Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Jinsi Ya Kubadilisha Maisha Yako Ndani Ya Mwaka Mmoja - Joel Arthur Nanauka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2018
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 579

  • @Simbasc-mw4zk
    @Simbasc-mw4zk 4 месяца назад +58

    Tunaoangalia hii video mwaka 2024 gonga like hapaaaaaa

    • @Madam255
      @Madam255 3 месяца назад +1

      Niko hapa

  • @kennytwinzi821
    @kennytwinzi821 5 лет назад +183

    Ahsante saana kaka Nanauka...
    Anaeangalia video hii 2019 ,,gonga like tuendezetu!

  • @saidnomano3667
    @saidnomano3667 5 лет назад +88

    Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please

    • @mafanikioimanida3626
      @mafanikioimanida3626 4 года назад +1

      da mimi nalakitisa lakini na amini paka niwe namiliyoni 500

    • @edwardkavishe3139
      @edwardkavishe3139 2 года назад

      Jamani akuna utajiri sio kuwa na msjariti kafanya kaz asate Sana Kaka

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Karibu nikushirikishe kwenye fursa na kipato endelev

    • @mactongathe179
      @mactongathe179 10 месяцев назад

      Vp ukoapii

  • @mayombotz
    @mayombotz 3 года назад +17

    Anaeangalia video hii 2021 ,,gonga like tuendezetu!

  • @AredFered
    @AredFered 8 месяцев назад +18

    Asante sana proffes nanauka yan we ngoja niinuke mpaka watu washangae .... Anaengalia video hii 2023 agonge like

  • @kabotezeey8474
    @kabotezeey8474 7 месяцев назад +14

    Hii ni miaka 5 iliyopita leo 2024 na bado ni madini sana

  • @user-xp8ro5qs8i
    @user-xp8ro5qs8i Год назад +7

    Hiki kichwa ni hazina yetu vijana taifa, Bara la Afrika na Ulimwenguni kote. Mungu akutunze kaka Joel

  • @azzomapesa7879
    @azzomapesa7879 5 лет назад +58

    umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa

    • @Creative_Feny
      @Creative_Feny 4 года назад

      Hongera sana

    • @stivejayngoga1403
      @stivejayngoga1403 4 года назад +6

      Inawezekana hata hiyo kuajiriwa tayari ushafeli

    • @HappyFamily-qz9up
      @HappyFamily-qz9up 5 месяцев назад +1

      Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home

  • @eliaspaul5289
    @eliaspaul5289 4 года назад +33

    Hapo ndo utajua elimu ya kuambiwa ni bora kuliko ya kufundindishwa gonga like

  • @emmanuelkimaro4171
    @emmanuelkimaro4171 6 лет назад +46

    Hizi elimu zingekuwa zinatolewa kila mahali watu wengi tungekuwa mbali sana.Mungu akubariki.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 лет назад +3

      Emmanuel Kimaro nashukuru sana ,pamoja

    • @emmanuelmlengevaf5092
      @emmanuelmlengevaf5092 5 лет назад +1

      ANDIKA NAMBA ZAKO ILI TUKUTAFUTE NAUKA NAMBA ZANGU NI IZO 0684663534,0676928180 NITAFUTE KAKA

    • @khamiskesi9472
      @khamiskesi9472 5 лет назад

      Teacher joeil na mm nataka vitabu vyako kiac gain nanita vipataje mm nipo zanzibari

    • @khamiskesi9472
      @khamiskesi9472 5 лет назад +1

      Naomba nambayako teacher joeil. Zangu mm izo 0677466564

    • @abdulqudra8758
      @abdulqudra8758 4 года назад

      @@joelnanauka thanks bro nakupenda san kupitiya mafunzo yako one day i,gonna see u

  • @beatricemwambene9486
    @beatricemwambene9486 6 лет назад +25

    Nimependa sana mafundisho yako, natamani ningepata nafasi ya kukuona kwa mafundisho ya ziada

  • @shabansalum6014
    @shabansalum6014 3 года назад +6

    Hongera sana professor Joel Nanauka...
    Kila kheri juu yako....
    Mambo mazuri sana...
    Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?

