KISA CHA BI KHADIJA NA UTAJIRI WAKE BOSS LADY//SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 57

  • @user-yustajoseph
    @user-yustajoseph Год назад +8

    Mungu.akuzidishie.umri.mrefu.sana.nakujalie.mwisho.mwema

  • @ChilumbaAthumani
    @ChilumbaAthumani Год назад +3

    Tunashukuru shekhe kwa mafundisho yako Mungu amekujaalia

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +12

    Inalilah wainailah rajuun 😢allha amrehemu mtume wetu salwale wasalamu yeye pamoja na bi khadija allha awarehemu inshaaaallha 🙏 ameeni thuma 🤲🤲🤲 ameeni allhau wakubaru 😢😢😢😢❤❤❤❤❤

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Год назад +1

    Allah akulipe kheir Othman Maalim Nakupenda kwa ajili ya Allah ... natamani tufufuliwe pamoja na tupate kivuli na wewe .. natamani nawe unipende

  • @Fatm-x8o
    @Fatm-x8o Год назад +6

    Mashaallah mungu akueke ili uzidi kutufundisha na mungu akujaalie janatul firdhaus

  • @fatmafifi7909
    @fatmafifi7909 Год назад +4

    Maa shaa Allah, Allah atupe utulivu Kwa waume wetu, In shaa Allah

  • @NyotaAisha-jg4pi
    @NyotaAisha-jg4pi 10 месяцев назад +1

    Mashaallah Allah akujalie umri mref uzid kutuelimish

  • @badriasalem1976
    @badriasalem1976 Год назад +4

    MashaAllah shukran sheikhna Mola akuzidishie eliminate na kipaji cha kuisambaza

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Год назад +6

    ALLAHU AKBAR WALILLAHI L'HAMDU
    Sheikh wallahi tumefurahi sana
    ALLAH AKUPE UMRI WENYE AFYA INSHAALLAH YA RABBI
    ALLAHUMMA AMEEN

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад +20

    Maa shaa Allah! Bi Khadija alimpa utulivu Mtume wetu s.a.w kwa kua Mtume wetu s.a.w alikua ni muaminifu na mcha Mungu. Lkn hawa w’me wasiku hzi hawa wengi wao hawana uaminifu na hawana uchaMungu ile kukwera na wake zao hua km adhabu Allah amewapangia kwa dhulma zao. Mana mkewe akiwa na mali yote atamuhadaa amnyang’anye kitapeli akaiongezee wake astarehe nao.

    • @Sebola-j4l
      @Sebola-j4l Год назад +2

      Mashaallah

    • @alinassormohamed8051
      @alinassormohamed8051 Год назад

      Mbona unahukumu? Kwani wewe umekaa au umeolewa na wanaume wangapi hata ukawa unawazungumnzia wanaume wote....

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +4

      @@alinassormohamed8051. Unajua maana ya wengi wao au unajishtukia??? Km unajishtukia ndio uache hzo tabia nilozieleza na sio uone unahukumiwa. Hukmu utakwenda kuiona akhera kwenye moto na pepo na sio hapa unapozinduliwa.

    • @MnubiMm
      @MnubiMm Год назад

      Wengi wetu ndio tabiaa zetu lakini wako wachache miongoni mwetu Allhamdulillah waaminifu wakweli watenda haki lakini hata nyie Wanawake wengi wenu MTIHANI wametufilisi na kuondoka na kusema siwezi kuishi na Mwanaume Masikini lakini yy ndio chanzo Cha umasikini

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +1

      @@MnubiMm. Kwa mlivyo siku hzi w’me wengi unakuta w’ke wanaokufilisini wengi wao hua ni wale mnaojifanya mnawaongeza au mnaowaoa kwa kuwaeka uhawara kabla. Lkn m’ke uloenda kumtolea posa kwao bila ya kupita nae uzinifuni si rahisi kukukimbia kwa unasikini wako.
      Unakuta m’me ana mke katulia halafu anakwenda kutafuta mke wa pili (lkn huyo wa pili huyo pengine alichompendea ni kubandika manywele, makucha, kujikwabua, kuvaa nguo zisizoeleweka nk. Ssa unategemea huyo m’ke akiingia hatokufilisi? Au ukifilisika hatokukimbia akaenda kutafuta wengine wenye pesa??? Na pengine unakuta kurumbembe hakuna asiemjua. Kwa hio mnawajua wake wakudumu nao na mnawajua wa kustarehe nao Ila mnajitoa fahamu kiasi yanakukuteni. Mana wakustarehe nae unakwenda kumuoa. Kwann hurafuti m’ke mwenye maadili anayejitambua kwenye mavazi mpaka mapambo???

  • @mwanashaali1109
    @mwanashaali1109 Год назад +1

    Allahumma Barik fiii

  • @salimmwakulo7279
    @salimmwakulo7279 Год назад +1

    Mawaidha yaliyojaa ujmbe mzito maashaallah. Allah akuzidishie ilimu sheikh.

  • @gakobwaadija7949
    @gakobwaadija7949 Год назад +1

    Masha Allah sheikh umeni funza kitu nilikua sijui shukran

  • @RukiaMapezi
    @RukiaMapezi Год назад +1

    Sheikh maalim m mungu akupe umri mrefu,mawaidha yako kuntu

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Год назад +3

    Alhamdullillah, mashaallah jazakallah kheri, Allah akuhifadhi.

  • @ISSAIBRAHIM-fy8nn
    @ISSAIBRAHIM-fy8nn Год назад +3

    Mashaallah skeikh Allah akulipe kheri nyingi hapa duniani na akhera

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 Год назад +1

    MashaAllah mashaAllah Allah barik ❤

  • @rayasaid7400
    @rayasaid7400 Год назад +1

    Sheykh wangu Allah akupe umr wa kheyr

  • @SalmaMuhana-de9zc
    @SalmaMuhana-de9zc Год назад +1

    MashaAllah Ustadh othman maalim..

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Год назад +1

    Allahuma sali ala Muhamadin wa ali Muhamad

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Год назад +5

    MASHA ALLAH 💚💚💚💚

  • @a.856
    @a.856 Год назад +1

    Jazakallah khayran

  • @AzmarJamalulleyl
    @AzmarJamalulleyl 2 месяца назад

    Shukrn jazakallahul kheir

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Год назад +1

    MashaAllah ❤,ya Allah tujaliwe tuwe pamoja na kipenz chetu mtume wetu Muhammad S.A.W pepon🤲

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад +1

    Mashallllah mashalllah

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Год назад +1

    Asante sheikh Othman maalim

  • @AzaShamba
    @AzaShamba Год назад +1

    Bi khadja kumbe ni mwanamke bora kulko wote mashalaah. Mpka jibril na ALLAH wamempa salaam. Hii ni kubwaaa😂❤❤❤shukran shekhe wetu. Mungu akujalie afya na siha inshallah uzidi kutuelimisha. Wanaume WA sku hizi kutwa ni kuoa tu. Mke mmoja hawamuezi vp wawil. Sisi wanawake wanatupa majaribu KENGE Hawa uadilifu HAWAJUI YANI acha tu

  • @iboibo2989
    @iboibo2989 Год назад +1

    Allh Akibar❤

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Год назад +1

    Swallalah Allayhi Wasalam
    Jazzakumllah Khery

  • @salhamongi6469
    @salhamongi6469 10 месяцев назад +1

    Allah wetu mlez awarehem bi khadija na mtume mohammad

  • @Amina-rr8ve
    @Amina-rr8ve Год назад +1

    Bi khadija r.a

  • @mohammedahmed8472
    @mohammedahmed8472 Год назад +1

    Mashaallah

  • @fatumahassan3377
    @fatumahassan3377 Год назад +2

    MASHAALLAH. 😢

  • @fahimabeid6953
    @fahimabeid6953 Год назад +1

    Masha Allah❤

  • @FahadNassor
    @FahadNassor Год назад +1

    Maashaallah

  • @SophiaRamadhani-xl6fu
    @SophiaRamadhani-xl6fu 5 месяцев назад

    Ishaalash

  • @jumaomar8419
    @jumaomar8419 Год назад +1

    Naomba notumiwe kisa cha Nabii Mussa na Hindhie

  • @tauhidakhamis1657
    @tauhidakhamis1657 5 месяцев назад

    Tabia njema tunajifunz kwak

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 7 месяцев назад

    🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rayasaid7400
    @rayasaid7400 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @mussaathumani9814
    @mussaathumani9814 Год назад +3

    Shekhe je asiekua nauwezo wamali aruhusiw kuowa najee ikiwa anahamu zakimwili afanye nini tafadhar nijibu

    • @khadijamohamedy4492
      @khadijamohamedy4492 Год назад +3

      Fungamana na funga Kaka yng

    • @halimasalim3985
      @halimasalim3985 Год назад +3

      Kama wamuogopa Allah jifunze kuepukana na matamanio maana ukiyaweka mbele ata wawili hutarithika kisha kuna masharti wafaa kutimiza ata kwa huyo mke moja.

    • @Mind_Tonic
      @Mind_Tonic Год назад +2

      Kama unauwezo unaweza kuoa, na Kama huna bas unafaa kufunga, kwani swaum ni kinga.

    • @firstlady9848
      @firstlady9848 Год назад +1

      Funga

  • @alifaki4651
    @alifaki4651 Год назад +1

    Mashallah

  • @AbbasAli-bo6bk
    @AbbasAli-bo6bk Год назад +1

    ❤❤❤

  • @YussraMohd-v6w
    @YussraMohd-v6w 25 дней назад

    ❤❤❤❤❤