BAADA YA MZEE WA MIAKA 65 KUPONA KTK UBORA WAKE NGUVU ZA KIUME OTHMAN MAIKO AAMUA KUIELEKEZA LIVE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 ноя 2022

Комментарии • 132

  • @jumamwindadi
    @jumamwindadi 2 месяца назад +1

    Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.

  • @ngamiazukhty3126
    @ngamiazukhty3126 Год назад +3

    Mashaa ALLAH shukran kwa somo

  • @user-in8ob4un7g
    @user-in8ob4un7g 10 месяцев назад

    MaShaAllah Allah azidi kukupa umri mrefu tuzid pata faida toka kwako

  • @user-ml6ms5js9x
    @user-ml6ms5js9x 11 месяцев назад

    Assalam alkum mm tatizo langu Nina mshipa watumbo umenizuya damu ya hedhi naumwa Sana he nifanyeje

  • @MwinyiMwinyihija
    @MwinyiMwinyihija 11 месяцев назад

    Shukran sheikh

  • @user-zr5lb9zk1g
    @user-zr5lb9zk1g Год назад +4

    Asalam aleikm warahimathullahi wabarakatuhu sasa sisi wenye tuko Kenya Mombasa tutazipata vp hizo dawa innsha Allah

  • @ibrahimcollow1789
    @ibrahimcollow1789 8 месяцев назад

    Shukran shekh Othman

  • @ukhtiamina776
    @ukhtiamina776 3 месяца назад

    Shekhe jazakallahu khaira

  • @user-qo1db1eq2c
    @user-qo1db1eq2c 10 месяцев назад

    Asalam alykum sheikh mm nahitj hy dawa naipataje kutoka kwako orginal

  • @user-pl2um2wy4z
    @user-pl2um2wy4z 10 месяцев назад

    Shukran sheik wangu naomba namba yako

  • @jerrymcbride2230
    @jerrymcbride2230 10 месяцев назад

    I wish u can say those names in English too

  • @ismagatarama1285
    @ismagatarama1285 Год назад +1

    Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh nauliza dawa hiyo bai gani na nitayipata aje

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 Год назад +1

    Sheikh namba ya simu yako vp Kuna mambo ya kujadili juu ya tiba yako sheikh thks

  • @user-qj5us7zb7x
    @user-qj5us7zb7x 5 месяцев назад

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheh tunashukuru sana kwa dawa izo mimi nipo cape town south Africa tapata iyo dawa vipi?

  • @alimanzele9557
    @alimanzele9557 9 месяцев назад

    Asalam alaykum mm nko kenya mombasa je naeza pata hii dawa na n kwagarama gana

  • @Rapidscity
    @Rapidscity 5 месяцев назад

    Kindly explain in english

  • @ridhiwanisaidi-gs5tf
    @ridhiwanisaidi-gs5tf Год назад +3

    Maashaallah, Allah akulipe kheri shekh wetu kwa faida hizi adhwiim, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia.

  • @user-ee3th3tn4i
    @user-ee3th3tn4i 6 месяцев назад

    Shukran shekhe letu

  • @kit-thsabanyene9752
    @kit-thsabanyene9752 4 месяца назад

    Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,

  • @user-qz9gl2qu1e
    @user-qz9gl2qu1e Год назад

    Assala alaikum warahmatullah wabarakatuh vipi halizenu? Kwa watu Burundi dawa iyo waipata vipi?

  • @AbdiKadirKanu
    @AbdiKadirKanu 10 месяцев назад

    asalamwaleikum sheik shukran kwa darsa nakufatilia vizuri mungu akulipe inshaala

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Год назад

    Asslam alaikum...ina expire baada ya muda gani

  • @shuweyaabdulkarim3261
    @shuweyaabdulkarim3261 7 месяцев назад

    Mashaallah

  • @SalumHaji-ys4nj
    @SalumHaji-ys4nj 9 месяцев назад

    Maashaallah

  • @AlexGLyimo
    @AlexGLyimo 9 месяцев назад +1

    Hiyo dawa inaitwaje maana jina hujalisema ili tuweze kuinunua na kuitumia.
    Wapi watu wengine tumehamasika nayo.

  • @mwalimumlaula6167
    @mwalimumlaula6167 Год назад +2

    Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад +1

    Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab

  • @user-sf2ne3tf9w
    @user-sf2ne3tf9w 6 месяцев назад

    Asalamu alaykum shek mm nipo zanzibar ntaipataje

  • @sss3s867
    @sss3s867 Год назад

    nipe contact no. za kupata hio dawa

  • @conniekimaru705
    @conniekimaru705 Год назад +2

    Kindly uwe pia unaeleza na kiingereza please to those who don’t understand Kiswahili properly

    • @daddirihamadi4985
      @daddirihamadi4985 11 месяцев назад

      Sio bahati yako kama hujui kiswahili

    • @salzkhansalz6347
      @salzkhansalz6347 9 месяцев назад

      Aslm alkm sheikh maboga ninini hukukenya twachanganyikiwa hatujui maboga ninini

    • @sultanasalim5177
      @sultanasalim5177 9 месяцев назад

      Pumpkins seeds

  • @delvinaemanel2519
    @delvinaemanel2519 Год назад

    Waslmu walekum Niko Kenya nikitaka nitaipataje

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 7 месяцев назад

    Naam❤

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 8 месяцев назад

    Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.

  • @abdulhakimhussein6039
    @abdulhakimhussein6039 9 месяцев назад

    Samahani naomba numbers za Cheikh za WhatsApp ! Nisaidiyeni Ndugu zangu

  • @Assani123
    @Assani123 Год назад +1

    Swml imamu tutapatadje iyi Dawa Congo ? Upande wa mokambo njiya ya kwenda lubumbashi.

  • @MarwaMsela-zx5wr
    @MarwaMsela-zx5wr Год назад +1

    Doctor unapatikana wap maana nam nahitaji dawa maana ninatatizo la nguvu za kiume

  • @OBEDIMikoba-no9rb
    @OBEDIMikoba-no9rb 10 месяцев назад

    Na Mimi naitaji dawa hii ninaishi Zambia je ninawezaje kuipata nina umri wa miaka 65

  • @brunonguma3152
    @brunonguma3152 11 месяцев назад

    Nimefurahia somo lkni je dawa no. 9 mbone hujaitaja. Dawa hizi ziapatikana wapi.

  • @jumannemaganga-yu7ky
    @jumannemaganga-yu7ky 9 месяцев назад

    munapatikana wapi hapa zanzibr nataka yaguvu zakiume ilokamilika muchaganyo ote

  • @zawadidagamra4106
    @zawadidagamra4106 11 месяцев назад

    Assalmalkm, huku Kenya tutazipata wapi? Count ya Kilifi. Mashallah Allah akupe kheri utupe mafunzo.

  • @issaiddy1295
    @issaiddy1295 11 месяцев назад

    Asalamualikumu warahmatullah wabarakatu shekh mimi niko swiss sijuwi nitaipataje iyodawa

  • @user-ys6zu8hd8q
    @user-ys6zu8hd8q 6 месяцев назад

    Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania

  • @philipsaleh
    @philipsaleh 7 месяцев назад

    Tumeiskia dawa yako shehk ila tutakupataje ili tupate maelekezo zaidi?

  • @Cute-jh4jw
    @Cute-jh4jw 8 месяцев назад

    Sheikh nimekufuatia sana ila mmeruka kitu cha 10

  • @AmorMasoud
    @AmorMasoud 4 месяца назад

    Naomba namba yako yasimu wasap

  • @user-gd3sf8zx3j
    @user-gd3sf8zx3j 5 месяцев назад

    Nimepata elim nashukulu

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад

    Cha Tano Iliki Jameni Mtatuchangaya

  • @ukhtiamina776
    @ukhtiamina776 3 месяца назад

    Je shekh as wakina mama tutumie ip

  • @jumachengo2677
    @jumachengo2677 Год назад +1

    Hulinjani kiingereza ni nini?

  • @ismailissa3996
    @ismailissa3996 6 месяцев назад

    Aliepata majibu ya namba 9 atuambie jamani

  • @mickmill4342
    @mickmill4342 Месяц назад

    Unapatikana wap

  • @abdulrahmanmwinga3248
    @abdulrahmanmwinga3248 11 месяцев назад

    Yenye Uko Tayari kwa hiyo Mkebe mdogo inaitwaje

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 месяца назад

    HABA SODA jina ni hili tu inajulikana kote jina hili.pia ni Kiarabu.

  • @user-ti2jj4ek1v
    @user-ti2jj4ek1v 9 месяцев назад

    Aksanti Mzee lakini utusaidiye kufasiriya hiki kiungo Cha pili habasauda

  • @user-wm4cb7sd4w
    @user-wm4cb7sd4w 10 месяцев назад

    Hayo Maziwa yanachemshwa au?

  • @user-dg2lo3fi9b
    @user-dg2lo3fi9b 10 месяцев назад

    Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb
    o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa

  • @cecilngigi8538
    @cecilngigi8538 9 месяцев назад

    No 9 hakuna please,

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Год назад

    *sheikh tupo ktk karafuu nasio hiliki*

  • @user-ys6zu8hd8q
    @user-ys6zu8hd8q 6 месяцев назад

    Abasauda kwa jina lingne ni lipi hapa tanzania

  • @nishkip791
    @nishkip791 9 месяцев назад

    Wamama pia wanaweza tumia??

  • @ghaniyyatkinyogoli8214
    @ghaniyyatkinyogoli8214 9 месяцев назад

    Ss wa mombasa

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Год назад

    Sheikh kijana wko hayuko makini ktk kuhesabu kabisaaa

  • @user-eq7co3jr2n
    @user-eq7co3jr2n 9 месяцев назад

    Dawa bei gani,na nipo kilimanjaro

  • @sesilialaga5403
    @sesilialaga5403 2 месяца назад

    Namwanamke anatumia?

  • @alimzee
    @alimzee Год назад

    Masha Allah 🙏

    • @dalmondmavoko788
      @dalmondmavoko788 9 месяцев назад

      nimekufata munganga sasa sisi tuko Kivu tuta pata hisomadawa wapi hizo amatupe bamba zako

  • @batulimafita8204
    @batulimafita8204 10 месяцев назад

    Hyo dawa bei gani shekh???

  • @delvinaemanel2519
    @delvinaemanel2519 Год назад

    Na ni shilingi ngapi

  • @SaddiqRamadhan
    @SaddiqRamadhan Год назад

    𝘐𝘯𝘴𝘩𝘢𝘢𝘭𝘭𝘢

  • @ameiramme2548
    @ameiramme2548 4 месяца назад

    Jina gani la dawa na inapatikana Duka gani

  • @ridhiwanisaidi-gs5tf
    @ridhiwanisaidi-gs5tf Год назад

    Allah akulipe kheri, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад +1

    Jameni Pili Pili Manga Ni Dawa Ya 9 Mbona Muneruka

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад +7

    Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢

  • @user-ej6mc2sr1o
    @user-ej6mc2sr1o Год назад

    Najee kama hujuwi hizo ayah atafanyaje?

  • @SharifaYaru-ev9su
    @SharifaYaru-ev9su 11 месяцев назад

    Mimi naitaka hiyo dawa

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 9 месяцев назад

    Ukasema karafuu vijiko vingapi!

  • @user-ps8qh1sy4r
    @user-ps8qh1sy4r 7 месяцев назад

    Tutajieshee pamoja nadawa

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 11 месяцев назад

    How much

  • @abdullymalambaya
    @abdullymalambaya 6 дней назад

    Sheikh iyo dawa ni shingapi

  • @delvinaemanel2519
    @delvinaemanel2519 Год назад

    Nimetamani nipate mtoto wa kiume

    • @oj6595
      @oj6595 10 месяцев назад

      Allah ndo mjuzi wa kIla jambo mu ombe Allah usi ambie Bina damu mwenzangu

  • @Rapidscity
    @Rapidscity 5 месяцев назад

    Tuletee hizi data zako nairobi

  • @danielmasunu5851
    @danielmasunu5851 9 месяцев назад

    Wapige pesa tuuuuuuu, majin na uchaw shilik tupu

  • @kasumunigwasa
    @kasumunigwasa 11 месяцев назад +2

    Apo kwenye dawa ya kissunah ni uongo dawa ni jambo la jitihada kwaio hukmu ya dawa ni ibaha hakuna dawa ya kisunnah

    • @user-se5zb4qh2f
      @user-se5zb4qh2f 9 месяцев назад

      Akili zako zinakutosha kula na kulala tu. Hayo mengine yapo nnje ya uwezo wa akili yako.

    • @kasumunigwasa
      @kasumunigwasa 9 месяцев назад

      ​@@user-se5zb4qh2fkasome kwanza jaahil wewe

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 8 месяцев назад

      Dawa za kisunna kwamaana ni dawa alizokua akitumia Mtume Muhammad s.a.w au alizozifundisha.

    • @user-ch5xl9ou4w
      @user-ch5xl9ou4w 5 месяцев назад

      Sheikh kunawatu wanakukosoa hao usiwasikilize hawana akili mzuli kama wao wanajua mbona hawafundishi watu kaziyao kukosoa tu hawana lolote usiwaxikilize mapungu hao

    • @user-ch5xl9ou4w
      @user-ch5xl9ou4w 5 месяцев назад

      Sheikh usiache kufundisha kwa ajili ya hao wanaekosoa hawana lolote kz kuwakosowa wenzao km wao wamekamilika doctor libanda chingungwe kuchele

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 11 месяцев назад

    Hi...nichaganyie hunitumie niko eldoret

  • @BakariMaulidKhatib
    @BakariMaulidKhatib 4 месяца назад

    Shehe iyodawa ntaipataje?

  • @user-ej6mc2sr1o
    @user-ej6mc2sr1o Год назад

    Mchefua uchawi inauzwa madukanii ama

  • @simongitonga8045
    @simongitonga8045 11 месяцев назад

    .nitapata..aje.niko.kenya

    • @tashone7884
      @tashone7884 11 месяцев назад

      Mpigie number zinapita chini ya video

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад

    Kuuliza 2 Karanga Ni Njuguu Au

  • @delvinaemanel2519
    @delvinaemanel2519 Год назад

    Mimi mrija wa kizazi umefunga

  • @dicksonnussu702
    @dicksonnussu702 9 месяцев назад

    Mtakuja kuua watu ninyi

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 10 месяцев назад

    je huu mchanganyiko, mwenye tatizo ya Homa ya Ini itamsaidiaje?

  • @shalomyashua2884
    @shalomyashua2884 10 месяцев назад

    Nini dawa ya majo ikiuma

  • @abdulrahmanmwinga3248
    @abdulrahmanmwinga3248 11 месяцев назад

    Naomba kujua maboga ni nn

  • @samkim2321
    @samkim2321 9 месяцев назад

    Habasauda ni nini kwa English

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 11 месяцев назад

    Sasa na faa nikunyue yenye hume honysha

  • @fadhilichitagu2730
    @fadhilichitagu2730 Год назад +1

    Sperm count!

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 10 месяцев назад

    Mashalllah

    • @LightworshipTeam
      @LightworshipTeam 10 месяцев назад

      Sidi tuko rahiya wa Burundi hebu mukatuletee dawa hiyo kwamchanganyiko tunununuwe'

  • @user-ys6zu8hd8q
    @user-ys6zu8hd8q 6 месяцев назад

    Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania