EXCLUSIVE: AyoTV yamtembelea Mstaafu Kikwete "nanenepa siku hizi, mlikua mnanifuja"
HTML-код
- Опубликовано: 21 авг 2017
- Kama ulikua miongoni mwa wanaotamani kumsikia au kufahamu shughuli anazofanya kwa sana Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, taarifa ikufikie kwamba AyoTV imemtembelea Msoga na akatuonyesha anachofanya.
Mstaafu Jk nakukubali sana. Like hapa km unampenda JK
Chipa Tv jk
Hongera kj kilimo huondoa stress
Ampende Nani?muuaji mkubwa huyo?
Hongera sana huo ni mfano wa kuingwa mungu aendelee kukubariki na kukutunza ningekuwa karibu ningekuja kuchukua gunia moja
mzee wa Msoga hongera sanaa,U na busara sanaa wewe Mzee.Mungu akupe maisha marefu
Hongera Mzee utazidi kupendwa daima Allah akulinde akulipe ulitutumikia sema ASANTE SANA
Good
Safi sana, I am from Kenya and I like Tanzanian leaders from Nyerere, mwinyi makapa, kikwete to magufuli.great leader's.
Mzee nakuhusudu sana mpaka basi
👊❤️🇹🇿
Hongera rais mstaaf....hiyo n kazi njema
maisha bora kwa kila MTZ. Hongera jembe.
Safi sana mzee wetu, vijana tupo nyama tunasubiria baba usafishe njia nasi tupite kwa wepesi. Mungu akufanyie wepesi na kukuhifadhi miaka mingi zaidi
Hongera sana mkuu...wewe ndo mfano bora wa kiongozi mvumilivu unayejitambua na kufanya mambo kama mtu mzima. Hongera kwa kuwa msuluhishi mzuri. Wenzako uliowaacha hawajiwezi...wamebaki kufanyiana visa tu na hata majirani zao wameanza kuwa na utata nao. Ni hatari tupu. Kumbe wewe ulikuwa chaguo la Mungu. Tumekumisi sana Kamanda.
Naomba Kaz ya kukamua maziwa 🙊 mzee wetu nakupenda mstaarab sana
Mungu akuinue mheshimiwa,kazi yako imeonekana,ndo maana Tanzania iko hapa.
Nitajitahidi na mimi nifikie hapo.. asante sana mzee Kikwete .. You practically bring me back to Bagamoyo secondary.. Agriculture class...
Nimeipenda hiyo mkuu kwakweli ninahitaji elimu hiyo ya ufugaji wa ngombe wa maziwa ,na kilimo.Mungu akubariki elimu hiyo itufikie na huku KAHAMA,asante sana.
AYO TV nawakubali Sana.... Hiyo Ilikiwa bonge la Interview.....our ex-President is so inspirational!
i wish you were still our president .we miss you so much. so deep in agriculture mpaka unajua tissue culture.congrats sana nazichanga na mimi nije huko kupiga picha tuu.
Afi sana raid ,wetu mstafu ,kwa kazi njems ya hufugaji ,tutajifunza kutoka kwako ,
Hongera sana JK. You will always inspire many of us
Tanzania kila kiongozi anaye mnae mchagua huwa anajaa tabasamu na nyuso za ukarimu big up sana my country born
mzee huyu ana hekimaaa sabaa,mwnyez mung ampe maisha marefu..... Amiiin
p1
Abdul Gingo Ameni
Hongera sana Mheshimiwa JK. Unaonekana kijana na mwenye afya njema kuliko wakati ulee. Hii ni kwasababu huna roho mbaya wala chuki. Wewe ndio baba yetu wa Taifa Sasa mzee wetu Mwinyi umri umeshakwenda. Allah azidi kukujalia afya njema wewe na familia yako inshallah.
Hongera Sana mkuu
Wewe ni mfano WA kuigwa ,yan daaah
Much respect kwako #former president
Alquin Madoro
Alquin Madoro poa sana jemedary
Mzee sikiliza mzee bado nakumbuka ile salusafa yako maisha mazuri kwa kila mtz nilijenga kwa uongozi wako lakini leo hata banda la kuku limenishinda kwa hapa kazi tu nakukumbumbuka mwana democracy God bless you
Tunakupenda sana Mhe. Jk, Obama wa Tanzania!
Duh nafurahi sana nikikuona baba Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu
DAH...KWELI YOU WILL NEVER KNOW WHAT YOU HAVE UNTIL WHEN YOU MISS IT...NOW NDIO NAJUA UMUHIMU WA MZEE WETU JK.HE WAS A GREAT LEADER WA MFANO AFRICA.GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY.
Yaan we fikiria akiondoka magu, makonda anachukua nchi
Mwanasiasa mwenyesiasa zake we miss u mheshimiwa jk
mungu akuzidishie mheshimiwa
nakupenda sana mzeee wangu jk haya ndo maisha yetu
Hongere baba mzee kikwete, ila mzee nikwambie kitu huyu ulietuachi kazi tunayo kufa hatufi ilakilamtu siriyake
Hongera sana Kikwete, uko vizuri, kumbe nazaliwa ndio unaanza kilimo, duh! hongera
Mambo
Jakaya poa sana watanzania tunakutakia maisha malefu mbele za mungu
Nampenda sana huyu baba😘😘
Vizuri zaidi,
Safi sana kiongozi,naona unazidi kutuongoza kwenye ujasiriamali
Kikwete Mungu akupe Afya zaidi
Watanzania hatujui tunatakann hata trump juz kazkati katuahangaa
Salute mkuu
safi sana unahekima, unajua kujibu dah! wanaokutukana mungu anawaona akina msiba walaaniwe kabisa safi sana kwa darasa lako nimejifunza kitu kupitia majibu yako mazur.
Asante mheshimiwa kwasomo lakilimo,kuna kitu kikubwa sana,umekifundisha
One of the best video clips ,inspirational move .Congratulations former President JK Kikwete.
Tukipata maji ya kumwagilia ? Fuck off you were president for 10 years.
Hongera mstaafu,upo vizuri!
Mwenyenz Mungu akupe maisha marefu Babaetu tunaekupenda jk Rais Wa mfano duniani
Rais wetu unamoyo wa peke Mungu akujalie maisha marefu.
Mkuu Kikwete Barikiwa sana,kilimo ni uhai wa maisha ya mwanadamu,hongera baba
Miss u sana mzee wetu. Hope one day nitakuona. Busara kubwa. Appreciated sana sana live long Mzee JM Kikwete.
Huyu mtu ni nzuri sana,kama katiba yetu,ingeruhusu kugambwa tena,
ni juhudi nzuri mh jk mungu akupe maisha marefu
Tunakumiss jk charming sana
we miss you our lovely Dad Mungu akupe maisha marefu
Tumekimis kwakweli baba yetu 😘😘😘mung akupe maish malefu
hongera sana mkuuu
Mzee Safi Sana,tutajifunza kwako.
Hata vizuri viwe vingi vipi, ila kila mmoja hakosi kitakacho mvutia zaidi,
My President, nakukubali sana, na nimevutiwa sana na hekima mungu akizo mjaaliwa, May Allah protect you from all the bad deeds
mungu akupe umri mwema kweli ukiwa kiongozi unazeka ukitoka kwenye madaraka unaludi ujana kabisa mungu akupe swiha mzuri
Kweli kabisa @abdul
Very inspiring interview, hongera sana mheshimiwa Raisi mstaafu.
Nafurahishwa na viongozi watanzania...huku Kenya hata naibu wa chifu ana acre Mia...wananchi wa kawaida wanaishi kwenye slums....
hongera sana rais wetu mstafu.
Mungu akubarik
HUYU baba MPOLE, mkalimu, ana huruma, ana subira YAANI anaweza kutembea kwa mguu usiku kucha bila bodigadi, anaweza kulala nje ya nyumba miaka hata 50 bila ulinzi. KTK marais waliopita ameacha historia iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu. Asilimia 99.9 ya WATANZANIA tulimpenda. Bila kuwasahau wazee watu 2 MZEE Mwinyi na Mkapa mlitumia akili nyingi saaana kutupatia unafuu wa maisha japo asilimia 50! Tunawashukuru, Mwl. Nyerere anayo pia mengi mazuri Aliyotufanyia tunamshukuru, Rais Magufuri hata anayo mengi mazuri tumuombee tusimkatishe tamaa hakuna aliyekamilika. Hata niliowasifia wanazo pia lawama. MUNGU IBARIKI TZ NA WATU WAKE, WABARIKI VIONGOZI WATU.
Well said unaakili sana
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe kweri kabsa umenena ukwer
nice sana baba your good example for people
You are Great Leader Mzee
All de best Mkuu
Nakukubari kikwete we ninoma nakupenda we ni raisi bora kuliko maraisi wote thenk you Mr plesdent
Mzee ana loho mbaya sana na watanzania wote wala hana huluma mshenzi watabia
nimtu msitaalabu sana na mcheshi sana mungu akupe umri mrefu
ulituongoza vyema be blessed
Dr. Bna anaish maisha ya raha sana hana hata matambo yan
Ubarikiwe raisi mstaafu
Hongera sana Rais wetu mstaafu
congratulations my former president .That was good
MZEE PEACE SANA HUYU
Uko vizr mr jk ni wachache wanao fanya ivo baada ya kustaafu
aise nimeipenda sana
Nakupenda sana mzee wangu kwa hekima ulonayo
Sante sana Mhe.Kikwete kwa kuwa mkulima shupavu.Hata sasa unaelimisha wengine.
Hakika umenihamasisha sana kiongozi, ili mtu ufanikiwe lazima uwe na mawazo mbandala na si kuangalia kwa macho yote kazi moja. Mungu akujaalie afya njema.
i will be so fake if i dont like it.big up my president you are my no 1 president though i am upinzani.putting politics aside you are such an inspirational figure in our society come rain come sunshine..mimi nafanya research za tissue culture majoring in plantain bananas.lakini sijui ardhi nitapataje au nikipata sijui wa sasa hivi watatunyang'anya.stranded
What a great man.
Kikwete mzuri Sana
Tunakupenda sana mstaafu.
Hekima na busara zako hazina kipimo.
Wewe ni mfano wa kuigwa.
mashallah
hongera sana baba
ziara
Nakupenda sana mstafu ww unahekima sana
Nakukubali sana rais mstaafu kupiga stori na vijana wako namna hii raha sana Mkapa hawezi muda wote yeye ni utandawazi na siasa tu.
Kikwete ni mtu mzuri,Mungu akulinde na kukuongezea siku
binadamu sisi viumbe wa ajabu sana kipindi Jk akiwa raisi watu walimsema vibaya sana ila leo hii comment nyingi we miss you ,kiongoz mwema.
Jembe kama Jembe, hanaga mbwembwe wala mambo meeengi wala Masifa ya Kijinga, Ubarikiwe saana na Mungu akupe umri Mrefu
Hongera
After nyerere your the best too for me
nice lesson my former president
Sawa sawa mfano kwa votedo
hatataacha kukumbumbuka kwa mema uliyotutendea.mungu akupe maisha marefu mheshimiwa
Mungu azidi kukutunza mheshimiwa
Waheshiwa wote wa cha mapinduzi mungu awabariki sana henderheni kumuhombea mdogo wenu rasi jpm kwa majukumu mriyomkabizi ya kuwatumikia watanzania ccm hoyeeeeeeee
Hongera sanaa Rais msitafu wa awamu ya nne nimeisoma sana hiyo click yako ya kilimo na ufugaji uliyoitoa miaka wakati nikiwa form two ukiwa kwenye mazungumzo ya ayo tv
ridhiwani, mshauri dingi afuge Ng'ombe wekundu, sawasawa.?
Kwakweli kikwete ni mwisho wa maelezo aiseeee Mungu akurinde mh.
mfano mzuri wakulima wakimtumia kama darasa waweze kujua namna ya kufuga na kulima kisasa na imani itaweza kuondoa migogoro ya baina yao hapo nilichojifunza kilimo kinahitaji Elimu na mtaji sio mazoea
mzee umetupa sana heshima watu wa pwani kuonesha dunia pwani ya wakalimu
Wow I'm so inspired
Hongera sana
Mzee fanya kazi tunakukumbuka pia bado upo kusaidia Allah akupe killa unachotaka
nimependa sana hii
I love this former president
Upo vizuri
Mzee unajituma Sana kiongozi wamfano