Aslm alkm ww.... Wallahi Sheikh Othman ni mambo ya kuskitisha. Mombasa kuna kanisa flani waislam wamehamia huko, tunaelekea wapi????? Allah atulinde. Allah akujazi kheir Kwa kuyazungumzia hayo. Shukran sana Sheikh wetu kipenzi chetu doctor 💊 wetu. Allah atulinde.
Alafu me nnachokiona katk waislam wanaoenda makanisani et kisa wana matatizo ni wale ambao hawajaisoma dini yao wakaielewa wallah alieisoma dini yake hata kama ni kidogo kisha akaielewa Kule haendi ila kama kasoma kama kasuku tu afute aende kwingine au hajasoma kbsa uislam wake anakwambia wee me sijasoma ila hunidanganyi sasa hii dini co sijasoma ila hunidanganyi hapa ni usome na ujidhatiti ktk dini ndo utaona ladha yake
Ninahisi kupenda na kuyafuatilia zaidi kwnye mawaidha yake.mwezi uliopita ijumaa alikuwa msikiti wa Lindi,nilitamani wasaa uende Ila ndio hvyo muda wa swala ulikuwa umewadia. Allah akutangulie katika kila lenye kheri
Hello Sheik Othman Michael,my name is Ismail from Kenya,,nathani kwamba unaweza kunielekeza vle ntapata haya haya mafuta matakatifu hapa kwetu Kenya InshaAllah Ustadh
Assalaam aleykum natumai hamujambo nyote inshaaAllah nilikuwa naomba tafadhali sheikh uthman kama utaweza kunitengezea hayo mafuta ya kuchanganya kisha unipe idadi ya pesa ya gharama ya hiyo dawa mm niko Kenya kisha unitumie nami nikutumie pesa zako
Aslm alkm ww.... Wallahi Sheikh Othman ni mambo ya kuskitisha. Mombasa kuna kanisa flani waislam wamehamia huko, tunaelekea wapi????? Allah atulinde. Allah akujazi kheir Kwa kuyazungumzia hayo. Shukran sana Sheikh wetu kipenzi chetu doctor 💊 wetu. Allah atulinde.
Alafu me nnachokiona katk waislam wanaoenda makanisani et kisa wana matatizo ni wale ambao hawajaisoma dini yao wakaielewa wallah alieisoma dini yake hata kama ni kidogo kisha akaielewa Kule haendi ila kama kasoma kama kasuku tu afute aende kwingine au hajasoma kbsa uislam wake anakwambia wee me sijasoma ila hunidanganyi sasa hii dini co sijasoma ila hunidanganyi hapa ni usome na ujidhatiti ktk dini ndo utaona ladha yake
@@ummuhkhalfan5542 ni dunia imewavaa ila ckua hawakusoma .kunamtu yuajiita mujaj nimsomi na ni alhaji.nayeye aliretadi😭
SHEKHE hayo mafuta yanauzwa shilingi ngapi??
Waache bwana kila mtu ana ambana kwa nnjia yake ili awe sawa jamani ndini aina shida kikumbwa imani na unacho kiomba
Mashallah shukran jazeerah .ALLAH AKULIPE AKUJAALIE JANNATUL FIRDAUS NA AKUJAALIE MAISHA MAREFU SANA YENYE AFYA TELE
❤❤❤ 👇 *BONYEZA*
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Assalamualaikum warahmatullahi wabarakatuhu si unitajie majina haya mafuta
assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatu ulipewa majina na haya mafuta
Aksate. Shehenge.nipo.uganda.nahomba.namba.ya.watsap.yako.samahani
Mashekh mnajiaibisha mambo gani hayo dah
Shkamobaba naishikongo alafuleo ilematuta jitaidi niandikie ilenajina kwakifaransa maana ukuye twateseka
Naomba hilo mafuta ya kufungua koo ni shilingi ngapi pesa ya kenya
Ntajie jmn
Assalamaleykum sheikh Mimi Niko Mombasa je malipo garama yake mpaka nilipo ni vp
Tinny inaitwaje kiingereza
Fig
Jazakallau kheiri Allah akuzidishiye hekma namaarifa akustiri akupe aman akupe mwisho mwema inshallah 🤲
Niko mombasa napata wapi? Hayo mafuta
She tusukumie izo haya kwenye mtandao barakallahu fiq
❤❤❤ 👇 *BONYEZA*
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Nko Kenya nataka hayo mafuta
Asalam aleykum warahmatullahi wa barakatuh! Sheikh napataje mafuta hayo niko uingereza.
Zaitun,Tini,Khardal,Ajmalal atour(misk),Ali zeit(mafuta ya thaumu na Limau),7 Garlic 3 lemon
Mashaallah.
Kibiriti upele
ALLAHUMMA AMIN Mashaallah shukran wa jazaka ALLAH Kheir AMIN
Mashaallah tabaraka Allah Allah akulipe kila la kher
❤❤❤ 👇 *BONYEZA*
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Halmiti
Kafur
MashAllah...Mwenyezi Mungu akujalie katika kila jambo lako la kheri
Assalam alaikum wa rahmatullah wa barakatuh ndugu wa Islam
Maashaalah hazakallah kher sheke
MashaAllah may Allah give you the highest rank in paradise
Masha Allah 🙏🙏
Nayapataje
Jazaka llah kheyr. Bei gani kichupa kimmoja
Walaykum salaam shekh nahitaj hayo mafuta nipo Oman
Vip umefanikiwa🙄🙄🙄
Maashaallah shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi jazaka Allah khaira
❤❤❤ 👇 *BONYEZA*
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
@@fravianajackson2457 mashallah
Salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh.Allah akuhifadh insha'Allah sheikh mi Nina shida Sana nataka Dua kwa wanangu jee nakupataje?
Ssi atutaki wangaga kwenyearizi kwa sababu niwaxhonganishi kwa wazazizi kutwabia mama zeru wachawi
Tunshkur ostadh kw mafunzo yako mola akufanyie wepec kila hitaji la moyo wako...allah akuweke amini
A, alaykum shekh nisaidie dawa ya kuvimba mguu ninavimba mguu mmoja wa kushoto
Asalam aleykum shehe nasumbuliwa na pid naomba nifahamishe dawa yake
Naomba sheck unitumie hio mafuta asante niko Nairobi gatina 56
Masha Allah may almighty Allah protect us,
Naitaji hayo mafuta muhimu sana kwangu na wanangu tunapitiya mambo mingi
Naitaji hayo mafuta muhimu sana kwangu na wanangu tunapitiya mambo mingi
Shukuran jazaka Allah khairan Allah akuhifadh akujalie kher duniani na akhera
Najivunia kusikiliza hiki kipindi mm nipo Buguruni kwa uwezo wa mungu nitafika ofisini
Assalam aleykum.shukran sheikh sana..mm naomba usaidiz wa tiba sheikh nko Mombasa dalili zte ulizozisema za subyan mm nko nazo plz sheikh naomba usaidizi
Mashallah napenda mawaidha yako, umetulia hakika ukitoa mawaidha, Mashallah
Ninahisi kupenda na kuyafuatilia zaidi kwnye mawaidha yake.mwezi uliopita ijumaa alikuwa msikiti wa Lindi,nilitamani wasaa uende Ila ndio hvyo muda wa swala ulikuwa umewadia.
Allah akutangulie katika kila lenye kheri
Asalamu aleykmu shekh ....naomba naweza pataji hayo mafuta .mm Niko kenya
Allah akufungulie kila mlango wa kher inshallah
Mimi nataka kujuwa beigani iyo dawa ulochanganya mimi ninatazo 😊
Naitaji hayo mafuta muhimu sana kwangu na wanangu tunapitiya mambo mingi
Haltiti
Na mm nahisi niko na hicho kitu kwa koo na niko mbali nifanyeje
Can u give these oils English names we Kenyans tulirogwa Na English plz
Asalamu alykum shehe tukiitaka je iyo dawa utatuuziya
Maashaallah, Sheikh tunaomba vipimo ya kila mafuta
Shehkhe Sumbawanga hatuna shida ila usije na uchawi tuu😆😆
Hello Sheik Othman Michael,my name is Ismail from Kenya,,nathani kwamba unaweza kunielekeza vle ntapata haya haya mafuta matakatifu hapa kwetu Kenya InshaAllah Ustadh
Haya mafuta wapata markiti if uko mombasa kuna maduka ya kuuza dawa za kisunah. If Nairobi jaribu maduka ya wasomali
Shekhe ninashinda na namba yako unayo tumiya wasawph
MashaAllah Allah akulipe kwa wema wako hapa dunian na kesho akhera🤲🤲🤲
Sheikh yale mafuta ya zaitun na ndimu yanapatkana kenya
Swadakta sheik wetu naomba namba yako tafathali
She he Mimi nimepata ukiziwi wa ukubwani pamoja na Mdogo Wangu unaweza kutusaidia?
Hivi ni kweli hizi dawa munazozinadi zinafanyakazi munayoitaja au ni biashara tu
assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuhu
Assalam aleykum.. warahmatullah wabarakatu.. nitumie namba yako nahitaji kuongea na ww.... nina mwanangu anamatatizo ya kupotea..... naomba Kama itawezekana
Nko Kenya
Mashaallah.barakallah lak.
❤❤❤ 👇 *BONYEZA*
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Jazaka Allahu khery ya shekh
Assalaam aleykum natumai hamujambo nyote inshaaAllah nilikuwa naomba tafadhali sheikh uthman kama utaweza kunitengezea hayo mafuta ya kuchanganya kisha unipe idadi ya pesa ya gharama ya hiyo dawa mm niko Kenya kisha unitumie nami nikutumie pesa zako
Tuna shukuru Sanaa kweli shkehe wetu Allah akupe umbri mrefu uzidi kutupa somo
Assalamualaikum warahmatulahi wabarakatu Shee Wangu inachemshuwa au bada ya kuchanganya inatosha. Shukran Kwa darsa hii muhimu
Sheikh nasumbuliwa na jini mahaba nakupataje
Masha's Allah mola akuzishie yarab uzidi kutuelimisha.
Allah akbaru
Mashllh allh akupe afya njema menimekuangly2 mwili umenitetemek
Namshukulu sana she mungu akulinde hivi vitu ndio vinasumbua watu nimeandika naenda kizitafuta
SISI WA ZANZIBAR AYO MAFUTA TUTAYAPATA WAPI
❤❤❤ 👇 *BONYEZA*
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Sasa mm nataka hii mafuta niko na matatizo ya mtoto mbaya.niko mombasa ntaipata vipi nisaidie shekh
Mashaallah kwa mawaidha mazuri allah akupe huo moyo
Naomba utupe namba yako ya cmu kwa masiliyano zaidi
Mwenye anayo aniuzie na shida jaman tafadhal,,
Allah akulipe kheri
Mashallah
Aslamu Alaykum shekh naomba unifundishe dawa ya mtoto wajicho iliokuwa sahihi mungu Akipenda mtu hupona mungu Akupe Afya
Jazakallahu khayra
Jazaka allahu kheir sheik outhman kwa elimu yako
Shukran shekh, Allah akulipe kila lenye kher na azidi kukupa umri
AMEEN
Allah guide you earth to jannat amiin
Jazakah allah kheir
Suratul baqarah
Asalam hapa Tanga yanauzwaa wapi
A,alykum ostazi ostazi ss hayo mafuta tayapataje n mm nina matazizo kama hayo
Allah anifikishe mwakwan insha allah nifike yaarab
Mbona namba yake haingi ata
@@najmabakari8607 ulimchek sio
Asalamu aleikum shekhe walahi mimi nahitaji hayo mafuta naomba unitumie
Dr, kwanini unatangulizag kauli ya kuchok wakat unatoa darsa
Mashaa. Allah. Ustadhi. Allah. Akupe. Nguvu. Uzidi. Kutupa. Daaaw. Pamoja. Naelim
❤❤❤ 👇 *BONYEZA*
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
MashaaAllah tabarakallah 🇧🇭🇧🇭🙏
❤❤❤ 👇 *BONYEZA*
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Barakallahu sheikh
Mashallah shukuran
Shukuran jazakka Allah kheiran Allah akubarikie Sana kwa kutufunza dawa hii adwim Mola akuhifadh na akulinde na kila shary
Niko zanzibar
MASHAALLAH Allah akulipe badala
Asante kwa mafunzo