AINA10 ZA WANAWAKE WASIOPENDWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Nakuomba usisahau KU SUBSCRIBE hili uendelee kupokea masomo yangu yote kutokea hapa Asante sana.

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @ColomboSamora
    @ColomboSamora 10 месяцев назад +26

    Jaman ndoa ngum kwel 😮😮😮yote hayo afanyiwe mume mke anafanyiwa nn❤❤❤mwanamme hajui anachokitaka katika mapenzi

    • @HappyMakame
      @HappyMakame 9 месяцев назад

      Kwakwel aliziki

    • @TijaraAbdallah
      @TijaraAbdallah 3 месяца назад

      Umeonaeeeeeeeeee, mara nyingibwanaume hawa timizi majukumu yao ila mke anajiongeza tu, ila wanaume hakuna kujiongeza wala nini

    • @SabinaChacha-dy2yg
      @SabinaChacha-dy2yg 3 месяца назад +1

      Wananataka mazur waoooo tu😢😢😢 wapo wanawake walojitahidi Kila sector lakin mwanaume anaamua kuchepuka na mtu ambae Hana nyuma Wala mbele mhhh mapenziiiii yaacheni tu kama yalivo

    • @tida3727
      @tida3727 3 месяца назад

      Nashangaa pia

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 3 месяца назад

      ​@@SabinaChacha-dy2ygmwanaume hataumpe nini atachepukatu. Huwa awaliziki na mwanamke mmoja hayondiyo maumbile yao

  • @AngelAfric
    @AngelAfric 10 месяцев назад +21

    😂😂 hapo kwenye dira ma chupi 😅 jaman kaka nimecheka sana, namshukuru Mungu niko msafi kwakweli nauchukia uchafu, ila kuna wanaume wachafu sana pia

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Karibu saana, na usiache ku subscribe🙂

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 3 месяца назад

      ​@@mbekitv693utakuta wewe ndo nimchafu namba 1

  • @VeledianaKalolo
    @VeledianaKalolo 11 месяцев назад +11

    Asante kaka kwa elimu zuri unayo tupa me bado sijaolewa ila kunavitu nimejifunza sana

  • @AnagraceLutaiwa
    @AnagraceLutaiwa 10 месяцев назад +22

    Kwa sasa wanawake changamkia fursa ninachoamini hakuna mwanamke asiependa kumpendeza ni maisha tu mwanamke jitafute ujipate sali,mwamini Mungu heshimu watu . Utapendwa tu .

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад +2

      Amen🙏

    • @FurahaThadeus
      @FurahaThadeus 9 месяцев назад +2

      Wenye hizo sifa hatuna bahati 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 why God

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 месяцев назад +3

      @@FurahaThadeus Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 8 месяцев назад

      ​@@mbekitv693 hzo darasa unalipia au

    • @NyandwiAran
      @NyandwiAran 7 месяцев назад

      Baba asante kwama fundisho munatowa mungu akubariki zayidi​@@mbekitv693

  • @gracemosha5634
    @gracemosha5634 11 месяцев назад +26

    Wanaume wanataka kupendwa wao tu lakini hawana upendo wa kweli kwa wake zao.kama ww ni mkristo ukumbuke biblia inasema wawapende wake zao km Kristo alivyolipdnda kanisa.

  • @AnnathNjohole
    @AnnathNjohole 3 месяца назад +1

    Ni kweli usemayo mwanamke akisimamia hapo utaskia kamroga kumbe wao hawana na hawayajui hayo, safi sana mwenye kujifunza na ajifunze upendo hutengenezwa kwa juhudi maalum pande zote. Wanawake wengi wa sasa hawayakubali haya wanaona yote ya nini wakati ndio kazi yao dunian kuwa kitulizo cha mume.

  • @AsiaAlly-m8w
    @AsiaAlly-m8w 3 месяца назад +4

    Hivi huyo mwanamke mtumwa au mke kama kubembe leza hata mwanamme abembelexe mapenzi sio mwanamke peke yake usijifagilie mnapenda sana sifa AkiendA aende

  • @AdmiringChameleon-uw6ol
    @AdmiringChameleon-uw6ol 2 месяца назад +1

    Asante kaka kwa elimu zuri unayo tupa me bado sijaolewa but nimejifuza vitu mingi sana kutoka kwako may god bless you

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 месяца назад

      @@AdmiringChameleon-uw6ol asante sn

  • @SalomeJustine
    @SalomeJustine 8 месяцев назад +5

    Ila mke wako anaraha Sana kapata mwanaume anaejitambua kwenye mahusiano na ni mbunifu pia hongera🎉

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  8 месяцев назад +2

      Na mimi pia ni binadamu mpendwa so sijakamilika saaaaana😀

  • @faredamobilo3678
    @faredamobilo3678 3 месяца назад

    True ,wakimbushee,ni haki.kumpa kitumbua kwa style zote yeah nimo sawa kwa .kote ya rabbil amina

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 11 месяцев назад +22

    Ndio sitaki ndoa hizo kazi nyingi sana. Watoto, kazi za nyumbani, jumlisha na huyo mtoto mtu mzima mwe😅😅

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +1

      Ndoa haikwepeki ni kama hatma tu wakati ukifika ama riziki yako ikifika hautakuwa na chaguo. So no vyema ujiandae 😀

    • @AshaAlfred
      @AshaAlfred 11 месяцев назад +1

      😂😂😂

    • @JoyceJohn-n7l
      @JoyceJohn-n7l 10 месяцев назад +1

      Kama unanipa pesa sawa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

    • @evalineemmanuel8178
      @evalineemmanuel8178 9 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @JudithLoserian
    @JudithLoserian 2 месяца назад +1

    Asant kwa elim nzuri,unatufundisha tujisahau.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 месяца назад

      @@JudithLoserian karibu sn

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 10 месяцев назад +53

    Huyo mke anaekaa Madela mabovu Huyo mume Kazi yake nn kama SI kumtunza mkewe kula mavazi na maradhi Au hulitambui Hilo muhudimie Atakuwa vizuri.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад +2

      Kama hauna mwanaume utavaa vizuri au rafurafu? Kama utajitunza ata kama ukiwa single başı kujitunza ndio iwe tabia yako sio mpaka ukiwa na mume cos hiyo itakuwa rahisi ata ukipata mume utaendelea na usafi wako bila kungoja hadi afanye yeye

    • @nyahumuresoleil1901
      @nyahumuresoleil1901 10 месяцев назад +3

      p😅p😅p😅p😅😂

    • @StellaroseMabula
      @StellaroseMabula 10 месяцев назад

      ​@@nyahumuresoleil1901M

    • @johamrisho8637
      @johamrisho8637 9 месяцев назад +1

      Wanaume hamjui kuvisha wake zenu mnaubinafsi. Wapendezesheni wake zenu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 месяцев назад +1

      @@johamrisho8637 Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @WelluNangali-b6j
    @WelluNangali-b6j 3 месяца назад +2

    ❤basi ninae mwanaume shetani, namfanyia kila kitu kizuri lkn kwa kujitegemea kwa hela yangu mwenyewe. Hela yake anamtunza nayo Dada yake anayemwita ni muhitaji wake na alimtoa mwenye kwa mume wake eti alikuwa anateswa na mumewe. Kwa hiyo yeye ndiye anamtunza yaani kamtoa kwenye mateso. Lkn mimi mkewe najitunza mwenyewe nikimwomba hela yeyote ananiambia mimi sio wa kumwomba hela yeye anatoa hela yake kwa wahitaji na wahitaji ni dadake na watoto wa dadake (wapwa) zake. Nikimuuliza shida na mahitaji yangu nikapate wapi ananiambia yeye ananipenda na mimi natakiwa kitii chochote anachokifanya ni Amri ya Mungu hiyo. Jamani huyu mwanaume umfanyie nini? Nisaidieni.

    • @Felister-x6r
      @Felister-x6r 3 месяца назад

      Kamroge atakaa sawa tyuu

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 3 месяца назад

      Achana naye huyo amwoe dadake

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 3 месяца назад

      Achana nae kaanze maisha yako huyoo ni mnyonya damu sio mume

  • @josephinerajabu8657
    @josephinerajabu8657 10 месяцев назад +8

    Vizur na mtununulie na nguo pafyum salon nadhan hakuna ambaye hapend kuoendeza

  • @selemaniseif7767
    @selemaniseif7767 3 месяца назад +1

    Sawa kabisa anatokaje sasa mwanaume kwa mfano kitanda kimenyoka ahsante

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 месяца назад

      @@selemaniseif7767 😀

  • @NdayishimiyeAgnes-of2tn
    @NdayishimiyeAgnes-of2tn 4 месяца назад +3

    Kaka ushauri mzuri,ila kakangu kuna wanaume wengine vicheche,mtu unajitaidi kufanya kila kitu,usafi,mahaba lakini bado utareswa na maneno juu,anakwambia mim sishitushwi na mambo yako,mpaka anakwambia sipendeki wakati kuja alikuja mwenyew kuku aproji😢Dah we acha tu😢😢anatumia hayo mapochopocho unayomfanyia kukuadhibu😢wengin waseme mim mmmmh 🤐

  • @NeemaEnock-di2pc
    @NeemaEnock-di2pc 8 месяцев назад +5

    Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu,wewe mwanamke ukiweza kuwa msafi unashindwaje kumfanya mumeo awe msafi,
    Kaka ,nmependa elimu yako,Mungu akubariki

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  8 месяцев назад

      Kweli kabisa mpendwa una mawazo mazuri👏

    • @jasminselemani62
      @jasminselemani62 7 месяцев назад +1

      swadakta umeongea point sana 🥰❤️

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 месяцев назад

      @@jasminselemani62 asante sna😊

  • @GladnessChui
    @GladnessChui День назад

    Ila asant ushauli mzuri sana

  • @RachelAisha-y3d
    @RachelAisha-y3d 11 месяцев назад +4

    Asante brother kwa ushauri Thanks you for Everyting

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      Karibu saana mpendwa

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 3 месяца назад +1

    Tena mtahukumiwa na mandoa yenu hayo sana wanaume sijui mijanaume ikoje mbona mihuni.sana shetani anaitumikisha mimiana ndoa mm nachukia

  • @wardazamzam8463
    @wardazamzam8463 11 месяцев назад +9

    Shukra kwa ushauri mzuri sana ubarikiwe

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      Karibu sn n usiache ku subscribe

  • @AkimanaDomie
    @AkimanaDomie 10 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂 my God ni mecheka kwenye madira 😂😂😂😂😂 ss tusie juw kujipodoa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Fanya kitu cha kukufanya uvutie

  • @Munahi-99
    @Munahi-99 Год назад +6

    asante sana 🎉🎉nimejifunza kitu kbsaa nshkr

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Год назад

      Karibu sna na usikose sehemu ya pili

    • @Darling99booo
      @Darling99booo 11 месяцев назад

      Sauti gani Tena Kama mtu Una hisia

  • @SelinaImma
    @SelinaImma 3 месяца назад +2

    Jamani 😂😂apo kwenye chupi zakutoboka haaaa 🤣🤣🤣 mambo yangu ayo 😂😂😂sema mimi sina mume 😂😂

    • @JaneKapyela
      @JaneKapyela 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @JanethMadios-oe5ue
    @JanethMadios-oe5ue Год назад +245

    Kuna wanaume pia wachafu sana, mwanaume ananuka mapumbu, ananuka mdomo , ananuka kikwapa cha hatari hao pia wapooooo

  • @KezeaChacha
    @KezeaChacha 4 месяца назад +2

    Daaah ni kweli unachosema bro lakin mahusiano n fumbo mm naona damu ziendane tyu ilihsia zwepo kwa wenza pande zote

  • @NISHAMTEGA
    @NISHAMTEGA 10 месяцев назад +9

    Ahsante kwa elimu nzuri

  • @zawadimohamed-i1d
    @zawadimohamed-i1d 3 месяца назад +1

    Pia hongera sana kaka kwa ushauli ubalikiwe

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 месяца назад

      @@zawadimohamed-i1d asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @upendokweka8381
    @upendokweka8381 10 месяцев назад +12

    Hata umfanye vp mwanaume Hana akipendacho Ni zumbukuku tu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Jamani usiwafanyie hivyo🙆‍♂️

    • @AsiaOmar-mr7bk
      @AsiaOmar-mr7bk 3 месяца назад +1

      Dada umenitonesha kidonda

    • @Khadija-b4v5p
      @Khadija-b4v5p 28 дней назад

      Mimi nacheka tuu

  • @HanifaIssah
    @HanifaIssah 3 месяца назад +1

    Kweli broe.. asante kwakutu kumbusha

  • @maryupendo8706
    @maryupendo8706 Год назад +8

    Yeye ndio huniosha miguu,niko na mimba kubwa hata mguu siwezi kuosha,,,wanaume sometimes mtushughulikie hata nyinyi,,,wacheni kutusumbua hapa,,

