Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please
umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa
Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home
Hongera sana professor Joel Nanauka... Kila kheri juu yako.... Mambo mazuri sana... Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?
Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.
Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.
Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️ Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝
Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.
Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.
bro nanauka umenifanya najutia nafasi nyingi nilizowahi kuzipata sasa sitakia kujutia tena naamini kupitia mafundisho haya naweza kutumia vizuri fulsa ntakazo zipata kwanzia ivi sasa @see yuo at the top
Tunaoangalia hii video mwaka 2024 gonga like hapaaaaaa
Niko hapa
Ahsante saana kaka Nanauka...
Anaeangalia video hii 2019 ,,gonga like tuendezetu!
Ubarikiwe sana nimejua mambo ambayo nikuwa siyajui
Imeisha hiyo💯
I love this motivational teaching,keep it up
P
Naomba kitabu hiki
Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please
da mimi nalakitisa lakini na amini paka niwe namiliyoni 500
Jamani akuna utajiri sio kuwa na msjariti kafanya kaz asate Sana Kaka
Karibu nikushirikishe kwenye fursa na kipato endelev
Vp ukoapii
Anaeangalia video hii 2021 ,,gonga like tuendezetu!
Asante sana proffes nanauka yan we ngoja niinuke mpaka watu washangae .... Anaengalia video hii 2023 agonge like
Usijikweze Sasa na wewe
Hii ni miaka 5 iliyopita leo 2024 na bado ni madini sana
Hiki kichwa ni hazina yetu vijana taifa, Bara la Afrika na Ulimwenguni kote. Mungu akutunze kaka Joel
umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa
Hongera sana
Inawezekana hata hiyo kuajiriwa tayari ushafeli
Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home
Hapo ndo utajua elimu ya kuambiwa ni bora kuliko ya kufundindishwa gonga like
❤
Hizi elimu zingekuwa zinatolewa kila mahali watu wengi tungekuwa mbali sana.Mungu akubariki.
Emmanuel Kimaro nashukuru sana ,pamoja
ANDIKA NAMBA ZAKO ILI TUKUTAFUTE NAUKA NAMBA ZANGU NI IZO 0684663534,0676928180 NITAFUTE KAKA
Teacher joeil na mm nataka vitabu vyako kiac gain nanita vipataje mm nipo zanzibari
Naomba nambayako teacher joeil. Zangu mm izo 0677466564
@@joelnanauka thanks bro nakupenda san kupitiya mafunzo yako one day i,gonna see u
Nimependa sana mafundisho yako, natamani ningepata nafasi ya kukuona kwa mafundisho ya ziada
Karibu nikupe fursa 100%
Hongera sana professor Joel Nanauka...
Kila kheri juu yako....
Mambo mazuri sana...
Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?
Kaka asante ,nimefanikiwa kutimiza malengo yangu kwa asilimia kubwa sana kwa kufuata kanuni zako
Daaah kwel yn
Good boy Nanauka we ni habari ya Shule maishani
J'aime ça vraiment moi c'est jeremie je viens du Congo je vous écoute à 90%
Bwana nanauka kwakweli mungu amekupa neema nakuombea ulinzi baraka na ujuzi zaidi
Daaaa kaka I'm speechless nimeanza kufuatilia video zako najiona nilikwama sehemu najiona kubadilika sana
Karibu ubadilishe maisha yako kupitia fursa nitakayokushirikisha ujipatie kipato cha ziada
Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.
Hahahahahahaaaa duh
Haaaaaaahaaaaaaa....
what an inspiring speech thx soo much
HAHAHAHAHA NIMEKUELEWA SANA
Robert Gwelela hahaha hahaha
Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.
Nimejifunza jabo asante
Ppp p
Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️
Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝
Acha x ziwe na wengi watavunja walichopanda
Na ex zao watapata wanaachokitafuta
Your my role model mr Joel, nimefanya mambo mengi sana kupitia speech zako
ELSON LUGIKO Ahsante sana,nafurahi kusikia hivyo
Hongera sana kaka Nanauka uko vizuri sana kichwani Mungu akutimizie malengo yako inshaallah
Kweli najifunza mengi
Natamani kufika mbali ,lakin Kila nikipangilia yanavurugika nitakufatilia paka nifanikiwe
Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.
Kaka kazi nzur napataje kitabu cha kupanga malengo
you are great bro....much respect and blessed
Barikiwa sana Joel! Tumesoma wote lakini nakuheshimu sana sana kama mtaalamu !Mungu azidi kukuinua
Nashukuru sana tuko pamoja tuendelee kujifunza pamoja
Kaka uko vizur sana
Gorgeous
Umenifundisha jambo jipya ubarikiwe
Asante sana mwalimu hakika Muda nimal wengi tumechelewa san
It's Nov 2020 na bado nachek this video
Asante kwa usimulizi njema
Asante Dr wamaendeleo duniani
Daah kaka Joel uko vzuri. Uelewa wako uko juu, nashauri ugombee ubunge, maana comment zote inaonyesha wamekuelewa na wamependa somo lako.
Ubunge so dili
Hogera. Kaka. Joel
Aisee yani mungu akubariki sana kaka, joel ,kiukwel nimekua nikipanga malengo lakini nimekua mwepesi kugairisha mambo,natamani sana kubadilika
Thanks sir God bless you 🙏
Much respect for you, you have inspired and you're the best mentor. Love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Njo nikushirikishe kwenye fursa itakayokupa pesaa
Asante kaka nami ntaanza kuandika malengo yangu
Pastor be Blessed vijana wako tunakuelewa.
daaah.... am blessed wallah, asante kaka nanauka
Mungu akutunze kwaajili ya uzao wangu na Taifa zima
Umekua baraka sana kaka sijutii kukufahamu🙏🙏
Nakuelewa sana bro umenibadilisha sana kwa kupitia masomo yako mungu akubariki sana
Asante sana brother kwakwel umenisaidia sana maan nmekatishwa tamaa sana lait ningepata haya mafundisho mapema ningekuwa mbal sana
Mungu akubariki
safi sana brother nanauka ww ni kocha wangu wa maisha na mm ni milde fild wako tupo pamoja brother
Ndo asili ya kila mtu kukasirika mtu fulani anapofanikiwa, nashukuru kaka Kwa somo hili mm nimefarijika sana
Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.
🎉🎉❤big up nanauka GOD blessed u mr
I play for u
Thanks i have change's enough my life
Namuona SAM SASALI ANATAMANI KUMMEZA HUYO JAMAA ILA ANASHINDWA.........😂😂😂😂😂😂
Joel ua so unique kwakweli elim yako ni kubwa mno
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
Bro asante sana umezaliwa kwaajili ya kazi unayoifanya
Bro....kazi nzuri....naomba nijue.napataje vitabu vyako niko mbeya
Nenda soko kuu mwanjelwa chumba namba 165 utapata kila aina vitabu vyake
Hakika kakaNanauka inatisha munguakupewepesi wamboyako kufanikisha jamii
Mdamchache nimetumia hapa lakini nimejifunza mengi. Asante
Maelezo yako vizuri sana. Hongera!
You are my role model bro, Mungu akujalie afya na maarifa mengi.
Nanauka unanibadili Sana kimawazo na kimtazamo nimekuwa wa tofauti sana
Kaka uko vizuri nimekukubali
Asante Kwa elimu nzuri je wewe umefanikiwa zaidi joel
kiukweli upo vizuri na umenifundisha sana
Aiseeh naona kama nilichelewa kuja huku,,, big up bro , umenibadilisha pakubwa Sana 🤝🤝
Nanauka Mungu akubariki. Wish to be my coach
Thanks brother nanauka
Tukipata viongozi wenye upeo na Uelewa kama wako nchi itapiga hatua kubwa Sanaa!!
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
bro nanauka umenifanya najutia nafasi nyingi nilizowahi kuzipata
sasa sitakia kujutia tena naamini kupitia mafundisho haya naweza kutumia vizuri fulsa ntakazo zipata kwanzia ivi sasa
@see yuo at the top
Hongera kwako na Alie kuzaa una nifunza vitu vingi sana.
Dah yani hii video ni Shule Toshaaa, Shukrani sana kaka.
Mwakifuna The Prominent pamoja,help to share
Kuam
Ahsantey sana Boss kwa somo hili zuri
Njo nikushirikishe fursa itakayokupa pesa
Gud inspiration .,we need to change we youth
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
Mimi ni mshindi katika jina la yesu ninaweza yote
See you at the top next year you will be my mentor
Kiukweli kaka umeongea kitu Cha msingi Sana .Natamani Elimu hii iwafikie walimu wa watoto wetu nadhani itaokoa watoto wetu na taifa kwa ujumla
Wallai broo huogei pumba bigup kwenye hili somo nimepata vitu vingii... 👌👌👍👍
You are an epitome of mentors, keep it up brother..!!
Thanks for your enlightenments.🙏
kweli tunaoangalia tunafaidi hata kama umetuchana ukweliii .kweli tumerelax sana
Asante xana kw hii video najihisi kujengeka kila ninapo kusikiza
Kaka Joel! Mawaidha yako mazuri kbs zidi kutowa ilimu ili uwilimishe watu ambao kile tusiye juwa muhimu sana
Baada ya kuckiliza mwanzo mwisho bilashaka kunakitu nmekpata 🙏balkiwa Sana Kaka
Be blessed kaka,umenitoa kwenye comfort zone
kweli kabisa Joel kuna boss wangu aliniambia kitu kinanisumbua mpaka leo
Ahsante Sana Mentor J Nanauka
Jamaa maneno yake anasoma sana Vitabu et Jaman Mungu Akubariki Nanauka
Mungu akubariki sana kaka Nanauka
Cvano Charles nyege nyegezi
Nani anangalia 2021,jamani nanauka
Uko vizuri
2022
uo mpangalio wa malengo ni mzuri sana, ubarikiwe sana Enuaka
My Brother JOEL You're the Best of Best keep Motivating us,Happy New year 2020.
Be blessed brother joel
Nakuelewa sana Mwalimu wangu J Nanauka unamadini ya uhakika
Hongera Sana Bro Nanauka kwa mafundisho
i like so much brother uko vizuri unatupa mafunzo mazuri
Uko sawa mwalimu
Barikiwa Sana brother...
Unaongea uhalisia
Joel umetisha sana yaani unanipa msisi mko sana.na unanipa maarifa
Asante brother mm from Rwanda
Mungu akupe maisha marefu ❤
Asante mwalimu🇲🇿 Muinto obrigado
Asante sana kaka nakufuatilia sana.
Asante sana Mr Nanauka unatuburuga
Shukrani bro... Ila hicho kitabu knapatkana wap
Mungu aendelee kukulinda Ili uzidi kufungiwa vichwa vya watu.
Asante sana my best mentor
Kila unapo ongea ukimaliza inakuja wow maongez yako mazur bro asante na mungu akubarik Mr nauka
Ahsante sana kwa somo zuri
Thank you so much Coach Joel 🙏🏾
May God keep blessing you.
Miaka Sita leo narejea maneno yako yamegeuza maisha yangu
Nimejifunza jambo asante sana
Upo vizuri Mr. Joel, uwe na afya njema.
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada