DAKTARI ATOBOA SIRI,VYAKULA VYA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME, PILIPILI YATAJWA KUJICHUA HAKUPUNGUZI NGUVU
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Nimekuelewa docter ata mimi ni mtumiaji wa pili pili vizuri sana
Asante daktari,ukweli wa dhati hayo.Akili nzuri yenye maarifa nzuri.
Nimejifunza Mengi Asante sana Times Fm
Hongera doc kwa mafunzo mazuri Mola akulinde na akuzidishie elimu
Shukraan Sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu akujaalie Dokta unatupa sisi swadaqa yaani unatupa ushauri bure
Huyo docta yupo vizuri Sana anasema kweli . Defao
Asante sana daktari nimekuelewa vizuri san
❤❤doctar ongera sana nimechukua moja mbili thank you
Napenda mtu anaeongea vitu sahihi ambavyo nimekwishakufanya na kuona matokeo,nmekufatilia kwa kurudiarudia baaac ukaniongezea uhakika wa why am so strong na ni matokeo ya mengi uliozungumza...you are super broo
Huyu jamaa anajitambua sio politique
🎉❤🎉🎉🎉🎉
@@tusajigwe74910:00
Nashukuru Dakitari Kwa mafunzo yako
Uko vzr
Docta ubarikiwe sana mtu wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kiafia umenibariki sana
Ooooh nimejua Sasa Asante sana doctor
Asante kwa elimu nzuri mtaalam mungu akubariki sana
Ubarikiwe sana na Mungu DOCTOR
Good education Mungu awabariki mwendelee na kazi hiyo Bila kuchoka
Asante kwa somo zuri.
Asante sana Daktari nimepokea mafunzo kamili
Very good but the background music is not supposed to be there
Asante doctor nimekuelewa
Ahsante Sana Doctor Kwa ushauri wako Nakupata vizuri nikiwa Kigali Rwanda ushauri huu nimzuri nitaendelea kukufuatilia
Asante docteur nimekupata kutoka Burundi
Nikiwafuata kutoka Burundi, nafurahia Sana maelezo haya ya Daktari, abarikiwe sana na hii Radio ibarikiwe pia
😂hsante Doctor, nimekupata vema....Ubarikiwe
Sawa kabisa doctari. Nimekufata kutoka Drc.
Nimeupenda sana ushauri huu,ASANTE SANA DR.
Funzo nzuri sana dak, upande wa kupiga punyeto nimesikita kw makini na n ukweli jibu lako liko sawa, mahana mm sijao lakn nmejijua zaidi ya miaka kumi lakn bdo nko sawa, nkiwa na mechi nacheza vizuri zaidi ya dakka 90+. Napendwa sana ninavyocheza game yangu
Heeeee
Vumbi ilo
Thanks doc unaongea kweli,so mm natoka Kenya nasumbuliwa na hiyo tatizo sana
MashaAllah,mafunzo mazuri sana🙏
Ahsante doctor nimekuelewa vzr nipo similar na hivyo vyakula
Umenifunza brother Asante nimekuamini
Asante kwa elimu
Doctor uko sahihi,binafsi nishajichunguza kila baada ya mfungo wa Ramadhani nakuwa vizuri mno,so shida ya yote ni ulaji mbovu
Dr.asali ya nyuki wadogo ni tofauti na asli ya nyuki wakubwa Dr.
Nimeelewa thank you
Nzuri sana,nimekuelew kamanda,endelea kudumu watanzania weng wanufaike na uwepo wako
Duh! Ahsante sana doctor
Doctor uko vzr sanaa aise nimependa somo lako
Ubarikiwe Doctor kwahilo somo.
Uko vizuri doct😊
Aisee inapendeza kwa elimu na ufundishaji wako upo vizuri huposhi umezama ndani yasoma safi
Dr uko sawa
Hongera sana Mkuu Elimu Yako ni Muhimu sana.
Je. Kuinama sana mgongo kuuma inaweza kudhuru
Oooooh kumbe nmekuelewa docta 👏👏👏👏
Congratulations doctor
Thanks doctor
Doctor yuko vizuri,
😂😂😂😂Dkt ahsante sana, SEMA nimecheka sana ,yaani hutulii ni kama unataka kupaa🤣🤣🤣🤣💞, SoMo zuri, Mungu akubariki
Du !hujatulia ww ndg nimecheka htari😂😂😂😂
Doctor I say noma. Nimwalimu mzuri Sanaa.
Unatusaidia doctor barikiwa
Nashukuru Docta kwa huo ufafanusi
Dr anaongea point saaana
Ahsante kwa mafunzo doctor
Jamaa nimemuelewa safi sanaa
Thank you so much 💓
Shukrani sana
Doctor naomba namba zako za simu nataka kuzungumza na wewe juu ya nguvu za kiume
Uko vizuri docta
Asante Sana
Pamoja Sana doctor
Nice
Duuu!!! Huyu docter Yuko vizuri kwa maelezo, Hawa ndyo tunawataka, syo hao wanaotaka pesa tuu!!
Asante doctor
7:21 Mpeni Daktari glasi ya kunywea maji.... kunywa maji moja kwa moja husababisha upungufu wa nguvu za kiume 😎
Kweli upo vizuri docta
Nimekukubali sana dr
Nimekuelewa
Hongereni sana
Nakuombea maisha marefu dockt
Safi sana Doctor
Doctor shikamoo! Ningeomba uzame zaidi kwenye sababu za kisaikolojia na jinsi zinavyoadhiri tendo la ndoa. Vyakula vina sehemu ndogo tu! Ila mwangalie sana huyo mwanadada! Kuna la zaidi anahitaji hupendi kuona!
Jambo zuri Doctor
Dokta nimekuelewa sana uposawa kbsa
Nimekuelewa Dr,kumbe cha msingi ni kufuata maelekezo ndo ushindi utapatikana
Asanti sana docta
Amejibun kifaswaha. Yupo saii. Mwanzo. Nilifikili. Chizi freshi. Baada. Yakuzungjmzia. Kitambi. Leo. Ameenyoosha. Maelezo vizuri sana. Ameeongea. Ukwer. Asante. Na amejibun kifupi. Hajatuchosha. Wasikilizaji
Kwenye asali umekosea sana. Tafiti tunazoendelea nazo zinaonesha utofauti mkubwa Sana kati ya asali ya nyuki wanaodunga na asali ya nyuki wasiodunga. Fuatilia vizuri urekebishe hiyo sehemu
Dokta nakupata sanaa
Uko sawa docter
Nimefuatia vipindi vyako na nimefanya baadhi ya mazoezi (spel) zinanipa matokeo chanya tuko pamoja mungu atusaidie amen.
Well spoken
Perfect!
Ni kweli kabisa doctor maneno yako.😂❤
Pweza ama sea food vina madini ya zinc na protein (wingi wa shahawa direct proportion na pleasure) haya elezea zinc ilivyo na. Impact katka ngvu za kiume
Hongera 'ndungu kwa ushaurî kqfuti ni tunda ao tweleze 9:00
Pweza ana madini zink ya ambayo yanasaidiaa na kuhusika moja kwa moja na nguvu za kiume lakini haiwez kuwa busta ya siku moja ukanywe supu ukapata nguvu wengi wameaminishwa hivyo kifikra, ila pweza ana madini joto na mengino yanayosaidiaa mfumo mzima mwanaume kama atakuwa ndyo samaki wako kila siku basi unaweza kupata matokeo mazuri, na sio pweza tu kuna samaki wengineyo kama chanza ,mkunga n.k
Apo kwenye mkunga baba umepatia sawa
Very Good
Huyu mwamba yupo vizuri sanaa
Safi docta
Wanawake ndo wanatufelisha kwenye tendo wanstamka maneno ya hovyo wakat wa ndoa!
Hapo kwauchafu hapo mi nipo mungu asamehe comment yangu insha’allah
Na nahona wewe mdada unahuliza saana, unapenda ngoma!!
Show
😂😂😂😂😂😂Anapenda show 😂😂😂
Muko vyema sana❤
Pia asali na unga wa mdaladini ni vip dokta?
Asante sana Docter.Ninaswali kidogo kuhusu uaminifu kwa mwanaume na mwanaume.Umesema mwanaume atajulikana kuwa mwaminifu kwa kumaliza mapema round ya Kwanza Wakati wa tendo la ndoa kwa sababu anakua amekaa mda murefu bila kufanya tendo la ndoa.Je kwa mwanamke utamjuaje kama ni mwaminifu Wakati wa tendo la ndoa hajachepuka? Asante sana.
atakojowa mapema
Uke utabana
Adjambeni docta, namba yako naipata je? kwenye Facebook inaitwa Nani?
Nimependa hayo mambo umesema Daktari.
Mungu akupe umri mrefu ili uendelee kutuelimisha
Safi sana
SHkrn doctor
Daktari Shuhkrani sana Ndugu yetu yaani umetujuza kwani Elimu Yako ni ya Manufaa sana katika Jamii.