EXCLUSIVE: AyoTV yamtembelea Mstaafu Kikwete "nanenepa siku hizi, mlikua mnanifuja"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 авг 2017
  • Kama ulikua miongoni mwa wanaotamani kumsikia au kufahamu shughuli anazofanya kwa sana Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, taarifa ikufikie kwamba AyoTV imemtembelea Msoga na akatuonyesha anachofanya.

Комментарии • 467

  • @chipatv677
    @chipatv677 6 лет назад +102

    Mstaafu Jk nakukubali sana. Like hapa km unampenda JK

  • @sophiamsangi9763
    @sophiamsangi9763 Месяц назад

    Hongera sana huo ni mfano wa kuingwa mungu aendelee kukubariki na kukutunza ningekuwa karibu ningekuja kuchukua gunia moja

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 лет назад +17

    mzee wa Msoga hongera sanaa,U na busara sanaa wewe Mzee.Mungu akupe maisha marefu

  • @migogelemkude7415
    @migogelemkude7415 5 лет назад +12

    Hongera Mzee utazidi kupendwa daima Allah akulinde akulipe ulitutumikia sema ASANTE SANA

  • @romanus9700
    @romanus9700 5 лет назад +13

    Safi sana, I am from Kenya and I like Tanzanian leaders from Nyerere, mwinyi makapa, kikwete to magufuli.great leader's.

  • @NashonMbumba5
    @NashonMbumba5 6 лет назад +2

    Hongera rais mstaaf....hiyo n kazi njema

  • @mugenyagakala3350
    @mugenyagakala3350 6 лет назад +15

    maisha bora kwa kila MTZ. Hongera jembe.

  • @jimmyjohn8184
    @jimmyjohn8184 6 лет назад +2

    Safi sana mzee wetu, vijana tupo nyama tunasubiria baba usafishe njia nasi tupite kwa wepesi. Mungu akufanyie wepesi na kukuhifadhi miaka mingi zaidi

  • @stewartmillanzi7198
    @stewartmillanzi7198 6 лет назад +3

    Hongera sana mkuu...wewe ndo mfano bora wa kiongozi mvumilivu unayejitambua na kufanya mambo kama mtu mzima. Hongera kwa kuwa msuluhishi mzuri. Wenzako uliowaacha hawajiwezi...wamebaki kufanyiana visa tu na hata majirani zao wameanza kuwa na utata nao. Ni hatari tupu. Kumbe wewe ulikuwa chaguo la Mungu. Tumekumisi sana Kamanda.

  • @moviesandinfotv9933
    @moviesandinfotv9933 5 лет назад +7

    Naomba Kaz ya kukamua maziwa 🙊 mzee wetu nakupenda mstaarab sana

  • @fransicochunji327
    @fransicochunji327 6 лет назад +1

    Mungu akuinue mheshimiwa,kazi yako imeonekana,ndo maana Tanzania iko hapa.

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 6 лет назад +10

    Nitajitahidi na mimi nifikie hapo.. asante sana mzee Kikwete .. You practically bring me back to Bagamoyo secondary.. Agriculture class...

  • @jamesjoseph4460
    @jamesjoseph4460 6 лет назад +1

    Nimeipenda hiyo mkuu kwakweli ninahitaji elimu hiyo ya ufugaji wa ngombe wa maziwa ,na kilimo.Mungu akubariki elimu hiyo itufikie na huku KAHAMA,asante sana.

  • @kibondeezekiel4459
    @kibondeezekiel4459 6 лет назад +1

    AYO TV nawakubali Sana.... Hiyo Ilikiwa bonge la Interview.....our ex-President is so inspirational!

  • @simonmacktauo6521
    @simonmacktauo6521 6 лет назад +2

    i wish you were still our president .we miss you so much. so deep in agriculture mpaka unajua tissue culture.congrats sana nazichanga na mimi nije huko kupiga picha tuu.

