Ukikaa karibu na mtu huyu Jiandae kukumbwa na Mikosi na Mabalaa - Sheikh Walid Alhad

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 51

  • @Naima-g1n
    @Naima-g1n 5 месяцев назад +7

    MashaAlllah navyo mpenda sheikh anavyoisoma qur'an na tafsiri yake mm kama mama wa vijana watatu kila nikiswali nawaombwa vijana wangu wote wawe kama yy plz naomba comment hii imfikie sheikh waliid na anitiillie dua kwa hilo❤❤Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @classicwaisala6677
    @classicwaisala6677 6 месяцев назад +15

    Allah Akuzidishie elimu na afya njema na akupe umri marefu watu wengi wafaidike kupitiya ma waidha yako sheikh Walid🙏

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah9630 5 месяцев назад +5

    Yaani daawa imetulia..darsa safi..yaani mtu hatumii hata nguvu...mwamba karelax sana..hakuna mapovu wala nini..na watu tunaelewa vizuri sana..

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 15 дней назад

    Shekhe mungu Akuzidishie Umri mrefu Akuweke miaka miaka mia moja Akuondolee maradhi na peponi yakawe ndo makazi yako inshaallah 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 6 месяцев назад +6

    Mungu atunusuru na Dhambi zote Aamin.

    • @Gamba81
      @Gamba81 6 месяцев назад

      Amen

    • @itsTubwa
      @itsTubwa 5 месяцев назад

      Ameen Thumma Amen

  • @HawaZuberi-gc9iv
    @HawaZuberi-gc9iv 6 месяцев назад +4

    Naam sheikh wetu waislam wa myaka his hawaogopi hata Ramadhani allahu Akbaru
    Allah akuzidishie mazuri sheikh wetu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 месяцев назад +2

    Mawaidha mazuri ostaz..Asante kwakutukumbusha ..mwenyezimungu atufanyie wepes

  • @dr.nkumbi8704
    @dr.nkumbi8704 6 месяцев назад +4

    Mashaal sheikh walid kweli tunanufaika sana kama tupo hapo darasan m mungu azidi kukupa afya njema ili tuzidi kunufaika zaidi na zaidi inshaal

  • @ahmedhamisi-jc2hs
    @ahmedhamisi-jc2hs 6 месяцев назад +4

    Masha Allah shukuran Sana sheikh Kwan ushasema kweli kabisa maneno ya awakika kabisa

  • @OmarSongoro-bp9pn
    @OmarSongoro-bp9pn 6 месяцев назад +3

    Mashaa allah shukran sana shekh walid

  • @shijasagali5161
    @shijasagali5161 6 месяцев назад +2

    Ma shaa Allah tabalakhallah, nimekuelewa sheikhe wangu, Allah akuhifadhi

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah9630 5 месяцев назад +1

    Subhanallah 😭😭😭
    Sheikhe wetu allah akuhifadhi.

  • @JohariRamadhani-vq7nn
    @JohariRamadhani-vq7nn Месяц назад

    Shekh mwenyezi mungu akupe umri mrefu kwa ajili yetu uendelee tukupa daawa zaidi ya izi inshaallah

  • @tawakaliramadhani1352
    @tawakaliramadhani1352 6 месяцев назад +1

    Mashallah Allah akufanyie wepesi..akupe siha..

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 6 месяцев назад +2

    Masha ALLAH Tabarakallah shukran sheikh ALLAH akuhifadh...🤲🤲🤲

  • @mariusochy4664
    @mariusochy4664 5 месяцев назад

    Masha Allah shekh Walid Mimi ni mshabiki wako sananaaa naitwa Mahmoud Ochy kutoka Rwanda mjini Kigali karibu sana huku kwetu Allah akurinde marazi akupe umri marefu mwenye manufaa akupe mwisho mwema na pepo siku ya mwisho

  • @eddietaxidriverzanzibar4395
    @eddietaxidriverzanzibar4395 5 месяцев назад

    Subhanallah Allah Akulipe ujira uli0 kuW mkubwa le0 Dunian na Kesh0 Akhera Aameen 🤲🤲

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 6 месяцев назад +1

    Vizuri sheikh walid.mashaallah..

  • @shariffmassawe6805
    @shariffmassawe6805 9 дней назад

    Mashaa allah

  • @saodashabani2652
    @saodashabani2652 6 месяцев назад +1

    Mashaallah shekhee wetuu

  • @salmaomar9483
    @salmaomar9483 3 месяца назад

    Allah akulipe kheri na akudumishe katika kheri

  • @hemedimbwambo4674
    @hemedimbwambo4674 5 месяцев назад +2

    ALLAAHUMMA AAMIIN

  • @HemediMussa-e6s
    @HemediMussa-e6s 6 месяцев назад +3

    Lailahailalah

  • @tawakaliramadhani1352
    @tawakaliramadhani1352 6 месяцев назад +1

    Darusalaama imepata mwalim sahihi...

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 6 месяцев назад +1

    Hapo kwenye inshaaallah nikweli wengi wanaitumia kuondoa ngoma juani ila sio utekekezaji

  • @fatmamuhammad4772
    @fatmamuhammad4772 5 месяцев назад

    MashaAllah Tabaarakallah

  • @KhalidMzala
    @KhalidMzala 4 месяца назад

    Mashaallah ❤

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 6 месяцев назад

    Asante sheikh

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 5 месяцев назад +2

    Wanawake wa sasa ni mtihani ukimbilia kwenye madawati na kugawana mali

  • @fadhilimakore6142
    @fadhilimakore6142 5 месяцев назад

    Subhana llah Allah atunusuru

  • @HAMEDHAMED-qx1zj
    @HAMEDHAMED-qx1zj 5 месяцев назад +1

    Kweli kabisa

  • @ZainabUwessu
    @ZainabUwessu 2 месяца назад +1

    Tumalizie wale watu watatu ambao Allaah hujilazimisha kuwasaidia...
    1. Yule atakaechunga ndoa yake na uzinifu!
    2...
    3...
    Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuh wabarakaatuh wabarakaatuh

  • @massykgaassfghjkkl5364
    @massykgaassfghjkkl5364 6 месяцев назад +2

    Laila hail Allah

  • @SurprisedAirplaneWindow-mi9lc
    @SurprisedAirplaneWindow-mi9lc 4 месяца назад

    mashaallah

  • @zuwenasaid9707
    @zuwenasaid9707 4 месяца назад +1

    Walid waambie na viongozi wa nchi siku za siasa wasiuwe wakati washatangaza wazi ccm haikuubwa kushindwa kwa hali yeyote sasa kwa nini wanauwa hawayaamini maneno yao na waislamu wamo wanaoshajiisha mauwaji na kusheherekea mapinduzi (mauwaji)

  • @hadyaAlii
    @hadyaAlii 6 месяцев назад +1

    Inshaallah ❤

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 6 месяцев назад

    شكرا جزيل

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 6 месяцев назад +2

    Allahu akbar mola atusamehe mazambi yetu yarabi

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 15 дней назад

    Jmn viongozi wote msikie ujumbe huu

  • @AwadhiKanyawana-ve2cp
    @AwadhiKanyawana-ve2cp 6 месяцев назад

    💯

  • @hamisijuma6243
    @hamisijuma6243 3 месяца назад

    huyu bwana ni mwalimu wangu

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 6 месяцев назад +1

    Taah,taah la lumumba😂 😁😁🏃mmmh leo darsa la maana

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 6 месяцев назад +2

    Sarafu wanauza bidhaa mtandaoni wanauza condom nini hukumu yake na inamilikiwa na bakhresa kama sikosei nini hukumu yake,?

    • @EricsonNoah
      @EricsonNoah 5 месяцев назад

      Bahressa auzu si kweli

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah9630 5 месяцев назад

    Kwa hapa dsm tumepata mwl bora..

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 5 месяцев назад

    Watu walikuwa wachache