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Год назад

      Zamu yao kuwaambia itafika ila kwasasa. I zamu yenu kwanza

  • @JenifridaJawabu
    @JenifridaJawabu 3 месяца назад +1

    Asante sana kaka yangu Mungu akutunze inategemeana na mwanaume

  • @nuruomary257
    @nuruomary257 Год назад +10

    Imeeleweka kungwi..😍 wenye wapo na mahusiano watajifunza hapa... Lakini hata nje ya mahusiano ni muhimu pia.. haswa suala la usafi

  • @StellahGodfrey-o1v
    @StellahGodfrey-o1v 2 месяца назад +1

    Ahsante kwakutuweka wazi

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Месяц назад

      @@StellahGodfrey-o1v Karibu😊

  • @GraceWayua-s1h
    @GraceWayua-s1h 10 месяцев назад +3

    Thank you for your good advice

  • @ummibabysalim9522
    @ummibabysalim9522 3 месяца назад +1

    Asante kaka nimejifunza kitu 😊nikiolewa tena ntamfanyia mume wangu na atafika vilele vyote😂😂ila kwa sasa bado niko mbioni

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 месяца назад

      @@ummibabysalim9522 Mungu atakubariki😊🙏

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 9 месяцев назад +11

    Hongera kaka mafunzo mazuri ila yataka moyo. ndoa za sasa zina mengi.Wanaume wengi wao ni wasaliti sana wana tamaa sana.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 месяцев назад +1

      Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @rejinaglory
    @rejinaglory 2 месяца назад +1

    Ahsante jamaa yangu

  • @Mommy4147
    @Mommy4147 11 месяцев назад +3

    Apo kwa chupi 😂😂😂😂zina matobo ndio mm ssa😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️hoooowiiii

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      😅

    • @FelisterOnderi
      @FelisterOnderi 11 месяцев назад +1

      😂😂😂

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +1

      @@FelisterOnderi msisahau ku subscribe jamani😀

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 9 месяцев назад +1

      Hahahaha na sidiria moja kila siku ....

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 месяцев назад

      @@joycehaule9717 Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @ZuriBeautyparlour
    @ZuriBeautyparlour 10 месяцев назад +1

    You deserve a subscription..one pup!

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Asante sn😊👏

  • @ZahraYahya-lh2lb
    @ZahraYahya-lh2lb Год назад +7

    Dila limechanika kwenye kwapaaaaa khaaaaa umenichekesha 🤣🤣

  • @جنئكينيا
    @جنئكينيا 2 месяца назад +1

    God bless u kaka.nimejifunza mengi kwako

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 месяца назад

      @@جنئكينيا asante sn mpendwa

  • @dubai8594
    @dubai8594 11 месяцев назад +30

    Fundisha wanaume mwezako usafi
    Kuosha pumbu mkundu wakitoka kunya wajioshe vizuri mikundu yao
    Kusugua meno na KINYWA Kwapa kunyoa na Kuosha vizuri
    JAMANI WA BABA NI WACHAFU HALAFU UKUTANE MUBABA MJEULI HATAKI KUAMBILIKA
    KABEBA UJEILI KWENYE DAMU

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +2

      Sawa mpendwa asante kwa maoni nimeyapokea

    • @janechaula2870
      @janechaula2870 11 месяцев назад +4

      Jaman nimecheka sanaaaa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +2

      @@janechaula2870 😀

    • @MariamAlly-c4f
      @MariamAlly-c4f 10 месяцев назад +8

      Mungu wangu jmn kuhusu mwanaume kutoosha pumbu na mkundu jmn ukifua boksa unakuta mavi jmn mm nilishafikiria vby mwenzenu jumlisha mwanaume kujamba kulko mwanamke jmn mm cjui mwenzenu🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️

    • @hijamwinyi3233
      @hijamwinyi3233 10 месяцев назад +1

      Hahahaha

  • @ErickAndrew-lr4ls
    @ErickAndrew-lr4ls 10 месяцев назад

    Kwanzia leo nitamfanyia mmewanguu❤❤ asante sanaaa❤❤❤

  • @LenathdeujiLendeuj
    @LenathdeujiLendeuj 2 месяца назад +3

    Mh MTU akikupenda kakupenda tu kuna mama hapa mtaani kwetu nimchafu atali miguu imempasuka ukiingiza 200 inazama lakinianapendwa na mumewe atali mumewe msafi yuko smati ila sasa uyo mwanamke mchafu atali akienda kuoga dk2 nying atakama umebanwa natumbo rakuhala akiingia chooni msubili maana akawii kutoka ila sasa anapendwa atali

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Год назад +2

    😂❤:::kiss:::😂❤
    ::::♥︎♥︎Asante:::♥︎♥︎
    Asante my kaka kwanasaha nzuri
    Mungu akupe afya njema

  • @angelfortunatus117
    @angelfortunatus117 9 месяцев назад +3

    Hahahahahahah ila kaka unamdomo wew balaaa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 месяцев назад +1

      Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @AishaHaji-te6dl
    @AishaHaji-te6dl 10 месяцев назад +1

    Umetishaa sana kaka nimeipendaa hiyoo

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Karibu saana, na usiache ku subscribe🙂

  • @emmyaketch8598
    @emmyaketch8598 5 месяцев назад +4

    Iyo ndoa wacha ikae,bora tuandikiane mkataba,keee

  • @PrinceBenjamin-b7w
    @PrinceBenjamin-b7w 29 дней назад +1

    Jaman nimependa p0kea maua yako❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  28 дней назад

      @@PrinceBenjamin-b7w heri ya mwaka mpya, nakukaribisha kutazama Somo letu jipya lakufungulia mwaka, tayari video ipo hapa karibu utazame na tuendelee kujifunza pamoja, asante.

  • @edwinacyril3611
    @edwinacyril3611 11 месяцев назад +3

    Asante kwa masomo mazuri

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      Karibu sn mpendwa, na usiache ku Subscribe kwa mengi mazuri

  • @AngelinaKayoka
    @AngelinaKayoka 3 месяца назад +1

    Mfyuu!
    Somo zuri
    Lakn kwa mwanamme anae kitambua anastahil kufanyiwa hivyo.
    Sio mwanamme hajui nahitaji ya mkeo hata shopping Kwa mwanamke hajawah kufanya hata siku moja,
    Kwa nn asivaliwe dela la kuchanika.

  • @PaschalJohn-d9j
    @PaschalJohn-d9j 10 месяцев назад +3

    Kujifunza ni vizuri jamani kuliko kupinga jamani watanzania lililo la kwako toa la kwako na ujitafute

  • @AgnessKomba-qg1es
    @AgnessKomba-qg1es 3 месяца назад +2

    Mafundisho mazuri ,asante

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 месяца назад

      @@AgnessKomba-qg1es asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @africa7479
    @africa7479 10 месяцев назад +11

    hata ukirembaa mtu hata hakusifii mmmmh! unachoka ati

    • @jescasamson1123
      @jescasamson1123 10 месяцев назад

      hahahahaa bora useme mama angu hakuna kitu hapo

    • @reginasawe3356
      @reginasawe3356 2 месяца назад

      Nmeeeecheeeka kma mazuuur

  • @MariagorethLupala-u2q
    @MariagorethLupala-u2q 10 месяцев назад +2

    Asantee kwa somo zuri

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

  • @gladohgladoh
    @gladohgladoh 11 месяцев назад +9

    This is only applicable for house wives, a woman who has nothing else to do, Ila ndoa tu. Huu ndio Mimi huita upuzi wa hali ya juu…siku hizi kila mtu amesoma,kazi,sote tuko busy. Once in a while we spoil each other but isiwe mwanamke ndie wa kufanya tu na yeye hafanyiwi chochote. Wanaume watoa uvundo kwenye miguu, Pia SISI tumechoka na harufu mbaya.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +1

      Nakuelewa sana mpendwa. Ila nakuomba utafute video moja hapa hapa inaitwa Kosa la Mwanamke humo nimeeleza vizuri sana kuhusu huu mtazamo ulionao na natumai utanielewa vizuri sna.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +1

      Umenichekesha Uvundo kwenye miguu.

    • @RaymaYahya
      @RaymaYahya 8 месяцев назад +1

      Mh mungu atusaidie ilitukiopewa kwenye ndoa zetu tuwafanyie il nas tudumu 0:00

  • @HamisRashidi-w9o
    @HamisRashidi-w9o 6 месяцев назад +1

    Daah kaka angu nakupenda sana waelimishe hao

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 месяцев назад

      @@HamisRashidi-w9o 😀🙏

  • @KeruboIrene1333
    @KeruboIrene1333 Год назад +2

    Nakwambia haya mafunzo kwa mwenye anapenda ndoa yake ,,yana faida 💯
    Kwa kweli niko 95 percent ,hiyo tano ni saa zile nimechoka/kukasirika.
    But i appreciate my husband ananishukuru hadi sometimes ananisaidia kupika.kwa yale nimeyafanya😂😂❤❤

  • @winilucas
    @winilucas 6 месяцев назад +1

    Asantee kaka upo vzr sanaa❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 месяцев назад

      @@winilucas asante sana😊🙏

  • @LilianMakokha-r1j
    @LilianMakokha-r1j 11 месяцев назад +8

    ❤ I love it

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      Thnks mpendwa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +1

      Usisahau Ku Subscribe🙂

  • @maryMWENI-t8y
    @maryMWENI-t8y 3 месяца назад +5

    Mwanaume mwenyewe naye anatakiwa atoe matumizi ilimwanamke aweze kujipanga kama kama amaacha 200 ya mboga unajigmngarisha na nini sasa.

  • @DEVIABUHINDA
    @DEVIABUHINDA 10 месяцев назад +1

    Ahsante kwa ushauri

  • @angeliqueangelique9279
    @angeliqueangelique9279 Год назад +36

    Hiyo yote hayasaidii kaka mwanaume akiamua kukuacha atakuacha tu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Год назад +1

      Fanya kwaajili yako

    • @alexbayingana7879
      @alexbayingana7879 11 месяцев назад

      Kwanini mwanaume akuache unakua hujitambui mwanamke

    • @angeliqueangelique9279
      @angeliqueangelique9279 11 месяцев назад

      @@alexbayingana7879 Achana na hizo habari wanaume hawana shukrani

    • @Mnyalu94
      @Mnyalu94 11 месяцев назад

      ​@@mbekitv693kwaajili yangu ndo nini?😂 ukishakuwa unamfanyia hivyo mtoto wa mtu lazima uwe na expectations.. sasa matarajio yakiwa ndivyo sivyo unaachaje kuumia😅 yaan mimi nikuhangaikie kias hicho alafu unichukulie poa aah we!

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 11 месяцев назад +3

      Ila ukijitahidi atamkiachana atakumiss

  • @vss-du8ne
    @vss-du8ne 10 месяцев назад +1

    Asante kwa mafunzo mazuri kweli❤❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

  • @ZakhiaMiraji
    @ZakhiaMiraji 11 месяцев назад +23

    Toeni pesa hakuna mwanamke mchafu😅

  • @salmakiti1517
    @salmakiti1517 11 месяцев назад +2

    Nimependa sana kaka kwa mazungumzo wako yameningia kwa akili yangu❤ ubarikiwe sana

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      Amina mpendwa nawe ubarikiwe sn

  • @tumainpetre6596
    @tumainpetre6596 10 месяцев назад +8

    Inategemea yeye anajitoa vipi kwako ndoa ni kupendana sio utumwaaaa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

    • @RoseMGONJA
      @RoseMGONJA 2 месяца назад

      Safi sanaaaaaaa nimeipenda

  • @fgfvgggf6993
    @fgfvgggf6993 10 месяцев назад +2

    Mafundisho mazuri kweli ubarikiwe kaka

  • @AaAa-s5k2g
    @AaAa-s5k2g 11 месяцев назад +3

    Ushauri mzuri kabisa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +1

      Karibu sn mpendwa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +1

      Usisahau Ku Subscribe🙂

  • @mariacappelletti3323
    @mariacappelletti3323 10 месяцев назад +2

    Mwanamke kazi kwanza urembo baadaye mwanamke si pambo unaonekana umekaa warabuni wewe.

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 Год назад +7

    Mwanaume akipenda kapenda tu unaweza fanya yote na bado akakuchukia 😂😂

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Год назад

      Hiyo haitabadili uzuri wako wewe fanya kwaajili yako

  • @MonnaclassicFashion
    @MonnaclassicFashion 3 месяца назад

    Asante sana kaka yangu nimejifunza mengi asante

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 месяца назад

      @@MonnaclassicFashion good

  • @HelenMadimba
    @HelenMadimba 11 месяцев назад +5

    Jamani huyu mkaka noma. Du,

  • @merclinemmbone2707
    @merclinemmbone2707 9 месяцев назад +1

    Hongera kaka hapo ni kweli kabisa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 месяцев назад

      Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju Год назад +4

    Kwakweli umetufunza kitu😊😊😊😊

  • @rosemaryjosephati5761
    @rosemaryjosephati5761 8 месяцев назад +1

    Nimependa sana kujifunza kwaki asante

  • @johariabdalla3099
    @johariabdalla3099 Год назад +7

    🎉🎉😂Shida sio huo usafi shida huyo mwanaume anamtunza mwanamke wake kwa vitu hivyo?

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Год назад +3

      Usafi mpaka usubirie kutunzwa kweli? Inamaana bila mwanaume utakuwa hauogi wala haupendezi kweli? Usafi ni jambo muhimu sana mpendwa ata kama upo Single mpendwa sawa mamaa.

    • @johariabdalla3099
      @johariabdalla3099 Год назад

      @@mbekitv693 sio kwamba usafi hadi kusubiri kuolewa laahasha
      Kuna vitu vingine tu ulivyo vinzungumzia

    • @ezekielbkuyeko5241
      @ezekielbkuyeko5241 Год назад

      😂😂😂🤣 usafi wako mwenyewe mpaka utunzwe!!! Mmmh mapenz shikamoo🙉

  • @Valentne-p8n
    @Valentne-p8n 9 месяцев назад +1

    Yes yes good thanks 🎉🎉❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 месяцев назад

      Karibu katika darasa letu la WhatsApp 0659152333

  • @MwanaharusiAlly-t2c
    @MwanaharusiAlly-t2c 11 месяцев назад +5

    Atar aiseee ila Kuna watu wako perfect na wanachukiwa😔

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      Hilo sio tatizo lako, kama utakuwa sawa na mtu atashindwa kuliona hilo basi hiyo ni hasara yake na wala sio yako na lazima atakuja kujutia.

    • @happynessmitanda6470
      @happynessmitanda6470 11 месяцев назад

      Kweli hawana jema

    • @Räqýïbü
      @Räqýïbü 10 месяцев назад +1

      Kaka umeongea point saan...mungu akubariki 🙏

  • @ellahjonas4881
    @ellahjonas4881 9 месяцев назад +1

    Hongera kwakupata mke mwenye vigezo vyote

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 месяцев назад

      Amen 🙏
      Nami nakukaribisha katika darasa letu la WhatsApp tuzidi kujifunza pamoja.

  • @iddamollel946
    @iddamollel946 Год назад +43

    Mwingine hata ungeyafanya hayo ni bure tu,mbwa ni mbwa tu hata ungemfanyia nini hata kaa aridhike,hata ungekuwa na mahaba kwa kiasi gani ni bure tu,wapo warembo lakini wameachika,hii tote sio suluhisho,suluhisho ni mungu tu aingilie ndoa zetu,tabia haina dawa,

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +1

      Kuwa Mwanamke wa namna hiyo Usiwe Mwanamke kulingana na Wanaume

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад +1

      Plz Usiache Ku Subscribe

    • @renathakalamage4931
      @renathakalamage4931 11 месяцев назад +1

      Kwel kabisa mpenzi hayana ufundi

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      @@renathakalamage4931 weeeeeh ufundi upo mpenzi upo ufundi wa maeneo mengi mpendwa ukiona kaondoka kwako niamini nikikwambia kipo alichokifata kwingine

    • @TheopistaAloyce-ht8kr
      @TheopistaAloyce-ht8kr 4 месяца назад

      Ukimpenda mkeo utamrekebisha kwa upendo na ataelewa tu.

  • @AsiaAlly-m8w
    @AsiaAlly-m8w 3 месяца назад

    Hayo anafanya mwanamme Asomujua mungu anae mjuamungu Hawezi mfanyia mkewe mambo machafu

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 11 месяцев назад +5

    Wanaume wengine wananuka mikojo kwa kweli

  • @HamidMuhammed-go2sk
    @HamidMuhammed-go2sk 9 месяцев назад +1

    Piano wanaume wanauka kola sehem napia hawatosheki hata ufanyeje viruka njia nyinyi sana mapumbu yananyata kama asali hakogi ila kwa kulala usijidai nass hatuwapendi pia upo bwamdogo tupishe uko muendekeze nyie tu kwalipi muhim umechelewa subutu aaaaa!

  • @neemakarisa1496
    @neemakarisa1496 11 месяцев назад +4

    Kwa usafi wa nyuma na kubaliana nawe..lakini hayo mengine Nooo sikubaliani nawe.ongea na wanaume wenzako wajue mahitaji yao juu wanaume wengine hawa hudumii wanawake zao , sasa kama hata kutoa pesa ya sabuni ni shida mtu atafanya nini.. kwenda huko

    • @rhodalolela8640
      @rhodalolela8640 11 месяцев назад

      Labda usafi mengine jovyooo na wanaume hao wajitafakari 😂😂😂😂

    • @Afsa-z2v
      @Afsa-z2v 9 месяцев назад

      Mada yako nzuri lakini nyinyi ni wabinafsi sana mnataka nyinyi tu mfanyiweyote mbona nyinyi hamtupi hayo mahaba mnajipenda ww tu hununui pafyum nguo mwanamke akavae nn
      17:34

    • @neemakarisa1496
      @neemakarisa1496 9 месяцев назад

      @@Afsa-z2v Mwanamke ukimpa nyama ya ulimi naku mheshimu nakumuonyasha upendo na kurekebishana Kwa hekima haki hata hicho kidogo umpacho ataridika na atakua.msafi Kila mahali,hakuna Mtu apendaye uchafu hutokea juu ya shida,ama wewe unapenda uchafu😅?

