@@leonardchoma3765 uko sawa kabisa kaka Choma,me siamini kama TZ itakuja piga maendeleo aliyokuwa anayataka Mwalimu Nyerere na Magu,viwanda na kuendelea kwa juu haiwezekani,wezi wengi kuliko wanao ibiwa
Nilikuwa nikifuatilia sana taarifa hizi kuanzia kifo cha mwamba mahiga lkn kilipofikia cha kijaz baaas niliishiwa nguvu kabisa baada ya kujiuliza hivi naye rais nusra yake iko wapi? lkn sikuyatoa ulimini kwa yeyote
Una matatizo ubishi wa magufuli ndio umesababisha vifo vyote hivyo awaue nani kwa lipi ogopa kiongozi mbishi asieshaurika kama magufuli anaependa kujisifu mwenyewe
Ndugu mtangazaji una sauti nzi sana na Lafudhi nzuri sana ya LUGHA YETU ADHIMU YA KISWAHILI, Matamshi sahihi kabisa, keep it up, tuna pungukiwa sana na watangazaji wenye matamshi sahihi ya Kiswahili, pia wanao penda Lugha hii
Lazima tu jiulize kwanini Taifa ilikua linafululiza vifo vya vigogo wa serikali tu kwanini baada ya Kufa magufuli ule mfululizo ukaanza kupungua pole pole na kanyamaza hadi Sasa? Ujanja wa wanadamu ni wa Muda MUNGU NI WA MILELE
Swali na mawzo yako ni mazuri sana. Bahati mbaya sana hatupendi kujiuliza wala kufanya uchunguzi pengine hata kushtuka na kuchukulia kwa uzito. Hapa kuna jambo la kujiuliza mbali na uwepo wa korona na hata chanjo kuja. Ukweli utajulikana tu hata kwa kuchelewa
Viongozi wa Nchi zingine walitumiaakili kujikinga wakwetu waliburuzwa na mkuu wao kwa kuamini shwaushilikina wakapiga nyungu hadi wakapeleka mhimbili wakapuuza kinga za kisayansi matokeo yake ndiyo hayo ndipo wengine wakasituka wakaanza kufuata sayansi ndiyomaana vifo vya viongozi kufa mfululizo vikakoma
Hawo waliokufa ndo watu wake magufuli yan ukisema team magu mdo hao 😂😂😂😂 ujuw kitu utachekwa na wamekufa kwa vifo vya kijinga ndo maana umeekewa uwelewe kuwa magu kaondoka na team yake inshort wameuwawa
Itakuwa vizuri ukijifundisha Kiswahili kwanza kabla hujaendelea na matangazo mengine. Nenda Zanzibar ujue maneno ya Kiswahili yanavyotumika na kutamkwa.
Umechanganya picha za Juma Volta Mwapachu na Harithi Bakari Mwapachu.Mara kadhaa umeonesha picha ya Juma Volta Mwapachu badala ya ile ya Harithi Bakari Mwapachu ambae ndie aliyefariki.Hata hivyo ahsante kwa kimbukumbu ya matukio hayo.
Umeongea vuzuri sana. Kipindi hicho si vigogo tu waliofariki dunia. Wananchi wengi hasa wenye umri zaidi ya miaka hamsini walipoteza maishi. Tatizo mojawapo ilikuwa matatizo ya upumuaji. Mimi nyumba yangu inapakana na kanisa la KKKT. Kipindi hicho kulikuwa na ibada za mazishi kila siku. Wakati mwingine zaidi ya moja.
Hivi vyama vya siasa ni hatari sana watubwanapaswa kuwa makinisana naa viongozi wao wanaposafiri nnje huko wanaenda kusuka mipango gani? Kisha wanarudi baada ya matukio kukamilika hii ni hatari sananini kiliwaondoa nchini na nini kimewarudisha wakati selikali ni ileile hii ni hatari sana
Umechanganya picha kati ya bakari Mwapachu na Juma Mwapachu....aliyekuwa waziri wa katiba wa mkapa ni bakari Mwapachu...umezitumia picha za Juma Mwapachu (mdogo wake) pamoja na picha ya bakari Mwapachu
Kipindi hicho Dunia nzima Watu wengi walifariki kwa ugonjwa wa Corona (covid)lakini hapa Tanzania tulikomaa na kupinga na kudai hakuna ugonjwa huo hapa Duniani😂😂😂
Watanzania waliuzwa na Magufuli. Ukweli ni kwamba barakoa zingevaliwa,mambo yangekuwa tofauti. Mungu ameweka sababu katika kifo. Ulizeni madaktari watawaambia ukweli. Pia fanyeni juhudi ya kwenda shule,sio kutegemea ushirikina....
Umesema ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu🎉🎉🎉hujatoa comment za Ramli chonganishi Kama baadhi ya Watu wanavyojaribu kutuaminisha kwa Ramli zao chonganishi.
Acheni ushirikina! Magufuli alipingana na uwepo wa Covid na akawalazimisha watu waliokiwa karibu naye wasichukue tahadhari yeyote kujikinga. Sasa ukitegemea nini? Kwani wao siyo binadamu mpaka wasife.
Kumbukumbu yenye machungu; mwandaaji hakiki na ujiridhishe kuhusu habari ulizotoa na picha ulizotumia za Mwapachu; unazumzungumzia Juma Mwapachu au Bakari Mwapachu? Kuna mkanganyiko!!
Hata yeye atakufa tu,licha ya kuwatanguliza wenzake, , maendeleo hakuna nchi ni ufisadi tu kila kona,
Waliomuua JPM Ndo wameua wote ila wanajijua na mioyo yao inawahukumu
Coronavirus ndio imeua... Acheni ufala.
@@samuelmuthui4699 fala wewe unaijua corona stupped
Mwenyezi Mungu warehemu wote hao.
wote wameuwawa na mabeberu,kwa mbinu za juu za kijasusi,afrika haiwezi endelea,hatujitabui,hawa wote wameondolewa kwa kuwa wanajitambua
Kifo ni lazima
Na mabeberu hupitia kwa mwafrika mwenzie na liko wazi waliiwawa💔😭😭😭😭😭
Mhh neno zito
Wapo mabeberu wa ndani ya nchi.Tusisahau hilo pia.
@@leonardchoma3765 uko sawa kabisa kaka Choma,me siamini kama TZ itakuja piga maendeleo aliyokuwa anayataka Mwalimu Nyerere na Magu,viwanda na kuendelea kwa juu haiwezekani,wezi wengi kuliko wanao ibiwa
Huu ulikua ni mpango uliosukwa vizuri sana.. mimi nilikuja kushituka baada ya kuona mkapa kafa nikajua kuna jambo lipo chini chini
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana
Uyo ndo alikua baba wa magufuli ndo maana alivyoenda tu wamemfata na magufuli kwisha kaz
Yani balaa lilianzia pale yule mzee alikua yuko poa kwenye uzinduzi wa ujenzi wa Ikulu yani ilikua huzuni kwakweli
Nilikuwa nikifuatilia sana taarifa hizi kuanzia kifo cha mwamba mahiga lkn kilipofikia cha kijaz baaas niliishiwa nguvu kabisa baada ya kujiuliza hivi naye rais nusra yake iko wapi? lkn sikuyatoa ulimini kwa yeyote
Magufuri mwenyewe baada ya kifo cha mkapa alianza kushtuka Ila alikosa support..yule jamaa alikuwa na akili ya ziada
Watanzania wenyewe ndio wamewaua wakombozi wa inchi yao 😭😭
Una matatizo ubishi wa magufuli ndio umesababisha vifo vyote hivyo awaue nani kwa lipi ogopa kiongozi mbishi asieshaurika kama magufuli anaependa kujisifu mwenyewe
Mliambiwa mvae barakoa mkasema mmelindwa na damu ya yesu...
😮
Acha tuteseke tu hawa walioondoka walikua watetezi wa Taifa 😭😭😭😭
Bravo Mr ZUNGU.MSIMULIZI MWENYE SAUTI NZURI NA HUCHOKI KUMSIKILIZA.
Hakuna lolote ,,,,kama ni covid ina maana inachagua watendaji bora wa magufuli t????
Yeah yan magufuli safu yake yote ndo ilikufaa
Hivi Watu wote waliozikwa na Serikali katika makaburi ya kwa Kondo pale ununio walikuwa ni viongozi wa Serikali😮😮😮
Wananchi wote tunajua mchezo ulofanyika
Kigogo mwingine ni baada ya Raisi Magufuri ni Mzee Mfugale aliyekua Mtendaji mkuu wa Tanroad
Watu hamuelewi. Amesema aliokufa kabla ya kifo cha Magufuli siku chache
Ndugu mtangazaji una sauti nzi sana na Lafudhi nzuri sana ya LUGHA YETU ADHIMU YA KISWAHILI, Matamshi sahihi kabisa, keep it up, tuna pungukiwa sana na watangazaji wenye matamshi sahihi ya Kiswahili, pia wanao penda Lugha hii
Huyu jamaa ni noma tena saaaana
Da!
Jamaa hatali sana Kama bbc vile
Kwa lugha la Kiswahili na ipenda sana na najivuniya kuitwa mswahili.
@@dikakimishawasumbwahalisit7596sasa weye mbona unaharibu tena lugha yetu? "Hatali" ndio nini sasa? Dah masikini Tz!!😢
Lazima tu jiulize kwanini Taifa ilikua linafululiza vifo vya vigogo wa serikali tu kwanini baada ya Kufa magufuli ule mfululizo ukaanza kupungua pole pole na kanyamaza hadi Sasa? Ujanja wa wanadamu ni wa Muda MUNGU NI WA MILELE
Corona sasa hivi watu xlwamepata chanjo. !
Swali na mawzo yako ni mazuri sana. Bahati mbaya sana hatupendi kujiuliza wala kufanya uchunguzi pengine hata kushtuka na kuchukulia kwa uzito. Hapa kuna jambo la kujiuliza mbali na uwepo wa korona na hata chanjo kuja. Ukweli utajulikana tu hata kwa kuchelewa
Huna akil sawa sawa unaongea kwa chuki lkn kwa kusikilza habar
Unaakili nyingi ila njia yetu sote,
Corona, magufuli was ignorant
Umemsahau mfugale
Hata hivyo uchunguzi unapaswa kufanywa Hata kama si leo
Na covid ikaisha kwani nchi zingine jirani walikufa namna hii? Mungu tenda jambo please.
Viongozi wa Nchi zingine walitumiaakili kujikinga wakwetu waliburuzwa na mkuu wao kwa kuamini shwaushilikina wakapiga nyungu hadi wakapeleka mhimbili wakapuuza kinga za kisayansi matokeo yake ndiyo hayo ndipo wengine wakasituka wakaanza kufuata sayansi ndiyomaana vifo vya viongozi kufa mfululizo vikakoma
Wapi makofi ya Day2. Watu wamaana kabisa!
unasaut nzuri sana kaka kelvin
Asante
Unasimulia vizuri sana
Walisingizia Covid
Hicho kipindi sitokisahau maishani mwangu!!nilimsoma kigogo -2014 sana hadi usiku wa maneno!
uko vizuri mbona wenyeviti ccm mkoa hujawataja waliofaliki nyuma jpm
Bwana Alitoa na Bwana ametwaa jina LA BWANA lihimidiwe.
Amen
Baada ya chuma Vifo viliacha
Hawo waliokufa ndo watu wake magufuli yan ukisema team magu mdo hao 😂😂😂😂 ujuw kitu utachekwa na wamekufa kwa vifo vya kijinga ndo maana umeekewa uwelewe kuwa magu kaondoka na team yake inshort wameuwawa
Umenisahau Balozi Augustine Mahiga
AGUSTINO MAHIGA ilikuwa mwaka gani!;
Acha watese na watoto wao Kwa kujipachikia madaraka mungu yupo Kwani wataenda wapo?
Kwel
Ata wananchi wasio na hatia walifariki mno wengne waliokotwa baharini tumuachie mungu ndio anajua zaid
Histolia haidanganyi na hata baada ya maisha haya ukweli hautasitilika kamwe
Tatizo hawa viongozi wengi wao huwa wanamaradhi mbalimbali wanayoishi nayo hivyo wakikutana na changamoto kama uviko huwa hawaponi
Serekali Ina mchezo mchafu na ni mipango wanaifanya
Itakuwa vizuri ukijifundisha Kiswahili kwanza kabla hujaendelea na matangazo mengine. Nenda Zanzibar ujue maneno ya Kiswahili yanavyotumika na kutamkwa.
Hatariiiii sana Jamani
Mzee Mfugale hivi sio rasmi sana nae maana msiba wake pia uliitikisa Tanzania
😢😢😢
Very calculated plan.
Kama huna D mbili huwezi elewa
Nakukubali sana nimeelewa
Asante sana❤❤🎉 unakipaji
Umechanganya picha za Juma Volta Mwapachu na Harithi Bakari Mwapachu.Mara kadhaa umeonesha picha ya Juma Volta Mwapachu badala ya ile ya Harithi Bakari Mwapachu ambae ndie aliyefariki.Hata hivyo ahsante kwa kimbukumbu ya matukio hayo.
Hii ilikuwa safisha njia
Mkapa hujamtaja
He jamani kumbe watu wengi waneafariki dunia te vigogo
Acheni Mimi Nile ugali na sunga.
Hata mama yangu pia japo hakuwa maarufu serikali ila alikuwa maarufu upande wa Dini.
Walipishana siku moja na Magufuli
Everything has its time the time will come
Kazi nzuri Sana kiongozi, keep going up
Umeongea vuzuri sana. Kipindi hicho si vigogo tu waliofariki dunia. Wananchi wengi hasa wenye umri zaidi ya miaka hamsini walipoteza maishi. Tatizo mojawapo ilikuwa matatizo ya upumuaji. Mimi nyumba yangu inapakana na kanisa la KKKT. Kipindi hicho kulikuwa na ibada za mazishi kila siku. Wakati mwingine zaidi ya moja.
NI kweli maana sasa hivi watu wenye umli zaidi ya miaka 50 hawapo na vifo vimepungua sana
Zungu huko vizuri kutuabalisha'lakini umesahau mtu mmoja yule En.wa ujenzi yule wa Magufuli Mfugare ambaye amejenga hizo barabara za Kisasa
Kifo cha bakari mwapachu na sio juma mwapachu kwahio ungetoa picha za juma mwapachu..
Lipo jambo sio bure
Hivi vyama vya siasa ni hatari sana watubwanapaswa kuwa makinisana naa viongozi wao wanaposafiri nnje huko wanaenda kusuka mipango gani? Kisha wanarudi baada ya matukio kukamilika hii ni hatari sananini kiliwaondoa nchini na nini kimewarudisha wakati selikali ni ileile hii ni hatari sana
Corona ilitafuna watu ubishi tu naengeenelea viongozi tz leo wangekuwa vijana tu maana
Umechanganya picha kati ya bakari Mwapachu na Juma Mwapachu....aliyekuwa waziri wa katiba wa mkapa ni bakari Mwapachu...umezitumia picha za Juma Mwapachu (mdogo wake) pamoja na picha ya bakari Mwapachu
Zungu napenda kiswahili chako. Starehe kukusikiza. BBC watakunasa tu. Hujambo
Umemsahau eng mfugale
Bado Profesa Ngowi na wasimi wengine wengi walikufa
Hivi Jaji Agustine Ramadhani, na Agustino Mahiga hawakufa kipindi hiki?
Shida iko ccm
Walitumia fursa ya covid kwa ufasaha usio kua na tija kwa nchi yetu zaidi ya kutengeneza nafasi wanazo taka wao
Waliwahua hao kwasababu ndio waliokuwa na uwezo wa kuhoji hadhalani kuwa Magufuli kafaje
Jamani huyo sio Bakari Mwapachu. Juma yupo hai
Hata rais samia atakufa tu kwani hakuna Mjaja mbele ya kifo
Mbona hamkutaja mwenyekiti wa Board ya bandari mwana harakakati mzarendo mahiri
Kipindi hicho Dunia nzima Watu wengi walifariki kwa ugonjwa wa Corona (covid)lakini hapa Tanzania tulikomaa na kupinga na kudai hakuna ugonjwa huo hapa Duniani😂😂😂
Tunyamaze tu ila kuna kitu 😭😭😭
Siwezi Kusema Kityu
Halafu Ututajie Walio Potea Mpaka Sasa na Walio Jeruhiwa
Wakati Huo wa Awam ya 5
Nzungu napenda unavyo tujuza kwelihongera kwakua nasauti nzuriiyamatangazo
Zungu ee wewe unajuwa kusoma kwa weledi
Mbona picha ya JV Mwapachu?
Watanzania waliuzwa na Magufuli. Ukweli ni kwamba barakoa zingevaliwa,mambo yangekuwa tofauti. Mungu ameweka sababu katika kifo. Ulizeni madaktari watawaambia ukweli. Pia fanyeni juhudi ya kwenda shule,sio kutegemea ushirikina....
Umesema ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu🎉🎉🎉hujatoa comment za Ramli chonganishi Kama baadhi ya Watu wanavyojaribu kutuaminisha kwa Ramli zao chonganishi.
Acheni ushirikina! Magufuli alipingana na uwepo wa Covid na akawalazimisha watu waliokiwa karibu naye wasichukue tahadhari yeyote kujikinga. Sasa ukitegemea nini? Kwani wao siyo binadamu mpaka wasife.
Mkapa umemsahau kigogo
John kijazi
Na baada ya JPM
Mbona hakumtaja Agostino Mahiga.
Sio kwamba umesahau na mzee Agostino mahiga
Sawa
Leo ndio nalifahamu jina lako
Augustin Mahiga hajatajwa
Hakika wapumnzike kwa amani😢
Tatizo magufuli colona aliichukulia ni ushilikina wakaanza kupiga nyungu hayo yakawa matokeo ya kupuuza colona
Kwa hiyo na yeye ni cirona ilimuondoa, na hiyo corona ilikuwa inawatafuta vigogo
Tulia wewe hakuna Cha korona Wala nini hivi kwani nawewe ni mtanzania na hujui Mambo yaliyofanyika
na mzee mahiga
Mbona hujamtaja Agustene mahige??
Kumbukumbu yenye machungu; mwandaaji hakiki na ujiridhishe kuhusu habari ulizotoa na picha ulizotumia za Mwapachu; unazumzungumzia Juma Mwapachu au Bakari Mwapachu? Kuna mkanganyiko!!
watu muhimu tu ????????
P. Wa.
Na mkapa
Tutakufa wote 20100
Mfugale muhandisi umesahau
Ufisadi upi mbona CAG Asad,alitolewa baada kusema trion 1:5hazionekani,na ya Logola,+mkurungenz,Geita,acheni upendeleo,sahiv,kutekwa,wajulikana,pia,hakuna,wawekazaji,hawaporwi,mali,zao,matajiri wa merudi Dare salaam,akiwemo MANJI,DANGOTE,MBOWE,LISSU,Dangote,alifunga kiwanda,cha sumenti,acha mzee baba,fact ndoo hiyo,
Hakuna mjadala mbele ya kifo
Walikuwa wanauwawa na kikwete
Litakukuta jambo
Polen
FEBRUARY mzee sio FEBRUALI....
Corona
Tz mismanaged the Covid pandemic
Kiburi cha mtu mmoja kilileta maafa kwa taifa na familia nyingi ...Mungu akaingilia kati, taifa likapona
Wewe ni fala sana
We jamaa hutokaa ujitambue milele
Ni vifo vya mkakati!!
Hamna baya wakuu
Huyu ni Juma Mwapachu mnakosea sana.
Hakika, Wengi wanawachanganya