Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
HTML-код
- Опубликовано: 21 дек 2022
- Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RUclips @Darsa tv
TikTok @Darsa tv Развлечения
Salama aleku shekh haya mafuta kwa ngapi mie niko Omani na taka chupa 2 shukran mungu akuzidishie elm zaid Ishaalla Amin.
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu cheh wetu
MashaAllah Allah akupe umri wenye kheri na wewe tuzidi kupata faida duniani na akhera
Mungu akujalie shekhe halafu mimi mkrusto lakin napenda sana duwa napenda nijuwe na wengi wanajuwa mimi muislam nashangaa watu tofaut wananiita iaisha halafu wanasema nimekaa kislam
😊😊😊😊😊
nafata sana darsa zako nashidwa kukupata ntaipataje niko mbali maalim
nchini malii bamako, ama senegall,
Nami natia Nia ya baraka za MUNGU kwa jina la YESU KRISTO
Tia Nia Kwa Mungu c yesu Kwan nabii Issa (yesu) amezaliwa na kumwamudu Mungu ktk msikiti wa sinagogi
Sifa ya uungu ni kutokuzaa na kuzaliwa
@@NunuKupela kwa Imani yangu YESU KRISTO ndio njia ya mimi kupata majibu yangu Toka kwa MUNGU Baba,,,, huwezi kumtenganisha MUNGU baba na Yesu kristo,,,,,,upo hapo kaka
Dada upo sawa kwasababu umeongelea iman yako
Ndo utulie huko na Yesu wako kwani umeitwa hapa?
Nasumbuliwaa na maguu wallah kutembea balaa
Samahani shekhe sikumaliziya kukwambiyaninahisi watu wananichezeleya watt wangu kwa uchawi nakila akitaka kupelekwa kwenye duwa hukimbiya naomba watakuja nisaidiye inshaalla
Amina kaka mungu akupe mwisho mwema
Shekh nayaitaji nayapataje
Amiiina
Thanks 4 da teaching bro am watching u from Uganda however am new.
Mashallah nataka ayo mafuta nko malindi
mashallah nahitaji haya mafuta naomba unitumie hiyo clip nifike huko plz nifanyiwe visimo pia
Nzr sana
Mashallah mashallah mashallah Alhadulilahi Allahu Barik
Mashallah somo zuri shehe mie ninatatzo la mgong kuwaka Moto mikon kufa ganz kuuma kwa ndani ayo mafuta uloyasema marakwanza mm nayahitaji shingap nayahitaji nisaide shehe ntayapatje uu mwaka unafika nimetumia dawa San mpka Sasa sijapona na dalili ya kupon Sina naumia tu na maumivu naomb unisaide shehe ayo mafuta niyapate nipone na mm Mana cn rah ya maisha
Mashaallah tabarakallah shukran
Inshaallah kher
Jazakallau kheira 🤲
Shukran jazakallahu kheir sheikh
Mashallah ❤
Na nilikuwa napenda sana kila ijumaa kusikiliza mawaidha
Masha allah,
Masha Allah
Kweli walahi nimejipaka Kuna vitu vinakimbia ktk miguu yangu
Maashaallah
Mashallah
MashAllah
Mashaallah
MASHALHA,Mungu,akuzidishie,ilimu,
Shukran
Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh mvuje naskia simzuri ukipaka malaika hawakusogelei
InshaAllah
Ata jina lake la zaituni ni nzur
Nasikia wengine wanachanganya na mafuta ya mkunazi
Assalam alaykum warahamdullah wabarakatu Sheikh, niko kenya mpeketoni, naweza pata aje?
Sheghe asalamu alaikum
Nina watoto wangu
Amiin
Asalaam aleykum Sheikh. Nahitji hiyo. Dawa lakini Niko Mombasa
asalaam alleykhum mafuta sh ngapi
Nawapenda mashekhe mnaongeaga ukwel wengne utaskia wanaupako
Shukuran
Asalaam aleykum, samaan hii dawa ipo dukan kwako, marashi rose na bahatinukus
❤❤❤❤❤
Asalam aleikum Niko malindi nitapaje hayo mafuta
HAYO MAFUTA YANA JINA GANI IKIWA NUT AKIAGIZIA
Nimerudi tena sheh nimechanganyikiwa mafuta ya ndimu kitungu swaumu kitungu maji apo sasa ndio sielewi
manake ndimu na limao sio kitu kimoja
Nayapataje na yanaitew
🙏🙏
Sheikh, Asalam aleiykum? Sheikh kuna dawa huwa mara unaitangaza inayohusu upungufu wa nguvu za kiume. Mm nina changamoto hiyo na maumivu ya mgongo na kiuno na nuru ya macho kuona, nitazipata wapi na zinauzwa kiasi gani?
ASALAM SHEKHE NJOO TANGA. AU DAWA ZAKO HAPA TANGA ZAPATIKANA WAPI?
Kweli kitunguu maji kikal sana
Tanga yanapatikana wapi
Yanapatikana wapi kwa dar
namba iko kwenye screen piga
Nayapataje
Tulipo Oman tunapataje
Sheikh tunauliziiya kwasisi tuishi inji jirani Rwanda
Tutayapa vipi ayp mavuta
NAMBA ZIPO PIGA
Asalam.alaykum.nikoburundi.shehe.yatanifikiyaje
Wa aalaykumu salaam warahmatullah nipo burundi, naweza kukusaidiy
Nayapataje
Yanaitwaje
Assalamaleykum nitayapata wapi? Niko Msa
Mm naitaji Sana mafuta maguu yanasumbuwa Sana kisingino nimaliza tibaa sipitali
Ama madukani tutasema inaitwaje
Mimi nipo Tanga nayapataje
Nataka mafuta Niko Nairobi
Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo
Hiyo dawa naitaka Mimi Niko kenya kwale nipe bei
Ndio warabu wanapenda kupikia oman tulikuwa tunapikia kuna alishangaa kuna ya kula nilimwambia ndio
Niko arusha bei gani hiyo sheh Mimi nahitaji
Asalaam aleykum Sheikh othuman. Mombasa inapatikana?
Mafuta yanaitwaje na yanapatikana wapi
Cheih mtu akiwa Burundi haya mafuta anaweza kuyapata wapi?
Unayauza bei gani
Kuna sehemu duka mueka hapa mombasa au mtu hapa mombasa Kwa kuuz hizo dawa?
Bei gani hiyo sheikh hayo mafuta na unapatikana wapi?
Nayataka mafuta niko nairobi ni bei gani
Sheikh mafuta yote hayo chupa 8 ni kiasi gani
Ndio kibilit upele
Mafunzo mataam sana nipo mtwapa naeza yapata vipi then bei pia ni shilling ngapi???
Kwel hizo dawa nazijuwa karafuu maiti na almiti
Sheh napata wapi? Kwa huku Mombasa
piga namba iyo kwenye screen yk
Kariakoo yapo
Tukija twayatafuta kwa jina gani ?
naomba namba yako tafazar shehe
namba ziko juu
Na mvuje ni dawa kubwa nakumbuka walikuwa wanafungiwa dawa watoto ndio altiti
mafuta n sh ngp maaalim
Naitaji ayo mafu rakinibniko bukoba napataje ayo mafuta?
Mafuta yaliyochangajywa na vitu vyote hivyo unauza bei gani
Sheikh naomba ujibu hio mafuta nitayapata vp
namba ziko piga
Beigani hy dw?
Unapatkana was shehe nije ninunue ayo mafuta
Mafuta ya mzaituni naburundi yapo
Amiin
Ubarikiwe sana maisha marefu kwako shehee
Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo
Asalam aleikum ni sh ngapi