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji 4 месяца назад +1

    Asante sanaaa nimejifunza kitu kikubwa sanaaa mungu akuzidishie inshallah

  • @RosaPeter-w3p
    @RosaPeter-w3p 11 месяцев назад +3

    Asante kwa mafundisho

  • @samanthamalemba1414
    @samanthamalemba1414 2 месяца назад +1

    Ata uwe vipi kama hupendi hupendi hupendi tuu 😅😅😅

  • @bas2823
    @bas2823 Год назад +4

    DERA! SIO DELA!

  • @AzdahIssa-h1u
    @AzdahIssa-h1u 3 месяца назад +1

    Honger kw elim ulonay

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 месяца назад

      @@AzdahIssa-h1u asante sn

  • @aminamusa9174
    @aminamusa9174 11 месяцев назад +6

    Kujitunza gharama hakuna mtu anapenda kuwa mchafu ila wanaume wenyewe hawatupi pesa tutajitu nza vipi mimi mwenyewe nauza mihogo na namtumia kuni nikipata buku ndio niwapikie watoto bamia ntanukua kweli

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      Jamani Unaweza ukawa smart sio lazima uwe kama Hamisa Ila Unaweza kuwa smart kwa level yako na unavyojiweza, umaridadi uficha umasikini sio kwasababu hauna ndio unuke moshi jamani😰

    • @marympochela7903
      @marympochela7903 11 месяцев назад

      Crispin,bado u mdogo Sana katika nyanja hiyo, mahaba na michezo ipo pande zote, si kwa mwanamke tu mnaatakiwa nyote muwe hivyo. Nikwambie wanaume wengine Kama kuku, akifika mapajani tu tayari, hawana stamina.katika Hali Kama hiyo Sasa si utakaaa kwa mateso?wakati mwingine ndio sababu unakuta house boy anakusaidia kumrudhisha mkeo.
      Kama Hiyo hakîtoshi, mwanaume mkeo anaogea sabuni jamaa nakufulia na kuoshea vyombo,Sasa unategemea hiyo itaondoa kikwapa ilihali anapakaa mafuta ya nazi?. Wanaume mmbadilike kwanza ili na wake zenu wawe nadhifu.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 месяцев назад

      @@marympochela7903 Kwahiyo usipokuwa na mwanaume si ndio adi sabuni ya kuogea utaikosa wewe ata mafuta nahisi hautakuwa nayo😣. Usafi ni jambo binafsi mpedwa sio hadi uwe na mwanaume Mama yangu maana mimi nimeshakuwa mdogo so wacha niongezee hapo Unatakiwa kuwa msafi ata kama ukiwa single.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 2 месяца назад +1

    Wanaume nao wachafu sana

  • @mercyndoli5296
    @mercyndoli5296 Год назад +3

    Kama wewe ni mkenya kuja hapa hy mwalimu uko single ama😂😂😂😂😂

  • @estalinhachisina2554
    @estalinhachisina2554 10 месяцев назад +2

    Ni ukweli usemayo lakini hamtosheki anyway Acha tutimize wajibu🎉

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 месяцев назад

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 Год назад +3

    Nilimpenda kwa kila kitu ila akaniletea gono ndani😢

  • @HawaJeremiah-s2y
    @HawaJeremiah-s2y Год назад +5

    Ahsante sana❤❤

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 11 месяцев назад +1

    Mo❤❤❤❤❤kazi nzuri kaka ..

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 11 месяцев назад +16

    Bwana wee kuna wanaume wananuka kama nini midomo mikundu na mapumbu kunanuka ajabu

    • @MamuMamu-u4c
      @MamuMamu-u4c 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @FettyAdam-s2p
      @FettyAdam-s2p 11 месяцев назад

      Mapumbu 😅😅😅

    • @mememmeme7939
      @mememmeme7939 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂Wambieee,