow wazee hazina hawa
Mashallah jamani wazee kama hws Tbc mpo wapi muwe mnatafuta wazee kamahawa
@@maryammeme3203 mpaka Leo hayo uyasemayo mzee ndio yanatusaidia wengi mungu akupe umri mrefu
Big up saana baba Paul kimiti! Moja ya majabari imala yaliobaki, historia nzuri sana
Uzarendo ndani ya damu duuu!
Ha ha ha ha ha baba umenifurahisha sana eti watu wakikuzoea sana wataanza kukuita shemeji
Old is gord
Gold
Safi Sana baba yangu kipenzi wewe ni dira na kioo Cha familia Mungu azidi kukupa maisha marefu 🙏🙏 barikiwa sana 🙏
@@shenjamamzingi7950 ulimi tuu
Kimiti alipata kuwa mwenyekiti wangu wa ccm kule Uyole Mati mimi nikiwa katibu wake wa ccm.
Mwakata mzee ziliningo mwatwima chani
Uzalendo...akili ya kujitegemea...ubunifu...
Alipendwa sana Mbeya ingawa yeye ni wa Sumbawanga...
Huyu ni mtanzania mzalendo anayeijua na kujivunia nchi yake.
Huyu Ni mtanzania Hawa waliopo walio wengi Ni kupiga Pesa Na UBINAFUSI ndio MAANA NCHI YETU INA SUA SUA KWANI WENGI NI WALAJI WACHACHE WENYE MIOYO YA KULICHUKUA TAIFA MBELE MZEE KIMITI BADO TUNA MUHITAJI SANA TUSIYAFUMBIE MACHO KWA HAWA WALIO TULIA NA WANAO IJUA NCHI VIZURI ZAIDI TUKIJUA KILIMO NDIO UTI WA MGONGO
Kabisa
Mungu akupe maisha marefu baba yangu mzee Kimiti karibu Kilimanjaro
Haya maisha yani ndugu 13 wote wame fariki kubaki wawili hii ni bahati
da? mzee wewe kweli nimzalendo
Hawa wazee wasingejari uzalendo wao haondio koozaoleo mali tote ya Tanzaniaingekuwa kwao hata wezi leowangeiba nini walijarivizazi vyao wale wezi wangeliona wapi darasa hadi waibe?
Alaf zamani watu wana soma tuu ana ajiriwa fasta skuizi degree ni sawa na cheti feki 😂😅😅😀😃
Alikuwa member body wetu enzi ya Rais hayati mwl nyerere wa gazeti la nationalist na uhuru mimi nikiwa ps wa marehemu Rais mkapa
Mkuu wa mkoa mbeya,,
Ndugu mtangazaji nakuona BBC, au DW, kongole kwako