TOP 10: KAULI ZA BABA WA TAIFA MWL. NYERERE ZILIZOTIKISA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- TOP 10: KAULI ZA BABA WA TAIFA MWL. NYERERE ZILIZOTIKISA
Trh 14 october mwaka 2019 ni maadhimisho ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa, hayati Jullius Kambarage Nyerere.Katika uhai wake kuna mambo mengi sana ambayo amekuwa akiyasema katika njia ya kufikisha ujumbe wa namna anavyochukizwa na hivyo vitu.Hii leo nimekuletea kauli 10 za baba wa taifa zenye nguvu zinazoendelea kuishi mpaka leo.
Ilikuwa ni mwaka 1995 wakati wa kamati kuu ya CCM ilipoketi kule Dodoma kwenye vikao vyao vya kumteua mgombea urais ambaye atamrithi rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi. Ndipo mwalimu Jullius Kambarage Nyerere alipopata nafasi ya kutoa nasaha zake, ambapo katika hotuba yake alizungumzia mambo mbalimbali kwanza alizungumzia adui namba moja wa taifa hili, Rushwa na namna ambavyo kiongozi ajaye anatakiwa apambane nayo.
#miaka20yakumbukiziyababawataifa
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:www.youtube.co....
Dah maraisi tanzania ni wawilitu mzee wetu muasisi wetu nyerere na magufuri
kauli ya Nyerere nguvu ya kumpiga tunayo, sababu ya kumpiga tunayo na nia ya kumpiga tunayo ni bongeeeee la kauli ya kishujaa I like it
Uliipenda Tanzania"
Hukuwapendelea wazanaki
hukujenga sana msoma.
Naamini ulimpendeza mwenyezi Mungu.
Nyerere namkubali huyu mzee sana
Mwalimu aliongea point. Na alijitahidi kadri ya uwezo wake kulingana na mazingira Yale kwa utawala wake. Tusimlaumu saaaana. Hakujipendelea na familia yake hakujikweza hakuishi kifahari hakujilimbikizia Mali. Hakujiuzia nyumba za umma. Watoto wake tunapishana nao kwenye daladala aliondoka madarakani mwenyewe katiba iliyopo ilimkera hata yeye. Bigup mzee
Kiongozi. ....Chief. ....Teacher....Baba wa Taifa...
JPM anatambaa mulemule. .Rushwa...Udini...U chama. .Umoja....Maendeleo. .Utetezi wa wanyonge...Pambana na Colonial master. .Make tanzania great again
_mnao mkubali uyu jamaa tupia like kwanza tuwende sawa kaka tunaomba makala ya JPM mana uwa unatoa makala nzuri sana kaka nakukubali sana kwa makala zako_
Ya JPM IPO kitambo tu
@@jamesmzaak7258 _nataka makala mfululizo za magu_
😏😏
Hizo za JPM ziandae wew maana hujielewi mtu bado hajawa legendary unataka aandaliwe story
Nyie wote hamjakimbiza gari lamaiti mkizani sukari nyerere mjanja mjanja wa kuongea Lkn mbinafsi wa madaraka hstari
2021 jpm magu amekufata mwalim mpokeh mdogo wako dah mungu awapunguzie adhab y kaburi insha allaah
Mwalimu Alikuwa mtu anayefikiri sana. Yaani mwanazuoni na alikuwa na elimu ya kawaida saana ila tofautisha na wasomi wenye elimu kubwa Leo wanachotaka ni kujulikana tu wanazo elimu na kupata kuogopwa mitaani labda na kutisha wenye elimu darasa ndogo.
Ila kuelimika pamoja na ukubwa wa Darasa huwa ni kuonekana kwa matumizi chanya ya hiyo elimu ndugu zangu
Mwalimu Nyerere nilianza kumsikiza hapa Kenya nikiwa na umri mdogo sana. Baba wa taifa la Tanzania alikuwa kipawa kikuu Afrika Mashariki.
Mzee alikuwa Noma sana
2021 Kama unasikiliza Mpaka Leo gonga like hapa
Sokone
Nipo
Memorable person
Kamanda wetu,nchi yetu imepata viongoz Bora kutokana namsimamo wako baba wataifa good job mwl,👁️👁️👁️👁️👁️
Nipo
Hapo kwenye udini umenikosha!! Mambo ya dini yangu hayamuusu mwingine! Bravo! Hakuna vita mbaya km ya udini!
Kama hakua na udini, kwa nn watu wengi wakati wake walibadili majina na kujiita majina ya kikiristo?
Halafu watendaji wake wengi walikuwa wagalatia why..!?
@@hassanmfaume4522 sasa we ulitaka achague viongozi kwa kubalance dini anachagua kutokana na uwezo ikitokea wagalatia ni wengi au wajukuu wa mtume haimaanishi alikuwa ni mdini
@@pjones1035, Watu walikua na uwezo wao na ndio ukaona wengine walipobadili majina walichaguliwa.
hahahah propaganda hizo mbona alivyomchagua mwinyi agombee urais mbona hamkusema alikuwa mdini au mwinyi mgalatia
Bado mpaka saiv sjaona kiongozi aliyemfikia hata nusu mwl.Nyerere,atabaki wa pekee kwenye Taifa hili
Akika trh14 oct ilikua nisiku mbaya sana kwetu, mwenyezi mungu akulinde na akuangaze daima baba yetu
Ni moja ya viongozi Simba saana wa Afrika! Mwl Julius Nyerere.
Mwalimu tunapenda mafundisho yake hapa Kenya.
Mtangazaji NA Kupenda Sana Aswa Sauti yako2💪💪💪
Mungu akupumzishe mahali pema peponi. Amina.
Huyu baba aliandaliwa na mwenyezi mungu kabla hata ya kuzaliwa kwake rest in peace we all love you and miss u😔
We still lv yo,hotuba zako zinamanufaa San kwel,plz tunaomben na historia ya maisha yake ya baba wa taif .
May 2020 bado ujumbe una nguvu na utakuwa na nguvu milele! Natamani kama viongozi wetu wangechota hii HEKIMA ya huyu Masiya wa MUNGU R I. P
2020 kama unasikia mpaka Leo gonga like, udini ahahahahahahaaaaaaaaa
nampenda sana nyerere
Respectfully From East Africa especially Somalia 🇸🇴 capital Mogadishu to Tanzania capital Dodoma.
Nmependa ulipomalizia Mr. Ananias Edgar
Indigo children
1. Mwalimu Julius Nyerere
2. John Pombe Magufuli
..
..
..
..
..
..
......... Prince Katega II ...........
And shija mayala
@@shijamayala8127 Sawa I love your confidence
2 mkapa
Hii kichwa hatar,, ama kweli watu wema hawadum RIP Jk nyerere
Huyu si mwalim ni Mwalim Mkuu,
JK fikra mitazamo yake itatusumbua sana na haitofutika, daima. Ninyi wasomi wa ss mnowaza starehe na vito vya dhamani mmeifanyia nn tanzania
Bila ya baba wa taifa tusingekuwa hapa r. I. P mwalim🙏🙏🙏🌷
Asingekua Allah tusingekua hapa
Sio kwel
@@mohamedindalo2663 jeh amani na utulivu wa huu nch tungeiptje???
Tusingeli kuwa hapa . Kwani muwapi?
Hizi Sasa kufuru.
Pumuzika kwaa Amani baba japo nime zaliwa umesha fariki Lakin wewe ni mwamba maana mzee wangu kanisimulia mazuri yako na mengine naona kwenye mtandao mungu akupe Amani ya milele uliijenga CCM imara Lakin saiv kilichobaki ni kivuli tuu cha CCM viongozi ni wachumia tumboo tuu wote
Utakuwa na serikali ya watu laki tatu,tena unakuwa na serikali ya watu mil12 unakuwa na serikali ya watu mil kumi na mbili na laki tatu kama umeelewa hiyo dondosha like
I love you my father...president Nyerere. You loved the young generation. Your ahead of time. You loved Africa. Remember us in doing our best. African fathers
pumzka kwa Aman baba Wa taifa hakika ulikuwa kiongz bora tulikupenda sana kwan tulizaliwa tunayakuta mengi uliyofanya mpka unatuacha tutakukumbka daima.,,,,,,kama unaamin alitutoa mbali gonga like twend sawa.
ambae yupo online anaskiliza maneno10 ya baba Wa taifa tujuane
Mungu alimpatia hekima sana
LEO UMENIFURAHISHA SANA TUANDALIE STORY NZURI INAYO MUUSU ATA YA MASAA MAWILI NAAMINI UMEACHA MENGI
Tanzania tumebalikiwa sana upande wa viongozi kutoka kwa baba had kwa mzee magu
Alikuw future minded Nyerer
He was a philosopher by nature,it is real your speech is a value for the development of our country..Rest In Peace our Mwalimu.
Mwalimu amefariki,lakini hajafa
Akili za ww hazikua za kawaida ....,thanks GOG bless our Tanzania
Siyo kwamaba Mwalimu alisema hataki dini,naomba muwe na uelewa kwanza ameanzia wapi kuongea na kwanini kauli hiyo akaitamka..Nikusaidie,amezungumzia njia zinazoweza kutugawa katika nchi moja,akazungumzia Ukabila na Udini,Kwamba isifikie tukautukuza udini wetu na ukabila hata ikafikia tukachaguana kwa erementi hizo mbili za ukabila na udini..Siyo kwamba dini hakuitaka kwanj yeye mwenyewe alikua na dini.
Huyu ni mwamba
Asante bro kwa kutukumbusha baba yetu wa taifa
Nikweli Bora adhabu ya viboko ilejeshwe,nawawe wanachapwa hadhalani nasi mahakamani iwe kwenye eneo la wavi ili wananchi tushuhudie wakichapwa
Yani leo umenigusa sana kwani BABA ALIKUWA MWALIMU KWELI LALA SALAMA🙏 pita na like🤛
Mungu awe nawe popote ulipo mzazi
@@christophermachibya1496 lo)lppp)pl po
Imekaa poa sana,
You are the good presenter...
Rest in peace baba wataifa amini wewe ulikuwa kiumbe Cha pekee kuwai kutokea kwenye aridh ya tz
Amizing sound and logic person never happened after him and no one will happen hundred years to come, big up baba wa taifa
Hatuta pata kiongozi ambae ni INTELLIGENCE katika hili taifa kama huyu
salut baba wa taifa🎓
Great, watching today 14.10.2021 His soul may rest in Paradise.
Bado na kuangalia mzee wangu hadi Leo 2021/04/21
Hakika alikuwa Raisi mwenye upeo mkubwa sana.M/Mungu aendelee kumfanyia wepesi uko alipo na amsamehe dhambi zake.
2022.
A man from Nowhere....
Channel yenu mko safi kwa kuweka MAMBO makini .Asanteni sana.
Sawa Raisiwetu
Nakukubali Sana mwalimu na kwa Hakika nitaendelea kukubali, lkn ulipokosea sna budi kunena. Kauli Dini ya nini aaaah hapa kdg Nina mushkeli, ila all in all no one perfect except God.
Dini inaleta ubaguzi kwenye nchi endapo serikali itafata mkumbo,waislam kuweni waelewa serikali ya nchi yetu Haina dini ndo Mana inaziheshimu dini zote na wasio na dini pia
Tunakubali sana kaka denisi mpagaze unajua sana
Nakukumbuka sana baba yetu.
Like zenu wadau, Leo October 14 2019,
R .I.P baba wa taifa daima tutakuenzi kwa ushujaa wako na kuudumisha pia umoja na mshikamano
Nice father of national
Hakuna kama mwl j k nyerere alikuwa MTU makini sana rest in peace utakumbukwa na watanzania siku zote
Sema angeacha serikali iwe moja alafu Zanzibar itoe mwakilishi tuu
Global tv nawakubali,, tarifa zenu zimepikwa vzur
Akika mwalimu wa maono alifariki akilili Taifa la Tanzania,mungu jatupa JPM,pumzika kwa amani muanzilishi wa Tanzania😭😭😭😭🇦🇫
Baba NYERERE I love you Dady
Tunamkumbuka Sana baba wataifa
Daer lord & heaven faher would you give us THE man like nyerere/ Magu. But i believe at u're promise.Amin
huyu mzee nilimkubali alipomtowa Ediy Ami Dadaa pale alipojipendkeza TZ kutok UGANDA, yaan ni noma alimficha kbsa
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza
Wengi maadui wa nchi yetu wametumia hotuba hiyo kuhusu dini kujiimarisha kisiasa ila kweli hizo zilizo ibuka baada ya hiyo speech hazimuwakilishi Mungu!
Hongera and RIp
Hakuwa tu Rais bali Baba wa Afrika.
Kwakua aliamini sana njia pekee ya kuepukana na umasikini, nikujikomboa kifikra, kufanya kazi kwa bidii na kujitegemea.
Hakika najivunia yeye.
Mimi ni kazazi kipya lakini sijawahi kuacha wala kuchoka kuyasikiliza madini ya mzee baba Kambarage wa Nyerere We love you baba and We miss you Papa.😍😢
Kama sio judi zako nyerere na uhuru 2ngepata wapi....leo Tz 2mezaliw 2mekuta nchi inauhuru respect kwako.....
Mwl alisema watanzania wanataka mabadiliko hakusemaa hakusema watanzania wanataka viongozi wa kudumu. Tusibishane hapa. Maana hamkawii
17:41 namuona mkapa anasikiliza kwa makini sana
Kama una amini mwl. Nyerere alikuwa jembe gonga like
He will stay in our life forever.... 🇹🇿
Kwa kweli bado tunamkumbuka mwalimu. Bado tunakupenda sana watanzania
Mwalimu tunakupenda kutoka Ufaransa !
unadhani MWL Wa walimu duniani alitoka wapi kama si tz butiama busara zako hazijafa zinatuongoza nakuombea ukae mkono Wa kiume kwa baba alie juu amen
Habari ya ufaransa
mzee aliona mbali ila kuna siri juu ya utekelazaji wa majukumu ku guard kumezwa kwa zanzibar kwa viongozi waliofwata.
kwa mara ya kwanza hujamsemea umemuacha akajisemea
Global TV Online
Ingependeza zaid kma mngetuletea Makala ya marehemu Moringe Sokoine
🤔Mbeba maono hafi hadi mpango wa Mungu utimie
Ama kweli watamzania wanataka mabadiliko na siyo kubaki sehem ileile miaka na miaka mwishoe wawe wakuukuu.... Ninafasi kwako wew uliye juu hatua gani umezifikilia na ukachukua kubadili maisha ya watanzania.... Je ni yaleyale ya miaka na miaka iliyopita .. kuandaa pembejeo za kilimo, kuleta maji, barabara, na umeme . Au utasema maneno na kibinadam.. 😦😮Aaaa watajijua wenyewe.
Jemedali ameumaliza mwendoooooo
mwalimu Nyerere he is a very good man
A son of absolutely king.
Tutamukumbuka nyerere Milele.
Zesoo Tv mungu mukubwa huyo mwlm km magufur
Zesoo Tv km tu utakuwepo milele
@@mariammammu9641 m
Kuongoza nchi au kuwa kiongozi unatakiwa uwe na busara hekima na uzalendo pia lazima uwe na mutazomo wa kutazama mbele.
Tanzania kwanza mungu atubari na kutulinda Milele pia tupate viongozi wenye uzalendo na nchi yetu.
Sikupingi broo 👍👍👍
Mwalimu Nyerere the true African hero💯
Sisi Wakenya tunakukubali sana
Pamoja sana hayati
Kumbe mzee baba alikuwa anavuta sigara daah!!
Na mie pia nilikuwa sijui
Hakutuwepo kwenye Uongozi wako ila we miss you
octavian hellen
tutakukumbuka baba
Baba wa Taifa Mwalimu haupo ila Tanzania imepata mrithi wako.Magufuli in mtoto wako.
Una makengeza. Usimfananishe mwalimu na MTU mwingine yeyote hapa
Kweli ni damu moja na Magufuli
Usinfananishe mwalimu na uyoo kibaraka wako aise
Ni kweli magufuri alifuata maadili ya mwalimu.
Genius julius💪💪R.I.P
Mwalimu njererev
Mh kama anazungumza leo nmeipenda 🏳🏳🏳🏳🏳
Haya ni majembe tupu.huyu anaishi mpaka leo.akili Mingi na uzalendo mwingi.mwenye maono,I live in his legacy,hautafutika milele na milele,vizazi na vizazi miongoni mwa Watanzania.
Thanks father
the great leader sio kama jomo kenyatta
Pumzika kwa amani baba wa taifa hili kubwa la Tanzania
Huyu mzee mimi namuheshimu sana coz alituwekea misingi mizuri na imara katika nchi hii.. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 R I P mchonga baba wa taifa hili Tz Mwalimu Julius Kambalage Nyerere
Sio kweli kabisa kabisa maneno yako huyu alipandikiza mbegu ya ubaguzi pale Zanzibar uunguja NA upemba mpaka Leo wapemba Wana baguliwa uunguja!!????? Aliokuwa akisema Sio aliotenda....!!!!
@@kassimmohammed4949 mlibaguana wenyew acha uongo hizo mbegu unazosema amepanda ni kazi rahisi sana, Fanya hivi chukua panga nenda kakate miche yake kama imechipua shida iko wapi!
Kweli ww ulikuwa Baba wa Taifa. Mungu Mwema.
Huyu jamaa alikuwa anauwezo kama wangu yaan anafikil kwanza afu akipata jibu anaamua af anaangalia akisha pata jib nn kitaokea akiwa hayupo swal moja ila analipatia majib hat mala kumi yake unapo kuja ww mbumbumbu unaanza kuongea utopolo
Fikra zako baba wa taifa zinaishi milele.
FIKRA ZAKO ZINAISHI MILELE