Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please
Hongera sana professor Joel Nanauka... Kila kheri juu yako.... Mambo mazuri sana... Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?
Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.
Nanauka uwa napenda sana kukusikiliza,katika mafundisho yako,yanatupa nguzo ya kujifunza Mambo mengi sana,hasa kujituma katika kazi,na kutimiza malengo yetu.
Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.
Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.
Namkubali sana huyu Bwana, kuna vitu vingi anavyofanana na mawazo yangu. Nimekopi clips zake kwa watoto na wakwe zangu, angalau wapate hapo cha kujifunza. Mungu azidi kumbariki.
Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️ Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝
Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.
umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa
Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home
Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please
da mimi nalakitisa lakini na amini paka niwe namiliyoni 500
Jamani akuna utajiri sio kuwa na msjariti kafanya kaz asate Sana Kaka
Karibu nikushirikishe kwenye fursa na kipato endelev
Vp ukoapii
Ahsante saana kaka Nanauka...
Anaeangalia video hii 2019 ,,gonga like tuendezetu!
Ubarikiwe sana nimejua mambo ambayo nikuwa siyajui
Imeisha hiyo💯
I love this motivational teaching,keep it up
P
Naomba kitabu hiki
Tunao angalia hii video mwaka 2025 tujuane kwa like hapa.
Big up sana my brother tukiwa na watu kama hawa kwa wingi kwenye nchi yetu bcy taifa letu litakua kwenye uchumi wa juu sna ❤❤
Asante sana proffes nanauka yan we ngoja niinuke mpaka watu washangae .... Anaengalia video hii 2023 agonge like
Usijikweze Sasa na wewe
Hiki kichwa ni hazina yetu vijana taifa, Bara la Afrika na Ulimwenguni kote. Mungu akutunze kaka Joel
Tunaoangalia hii video mwaka 2024 gonga like hapaaaaaa
Niko hapa
Niko
Baada ya kupitia vitabu vyake
Niko
Hivi ndo vitu vya msingi vya kujifunza hasa kama vijana wakiume coz tuna majukum mazito mbele yetu asante mwalim
Hii ni miaka 5 iliyopita leo 2024 na bado ni madini sana
Hongera sana professor Joel Nanauka...
Kila kheri juu yako....
Mambo mazuri sana...
Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?
Mungu akutunze kwaajili ya uzao wangu na Taifa zima
Umekua baraka sana kaka sijutii kukufahamu🙏🙏
Kaka asante ,nimefanikiwa kutimiza malengo yangu kwa asilimia kubwa sana kwa kufuata kanuni zako
Daaah kwel yn
Hizi elimu zingekuwa zinatolewa kila mahali watu wengi tungekuwa mbali sana.Mungu akubariki.
Emmanuel Kimaro nashukuru sana ,pamoja
ANDIKA NAMBA ZAKO ILI TUKUTAFUTE NAUKA NAMBA ZANGU NI IZO 0684663534,0676928180 NITAFUTE KAKA
Teacher joeil na mm nataka vitabu vyako kiac gain nanita vipataje mm nipo zanzibari
Naomba nambayako teacher joeil. Zangu mm izo 0677466564
@@joelnanauka thanks bro nakupenda san kupitiya mafunzo yako one day i,gonna see u
Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.
Anaeangalia video hii 2021 ,,gonga like tuendezetu!
Nanauka uwa napenda sana kukusikiliza,katika mafundisho yako,yanatupa nguzo ya kujifunza Mambo mengi sana,hasa kujituma katika kazi,na kutimiza malengo yetu.
Hapo ndo utajua elimu ya kuambiwa ni bora kuliko ya kufundindishwa gonga like
❤
Asante kwa usimulizi njema
Bwana nanauka kwakweli mungu amekupa neema nakuombea ulinzi baraka na ujuzi zaidi
Aisee yani mungu akubariki sana kaka, joel ,kiukwel nimekua nikipanga malengo lakini nimekua mwepesi kugairisha mambo,natamani sana kubadilika
Daaaa kaka I'm speechless nimeanza kufuatilia video zako najiona nilikwama sehemu najiona kubadilika sana
Karibu ubadilishe maisha yako kupitia fursa nitakayokushirikisha ujipatie kipato cha ziada
J'aime ça vraiment moi c'est jeremie je viens du Congo je vous écoute à 90%
Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.
Hahahahahahaaaa duh
Haaaaaaahaaaaaaa....
what an inspiring speech thx soo much
HAHAHAHAHA NIMEKUELEWA SANA
Robert Gwelela hahaha hahaha
Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.
Nimejifunza jabo asante
Ppp p
Namkubali sana huyu Bwana, kuna vitu vingi anavyofanana na mawazo yangu. Nimekopi clips zake kwa watoto na wakwe zangu, angalau wapate hapo cha kujifunza. Mungu azidi kumbariki.
Your my role model mr Joel, nimefanya mambo mengi sana kupitia speech zako
ELSON LUGIKO Ahsante sana,nafurahi kusikia hivyo
Hongera sana kaka Nanauka uko vizuri sana kichwani Mungu akutimizie malengo yako inshaallah
Kweli najifunza mengi
Natamani kufika mbali ,lakin Kila nikipangilia yanavurugika nitakufatilia paka nifanikiwe
Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️
Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝
Acha x ziwe na wengi watavunja walichopanda
Na ex zao watapata wanaachokitafuta
Daah kaka Joel uko vzuri. Uelewa wako uko juu, nashauri ugombee ubunge, maana comment zote inaonyesha wamekuelewa na wamependa somo lako.
Ubunge so dili
Hogera. Kaka. Joel
Barikiwa sana Joel! Tumesoma wote lakini nakuheshimu sana sana kama mtaalamu !Mungu azidi kukuinua
Nashukuru sana tuko pamoja tuendelee kujifunza pamoja
Kaka uko vizur sana
Gorgeous
Umenifundisha jambo jipya ubarikiwe
Nakuelewa sana bro umenibadilisha sana kwa kupitia masomo yako mungu akubariki sana
safi sana brother nanauka ww ni kocha wangu wa maisha na mm ni milde fild wako tupo pamoja brother
Asante sana brother kwakwel umenisaidia sana maan nmekatishwa tamaa sana lait ningepata haya mafundisho mapema ningekuwa mbal sana
Mungu akubariki
Ndo nmeangalia leo 2024, gonga like hapa kama ndo unaangalia pia.
Nimependa sana mafundisho yako, natamani ningepata nafasi ya kukuona kwa mafundisho ya ziada
Karibu nikupe fursa 100%
you are great bro....much respect and blessed
Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.
Much respect for you, you have inspired and you're the best mentor. Love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Njo nikushirikishe kwenye fursa itakayokupa pesaa
daaah.... am blessed wallah, asante kaka nanauka
umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa
Hongera sana
Inawezekana hata hiyo kuajiriwa tayari ushafeli
Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home
Asante sana mwalimu hakika Muda nimal wengi tumechelewa san
Wallai broo huogei pumba bigup kwenye hili somo nimepata vitu vingii... 👌👌👍👍
Aiseeh naona kama nilichelewa kuja huku,,, big up bro , umenibadilisha pakubwa Sana 🤝🤝
Ahsante kaka nimeeelewa hiyo
Ndo asili ya kila mtu kukasirika mtu fulani anapofanikiwa, nashukuru kaka Kwa somo hili mm nimefarijika sana
Good boy Nanauka we ni habari ya Shule maishani
Shukran sana sana mungu awenawe
Hongera Sana kaka umeeka historia ambayo kila mmoja atafaidika na Hili🙏
Mungu aongeze Siku zenu.
Hongera sana mungu azidi kukulinda 🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏
You are my role model bro, Mungu akujalie afya na maarifa mengi.
Asante Dr wamaendeleo duniani
Nanauka Mungu akubariki. Wish to be my coach
Asante sana joel nimepata mabadiliko mengi😊
Mdamchache nimetumia hapa lakini nimejifunza mengi. Asante
Asante kaka nami ntaanza kuandika malengo yangu
Nanauka unanibadili Sana kimawazo na kimtazamo nimekuwa wa tofauti sana
Asante Kwa elimu nzuri je wewe umefanikiwa zaidi joel
Hongera kwako na Alie kuzaa una nifunza vitu vingi sana.
Mimi ni mshindi katika jina la yesu ninaweza yote
Dah yani hii video ni Shule Toshaaa, Shukrani sana kaka.
Mwakifuna The Prominent pamoja,help to share
Kuam
Ahsantey sana Boss kwa somo hili zuri
Njo nikushirikishe fursa itakayokupa pesa
🎉🎉❤big up nanauka GOD blessed u mr
I play for u
Thanks i have change's enough my life
Bro asante sana umezaliwa kwaajili ya kazi unayoifanya
Pastor be Blessed vijana wako tunakuelewa.
Bro....kazi nzuri....naomba nijue.napataje vitabu vyako niko mbeya
Nenda soko kuu mwanjelwa chumba namba 165 utapata kila aina vitabu vyake
Thanks sir God bless you 🙏
Kiukweli kaka umeongea kitu Cha msingi Sana .Natamani Elimu hii iwafikie walimu wa watoto wetu nadhani itaokoa watoto wetu na taifa kwa ujumla
Kaka kazi nzur napataje kitabu cha kupanga malengo
Jamaa maneno yake anasoma sana Vitabu et Jaman Mungu Akubariki Nanauka
You are an epitome of mentors, keep it up brother..!!
Thanks for your enlightenments.🙏
Shukrani sana
Asante sana kaka nakufuatilia sana.
Asante xana kw hii video najihisi kujengeka kila ninapo kusikiza
Nakuelewa sana Mwalimu wangu J Nanauka unamadini ya uhakika
uo mpangalio wa malengo ni mzuri sana, ubarikiwe sana Enuaka
Baada ya kuckiliza mwanzo mwisho bilashaka kunakitu nmekpata 🙏balkiwa Sana Kaka
Kaka uko vizuri nimekukubali
Mungu alibariki xn kiukweli unatugusha baràbara
kweli kabisa Joel kuna boss wangu aliniambia kitu kinanisumbua mpaka leo
See you at the top next year you will be my mentor
kiukweli upo vizuri na umenifundisha sana
Joel umetisha sana yaani unanipa msisi mko sana.na unanipa maarifa
Kaka Joel! Mawaidha yako mazuri kbs zidi kutowa ilimu ili uwilimishe watu ambao kile tusiye juwa muhimu sana
Maelezo yako vizuri sana. Hongera!
Kila unapo ongea ukimaliza inakuja wow maongez yako mazur bro asante na mungu akubarik Mr nauka
Hongera Sana Bro Nanauka kwa mafundisho
Asante sana ndugu yangu ushauri tako
You're the best bro
Keep going on
Asante sn tutafika mbele
Joel ua so unique kwakweli elim yako ni kubwa mno
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
Kwa mara ya kwanza ni leo kusikiliza video zako, nmejikuta naangalia na kusikiliza nyingi zaidi. Keep it up brother
MAGANGA Cosmas we kweli No umeongea aisee
Nani anangalia 2021,jamani nanauka
Uko vizuri
2022
i like so much brother uko vizuri unatupa mafunzo mazuri
Be blessed kaka,umenitoa kwenye comfort zone
Barikiwa Sana brother...
Unaongea uhalisia
Dah..brow upo makin sana nimeipenda hii mada..ipo activitie..!!
Asante brother nimepata kitu
Joel Asante sana nimejifuza mengi mola akubariki
Upo vizuri Mr. Joel, uwe na afya njema.
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
Mungu akubariki sana kaka Nanauka
Cvano Charles nyege nyegezi
Mungu akupe maisha marefu ❤