DAKTARI ATOBOA SIRI,VYAKULA VYA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME, PILIPILI YATAJWA KUJICHUA HAKUPUNGUZI NGUVU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Комментарии • 445

  • @charlesmsigwa5277
    @charlesmsigwa5277 8 месяцев назад +19

    Nimekuelewa docter ata mimi ni mtumiaji wa pili pili vizuri sana

  • @WYCLIFFEOMOLLO-u4m
    @WYCLIFFEOMOLLO-u4m 7 месяцев назад +4

    Asante daktari,ukweli wa dhati hayo.Akili nzuri yenye maarifa nzuri.

  • @nuruyakowewe
    @nuruyakowewe 10 месяцев назад +12

    Nimejifunza Mengi Asante sana Times Fm

  • @barkyabdallah170
    @barkyabdallah170 7 месяцев назад +3

    Hongera doc kwa mafunzo mazuri Mola akulinde na akuzidishie elimu

  • @YasinOmary-m6n
    @YasinOmary-m6n 2 месяца назад +2

    Shukraan Sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu akujaalie Dokta unatupa sisi swadaqa yaani unatupa ushauri bure

  • @defaondimbo9600
    @defaondimbo9600 8 месяцев назад +5

    Huyo docta yupo vizuri Sana anasema kweli . Defao

  • @SaidiSudi-v6x
    @SaidiSudi-v6x 6 месяцев назад +1

    Asante sana daktari nimekuelewa vizuri san

  • @Malaikalaizer-d2q
    @Malaikalaizer-d2q 7 месяцев назад +1

    ❤❤doctar ongera sana nimechukua moja mbili thank you

  • @elijahtille-ys5sc
    @elijahtille-ys5sc 8 месяцев назад +52

    Napenda mtu anaeongea vitu sahihi ambavyo nimekwishakufanya na kuona matokeo,nmekufatilia kwa kurudiarudia baaac ukaniongezea uhakika wa why am so strong na ni matokeo ya mengi uliozungumza...you are super broo

  • @ngelezabatende4528
    @ngelezabatende4528 7 месяцев назад +4

    Docta ubarikiwe sana mtu wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kiafia umenibariki sana

  • @MohamedChivatsi-bx3lu
    @MohamedChivatsi-bx3lu 5 месяцев назад +1

    Ooooh nimejua Sasa Asante sana doctor

  • @AnnoyedGondola-pi2bv
    @AnnoyedGondola-pi2bv 8 месяцев назад +1

    Asante kwa elimu nzuri mtaalam mungu akubariki sana

  • @TimotheoBulimwengu
    @TimotheoBulimwengu 8 месяцев назад +3

    Ubarikiwe sana na Mungu DOCTOR

  • @matheiMathei-ob7vy
    @matheiMathei-ob7vy 4 месяца назад +1

    Good education Mungu awabariki mwendelee na kazi hiyo Bila kuchoka

  • @onesmusmdunya2836
    @onesmusmdunya2836 7 месяцев назад +1

    Asante kwa somo zuri.

  • @isaacochieng2415
    @isaacochieng2415 6 месяцев назад +1

    Asante sana Daktari nimepokea mafunzo kamili

  • @fuo228
    @fuo228 7 месяцев назад +5

    Very good but the background music is not supposed to be there

  • @FrankMyamba
    @FrankMyamba 3 месяца назад

    Asante doctor nimekuelewa

  • @KayitareEmmanuel-qy8ok
    @KayitareEmmanuel-qy8ok 2 месяца назад

    Ahsante Sana Doctor Kwa ushauri wako Nakupata vizuri nikiwa Kigali Rwanda ushauri huu nimzuri nitaendelea kukufuatilia

  • @Tambwekabela
    @Tambwekabela 4 месяца назад

    Asante docteur nimekupata kutoka Burundi

  • @mfuranzimagerard3801
    @mfuranzimagerard3801 7 месяцев назад +1

    Nikiwafuata kutoka Burundi, nafurahia Sana maelezo haya ya Daktari, abarikiwe sana na hii Radio ibarikiwe pia

  • @ZaidHamasiZaid
    @ZaidHamasiZaid 23 дня назад

    😂hsante Doctor, nimekupata vema....Ubarikiwe

  • @timothyassumani6769
    @timothyassumani6769 8 месяцев назад +8

    Sawa kabisa doctari. Nimekufata kutoka Drc.

  • @mosesmatabaro
    @mosesmatabaro 8 месяцев назад +2

    Nimeupenda sana ushauri huu,ASANTE SANA DR.

