MashaAlllah navyo mpenda sheikh anavyoisoma qur'an na tafsiri yake mm kama mama wa vijana watatu kila nikiswali nawaombwa vijana wangu wote wawe kama yy plz naomba comment hii imfikie sheikh waliid na anitiillie dua kwa hilo❤❤Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah
Masha Allah shekh Walid Mimi ni mshabiki wako sananaaa naitwa Mahmoud Ochy kutoka Rwanda mjini Kigali karibu sana huku kwetu Allah akurinde marazi akupe umri marefu mwenye manufaa akupe mwisho mwema na pepo siku ya mwisho
Walid waambie na viongozi wa nchi siku za siasa wasiuwe wakati washatangaza wazi ccm haikuubwa kushindwa kwa hali yeyote sasa kwa nini wanauwa hawayaamini maneno yao na waislamu wamo wanaoshajiisha mauwaji na kusheherekea mapinduzi (mauwaji)
MashaAlllah navyo mpenda sheikh anavyoisoma qur'an na tafsiri yake mm kama mama wa vijana watatu kila nikiswali nawaombwa vijana wangu wote wawe kama yy plz naomba comment hii imfikie sheikh waliid na anitiillie dua kwa hilo❤❤Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah Akuzidishie elimu na afya njema na akupe umri marefu watu wengi wafaidike kupitiya ma waidha yako sheikh Walid🙏
Amiin 🤲🤲🤲
Yaani daawa imetulia..darsa safi..yaani mtu hatumii hata nguvu...mwamba karelax sana..hakuna mapovu wala nini..na watu tunaelewa vizuri sana..
Shekhe mungu Akuzidishie Umri mrefu Akuweke miaka miaka mia moja Akuondolee maradhi na peponi yakawe ndo makazi yako inshaallah 🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu atunusuru na Dhambi zote Aamin.
Amen
Ameen Thumma Amen
Naam sheikh wetu waislam wa myaka his hawaogopi hata Ramadhani allahu Akbaru
Allah akuzidishie mazuri sheikh wetu
Mawaidha mazuri ostaz..Asante kwakutukumbusha ..mwenyezimungu atufanyie wepes
Mashaal sheikh walid kweli tunanufaika sana kama tupo hapo darasan m mungu azidi kukupa afya njema ili tuzidi kunufaika zaidi na zaidi inshaal
Masha Allah shukuran Sana sheikh Kwan ushasema kweli kabisa maneno ya awakika kabisa
Mashaa allah shukran sana shekh walid
Ma shaa Allah tabalakhallah, nimekuelewa sheikhe wangu, Allah akuhifadhi
Subhanallah 😭😭😭
Sheikhe wetu allah akuhifadhi.
Shekh mwenyezi mungu akupe umri mrefu kwa ajili yetu uendelee tukupa daawa zaidi ya izi inshaallah
Mashallah Allah akufanyie wepesi..akupe siha..
Masha ALLAH Tabarakallah shukran sheikh ALLAH akuhifadh...🤲🤲🤲
Masha Allah shekh Walid Mimi ni mshabiki wako sananaaa naitwa Mahmoud Ochy kutoka Rwanda mjini Kigali karibu sana huku kwetu Allah akurinde marazi akupe umri marefu mwenye manufaa akupe mwisho mwema na pepo siku ya mwisho
Subhanallah Allah Akulipe ujira uli0 kuW mkubwa le0 Dunian na Kesh0 Akhera Aameen 🤲🤲
Vizuri sheikh walid.mashaallah..
Mashaa allah
Mashaallah shekhee wetuu
Allah akulipe kheri na akudumishe katika kheri
ALLAAHUMMA AAMIIN
Lailahailalah
Darusalaama imepata mwalim sahihi...
Hapo kwenye inshaaallah nikweli wengi wanaitumia kuondoa ngoma juani ila sio utekekezaji
MashaAllah Tabaarakallah
Mashaallah ❤
Asante sheikh
Wanawake wa sasa ni mtihani ukimbilia kwenye madawati na kugawana mali
Subhana llah Allah atunusuru
Kweli kabisa
Tumalizie wale watu watatu ambao Allaah hujilazimisha kuwasaidia...
1. Yule atakaechunga ndoa yake na uzinifu!
2...
3...
Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuh wabarakaatuh wabarakaatuh
Laila hail Allah
mashaallah
Walid waambie na viongozi wa nchi siku za siasa wasiuwe wakati washatangaza wazi ccm haikuubwa kushindwa kwa hali yeyote sasa kwa nini wanauwa hawayaamini maneno yao na waislamu wamo wanaoshajiisha mauwaji na kusheherekea mapinduzi (mauwaji)
Inshaallah ❤
شكرا جزيل
Allahu akbar mola atusamehe mazambi yetu yarabi
Mambo
Amiin
Jmn viongozi wote msikie ujumbe huu
💯
huyu bwana ni mwalimu wangu
Taah,taah la lumumba😂 😁😁🏃mmmh leo darsa la maana
Sarafu wanauza bidhaa mtandaoni wanauza condom nini hukumu yake na inamilikiwa na bakhresa kama sikosei nini hukumu yake,?
Bahressa auzu si kweli
Kwa hapa dsm tumepata mwl bora..
Watu walikuwa wachache