CHOZI LA MWANAMKE LINAFUNGA MIKONO - SHEIKH OTHMAN MICHAEL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Sheikh Othman Michael akinena na akina Baba juu ya Wanawake

Комментарии • 158

  • @sisterwinner1
    @sisterwinner1 11 месяцев назад +38

    Mimi ni mkristo lakini wakuongea maneno kama hayo hawapo umenguza moyo wangu naomba angalau wananaume wangeelewa hayo maneno ubarikiwe sana naitwa beatrice

    • @sabrasaid7739
      @sabrasaid7739 11 месяцев назад +1

      Amiin

    • @HusseinSaleh-zx7ix
      @HusseinSaleh-zx7ix 10 месяцев назад +2

      Ingiya dini ya kiislam sasa

    • @darknight-yq3zw
      @darknight-yq3zw 10 месяцев назад +2

      Betrice ni mesikiya nakupenda na sikujuwi wallah ingiya kwenye dini ya haki

  • @mohamedmarijani
    @mohamedmarijani 11 месяцев назад +7

    Mashallah: laiti masheikh wote tungetoa mawaidha Kama haya uislam tungeupeleka mbele,

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice 10 месяцев назад +4

    Allah akulipen kila lakheri😊

    • @ashaally4914
      @ashaally4914 10 месяцев назад

      Kuna mawaidha yakikugusa mm naendelea kulia nna meng sheikh yanayoniliza kisa mwanaume sheikh wanawake tunapata ugonjwa wa maumivu.Asante sheikh

  • @theresiapatrick7860
    @theresiapatrick7860 11 месяцев назад +4

    Mimi Ni mkristo lkn umenigusa, nimekuekewa vzr sn Hadi nimelia lkn chozi la baraka kwako. Mungu akubariki Shekh wangu

  • @saadamasud4591
    @saadamasud4591 Год назад +7

    Shekh umenigusa saaana allah akupe afya uendelee kutuelemisha zaid na zaid kwa kwely mi nimelizwa saana lakin nasema alhamdulilah

    • @bilqismathuku
      @bilqismathuku 11 месяцев назад

      2kowengi dadaa subra domuimu,.

  • @OmaryNusu
    @OmaryNusu 18 дней назад +1

    Shekhe akulipe kheri zaidi na zaidi

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice 10 месяцев назад +3

    Allah akulipen kila lakheri😊

  • @theddychalle-wm9yh
    @theddychalle-wm9yh Год назад +3

    Shekhe umegusa mioyo ya watu wengi hasa wanawake ktk mahusiano wanatoa machozi Kila dakika kisa wanaume

    • @najmasaidy7317
      @najmasaidy7317 11 месяцев назад

      Allha atutetee😢😢😢 mim nipo kweny kipindi hiki sas has wanaume wakikuzalisha wallah mungu atawalipia😢😢

  • @Kondoa805
    @Kondoa805 Год назад +4

    SUBHANALLAH ninaomba tu Allah anijaalie yaliyo pita yasije yakajirudia kwangu na kwa kizazi changu hakika no huzuni kwa kweli

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Год назад

      Kuna baadhi ya maswahaba waliwahi pitia Giza haswa kabla hawajauingua Uislamu Ila walibadilika na wakawa ni vioo wa Dini yetu,nawewe unaweza

  • @kamarhelo
    @kamarhelo Год назад +5

    Asalam alykom sheghe othmani michael tunashukuru kwa mawaiza yako na mafundisho tunakupenda kwajili ya allha

  • @TatuRashid-d6t
    @TatuRashid-d6t 11 месяцев назад +2

    Allah atusitir vifua vimesheheni majonz yatokanayo na madhila ya 1 wanaume japo twawavumilia,mungu awasamehe

  • @chuilion3099
    @chuilion3099 Год назад +3

    Shehe Yani wanaume wasasa Yani sijui tuwaweke fungugani

  • @HasnutMfuruki
    @HasnutMfuruki 5 месяцев назад

    SHEKH TUNAKUOMBA HIZODUWA ZINAXO KUBALIWA KWELI KABISA. TUONGOZE TUOMBE. REHMA YAMVUWA IWE YASALAMA.INAZIDI KUWA YAKHATARI

  • @SarafinaSengo
    @SarafinaSengo 11 месяцев назад +2

    Shekh Mimi ni mkristo lakini mawadha Yako yamenigisa sana Sanaa yananikuta Kila siku Mimi ni wakulia tu😭😭

  • @SarafinaSengo
    @SarafinaSengo 11 месяцев назад +2

    Shekh Mimi ni mkristo lakini mawadha Yako yamenigisa sana Sanaa yananikuta Kila siku Mimi ni wakulia tu😭😭

  • @AliceNirera-mi9ck
    @AliceNirera-mi9ck 11 месяцев назад +4

    You are the best sheikh in the World cheikh Othman

  • @chuilion3099
    @chuilion3099 8 месяцев назад

    Sijaikama itatokea wanaume kama watabadilika

  • @chiptaliacruze-lf1ve
    @chiptaliacruze-lf1ve 6 месяцев назад

    Sheikh kiarusi ndo nin sijawah kuelewa na sio mara moja naskia hilo neno

  • @carolinekwakala7439
    @carolinekwakala7439 11 месяцев назад +3

    Ahsante Sana sheikh umefundisha vizuri na umegusa maisha yangu. Mume niliyenaye Ni jehanu tesha.

  • @happysamwel3880
    @happysamwel3880 11 месяцев назад +2

    Nimelia mimi

  • @a.856
    @a.856 Год назад +3

    Jazakallah khayran

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 Год назад +2

    Napenda mawaidha
    ya sheikh Othmani Michael

  • @Mbambanaji
    @Mbambanaji Месяц назад

    Mashaallah uko sahihi shekhe

  • @user-yustajoseph
    @user-yustajoseph 11 месяцев назад +3

    Marshalls.mungu.akuzidishie

  • @osmansalim172
    @osmansalim172 Год назад +2

    Nakuelewaga sana shekh othman, unatujenga sana watu wawe na hofu na ALLAH

  • @khadijainnocent-q2z
    @khadijainnocent-q2z 9 месяцев назад

    innallillah wainalillah rajuun 😭😭😭😭😭

  • @ShuliEdward-i5k
    @ShuliEdward-i5k Месяц назад

    Mashallah❤

  • @nadrajuma2166
    @nadrajuma2166 Месяц назад

    Subhanaallah

  • @halimamaliyo8121
    @halimamaliyo8121 11 месяцев назад +1

    Kweli kabisa Sheikh, inshallah Mungu atupe subra na uvumilivu kwenye ndoa🙏

  • @SifaAlly-z6q
    @SifaAlly-z6q Год назад +1

    Asalam Alekum mawdha. Yako manzuri Sana wanaume wanatutia simu Sana kwenye moyo lakini tunawapenda Ila mungu atujarie subira

  • @delinevamwakapasa6948
    @delinevamwakapasa6948 Год назад +1

    Wanawake mungu atusaidie

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 Год назад +2

    JAZAKA ALLAH SHEIKH

  • @timejames5099
    @timejames5099 11 месяцев назад +1

    Mashallah mwenyezimungu akuhifadhi na akupe kheri ututolee mawaidha zaid inshallah mawaidha yako yanagusa familia zetu

  • @AnnaMkasa
    @AnnaMkasa 4 месяца назад

    Dah hili limenigusa sana sheikh ❤ nami yalinikuta haya kwa mwanangu ila nimemsamehe mwangu kabisa hapa dunian mpaka mbingun japo leo sina family kwa sababu yake ila nimemsamehe kwakua nampenda mwanangu Allah ambariki sana na amsamehe kwa uwezo wake❤❤🙏

  • @BahatiAsael
    @BahatiAsael Год назад +1

    Mimi sio wa dini yenu ila Mungu akubariki.

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Год назад +1

      Akubariki nawe,zaidi...Allah akujaalie bahati kama jina lako

  • @MohamedGuli
    @MohamedGuli 4 месяца назад

    Yanayo nikuta kwenye ndoa yangu hila mimi umwambia mume wangu akuna kipya chini ya jua yote namuachia mungu uweza kuwa nimajaribu ana nijaribu mola wangu kumwambia mume wangu nakuachia mungu hatanilipa uwa nakosea sheikh

  • @ElizabethFesto-fv2ku
    @ElizabethFesto-fv2ku 11 месяцев назад +1

    Una sema kweli japo mimi si wa imani yako

  • @MohamedGuli
    @MohamedGuli 4 месяца назад

    Nililia sana hila sasa hata hafanye kitu gani wala moyo wangu hauna maumivu tena nabado hanaendelea namatukio yake hila moyo hauna wasiwasi tena ❤

  • @joycebongo9275
    @joycebongo9275 Год назад +3

    Mashallah sheikh mimi haya mawaidha yamenigusa sana Allah akuzidishie

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 11 месяцев назад

    We mtu anakutukana Kama hakujui anakupiga Kama hajawah kukuambia nakupenda kwa nn usitoe machozi ya uchungu acha wakome

  • @BeatriceValimba
    @BeatriceValimba 10 месяцев назад

    😅

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 11 месяцев назад

    Nakuckiliza nimeshindwa kuvumilia machoz ynanitoka mungu akujaalie uzima afya

  • @MonicaKaskazi-ju2is
    @MonicaKaskazi-ju2is 11 месяцев назад +1

    Barikiwa Sana shehe

  • @kadzojamesjameskadzo3950
    @kadzojamesjameskadzo3950 11 месяцев назад +1

    Subhanallah bless you sheikh❤

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 8 месяцев назад

    Mashallah Mola akuajalie kila la khreri na akuzidishie uwe mwenye kuzidi kutupa nasaha

  • @SalmaSeleman-wj4wk
    @SalmaSeleman-wj4wk 10 месяцев назад

    Sheghe ninafarijika sana pindi ninaposikia mawaidha alwaaa akujaalie husnuli ghatima

  • @chuilion3099
    @chuilion3099 8 месяцев назад

    Shekh wanawake tunaliasasa wanaume Yani sijui tuwaweke katika fungu gani

  • @mariambakari3751
    @mariambakari3751 6 месяцев назад

    Allah atusamehe pale tunapowakosea wazazi wetu yarrab

  • @SakinaJuma-t3x
    @SakinaJuma-t3x 2 месяца назад

    ❤❤

  • @ZenaAfreka
    @ZenaAfreka 11 месяцев назад

    ni kweli shekhe wanaume wana2fanya 2badilike hawna mapenzi ya dhati m2 unapenda yy anamambo mengi

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 11 месяцев назад +1

    Aki shukran sheikh ilove you my sweet mummy very much ❤❤❤ ndio maana nabambana warabuni ili nifurahishe wazazi wangu na wanangu

    • @bilqismathuku
      @bilqismathuku 11 месяцев назад

      mashaAllah,,,baaraka Allahu laka,Allah akufanyie wepesi.

    • @wahdasakihi
      @wahdasakihi 10 месяцев назад

      Allahu akbaru

  • @AshaAbasi-ue3cs
    @AshaAbasi-ue3cs Месяц назад

    Sheikhe mungu akubariki sana nimeguswa sana

  • @jeaninevumilia5917
    @jeaninevumilia5917 7 месяцев назад

    😢 Mimi naliya kila siku kuhusu vijana wangu wawili waliyo nisaliti

  • @yasmeenjaphary1812
    @yasmeenjaphary1812 Год назад +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @rallyscosmeticandgasaccess4839
    @rallyscosmeticandgasaccess4839 11 месяцев назад +1

    Alahamdulillah

  • @shamusathebeautifully5945
    @shamusathebeautifully5945 Год назад +1

    Mashallah Shukran sheikh Allah akulipe kila la kheri 💙💙💙💙

  • @AhajHhh
    @AhajHhh 11 месяцев назад

    M mkristu lkn nimesikiliza nimeumia nimejifunza nimeona km unaniongelea mm jmn😢

  • @faudhiarashid6600
    @faudhiarashid6600 11 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @AnnajohnMaya-yx1yo
    @AnnajohnMaya-yx1yo 8 месяцев назад

    nikweli shekh mungu awaguse wanaume wote😭😭

  • @muna9741
    @muna9741 Год назад +1

    Mashaallah shukrani sana

  • @florasambala6430
    @florasambala6430 11 месяцев назад +1

    Ubarikiwe baba kwa mafundisho yako. Tumebarikiwa sana

  • @joycebongo9275
    @joycebongo9275 Год назад +1

    Mashallah sheikh Allah akubariki

  • @RukaiyaSaid-il5ny
    @RukaiyaSaid-il5ny 5 месяцев назад

    Allah akupe maisha marefu ostz

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 Год назад +1

    Mashaallah tabarakallah

  • @FatumaBegamu-cy6ue
    @FatumaBegamu-cy6ue 8 месяцев назад

    Thank you so much sheikh for bringing this out.this is areality

  • @MissneizAmishka
    @MissneizAmishka 11 месяцев назад

    Lau wanaume wote wangelikuwa kama wewe Sheikh hakika pepo tungeingia sote😢

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi255 11 месяцев назад

    Shekhee naitaji nambar yko mwanangu ananisumbua

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice 10 месяцев назад

    Asalamu alaykum warahmatullah tunashkuru kwamamawaiza yako

  • @cutefaakitchen8101
    @cutefaakitchen8101 Год назад

    I sheikh umenigusa mno yaani inabidi tu umuachie Mungu afanye maamuzi kwangu

  • @AishaSuley-ln7fj
    @AishaSuley-ln7fj 11 месяцев назад

    Asallam-alleykum shekhe inshaallaaa tupatie masikio yakusilia

  • @EshaMohammed-x8p
    @EshaMohammed-x8p 11 месяцев назад

    Assalamu Alykum naomba msaad mm nimke kwenye ndoa ya wke watatu lkn nnamtihani nihivi mume wangu nnamiaka ishirin mpk sasa nachezea ngumu sasa nimechoka mume wngu mm hata kicheka na mm hatak ananambia ww tushazoen kama ndugu nimechoka cz yy hata alkiwa safarhpend kuongea namm nasahiv nnamlelea wtto wke anambia mm nimlez tu je jaman naomba msaada nikiomba talak nnamakosa

    • @judithkabunduguru9491
      @judithkabunduguru9491 10 месяцев назад

      Mungu atusaidie saana wanawake. Hongera saana Shekh kwa mafunuo, Mwenyezi Mungu akubariki

  • @LilianWaziri
    @LilianWaziri Год назад +1

    A aleykm shekh Othuman namba yk naipataje?

    • @KhadijaMbasha
      @KhadijaMbasha Год назад

      Mashallah ♥️♥️

    • @KhadijaMbasha
      @KhadijaMbasha Год назад

      Allah nusuru vzazi vyetu na uwarehem wazazi wetu allahuma amini

  • @RodaMtangi-bu6vs
    @RodaMtangi-bu6vs 7 месяцев назад

    Mungu akuzidishee umri mrefu

  • @anithamwagala8224
    @anithamwagala8224 11 месяцев назад

    Mungu akubariki sana kwa hayo mafundisho kwani Kama unaniona ninavyoila

  • @nasrahassan2260
    @nasrahassan2260 Год назад +1

    Masha allah allah akkulipe ujiramwema❤❤

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice 10 месяцев назад

    Allah akulipen kila lakheri😊

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice 10 месяцев назад

    Allah akulipen kila lakheri😊

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice 10 месяцев назад

    Allah akulipen kila lakheri😊

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice 10 месяцев назад

    Allah akulipen kila lakheri😊

  • @famauhadija5542
    @famauhadija5542 Год назад +1

    Mashaallah

  • @djaliaumuganwa5738
    @djaliaumuganwa5738 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤ mashaa allah allah akupe ujira mwema sheikh wetu

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice 10 месяцев назад

    Allah akulipen kila lakheri😊

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 Год назад +1

    ❤❤❤

  • @mayaalharthy4924
    @mayaalharthy4924 10 месяцев назад

    شكرن جزاك الله خير

  • @pilimark3577
    @pilimark3577 11 месяцев назад

    Mungu akubariki shekh Othman hakika umenena yaliyo ya kweli haswaaa

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 Год назад +3

    Maaashallah Allahuakbaar
    ربنا زدنا علم ورزقنا فهماا

    • @Sam-hk9hi
      @Sam-hk9hi 11 месяцев назад

      Maaashalah sheikhe unatufundusha mambo mazuri. Allah akuzidishie kheri. Amiin

  • @kinegahamisi9562
    @kinegahamisi9562 Год назад

    Shukrani Sana sheikh nimejifunza kitu hapo

  • @leticialawi9569
    @leticialawi9569 10 месяцев назад

    Aksante nimejifunza mengi Amen

  • @mishirama393
    @mishirama393 10 месяцев назад

    Mashaallah mawaidha mazuri

  • @aishaz1
    @aishaz1 Год назад

    Umetuona wanawake leo tumefikiwa thx🎉

  • @HajraAkida
    @HajraAkida 9 месяцев назад

    Baraka Allah

  • @FurahaYusuph
    @FurahaYusuph 11 месяцев назад

    ALHAMDULILLAH sheikh mimi silii tena maana mume ameniliza sana ameniumiza sana ila nimemsamehe,sitakaa nimpende tena ALLAH nakuomba

  • @EmmyMtavangu
    @EmmyMtavangu 11 месяцев назад

    Jazzakallah shekhe yameniumiz mimi mawaidha haya😢

  • @zulfamangapi1219
    @zulfamangapi1219 11 месяцев назад

    Mawaidha mazur sna

  • @mariambakundukize4358
    @mariambakundukize4358 10 месяцев назад

    Sheikh iyonikweli

  • @aminasudi1939
    @aminasudi1939 10 месяцев назад

    Allah akulipe inshaalah.

  • @MamaYoeza-c3u
    @MamaYoeza-c3u Год назад

    ❤❤❤❤❤mungu akuzidishie uendelee kutukumbusha.

  • @fatumaswalleh
    @fatumaswalleh 11 месяцев назад

    Mashaalah Mwenyewe ziMungu akulipe

  • @mariambakundukize4358
    @mariambakundukize4358 10 месяцев назад

    Lailahailalah

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 Год назад

    Jamani sheihk nakupenda sana mawahdha yako mazur sanaaaaaa