  • @meleajohnkisaka7969
    @meleajohnkisaka7969 3 года назад +6

    Kaka asante ,nimefanikiwa kutimiza malengo yangu kwa asilimia kubwa sana kwa kufuata kanuni zako

  • @paulinyoisrael6079
    @paulinyoisrael6079 6 лет назад +14

    Good boy Nanauka we ni habari ya Shule maishani

  • @jeremiebahane6679
    @jeremiebahane6679 Год назад +3

    J'aime ça vraiment moi c'est jeremie je viens du Congo je vous écoute à 90%

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 5 лет назад +6

    Bwana nanauka kwakweli mungu amekupa neema nakuombea ulinzi baraka na ujuzi zaidi

  • @felixbakari4845
    @felixbakari4845 6 лет назад +9

    Daaaa kaka I'm speechless nimeanza kufuatilia video zako najiona nilikwama sehemu najiona kubadilika sana

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Karibu ubadilishe maisha yako kupitia fursa nitakayokushirikisha ujipatie kipato cha ziada

  • @robertgwelela6581
    @robertgwelela6581 6 лет назад +28

    Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.

  • @theeyechannel8601
    @theeyechannel8601 4 года назад +15

    Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 3 года назад +19

    Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️
    Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝

  • @lugiko
    @lugiko 6 лет назад +30

    Your my role model mr Joel, nimefanya mambo mengi sana kupitia speech zako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 лет назад +1

      ELSON LUGIKO Ahsante sana,nafurahi kusikia hivyo

    • @hafifayusuph8588
      @hafifayusuph8588 5 лет назад

      Hongera sana kaka Nanauka uko vizuri sana kichwani Mungu akutimizie malengo yako inshaallah

    • @neemalino4220
      @neemalino4220 5 лет назад

      Kweli najifunza mengi

    • @juliussenkene6527
      @juliussenkene6527 4 года назад

      Natamani kufika mbali ,lakin Kila nikipangilia yanavurugika nitakufatilia paka nifanikiwe

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 5 лет назад +2

    Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.

  • @fidespancras7337
    @fidespancras7337 3 года назад +3

    Kaka kazi nzur napataje kitabu cha kupanga malengo

  • @goon9384
    @goon9384 6 лет назад +11

    you are great bro....much respect and blessed

  • @rkyaruzi
    @rkyaruzi 6 лет назад +21

    Barikiwa sana Joel! Tumesoma wote lakini nakuheshimu sana sana kama mtaalamu !Mungu azidi kukuinua

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg 7 дней назад

    Asante sana mwalimu hakika Muda nimal wengi tumechelewa san

  • @aminanurudini9233
    @aminanurudini9233 3 года назад +7

    It's Nov 2020 na bado nachek this video

  • @humblemantresor7890
    @humblemantresor7890 5 месяцев назад +1

    Asante kwa usimulizi njema

  • @gracekiangio2441
    @gracekiangio2441 Год назад

    Asante Dr wamaendeleo duniani

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 4 года назад +4

    Daah kaka Joel uko vzuri. Uelewa wako uko juu, nashauri ugombee ubunge, maana comment zote inaonyesha wamekuelewa na wamependa somo lako.

  • @shukranjs4307
    @shukranjs4307 5 лет назад +2

    Aisee yani mungu akubariki sana kaka, joel ,kiukwel nimekua nikipanga malengo lakini nimekua mwepesi kugairisha mambo,natamani sana kubadilika

  • @vituskabula4770
    @vituskabula4770 2 года назад +2

    Thanks sir God bless you 🙏

  • @bantuempress1744
    @bantuempress1744 6 лет назад +15

    Much respect for you, you have inspired and you're the best mentor. Love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Njo nikushirikishe kwenye fursa itakayokupa pesaa

  • @ayshaal6957
    @ayshaal6957 6 лет назад +7

    Asante kaka nami ntaanza kuandika malengo yangu

  • @ullyamos4205
    @ullyamos4205 6 лет назад +5

    Pastor be Blessed vijana wako tunakuelewa.

  • @misskwileka1956
    @misskwileka1956 6 лет назад +8

    daaah.... am blessed wallah, asante kaka nanauka

  • @JusterTumsime-gn2nk
    @JusterTumsime-gn2nk 10 месяцев назад +1

    Mungu akutunze kwaajili ya uzao wangu na Taifa zima
    Umekua baraka sana kaka sijutii kukufahamu🙏🙏

  • @furahabaraka2705
    @furahabaraka2705 4 года назад +2

    Nakuelewa sana bro umenibadilisha sana kwa kupitia masomo yako mungu akubariki sana

  • @evershayo2617
    @evershayo2617 3 года назад

    Asante sana brother kwakwel umenisaidia sana maan nmekatishwa tamaa sana lait ningepata haya mafundisho mapema ningekuwa mbal sana
    Mungu akubariki

  • @alimsi532
    @alimsi532 5 лет назад +6

    safi sana brother nanauka ww ni kocha wangu wa maisha na mm ni milde fild wako tupo pamoja brother

  • @nyamoyenyamoye6077
    @nyamoyenyamoye6077 6 лет назад +12

    Ndo asili ya kila mtu kukasirika mtu fulani anapofanikiwa, nashukuru kaka Kwa somo hili mm nimefarijika sana

  • @jamesjohn8891
    @jamesjohn8891 5 лет назад +2

    Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.

  • @MeripaMusa-b1q
    @MeripaMusa-b1q 12 дней назад

    🎉🎉❤big up nanauka GOD blessed u mr
    I play for u
    Thanks i have change's enough my life

  • @danielmlanda5597
    @danielmlanda5597 5 лет назад +21

    Namuona SAM SASALI ANATAMANI KUMMEZA HUYO JAMAA ILA ANASHINDWA.........😂😂😂😂😂😂

  • @marthamhapa8171
    @marthamhapa8171 6 лет назад +6

    Joel ua so unique kwakweli elim yako ni kubwa mno

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 5 лет назад +2

    Bro asante sana umezaliwa kwaajili ya kazi unayoifanya

  • @lizalaw8663
    @lizalaw8663 5 лет назад +8

    Bro....kazi nzuri....naomba nijue.napataje vitabu vyako niko mbeya

    • @nichorousmpala5366
      @nichorousmpala5366 5 месяцев назад

      Nenda soko kuu mwanjelwa chumba namba 165 utapata kila aina vitabu vyake

  • @user-uz6jb8wt6u
    @user-uz6jb8wt6u 11 месяцев назад +1

    Hakika kakaNanauka inatisha munguakupewepesi wamboyako kufanikisha jamii

  • @lemonumentvivantkajole4008
    @lemonumentvivantkajole4008 2 года назад

    Mdamchache nimetumia hapa lakini nimejifunza mengi. Asante

  • @dennisluselele9244
    @dennisluselele9244 5 лет назад +5

    Maelezo yako vizuri sana. Hongera!

  • @harrietmmoji8404
    @harrietmmoji8404 4 года назад +2

    You are my role model bro, Mungu akujalie afya na maarifa mengi.

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 2 года назад +2

    Nanauka unanibadili Sana kimawazo na kimtazamo nimekuwa wa tofauti sana

  • @athumanishechambo9500
    @athumanishechambo9500 Год назад +2

    Kaka uko vizuri nimekukubali

  • @user-dj8ik2he5y
    @user-dj8ik2he5y 2 месяца назад

    Asante Kwa elimu nzuri je wewe umefanikiwa zaidi joel

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 5 лет назад +3

    kiukweli upo vizuri na umenifundisha sana

  • @pix_1lyrics777
    @pix_1lyrics777 3 года назад +1

    Aiseeh naona kama nilichelewa kuja huku,,, big up bro , umenibadilisha pakubwa Sana 🤝🤝

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 года назад +1

    Nanauka Mungu akubariki. Wish to be my coach

  • @mangeadamu3439
    @mangeadamu3439 3 года назад +1

    Thanks brother nanauka

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 4 года назад +4

    Tukipata viongozi wenye upeo na Uelewa kama wako nchi itapiga hatua kubwa Sanaa!!

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada

  • @chrystiankagasheckjr.5287
    @chrystiankagasheckjr.5287 6 лет назад +10

    bro nanauka umenifanya najutia nafasi nyingi nilizowahi kuzipata
    sasa sitakia kujutia tena naamini kupitia mafundisho haya naweza kutumia vizuri fulsa ntakazo zipata kwanzia ivi sasa
    @see yuo at the top

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Год назад +1

    Hongera kwako na Alie kuzaa una nifunza vitu vingi sana.

  • @mwakifunatheprominent7394
    @mwakifunatheprominent7394 6 лет назад +30

    Dah yani hii video ni Shule Toshaaa, Shukrani sana kaka.

  • @remmykawogo9035
    @remmykawogo9035 6 лет назад +6

    Gud inspiration .,we need to change we youth

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada

  • @user-fb5do6tp1o
    @user-fb5do6tp1o 11 месяцев назад +1

    Mimi ni mshindi katika jina la yesu ninaweza yote

  • @damiankimaro8919
    @damiankimaro8919 2 года назад +1

    See you at the top next year you will be my mentor

  • @sharifamtilly1014
    @sharifamtilly1014 3 года назад +1

    Kiukweli kaka umeongea kitu Cha msingi Sana .Natamani Elimu hii iwafikie walimu wa watoto wetu nadhani itaokoa watoto wetu na taifa kwa ujumla

  • @didachidy1325
    @didachidy1325 4 года назад +5

    Wallai broo huogei pumba bigup kwenye hili somo nimepata vitu vingii... 👌👌👍👍

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 4 года назад +6

    You are an epitome of mentors, keep it up brother..!!
    Thanks for your enlightenments.🙏

  • @albinimichael1342
    @albinimichael1342 5 лет назад +2

    kweli tunaoangalia tunafaidi hata kama umetuchana ukweliii .kweli tumerelax sana

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 4 месяца назад

    Asante xana kw hii video najihisi kujengeka kila ninapo kusikiza

  • @gerardndikumana8160
    @gerardndikumana8160 5 лет назад +2

    Kaka Joel! Mawaidha yako mazuri kbs zidi kutowa ilimu ili uwilimishe watu ambao kile tusiye juwa muhimu sana

  • @priscahussein6790
    @priscahussein6790 3 года назад +1

    Baada ya kuckiliza mwanzo mwisho bilashaka kunakitu nmekpata 🙏balkiwa Sana Kaka

  • @user-sk8hw5bx1v
    @user-sk8hw5bx1v 4 месяца назад

    Be blessed kaka,umenitoa kwenye comfort zone

  • @ChandaVision
    @ChandaVision 6 лет назад +3

    kweli kabisa Joel kuna boss wangu aliniambia kitu kinanisumbua mpaka leo

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 6 лет назад +3

    Ahsante Sana Mentor J Nanauka

  • @theprovitionofnature9188
    @theprovitionofnature9188 4 года назад +1

    Jamaa maneno yake anasoma sana Vitabu et Jaman Mungu Akubariki Nanauka

  • @cvanocharles6001
    @cvanocharles6001 6 лет назад +6

    Mungu akubariki sana kaka Nanauka

  • @upendojoseph469
    @upendojoseph469 3 года назад +1

    Nani anangalia 2021,jamani nanauka
    Uko vizuri

  • @soudjuma7904
    @soudjuma7904 6 лет назад +1

    uo mpangalio wa malengo ni mzuri sana, ubarikiwe sana Enuaka

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +6

    My Brother JOEL You're the Best of Best keep Motivating us,Happy New year 2020.

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 лет назад +3

    Nakuelewa sana Mwalimu wangu J Nanauka unamadini ya uhakika

  • @elijatanin3754
    @elijatanin3754 4 года назад +1

    Hongera Sana Bro Nanauka kwa mafundisho

  • @salummakuhani1679
    @salummakuhani1679 4 года назад +1

    i like so much brother uko vizuri unatupa mafunzo mazuri

  • @MeshackWisdom
    @MeshackWisdom 2 месяца назад +1

    Uko sawa mwalimu

  • @abdulhassan5529
    @abdulhassan5529 Год назад +1

    Barikiwa Sana brother...
    Unaongea uhalisia

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 6 лет назад +1

    Joel umetisha sana yaani unanipa msisi mko sana.na unanipa maarifa

  • @nahimanaprince5818
    @nahimanaprince5818 3 месяца назад

    Asante brother mm from Rwanda

  • @DorisKimario-sp3gm
    @DorisKimario-sp3gm Месяц назад

    Mungu akupe maisha marefu ❤

  • @mapikomkindu565
    @mapikomkindu565 3 месяца назад

    Asante mwalimu🇲🇿 Muinto obrigado

  • @ShabaniHamdani-xi6df
    @ShabaniHamdani-xi6df 11 месяцев назад

    Asante sana kaka nakufuatilia sana.

  • @amidoubk6892
    @amidoubk6892 4 года назад

    Asante sana Mr Nanauka unatuburuga

  • @ibrahimalpheo7404
    @ibrahimalpheo7404 6 лет назад +3

    Shukrani bro... Ila hicho kitabu knapatkana wap

  • @RaphaelLipamba
    @RaphaelLipamba 3 месяца назад

    Mungu aendelee kukulinda Ili uzidi kufungiwa vichwa vya watu.

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba1261 5 лет назад +1

    Asante sana my best mentor

  • @kingrojo667
    @kingrojo667 6 лет назад +2

    Kila unapo ongea ukimaliza inakuja wow maongez yako mazur bro asante na mungu akubarik Mr nauka

  • @matolamaniamba1732
    @matolamaniamba1732 3 года назад +1

    Ahsante sana kwa somo zuri

  • @neemamsaki1111
    @neemamsaki1111 Год назад +3

    Thank you so much Coach Joel 🙏🏾
    May God keep blessing you.

  • @frolianmutalemwa9590
    @frolianmutalemwa9590 16 дней назад

    Miaka Sita leo narejea maneno yako yamegeuza maisha yangu

  • @lilianelines8419
    @lilianelines8419 2 года назад

    Nimejifunza jambo asante sana

  • @rosezegu4756
    @rosezegu4756 4 года назад +1

    Upo vizuri Mr. Joel, uwe na afya njema.

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada