WATU 8 WALIOFARIKI MFULULIZO KABLA RAIS MAGUFULI HAJAFA / ILIKUA VITA YA VIGOGO DHIDI YA MAUTI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #Zungu #CharlesWilliam #Day2NewsTV

Комментарии • 173

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 6 месяцев назад +13

    Hata yeye atakufa tu,licha ya kuwatanguliza wenzake, , maendeleo hakuna nchi ni ufisadi tu kila kona,

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 6 месяцев назад +11

    Waliomuua JPM Ndo wameua wote ila wanajijua na mioyo yao inawahukumu

    • @samuelmuthui4699
      @samuelmuthui4699 5 месяцев назад +2

      Coronavirus ndio imeua... Acheni ufala.

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 4 месяца назад

      @@samuelmuthui4699 fala wewe unaijua corona stupped

  • @perrymagitta7783
    @perrymagitta7783 6 месяцев назад +10

    Mwenyezi Mungu warehemu wote hao.

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 6 месяцев назад +27

    wote wameuwawa na mabeberu,kwa mbinu za juu za kijasusi,afrika haiwezi endelea,hatujitabui,hawa wote wameondolewa kwa kuwa wanajitambua

    • @CharlesSimkoma
      @CharlesSimkoma 6 месяцев назад +1

      Kifo ni lazima

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 месяцев назад +4

      Na mabeberu hupitia kwa mwafrika mwenzie na liko wazi waliiwawa💔😭😭😭😭😭

    • @mohamedsheikh6618
      @mohamedsheikh6618 6 месяцев назад +1

      Mhh neno zito

    • @leonardchoma3765
      @leonardchoma3765 6 месяцев назад +2

      Wapo mabeberu wa ndani ya nchi.Tusisahau hilo pia.

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 6 месяцев назад

      @@leonardchoma3765 uko sawa kabisa kaka Choma,me siamini kama TZ itakuja piga maendeleo aliyokuwa anayataka Mwalimu Nyerere na Magu,viwanda na kuendelea kwa juu haiwezekani,wezi wengi kuliko wanao ibiwa

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 6 месяцев назад +15

    Huu ulikua ni mpango uliosukwa vizuri sana.. mimi nilikuja kushituka baada ya kuona mkapa kafa nikajua kuna jambo lipo chini chini

    • @VictorJoseph-e4m
      @VictorJoseph-e4m 6 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana

    • @abdullynasry2205
      @abdullynasry2205 6 месяцев назад +1

      Uyo ndo alikua baba wa magufuli ndo maana alivyoenda tu wamemfata na magufuli kwisha kaz

    • @vanessajames2192
      @vanessajames2192 5 месяцев назад +3

      Yani balaa lilianzia pale yule mzee alikua yuko poa kwenye uzinduzi wa ujenzi wa Ikulu yani ilikua huzuni kwakweli

    • @abdallahibrahim280
      @abdallahibrahim280 5 месяцев назад

      Nilikuwa nikifuatilia sana taarifa hizi kuanzia kifo cha mwamba mahiga lkn kilipofikia cha kijaz baaas niliishiwa nguvu kabisa baada ya kujiuliza hivi naye rais nusra yake iko wapi? lkn sikuyatoa ulimini kwa yeyote

    • @aloyceiluminata3650
      @aloyceiluminata3650 5 месяцев назад +1

      Magufuri mwenyewe baada ya kifo cha mkapa alianza kushtuka Ila alikosa support..yule jamaa alikuwa na akili ya ziada

  • @isaacmakori3645
    @isaacmakori3645 6 месяцев назад +12

    Watanzania wenyewe ndio wamewaua wakombozi wa inchi yao 😭😭

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 5 месяцев назад +1

      Una matatizo ubishi wa magufuli ndio umesababisha vifo vyote hivyo awaue nani kwa lipi ogopa kiongozi mbishi asieshaurika kama magufuli anaependa kujisifu mwenyewe

    • @samuelmuthui4699
      @samuelmuthui4699 5 месяцев назад +2

      Mliambiwa mvae barakoa mkasema mmelindwa na damu ya yesu...

    • @awadhially
      @awadhially 4 месяца назад

      😮

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 5 месяцев назад +6

    Acha tuteseke tu hawa walioondoka walikua watetezi wa Taifa 😭😭😭😭

  • @paulchagonja
    @paulchagonja 6 месяцев назад +8

    Bravo Mr ZUNGU.MSIMULIZI MWENYE SAUTI NZURI NA HUCHOKI KUMSIKILIZA.

  • @NuruMfaume
    @NuruMfaume 6 месяцев назад +10

    Hakuna lolote ,,,,kama ni covid ina maana inachagua watendaji bora wa magufuli t????

    • @abdullynasry2205
      @abdullynasry2205 6 месяцев назад +1

      Yeah yan magufuli safu yake yote ndo ilikufaa

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 29 дней назад

      Hivi Watu wote waliozikwa na Serikali katika makaburi ya kwa Kondo pale ununio walikuwa ni viongozi wa Serikali😮😮😮

  • @ananiamaganga786
    @ananiamaganga786 5 месяцев назад +6

    Wananchi wote tunajua mchezo ulofanyika

  • @JumaManyama-c8j
    @JumaManyama-c8j 6 месяцев назад +8

    Kigogo mwingine ni baada ya Raisi Magufuri ni Mzee Mfugale aliyekua Mtendaji mkuu wa Tanroad

    • @anacletferuz4954
      @anacletferuz4954 6 месяцев назад

      Watu hamuelewi. Amesema aliokufa kabla ya kifo cha Magufuli siku chache

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 6 месяцев назад +12

    Ndugu mtangazaji una sauti nzi sana na Lafudhi nzuri sana ya LUGHA YETU ADHIMU YA KISWAHILI, Matamshi sahihi kabisa, keep it up, tuna pungukiwa sana na watangazaji wenye matamshi sahihi ya Kiswahili, pia wanao penda Lugha hii

    • @anacletferuz4954
      @anacletferuz4954 6 месяцев назад +1

      Huyu jamaa ni noma tena saaaana

    • @dikakimishawasumbwahalisit7596
      @dikakimishawasumbwahalisit7596 6 месяцев назад

      Da!
      Jamaa hatali sana Kama bbc vile

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 5 месяцев назад

      Kwa lugha la Kiswahili na ipenda sana na najivuniya kuitwa mswahili.

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 9 дней назад

      ​@@dikakimishawasumbwahalisit7596sasa weye mbona unaharibu tena lugha yetu? "Hatali" ndio nini sasa? Dah masikini Tz!!😢

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 6 месяцев назад +19

    Lazima tu jiulize kwanini Taifa ilikua linafululiza vifo vya vigogo wa serikali tu kwanini baada ya Kufa magufuli ule mfululizo ukaanza kupungua pole pole na kanyamaza hadi Sasa? Ujanja wa wanadamu ni wa Muda MUNGU NI WA MILELE

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 6 месяцев назад +2

      Corona sasa hivi watu xlwamepata chanjo. !

    • @martinmwasubila8762
      @martinmwasubila8762 6 месяцев назад +1

      Swali na mawzo yako ni mazuri sana. Bahati mbaya sana hatupendi kujiuliza wala kufanya uchunguzi pengine hata kushtuka na kuchukulia kwa uzito. Hapa kuna jambo la kujiuliza mbali na uwepo wa korona na hata chanjo kuja. Ukweli utajulikana tu hata kwa kuchelewa

    • @abdullynasry2205
      @abdullynasry2205 6 месяцев назад

      Huna akil sawa sawa unaongea kwa chuki lkn kwa kusikilza habar

    • @chomasongidion6047
      @chomasongidion6047 6 месяцев назад +1

      Unaakili nyingi ila njia yetu sote,

    • @ezekielmburu3418
      @ezekielmburu3418 5 месяцев назад +1

      Corona, magufuli was ignorant

  • @AgnesPeter-r3t
    @AgnesPeter-r3t 6 месяцев назад +7

    Umemsahau mfugale

  • @EmanuelBayo-i8b
    @EmanuelBayo-i8b 6 месяцев назад +6

    Hata hivyo uchunguzi unapaswa kufanywa Hata kama si leo

  • @elfacechongera6648
    @elfacechongera6648 6 месяцев назад +5

    Na covid ikaisha kwani nchi zingine jirani walikufa namna hii? Mungu tenda jambo please.

    • @joshuakasemelo1675
      @joshuakasemelo1675 5 месяцев назад

      Viongozi wa Nchi zingine walitumiaakili kujikinga wakwetu waliburuzwa na mkuu wao kwa kuamini shwaushilikina wakapiga nyungu hadi wakapeleka mhimbili wakapuuza kinga za kisayansi matokeo yake ndiyo hayo ndipo wengine wakasituka wakaanza kufuata sayansi ndiyomaana vifo vya viongozi kufa mfululizo vikakoma

  • @charleskombe
    @charleskombe 6 месяцев назад +3

    Wapi makofi ya Day2. Watu wamaana kabisa!

  • @jworld1480
    @jworld1480 6 месяцев назад +6

    unasaut nzuri sana kaka kelvin

  • @marymkamwa3779
    @marymkamwa3779 5 месяцев назад +1

    Unasimulia vizuri sana

  • @peterjoseph4771
    @peterjoseph4771 6 месяцев назад +6

    Walisingizia Covid

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani1025 6 месяцев назад +2

    Hicho kipindi sitokisahau maishani mwangu!!nilimsoma kigogo -2014 sana hadi usiku wa maneno!

  • @lucaschimba3148
    @lucaschimba3148 5 месяцев назад +1

    uko vizuri mbona wenyeviti ccm mkoa hujawataja waliofaliki nyuma jpm

  • @HansJotham-ht1ul
    @HansJotham-ht1ul 6 месяцев назад +1

    Bwana Alitoa na Bwana ametwaa jina LA BWANA lihimidiwe.
    Amen

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 6 месяцев назад +4

    Baada ya chuma Vifo viliacha

    • @abdullynasry2205
      @abdullynasry2205 6 месяцев назад +1

      Hawo waliokufa ndo watu wake magufuli yan ukisema team magu mdo hao 😂😂😂😂 ujuw kitu utachekwa na wamekufa kwa vifo vya kijinga ndo maana umeekewa uwelewe kuwa magu kaondoka na team yake inshort wameuwawa

  • @JoshuaMsaka-f5e
    @JoshuaMsaka-f5e 6 месяцев назад +1

    Umenisahau Balozi Augustine Mahiga

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 6 месяцев назад +2

    AGUSTINO MAHIGA ilikuwa mwaka gani!;

  • @JoyceSaulo-m4b
    @JoyceSaulo-m4b 5 месяцев назад +2

    Acha watese na watoto wao Kwa kujipachikia madaraka mungu yupo Kwani wataenda wapo?

  • @AwadhiKanyawana-ve2cp
    @AwadhiKanyawana-ve2cp 5 месяцев назад +1

    Ata wananchi wasio na hatia walifariki mno wengne waliokotwa baharini tumuachie mungu ndio anajua zaid

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 6 месяцев назад +2

    Histolia haidanganyi na hata baada ya maisha haya ukweli hautasitilika kamwe

  • @hassansaid1575
    @hassansaid1575 4 дня назад

    Tatizo hawa viongozi wengi wao huwa wanamaradhi mbalimbali wanayoishi nayo hivyo wakikutana na changamoto kama uviko huwa hawaponi

  • @swalehaltooq5233
    @swalehaltooq5233 4 дня назад

    Serekali Ina mchezo mchafu na ni mipango wanaifanya

  • @batrumbeziks5946
    @batrumbeziks5946 5 месяцев назад

    Itakuwa vizuri ukijifundisha Kiswahili kwanza kabla hujaendelea na matangazo mengine. Nenda Zanzibar ujue maneno ya Kiswahili yanavyotumika na kutamkwa.

  • @abelmbega3707
    @abelmbega3707 5 месяцев назад

    Hatariiiii sana Jamani

  • @Broken_Beats__23
    @Broken_Beats__23 5 месяцев назад +1

    Mzee Mfugale hivi sio rasmi sana nae maana msiba wake pia uliitikisa Tanzania

  • @ShedrackDamiani
    @ShedrackDamiani 4 дня назад

    😢😢😢

  • @FrancisRM-ex8vf
    @FrancisRM-ex8vf 6 дней назад

    Very calculated plan.
    Kama huna D mbili huwezi elewa

  • @EmanuelBayo-i8b
    @EmanuelBayo-i8b 6 месяцев назад

    Nakukubali sana nimeelewa

  • @PauloAmos-k2f
    @PauloAmos-k2f 5 месяцев назад

    Asante sana❤❤🎉 unakipaji

  • @manjumsambya17
    @manjumsambya17 16 дней назад

    Umechanganya picha za Juma Volta Mwapachu na Harithi Bakari Mwapachu.Mara kadhaa umeonesha picha ya Juma Volta Mwapachu badala ya ile ya Harithi Bakari Mwapachu ambae ndie aliyefariki.Hata hivyo ahsante kwa kimbukumbu ya matukio hayo.

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 Месяц назад

    Hii ilikuwa safisha njia

  • @MrishoMzelela-xb9bb
    @MrishoMzelela-xb9bb 5 месяцев назад +1

    Mkapa hujamtaja

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 22 дня назад

    He jamani kumbe watu wengi waneafariki dunia te vigogo

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 9 дней назад

    Acheni Mimi Nile ugali na sunga.

  • @neemamdami7466
    @neemamdami7466 14 дней назад

    Hata mama yangu pia japo hakuwa maarufu serikali ila alikuwa maarufu upande wa Dini.
    Walipishana siku moja na Magufuli

  • @Jamesmwakisambwe
    @Jamesmwakisambwe 18 дней назад

    Everything has its time the time will come

  • @alexibrahim2517
    @alexibrahim2517 5 месяцев назад

    Kazi nzuri Sana kiongozi, keep going up

  • @frankmwinuka3413
    @frankmwinuka3413 6 месяцев назад +1

    Umeongea vuzuri sana. Kipindi hicho si vigogo tu waliofariki dunia. Wananchi wengi hasa wenye umri zaidi ya miaka hamsini walipoteza maishi. Tatizo mojawapo ilikuwa matatizo ya upumuaji. Mimi nyumba yangu inapakana na kanisa la KKKT. Kipindi hicho kulikuwa na ibada za mazishi kila siku. Wakati mwingine zaidi ya moja.

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 6 месяцев назад

      NI kweli maana sasa hivi watu wenye umli zaidi ya miaka 50 hawapo na vifo vimepungua sana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 5 месяцев назад

    Zungu huko vizuri kutuabalisha'lakini umesahau mtu mmoja yule En.wa ujenzi yule wa Magufuli Mfugare ambaye amejenga hizo barabara za Kisasa

  • @MartinWangwe-c8d
    @MartinWangwe-c8d 5 месяцев назад

    Kifo cha bakari mwapachu na sio juma mwapachu kwahio ungetoa picha za juma mwapachu..

  • @amirkhamis3820
    @amirkhamis3820 Месяц назад

    Lipo jambo sio bure

  • @uwezotv
    @uwezotv 5 месяцев назад

    Hivi vyama vya siasa ni hatari sana watubwanapaswa kuwa makinisana naa viongozi wao wanaposafiri nnje huko wanaenda kusuka mipango gani? Kisha wanarudi baada ya matukio kukamilika hii ni hatari sananini kiliwaondoa nchini na nini kimewarudisha wakati selikali ni ileile hii ni hatari sana

  • @AlfredMatemu
    @AlfredMatemu 24 дня назад

    Corona ilitafuna watu ubishi tu naengeenelea viongozi tz leo wangekuwa vijana tu maana

  • @spantonsamba6191
    @spantonsamba6191 5 месяцев назад

    Umechanganya picha kati ya bakari Mwapachu na Juma Mwapachu....aliyekuwa waziri wa katiba wa mkapa ni bakari Mwapachu...umezitumia picha za Juma Mwapachu (mdogo wake) pamoja na picha ya bakari Mwapachu

  • @chriss6321
    @chriss6321 5 месяцев назад

    Zungu napenda kiswahili chako. Starehe kukusikiza. BBC watakunasa tu. Hujambo

  • @uwezotv
    @uwezotv 5 месяцев назад

    Umemsahau eng mfugale

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 2 месяца назад

    Bado Profesa Ngowi na wasimi wengine wengi walikufa

  • @francislumeya7020
    @francislumeya7020 6 месяцев назад

    Hivi Jaji Agustine Ramadhani, na Agustino Mahiga hawakufa kipindi hiki?

  • @KayongoOba-ht2rf
    @KayongoOba-ht2rf 6 месяцев назад +1

    Shida iko ccm

  • @EMANUELMUSHI-kk4df
    @EMANUELMUSHI-kk4df 5 месяцев назад

    Walitumia fursa ya covid kwa ufasaha usio kua na tija kwa nchi yetu zaidi ya kutengeneza nafasi wanazo taka wao

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 5 месяцев назад

    Waliwahua hao kwasababu ndio waliokuwa na uwezo wa kuhoji hadhalani kuwa Magufuli kafaje

  • @kinademello
    @kinademello 6 месяцев назад

    Jamani huyo sio Bakari Mwapachu. Juma yupo hai

  • @ObeidkilalikaRubuye
    @ObeidkilalikaRubuye 4 месяца назад

    Hata rais samia atakufa tu kwani hakuna Mjaja mbele ya kifo

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 5 месяцев назад

    Mbona hamkutaja mwenyekiti wa Board ya bandari mwana harakakati mzarendo mahiri

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 29 дней назад

    Kipindi hicho Dunia nzima Watu wengi walifariki kwa ugonjwa wa Corona (covid)lakini hapa Tanzania tulikomaa na kupinga na kudai hakuna ugonjwa huo hapa Duniani😂😂😂

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 5 месяцев назад

    Tunyamaze tu ila kuna kitu 😭😭😭

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 6 месяцев назад +2

    Siwezi Kusema Kityu
    Halafu Ututajie Walio Potea Mpaka Sasa na Walio Jeruhiwa
    Wakati Huo wa Awam ya 5

  • @Jean-marieNiyonzima-f3e
    @Jean-marieNiyonzima-f3e 6 месяцев назад

    Nzungu napenda unavyo tujuza kwelihongera kwakua nasauti nzuriiyamatangazo

  • @anacletferuz4954
    @anacletferuz4954 6 месяцев назад +1

    Zungu ee wewe unajuwa kusoma kwa weledi

  • @patriciamaganga3891
    @patriciamaganga3891 5 месяцев назад

    Mbona picha ya JV Mwapachu?

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 5 месяцев назад +1

    Watanzania waliuzwa na Magufuli. Ukweli ni kwamba barakoa zingevaliwa,mambo yangekuwa tofauti. Mungu ameweka sababu katika kifo. Ulizeni madaktari watawaambia ukweli. Pia fanyeni juhudi ya kwenda shule,sio kutegemea ushirikina....

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 29 дней назад

      Umesema ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu🎉🎉🎉hujatoa comment za Ramli chonganishi Kama baadhi ya Watu wanavyojaribu kutuaminisha kwa Ramli zao chonganishi.

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547 5 месяцев назад

    Acheni ushirikina! Magufuli alipingana na uwepo wa Covid na akawalazimisha watu waliokiwa karibu naye wasichukue tahadhari yeyote kujikinga. Sasa ukitegemea nini? Kwani wao siyo binadamu mpaka wasife.

  • @Booking247
    @Booking247 5 месяцев назад

    Mkapa umemsahau kigogo

  • @jumannepaskary3182
    @jumannepaskary3182 5 месяцев назад

    John kijazi

  • @johnmbugani6532
    @johnmbugani6532 5 месяцев назад

    Na baada ya JPM

  • @saidyatabu6375
    @saidyatabu6375 6 месяцев назад

    Mbona hakumtaja Agostino Mahiga.

  • @AmosMarwa-b9q
    @AmosMarwa-b9q 6 месяцев назад

    Sio kwamba umesahau na mzee Agostino mahiga

  • @PetrolBhulugu
    @PetrolBhulugu 6 месяцев назад

    Sawa

  • @georgemedeye3469
    @georgemedeye3469 6 месяцев назад

    Leo ndio nalifahamu jina lako

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 6 месяцев назад

    Augustin Mahiga hajatajwa

  • @alipomwamahonje
    @alipomwamahonje 5 месяцев назад

    Hakika wapumnzike kwa amani😢

  • @joshuakasemelo1675
    @joshuakasemelo1675 6 месяцев назад +3

    Tatizo magufuli colona aliichukulia ni ushilikina wakaanza kupiga nyungu hayo yakawa matokeo ya kupuuza colona

    • @Magehem
      @Magehem 6 месяцев назад

      Kwa hiyo na yeye ni cirona ilimuondoa, na hiyo corona ilikuwa inawatafuta vigogo

    • @ananiamaganga786
      @ananiamaganga786 5 месяцев назад

      Tulia wewe hakuna Cha korona Wala nini hivi kwani nawewe ni mtanzania na hujui Mambo yaliyofanyika

  • @JumaBakari-eb3ft
    @JumaBakari-eb3ft 6 месяцев назад

    na mzee mahiga

  • @owdengodfrey771
    @owdengodfrey771 6 месяцев назад

    Mbona hujamtaja Agustene mahige??

  • @stephenruvuga7
    @stephenruvuga7 6 месяцев назад

    Kumbukumbu yenye machungu; mwandaaji hakiki na ujiridhishe kuhusu habari ulizotoa na picha ulizotumia za Mwapachu; unazumzungumzia Juma Mwapachu au Bakari Mwapachu? Kuna mkanganyiko!!

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 5 месяцев назад

    watu muhimu tu ????????

  • @jacksonfeleshi3044
    @jacksonfeleshi3044 5 месяцев назад

    P. Wa.

  • @GracePaul-x3q
    @GracePaul-x3q 6 месяцев назад

    Na mkapa

  • @MabulaLeonard
    @MabulaLeonard 6 месяцев назад

    Tutakufa wote 20100

  • @drsumatz7539
    @drsumatz7539 6 месяцев назад

    Mfugale muhandisi umesahau

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 6 месяцев назад +1

    Ufisadi upi mbona CAG Asad,alitolewa baada kusema trion 1:5hazionekani,na ya Logola,+mkurungenz,Geita,acheni upendeleo,sahiv,kutekwa,wajulikana,pia,hakuna,wawekazaji,hawaporwi,mali,zao,matajiri wa merudi Dare salaam,akiwemo MANJI,DANGOTE,MBOWE,LISSU,Dangote,alifunga kiwanda,cha sumenti,acha mzee baba,fact ndoo hiyo,

  • @ObeidkilalikaRubuye
    @ObeidkilalikaRubuye 4 месяца назад

    Hakuna mjadala mbele ya kifo

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 4 месяца назад

    Walikuwa wanauwawa na kikwete

  • @AlvinMakenzi
    @AlvinMakenzi 6 месяцев назад

    Polen

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 5 месяцев назад

    FEBRUARY mzee sio FEBRUALI....

  • @ezekielmburu3418
    @ezekielmburu3418 5 месяцев назад

    Corona

  • @samuelmuchiri7587
    @samuelmuchiri7587 5 месяцев назад +1

    Tz mismanaged the Covid pandemic

  • @BongoSihami
    @BongoSihami 5 месяцев назад +1

    Kiburi cha mtu mmoja kilileta maafa kwa taifa na familia nyingi ...Mungu akaingilia kati, taifa likapona

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 6 месяцев назад +3

    Ni vifo vya mkakati!!

  • @davidbinna1202
    @davidbinna1202 6 месяцев назад

    Hamna baya wakuu

  • @engelbertmkindi5648
    @engelbertmkindi5648 5 месяцев назад

    Huyu ni Juma Mwapachu mnakosea sana.