Mambo 7 ukimfanyia Mkeo atakuwaza muda wote - Madam Leilah Aboubakar

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 139

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 8 месяцев назад +29

    Mke wangu mm akiniagiza kitu hata kama hujampa hakasiriki anajibu inshallah rabi atatupa😂ila ikipigwa simu nikipokea akisikia sauty ya kike ugomvi unaanza 😂kumbe mara nyengine ni bimaza wangu ndio naongea nae humpa simu hio akiishika kumbe ni bimaza wangu😂

  • @jmm1840
    @jmm1840 2 месяца назад +2

    Dada ndoa ngumu
    Kawaida mwenye ndoa ni mume.Mke mtunza ndoa.
    Wengi tunaoa,Mnaolewa hamjui maana ya ndoa.
    Kumbu kwenye ndoa mmekutana watoto wawili.Kila mtu anahitaji kubembelezwa kwa wakati wake. Wengi wazee na viongozi wa dini kufungisha tu ndoa,Lakini wanasahau kuwaweka pamoja na kuwaeleza nini maana ya ndoa kwa mapana na marefu.Wanachokumbuka akamvumilie mume kwa shida na raha.Kumbukeni shida zipo.Raha zipo hata kwenu iwe mume au mke.Jee ziada ya hayo huwaambia wanandoa?Wanandoa wengi hawaijui ndoa.Jee! Msipowaelekeza hawatoijua ndoa inataka nini kutoka kwao.Na wao wanataka nini kutoka kwenye ndoa.
    NDOA NGUMU
    JIHESHIMU MKE
    JIHESHIMU MUME
    HESHIMU MAJUKUMU YAKO
    HESHIMU MIPAKA YAKO.
    RIDHIKA NA FUNGU LAKO
    MTAMBUE MUMEO
    NA MUME MTAMBUE MKEO
    MTAISHI MPAKA MTACHOKANA MIILI KWA
    KUZEHEKA PAMOJA.
    فلندعو الله كثيرًا لأن عالم اليوم مليء بالامتحانات.

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc 2 дня назад +1

    Lakini Dada yangu kipenzi madam Leila wivu ni muhimu sana katika maisha ya ndoa kama hakuna wivu hakuna maisha ya ndoa naomba unijibu

  • @phabianmagesa1039
    @phabianmagesa1039 17 дней назад +1

    Madame leila wewe nimwalimu mzuri ninazipenda sana mada zako zinaelimisha sana

  • @MuhamdJuma-ix3uu
    @MuhamdJuma-ix3uu 8 месяцев назад +6

    Kwa hali tuliyonayo sasa hivi kuna haja masomo kama haya kusomeshwa vijana wetu kama elimu ya lazima ili kuokoa ndoa zoa wakati watakapoingia kwenye ndoa.

  • @abdallahlugongo4738
    @abdallahlugongo4738 8 месяцев назад +9

    Dada kweli kabisa Maneno yakoo, unajuwa, Mungu akuongozee vema katika maisha yako yote

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx 8 месяцев назад +9

    Mashallah nimepata mume Asante mungu Kwa hii zawadi

  • @HadijaShango
    @HadijaShango 5 месяцев назад +3

    Shukrani dada❤❤❤ nimepata SoMo nakaribia kuongea kwenye doa🎉🎉

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 8 месяцев назад +8

    Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri, madam mola akupe elimu nyingi Zaid, na Afya na umri wenyemanufaa Ili tuendelee kunufaika inshaallah

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 7 месяцев назад +2

    🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 8 месяцев назад +5

    Maadam Leyla kwanza napenda vile tu unaongea kwa upole na utaratibu ukichanganya na kiswahili chako kizuri,hongera sana.Mm nimekuwa nikikufuatilia sana mafundisho /ushauri wako mzr na nimejaribu uufanyia kz na kupata matokeo,MUNGU akubariki sana kwani kila nikikusikiliza napata faida na nimekuwa wa kujirekebisha kwa kupitia mafundisho yako,Ahsante nakushukuru.Naomba no.yako

  • @alifaki5043
    @alifaki5043 8 месяцев назад +3

    Ata ukipiga kwa madam lela kutaka ushauri ashakupigia kukufokea 😂😂😂

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Месяц назад +2

    Sema Mumeo hafanyi

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 8 месяцев назад +4

    Malezi na tabia, umechagua kozi nzuri na yenye kuleta maana. Asante kwa kushea. Mahusiano mengi ya Watanzania yapo kimazoea na wapendanao wengi hawakupata elimu ya kiroho, kimwili na mazingira. Ukosefu huo ndio huleta mizozo na isipopatanishwa na kusuluhishwa, basi mahusiano hufa.

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 8 месяцев назад +2

    Masha'allah nimepata lafudhi. Yake kama MTANGA ivi.. ahsante kwa darsa.mungu akulipe kheri ❤

  • @thureajuma9055
    @thureajuma9055 8 месяцев назад +4

    Madam umenishushia gunia la misumari kichwani apa kwenye kupekua simu hatari asante madam

  • @gharibaltiwany8165
    @gharibaltiwany8165 8 месяцев назад +1

    Hamna lolote bin Adam hata umfanyie nini hashukuru

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 8 месяцев назад +2

    Jazakillahu Khaira Ya Ukhti Kwa Kutupa Elimu Mubasharatan Allah Barik

  • @albertalistides5428
    @albertalistides5428 Месяц назад

    Nashangaa kwa hii elimu nzuri sana. Bahati mbaya walio wengi haya hawayajui kabisa. Wake wetu wameolewa jina tu

  • @ZandaKingfujo-tx5gb
    @ZandaKingfujo-tx5gb 8 месяцев назад +1

    Mashaallah dada ipo haja hata walimu wetu wa dini wafundishe sana mambo hayo maana hali ilivyo kwa Sasa kila mmoja ywajua hakuna kuambiana😂

  • @jumaseifjuma4185
    @jumaseifjuma4185 7 месяцев назад +1

    Ahsante mama siye wazee tumeyashuhudia hayo. Mungu akuzidishie kwa darsa hizi.

  • @al-aminbaruan6167
    @al-aminbaruan6167 8 месяцев назад

    Sawa, kutoa ushauri unaolenga kujenga mahusiano baina ya wanandoa sio jambo baya kama itachungwa misingi ya kisheria kwa kuzingatia MZUNGUMZAJI, PAHALA ANAPO ZUNGUMZIA, WALE ANAO ZUNGUMZA NAO na WAKATI ANAO ZUNGUMZA.
    Lakini pamoja na hivyo, 'SASA MAPICHA YANINI????!!
    MCHENI ALLAAH.

  • @AllySalum-ce3ix
    @AllySalum-ce3ix 8 месяцев назад +4

    Umeongea ukweli Ukhty, Lakni Sizani Kama Wake zetu wanayajua haya. Alla awaongoze Wake zetu wawe wenye kuyaelewa Haya. Na sisi wanaume Tujitahid kutambua majukumu yetu

    • @sein.208
      @sein.208 8 месяцев назад +1

      Amiyn yaa Rabby

  • @Mosalarmosalar
    @Mosalarmosalar 5 месяцев назад

    Hupo vizuli kwa kutoa elim

  • @kimeajuma3267
    @kimeajuma3267 18 дней назад

    Madam nakuelewa sawa

  • @xavierguildo
    @xavierguildo 8 месяцев назад +2

    Wajifia😂😂

  • @idrissabakari8879
    @idrissabakari8879 8 месяцев назад

    Nikiridhia anachojali mkewe wangu(yeye Ni darasa kwangu zaidi ya mwalimu),namjali kwa kujifunza kwa uchanya/uhasi-simu ikiita siulizi kwa zuri ama baya Lina makusudi(nafsini mwake)mie Ninaangalia usalama zaidi ya maono ya amani yake kuliko( yetu)

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 Месяц назад

    Mungu waajabu sana huyu pia saingine ana mkera mume wake madamu uko poa sana

  • @jumajuma8263
    @jumajuma8263 8 месяцев назад +2

    Mashaallah Allah akupe umr mrefu dada

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 6 месяцев назад

    Mzee baba kwenye Heshima,+cm ,ndoo balaaa,babaangu,,ucpime balaalake,

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 8 месяцев назад +1

    Maashallah Baarakallahu fiik
    Jazaakllahu khaira
    Katk darasa la leo
    Kitu kimoja umekisahau darsa hii ingetimia
    Wanaume tunatamani na sisi kuombwa kitandani
    Mara nyingi tunaomba sisi au mpaka tulazimishe kama kuku vile wanavofukuzana.

    • @cheka480
      @cheka480 7 месяцев назад

      Hahahahaha nimecheka sana Allah awapatie maelewano naomba muongee na mkeo atajirekebisha

  • @kateranyahussein5385
    @kateranyahussein5385 7 месяцев назад

    Nimefuatilia saanaa mada zako hakika wewe mwenyezimungu akulipe pepo kwani unaongea ukweli na uhalisia WA maisha ya wanandoa Kwa mujibu wa misingi ya dini.

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 8 месяцев назад +1

    Hakuna mambo ya kufanya mkadumu daima hapo utatudanganya tu,ndoa inadumu kwa kuvumiliana tu mengine blah blah blah tu.

    • @jumaseifjuma4185
      @jumaseifjuma4185 7 месяцев назад

      Si kweli hizo ni fikra zako finyu na bado hujaijua maana ya kuvumiliana.

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 7 месяцев назад

      @@jumaseifjuma4185 matusi hayatakusaidia kitu jibu hoja mm sijatusi

  • @KennedyMwandawiro
    @KennedyMwandawiro 8 месяцев назад +1

    Masha Allah mafundisho mazuri

  • @abouansaaraboubakar1376
    @abouansaaraboubakar1376 Месяц назад

    Al'hamdulillah kwa mashauri mazuri sana

  • @comredmuslimmputa2275
    @comredmuslimmputa2275 7 месяцев назад

    Mimi nimepata mke ananidharau kweli kweli,hataki kuswali,hasikii,anaondoka bila ruksa,anajifanyia anachotaka biashara,anaongea na mimi kama mtoto wake,hana adabu hata kidogo,mshirikina kweli,mikopo kila kona wallah,kauza kila kitu nyumbani sababu ya vikoba, kweli,NIMEMWAMBIA SIKO RADHI NAE DUNIANI MPAKA AKHERA

  • @albertalistides5428
    @albertalistides5428 Месяц назад

    Asante sana kwa elimu

  • @ayubujuma8346
    @ayubujuma8346 8 месяцев назад +2

    Mashallah, hongera sana

  • @nassoromwakwandika6293
    @nassoromwakwandika6293 8 месяцев назад

    Madam Leyla. Leo ndoo awali,kukuskiza,umenigusa n ningependa nipate contacts zako kwa msaada w kibinafsi.nitashuru

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 8 месяцев назад

    Hakika ukhti leilah.maneno yako kuntu..ila mwanamke au mwaume.akiwa nakushuku shuku sana.basi ujue nisaliti.no.1.huo ndio ukweli

  • @alakhy1-yi2pn
    @alakhy1-yi2pn 8 месяцев назад +2

    Mashallah namkubali sanaaaa huyu ❤❤❤❤

  • @AbdallaRahimShaaaban
    @AbdallaRahimShaaaban 6 месяцев назад

    MashaAllah baraka wah alakulipe jitihada yako katika kufikisha elimu kwa umma.na akuzidishiye elimu nyingi zaidi na busara na au hekiman na ukupenuru zaidi shangazi yangu.

  • @Sabrinaomary-k7h
    @Sabrinaomary-k7h 8 месяцев назад

    Somo zuri dada mashallah ila wanaume wanachipuka sn ndio tukaangalia cm zao

  • @hassanaliamin1104
    @hassanaliamin1104 3 месяца назад

    Madam Leilya naomba namba yako ya simu tafadhali

  • @saadasaid1764
    @saadasaid1764 8 месяцев назад +1

    💞💞💞 allah akulipe kheri yaan masha allah

  • @AlmasDiga
    @AlmasDiga 8 месяцев назад +1

  • @a.856
    @a.856 8 месяцев назад +2

    Jazakallah khayran

  • @KuvunaGonda-l4f
    @KuvunaGonda-l4f 7 месяцев назад

    Nkweli dadaa ubarikiwe sana kwasomo

  • @abdallahsalim1318
    @abdallahsalim1318 8 месяцев назад

    Madam leilah changa moto katika ndoaa nikawaida lkn tunapitia mitihani sana

  • @erickmachalo-ol6mg
    @erickmachalo-ol6mg 7 месяцев назад

    Dr uko vzr, nimekusoma sana tena umenifanya nijue namna kuka na mke wangu

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 8 месяцев назад +2

    Dada layla katika picha zako ulizotuwekea ni watu weupe tu za mahaba. Lakin watu wesi hatupo au hatuna mahaba kazi yetu ni mapigo tu hahaha

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 8 месяцев назад +4

      Kabisa , mahaba Kwa sisi weusi mtihani, yaani maji KUPWA maji KUJAA...!

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  8 месяцев назад +2

      😂😂

    • @bentybenty2343
      @bentybenty2343 8 месяцев назад +1

      Hahahaha 😂😂😂😂

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 8 месяцев назад

      Hii ni Hatariiiiiiiiiii sana
      😂😂😂😂

    • @HamidiBushura
      @HamidiBushura 8 месяцев назад

      Nkweliii madam mungu akihfdh

  • @theresareed8537
    @theresareed8537 8 месяцев назад

    Jambo tuko pamoja Mimi Michael kutoka America Arizona

  • @mariamswalehe3312
    @mariamswalehe3312 8 месяцев назад

    Natamani sana nipate mawasiliano yako tuongee unisaidie

  • @amanitoza
    @amanitoza 8 месяцев назад +1

    Ma Shaa Allah

  • @MUMMYSAID-b3y
    @MUMMYSAID-b3y 8 месяцев назад +1

    maahaallah .maudhui straight to the points.allah akubariki

  • @erickmachalo-ol6mg
    @erickmachalo-ol6mg 7 месяцев назад

    Dr mungu akujalie nimepata daraza nzr sana

  • @ahmedosman7698
    @ahmedosman7698 8 месяцев назад

    Eee ni ukweli madam leila tuko na tamaa sana na iyo ni mbaya sana tamaa ya fisi ata mimi huwa na iyo ugonjwa ya tamaa

  • @wilohassan863
    @wilohassan863 6 месяцев назад

    Nakama hakushukulikii jamani utafanya aje

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 8 месяцев назад

    Mim nahukuru nipo kwa bahari naogerea mpaka nakalibia kuzama na utam alhamdullilah ila mie tu ndio bado nqzingua allah aniongoze niwe mume bora zaidi inshallah

  • @ahmedsalehe9489
    @ahmedsalehe9489 8 месяцев назад

    Dada angu nisaidie mimi nahitaji mke mwema mwenye tabia nzuri na dini

  • @andrewbanda3287
    @andrewbanda3287 6 месяцев назад

    Nikweli dada mambo yote nikweli

  • @AminaHassan-b5w
    @AminaHassan-b5w 8 месяцев назад +1

    Mashaallah ❤

  • @mrishofaraji6100
    @mrishofaraji6100 7 месяцев назад

    Kwani we Bi Layla umeolewa.? 🙈

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 8 месяцев назад

    Dr Leila Aboubakary, Mwenyezi Mungu akuondolee mabalaa.Akujaalie MWISHO mwema.Utafiti Wangu si rasmi,ila zipo ndoa NYINGI Wanaume angalau wanasali sala tano ila WANAWAKE Wallah WANAWAKE sala hawataki kuisikia.Mada kuu Utii kwa MUME nimekusoma sasa hili limekaaje lo saikilojia

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 8 месяцев назад

      Wanaume wako pia wabishi wa swala...Allah Atuongoze Yarrab

  • @Mosalarmosalar
    @Mosalarmosalar 5 месяцев назад

    Hupo vizuli kwa kutoa elim

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 8 месяцев назад

    Mamboooooooo7 Ni mengiiii punguzaa iwe 3 hayooo Ni mengi😢

  • @basiaarsh3835
    @basiaarsh3835 8 месяцев назад

    Hawa wajuwaji ndo wanatesa sana wanaume

  • @user-qe7yk2xr8y
    @user-qe7yk2xr8y 8 месяцев назад

    Maa Shaa Allah. Allah akubarik. Namba yako please

  • @RamadhaniMaarifa
    @RamadhaniMaarifa 8 месяцев назад

    Really tunapenda kweli kuwapelekesha mkitufuatilia

  • @goodneighbour2638
    @goodneighbour2638 8 месяцев назад

    mi napenda sana ulivyo mstafi una stara na staha

  • @PeterSimyota
    @PeterSimyota 2 месяца назад

    😂😂😂😂 ashaowa😂😂 kazi kwel

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 8 месяцев назад +1

    Mtu una wake wanne utaweza wapi kufanya hayo,labda usiwe shughuli nyingine Zaidi ya hayo mnayoita mapenzi

  • @abdallasarai6327
    @abdallasarai6327 8 месяцев назад

    Kuna watu wana bahati kupata wakwe kama wewe, how i wish.

  • @KikapaAmosi
    @KikapaAmosi 7 месяцев назад

    Mafundisho mazuri

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 8 месяцев назад

    Tunakuwa tamaa kwa chakula cha nje kutokana na mapishi ufundi na mikao tafauti kitandani usafi na umbo limejaa.sio mlalo mmoja Tu ukiambiwa ubadilishe hamuwezi ukiweza hayo mume haendi kula nje

    • @jumaseifjuma4185
      @jumaseifjuma4185 7 месяцев назад

      Utamaliza dunia nzima kwa hilo ndugu yangu bado wanazaliwa na wanaendelea kuzaliwa. Ningekushauri bora hata usiowe.

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi5646 8 месяцев назад +1

    Mm nimeowa lkn kiukweli mm huwa sipende kelele kabisa, yani nikitoka kazini natamani akili yangu ipoe, lkn mmh utulivu haupo, bora nirudi jioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooni

    • @arjanjunior1452
      @arjanjunior1452 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂 kwamba jioooooooooni

  • @AishaMbura-m7z
    @AishaMbura-m7z 8 месяцев назад

    Nimejifunza Allah akulipe

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 8 месяцев назад

    Amani iwe nawe bi leilah

  • @ahmedmagoma8831
    @ahmedmagoma8831 8 месяцев назад +1

    Naomba namba yako madam leilla

  • @rajabupetekwa5210
    @rajabupetekwa5210 5 месяцев назад +1

    Mashallah mashallah akhsante sn nimepata SoMo alhamdullialh

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 8 месяцев назад

    Asaante madam wangu Leyla nakupenda Sana.

  • @moanaali525
    @moanaali525 8 месяцев назад

    MashaAllah uko na mawaidha mazuri

  • @bakariathmanathman2187
    @bakariathmanathman2187 8 месяцев назад +5

    Mm ndio niko kwenye shimo lamoto lenyewe maana hasikizi hizi mada kabisa 😢

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  8 месяцев назад +1

      usiache muombea Dua

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 8 месяцев назад

      Sio fungu lako hilo ila unajipa moyo kuamini kuwa ata badilika. Kumbuka ngozi ya futi kujikunja ni maumbile yake

    • @jumahamisi9328
      @jumahamisi9328 8 месяцев назад

      😂😂😂

    • @jumahamisi9328
      @jumahamisi9328 8 месяцев назад +1

      unapigwa kaka

  • @rukiaissa5878
    @rukiaissa5878 8 месяцев назад

    Assalamu alaykum naomba namba za madam leyla nnahitaji kujifunza zaid masomo yake insha allah

  • @highhigh7476
    @highhigh7476 8 месяцев назад

    Mashallah sister it's good advice

  • @MeanakomboAli
    @MeanakomboAli 8 месяцев назад

    Ni mm mwanakombo kalefu

  • @Lucybalele9419
    @Lucybalele9419 8 месяцев назад

    Umebarikiwa sana mashaalaah

  • @rashidamashaallahnyimbohio1664
    @rashidamashaallahnyimbohio1664 8 месяцев назад

    Mashaallah mawaidha mazuri sana

  • @PhilipoNjalika
    @PhilipoNjalika 7 месяцев назад

    Ubarikiwe

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 8 месяцев назад

    Masha Allah

  • @TunzaHilal-ok2zg
    @TunzaHilal-ok2zg 8 месяцев назад

    Jazaqallahu kher

  • @daudymbukwa5495
    @daudymbukwa5495 8 месяцев назад

    Nmip

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 8 месяцев назад

    Upo sawa

  • @HamzaMwacha-t8v
    @HamzaMwacha-t8v 8 месяцев назад

    Asante sana madam leila

  • @abdallahlugongo4738
    @abdallahlugongo4738 8 месяцев назад

    Hongera sana dada

  • @SMroofing
    @SMroofing 7 месяцев назад

    Fact ❤

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 8 месяцев назад

    mashallah dada

  • @mediization
    @mediization 8 месяцев назад

    Mashaallah

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 8 месяцев назад

    ❤❤nikikaribia kuolewa nitakuita unipe somo kwaza

  • @AbdallahMuya-bu4xo
    @AbdallahMuya-bu4xo 8 месяцев назад +1

    Unakituchako mbinguni

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 8 месяцев назад

      BINGUNI TENA KITI GANI ICHO?