Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.
Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,
Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah
Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab
Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.
Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa
Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢
Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.
Mashaa ALLAH shukran kwa somo
MaShaAllah Allah azidi kukupa umri mrefu tuzid pata faida toka kwako
Assalam alkum mm tatizo langu Nina mshipa watumbo umenizuya damu ya hedhi naumwa Sana he nifanyeje
Shukran sheikh
Asalam aleikm warahimathullahi wabarakatuhu sasa sisi wenye tuko Kenya Mombasa tutazipata vp hizo dawa innsha Allah
Nend duka la daw za asil
Marikiti
Shukran shekh Othman
Shekhe jazakallahu khaira
Asalam alykum sheikh mm nahitj hy dawa naipataje kutoka kwako orginal
Shukran sheik wangu naomba namba yako
I wish u can say those names in English too
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh nauliza dawa hiyo bai gani na nitayipata aje
Sheikh namba ya simu yako vp Kuna mambo ya kujadili juu ya tiba yako sheikh thks
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheh tunashukuru sana kwa dawa izo mimi nipo cape town south Africa tapata iyo dawa vipi?
Asalam alaykum mm nko kenya mombasa je naeza pata hii dawa na n kwagarama gana
Kindly explain in english
Maashaallah, Allah akulipe kheri shekh wetu kwa faida hizi adhwiim, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia.
ni kweli namba 9 imerukwa
Dawa ni 13 na zote zimetajwa
Hajataja
Shukran shekhe letu
Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,
Assala alaikum warahmatullah wabarakatuh vipi halizenu? Kwa watu Burundi dawa iyo waipata vipi?
asalamwaleikum sheik shukran kwa darsa nakufatilia vizuri mungu akulipe inshaala
Asslam alaikum...ina expire baada ya muda gani
Mashaallah
Maashaallah
Hiyo dawa inaitwaje maana jina hujalisema ili tuweze kuinunua na kuitumia.
Wapi watu wengine tumehamasika nayo.
Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah
Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab
Asalamu alaykum shek mm nipo zanzibar ntaipataje
nipe contact no. za kupata hio dawa
Kindly uwe pia unaeleza na kiingereza please to those who don’t understand Kiswahili properly
Sio bahati yako kama hujui kiswahili
Aslm alkm sheikh maboga ninini hukukenya twachanganyikiwa hatujui maboga ninini
Pumpkins seeds
Waslmu walekum Niko Kenya nikitaka nitaipataje
Naam❤
Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.
Samahani naomba numbers za Cheikh za WhatsApp ! Nisaidiyeni Ndugu zangu
Swml imamu tutapatadje iyi Dawa Congo ? Upande wa mokambo njiya ya kwenda lubumbashi.
Doctor unapatikana wap maana nam nahitaji dawa maana ninatatizo la nguvu za kiume
Na Mimi naitaji dawa hii ninaishi Zambia je ninawezaje kuipata nina umri wa miaka 65
Nimefurahia somo lkni je dawa no. 9 mbone hujaitaja. Dawa hizi ziapatikana wapi.
munapatikana wapi hapa zanzibr nataka yaguvu zakiume ilokamilika muchaganyo ote
Assalmalkm, huku Kenya tutazipata wapi? Count ya Kilifi. Mashallah Allah akupe kheri utupe mafunzo.
Asalamualikumu warahmatullah wabarakatu shekh mimi niko swiss sijuwi nitaipataje iyodawa
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania
Tumeiskia dawa yako shehk ila tutakupataje ili tupate maelekezo zaidi?
Sheikh nimekufuatia sana ila mmeruka kitu cha 10
Naomba namba yako yasimu wasap
Nimepata elim nashukulu
Cha Tano Iliki Jameni Mtatuchangaya
Je shekh as wakina mama tutumie ip
Hulinjani kiingereza ni nini?
