Комментарии •

  • @user-io4dv1rv4p
    @user-io4dv1rv4p 3 месяца назад +1

    Mm wawili wamenisaliti wakwanza baba wa Binti wangi mwengi ni WA pili amechaguwa dada angu inauma sana😔💔

  • @user-bt9qc1pt5u
    @user-bt9qc1pt5u 5 месяцев назад +3

    Mashallah madam nimekukubali uko vizuri safii sana
    Allah akubark.

  • @user-zw6vr8dw3s
    @user-zw6vr8dw3s 5 месяцев назад +6

    Kiukweri dada unazungumza vizuri ,lakini jambo la ndoa ni jambo la kihisia na kimwili na sio jambo la kiroho ,na kesi za ndoa sio kesi za kupeleka kwa baba au mama ,muhimu ni wanandoa ni muhimu kwa wanandoa kuelekezwa namna ya kuboresha ndoa zetu ,na bila ya kusahau tukumbuke ktk mahusiano wa kwanza kupeleka kesi nje ndio mkosa ,muhimu mtu akikukosea ww lenga sababu ,kwanini amekusality huenda ww ndio umemfanya mwenzio akusaliti.tukumbuke daima ndoa ni jambo linalotakiwa kuendesha kiakili na kihisia ,tukizingatia hapo tutaishi vizuri ktk mahusiano ya kijamii na ndoa pia ,tukumbuke daima ndoa sio jambo la kiroho.asilimia 99 kesi za ndoa zikipelekwa kwa watu huvunjika.tuwe makini kuishi mtu ni kujitolea muhanga .

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p 5 месяцев назад

    Nakupongeza saana mm mukenya, mpwani......

  • @user-tx6xq6fx6y
    @user-tx6xq6fx6y 5 месяцев назад +1

    Waogea maneno ya hekma sanaa

  • @AbimeleckRichard-hy1mw
    @AbimeleckRichard-hy1mw 5 месяцев назад +2

    We wajaze ujinga, wakiufuata 100% watjijua

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 5 месяцев назад +2

    Dini yetu haijaacha kitu, kuhusu maswala y ndoa imeelea kwa kina zaidi.
    Tangu mtu anataka kuposa, hatua zimetajwa mpaka kwenye mifarakano mpaka ikifikia kuachana n baada ya kuachana,
    Utazungumza vipi suala hili kwa kutumia elimi y dunia au akili tu, hapo ndipo tunapo feli
    Baada ya kuelimishana inapelekea kupotezana.

  • @user-dw5mq6pr7y
    @user-dw5mq6pr7y 4 месяца назад +2

    Allah akuhifadhi sana my love 💓

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa778 5 месяцев назад +1

    Asalam alykm warahmtullah wabarakatuh Dada yetu Leyla shukran kwaushauli wako wamesema vibaya mbona hawafundishi kazi yao kutukana

  • @zayshabani5664
    @zayshabani5664 5 месяцев назад

    Allah akulipe

  • @user-cd1hr2cx3i
    @user-cd1hr2cx3i 5 месяцев назад

    Shukran sana

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 5 месяцев назад +6

    Kuishi na mzinifu ni kutafuta magonjwa

    • @alawimohd
      @alawimohd 4 месяца назад +3

      Tena magonjwa ya moyo na magonjwa ya ukimwi na kaswende

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 4 месяца назад +1

      @@alawimohd
      Sana

  • @a.856
    @a.856 5 месяцев назад +1

    Jazakallah khayran

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel 5 месяцев назад

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht 5 месяцев назад +3

    shukran hata mie nmepata kisomo hapa

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel 5 месяцев назад +1

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 5 месяцев назад +1

    Mashaallah tabarakallah

    • @naharhaji639
      @naharhaji639 4 месяца назад

      Asante sana madam yaan mm nlijua nikikaa kimya t nd ataelewa lkn kumbe apana ntajitahid nimwambie kwanza ndipo nikae kimya

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z 4 месяца назад

    Umesema kweli daa

  • @muridundhikri
    @muridundhikri 5 месяцев назад +1

    Katika uislamu ukifumania kwa ushahidi jambo linalopewa kipaumbele ni kuacha

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 5 месяцев назад +1

    Shukran my dear sister leyla ❤

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel 5 месяцев назад

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

    • @user-kn5bv3qj8p
      @user-kn5bv3qj8p 5 месяцев назад

      @@TaarabChannel ,kwani unalipi??faida ya Akhera au hasara ya Moto

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel 5 месяцев назад

      @@user-kn5bv3qj8p utayaangalia wewe sabasi mayubu usikucha aibu

  • @abdullahsaid4072
    @abdullahsaid4072 3 месяца назад

    Aslm aleikum dada nmekuelewa ila mm Kama mwanaume hapa umechemka sana na nahisi wanawake wakiiskia hii habari yako bc talaka zitaongezeka
    Sababu mm Kama mwanaume sifuati kupendwa na mwanamke
    Mm nataka mke anaenikubali sana katika maisha hasa katika kua kiongozi wa family kuwa provider kulikubali jasho langu katika utafutaji na kuifurahisha family pia
    Nafuata wema wa mke na ukarimu wake kwangu
    Kuniheshimu pia
    Hayo mengine ya kwako yatazalisha ushindani na yatamfanya aone mm anaweza kunidhibiti kwa adhabu na mwanaume ukishindana nae ndio unamfanya azidishe anachokufanyia
    Na unachomnyima atarudi kwengine atakipata kwa mapana
    So hamna dawa hapa kwa mwanaume tafuta nyengine au tuulize cc jinsi YETU tutakwambia

  • @FatumaMuzamil
    @FatumaMuzamil Месяц назад

    Dada mm nimefumania kiukwel sikufanya kitu niliamua kuondoka na nikawaacha na mambo yao,alipo rud sikumwambia kitu ila dada haluwa na haha

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 5 месяцев назад +1

    Tatizo la wanawake wengi mnatuhitaji zaidi wanaume kuliko mahitaji ya wanaume huo ndo ukweli

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c 3 месяца назад

      😂😂😂😂 wengine wanafikia hatua had kuoa wanaume ndo Kila kitu kwao Yan mtu anaona huyo mwanaume ndo familia ya pekee aliyonayo utafikir alipotoka hakua na familia.. waswahil wanasema anaekulisha ndo huyo huyo atakaekushindisha njaa

  • @user-sn4lf7cj3z
    @user-sn4lf7cj3z 5 месяцев назад

    Jamn kma muislam unazijua hukum z ndoa n sheria zake pamoja n hukum y mzinifu alieoa n ambae hajaoa huwezibi kulumbana juu y hili jambo wasie n elim n hilo jambo wanakuaga nwachambuz wazur n wabishi sana nadhani mwenye elim n haya hawezikua mwenye kupinga zaidi kuelekeza kw busara n hekima mwenye kuelewa falhamndulilah

  • @AmriAmri-hy6sg
    @AmriAmri-hy6sg 5 месяцев назад +4

    Hamnaga heri mtu anajitoa kwakile alichonacho atuelekeze nyie wasomi mpo kimya kukosoa2

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel 5 месяцев назад

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

    • @user-cd1hr2cx3i
      @user-cd1hr2cx3i 5 месяцев назад

      Yaan comments usitegemee chanya tu wengine ni wabishi waasili,,but naamini hazitomyumbisha mfundishaji

  • @swalehsalim5569
    @swalehsalim5569 5 месяцев назад

    Kwani mwaowana nyinyi twaona wengi wamewekana tuu

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa 4 месяца назад

    Hapana dada kuomba taraka ni haramu

  • @charleslupenza3879
    @charleslupenza3879 5 месяцев назад +1

    Kimsingi sijapaona pahala Laila Alienda TOFAUTI na misingi ya UISLAM.
    LAILA ANAELIMISHI NA KUSHAURI. TUWACHE ATUMIE KIPAJI CHAKE TUSIMKATISHE TAMAA NAFASI HIYO HAIPO.
    BINADAMU NYIE HAPANA NA NIKISEMA ROHO YA HUSUDA HIYO SIKOSEI.
    MWACHENI LAILA

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 5 месяцев назад +2

    Dada yangu nakushauri kasome dini, kwa sababu umeelezea vitu vinaenda kinyume kabisa na dini.
    Km mtu hujui bora nyamaza na jikubalishe kia hujui ili ukajifunze,
    Na sio ukajiona unajua kwa udhoefu wako ukapotosha watu.
    Mwisho
    Tuma muomba Allah atuongoze sote na atujaalie elimu yenye manufaa.

    • @nuruhassan9707
      @nuruhassan9707 5 месяцев назад +3

      Naomba unukuu point moja aloieleza inayoenda kinyume na Dini?Niko pale nasubiri jibu lako

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 5 месяцев назад +1

      @@nuruhassan9707
      Mwanamke haruhusiwi kumnyima mumewe tendo la ndoa,
      Mtume swalallahu alyhi wassalm
      Amesema mwamke atakae itwa n mumewe kitandani kumtakata kufanya nae tendo la ndoa halafu mke akamkatalia, basi hulaaniwa na malaika usika mzima.

    • @nuruhassan9707
      @nuruhassan9707 5 месяцев назад +1

      @@zulekhaa6817 Soma uelewe,usikariri,unajua moja ya mambo yanayoweza Fanya mwanamke ajivue Ndoa?Jibu hilo afu ntakuelewesha namna alichosema madam kinavyooana na sheria ya kiislam

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 5 месяцев назад

      @@nuruhassan9707
      Mtu akisema kweli anambiwa anakariri.
      Mm sishindani, na mlengwa sio ww,
      Ww unataka kuongea yako ungea
      Ila usihalalishe lililo haramu.
      ,

  • @user-uh9sl8pc2z
    @user-uh9sl8pc2z 5 месяцев назад

    Swadka

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa 4 месяца назад

    Dada umesimama kama muubili wa kiisilam lakini mamemo yako hayana hata aya wala hadithi yaani unatoa mawaidha kulingana na maono yako na mitazamo yako mmmmmm jamani

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 5 месяцев назад

    Mtu unatakiwa usome kwanza kwamza ndio usomeshe, usiingilie mambo ya dini km hukujui, dini inapatikanwa kwa kusoma n sio kutumia akili.
    Tudikurupuke tu haswa sisi wanawake, tunatakiwa tujistiri n tusijianike, m
    Mfano himu mitandaoni

  • @user-xx1rj2pb5j
    @user-xx1rj2pb5j 5 месяцев назад +1

    Yawesekana wanawake ndio vichaa ndio wanaharibu familia mara nyingi undani wamambo yamejificha je mwanamke kimfumania inakuwaje sema unajaribu kusema wanaostahiki ninani nanini cha kuomua hadisi katika ndoa sio kweli wanawake ndio waharibifu wafamilia

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel 5 месяцев назад

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @nasramusaro
    @nasramusaro 5 месяцев назад +1

    Lakini hapa unataja usaliti na pia unataja uoaji hii imekaaje? Na pia dini imeruhusu wake mpaka wanne

    • @EgallSamsam
      @EgallSamsam 5 месяцев назад +1

      Mi naona bora nikimfumania naenda muita Imamu namfungia ndoa kwani sitaki usinzi iliakome kuzini

    • @mamii7935
      @mamii7935 5 месяцев назад +1

      Msaliti ni mume au mke alie kwenye ndoa Kisha akachepuka ndo "usaliti"

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel 5 месяцев назад

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel 5 месяцев назад

      ​@@EgallSamsamPitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @user-zw6vr8dw3s
    @user-zw6vr8dw3s 5 месяцев назад

    Ndoa ni jambo la kimwili na akili ni muhimu zaidi kuwapelekea wataalam ndoa mean wanasaikolojia lakin sio kuwapelekea watu wa kiroho ,hapo kuferi lazima.twaambiwa hivi kuishi na mtu inabidi uishi nae alivyo ,ila kumpenda mtu inabidi umpende ulivyo.so hauwezi kumpenda mtu alivyo utaferi ,maana watu huwa tunabadilika utamkataa,so ndoa ni jambo la akili ,tuwe makini na mafundisho munayo tupa

  • @user-vj9zx2yv5k
    @user-vj9zx2yv5k 5 месяцев назад

    Huyu mwnamke hajielewi anaongea kufuru kumbe mtume wake ni kichaa ipi hukumu hii mpaka muumba wake anamtoa akili

    • @user-kn5bv3qj8p
      @user-kn5bv3qj8p 5 месяцев назад

      Wapi kakufuru eleza ,,kwani kichaaa si niugonjwa tuu,,, au kamunasbisha wapi na muumba wetu. Una FAA upelekwe muhimbili.

    • @nuruhassan9707
      @nuruhassan9707 5 месяцев назад

      ​@@user-kn5bv3qj8pAmekariri uyu mjinga,ulicho muuliza Hawezi kukujibu

    • @ibrahimmalabeja3692
      @ibrahimmalabeja3692 5 месяцев назад

      Mie naona Madam Leila yupo vizuri tu. Kwa kuwa anachotoa ni Ushauri Kwa jamii nzima (waisramu na wasio waisramu) M/Mungu akubariki Sister. Japo muda mfupi tangu nimeanza kukufatilia lakini naona manufaa makubwa Kwa jamii itakayochua Ushauri wako.