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 лет назад +6

    Afi sana raid ,wetu mstafu ,kwa kazi njems ya hufugaji ,tutajifunza kutoka kwako ,

  • @gracekulaba7015
    @gracekulaba7015 5 лет назад +8

    Hongera sana JK. You will always inspire many of us

  • @esperancenathali
    @esperancenathali 3 года назад +1

    Tanzania kila kiongozi anaye mnae mchagua huwa anajaa tabasamu na nyuso za ukarimu big up sana my country born

  • @flyhigher5393
    @flyhigher5393 6 лет назад +24

    mzee huyu ana hekimaaa sabaa,mwnyez mung ampe maisha marefu..... Amiiin

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 2 года назад

    Hongera sana Mheshimiwa JK. Unaonekana kijana na mwenye afya njema kuliko wakati ulee. Hii ni kwasababu huna roho mbaya wala chuki. Wewe ndio baba yetu wa Taifa Sasa mzee wetu Mwinyi umri umeshakwenda. Allah azidi kukujalia afya njema wewe na familia yako inshallah.

  • @alquinmadoro5767
    @alquinmadoro5767 6 лет назад +32

    Hongera Sana mkuu
    Wewe ni mfano WA kuigwa ,yan daaah
    Much respect kwako #former president

    • @abdillahmkumba9217
      @abdillahmkumba9217 6 лет назад

      Alquin Madoro

    • @colmanmwacha5811
      @colmanmwacha5811 5 лет назад

      Alquin Madoro poa sana jemedary

    • @sylivesterraphael0112
      @sylivesterraphael0112 4 года назад

      Mzee sikiliza mzee bado nakumbuka ile salusafa yako maisha mazuri kwa kila mtz nilijenga kwa uongozi wako lakini leo hata banda la kuku limenishinda kwa hapa kazi tu nakukumbumbuka mwana democracy God bless you

  • @hosearwechungura7164
    @hosearwechungura7164 6 лет назад +6

    Tunakupenda sana Mhe. Jk, Obama wa Tanzania!

  • @nkeshgomegwa1677
    @nkeshgomegwa1677 4 года назад

    Duh nafurahi sana nikikuona baba Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu

  • @ismailramole1700
    @ismailramole1700 6 лет назад +16

    DAH...KWELI YOU WILL NEVER KNOW WHAT YOU HAVE UNTIL WHEN YOU MISS IT...NOW NDIO NAJUA UMUHIMU WA MZEE WETU JK.HE WAS A GREAT LEADER WA MFANO AFRICA.GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY.

    • @jichomtandaoni8281
      @jichomtandaoni8281 4 года назад

      Yaan we fikiria akiondoka magu, makonda anachukua nchi

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 6 лет назад +16

    Mwanasiasa mwenyesiasa zake we miss u mheshimiwa jk

  • @salumabdallah1617
    @salumabdallah1617 6 лет назад +2

    mungu akuzidishie mheshimiwa

  • @michaelchongolo1316
    @michaelchongolo1316 6 лет назад +5

    nakupenda sana mzeee wangu jk haya ndo maisha yetu

    • @feliciankavishe6792
      @feliciankavishe6792 4 года назад

      Hongere baba mzee kikwete, ila mzee nikwambie kitu huyu ulietuachi kazi tunayo kufa hatufi ilakilamtu siriyake

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +10

    Hongera sana Kikwete, uko vizuri, kumbe nazaliwa ndio unaanza kilimo, duh! hongera

  • @jumamataro4870
    @jumamataro4870 2 года назад

    Jakaya poa sana watanzania tunakutakia maisha malefu mbele za mungu

  • @zuhuraabdurlazack8008
    @zuhuraabdurlazack8008 6 лет назад +6

    Nampenda sana huyu baba😘😘

  • @zephaniahkinuno7473
    @zephaniahkinuno7473 5 лет назад +1

    Vizuri zaidi,

  • @abdallahmashua7234
    @abdallahmashua7234 6 лет назад +7

    Safi sana kiongozi,naona unazidi kutuongoza kwenye ujasiriamali

    • @sheiykingtv3713
      @sheiykingtv3713 4 года назад

      Kikwete Mungu akupe Afya zaidi

    • @feliciankavishe6792
      @feliciankavishe6792 4 года назад +1

      Watanzania hatujui tunatakann hata trump juz kazkati katuahangaa

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 6 лет назад +6

    Salute mkuu

  • @yunushamis4839
    @yunushamis4839 4 года назад

    safi sana unahekima, unajua kujibu dah! wanaokutukana mungu anawaona akina msiba walaaniwe kabisa safi sana kwa darasa lako nimejifunza kitu kupitia majibu yako mazur.

  • @fransicochunji327
    @fransicochunji327 6 лет назад

    Asante mheshimiwa kwasomo lakilimo,kuna kitu kikubwa sana,umekifundisha

  • @senatormatemu5580
    @senatormatemu5580 6 лет назад +13

    One of the best video clips ,inspirational move .Congratulations former President JK Kikwete.

    • @shelbykackoy5309
      @shelbykackoy5309 2 года назад

      Tukipata maji ya kumwagilia ? Fuck off you were president for 10 years.

  • @wilsonmkumbo7199
    @wilsonmkumbo7199 3 года назад

    Hongera mstaafu,upo vizuri!

  • @abedkirway3640
    @abedkirway3640 5 лет назад

    Mwenyenz Mungu akupe maisha marefu Babaetu tunaekupenda jk Rais Wa mfano duniani

  • @mosesndahani3049
    @mosesndahani3049 5 лет назад +1

    Rais wetu unamoyo wa peke Mungu akujalie maisha marefu.

  • @anthonyyalanda1540
    @anthonyyalanda1540 4 года назад

    Mkuu Kikwete Barikiwa sana,kilimo ni uhai wa maisha ya mwanadamu,hongera baba

  • @gregorymmasi3442
    @gregorymmasi3442 5 лет назад +1

    Miss u sana mzee wetu. Hope one day nitakuona. Busara kubwa. Appreciated sana sana live long Mzee JM Kikwete.

  • @isaackalenge8194
    @isaackalenge8194 Год назад

    Huyu mtu ni nzuri sana,kama katiba yetu,ingeruhusu kugambwa tena,

  • @enockkitomarys4909
    @enockkitomarys4909 6 лет назад

    ni juhudi nzuri mh jk mungu akupe maisha marefu

  • @ephraimrichard6701
    @ephraimrichard6701 4 года назад +1

    Tunakumiss jk charming sana

  • @bertinsayumwe6621
    @bertinsayumwe6621 5 лет назад +1

    we miss you our lovely Dad Mungu akupe maisha marefu

  • @halimamlili8803
    @halimamlili8803 6 лет назад +7

    Tumekimis kwakweli baba yetu 😘😘😘mung akupe maish malefu

  • @daudimariseli3627
    @daudimariseli3627 6 лет назад +2

    hongera sana mkuuu

  • @andrewwilliam2792
    @andrewwilliam2792 4 года назад

    Mzee Safi Sana,tutajifunza kwako.

  • @hamzazimbwe1327
    @hamzazimbwe1327 5 лет назад

    Hata vizuri viwe vingi vipi, ila kila mmoja hakosi kitakacho mvutia zaidi,
    My President, nakukubali sana, na nimevutiwa sana na hekima mungu akizo mjaaliwa, May Allah protect you from all the bad deeds

    • @abdulmamboya4561
      @abdulmamboya4561 5 лет назад +1

      mungu akupe umri mwema kweli ukiwa kiongozi unazeka ukitoka kwenye madaraka unaludi ujana kabisa mungu akupe swiha mzuri

    • @hamzazimbwe1327
      @hamzazimbwe1327 5 лет назад

      Kweli kabisa @abdul

  • @marymichelle6280
    @marymichelle6280 5 лет назад

    Very inspiring interview, hongera sana mheshimiwa Raisi mstaafu.

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 2 года назад

    Nafurahishwa na viongozi watanzania...huku Kenya hata naibu wa chifu ana acre Mia...wananchi wa kawaida wanaishi kwenye slums....

  • @josephndomba1895
    @josephndomba1895 6 лет назад +3

    hongera sana rais wetu mstafu.

  • @agathaluambano8305
    @agathaluambano8305 6 лет назад +2

    Mungu akubarik

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 6 лет назад +26

    HUYU baba MPOLE, mkalimu, ana huruma, ana subira YAANI anaweza kutembea kwa mguu usiku kucha bila bodigadi, anaweza kulala nje ya nyumba miaka hata 50 bila ulinzi. KTK marais waliopita ameacha historia iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu. Asilimia 99.9 ya WATANZANIA tulimpenda. Bila kuwasahau wazee watu 2 MZEE Mwinyi na Mkapa mlitumia akili nyingi saaana kutupatia unafuu wa maisha japo asilimia 50! Tunawashukuru, Mwl. Nyerere anayo pia mengi mazuri Aliyotufanyia tunamshukuru, Rais Magufuri hata anayo mengi mazuri tumuombee tusimkatishe tamaa hakuna aliyekamilika. Hata niliowasifia wanazo pia lawama. MUNGU IBARIKI TZ NA WATU WAKE, WABARIKI VIONGOZI WATU.

  • @adamgeorge5532
    @adamgeorge5532 6 лет назад +2

    nice sana baba your good example for people

  • @johnmpeka5494
    @johnmpeka5494 Год назад

    You are Great Leader Mzee

  • @shaabanmusa5127
    @shaabanmusa5127 6 лет назад +2

    All de best Mkuu

  • @ramadhaniissa5370
    @ramadhaniissa5370 5 лет назад +1

    Nakukubari kikwete we ninoma nakupenda we ni raisi bora kuliko maraisi wote thenk you Mr plesdent

  • @mjegembishalms2461
    @mjegembishalms2461 2 года назад

    Mzee ana loho mbaya sana na watanzania wote wala hana huluma mshenzi watabia

  • @maryamsinganomaryamsingano7938
    @maryamsinganomaryamsingano7938 6 лет назад +9

    nimtu msitaalabu sana na mcheshi sana mungu akupe umri mrefu

  • @zakaboy1305
    @zakaboy1305 5 лет назад +3

    ulituongoza vyema be blessed

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 года назад

    Dr. Bna anaish maisha ya raha sana hana hata matambo yan

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 6 лет назад +2

    Ubarikiwe raisi mstaafu

  • @TheKilasi
    @TheKilasi 6 лет назад +2

    Hongera sana Rais wetu mstaafu

  • @charlesmartin1448
    @charlesmartin1448 6 лет назад +2

    congratulations my former president .That was good

  • @richardmakala9354
    @richardmakala9354 6 лет назад +6

    MZEE PEACE SANA HUYU

  • @johngaramtoni924
    @johngaramtoni924 3 года назад +1

    Uko vizr mr jk ni wachache wanao fanya ivo baada ya kustaafu

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay571 6 лет назад +2

    aise nimeipenda sana

  • @veronicadaniel1122
    @veronicadaniel1122 4 года назад

    Nakupenda sana mzee wangu kwa hekima ulonayo

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 2 года назад

    Sante sana Mhe.Kikwete kwa kuwa mkulima shupavu.Hata sasa unaelimisha wengine.

  • @chachayohana2717
    @chachayohana2717 6 лет назад

    Hakika umenihamasisha sana kiongozi, ili mtu ufanikiwe lazima uwe na mawazo mbandala na si kuangalia kwa macho yote kazi moja. Mungu akujaalie afya njema.

  • @simonmacktauo6521
    @simonmacktauo6521 6 лет назад +1

    i will be so fake if i dont like it.big up my president you are my no 1 president though i am upinzani.putting politics aside you are such an inspirational figure in our society come rain come sunshine..mimi nafanya research za tissue culture majoring in plantain bananas.lakini sijui ardhi nitapataje au nikipata sijui wa sasa hivi watatunyang'anya.stranded

  • @jarednyakomitta6570
    @jarednyakomitta6570 6 лет назад +3

    What a great man.

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz 2 месяца назад

    Kikwete mzuri Sana

  • @sanaanimaisha4072
    @sanaanimaisha4072 6 лет назад +7

    Tunakupenda sana mstaafu.
    Hekima na busara zako hazina kipimo.
    Wewe ni mfano wa kuigwa.

