Haya ndio Mambo madogo madogo 7 wanaume wengi hujisahu yafanya na kupelekea Ndoa nyingi kuharibika

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 дек 2024

Комментарии • 49

  • @HamadAbdallahHamadi
    @HamadAbdallahHamadi 10 месяцев назад +4

    Ww ni mwanamke
    Na insha'Allah Allah atakupa mlango wa Pepo opposite na Rasulillah
    KAZI yako imetukuka mnoooo ❤❤
    ❤Kwa ajili ya Allah endelea Mungu akupe maisha marefu na afyaa njema amin3 yaarabl Alamein

  • @kateranyahussein5385
    @kateranyahussein5385 8 месяцев назад +2

    Wewe NI moja Kati ya Wanawake wema Allah akulipe inshaalah

  • @kateranyahussein5385
    @kateranyahussein5385 8 месяцев назад +1

    Allaah akulipe kheri Kwa mawaidha yako yanayojenga

  • @ipingikalimited1103
    @ipingikalimited1103 10 месяцев назад +4

    MashaAllah nmekuwa nikikufatilia sana madame ila ninahamu sana ya kuongea nawe unishauri moja kwa moja sijui nitafanyaje naomba msaada wako

  • @josiahkulwa34
    @josiahkulwa34 24 дня назад +1

    Hakika umetoa somo jema

  • @Mahfudha
    @Mahfudha 10 месяцев назад +2

    Hongera anty kwa kuwakumbusha wanaume,ingawa sie wengine hatuawahi kufanyiwa hata moja kati ya hayo ,wapewe maua yao wanaofanya hayo

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid 10 месяцев назад +2

    Mimi nkifatana n mume wangu 😂😂labda nenda spitali au mazishini au polisi wezi wametuibia...Alhamdulilah niko n 29kwenye ndoa wala hatugombani.

  • @bahariahd6299
    @bahariahd6299 10 месяцев назад +4

    Content ipo vizuri sana

  • @khamisissa252
    @khamisissa252 10 месяцев назад +5

    maneno
    mafunzo murua sana
    jazaakillahu khair

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 10 месяцев назад +3

    Ahsante nduguyangu ,namambo mengine yanawakosesha baraka viumbe ,kwakutokujua kwetu🎉

  • @abdullipunjaje9603
    @abdullipunjaje9603 10 месяцев назад +5

    Maisha ni rahisi sana kuyazungumza ila kuyatekeleza ni kazi sana. Unaweza fanya yote hayo na ya ziada lkn bado mambo yakaenda kombo.
    Behind the scene ya yote hayo ni kuzidisha dua tu ehuch

    • @ahz6907
      @ahz6907 8 месяцев назад +1

      We fanya kwa kutegemea kupata radhi za allah.ukitaka kuyajua ya binadamu hutoyamaliza.

  • @letushareanidea
    @letushareanidea 10 месяцев назад +4

    Watu tunapenda kuyafanya hayo ila humo humo ndio mnakuwa mwanzo wa kuombana talaka,mengine mtufundishe na dua za wanawake visirani sio kutuona wanaume tunajisahau hapana majumbani tunagombezwa hivi utaweza kumtoa mtu out mtu kama huyu unaogopa asije akakuchamba mbele za watu yakakutoka makofi ndio ukawa mwisho wa ndoa yenyewe kukosekana maudambwi udambwi kwenye ndoa zetu si kwamba hatupendi ila miongoni mwenu vivuruge.

    • @ahz6907
      @ahz6907 8 месяцев назад

      Haswaaaaaaa

    • @frosttgp1510
      @frosttgp1510 4 месяца назад

      Umeongea kwa uchungu sana😂😂😂😂

  • @HamadAbdallahHamadi
    @HamadAbdallahHamadi 10 месяцев назад +1

    Mungu akubariki amin3

  • @waleedbinali3211
    @waleedbinali3211 10 месяцев назад +1

    Mashaa Allah shukran kwa maneno mazuri yenye kujenga Mungu akubariki

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 10 месяцев назад +2

    mashaAllah mawaidha mazuri sana kipenzi Allah akuhifadhi akupe afya njema uzidi kutuelimisha

  • @HamadAbdallahHamadi
    @HamadAbdallahHamadi 10 месяцев назад +1

    Karibu Sana Pemba dada yangu

  • @SarhaSaid
    @SarhaSaid 10 месяцев назад +1

    Maashaallah madam nikweli kabisa wanajisahau sana

  • @SalehMustafa-c7l
    @SalehMustafa-c7l 10 месяцев назад +4

    MashaAllah dada i

  • @user-ju9mi1ft4v
    @user-ju9mi1ft4v 10 месяцев назад +3

    Mashaa Allah tabaraka Allah

  • @Rahma-r1y
    @Rahma-r1y 10 месяцев назад +3

    Manshaaallah ❤naaaaaaaam habibty

  • @matatamwaipopo-rp4vz
    @matatamwaipopo-rp4vz 10 месяцев назад +1

    Safi sana sister tunakuelewa vizuri

  • @suleimanjuma6818
    @suleimanjuma6818 10 месяцев назад +1

    Mashallah mawaidha mazuri yenye nasaha za wanadoa nk:

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 10 месяцев назад +1

    Hakikaa mungu ukuzidishiye hekims

  • @ZackeyMohammed
    @ZackeyMohammed 10 месяцев назад +1

    Positively right,thank u
    Very much mama.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 10 месяцев назад +4

    Asante madam Leila. Kweli na upo sahihi kuhusu haya mambo. Wazungu wao kila wiki hupeana maua au chocolate japo kuwa sio vitu vya bei ghali, ni ishara tu ya kumthamini na kumpa zawadi mkeo au mwenzio. Unayosema yapo tupo wengi tunajisahau kufanya hayo mambo.

  • @ahmedosman7698
    @ahmedosman7698 10 месяцев назад +1

    Vizuri Sana madam leila

  • @omarimmbaga5632
    @omarimmbaga5632 10 месяцев назад +1

    Aslm ,Alkm,war,wab.kuhusu zawadi, anarudi saa 4:30, saa 5:00, kufuturu magengeni,halafu unampa zawadi

  • @muzammilurajab846
    @muzammilurajab846 10 месяцев назад +2

    Asa usipoobwa pesa na mke wako akuombe nani, mwanamume mwenzangu

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 9 месяцев назад +1

    mchaga romantic . kuwa romantic itampa sh. ngapi . inaliwa au?😂😂😂 ebu acha mambo ya kitoto basi. sisi tunatafuta pesa . kazi kweli kweli😂

  • @a.856
    @a.856 10 месяцев назад +2

    Jazakallah khayran

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 10 месяцев назад +2

    Mashaallah tabarakallah

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa 10 месяцев назад +1

    Shukran

  • @SingoMedia
    @SingoMedia 10 месяцев назад +2

    Maashallah

  • @makamemm6111
    @makamemm6111 10 месяцев назад +1

    Tumeelewa ugali mama😅😅

  • @letushareanidea
    @letushareanidea 10 месяцев назад +1

    Kwani ile michezo ya kwenye tv ni halali kwa wanawake wa kiislam kuangalia?

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah9407 10 месяцев назад +1

    Halaf hi y kununa n kua vichaa inawakuta wwke wkiafrika tu?!

  • @hellenmagembe8768
    @hellenmagembe8768 10 месяцев назад +2

    👏👏

  • @kassimali511
    @kassimali511 10 месяцев назад +2

    Twayyib

  • @bahariahd6299
    @bahariahd6299 10 месяцев назад +2

    CHAKULA BONGO AHSANTE YA NINI NA ZAWADI

  • @bukuruyassini
    @bukuruyassini 10 месяцев назад +1

    👍

  • @bukuruyassini
    @bukuruyassini 10 месяцев назад +1

    Google