ZUMARI - AZAM TV | Paul Kimiti, waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu kwenye utawala wa Nyerere

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Miongoni mwa viongoz wazoefu wa Tanzania aliyewahi kuhudumu wakati wa Mwalimu Nyerere kisha kuhudumu kwenye serikali zilizofuata.
    Je, katika kipindi hicho chote alifanya nini? Je, historia yake hadi kufikia kwenye uongozi wa serikalini ni ipi?
    Ungana na Jaafar Mponda katika ZUMARI akizungumza na waziri wa zamani Paul Kimiti.
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 55

  • @rahmahersi2116
    @rahmahersi2116 3 года назад +6

    Dhuuuu!! Yaani leo ndugu
    Mtangazaji umenikumbusha maisha yangu ya shule.
    Namkumbuka sana Mh.
    Mzee Kimiti nikiwa shule.
    God Bless him.

  • @gabrielmachotta1384
    @gabrielmachotta1384 3 года назад +3

    Mheshimiwa Peter Kimiti pokea salaam zangu nyingi sana. Mungu akulinde. Mimi Gabriel Kige Machotta Katibu wa taxi CCM Uyole wakati huo. Nadhani unanikumbuka.😃😃💖💖

  • @petersulle9824
    @petersulle9824 3 года назад +3

    Nimefurahishwa na kipindi hiki lakini zaidi namna ambavyo mzee Paul Kimiti alivyolitumikia Taifa letu, ninajua uzalendo wake unyenyekevu na upendo na ucheshi, alikuwa mtu wa watu, nimeandika hivi kwa sababu nimekutana na mzee Kimiti mara kadhaa akiwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, naamini hata tukikutana naye leo atanikumbuka. Mzee wangu Mungu akubariki na akupe maisha mema.

  • @morrischaula1479
    @morrischaula1479 3 года назад +2

    Ni kweli ulipokua mkuu wa mkoa wa Mbeya tulikupenda sana.hakika mzee Kimiti ni mzalendo wa kweli.mungu akupe maisha marefu

  • @gabrielmachotta5193
    @gabrielmachotta5193 6 месяцев назад

    Nakutakia kila la kheri katka maisha yako kama mstaafu . Mungu akulinde

  • @timbukwa9771
    @timbukwa9771 3 года назад +5

    Hawa ndo wazalendo Original!!natamani wangekuwa madarakani na uzee wao. walijitolea kila kitu kwa ajili ya Taifa lao!! Mungu akuzishie Umli mrefu na Afya njema mzee KImiti

    • @nkunasuitbert7837
      @nkunasuitbert7837 3 года назад

      Namkumbuka sana mzee Paul Kimiti wakati huo akiwa Mkuu wa Chuo MATI Nyegezi. Baba namefurahi sana kukuona ukiwa bado unapeta tena unacharaza na gitaa. Nakutakia kila la kheri baba.

  • @parma786
    @parma786 3 года назад +1

    Baba natamani nikuone umenifurahisha na utendaji wako wa kazi zote ulizo fanya Allah akubariki Akupe uzima afya bora na maisha marefu inshallah

  • @ismamabrouk7437
    @ismamabrouk7437 3 года назад

    Kipindi kizuri sana kaka Jaffar. Nakupa kongore

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 3 года назад +2

    ASANTE MZEE KIMITI, UMENIJENGA SANA. ELIMU HAINA MWISHO. HATA MTU AKIFA BADI DHAMIRA NDOTO NA MATAMANII HAYAFI BALI YANAANZA NA KUSHAMIRI KAMA MWANZO. ASNTE SANA BABA. 🙏

  • @samasob8233
    @samasob8233 3 года назад

    asante programme safi sana, you are very creative. watafute wanawake waliofika vyeo vya ngazi za juu kabisa jeshini, wapo hapo wanahesabika, na walikwepo jeshini wakati wa vita ya uganda, jaribu kuwatafuta kaka, watakuwa na nafasi na mafunzo mazuri sana kwa kinadada :)

  • @zakariakanyeka8024
    @zakariakanyeka8024 3 года назад

    U mfano wa kiugwa kwa uzalend, utu nakupenda watu. Tunakukunbuka Baba. Mungu akuongezee maisha zaidi

  • @paulmadinda3990
    @paulmadinda3990 3 года назад +1

    Mwandishi/ mtangazaji Amiri mponda hakuwa articulate kuuliza maswali vizuri ameacha point nyingi muhimu mfano hiyo santuri aliyotunga mzee kimiti ilipata sifa sana ulaya ndo maana walipata pesa nyingi na ilikuwa maarufu sana.kipindi nipo ulaya watu wengi wenye umri mkubwa waliniuzia sana mtunzi vipi bado yupo ?? Lakini mtangazaji hajagusia hilo sana.ingefaa akaweka ile origin play watu wasikie

  • @mohamedmwikongi8533
    @mohamedmwikongi8533 3 года назад

    Kipindi kizuri, maudhui yake yanavutia, mtangazaji amesherehesha vizuri sana akiwemo namna ya uulizaji maswali kulingana na mhojiwa maswali hakika Kipindi na mtangazaji vipo vizuri barabbara, zidi kuongeza bidii fukua viongozi zaidi wa zamani tuzidi kupata tusiyoyafahamu juu yao.
    Hongera mtangazaji, Hongera Kipindi cha Zumari Hongereni Azam TV.

  • @ancyfridaprosper8633
    @ancyfridaprosper8633 3 года назад +1

    Vipindi kama hivi ni muhimu sana.tunajifunza na kufahamu kwamba kujenga nchi siyo lele mama.Pongezi kwa muandaaji wa kipindi...hivi ndo vipindi haswaa

  • @charlesbingwa6355
    @charlesbingwa6355 3 года назад +2

    Mungu akulinde

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад +1

    Mungu Ambarik sana

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 3 года назад +2

    Mashallah

  • @mwana4599
    @mwana4599 3 года назад +1

    Watu na haki. Safi kabisa ndio JPM alovyozingaria. Hongera Mzee Kimiti.

    • @jpthe_clerk5521
      @jpthe_clerk5521 3 года назад

      Don’t be blind, unaelewa maana ya neno HAKI?

  • @masungamashauri4070
    @masungamashauri4070 3 года назад

    Huyu Mzee ni kweli kabisa kiongozi wa kuigwa

  • @machibyamlundwa457
    @machibyamlundwa457 3 года назад +1

    jamani ikiwapendeza nendeni mfanye mahojiano pia nawazee wa wa maisha ya kawaida ukiacha hawa waliohudumu nafasi kubwa, wakulima,wafugaji,wakata mkonge,nk

  • @emilymngongo5173
    @emilymngongo5173 3 года назад

    Huo wimbo nimeupenda,,

  • @khadijakhamis5604
    @khadijakhamis5604 3 года назад +4

    Mzee umenikumbusha saana babu zangu wakina chief mhumbi ziota na msisa ziota nahisi umri wenu ulikuwa sawa

    • @thomassenga2526
      @thomassenga2526 3 года назад

      Kweli mzee ni mzalendo wanacho niudhi Mimi hawakai kwenye mikoa Yao waliko toka Kama walivyo Akina msekwa sumaye arecela

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 3 года назад +1

    Nimependa hiki kipindi saaafi sana

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 3 года назад +2

    Kafunika vjn aloo wengi ni wanamuzk ila hawajui kupiga vyombo vya mzk

  • @captioncapition2574
    @captioncapition2574 3 года назад +1

    Nimefurahi kukuona babu watoto wetu Safia Z maskn dada yake mama ngalu nae alifariki namama yake safia Paskalia

  • @samuelngogo5572
    @samuelngogo5572 3 года назад

    Hakika mkoa Mbeya ulikufaa sana pia mimi binafsi ulinifaa sana sitokusahau nakutakia maisha marefu

  • @khadijakhamis5604
    @khadijakhamis5604 3 года назад +4

    Cha zamani ni dhahabu

  • @nicksonmlaypwe480
    @nicksonmlaypwe480 3 года назад

    Please mtangazaji Zima background music ili tuweze msikia mgeni badala ya muziki kutuchanganya

  • @jacksonlugongo4343
    @jacksonlugongo4343 3 года назад +2

    Wow wazee hazina hawa

    • @maryammeme3203
      @maryammeme3203 3 года назад +1

      Mashallah jamani wazee kama hws Tbc mpo wapi muwe mnatafuta wazee kamahawa

    • @hamisirashidi3190
      @hamisirashidi3190 3 года назад

      @@maryammeme3203 mpaka Leo hayo uyasemayo mzee ndio yanatusaidia wengi mungu akupe umri mrefu

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 3 года назад

      Big up saana baba Paul kimiti! Moja ya majabari imala yaliobaki, historia nzuri sana

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 3 года назад

      Uzarendo ndani ya damu duuu!

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 3 года назад

      Ha ha ha ha ha baba umenifurahisha sana eti watu wakikuzoea sana wataanza kukuita shemeji

  • @khadijakhamis5604
    @khadijakhamis5604 3 года назад +3

    Old is gord

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 3 года назад +1

      Gold

    • @florakimiti8440
      @florakimiti8440 3 года назад +1

      Safi Sana baba yangu kipenzi wewe ni dira na kioo Cha familia Mungu azidi kukupa maisha marefu 🙏🙏 barikiwa sana 🙏

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 года назад +2

      @@shenjamamzingi7950 ulimi tuu

  • @gabrielmachotta5193
    @gabrielmachotta5193 6 месяцев назад

    Kimiti alipata kuwa mwenyekiti wangu wa ccm kule Uyole Mati mimi nikiwa katibu wake wa ccm.

  • @omaryregga5315
    @omaryregga5315 3 года назад

    Mwakata mzee ziliningo mwatwima chani

  • @mutazilitesfreethinker6484
    @mutazilitesfreethinker6484 3 года назад

    Uzalendo...akili ya kujitegemea...ubunifu...
    Alipendwa sana Mbeya ingawa yeye ni wa Sumbawanga...

  • @eddydben
    @eddydben 3 года назад

    Huyu ni mtanzania mzalendo anayeijua na kujivunia nchi yake.

  • @eddiemsongelanzi5395
    @eddiemsongelanzi5395 3 года назад +2

    Huyu Ni mtanzania Hawa waliopo walio wengi Ni kupiga Pesa Na UBINAFUSI ndio MAANA NCHI YETU INA SUA SUA KWANI WENGI NI WALAJI WACHACHE WENYE MIOYO YA KULICHUKUA TAIFA MBELE MZEE KIMITI BADO TUNA MUHITAJI SANA TUSIYAFUMBIE MACHO KWA HAWA WALIO TULIA NA WANAO IJUA NCHI VIZURI ZAIDI TUKIJUA KILIMO NDIO UTI WA MGONGO

    • @eddydben
      @eddydben 3 года назад

      Kabisa

    • @evermathew1549
      @evermathew1549 3 года назад

      Mungu akupe maisha marefu baba yangu mzee Kimiti karibu Kilimanjaro

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад

    Haya maisha yani ndugu 13 wote wame fariki kubaki wawili hii ni bahati

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza1984 3 года назад +2

    da? mzee wewe kweli nimzalendo

  • @charlesgasper2243
    @charlesgasper2243 3 года назад +2

    Hawa wazee wasingejari uzalendo wao haondio koozaoleo mali tote ya Tanzaniaingekuwa kwao hata wezi leowangeiba nini walijarivizazi vyao wale wezi wangeliona wapi darasa hadi waibe?

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад

    Alaf zamani watu wana soma tuu ana ajiriwa fasta skuizi degree ni sawa na cheti feki 😂😅😅😀😃

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад

    Alikuwa member body wetu enzi ya Rais hayati mwl nyerere wa gazeti la nationalist na uhuru mimi nikiwa ps wa marehemu Rais mkapa

  • @posterfarjarman967
    @posterfarjarman967 3 года назад

    Mkuu wa mkoa mbeya,,

  • @rashidimvano1477
    @rashidimvano1477 3 года назад

    Ndugu mtangazaji nakuona BBC, au DW, kongole kwako