@@HamisiOmmy-e5z ata nilipo kuna haki ndugu angu dini so kitu kinachoweza kukufanya Mwenyezi Mungu akuone labda nokwambie tu Imani Ako ndo Kila kitu sawa
me ndio zangu hzio nkitka hela nyingi natoa tu sadaka juzi kuna jamaa kataka kunidhulumu nkaomba dua Allah anipe mara elfu 1000 ya kile nilichodhulumiw baht mbya jamaa akarudisha
Haya ni maneno ya ukweli kabisa...100%... I bear witness...Allahuma tawfiq... Barakallah fiikum
Maa Shaa Allah
Akhiy
Allah akupe badala
Mashaallah shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah akulipe fii dunia wal akhera,nakushauri $heikh ufungue darsa ya kutembea Mikoani tunatamani sana tufanye dua ya pamoja ili tijifunze inshaallah
Asante from Burundi 🇧🇮 Lives in cape Town ❤️
Mashaallah dersa nzury mola akuhifathy na akupe maisha marefu lenye afya nzury
Asalam alaykum shekhe na kupenda kwa ajili ya allah mawaidha yako mazuri mashallah
Masha Allah lecture BarakAllah feek sheikh 🙏🙏🙏
Mashaallah nime kukubali mawaidha yako mazuri saaaaana
Maashallah Sherkh nakupenda Kwa ajili y Allah nakufatilia Sana kutoka kenya
Allah akulipe Kila la kheri Kwa mada ni nzuri mnooo,!!!
Allahamdlillah hakika maneno haya yamekuwa kikumbusho kwa nafsi yangu mungu akulipe kwa hili
mashaallah mawaitha mazuri na ya ukweli Allah akulipe kila la kheri nakufatililia sheik ni abdulkadir kutoka namanga kenya
Shukran shekh wetu Allah akulipe kila lakheri
Shukran sheikh wetu... MaashaAllah nmependa darsa hii
Insha allah ustadh manen yk ymeniingia kichwan mwang ila sheh mitihan kidg sheh naswal swala tan lkn ndy hvy mitihan niombee duwaa mungu anip ridhik
Wallahi sheikh wangu nilikua nakufaatilia sana ila cjw nilipotea wp ikiwa cfungui clip
Allah akuzidishie Othman michel
Allah akulipe kheri
Mashallah tabarakallah haniallak shekh wang
Asante saaaaana shekh iran nipo nakusikiliza saa hizi
iran mashallaah kulikua na mtume wangu huko nabiyyullaahi yunus alayhi salaam
Nabii Yumus Aleyisalaam ,ametoka Iran?@@saalimmody-m7r
Mashaallah shukrani shekh
Amina ata mm napambana kupitia maneno yako sheikh japo mm mkiristo
Bado hujachelew karibu kwenye DINI ya haq
@@HamisiOmmy-e5z ata nilipo kuna haki ndugu angu dini so kitu kinachoweza kukufanya Mwenyezi Mungu akuone labda nokwambie tu Imani Ako ndo Kila kitu sawa
Karibu katika UISLAM KAKA
Karibu katika UISLAM KAKA
Allah akuongoze uweze kuingia kwenye dini ya haki
Jazakallahu Kheir Sheikh🎉🙏
Huyu shkh allah amjaalie kherri na umri wenye afya tele namfuatilia sana
Nikwl anatufuz mambo meg sn allah amuwek
Amiin
Nita toa nusu ya mali yangu insha Allah from kenya 🇰🇪
Nipe na mm
Allah akulipe shekh
Mwenyezmungu atupe moyo wa. Kutowa amn
Shukran yaa cheikh wang
Allah atupe moyo mkubwa wa kutoa zaid in shaallah
Shukran JazakaAllah kheira❤❤❤
Kazi mbaya unayo
subhanAllah Walhadulillah walaailaha ilallah WallahuAkbar
Mungu akuhifadhi
Mashallah....
Masha Allah tabarraka rahmani❤
Allah atujaalie tukithirishe kutoa swadaqa
Ma Sha Allah
Mashaalaa
Inshall
Alimuhim imani na kutoa Kwa imani upo sahihi
Masha Allah
Inshaallah ❤❤
MASHA ALLAH
mashaalah
HAKIKA SINA SHAKA NA HAYA MANENO NI UKWELI MTUPU
Allah 🤲🤲🤲❤❤❤
❤❤❤mashallah
Hakika leo nimebadilika sana kwa mafundisho yako
Mashallah
inshaallah
Inshallah
❤❤
me ndio zangu hzio nkitka hela nyingi natoa tu sadaka juzi kuna jamaa kataka kunidhulumu nkaomba dua Allah anipe mara elfu 1000 ya kile nilichodhulumiw baht mbya jamaa akarudisha
😅😅😅😅😅eti bahati mbaya
😂😂 atar akili kubwa
😂
😅😅😅😅
😅
Sahihi
🎉🎉🎉🎉🎉
Kwenye Suala la Sadaka hapo hamna Shaka.... ukitoa lazima tu utapata
Naomba Yako yawasap
Shekh ungeli kuja iran na mawaidha yako
Mashaallah
Mashallah