Jinsi Ya Kubadilisha Maisha Yako Ndani Ya Mwaka Mmoja - Joel Arthur Nanauka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 628

  • @saidnomano3667
    @saidnomano3667 6 лет назад +95

    Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please

  • @kennytwinzi821
    @kennytwinzi821 6 лет назад +188

    Ahsante saana kaka Nanauka...
    Anaeangalia video hii 2019 ,,gonga like tuendezetu!

  • @SimonAbsolom
    @SimonAbsolom Месяц назад +5

    Tunao angalia hii video mwaka 2025 tujuane kwa like hapa.

  • @OmanOman-p6r1l
    @OmanOman-p6r1l Месяц назад +1

    Big up sana my brother tukiwa na watu kama hawa kwa wingi kwenye nchi yetu bcy taifa letu litakua kwenye uchumi wa juu sna ❤❤

  • @AredFered
    @AredFered Год назад +24

    Asante sana proffes nanauka yan we ngoja niinuke mpaka watu washangae .... Anaengalia video hii 2023 agonge like

  • @philipomgovano
    @philipomgovano Год назад +11

    Hiki kichwa ni hazina yetu vijana taifa, Bara la Afrika na Ulimwenguni kote. Mungu akutunze kaka Joel

  • @Simbasc-mw4zk
    @Simbasc-mw4zk 10 месяцев назад +139

    Tunaoangalia hii video mwaka 2024 gonga like hapaaaaaa

  • @NaziruIddy
    @NaziruIddy 2 месяца назад +1

    Hivi ndo vitu vya msingi vya kujifunza hasa kama vijana wakiume coz tuna majukum mazito mbele yetu asante mwalim

  • @kabotezeey8474
    @kabotezeey8474 Год назад +30

    Hii ni miaka 5 iliyopita leo 2024 na bado ni madini sana

  • @shabansalum6014
    @shabansalum6014 4 года назад +7

    Hongera sana professor Joel Nanauka...
    Kila kheri juu yako....
    Mambo mazuri sana...
    Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?

  • @JusterTumsime-gn2nk
    @JusterTumsime-gn2nk Год назад +4

    Mungu akutunze kwaajili ya uzao wangu na Taifa zima
    Umekua baraka sana kaka sijutii kukufahamu🙏🙏

  • @meleajohnkisaka7969
    @meleajohnkisaka7969 4 года назад +7

    Kaka asante ,nimefanikiwa kutimiza malengo yangu kwa asilimia kubwa sana kwa kufuata kanuni zako

  • @emmanuelkimaro4171
    @emmanuelkimaro4171 7 лет назад +50

    Hizi elimu zingekuwa zinatolewa kila mahali watu wengi tungekuwa mbali sana.Mungu akubariki.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 лет назад +4

      Emmanuel Kimaro nashukuru sana ,pamoja

    • @emmanuelmlengevaf5092
      @emmanuelmlengevaf5092 5 лет назад +1

      ANDIKA NAMBA ZAKO ILI TUKUTAFUTE NAUKA NAMBA ZANGU NI IZO 0684663534,0676928180 NITAFUTE KAKA

    • @khamiskesi9472
      @khamiskesi9472 5 лет назад

      Teacher joeil na mm nataka vitabu vyako kiac gain nanita vipataje mm nipo zanzibari

    • @khamiskesi9472
      @khamiskesi9472 5 лет назад +1

      Naomba nambayako teacher joeil. Zangu mm izo 0677466564

    • @abdulqudra8758
      @abdulqudra8758 5 лет назад

      @@joelnanauka thanks bro nakupenda san kupitiya mafunzo yako one day i,gonna see u

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 5 лет назад +4

    Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.

  • @mayombotz
    @mayombotz 3 года назад +18

    Anaeangalia video hii 2021 ,,gonga like tuendezetu!

  • @AlexVenance-s1b
    @AlexVenance-s1b 4 месяца назад

    Nanauka uwa napenda sana kukusikiliza,katika mafundisho yako,yanatupa nguzo ya kujifunza Mambo mengi sana,hasa kujituma katika kazi,na kutimiza malengo yetu.

  • @eliaspaul5289
    @eliaspaul5289 4 года назад +34

    Hapo ndo utajua elimu ya kuambiwa ni bora kuliko ya kufundindishwa gonga like

  • @humblemantresor7890
    @humblemantresor7890 11 месяцев назад +1

    Asante kwa usimulizi njema

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 6 лет назад +6

    Bwana nanauka kwakweli mungu amekupa neema nakuombea ulinzi baraka na ujuzi zaidi

  • @shukranjs4307
    @shukranjs4307 5 лет назад +3

    Aisee yani mungu akubariki sana kaka, joel ,kiukwel nimekua nikipanga malengo lakini nimekua mwepesi kugairisha mambo,natamani sana kubadilika

  • @felixbakari4845
    @felixbakari4845 6 лет назад +9

    Daaaa kaka I'm speechless nimeanza kufuatilia video zako najiona nilikwama sehemu najiona kubadilika sana

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Karibu ubadilishe maisha yako kupitia fursa nitakayokushirikisha ujipatie kipato cha ziada

  • @jeremiebahane6679
    @jeremiebahane6679 Год назад +3

    J'aime ça vraiment moi c'est jeremie je viens du Congo je vous écoute à 90%

  • @robertgwelela6581
    @robertgwelela6581 7 лет назад +30

    Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.

  • @theeyechannel8601
    @theeyechannel8601 4 года назад +16

    Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.

  • @FadhilaMkony
    @FadhilaMkony 3 месяца назад

    Namkubali sana huyu Bwana, kuna vitu vingi anavyofanana na mawazo yangu. Nimekopi clips zake kwa watoto na wakwe zangu, angalau wapate hapo cha kujifunza. Mungu azidi kumbariki.

  • @lugiko
    @lugiko 7 лет назад +30

    Your my role model mr Joel, nimefanya mambo mengi sana kupitia speech zako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 лет назад +1

      ELSON LUGIKO Ahsante sana,nafurahi kusikia hivyo

    • @hafifayusuph8588
      @hafifayusuph8588 6 лет назад

      Hongera sana kaka Nanauka uko vizuri sana kichwani Mungu akutimizie malengo yako inshaallah

    • @neemalino4220
      @neemalino4220 5 лет назад

      Kweli najifunza mengi

    • @juliussenkene6527
      @juliussenkene6527 5 лет назад +1

      Natamani kufika mbali ,lakin Kila nikipangilia yanavurugika nitakufatilia paka nifanikiwe

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 4 года назад +24

    Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️
    Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 5 лет назад +4

    Daah kaka Joel uko vzuri. Uelewa wako uko juu, nashauri ugombee ubunge, maana comment zote inaonyesha wamekuelewa na wamependa somo lako.

  • @rkyaruzi
    @rkyaruzi 6 лет назад +22

    Barikiwa sana Joel! Tumesoma wote lakini nakuheshimu sana sana kama mtaalamu !Mungu azidi kukuinua

  • @furahabaraka2705
    @furahabaraka2705 5 лет назад +2

    Nakuelewa sana bro umenibadilisha sana kwa kupitia masomo yako mungu akubariki sana

  • @alimsi532
    @alimsi532 6 лет назад +7

    safi sana brother nanauka ww ni kocha wangu wa maisha na mm ni milde fild wako tupo pamoja brother

  • @evershayo2617
    @evershayo2617 3 года назад

    Asante sana brother kwakwel umenisaidia sana maan nmekatishwa tamaa sana lait ningepata haya mafundisho mapema ningekuwa mbal sana
    Mungu akubariki

  • @HappinessAdolph
    @HappinessAdolph 2 месяца назад

    Ndo nmeangalia leo 2024, gonga like hapa kama ndo unaangalia pia.

  • @beatricemwambene9486
    @beatricemwambene9486 6 лет назад +26

    Nimependa sana mafundisho yako, natamani ningepata nafasi ya kukuona kwa mafundisho ya ziada

  • @goon9384
    @goon9384 6 лет назад +11

    you are great bro....much respect and blessed

  • @jamesjohn8891
    @jamesjohn8891 6 лет назад +2

    Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.

  • @bantuempress1744
    @bantuempress1744 6 лет назад +16

    Much respect for you, you have inspired and you're the best mentor. Love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Njo nikushirikishe kwenye fursa itakayokupa pesaa

  • @misskwileka1956
    @misskwileka1956 6 лет назад +8

    daaah.... am blessed wallah, asante kaka nanauka

  • @azzomapesa7879
    @azzomapesa7879 6 лет назад +58

    umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa

    • @Creative_Feny
      @Creative_Feny 5 лет назад

      Hongera sana

    • @stivejayngoga1403
      @stivejayngoga1403 4 года назад +6

      Inawezekana hata hiyo kuajiriwa tayari ushafeli

    • @HappyFamily-qz9up
      @HappyFamily-qz9up 11 месяцев назад +1

      Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg 6 месяцев назад

    Asante sana mwalimu hakika Muda nimal wengi tumechelewa san

  • @didachidy1325
    @didachidy1325 4 года назад +6

    Wallai broo huogei pumba bigup kwenye hili somo nimepata vitu vingii... 👌👌👍👍

  • @pix_1lyrics777
    @pix_1lyrics777 3 года назад +1

    Aiseeh naona kama nilichelewa kuja huku,,, big up bro , umenibadilisha pakubwa Sana 🤝🤝

  • @NaamanDaniel
    @NaamanDaniel Год назад +1

    Ahsante kaka nimeeelewa hiyo

  • @nyamoyenyamoye6077
    @nyamoyenyamoye6077 6 лет назад +12

    Ndo asili ya kila mtu kukasirika mtu fulani anapofanikiwa, nashukuru kaka Kwa somo hili mm nimefarijika sana

  • @paulinyoisrael6079
    @paulinyoisrael6079 6 лет назад +14

    Good boy Nanauka we ni habari ya Shule maishani

  • @waterforlife9356
    @waterforlife9356 Месяц назад +1

    Shukran sana sana mungu awenawe

  • @NasraRamadhan-u4p
    @NasraRamadhan-u4p 4 месяца назад

    Hongera Sana kaka umeeka historia ambayo kila mmoja atafaidika na Hili🙏

  • @ellenkasuthaadventistekim
    @ellenkasuthaadventistekim Месяц назад +1

    Mungu aongeze Siku zenu.

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 2 месяца назад

    Hongera sana mungu azidi kukulinda 🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏

  • @harrietmmoji8404
    @harrietmmoji8404 5 лет назад +2

    You are my role model bro, Mungu akujalie afya na maarifa mengi.

  • @gracekiangio2441
    @gracekiangio2441 2 года назад

    Asante Dr wamaendeleo duniani

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 года назад +1

    Nanauka Mungu akubariki. Wish to be my coach

  • @YassirMohd-l1u
    @YassirMohd-l1u 5 месяцев назад

    Asante sana joel nimepata mabadiliko mengi😊

  • @lemonumentvivantkajole4008
    @lemonumentvivantkajole4008 3 года назад

    Mdamchache nimetumia hapa lakini nimejifunza mengi. Asante

  • @ayshaal6957
    @ayshaal6957 6 лет назад +7

    Asante kaka nami ntaanza kuandika malengo yangu

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 3 года назад +2

    Nanauka unanibadili Sana kimawazo na kimtazamo nimekuwa wa tofauti sana

  • @LinusJohn-w2s
    @LinusJohn-w2s 8 месяцев назад

    Asante Kwa elimu nzuri je wewe umefanikiwa zaidi joel

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 2 года назад +1

    Hongera kwako na Alie kuzaa una nifunza vitu vingi sana.

  • @Wekesa-m1u
    @Wekesa-m1u Год назад +1

    Mimi ni mshindi katika jina la yesu ninaweza yote

  • @mwakifunatheprominent7394
    @mwakifunatheprominent7394 7 лет назад +30

    Dah yani hii video ni Shule Toshaaa, Shukrani sana kaka.

  • @MeripaMusa-b1q
    @MeripaMusa-b1q 6 месяцев назад

    🎉🎉❤big up nanauka GOD blessed u mr
    I play for u
    Thanks i have change's enough my life

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 5 лет назад +2

    Bro asante sana umezaliwa kwaajili ya kazi unayoifanya

  • @ullyamos4205
    @ullyamos4205 6 лет назад +5

    Pastor be Blessed vijana wako tunakuelewa.

  • @lizalaw8663
    @lizalaw8663 6 лет назад +8

    Bro....kazi nzuri....naomba nijue.napataje vitabu vyako niko mbeya

    • @nichorousmpala5366
      @nichorousmpala5366 11 месяцев назад

      Nenda soko kuu mwanjelwa chumba namba 165 utapata kila aina vitabu vyake

  • @vituskabula4770
    @vituskabula4770 3 года назад +2

    Thanks sir God bless you 🙏

  • @sharifamtilly1014
    @sharifamtilly1014 4 года назад +1

    Kiukweli kaka umeongea kitu Cha msingi Sana .Natamani Elimu hii iwafikie walimu wa watoto wetu nadhani itaokoa watoto wetu na taifa kwa ujumla

  • @fidespancras7337
    @fidespancras7337 4 года назад +3

    Kaka kazi nzur napataje kitabu cha kupanga malengo

  • @theprovitionofnature9188
    @theprovitionofnature9188 5 лет назад +1

    Jamaa maneno yake anasoma sana Vitabu et Jaman Mungu Akubariki Nanauka

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 5 лет назад +6

    You are an epitome of mentors, keep it up brother..!!
    Thanks for your enlightenments.🙏

  • @MMUNGAHOSEA
    @MMUNGAHOSEA 8 месяцев назад

    Shukrani sana

  • @ShabaniHamdani-xi6df
    @ShabaniHamdani-xi6df Год назад

    Asante sana kaka nakufuatilia sana.

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 9 месяцев назад

    Asante xana kw hii video najihisi kujengeka kila ninapo kusikiza

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 6 лет назад +4

    Nakuelewa sana Mwalimu wangu J Nanauka unamadini ya uhakika

  • @soudjuma7904
    @soudjuma7904 6 лет назад +1

    uo mpangalio wa malengo ni mzuri sana, ubarikiwe sana Enuaka

  • @priscahussein6790
    @priscahussein6790 4 года назад +1

    Baada ya kuckiliza mwanzo mwisho bilashaka kunakitu nmekpata 🙏balkiwa Sana Kaka

  • @athumanishechambo9500
    @athumanishechambo9500 2 года назад +2

    Kaka uko vizuri nimekukubali

  • @limojuma
    @limojuma Год назад

    Mungu alibariki xn kiukweli unatugusha baràbara

  • @ChandaVision
    @ChandaVision 6 лет назад +4

    kweli kabisa Joel kuna boss wangu aliniambia kitu kinanisumbua mpaka leo

  • @damiankimaro8919
    @damiankimaro8919 3 года назад +1

    See you at the top next year you will be my mentor

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 6 лет назад +3

    kiukweli upo vizuri na umenifundisha sana

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 6 лет назад +1

    Joel umetisha sana yaani unanipa msisi mko sana.na unanipa maarifa

  • @gerardndikumana8160
    @gerardndikumana8160 5 лет назад +2

    Kaka Joel! Mawaidha yako mazuri kbs zidi kutowa ilimu ili uwilimishe watu ambao kile tusiye juwa muhimu sana

  • @dennisluselele9244
    @dennisluselele9244 6 лет назад +5

    Maelezo yako vizuri sana. Hongera!

  • @kingrojo667
    @kingrojo667 6 лет назад +2

    Kila unapo ongea ukimaliza inakuja wow maongez yako mazur bro asante na mungu akubarik Mr nauka

  • @elijatanin3754
    @elijatanin3754 4 года назад +1

    Hongera Sana Bro Nanauka kwa mafundisho

  • @leyesusalashtuyaii7442
    @leyesusalashtuyaii7442 Год назад

    Asante sana ndugu yangu ushauri tako

  • @tumainijastus326
    @tumainijastus326 Год назад

    You're the best bro
    Keep going on

  • @FatumaSemvua
    @FatumaSemvua 4 месяца назад

    Asante sn tutafika mbele

  • @marthamhapa8171
    @marthamhapa8171 6 лет назад +6

    Joel ua so unique kwakweli elim yako ni kubwa mno

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada

  • @magangacosmas9852
    @magangacosmas9852 6 лет назад +10

    Kwa mara ya kwanza ni leo kusikiliza video zako, nmejikuta naangalia na kusikiliza nyingi zaidi. Keep it up brother

  • @upendojoseph469
    @upendojoseph469 4 года назад +1

    Nani anangalia 2021,jamani nanauka
    Uko vizuri

  • @salummakuhani1679
    @salummakuhani1679 5 лет назад +1

    i like so much brother uko vizuri unatupa mafunzo mazuri

  • @JojoLomalisa
    @JojoLomalisa 10 месяцев назад

    Be blessed kaka,umenitoa kwenye comfort zone

  • @abdulhassan5529
    @abdulhassan5529 2 года назад +1

    Barikiwa Sana brother...
    Unaongea uhalisia

  • @thb9561
    @thb9561 4 года назад

    Dah..brow upo makin sana nimeipenda hii mada..ipo activitie..!!

  • @marthalucas5912
    @marthalucas5912 3 месяца назад

    Asante brother nimepata kitu

  • @reginakarema8584
    @reginakarema8584 5 лет назад

    Joel Asante sana nimejifuza mengi mola akubariki

  • @rosezegu4756
    @rosezegu4756 5 лет назад +1

    Upo vizuri Mr. Joel, uwe na afya njema.

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada

  • @cvanocharles6001
    @cvanocharles6001 7 лет назад +6

    Mungu akubariki sana kaka Nanauka

  • @DorisKimario-sp3gm
    @DorisKimario-sp3gm 7 месяцев назад

    Mungu akupe maisha marefu ❤