  • @timothyjosphat209
    @timothyjosphat209 5 месяцев назад +5

    Funzo nzuri sana dak, upande wa kupiga punyeto nimesikita kw makini na n ukweli jibu lako liko sawa, mahana mm sijao lakn nmejijua zaidi ya miaka kumi lakn bdo nko sawa, nkiwa na mechi nacheza vizuri zaidi ya dakka 90+. Napendwa sana ninavyocheza game yangu

  • @JosephWamalwa-t9q
    @JosephWamalwa-t9q 2 месяца назад

    Thanks doc unaongea kweli,so mm natoka Kenya nasumbuliwa na hiyo tatizo sana

  • @GerezaNgome-v7h
    @GerezaNgome-v7h 4 месяца назад +1

    MashaAllah,mafunzo mazuri sana🙏

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 5 месяцев назад

    Ahsante doctor nimekuelewa vzr nipo similar na hivyo vyakula

  • @EdwardMkama-r8n
    @EdwardMkama-r8n 9 месяцев назад +2

    Umenifunza brother Asante nimekuamini

  • @DelightfulFjord-xe9ef
    @DelightfulFjord-xe9ef 8 месяцев назад +3

    Asante kwa elimu

  • @Muharram-c5n
    @Muharram-c5n 7 месяцев назад +2

    Doctor uko sahihi,binafsi nishajichunguza kila baada ya mfungo wa Ramadhani nakuwa vizuri mno,so shida ya yote ni ulaji mbovu

  • @hugholinemmasi1671
    @hugholinemmasi1671 7 месяцев назад +1

    Dr.asali ya nyuki wadogo ni tofauti na asli ya nyuki wakubwa Dr.

  • @DitiLubava-id1rl
    @DitiLubava-id1rl 4 месяца назад

    Nimeelewa thank you

  • @oscarsebastian3726
    @oscarsebastian3726 10 месяцев назад +6

    Nzuri sana,nimekuelew kamanda,endelea kudumu watanzania weng wanufaike na uwepo wako

  • @StivinMachume
    @StivinMachume 2 месяца назад

    Duh! Ahsante sana doctor

  • @johnmwenda7683
    @johnmwenda7683 4 месяца назад

    Doctor uko vzr sanaa aise nimependa somo lako

  • @MwanumeWamkyungu
    @MwanumeWamkyungu 3 месяца назад

    Ubarikiwe Doctor kwahilo somo.

  • @jasiriasili3694
    @jasiriasili3694 Месяц назад

    Uko vizuri doct😊

  • @japhetnyese2285
    @japhetnyese2285 6 месяцев назад +1

    Aisee inapendeza kwa elimu na ufundishaji wako upo vizuri huposhi umezama ndani yasoma safi

  • @isaacklameck8539
    @isaacklameck8539 7 месяцев назад +1

    Dr uko sawa

  • @gastonkomanda5801
    @gastonkomanda5801 3 месяца назад

    Hongera sana Mkuu Elimu Yako ni Muhimu sana.

  • @StanleyAshiro
    @StanleyAshiro 8 месяцев назад +2

    Je. Kuinama sana mgongo kuuma inaweza kudhuru

  • @nyamandogo7136
    @nyamandogo7136 10 месяцев назад +2

    Oooooh kumbe nmekuelewa docta 👏👏👏👏

  • @benardsamson
    @benardsamson 8 месяцев назад +1

    Congratulations doctor

  • @Rabanus-Tv
    @Rabanus-Tv 6 месяцев назад

    Thanks doctor

  • @iddykwangaya2794
    @iddykwangaya2794 Месяц назад

    Doctor yuko vizuri,

  • @Artist-my9zx
    @Artist-my9zx 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂Dkt ahsante sana, SEMA nimecheka sana ,yaani hutulii ni kama unataka kupaa🤣🤣🤣🤣💞, SoMo zuri, Mungu akubariki

    • @HassanSlyvester
      @HassanSlyvester Месяц назад

      Du !hujatulia ww ndg nimecheka htari😂😂😂😂

  • @JumaHuseni-in8wv
    @JumaHuseni-in8wv 4 месяца назад +1

    Doctor I say noma. Nimwalimu mzuri Sanaa.

  • @ElsonMsuko
    @ElsonMsuko 4 месяца назад +1

    Unatusaidia doctor barikiwa

  • @Mukisankuba-kq6wi
    @Mukisankuba-kq6wi 7 месяцев назад +3

    Nashukuru Docta kwa huo ufafanusi

  • @davidkilimotips6276
    @davidkilimotips6276 8 месяцев назад +2

    Dr anaongea point saaana

  • @PhabianNgalu
    @PhabianNgalu 5 месяцев назад

    Ahsante kwa mafunzo doctor

  • @dicksonjustinian6428
    @dicksonjustinian6428 10 месяцев назад +5

    Jamaa nimemuelewa safi sanaa

  • @HafashimanaFidele
    @HafashimanaFidele 4 месяца назад

    Thank you so much 💓

  • @pacifiquemuzo7446
    @pacifiquemuzo7446 8 месяцев назад +2

    Shukrani sana

  • @kilimoujazo3316
    @kilimoujazo3316 2 дня назад

    Doctor naomba namba zako za simu nataka kuzungumza na wewe juu ya nguvu za kiume

  • @ElijusMpolya
    @ElijusMpolya 4 месяца назад

    Uko vizuri docta

  • @AseiaB
    @AseiaB 7 месяцев назад

    Asante Sana

  • @SolomonMUSSA-l9s
    @SolomonMUSSA-l9s 2 месяца назад

    Pamoja Sana doctor

  • @ShakurAKBAR
    @ShakurAKBAR 5 часов назад

    Nice

  • @BakizeMngeja
    @BakizeMngeja 5 месяцев назад +3

    Duuu!!! Huyu docter Yuko vizuri kwa maelezo, Hawa ndyo tunawataka, syo hao wanaotaka pesa tuu!!

  • @LaksonBernardo
    @LaksonBernardo 5 месяцев назад

    Asante doctor

  • @olexanderj.6969
    @olexanderj.6969 8 месяцев назад +4

    7:21 Mpeni Daktari glasi ya kunywea maji.... kunywa maji moja kwa moja husababisha upungufu wa nguvu za kiume 😎

  • @FredMwambenja
    @FredMwambenja 5 месяцев назад

    Kweli upo vizuri docta

  • @jumamohammed2748
    @jumamohammed2748 8 месяцев назад +2

    Nimekukubali sana dr

  • @essausimon6975
    @essausimon6975 6 месяцев назад +1

    Nimekuelewa

  • @selemannestory1694
    @selemannestory1694 8 месяцев назад +2

    Hongereni sana

  • @LaurentWidon
    @LaurentWidon 8 месяцев назад +2

    Nakuombea maisha marefu dockt

  • @WCBih2bp
    @WCBih2bp 2 месяца назад

    Safi sana Doctor

  • @williammarete3970
    @williammarete3970 3 месяца назад

    Doctor shikamoo! Ningeomba uzame zaidi kwenye sababu za kisaikolojia na jinsi zinavyoadhiri tendo la ndoa. Vyakula vina sehemu ndogo tu! Ila mwangalie sana huyo mwanadada! Kuna la zaidi anahitaji hupendi kuona!

  • @ManyamaEsaba
    @ManyamaEsaba 7 месяцев назад

    Jambo zuri Doctor

  • @japhetnyese2285
    @japhetnyese2285 6 месяцев назад

    Dokta nimekuelewa sana uposawa kbsa

  • @nelsonsimon2950
    @nelsonsimon2950 7 месяцев назад

    Nimekuelewa Dr,kumbe cha msingi ni kufuata maelekezo ndo ushindi utapatikana

  • @KaserekaKalendi-z2s
    @KaserekaKalendi-z2s Месяц назад

    Asanti sana docta

  • @BilalShingwa
    @BilalShingwa Месяц назад

    Amejibun kifaswaha. Yupo saii. Mwanzo. Nilifikili. Chizi freshi. Baada. Yakuzungjmzia. Kitambi. Leo. Ameenyoosha. Maelezo vizuri sana. Ameeongea. Ukwer. Asante. Na amejibun kifupi. Hajatuchosha. Wasikilizaji

  • @StanslaussLukiko
    @StanslaussLukiko 8 месяцев назад +1

    Kwenye asali umekosea sana. Tafiti tunazoendelea nazo zinaonesha utofauti mkubwa Sana kati ya asali ya nyuki wanaodunga na asali ya nyuki wasiodunga. Fuatilia vizuri urekebishe hiyo sehemu

  • @daudirobert6796
    @daudirobert6796 7 месяцев назад +1

    Dokta nakupata sanaa

  • @RambombusuleMachimu
    @RambombusuleMachimu 8 месяцев назад +1

    Uko sawa docter

  • @MagesaChacha-n4o
    @MagesaChacha-n4o 7 месяцев назад

    Nimefuatia vipindi vyako na nimefanya baadhi ya mazoezi (spel) zinanipa matokeo chanya tuko pamoja mungu atusaidie amen.

  • @tatankakoroba48
    @tatankakoroba48 8 месяцев назад +3

    Well spoken

  • @saadaluvanga7024
    @saadaluvanga7024 8 месяцев назад +7

    Perfect!

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Месяц назад

    Ni kweli kabisa doctor maneno yako.😂❤

  • @josspyne5330
    @josspyne5330 Месяц назад

    Pweza ama sea food vina madini ya zinc na protein (wingi wa shahawa direct proportion na pleasure) haya elezea zinc ilivyo na. Impact katka ngvu za kiume

  • @MuntuAuguy
    @MuntuAuguy 4 месяца назад

    Hongera 'ndungu kwa ushaurî kqfuti ni tunda ao tweleze 9:00

  • @anwarsaid2008
    @anwarsaid2008 9 месяцев назад +10

    Pweza ana madini zink ya ambayo yanasaidiaa na kuhusika moja kwa moja na nguvu za kiume lakini haiwez kuwa busta ya siku moja ukanywe supu ukapata nguvu wengi wameaminishwa hivyo kifikra, ila pweza ana madini joto na mengino yanayosaidiaa mfumo mzima mwanaume kama atakuwa ndyo samaki wako kila siku basi unaweza kupata matokeo mazuri, na sio pweza tu kuna samaki wengineyo kama chanza ,mkunga n.k

    • @jumahamad3723
      @jumahamad3723 3 месяца назад

      Apo kwenye mkunga baba umepatia sawa

  • @sostenesnahonge1938
    @sostenesnahonge1938 4 месяца назад +1

    Very Good

  • @athumanimafugalo9917
    @athumanimafugalo9917 8 месяцев назад +3

    Huyu mwamba yupo vizuri sanaa

  • @FredMwambenja
    @FredMwambenja 5 месяцев назад

    Safi docta

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 6 месяцев назад +3

    Wanawake ndo wanatufelisha kwenye tendo wanstamka maneno ya hovyo wakat wa ndoa!

  • @musakaziefuntv6995
    @musakaziefuntv6995 8 месяцев назад +2

    Hapo kwauchafu hapo mi nipo mungu asamehe comment yangu insha’allah

  • @mwenebatuetabo5515
    @mwenebatuetabo5515 8 месяцев назад +4

    Na nahona wewe mdada unahuliza saana, unapenda ngoma!!

  • @LovelyCorgiPuppy-sp4cz
    @LovelyCorgiPuppy-sp4cz 8 месяцев назад +2

    Muko vyema sana❤

  • @ZamiluShelutete
    @ZamiluShelutete Месяц назад

    Pia asali na unga wa mdaladini ni vip dokta?

  • @BugungweHassan-lv3fr
    @BugungweHassan-lv3fr 8 месяцев назад +2

    Asante sana Docter.Ninaswali kidogo kuhusu uaminifu kwa mwanaume na mwanaume.Umesema mwanaume atajulikana kuwa mwaminifu kwa kumaliza mapema round ya Kwanza Wakati wa tendo la ndoa kwa sababu anakua amekaa mda murefu bila kufanya tendo la ndoa.Je kwa mwanamke utamjuaje kama ni mwaminifu Wakati wa tendo la ndoa hajachepuka? Asante sana.

  • @HassanBikuloSaddam
    @HassanBikuloSaddam Месяц назад

    Adjambeni docta, namba yako naipata je? kwenye Facebook inaitwa Nani?

  • @fredotulia4941
    @fredotulia4941 4 месяца назад +1

    Nimependa hayo mambo umesema Daktari.

  • @mustafamfilinge4450
    @mustafamfilinge4450 5 месяцев назад

    Mungu akupe umri mrefu ili uendelee kutuelimisha

  • @BilalShingwa
    @BilalShingwa Месяц назад

    Safi sana

  • @AmerTajo-p1f
    @AmerTajo-p1f 7 месяцев назад

    SHkrn doctor

  • @gastonkomanda5801
    @gastonkomanda5801 3 месяца назад

    Daktari Shuhkrani sana Ndugu yetu yaani umetujuza kwani Elimu Yako ni ya Manufaa sana katika Jamii.