ALHAMDULILLAH KUA MUISILAMU: ALLAH UMZIDISHIE ELIMU NA FAHAMU SHEIKH ATHUMAN MAALIM´: NA MWENYEZI MUNGU; ATUJALIE NA WATOTO MFANO WA SHIEKH WETU ATHUMANI MAALIM: AMEEN INSHALLAH:
Mashaallah mawaidha matam uislamu ndo dini ya haki natamani allah anipe ulimi wangu niweze kuwatoa uliepotea njia niwalete katika njia ya allah inshaallah 🤲
Ni bora mara elfen kupigwa na familia au kuadhibiwa na familia adhabu ya Allah kwa kumshirikisha mpk mwisho wa pumzi yako bila kuleta tauba kablalmaut ,Allah akulipe kheri kwa kuijua hakki.
Mashallah kwny hii historia ya kuumbwa kwa dunia , nafkir m/mung anapenda tutumie akir / ufahamu jpo anajua. Ukirudi kwny kuchkua mchanga mpka kupewa cheo cha kutoa roho. Na meng ya kujifunza humu .
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
ما شاء الله تبارك الله اللهم ان كان رزقي في السماء فانذر وان كان في الارض فاخرجه وان كان حراما طاهر وان كانك عند فرج اللهم انا نسالك النار اللهم انا نسالك النار
Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake. Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
Nilisilimu mimi na familia yangu yote kwa ajili ya haya mawaidha ya kupendeza hivy😊❤
Neema kumbwa iyo Allahu Akbar..mimi peke ata watoto wangu bado ..yarabbi fungua roho ya watoto wangu waseme shade kabla mauti
Mashaallah! Allah akupe ucha mungu wewe pamoja na familia yako
Manshallah 🤲
MASHAA ALLAH
@@aishawangui-pr4yehakika watakuwa kwa uwezo wa Allah
Sheikh Athuman maalim ni mtu WA maana kabisa Allah akupe umri mrefu
Ameen 🤲
Tunaompenda shekhe Othman maalimu Kwa ajili ya Allah tuzidi kumuombea dua Allah ampe umri mrefu tuzidi kupata elimu kutoka kwake
Ammin yaa Rabbi
Mungu akujaalie umri mrefu uzidi kutupa elimu
Ma shaa Allah, nimejifunza mengi wallah, Allah akujaalie umri mrefu Sheikh wetu
Shekh Othman Allah akupe umri mrefu na afya njema❤
Amiiiiiiiiiiiin Amiiiiiiiiiiiin thumma AmiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinN
Ameen ya rabi
Amin 🤲
Amiiin walahi laadhim ishaallah amjaalie
Amin 🤲
Alhamdullilah suala la mungu watu wengi wanajiuliza. Sheekhe wewe umejibu vizuri masha Allah. Allah akupe baraka
A.alyekum
Mungu akubariki naomba t uniombee mm ni mkristo lakini nimeprndezwasana na mafundisho naomba unidlim
Mtafute sheikh kwa namba hizo zilizoandikwa hapo juu in shaa Allah utaufahamu zaidi Uislam na utasilimu
Hivi unajua hadidhi maana yake nini?
Mungu atakuongoza amin sisi some wangonjjwa hata ni waislàmu mungu atutibu
@@AnuariSatari ee yarab tujaalie mwisho mwema yarab
Allah Allah Allah Mawaidha Matam sana Allah azidi kumpa Afya Shekh wetu lakini pia na wanao fatilia darsa hili kwa nia ya kheri😊
ALHAMDULILLAH KUA MUISILAMU: ALLAH UMZIDISHIE ELIMU NA FAHAMU SHEIKH ATHUMAN MAALIM´: NA MWENYEZI MUNGU; ATUJALIE NA WATOTO MFANO WA SHIEKH WETU ATHUMANI MAALIM: AMEEN INSHALLAH:
Wallah allam mwenyezi mungu akulinde na maradhwi akupe sikha njema uzidi kutufundisha mawaidha yako mazur napeyapenda sàan
INSHA ALLAH
Mashaallah, sheikh wetu Allah akulipeni pepo ya firdaus aalaa, Ameen!
tumeilimika kwa darsa hi!
Mashaallah mawaidha matam uislamu ndo dini ya haki natamani allah anipe ulimi wangu niweze kuwatoa uliepotea njia niwalete katika njia ya allah inshaallah 🤲
Nilisilimu mimi pia juu ya haya mawaidha but napigwa nyumbani kwetu na familia
Ni bora mara elfen kupigwa na familia au kuadhibiwa na familia adhabu ya Allah kwa kumshirikisha mpk mwisho wa pumzi yako bila kuleta tauba kablalmaut ,Allah akulipe kheri kwa kuijua hakki.
Uìslamu ndio Dini ya haki waaAllahu akbar
Na ndiyo maana majini yalisilimu kuwa waislam.
Naona kafiri unateseka sana😂😂😂
Sasa Nan kafir apo????@@ShaniSaleh
@@mwassamwassa7264 Ndio, majini yanaona haki na binadamu aliyeahinda jini akili anashindwa kufutata haki
laailaaha ilaa anta subhaanaka innaaa kuntu minadhwalimiin astaghfirullah!!!.
Allah akuhifadhi❤❤
Maashallah Allah akubaarik AKUPE neema katika maisha mapya ya uislam na akujaalie mwisho mwema wewe na familia yako
Allah bless you 🙏
Allah akupe maisha marefu shekh wangu uweze kutufikia na sisi huku tulipo kusema ukweli mi nakupenda kwaajili ya Allah tabaarak taalah
Shukran shekhe wetu Kwa kutuelimisha,Allah akuzidishie kila la kher na tuzidi uelimishana na kuongozana katika mambo ya Kher In Sha Allah 🤲
Mwenhezimungo akuzidichiye lilimo na hikmah.amiin.
Allah akusimike na akuimarishe katika imani na taqwa Bwa Jeremiah kwa kusikia , kupokea na kuamini HAKI.
Sheikh hongera sana kwa kazi nzuri, Mungu kakujaalia Mungu akuzidishie kheri
Masha allah mungu azidi kukupa afya njema na wepesi kwakila jambo lako
SUBHANA LLAH WALAILAHA ILA LLAH ..AL MALIK QUDUUS
Shukran sheikh letu Allah akupe umri mrefu tuendelee kunufaika nawe
Mashallah kwny hii historia ya kuumbwa kwa dunia , nafkir m/mung anapenda tutumie akir / ufahamu jpo anajua. Ukirudi kwny kuchkua mchanga mpka kupewa cheo cha kutoa roho. Na meng ya kujifunza humu .
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
Allah akisema kuwa na kina kuwa
Maji yalikuwa hali ya gesi
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
Story
Cha Kwanza kuumbwa ni maji shehe kasahau.
ما شاء الله تبارك الله اللهم ان كان رزقي في السماء فانذر وان كان في الارض فاخرجه وان كان حراما طاهر وان كانك عند فرج اللهم انا نسالك النار اللهم انا نسالك النار
Allah akuhifadhi
Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
Jazaka Allah khayran
Allah kupe umri mrefu
Shukrn shehe kwa darsa ya mola wetu wa haki
Sheikh tafadhali record Quran yote, ili tusikilize sisi na vizazi vijavo, tabaraka Allah
Allah akuzidishie umri wenye barka sheikh wetu
Barak llah....Allah akulipe kwa kutoa darsa
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته.
ماشاء الله تبارك الله.
Allhh akupe umri mrefu shekhe wetu
17:26
Mungu atupe mwisho mwema
Jazaka Allahu kheir, Mwenyezi Mungu atupe mwisho ulio mwema.
Subhanallah 😢😢😢
Ni suala gumu kujibu lakini umejibu vizuri sana Mashaalah
Subhanallah laah ilah anta subhana khain kuntu mina dhwalimin
Allah akulipe na akutunze❤
Umur twawil ya shekh othmani maalim .....na Akher twayib inshaallah ...yaatikil.afya
mungu akuzidishiye kira raheri hakika mawaidha mazuri kwer
Allah atupe umri mrefu hehe wetu uzidi kuteelumisha
Mashaalla othuman. Mungu akupe umri mrefu tuendele kujifunza darasa
Innalillah wainnailaih rajiun Allah tulinde tusiwe iblisi mpinga ukweli, ukifa 2ukweli utauona na utajutia kila lililohaqi ukalipinga.
SUBHANALLAH
ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
Barakallahu Feek
Mashallah tabaraka rahman
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza na kukuhifadhi kwa ajili ya mawaidha mazuri
Maasha. Allh. Ummat. Muhammd. S. W. S.
Shekh Allah akulipe kesho akhera,biidhinlah
ALLAH AKBAR
Sheikh Othman maalim allah akujaalie jannatufildaus
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake.
Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
Asala alykum warahmatullaj wabarakaatuh shukran shekh mungu akjbariki
Ma Sha Allah,kisa kizur nimejifunza mengi Alhamdulillahi
Allahu Akbar masha Allah 🥰❤❤❤❤❤
Allah kullipe shekhe kwa ellimu unaito kwa jamio
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
Shekhe mungu akupe umri mrefu nimependezewa Sana na mawaidha yako,
Mashalah shukran sn shekh wwtu ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA, SHEKHE ZANGU OTHMANI MAALIM NA OTHMANI MICHAEL MNAFANANA USOMAJI MPAKA UONGEAJI
Mashaallah Allah akulipe jaza njema
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
❤laailaaha illallhu.. muhamad. Rasulu llh
Allah akupe heri nyingi
Allah akupe salama mwalimu bali ningependa kisa hiki kiendelee zaidi
Darsa Ya Elimu MashaAllah
MANSHALLAH ❤️
At me nina mshukuru sana sheeh angu
Mungu akulipe pepo shekhe wangu mi nitakuwa Askari wako wa peponi ishaallah
Allah akuhifandhi sheikh othuman maalim
Natamani niwemwnafunzi wa huyu sheikh anajua sana nimsomi hassa
Sheikh nakupenda Kwa ajili ya Allah naomba anijalie niwe kama ww
ماشاالله برك الله تعلمين الشيخ أثمن معلم
عسى أن أكون ممن يتقربون إليه في الجنة
Shekh allahu akuzdshiy elimu piya akupe na umri uliyo mrefu
Mansha Allah sheikh othman maalim mungu akuweke wacdi hii kwa mizani yako wakati ya aqira.
Swallalah Allayhi Wasalam
Jazzakumllah Khery
Mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutunaswia😊😊
Allah akutunze shekhe Othman, nimejifunza
Mashaallh Mungu akipenda umri mrefu na afya njema amen
Jazakallah Kheir sheikh
Allahu akbaru lahhawla Wala quwata ila bilahi
TAKBIIIIR...ALLAHU'AKBAAR
Jazakallah kher'inshallah yaa sheikhuna,
Jazakumullah kheirun
Takbiiir Allah Akbar...Suburban Allah...!!!!
ALLAHU AKBAR
Shukran shekh kwa maelezo mazur yenye faida kubwa
Omahli umesoma saana 🇹🇿
Mungu akubarik
Allahu Akbar Allah kareem
Subhanallah
Glory be to God for this revelation
Hara sana kusikilza mawaiza.na kuyafanyia kazi
Allah akulinde kama alivyomlinda mtume wetu katika pango
Allah ahadun Allah Sswamadun.
Allah akulipe kutokana na kutukumbusha