Aliepata majibu ya namba 9 atuambie jamani
Unapatikana wap
Yenye Uko Tayari kwa hiyo Mkebe mdogo inaitwaje
HABA SODA jina ni hili tu inajulikana kote jina hili.pia ni Kiarabu.
Aksanti Mzee lakini utusaidiye kufasiriya hiki kiungo Cha pili habasauda
Hayo Maziwa yanachemshwa au?
Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb
o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa
No 9 hakuna please,
*sheikh tupo ktk karafuu nasio hiliki*
Abasauda kwa jina lingne ni lipi hapa tanzania
Wamama pia wanaweza tumia??
Ss wa mombasa
Sheikh kijana wko hayuko makini ktk kuhesabu kabisaaa
Dawa bei gani,na nipo kilimanjaro
Namwanamke anatumia?
Masha Allah 🙏
nimekufata munganga sasa sisi tuko Kivu tuta pata hisomadawa wapi hizo amatupe bamba zako
Hyo dawa bei gani shekh???
Na ni shilingi ngapi
𝘐𝘯𝘴𝘩𝘢𝘢𝘭𝘭𝘢
Jina gani la dawa na inapatikana Duka gani
Allah akulipe kheri, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia
Jameni Pili Pili Manga Ni Dawa Ya 9 Mbona Muneruka
Huyo mwenye kumsomea ndio hayuko makini
Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢
kWELI
10:42 10:45
Najee kama hujuwi hizo ayah atafanyaje?
Mimi naitaka hiyo dawa
Ukasema karafuu vijiko vingapi!
Tutajieshee pamoja nadawa
How much
Sheikh iyo dawa ni shingapi
Nimetamani nipate mtoto wa kiume
Allah ndo mjuzi wa kIla jambo mu ombe Allah usi ambie Bina damu mwenzangu
Tuletee hizi data zako nairobi
Dawa
Wapige pesa tuuuuuuu, majin na uchaw shilik tupu
Apo kwenye dawa ya kissunah ni uongo dawa ni jambo la jitihada kwaio hukmu ya dawa ni ibaha hakuna dawa ya kisunnah
Akili zako zinakutosha kula na kulala tu. Hayo mengine yapo nnje ya uwezo wa akili yako.
@@user-se5zb4qh2fkasome kwanza jaahil wewe
Dawa za kisunna kwamaana ni dawa alizokua akitumia Mtume Muhammad s.a.w au alizozifundisha.
Sheikh kunawatu wanakukosoa hao usiwasikilize hawana akili mzuli kama wao wanajua mbona hawafundishi watu kaziyao kukosoa tu hawana lolote usiwaxikilize mapungu hao
Sheikh usiache kufundisha kwa ajili ya hao wanaekosoa hawana lolote kz kuwakosowa wenzao km wao wamekamilika doctor libanda chingungwe kuchele
Hi...nichaganyie hunitumie niko eldoret
Shehe iyodawa ntaipataje?
Mchefua uchawi inauzwa madukanii ama
Ya madawa asili
.nitapata..aje.niko.kenya
Mpigie number zinapita chini ya video
Kuuliza 2 Karanga Ni Njuguu Au
Ndio
Ndio
Mimi mrija wa kizazi umefunga
Mtakuja kuua watu ninyi
Hahhahahaha kwann
je huu mchanganyiko, mwenye tatizo ya Homa ya Ini itamsaidiaje?
Nini dawa ya majo ikiuma
Naomba kujua maboga ni nn
Palmkin
Pumpkin
Wenye mswahili na unazungumza Kiswahili, unaaandika Kiswahili halafu hujuo boga nini hebu kalale.
Pumpkin ,
Pumpkin seeds
Habasauda ni nini kwa English
Black seeds powder
Blackseeds oil
Sasa na faa nikunyue yenye hume honysha
Sperm count!
Mwanza ofisi yenu mnapatikana mtaa gani?
Mashalllah
Sidi tuko rahiya wa Burundi hebu mukatuletee dawa hiyo kwamchanganyiko tunununuwe'
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania