Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 164

  • @stellajohn1638
    @stellajohn1638 8 часов назад

    Babangu nashukuru kwa kuniambia mijusi ni kaifil nimepambana nae mpaka me muua Asante baba

  • @MaryamYusuph-l7l
    @MaryamYusuph-l7l 2 дня назад

    Allah akupe maisha malefu na yenye furaha kwa mafunzo yako mazuri mashallah

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo Год назад +36

    Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.

  • @NeemaMzur
    @NeemaMzur 8 дней назад

    Mimi Mungu anisamehe tu. Ila nimetamani Allah anijaaliye mume kama wewe.
    Sijui iyo ni hasadi ya jicho😭

  • @HeriethChristopher
    @HeriethChristopher 9 месяцев назад +8

    Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад +6

    Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲

  • @NeemaMzur
    @NeemaMzur 9 дней назад

    Tunaojivunia kuwa waislam tujuane🙏🙏

  • @DanielMollel-p9z
    @DanielMollel-p9z Месяц назад +2

    baba nakusoma vizuri sana wewe unajua wewe ni mwalimu mzuri sana

  • @MaridadiRashidilikwesoLikweso
    @MaridadiRashidilikwesoLikweso 7 месяцев назад +4

    asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi

  • @rallyscosmeticandgasaccess4839
    @rallyscosmeticandgasaccess4839 4 месяца назад +2

    MA ASHA ALLAH🤲❤🇰🇪

  • @MoshiraKipinga
    @MoshiraKipinga 10 месяцев назад +1

    Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako

  • @zaitunMbogo
    @zaitunMbogo 16 дней назад

    Shkh umenilenga hyo unayoyafundisha haswa kwangu ynaikuta sana

  • @aishamohamed4823
    @aishamohamed4823 10 месяцев назад

    Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo

  • @AshuraZuberi
    @AshuraZuberi 9 месяцев назад +2

    Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe

  • @RehemaNyela-ps1tn
    @RehemaNyela-ps1tn 11 месяцев назад +1

    Asante shekh wenye vijicho wapo wengi tumwachie mungu apambane nao

  • @arafaayubu
    @arafaayubu Год назад +2

    Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri.
    Allah akupe ujira duniani na aakhera.
    Allahumma Amiin

  • @IslamIdrissa
    @IslamIdrissa Месяц назад

    Mashaallah Allah mungu akubariki

  • @BIMIZEJUMA-il2ls
    @BIMIZEJUMA-il2ls Месяц назад

    Mashaallah Allah akujaze kher inshallah sote kwa pamoja

  • @aminaabdulghanim8256
    @aminaabdulghanim8256 5 месяцев назад +2

    Jazakallahu kheir sheikh

  • @majomasliman7856
    @majomasliman7856 Год назад +1

    Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed Год назад +2

    SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.

  • @AROSFILMS
    @AROSFILMS 4 месяца назад +3

    Shukran Shekh. Hii Tiba ni kijicho cha mtu anomjuwa amekupa kijicho. Jee ukiwa. Hujui ni nani alokupa jicho? Unajiokoaje au unaokoaje mtoto. Wakati hujui ni nani. Pia kuna maadaui utamfanyaje adui ili akubali. Kukusaidia kuondowa.

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid Год назад +5

    Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.

  • @AminaMohamed-td2bi
    @AminaMohamed-td2bi 6 месяцев назад +1

    Ndomn nakupenda sana sheikh.ukomsafi sana wamaneno.

    • @AminaMohamed-td2bi
      @AminaMohamed-td2bi 6 месяцев назад

      Naje kama hukumjua aliekufanyia kijicho.tibayake Nini.

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Год назад +1

    Hasbun Allah wa nimal wakeel )
    Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲

  • @AshuraMangu
    @AshuraMangu 2 дня назад

    🙏🙏

  • @Asia-m7n
    @Asia-m7n 11 месяцев назад +1

    Maa shaa Allah ❤❤

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 дня назад

    Ukimuona usimuuwe fanya juu chini umpate mima na ukamtupe nje..bora mwanga umuue

  • @maalimumachichanatangu8332
    @maalimumachichanatangu8332 Месяц назад +1

    Nilikuwa wapi Mimi yah Allah manshaallah 🎉 🎁

  • @NasiriMlanao
    @NasiriMlanao Год назад

    Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah

  • @Aziza-f3m
    @Aziza-f3m Год назад

    Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤

  • @nuruabdi7806
    @nuruabdi7806 Год назад

    Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows

  • @NuratySalimu
    @NuratySalimu Год назад +1

    Mashaallah
    Allah
    Awe
    Pamoj
    Naw
    Inshallah
    Shekh
    Wang

  • @HassanAmadi-zs1sj
    @HassanAmadi-zs1sj 5 месяцев назад

    Mashallah sheh Allah akulinde

  • @MALIKSHAFIIIBRAHIM
    @MALIKSHAFIIIBRAHIM Год назад +3

    Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️

  • @abdilahally6340
    @abdilahally6340 Год назад +1

    Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya

  • @PiliIsmail-h1f
    @PiliIsmail-h1f Год назад

    Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2

  • @JumaMohd-y4v
    @JumaMohd-y4v 10 месяцев назад

    Shekhe hongera sana Allah akubarik

  • @ArseneKyallo
    @ArseneKyallo Год назад

    Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki

  • @SamiraBhazizane
    @SamiraBhazizane Год назад +4

    Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje

    • @smadon5638
      @smadon5638 Год назад +1

      Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu

    • @TwaliathAndrea-dm3dy
      @TwaliathAndrea-dm3dy 9 месяцев назад +1

      Mswalie mtume mara nying

  • @MariamShabani-eb3oh
    @MariamShabani-eb3oh 6 месяцев назад

    Jazakallahu khayra

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Год назад +3

    MashaAllah ❤ shukraan sheikh

  • @AsiaAbdalla-jx8rj
    @AsiaAbdalla-jx8rj 5 месяцев назад

    Allah akubarik shekh

  • @HamisSaidi-h3u
    @HamisSaidi-h3u Год назад +2

    Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani

    • @Understand-t3r
      @Understand-t3r 10 месяцев назад

      Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Год назад

    Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.

  • @twalibutwaha1632
    @twalibutwaha1632 Год назад

    Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo

  • @RufeidaAli-j5g
    @RufeidaAli-j5g Год назад +3

    Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje

  • @RamadhanCongera
    @RamadhanCongera 8 месяцев назад

    Ahsante chekhe allah akukinge nahao

  • @salmaassed
    @salmaassed Год назад +1

    Mashallah

  • @rachelmnyimwa4192
    @rachelmnyimwa4192 Год назад

    Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na

  • @MariamAli-w5r
    @MariamAli-w5r Год назад +1

    Allah atuhifadhi

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 8 месяцев назад

    Shukran Sana Shekh wetu.

  • @SwaumuJuma-bc9se
    @SwaumuJuma-bc9se Год назад +1

    Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 Год назад

    Allah akuhifadh ❤

  • @mzeebakari2020
    @mzeebakari2020 5 месяцев назад

    Shubhanallah

  • @SaidiRamathani-l3n
    @SaidiRamathani-l3n Год назад +1

    Shukran Sheikh

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 Год назад

    Mashallah 🙏🤲☝️

    • @LeilaShah-ib4td
      @LeilaShah-ib4td Год назад

      Asalaam aleykm,sheikh wangu,namba yasimu mandishi madogo aiyonekani vizuri ,sheikh

  • @mamuumuu4999
    @mamuumuu4999 11 месяцев назад +1

    Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma

  • @hawashabani7896
    @hawashabani7896 Год назад +17

    Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi

    • @ahmadaali4605
      @ahmadaali4605 Год назад +1

      Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa

    • @ZubedaManzai
      @ZubedaManzai Год назад

      Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 Год назад +3

    Allah akbar

  • @RasiyaRasi-m1f
    @RasiyaRasi-m1f Год назад

    Jazakallau kheira

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid Год назад +3

    Allahu Akbar.

  • @asianramadhani8315
    @asianramadhani8315 10 месяцев назад

    Hongera sana shekhe

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx Год назад +2

    Ma shaa Allaah

  • @HamisiHemedi-u8k
    @HamisiHemedi-u8k Год назад +1

    Mashallah Tabaraka llah

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Год назад +2

    Leo nimepata somo kubwa sanaaaa

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 Год назад

    Mashaallah shukran ❤❤❤

  • @asmahasanirashid5059
    @asmahasanirashid5059 Год назад

    Maashallh maashallh

  • @DaxMarioo-rq9rs
    @DaxMarioo-rq9rs Год назад

    Ni kweri ostazi wangu

  • @KIMOCHA1
    @KIMOCHA1 9 месяцев назад

    Allahuma Ameeen

  • @EdyAbudo
    @EdyAbudo 6 месяцев назад

    ishalla

  • @hamisimwinyi-c5t
    @hamisimwinyi-c5t Год назад

    Dah Atari sana

  • @mwamkiwamauya2819
    @mwamkiwamauya2819 21 день назад

    😊L

  • @AminaIlala-nw3ul
    @AminaIlala-nw3ul 5 месяцев назад +1

    assalam ghaleykm mjusi kafiri utamjuaje katka kuwatofautisha

  • @HileHile-ns9xv
    @HileHile-ns9xv Год назад

    Tabaraka Allah

  • @SmilingCherryBlossoms-ce8md
    @SmilingCherryBlossoms-ce8md Год назад

    Maashallaah

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Год назад +2

    ALLAHU AKBAR

  • @SOLOMONADAMS-b3i
    @SOLOMONADAMS-b3i Год назад +2

    Mashaa Allahu karibu kigoma.

  • @MuniraYahaya-y9n
    @MuniraYahaya-y9n 6 месяцев назад +1

    Yaalabi tuepushe na mitihani yakuchukiwa

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад

    Shukran

  • @HamzaMohd-x5m
    @HamzaMohd-x5m Год назад +1

    A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi6508 Год назад

    Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 Год назад

    Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku

  • @estheretori3855
    @estheretori3855 Год назад +1

    Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?

  • @hawaamabrouck2456
    @hawaamabrouck2456 11 месяцев назад +1

    Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali

  • @MwanajumaSaria
    @MwanajumaSaria 7 месяцев назад +1

    Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani
    ili nisaidike

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps Год назад

    Je tufanyeje kujilinda na hayo yote

  • @naswiharashid7166
    @naswiharashid7166 Год назад

    Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza

  • @kharifasanto3383
    @kharifasanto3383 10 месяцев назад +2

    Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga

    • @Ahmed26171
      @Ahmed26171 9 месяцев назад

      Pole ndugu Yangu...

  • @JonathanKebaso-yk8le
    @JonathanKebaso-yk8le Год назад

    Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi6508 Год назад

    Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa.
    Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote.
    Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda.
    Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi.
    Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.

    • @imanmohamed2215
      @imanmohamed2215 Год назад

      Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin

    • @TwaliathAndrea-dm3dy
      @TwaliathAndrea-dm3dy 9 месяцев назад

      Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur

  • @stellajohn1638
    @stellajohn1638 8 часов назад

    Babangu nashukuru kwa kuniambia mijusi ni kaifil nimepambana nae mpaka me muua Asante baba

  • @HassanLastman-hh9sw
    @HassanLastman-hh9sw Год назад +1

    Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote

  • @HamzaMohd-x5m
    @HamzaMohd-x5m Год назад +3

    A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @SaidChilaza
    @SaidChilaza Год назад

    Nina maongezi yangu kidogoo

  • @BiubwaBeauty-henna
    @BiubwaBeauty-henna 10 месяцев назад

    Ukimpiga gongo je haifai

  • @josphinengugi4978
    @josphinengugi4978 6 месяцев назад

    Mimi naulisa nakama yule alikuwa anakusitukia anakwambia maneno alikufa nifanye aji Mimi ni mkenya

  • @TwaliathAndrea-dm3dy
    @TwaliathAndrea-dm3dy 9 месяцев назад

    Haohao

  • @ZamzamAbdhul-w2s
    @ZamzamAbdhul-w2s 10 месяцев назад

    Kweli

  • @casualteenfashions8790
    @casualteenfashions8790 Год назад

    Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.