TOP 10: KAULI ZA BABA WA TAIFA MWL. NYERERE ZILIZOTIKISA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • TOP 10: KAULI ZA BABA WA TAIFA MWL. NYERERE ZILIZOTIKISA
    Trh 14 october mwaka 2019 ni maadhimisho ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa, hayati Jullius Kambarage Nyerere.Katika uhai wake kuna mambo mengi sana ambayo amekuwa akiyasema katika njia ya kufikisha ujumbe wa namna anavyochukizwa na hivyo vitu.Hii leo nimekuletea kauli 10 za baba wa taifa zenye nguvu zinazoendelea kuishi mpaka leo.
    Ilikuwa ni mwaka 1995 wakati wa kamati kuu ya CCM ilipoketi kule Dodoma kwenye vikao vyao vya kumteua mgombea urais ambaye atamrithi rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi. Ndipo mwalimu Jullius Kambarage Nyerere alipopata nafasi ya kutoa nasaha zake, ambapo katika hotuba yake alizungumzia mambo mbalimbali kwanza alizungumzia adui namba moja wa taifa hili, Rushwa na namna ambavyo kiongozi ajaye anatakiwa apambane nayo.
    #miaka20yakumbukiziyababawataifa
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ---------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEWS:www.youtube.co....

Комментарии • 513

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 года назад +5

    Dah maraisi tanzania ni wawilitu mzee wetu muasisi wetu nyerere na magufuri

  • @jeniphermaiko3886
    @jeniphermaiko3886 5 лет назад +13

    kauli ya Nyerere nguvu ya kumpiga tunayo, sababu ya kumpiga tunayo na nia ya kumpiga tunayo ni bongeeeee la kauli ya kishujaa I like it

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 3 года назад +6

    Uliipenda Tanzania"
    Hukuwapendelea wazanaki
    hukujenga sana msoma.
    Naamini ulimpendeza mwenyezi Mungu.

  • @VumiliaRobert-z3t
    @VumiliaRobert-z3t 7 месяцев назад +2

    Nyerere namkubali huyu mzee sana

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад +6

    Mwalimu aliongea point. Na alijitahidi kadri ya uwezo wake kulingana na mazingira Yale kwa utawala wake. Tusimlaumu saaaana. Hakujipendelea na familia yake hakujikweza hakuishi kifahari hakujilimbikizia Mali. Hakujiuzia nyumba za umma. Watoto wake tunapishana nao kwenye daladala aliondoka madarakani mwenyewe katiba iliyopo ilimkera hata yeye. Bigup mzee

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 4 года назад +7

    Kiongozi. ....Chief. ....Teacher....Baba wa Taifa...
    JPM anatambaa mulemule. .Rushwa...Udini...U chama. .Umoja....Maendeleo. .Utetezi wa wanyonge...Pambana na Colonial master. .Make tanzania great again

  • @focusmagesa7964
    @focusmagesa7964 5 лет назад +154

    _mnao mkubali uyu jamaa tupia like kwanza tuwende sawa kaka tunaomba makala ya JPM mana uwa unatoa makala nzuri sana kaka nakukubali sana kwa makala zako_

    • @jamesmzaak7258
      @jamesmzaak7258 5 лет назад +2

      Ya JPM IPO kitambo tu

    • @focusmagesa7964
      @focusmagesa7964 5 лет назад

      @@jamesmzaak7258 _nataka makala mfululizo za magu_

    • @rescotv8804
      @rescotv8804 5 лет назад +1

      😏😏

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 4 года назад +4

      Hizo za JPM ziandae wew maana hujielewi mtu bado hajawa legendary unataka aandaliwe story

    • @MamuduAziz-h1z
      @MamuduAziz-h1z 6 месяцев назад

      Nyie wote hamjakimbiza gari lamaiti mkizani sukari nyerere mjanja mjanja wa kuongea Lkn mbinafsi wa madaraka hstari

  • @iddyomary3736
    @iddyomary3736 3 года назад +3

    2021 jpm magu amekufata mwalim mpokeh mdogo wako dah mungu awapunguzie adhab y kaburi insha allaah

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 4 года назад +7

    Mwalimu Alikuwa mtu anayefikiri sana. Yaani mwanazuoni na alikuwa na elimu ya kawaida saana ila tofautisha na wasomi wenye elimu kubwa Leo wanachotaka ni kujulikana tu wanazo elimu na kupata kuogopwa mitaani labda na kutisha wenye elimu darasa ndogo.
    Ila kuelimika pamoja na ukubwa wa Darasa huwa ni kuonekana kwa matumizi chanya ya hiyo elimu ndugu zangu

  • @kennedysalanomashairi7187
    @kennedysalanomashairi7187 4 года назад +13

    Mwalimu Nyerere nilianza kumsikiza hapa Kenya nikiwa na umri mdogo sana. Baba wa taifa la Tanzania alikuwa kipawa kikuu Afrika Mashariki.

  • @ramadhanramadhan1847
    @ramadhanramadhan1847 3 года назад +121

    2021 Kama unasikiliza Mpaka Leo gonga like hapa

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 лет назад +77

    Hapo kwenye udini umenikosha!! Mambo ya dini yangu hayamuusu mwingine! Bravo! Hakuna vita mbaya km ya udini!

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 лет назад +2

      Kama hakua na udini, kwa nn watu wengi wakati wake walibadili majina na kujiita majina ya kikiristo?

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 5 лет назад

      Halafu watendaji wake wengi walikuwa wagalatia why..!?

    • @pjones1035
      @pjones1035 5 лет назад +5

      @@hassanmfaume4522 sasa we ulitaka achague viongozi kwa kubalance dini anachagua kutokana na uwezo ikitokea wagalatia ni wengi au wajukuu wa mtume haimaanishi alikuwa ni mdini

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 лет назад

      @@pjones1035, Watu walikua na uwezo wao na ndio ukaona wengine walipobadili majina walichaguliwa.

    • @pjones1035
      @pjones1035 5 лет назад +9

      hahahah propaganda hizo mbona alivyomchagua mwinyi agombee urais mbona hamkusema alikuwa mdini au mwinyi mgalatia

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 4 года назад +6

    Bado mpaka saiv sjaona kiongozi aliyemfikia hata nusu mwl.Nyerere,atabaki wa pekee kwenye Taifa hili

  • @prosperpuro1712
    @prosperpuro1712 5 лет назад +11

    Akika trh14 oct ilikua nisiku mbaya sana kwetu, mwenyezi mungu akulinde na akuangaze daima baba yetu

  • @madlipztanzania1931
    @madlipztanzania1931 5 лет назад +23

    Ni moja ya viongozi Simba saana wa Afrika! Mwl Julius Nyerere.

  • @philliplebahati6850
    @philliplebahati6850 5 лет назад +31

    Mwalimu tunapenda mafundisho yake hapa Kenya.

  • @saidamary6939
    @saidamary6939 4 года назад +6

    Mtangazaji NA Kupenda Sana Aswa Sauti yako2💪💪💪

  • @sharoombay8997
    @sharoombay8997 3 года назад +3

    Mungu akupumzishe mahali pema peponi. Amina.

  • @precioussimkoko7283
    @precioussimkoko7283 3 года назад +8

    Huyu baba aliandaliwa na mwenyezi mungu kabla hata ya kuzaliwa kwake rest in peace we all love you and miss u😔

  • @rosieeliahu7720
    @rosieeliahu7720 5 лет назад +5

    We still lv yo,hotuba zako zinamanufaa San kwel,plz tunaomben na historia ya maisha yake ya baba wa taif .

  • @chrisshonga
    @chrisshonga 4 года назад +4

    May 2020 bado ujumbe una nguvu na utakuwa na nguvu milele! Natamani kama viongozi wetu wangechota hii HEKIMA ya huyu Masiya wa MUNGU R I. P

  • @lomwardkupingwa3659
    @lomwardkupingwa3659 4 года назад +75

    2020 kama unasikia mpaka Leo gonga like, udini ahahahahahahaaaaaaaaa

  • @pindabutter2736
    @pindabutter2736 5 лет назад +10

    nampenda sana nyerere

  • @user-tp8fq9mb8e
    @user-tp8fq9mb8e Месяц назад

    Respectfully From East Africa especially Somalia 🇸🇴 capital Mogadishu to Tanzania capital Dodoma.

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 5 лет назад +6

    Nmependa ulipomalizia Mr. Ananias Edgar

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 года назад +4

    Indigo children
    1. Mwalimu Julius Nyerere
    2. John Pombe Magufuli
    ..
    ..
    ..
    ..
    ..
    ..
    ......... Prince Katega II ...........

  • @bulilotv279
    @bulilotv279 4 года назад +4

    Hii kichwa hatar,, ama kweli watu wema hawadum RIP Jk nyerere

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 5 лет назад +71

    Huyu si mwalim ni Mwalim Mkuu,

  • @michaelfrank6360
    @michaelfrank6360 4 года назад +12

    JK fikra mitazamo yake itatusumbua sana na haitofutika, daima. Ninyi wasomi wa ss mnowaza starehe na vito vya dhamani mmeifanyia nn tanzania

  • @mkenyaog3170
    @mkenyaog3170 5 лет назад +52

    Bila ya baba wa taifa tusingekuwa hapa r. I. P mwalim🙏🙏🙏🌷

  • @keyakeya8911
    @keyakeya8911 5 лет назад +6

    Pumuzika kwaa Amani baba japo nime zaliwa umesha fariki Lakin wewe ni mwamba maana mzee wangu kanisimulia mazuri yako na mengine naona kwenye mtandao mungu akupe Amani ya milele uliijenga CCM imara Lakin saiv kilichobaki ni kivuli tuu cha CCM viongozi ni wachumia tumboo tuu wote

  • @yudamsafiri7427
    @yudamsafiri7427 4 года назад +9

    Utakuwa na serikali ya watu laki tatu,tena unakuwa na serikali ya watu mil12 unakuwa na serikali ya watu mil kumi na mbili na laki tatu kama umeelewa hiyo dondosha like

  • @stephenf.sikolia7588
    @stephenf.sikolia7588 3 года назад +3

    I love you my father...president Nyerere. You loved the young generation. Your ahead of time. You loved Africa. Remember us in doing our best. African fathers

  • @sophydaud5351
    @sophydaud5351 5 лет назад +13

    pumzka kwa Aman baba Wa taifa hakika ulikuwa kiongz bora tulikupenda sana kwan tulizaliwa tunayakuta mengi uliyofanya mpka unatuacha tutakukumbka daima.,,,,,,kama unaamin alitutoa mbali gonga like twend sawa.

    • @sophydaud5351
      @sophydaud5351 5 лет назад

      ambae yupo online anaskiliza maneno10 ya baba Wa taifa tujuane

  • @piusilugata3795
    @piusilugata3795 4 года назад +5

    Mungu alimpatia hekima sana

  • @mikasatv1597
    @mikasatv1597 5 лет назад +46

    LEO UMENIFURAHISHA SANA TUANDALIE STORY NZURI INAYO MUUSU ATA YA MASAA MAWILI NAAMINI UMEACHA MENGI

    • @tibasimamkutano3862
      @tibasimamkutano3862 4 года назад

      Tanzania tumebalikiwa sana upande wa viongozi kutoka kwa baba had kwa mzee magu

  • @benjaminezekiel5339
    @benjaminezekiel5339 5 лет назад +18

    Alikuw future minded Nyerer

  • @samweljasson4029
    @samweljasson4029 5 лет назад +18

    He was a philosopher by nature,it is real your speech is a value for the development of our country..Rest In Peace our Mwalimu.

  • @idefonsiwilla7747
    @idefonsiwilla7747 4 года назад +1

    Akili za ww hazikua za kawaida ....,thanks GOG bless our Tanzania

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 5 лет назад +9

    Siyo kwamaba Mwalimu alisema hataki dini,naomba muwe na uelewa kwanza ameanzia wapi kuongea na kwanini kauli hiyo akaitamka..Nikusaidie,amezungumzia njia zinazoweza kutugawa katika nchi moja,akazungumzia Ukabila na Udini,Kwamba isifikie tukautukuza udini wetu na ukabila hata ikafikia tukachaguana kwa erementi hizo mbili za ukabila na udini..Siyo kwamba dini hakuitaka kwanj yeye mwenyewe alikua na dini.

  • @maxmaxmo5545
    @maxmaxmo5545 5 лет назад +2

    Asante bro kwa kutukumbusha baba yetu wa taifa

    • @habibumkalanga8959
      @habibumkalanga8959 4 года назад

      Nikweli Bora adhabu ya viboko ilejeshwe,nawawe wanachapwa hadhalani nasi mahakamani iwe kwenye eneo la wavi ili wananchi tushuhudie wakichapwa

  • @nisilesanga3602
    @nisilesanga3602 5 лет назад +135

    Yani leo umenigusa sana kwani BABA ALIKUWA MWALIMU KWELI LALA SALAMA🙏 pita na like🤛

  • @yoramdogezah8000
    @yoramdogezah8000 5 лет назад +7

    Imekaa poa sana,
    You are the good presenter...

  • @phdhemed358
    @phdhemed358 5 лет назад +17

    Rest in peace baba wataifa amini wewe ulikuwa kiumbe Cha pekee kuwai kutokea kwenye aridh ya tz

  • @mwitawambura2548
    @mwitawambura2548 4 года назад +5

    Amizing sound and logic person never happened after him and no one will happen hundred years to come, big up baba wa taifa

  • @smartsam629
    @smartsam629 4 года назад +12

    Hatuta pata kiongozi ambae ni INTELLIGENCE katika hili taifa kama huyu
    salut baba wa taifa🎓

  • @amosjoliga7121
    @amosjoliga7121 2 года назад +2

    Great, watching today 14.10.2021 His soul may rest in Paradise.

  • @salimnjowoka4357
    @salimnjowoka4357 3 года назад +2

    Bado na kuangalia mzee wangu hadi Leo 2021/04/21

  • @ibrahimnjohole1684
    @ibrahimnjohole1684 Год назад

    Hakika alikuwa Raisi mwenye upeo mkubwa sana.M/Mungu aendelee kumfanyia wepesi uko alipo na amsamehe dhambi zake.
    2022.

  • @charssamwel1015
    @charssamwel1015 5 лет назад +15

    A man from Nowhere....

  • @ntemikingi3531
    @ntemikingi3531 4 года назад +2

    Channel yenu mko safi kwa kuweka MAMBO makini .Asanteni sana.

  • @khaashfarfarid4221
    @khaashfarfarid4221 5 лет назад +1

    Nakukubali Sana mwalimu na kwa Hakika nitaendelea kukubali, lkn ulipokosea sna budi kunena. Kauli Dini ya nini aaaah hapa kdg Nina mushkeli, ila all in all no one perfect except God.

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 4 года назад +2

      Dini inaleta ubaguzi kwenye nchi endapo serikali itafata mkumbo,waislam kuweni waelewa serikali ya nchi yetu Haina dini ndo Mana inaziheshimu dini zote na wasio na dini pia

  • @barakapesha151
    @barakapesha151 2 года назад

    Tunakubali sana kaka denisi mpagaze unajua sana

  • @AmosLetema
    @AmosLetema 7 месяцев назад

    Nakukumbuka sana baba yetu.

  • @jamesclement3066
    @jamesclement3066 5 лет назад +27

    Like zenu wadau, Leo October 14 2019,
    R .I.P baba wa taifa daima tutakuenzi kwa ushujaa wako na kuudumisha pia umoja na mshikamano

  • @fadhilijuma5513
    @fadhilijuma5513 5 лет назад +6

    Nice father of national

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 5 лет назад +8

    Hakuna kama mwl j k nyerere alikuwa MTU makini sana rest in peace utakumbukwa na watanzania siku zote

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini 10 месяцев назад

    Sema angeacha serikali iwe moja alafu Zanzibar itoe mwakilishi tuu

  • @pendaeljonathan3972
    @pendaeljonathan3972 4 года назад

    Global tv nawakubali,, tarifa zenu zimepikwa vzur

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 4 года назад +5

    Akika mwalimu wa maono alifariki akilili Taifa la Tanzania,mungu jatupa JPM,pumzika kwa amani muanzilishi wa Tanzania😭😭😭😭🇦🇫

  • @zittotv9972
    @zittotv9972 5 лет назад +17

    Baba NYERERE I love you Dady

  • @emanuelsulle8831
    @emanuelsulle8831 2 года назад

    Daer lord & heaven faher would you give us THE man like nyerere/ Magu. But i believe at u're promise.Amin

  • @alphaboy0130
    @alphaboy0130 5 лет назад +4

    huyu mzee nilimkubali alipomtowa Ediy Ami Dadaa pale alipojipendkeza TZ kutok UGANDA, yaan ni noma alimficha kbsa

  • @cosmaskamugisha5918
    @cosmaskamugisha5918 Месяц назад

    Wengi maadui wa nchi yetu wametumia hotuba hiyo kuhusu dini kujiimarisha kisiasa ila kweli hizo zilizo ibuka baada ya hiyo speech hazimuwakilishi Mungu!

  • @samweligawa5247
    @samweligawa5247 5 лет назад +3

    Hongera and RIp

  • @isakabaragomwa296
    @isakabaragomwa296 2 года назад

    Hakuwa tu Rais bali Baba wa Afrika.
    Kwakua aliamini sana njia pekee ya kuepukana na umasikini, nikujikomboa kifikra, kufanya kazi kwa bidii na kujitegemea.
    Hakika najivunia yeye.

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 2 года назад

    Mimi ni kazazi kipya lakini sijawahi kuacha wala kuchoka kuyasikiliza madini ya mzee baba Kambarage wa Nyerere We love you baba and We miss you Papa.😍😢

  • @georgembilinyi2824
    @georgembilinyi2824 4 года назад +5

    Kama sio judi zako nyerere na uhuru 2ngepata wapi....leo Tz 2mezaliw 2mekuta nchi inauhuru respect kwako.....

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад +1

    Mwl alisema watanzania wanataka mabadiliko hakusemaa hakusema watanzania wanataka viongozi wa kudumu. Tusibishane hapa. Maana hamkawii

  • @mhogomchungu7882
    @mhogomchungu7882 3 года назад +1

    17:41 namuona mkapa anasikiliza kwa makini sana

  • @IsayaKudeli
    @IsayaKudeli 4 месяца назад

    Kama una amini mwl. Nyerere alikuwa jembe gonga like

  • @edsonsalvatory5121
    @edsonsalvatory5121 4 года назад +9

    He will stay in our life forever.... 🇹🇿

  • @petersoka6747
    @petersoka6747 4 года назад +1

    Kwa kweli bado tunamkumbuka mwalimu. Bado tunakupenda sana watanzania

  • @umojaafrika2447
    @umojaafrika2447 5 лет назад +56

    Mwalimu tunakupenda kutoka Ufaransa !

    • @jamesmwiko4843
      @jamesmwiko4843 4 года назад +1

      unadhani MWL Wa walimu duniani alitoka wapi kama si tz butiama busara zako hazijafa zinatuongoza nakuombea ukae mkono Wa kiume kwa baba alie juu amen

    • @jovinsylivester3601
      @jovinsylivester3601 3 года назад

      Habari ya ufaransa

  • @lukindohozza748
    @lukindohozza748 5 лет назад +10

    mzee aliona mbali ila kuna siri juu ya utekelazaji wa majukumu ku guard kumezwa kwa zanzibar kwa viongozi waliofwata.

  • @kibobomanguvu
    @kibobomanguvu 5 лет назад +9

    kwa mara ya kwanza hujamsemea umemuacha akajisemea

  • @richardtv8339
    @richardtv8339 5 лет назад +6

    Global TV Online
    Ingependeza zaid kma mngetuletea Makala ya marehemu Moringe Sokoine

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 5 лет назад +9

    🤔Mbeba maono hafi hadi mpango wa Mungu utimie

  • @faustinestanslaus1564
    @faustinestanslaus1564 2 года назад

    Ama kweli watamzania wanataka mabadiliko na siyo kubaki sehem ileile miaka na miaka mwishoe wawe wakuukuu.... Ninafasi kwako wew uliye juu hatua gani umezifikilia na ukachukua kubadili maisha ya watanzania.... Je ni yaleyale ya miaka na miaka iliyopita .. kuandaa pembejeo za kilimo, kuleta maji, barabara, na umeme . Au utasema maneno na kibinadam.. 😦😮Aaaa watajijua wenyewe.

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 5 лет назад +9

    Jemedali ameumaliza mwendoooooo

  • @siaelilyimo5258
    @siaelilyimo5258 4 года назад +3

    mwalimu Nyerere he is a very good man

  • @kalikumtimamaganya4448
    @kalikumtimamaganya4448 2 года назад +2

    A son of absolutely king.

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 5 лет назад +7

    Tutamukumbuka nyerere Milele.

    • @kenedsamweli1421
      @kenedsamweli1421 5 лет назад

      Zesoo Tv mungu mukubwa huyo mwlm km magufur

    • @mariammammu9641
      @mariammammu9641 5 лет назад

      Zesoo Tv km tu utakuwepo milele

    • @digalaahmad6314
      @digalaahmad6314 5 лет назад

      @@mariammammu9641 m

    • @zesootv6726
      @zesootv6726 5 лет назад

      Kuongoza nchi au kuwa kiongozi unatakiwa uwe na busara hekima na uzalendo pia lazima uwe na mutazomo wa kutazama mbele.

    • @zesootv6726
      @zesootv6726 5 лет назад

      Tanzania kwanza mungu atubari na kutulinda Milele pia tupate viongozi wenye uzalendo na nchi yetu.

  • @emmanuelndingo8323
    @emmanuelndingo8323 5 лет назад +3

    Sikupingi broo 👍👍👍

  • @cghmarcb91
    @cghmarcb91 4 года назад +2

    Mwalimu Nyerere the true African hero💯
    Sisi Wakenya tunakukubali sana

  • @Kifyasi
    @Kifyasi 5 лет назад +3

    Pamoja sana hayati

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer1928 5 лет назад +3

    Kumbe mzee baba alikuwa anavuta sigara daah!!

  • @meronstudioz
    @meronstudioz 5 лет назад +27

    Hakutuwepo kwenye Uongozi wako ila we miss you

  • @venancemalima1181
    @venancemalima1181 5 лет назад +47

    Baba wa Taifa Mwalimu haupo ila Tanzania imepata mrithi wako.Magufuli in mtoto wako.

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 4 года назад +2

      Una makengeza. Usimfananishe mwalimu na MTU mwingine yeyote hapa

    • @edwardbukwaya559
      @edwardbukwaya559 3 года назад

      Kweli ni damu moja na Magufuli

    • @abelmwaipungu8287
      @abelmwaipungu8287 2 года назад

      Usinfananishe mwalimu na uyoo kibaraka wako aise

    • @sebastianmichael4031
      @sebastianmichael4031 2 года назад

      Ni kweli magufuri alifuata maadili ya mwalimu.

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 2 года назад +1

    Genius julius💪💪R.I.P

  • @charleskipuyo507
    @charleskipuyo507 Год назад

    Mwalimu njererev

  • @japhajofrey3673
    @japhajofrey3673 4 года назад +1

    Mh kama anazungumza leo nmeipenda 🏳🏳🏳🏳🏳

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias2551 3 года назад

    Haya ni majembe tupu.huyu anaishi mpaka leo.akili Mingi na uzalendo mwingi.mwenye maono,I live in his legacy,hautafutika milele na milele,vizazi na vizazi miongoni mwa Watanzania.

  • @dotoyalagwila5633
    @dotoyalagwila5633 3 года назад

    Thanks father

  • @mustayoo
    @mustayoo 4 года назад +13

    the great leader sio kama jomo kenyatta

  • @faridamin6383
    @faridamin6383 5 лет назад +16

    Pumzika kwa amani baba wa taifa hili kubwa la Tanzania

  • @kingsoboropayani5127
    @kingsoboropayani5127 5 лет назад +7

    Huyu mzee mimi namuheshimu sana coz alituwekea misingi mizuri na imara katika nchi hii.. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 R I P mchonga baba wa taifa hili Tz Mwalimu Julius Kambalage Nyerere

    • @kassimmohammed4949
      @kassimmohammed4949 5 лет назад

      Sio kweli kabisa kabisa maneno yako huyu alipandikiza mbegu ya ubaguzi pale Zanzibar uunguja NA upemba mpaka Leo wapemba Wana baguliwa uunguja!!????? Aliokuwa akisema Sio aliotenda....!!!!

    • @octavianlameck4922
      @octavianlameck4922 4 года назад

      @@kassimmohammed4949 mlibaguana wenyew acha uongo hizo mbegu unazosema amepanda ni kazi rahisi sana, Fanya hivi chukua panga nenda kakate miche yake kama imechipua shida iko wapi!

  • @samsonmboje9672
    @samsonmboje9672 2 года назад +1

    Kweli ww ulikuwa Baba wa Taifa. Mungu Mwema.

  • @sadickchakka6350
    @sadickchakka6350 3 года назад +1

    Huyu jamaa alikuwa anauwezo kama wangu yaan anafikil kwanza afu akipata jibu anaamua af anaangalia akisha pata jib nn kitaokea akiwa hayupo swal moja ila analipatia majib hat mala kumi yake unapo kuja ww mbumbumbu unaanza kuongea utopolo

  • @justineulimule6530
    @justineulimule6530 5 лет назад +12

    Fikra zako baba wa taifa zinaishi milele.