  • @lizwanilwila4294
    @lizwanilwila4294 6 лет назад +2

    hongera sana baba

  • @okokamdimbwaokoka2179
    @okokamdimbwaokoka2179 3 года назад

    Nakupenda sana mstafu ww unahekima sana

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 6 лет назад +1

    Nakukubali sana rais mstaafu kupiga stori na vijana wako namna hii raha sana Mkapa hawezi muda wote yeye ni utandawazi na siasa tu.

  • @isaackalenge8194
    @isaackalenge8194 Год назад

    Kikwete ni mtu mzuri,Mungu akulinde na kukuongezea siku

  • @petronillajosephat2655
    @petronillajosephat2655 3 года назад +1

    binadamu sisi viumbe wa ajabu sana kipindi Jk akiwa raisi watu walimsema vibaya sana ila leo hii comment nyingi we miss you ,kiongoz mwema.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +1

    Jembe kama Jembe, hanaga mbwembwe wala mambo meeengi wala Masifa ya Kijinga, Ubarikiwe saana na Mungu akupe umri Mrefu

  • @googleskills7049
    @googleskills7049 6 лет назад +2

    Hongera

  • @janebrighton7312
    @janebrighton7312 3 года назад

    After nyerere your the best too for me

  • @daudimahede6014
    @daudimahede6014 6 лет назад +1

    nice lesson my former president

  • @bobrudala3784
    @bobrudala3784 3 года назад

    Sawa sawa mfano kwa votedo

  • @agnesschengula5937
    @agnesschengula5937 4 года назад

    hatataacha kukumbumbuka kwa mema uliyotutendea.mungu akupe maisha marefu mheshimiwa

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 года назад

    Mungu azidi kukutunza mheshimiwa

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 лет назад

    Waheshiwa wote wa cha mapinduzi mungu awabariki sana henderheni kumuhombea mdogo wenu rasi jpm kwa majukumu mriyomkabizi ya kuwatumikia watanzania ccm hoyeeeeeeee

  • @SensaManzagata-tv7ds
    @SensaManzagata-tv7ds 5 месяцев назад

    Hongera sanaa Rais msitafu wa awamu ya nne nimeisoma sana hiyo click yako ya kilimo na ufugaji uliyoitoa miaka wakati nikiwa form two ukiwa kwenye mazungumzo ya ayo tv

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha9447 6 лет назад +11

    ridhiwani, mshauri dingi afuge Ng'ombe wekundu, sawasawa.?

  • @abedymigodela1314
    @abedymigodela1314 5 лет назад +1

    Kwakweli kikwete ni mwisho wa maelezo aiseeee Mungu akurinde mh.

  • @habibuhamis4853
    @habibuhamis4853 6 лет назад +2

    mfano mzuri wakulima wakimtumia kama darasa waweze kujua namna ya kufuga na kulima kisasa na imani itaweza kuondoa migogoro ya baina yao hapo nilichojifunza kilimo kinahitaji Elimu na mtaji sio mazoea

  • @kibwanamohammed5836
    @kibwanamohammed5836 5 лет назад +1

    mzee umetupa sana heshima watu wa pwani kuonesha dunia pwani ya wakalimu

  • @subiramwaka9792
    @subiramwaka9792 3 года назад

    Wow I'm so inspired

  • @robertsemaganga9168
    @robertsemaganga9168 4 года назад

    Hongera sana

  • @zulekhabaksh686
    @zulekhabaksh686 4 года назад

    Mzee fanya kazi tunakukumbuka pia bado upo kusaidia Allah akupe killa unachotaka

  • @victormagori2822
    @victormagori2822 6 лет назад +1

    nimependa sana hii

  • @mpokimwasimba
    @mpokimwasimba 6 лет назад +5

    I love this former president

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 6 лет назад +1

    Upo vizuri

  • @amiryismairy7624
    @amiryismairy7624 3 года назад

    Mzee unajituma Sana kiongozi wamfano