Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 дек 2022
  • Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
    Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
    tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    RUclips @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 110

  • @cookinglist1004
    @cookinglist1004 11 месяцев назад +2

    Salama aleku shekh haya mafuta kwa ngapi mie niko Omani na taka chupa 2 shukran mungu akuzidishie elm zaid Ishaalla Amin.

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +3

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @IndorameJafety
    @IndorameJafety Год назад +1

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu cheh wetu

  • @strawberryrachii12-xh5bq
    @strawberryrachii12-xh5bq 10 месяцев назад

    MashaAllah Allah akupe umri wenye kheri na wewe tuzidi kupata faida duniani na akhera

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад +1

    Mungu akujalie shekhe halafu mimi mkrusto lakin napenda sana duwa napenda nijuwe na wengi wanajuwa mimi muislam nashangaa watu tofaut wananiita iaisha halafu wanasema nimekaa kislam

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 7 месяцев назад

    nafata sana darsa zako nashidwa kukupata ntaipataje niko mbali maalim
    nchini malii bamako, ama senegall,

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +4

    Nami natia Nia ya baraka za MUNGU kwa jina la YESU KRISTO

    • @NunuKupela
      @NunuKupela 9 месяцев назад

      Tia Nia Kwa Mungu c yesu Kwan nabii Issa (yesu) amezaliwa na kumwamudu Mungu ktk msikiti wa sinagogi
      Sifa ya uungu ni kutokuzaa na kuzaliwa

    • @judithnjunwa6668
      @judithnjunwa6668 9 месяцев назад +2

      @@NunuKupela kwa Imani yangu YESU KRISTO ndio njia ya mimi kupata majibu yangu Toka kwa MUNGU Baba,,,, huwezi kumtenganisha MUNGU baba na Yesu kristo,,,,,,upo hapo kaka

    • @Mpakistanog
      @Mpakistanog 5 месяцев назад

      Dada upo sawa kwasababu umeongelea iman yako

    • @aminathaabubakarmasoud565
      @aminathaabubakarmasoud565 5 месяцев назад

      ​Ndo utulie huko na Yesu wako kwani umeitwa hapa?

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf 3 месяца назад

    Nasumbuliwaa na maguu wallah kutembea balaa

  • @meemmeem8
    @meemmeem8 Год назад

    Samahani shekhe sikumaliziya kukwambiyaninahisi watu wananichezeleya watt wangu kwa uchawi nakila akitaka kupelekwa kwenye duwa hukimbiya naomba watakuja nisaidiye inshaalla

  • @muhammadhussain449
    @muhammadhussain449 9 месяцев назад

    Amina kaka mungu akupe mwisho mwema

  • @RukiaShelukindo
    @RukiaShelukindo 2 месяца назад +1

    Shekh nayaitaji nayapataje

  • @user-ym6hw2ks8x
    @user-ym6hw2ks8x Месяц назад

    Amiiina

  • @BenardMasereka
    @BenardMasereka 5 месяцев назад

    Thanks 4 da teaching bro am watching u from Uganda however am new.

  • @aminasalim7571
    @aminasalim7571 4 месяца назад

    Mashallah nataka ayo mafuta nko malindi

  • @rukorioyusuf1268
    @rukorioyusuf1268 8 месяцев назад

    mashallah nahitaji haya mafuta naomba unitumie hiyo clip nifike huko plz nifanyiwe visimo pia

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l 6 месяцев назад

    Nzr sana

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf Год назад

    Mashallah mashallah mashallah Alhadulilahi Allahu Barik

  • @nasramwalami7759
    @nasramwalami7759 7 месяцев назад

    Mashallah somo zuri shehe mie ninatatzo la mgong kuwaka Moto mikon kufa ganz kuuma kwa ndani ayo mafuta uloyasema marakwanza mm nayahitaji shingap nayahitaji nisaide shehe ntayapatje uu mwaka unafika nimetumia dawa San mpka Sasa sijapona na dalili ya kupon Sina naumia tu na maumivu naomb unisaide shehe ayo mafuta niyapate nipone na mm Mana cn rah ya maisha

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 8 месяцев назад

    Mashaallah tabarakallah shukran

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Год назад +1

    Inshaallah kher

  • @user-jk6xk7id3q
    @user-jk6xk7id3q 7 месяцев назад

    Jazakallau kheira 🤲

  • @khadijamohamed8919
    @khadijamohamed8919 11 месяцев назад

    Shukran jazakallahu kheir sheikh

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 7 месяцев назад

    Mashallah ❤

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Na nilikuwa napenda sana kila ijumaa kusikiliza mawaidha

  • @user-hs7jn8vq5i
    @user-hs7jn8vq5i 8 месяцев назад

    Masha allah,

  • @muniranahimana1540
    @muniranahimana1540 11 месяцев назад

    Masha Allah

  • @zainabukombo411
    @zainabukombo411 7 месяцев назад

    Kweli walahi nimejipaka Kuna vitu vinakimbia ktk miguu yangu

  • @khadijamdemu7972
    @khadijamdemu7972 9 месяцев назад

    Maashaallah

  • @user-tu9pe1qn5v
    @user-tu9pe1qn5v 5 месяцев назад

    Mashallah

  • @mariamjuma5457
    @mariamjuma5457 9 месяцев назад

    MashAllah

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 Год назад +1

    Mashaallah

  • @NiyonkuruSiyaba-ff1wu
    @NiyonkuruSiyaba-ff1wu Год назад

    Shukran

  • @user-rz5no7us8e
    @user-rz5no7us8e Год назад

    Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh mvuje naskia simzuri ukipaka malaika hawakusogelei

  • @user-bu7er2qv8d
    @user-bu7er2qv8d Год назад

    InshaAllah

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Ata jina lake la zaituni ni nzur

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Nasikia wengine wanachanganya na mafuta ya mkunazi

  • @ScloasticaAyuma-jc7kn
    @ScloasticaAyuma-jc7kn Год назад +1

    Assalam alaykum warahamdullah wabarakatu Sheikh, niko kenya mpeketoni, naweza pata aje?

  • @meemmeem8
    @meemmeem8 Год назад

    Sheghe asalamu alaikum
    Nina watoto wangu

  • @MeshakiAbdul-sp9uc
    @MeshakiAbdul-sp9uc 5 месяцев назад

    Amiin

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 Год назад +1

    Asalaam aleykum Sheikh. Nahitji hiyo. Dawa lakini Niko Mombasa

  • @siwaomary9873
    @siwaomary9873 Год назад

    asalaam alleykhum mafuta sh ngapi

  • @saphinalutaha9077
    @saphinalutaha9077 10 месяцев назад

    Nawapenda mashekhe mnaongeaga ukwel wengne utaskia wanaupako

  • @Zaitunibirungi-gl3jd
    @Zaitunibirungi-gl3jd Год назад

    Shukuran

  • @gasperkimariolesewa8157
    @gasperkimariolesewa8157 9 месяцев назад

    Asalaam aleykum, samaan hii dawa ipo dukan kwako, marashi rose na bahatinukus

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @user-xz3vj1dg3f
    @user-xz3vj1dg3f 10 месяцев назад

    Asalam aleikum Niko malindi nitapaje hayo mafuta

  • @salimalharrasi3943
    @salimalharrasi3943 6 месяцев назад

    HAYO MAFUTA YANA JINA GANI IKIWA NUT AKIAGIZIA

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 7 месяцев назад

    Nimerudi tena sheh nimechanganyikiwa mafuta ya ndimu kitungu swaumu kitungu maji apo sasa ndio sielewi
    manake ndimu na limao sio kitu kimoja

  • @user-iu8jo8bq1j
    @user-iu8jo8bq1j 3 месяца назад

    Nayapataje na yanaitew

  • @marywambuijamesnjuguna7946
    @marywambuijamesnjuguna7946 11 месяцев назад

    🙏🙏

  • @rajabuvumbi7926
    @rajabuvumbi7926 8 месяцев назад

    Sheikh, Asalam aleiykum? Sheikh kuna dawa huwa mara unaitangaza inayohusu upungufu wa nguvu za kiume. Mm nina changamoto hiyo na maumivu ya mgongo na kiuno na nuru ya macho kuona, nitazipata wapi na zinauzwa kiasi gani?

  • @aishamzeehamissi6859
    @aishamzeehamissi6859 Год назад

    ASALAM SHEKHE NJOO TANGA. AU DAWA ZAKO HAPA TANGA ZAPATIKANA WAPI?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Kweli kitunguu maji kikal sana

  • @ZariannaJuma
    @ZariannaJuma 2 месяца назад

    Tanga yanapatikana wapi

  • @rosemarysospeter1328
    @rosemarysospeter1328 4 месяца назад

    Yanapatikana wapi kwa dar

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  4 месяца назад

      namba iko kwenye screen piga

  • @marymolel800
    @marymolel800 6 месяцев назад

    Nayapataje

  • @user-nr5tj2gq7i
    @user-nr5tj2gq7i 3 месяца назад

    Tulipo Oman tunapataje

  • @user-up5ew2ih7y
    @user-up5ew2ih7y 7 месяцев назад

    Sheikh tunauliziiya kwasisi tuishi inji jirani Rwanda

  • @mamysarah7071
    @mamysarah7071 Год назад +1

    Asalam.alaykum.nikoburundi.shehe.yatanifikiyaje

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf 3 месяца назад

    Assalamaleykum nitayapata wapi? Niko Msa

    • @ZahraShariff-dm2jf
      @ZahraShariff-dm2jf 3 месяца назад

      Mm naitaji Sana mafuta maguu yanasumbuwa Sana kisingino nimaliza tibaa sipitali

    • @ZahraShariff-dm2jf
      @ZahraShariff-dm2jf 3 месяца назад

      Ama madukani tutasema inaitwaje

  • @ZariannaJuma
    @ZariannaJuma 2 месяца назад

    Mimi nipo Tanga nayapataje

  • @sharondinah3361
    @sharondinah3361 Год назад

    Nataka mafuta Niko Nairobi

  • @mwanakonyaume3611
    @mwanakonyaume3611 Год назад +1

    Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo

  • @januarymwaringa2346
    @januarymwaringa2346 11 месяцев назад

    Hiyo dawa naitaka Mimi Niko kenya kwale nipe bei

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Ndio warabu wanapenda kupikia oman tulikuwa tunapikia kuna alishangaa kuna ya kula nilimwambia ndio

  • @stevenkessy7359
    @stevenkessy7359 Год назад

    Niko arusha bei gani hiyo sheh Mimi nahitaji

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 Год назад

    Asalaam aleykum Sheikh othuman. Mombasa inapatikana?

  • @niajepoa1212
    @niajepoa1212 5 месяцев назад

    Mafuta yanaitwaje na yanapatikana wapi

  • @StecyBukuru-xm6tk
    @StecyBukuru-xm6tk 9 месяцев назад

    Cheih mtu akiwa Burundi haya mafuta anaweza kuyapata wapi?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Unayauza bei gani

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 Год назад

    Kuna sehemu duka mueka hapa mombasa au mtu hapa mombasa Kwa kuuz hizo dawa?

  • @suhaylasalim9111
    @suhaylasalim9111 Год назад

    Bei gani hiyo sheikh hayo mafuta na unapatikana wapi?

  • @user-rz5no7us8e
    @user-rz5no7us8e Год назад

    Sheikh mafuta yote hayo chupa 8 ni kiasi gani

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Ndio kibilit upele

  • @user-kw8kq8qj5l
    @user-kw8kq8qj5l 10 месяцев назад

    Mafunzo mataam sana nipo mtwapa naeza yapata vipi then bei pia ni shilling ngapi???

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Kwel hizo dawa nazijuwa karafuu maiti na almiti

  • @najmaali3596
    @najmaali3596 Год назад

    Sheh napata wapi? Kwa huku Mombasa

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Год назад

      piga namba iyo kwenye screen yk

  • @amranmwemfula6939
    @amranmwemfula6939 Год назад +1

    Kariakoo yapo

  • @user-tz2xv3mx5r
    @user-tz2xv3mx5r 9 месяцев назад

    naomba namba yako tafazar shehe

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Na mvuje ni dawa kubwa nakumbuka walikuwa wanafungiwa dawa watoto ndio altiti

  • @RamadhanMsangazi
    @RamadhanMsangazi Год назад

    mafuta n sh ngp maaalim

  • @kemondobukoba2188
    @kemondobukoba2188 11 месяцев назад

    Naitaji ayo mafu rakinibniko bukoba napataje ayo mafuta?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Mafuta yaliyochangajywa na vitu vyote hivyo unauza bei gani

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf 3 месяца назад

    Sheikh naomba ujibu hio mafuta nitayapata vp

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  2 месяца назад

      namba ziko piga

  • @ZainaIssa-nt8wl
    @ZainaIssa-nt8wl Год назад

    Beigani hy dw?

  • @bakarimohammed2381
    @bakarimohammed2381 Год назад +2

    Unapatkana was shehe nije ninunue ayo mafuta

  • @user-bu7er2qv8d
    @user-bu7er2qv8d Год назад +1

    Amiin

    • @dafrosamapunda
      @dafrosamapunda 11 месяцев назад

      Ubarikiwe sana maisha marefu kwako shehee

  • @mwanakonyaume3611
    @mwanakonyaume3611 Год назад

    Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo