KABLA YA KUUMBWA DUNIA ALLAH ALIKUA WAPI?// SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Ni swali zito lakini hata Mtume wetu aliulizwa swali hili
    ambalo limejikita sana katika TAUHID

Комментарии • 524

  • @jeremiahmoemi9606
    @jeremiahmoemi9606 11 месяцев назад +294

    Nilisilimu mimi na familia yangu yote kwa ajili ya haya mawaidha ya kupendeza hivy😊❤

    • @aishawangui-pr4ye
      @aishawangui-pr4ye 11 месяцев назад +36

      Neema kumbwa iyo Allahu Akbar..mimi peke ata watoto wangu bado ..yarabbi fungua roho ya watoto wangu waseme shade kabla mauti

    • @HASSANNGOME-ow3ob
      @HASSANNGOME-ow3ob 11 месяцев назад +16

      Mashaallah! Allah akupe ucha mungu wewe pamoja na familia yako

    • @adijarashidswedi6979
      @adijarashidswedi6979 11 месяцев назад +9

      Manshallah 🤲

    • @abdullakhalfan31
      @abdullakhalfan31 11 месяцев назад +5

      MASHAA ALLAH

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 11 месяцев назад +6

      ​@@aishawangui-pr4yehakika watakuwa kwa uwezo wa Allah

  • @Seifchui007
    @Seifchui007 5 месяцев назад +21

    Sheikh Athuman maalim ni mtu WA maana kabisa Allah akupe umri mrefu

  • @jumannembaraka5528
    @jumannembaraka5528 5 месяцев назад +15

    Mungu akujaalie umri mrefu uzidi kutupa elimu

  • @EstherKomba
    @EstherKomba 6 месяцев назад +8

    Mungu akubariki naomba t uniombee mm ni mkristo lakini nimeprndezwasana na mafundisho naomba unidlim

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 5 месяцев назад +1

      Mtafute sheikh kwa namba hizo zilizoandikwa hapo juu in shaa Allah utaufahamu zaidi Uislam na utasilimu

    • @dennisezakiel3380
      @dennisezakiel3380 4 месяца назад

      Hivi unajua hadidhi maana yake nini?

    • @user-ei3ps8dw8h
      @user-ei3ps8dw8h 3 месяца назад

      Mungu atakuongoza amin sisi some wangonjjwa hata ni waislàmu mungu atutibu

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 Год назад +39

    Shekh Othman Allah akupe umri mrefu na afya njema❤

    • @fatmaomar2996
      @fatmaomar2996 9 месяцев назад +1

      Amiiiiiiiiiiiin Amiiiiiiiiiiiin thumma AmiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinN

    • @user-ie7yt9db6f
      @user-ie7yt9db6f 6 месяцев назад +1

      Ameen ya rabi

    • @badruboy__
      @badruboy__ 5 месяцев назад

      Amin 🤲

    • @nassorali1034
      @nassorali1034 5 месяцев назад

      Amiiin walahi laadhim ishaallah amjaalie

    • @seiffakir8694
      @seiffakir8694 5 месяцев назад

      Amin 🤲

  • @Felice_Dubet
    @Felice_Dubet 5 месяцев назад +5

    Alhamdullilah suala la mungu watu wengi wanajiuliza. Sheekhe wewe umejibu vizuri masha Allah. Allah akupe baraka

  • @mrishosudi1896
    @mrishosudi1896 Год назад +16

    Allah Allah Allah Mawaidha Matam sana Allah azidi kumpa Afya Shekh wetu lakini pia na wanao fatilia darsa hili kwa nia ya kheri😊

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 4 месяца назад +1

    Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah

  • @herimwinge-et9ei
    @herimwinge-et9ei Месяц назад

    Jazaka Allahu kheir, Mwenyezi Mungu atupe mwisho ulio mwema.

  • @jeremiahmoemi9606
    @jeremiahmoemi9606 11 месяцев назад +14

    Uìslamu ndio Dini ya haki waaAllahu akbar

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 10 месяцев назад

      Na ndiyo maana majini yalisilimu kuwa waislam.

    • @user-ce4ec5vc7j
      @user-ce4ec5vc7j 10 месяцев назад

      Naona kafiri unateseka sana😂😂😂

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 5 месяцев назад

      Sasa Nan kafir apo????​@@user-ce4ec5vc7j

    • @handsomembuvi
      @handsomembuvi 5 месяцев назад

      ​@@mwassamwassa7264 Ndio, majini yanaona haki na binadamu aliyeahinda jini akili anashindwa kufutata haki

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 11 месяцев назад +16

    Mashaallah, sheikh wetu Allah akulipeni pepo ya firdaus aalaa, Ameen!
    tumeilimika kwa darsa hi!

  • @DaudaBilikesi
    @DaudaBilikesi Месяц назад

    Allah akusimike na akuimarishe katika imani na taqwa Bwa Jeremiah kwa kusikia , kupokea na kuamini HAKI.

  • @AhAu2-oi5wn
    @AhAu2-oi5wn 4 месяца назад +1

    Barak llah....Allah akulipe kwa kutoa darsa

  • @user-cf4kz8dq2d
    @user-cf4kz8dq2d 17 дней назад

    Mashallah tabaraka rahman

  • @HamisaSimon
    @HamisaSimon 3 месяца назад

    mungu akuzidishiye kira raheri hakika mawaidha mazuri kwer

  • @user-so9rn6ld3n
    @user-so9rn6ld3n 9 месяцев назад +4

    Sheikh hongera sana kwa kazi nzuri, Mungu kakujaalia Mungu akuzidishie kheri

  • @michaelmwangi3669
    @michaelmwangi3669 3 месяца назад +1

    Nilisilimu mimi pia juu ya haya mawaidha but napigwa nyumbani kwetu na familia

  • @jymvumbi4804
    @jymvumbi4804 Год назад +11

    Subhana-Llah kwa kweli na uhakika Mungu ni Mkubwa Mno, na Ma-Sha-Allah kwa Sheikh wetu Uthman kwa kutuzindua akili kwa wenye ambao tulikuwa hatujielewi.

  • @user-eq9yi7pz4i
    @user-eq9yi7pz4i 11 месяцев назад +4

    Shukran shekhe wetu Kwa kutuelimisha,Allah akuzidishie kila la kher na tuzidi uelimishana na kuongozana katika mambo ya Kher In Sha Allah 🤲

  • @HadjatiMayidiya
    @HadjatiMayidiya 2 месяца назад

    Jazakallah Kheir sheikh

  • @kimwanachangani3922
    @kimwanachangani3922 Год назад +12

    SUBHANA LLAH WALAILAHA ILA LLAH ..AL MALIK QUDUUS

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 3 месяца назад

    Jazakumullah kheirun

  • @swalehalaidaroos6074
    @swalehalaidaroos6074 Год назад +8

    TAKBIIIIR...ALLAHU'AKBAAR
    Jazakallah kher'inshallah yaa sheikhuna,

  • @NeemaAlly-hu1rd
    @NeemaAlly-hu1rd 3 месяца назад

    At me nina mshukuru sana sheeh angu

  • @abdallaismail2427
    @abdallaismail2427 11 месяцев назад +1

    Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima

    • @ramadhaniayoub8171
      @ramadhaniayoub8171 10 месяцев назад

      Allah akisema kuwa na kina kuwa

    • @kipangatz19
      @kipangatz19 5 месяцев назад

      Maji yalikuwa hali ya gesi

    • @zangzang1574
      @zangzang1574 5 месяцев назад

      Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂

    • @zangzang1574
      @zangzang1574 5 месяцев назад

      Story

  • @abdaladelo371
    @abdaladelo371 Год назад +8

    Allahu akbaru lahhawla Wala quwata ila bilahi

  • @user-he1bj6kt6y
    @user-he1bj6kt6y Год назад +9

    Innalillah wainnailaih rajiun Allah tulinde tusiwe iblisi mpinga ukweli, ukifa 2ukweli utauona na utajutia kila lililohaqi ukalipinga.

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 8 месяцев назад +1

    SUBHANALLAH
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
    Barakallahu Feek

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 11 месяцев назад +2

    Allah akuhifadhwi shekh Othman Maalim, akupe mema ya duniani na Akhera

  • @user-ct6ml1iz4z
    @user-ct6ml1iz4z Год назад +9

    Shukrn shehe kwa darsa ya mola wetu wa haki

  • @user-zz1mf2st5g
    @user-zz1mf2st5g 11 месяцев назад +3

    Mwenyezi mungu azidi kukuongoza na kukuhifadhi kwa ajili ya mawaidha mazuri

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Год назад +3

    Swallalah Allayhi Wasalam
    Jazzakumllah Khery

  • @Issa_negro
    @Issa_negro 9 месяцев назад +3

    God is great fr😢

  • @user-ck3gw7ok7r
    @user-ck3gw7ok7r 4 месяца назад

    Allah akulipe na akutunze❤

  • @rukiyakibera76
    @rukiyakibera76 11 месяцев назад +3

    Sheikh tafadhali record Quran yote, ili tusikilize sisi na vizazi vijavo, tabaraka Allah

  • @mussakantumba9914
    @mussakantumba9914 5 месяцев назад +5

    Hata mimi swali hilo la mungu alikuwa wap lilinisumbua sana!!

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Месяц назад

      Sasa hivi yupo wapi unajiuliza vitu vya kijinga unakakujua ya nyuma yaliyopo uyajui mbinguni ni wapi?

  • @husseinabdille1004
    @husseinabdille1004 3 месяца назад

    Mashallah ❤❤❤

  • @user-lh8uc4re6o
    @user-lh8uc4re6o 4 месяца назад

    Allah akupe heri nyingi

  • @abdulimaliki
    @abdulimaliki 9 месяцев назад +3

    ❤laailaaha illallhu.. muhamad. Rasulu llh

  • @mohamedswadiq6732
    @mohamedswadiq6732 Год назад +6

    Darsa Ya Elimu MashaAllah

  • @evordluanda5184
    @evordluanda5184 7 месяцев назад +2

    Kumbe karamu nayo Mungu aliiumba. Nikajua imetengenezwa na Binadamu.

    • @user-vg7sh1qi5j
      @user-vg7sh1qi5j 4 месяца назад

      Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.

  • @user-mb3fk4kb8n
    @user-mb3fk4kb8n Год назад +3

    Masha Allah jazaakallhahu-lkhair.

  • @hatibumabote190
    @hatibumabote190 4 месяца назад

    Allah akbar

  • @abdulimaliki
    @abdulimaliki 9 месяцев назад +2

    Maasha. Allh. Ummat. Muhammd. S. W. S.

    • @user-zt6re1dr5f
      @user-zt6re1dr5f 8 месяцев назад

      Shekh Allah akulipe kesho akhera,biidhinlah

  • @user-rz5no7us8e
    @user-rz5no7us8e Год назад +2

    Ma Shaa Allah Tabarakallah Allah (S.W.T) akuhifadhi nakila Shari

  • @mwanarusiali4430
    @mwanarusiali4430 Год назад +3

    Masha Allah.....Allahu Akbar❤

  • @user-hj9wd4nc2y
    @user-hj9wd4nc2y 4 месяца назад

    Mashaalla othuman. Mungu akupe umri mrefu tuendele kujifunza darasa

  • @Happy-be8hh
    @Happy-be8hh Год назад +4

    Kiufupi
    كان الله قبل خلق الزمان والمكان، وهو الآن على ما عليه كان
    Allah alikuepo kabla ya kuumba nyakati na sehemu, na yeye sasa hivi yupo alipokuepo

  • @user-eq9yi7pz4i
    @user-eq9yi7pz4i 11 месяцев назад +1

    Ma Sha Allah,kisa kizur nimejifunza mengi Alhamdulillahi

  • @LinconLopez
    @LinconLopez 5 месяцев назад

    Subhanallah laah ilah anta subhana khain kuntu mina dhwalimin

  • @mrsahmadhajraah1550
    @mrsahmadhajraah1550 7 месяцев назад

    Mashalah shukran sn shekh wwtu ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA, SHEKHE ZANGU OTHMANI MAALIM NA OTHMANI MICHAEL MNAFANANA USOMAJI MPAKA UONGEAJI

  • @user-dl1ju4ge3x
    @user-dl1ju4ge3x 11 месяцев назад +1

    Allah akutunze shekhe Othman, nimejifunza

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 5 месяцев назад

    Umur twawil ya shekh othmani maalim .....na Akher twayib inshaallah ...yaatikil.afya

  • @mariamahmed6859
    @mariamahmed6859 Год назад +2

    Allahumma Amiin jazakallah kheyr shekhe wetu

  • @fatmehfaraj5188
    @fatmehfaraj5188 Год назад +3

    Shukran wa jazakallah kheir.Darsa nzuri yenye manufaa mashaallah

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr Год назад +9

    Nyienaopinga maneno ya Allah someni mtajuwa kelele za nini yeye kasoma na anatowa darsa kutokana na alivosoma kama hamjasoma keleleni

    • @randochannel8633
      @randochannel8633 Год назад

      Usihangaike nao siku zote anaepinga ni mtu asiye na akili..

    • @ikabako2454
      @ikabako2454 11 месяцев назад

      Tunahoji. Allah ndio mungu ambaye hakujua kuwa jua halizami na pia ndo mungu aliyeruhusu mtoto wa miaka 6 aolewe na muhammad chizi.

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 11 месяцев назад

      ​@@ikabako2454mbwa wewe mwanaharamu kafiri mkubwa wewe...Muhammad anahusikaje hapa...??? Mbwa,nguruwe,kafir mkubwa wee

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 11 месяцев назад

      ​@@ikabako2454toto la zinaa wewe

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 10 месяцев назад

      ​@@cath-ef7wdYaani ndiyo kielelezo hasa cha uislam kwa jinsi unavotukana

  • @universitylink
    @universitylink 6 месяцев назад

    Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake.
    Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 Год назад +3

    Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.

  • @MohamedDahir-hj2oq
    @MohamedDahir-hj2oq 5 месяцев назад

    Mansha Allah sheikh othman maalim mungu akuweke wacdi hii kwa mizani yako wakati ya aqira.

  • @user-lc5wf4ly3i
    @user-lc5wf4ly3i 8 месяцев назад

    Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)

  • @AlhabibMujahiddjibril
    @AlhabibMujahiddjibril 5 месяцев назад

    عسى أن أكون ممن يتقربون إليه في الجنة

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 5 месяцев назад

    Shekhe mungu akupe umri mrefu nimependezewa Sana na mawaidha yako,

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 6 месяцев назад +1

    MANSHALLAH ❤️

  • @AbdallahYusufu-rc5xu
    @AbdallahYusufu-rc5xu 5 месяцев назад

    ماشاالله برك الله تعلمين الشيخ أثمن معلم

  • @user-dc3zf2xi8y
    @user-dc3zf2xi8y Год назад +1

    Takbiiir Allah Akbar...Suburban Allah...!!!!

  • @user-fj1cf4fs8b
    @user-fj1cf4fs8b 10 месяцев назад +1

    Natamani niwemwnafunzi wa huyu sheikh anajua sana nimsomi hassa

  • @user-no8yh4ub7l
    @user-no8yh4ub7l 5 месяцев назад

    Mashaallh Mungu akipenda umri mrefu na afya njema amen

  • @AthmanMasini
    @AthmanMasini Год назад +1

    Mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutunaswia😊😊

  • @jannffer
    @jannffer 5 месяцев назад

    Glory be to God for this revelation

  • @MohamedIbrahim-bn8rz
    @MohamedIbrahim-bn8rz 5 месяцев назад

    Allahu Akbar masha Allah 🥰❤❤❤❤❤

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 5 месяцев назад

    Ni suala gumu kujibu lakini umejibu vizuri sana Mashaalah

  • @allysaid6984
    @allysaid6984 8 месяцев назад

    Sheikh nakupenda Kwa ajili ya Allah naomba anijalie niwe kama ww

  • @allyhassanabdallah4295
    @allyhassanabdallah4295 Год назад +1

    Allahumma bariq

  • @ashajumasaid7285
    @ashajumasaid7285 Год назад +1

    Shukran Sana shekhe, kwa elimu..Barakallahu fiikum

  • @Khalifaibrahim-oh7ti
    @Khalifaibrahim-oh7ti 5 месяцев назад

    Allah akuhifandhi sheikh othuman maalim

  • @user-xc4ml1qh9v
    @user-xc4ml1qh9v Год назад +1

    Mtakuja kujua siku ikifika ukweli si ukweli mtajua siku iyo mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ni heri tunao amini kabla kuliko msiyo amini kabla yote ya mwenyezi mungu mjuzi wa kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana!!!!

  • @user-dr3mg5ey6f
    @user-dr3mg5ey6f 7 месяцев назад

    Allah kullipe shekhe kwa ellimu unaito kwa jamio

  • @lilatito2816
    @lilatito2816 5 месяцев назад

    Allah akupe salama mwalimu bali ningependa kisa hiki kiendelee zaidi

  • @user-pu2mp6th3s
    @user-pu2mp6th3s Год назад +7

    Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa

    • @minabuelysee8
      @minabuelysee8 Год назад

      Amin

    • @thuleythasule7036
      @thuleythasule7036 Год назад

      Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie

    • @thuleythasule7036
      @thuleythasule7036 Год назад

      Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie

    • @thuleythasule7036
      @thuleythasule7036 Год назад

      Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie

    • @thuleythasule7036
      @thuleythasule7036 Год назад

      Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie

  • @dallatode8295
    @dallatode8295 Год назад +1

    Ma sha Allah

  • @AlhabibMujahiddjibril
    @AlhabibMujahiddjibril 5 месяцев назад

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,
    أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات
    اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي

  • @user-fc5ep5ib4p
    @user-fc5ep5ib4p 10 месяцев назад

    Allah akulinde kama alivyomlinda mtume wetu katika pango

  • @user-vh5eo7ij4n
    @user-vh5eo7ij4n 5 месяцев назад

    Mashaallah Allah akulipe jaza njema

  • @marietheresenyandwi8671
    @marietheresenyandwi8671 7 месяцев назад

    ❤jaazakhallah kheir ❤

  • @rubbyruu7172
    @rubbyruu7172 10 месяцев назад

    MashaAllah MUNGU awahifadhi nyote mulio silimu mume ufuata njia sahihi

  • @user-kz9kk9bw7u
    @user-kz9kk9bw7u 9 месяцев назад

    Mashaalaah Allah akuhifadhi na akupe umri uzidi kutuelimisha

  • @MuaraboabdalasaideMuaraboabdal
    @MuaraboabdalasaideMuaraboabdal 8 месяцев назад

    Allah ahlam

  • @user-qf1wy4vj5l
    @user-qf1wy4vj5l 9 месяцев назад

    Allah ahadun Allah Sswamadun.

  • @hidayashabani5897
    @hidayashabani5897 6 месяцев назад

    Mashallah,Shukran sana kwa mawaidha haya

  • @kibibijaphary6918
    @kibibijaphary6918 11 месяцев назад

    Allah Akbar
    Allah Akulinde
    Mashaa Allah
    Nimepata Darsa zuri kabisaa

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi1604 5 месяцев назад

    Allahu Akbar Allah kareem

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa3377 Год назад +2

    Mashaallah 🎉🎉

  • @jeremiahmoemi9606
    @jeremiahmoemi9606 11 месяцев назад

    MashaaAllah jazakaAllahu khayran

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 4 месяца назад

    Yaallah mjaalie huyu mja anayetujuza utukufu na wapi alikuwa Allah kabla ya kuumba chochote pepo ya firdaus inshaallah

  • @AhmadiAhmadiaziz
    @AhmadiAhmadiaziz 4 месяца назад

    Shekh allahu akuzdshiy elimu piya akupe na umri uliyo mrefu

  • @RahimKhamis-zy3np
    @RahimKhamis-zy3np Год назад +1

    Shukran shekh wetuu

  • @user-bm2wo9jl4f
    @user-bm2wo9jl4f 6 месяцев назад

    Sheikh Othman maalim allah akujaalie jannatufildaus

  • @SalmaSalim-ch5gt
    @SalmaSalim-ch5gt 5 месяцев назад

    Subhanallah Allah atusameh makosa yetu

  • @swalehemhando6921
    @swalehemhando6921 Год назад +1

    Jazakhalah kheir shekh

  • @latoyasammy9888
    @latoyasammy9888 Год назад +4

    mawaidha mazito n yenye faida kwetu Allah akubarik

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад

      hakuna lolote anasema kabla ya mbingu na ardhi Mungu alikuwa kwenye nafasi je hiyo nafasi imeumbwa nanan?

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 Год назад

      😂😂😂😂we mwslam gan ambae hauna iyo elim alikuwa juu ya arish hata phiscs imeeleza kabla ya mbigu na ardh kuumbwa kasome