MASIHI DAJJAL ATASHUKIA KATIKATI YA IRAQ NA SYRIA// SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 60

  • @Hashim-p4d
    @Hashim-p4d 7 месяцев назад +12

    Nalia kwa mahaba ya mtume wetu SAW ❤SAW❤SAW❤SAW❤😢😢😢😢😢😢😢

  • @asiakhalfan4156
    @asiakhalfan4156 7 месяцев назад +9

    Allah atuepushe na fitna ya masih dajjal jamii Islam

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 7 месяцев назад +5

    JAZAKA ALLAH KHAIRA SHEKH OTHMAN MAALIMU ALLAH AKUJAALIE UMRI MREFU SHEKH

  • @FauzaBwambale-lp1wp
    @FauzaBwambale-lp1wp 7 месяцев назад +6

    Allah atuepushe na adhabu ya masihi Dajjal

  • @AishaabdullahAisha
    @AishaabdullahAisha 7 месяцев назад +6

    Subhanallah yaraby tupe mwisho mwema na utuepushee na shari za dunia hii

  • @wahidamohamed9404
    @wahidamohamed9404 8 месяцев назад +19

    Mwenyezi Mungu atuepushe na fitna za Masihi Dajjal. Allahuma Ameen

  • @jamilahissa8763
    @jamilahissa8763 7 месяцев назад +4

    ya ALLAH tujalia tuwe ni wenye kukufuata wewe tu ya Rabbi

  • @AlShabh-u8i
    @AlShabh-u8i 8 месяцев назад +6

    Allaah utuepushe na hyo maisha dajjal

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 8 месяцев назад +7

    Allah a2linde na shari za wabaya wote InshaAllah

  • @JohariNassor
    @JohariNassor 6 месяцев назад +1

    Mola atuepushe na adhabu za Masih dajjal

  • @sommohd7903
    @sommohd7903 6 месяцев назад +2

    M.mungu tujaalie Iman kubwa juu yako 🙏🏼

  • @SuleimanJasho
    @SuleimanJasho 8 месяцев назад +3

    Mwenyezi mungu atuepushe na fitina za Dajjali inshaAllah amini rabinaalamin

  • @Veronicahcharles61comAsia
    @Veronicahcharles61comAsia Месяц назад +1

    😢😢😢aki umenifungua macho ya ndani nilikuwa sijui kuna mtu kama huyu atakuja masihi dajali,,subhanalla mimi sijui ata hiyo dua ya kujikinga😢😢😢😢 inauma sheikh sijui nitaijuaje

  • @azizashaaban870
    @azizashaaban870 7 месяцев назад +4

    Mashallah tabarakallah amazing dawah.

  • @zuhoor-mc7hq
    @zuhoor-mc7hq 8 месяцев назад +4

    Masha Allah tabarakallah jazakumllahu khayra shekh wetu OTHMAN... uhibukii fiy llah kathiyra ❣️❣️❣️

  • @youtubepolls126
    @youtubepolls126 7 месяцев назад +2

    SubhanAllah, Allah atuepushe na visanga na uongo wa Masihi Dajjal. MashALLAH Sheikh mchanga sana hapa. Allah amjalie umri mrefu. ❣❤❤

  • @MussaSalanje
    @MussaSalanje 8 месяцев назад +9

    Technologia inaandaa ujio wake atakapokuja watu Wengi watakuwa wamepotea na watamfuata ispokuwa wale ambao Mungu atawajaalia iimani thabiti ktk mioyo yao Naomba Mungu anijaalie iimani thabiti.

    • @TatuRashid-d6t
      @TatuRashid-d6t 6 месяцев назад +1

      Allah atunusuru nae na atupe khauli thabit ya kumshinda dhalili huyu

    • @ndaisenganteze3546
      @ndaisenganteze3546 Месяц назад

      Mungu atakuokoa lakini kwa kumkri masihi mwenyewe

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 8 месяцев назад +2

    Allahu akbar Allahuakbar Allahuakbar

  • @BakariMwayaga-q2p
    @BakariMwayaga-q2p 8 месяцев назад +5

    Mashallah Allah akuifadhi sheikh wetu minakupenda kwa ajili ya Allah S.W.T

    • @djafro8729
      @djafro8729 8 месяцев назад +1

      2🎉 z

    • @fatmaalikhalfan9897
      @fatmaalikhalfan9897 7 месяцев назад

      MashaAllah sheikh wetu Othman maalim .jazakaAllahu Alkheyr​ Mungu Akuhfadhi@@djafro8729

  • @khamismohammed3763
    @khamismohammed3763 7 месяцев назад +2

    Masha Allah

  • @ashrafkhamis1051
    @ashrafkhamis1051 7 месяцев назад +4

    Mola atuepushe na riyaa(show off)

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 7 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @Tatu-b9p
    @Tatu-b9p 5 месяцев назад

    Ndio maana mm napenda sana dini yangu ya wuislamu alhamdulillah❤❤❤❤❤❤🎉

  • @RamadanRasheed
    @RamadanRasheed 5 месяцев назад

    Mwenyezi mungu atuepushe na msihi dajal

  • @MusaSaidi-s8u
    @MusaSaidi-s8u 6 месяцев назад

    Mungu atulinde na masih dajjar inshallah

  • @MasudiSutu
    @MasudiSutu Месяц назад

    Mansaallah

  • @fikiri-gh4og
    @fikiri-gh4og 4 месяца назад

    mawaidha mazuri

  • @noornasir4378
    @noornasir4378 8 месяцев назад +9

    Huyu Dajjal ni hii technology iloingia duniani imepotosha wengi na binadamu wamekuwa watumwa wa hiyo technology

    • @rukiabura8381
      @rukiabura8381 8 месяцев назад +1

      0:24 0:30

    • @NandoWaUsa
      @NandoWaUsa 8 месяцев назад +2

      You made a good point

    • @zuhoor-mc7hq
      @zuhoor-mc7hq 8 месяцев назад +1

      Mola atuepushe na fitna za masikhi dajjal amiin yaarabbali ghalamiina 🤲.....ht hizo Aya kumi tu mtihani umaah muhamadu kuhifadhi 😢😢😢

    • @kazezaageneral1830
      @kazezaageneral1830 8 месяцев назад +2

      Not true ,dajjal is dajjal not technology

    • @jumakhamis226
      @jumakhamis226 7 месяцев назад +2

      Kabisaaa

  • @AnisaOdero
    @AnisaOdero 8 месяцев назад +4

    Asalamu aleykum mtu asie mwisilamu akifariki waweza kumtolea dua.

    • @mchilohasna7190
      @mchilohasna7190 8 месяцев назад +1

      Nakutarifu kwamba kishki tv utube Kuna kipindi cha maswali na majibu kila wiki unajibiwa hapohapo

  • @listonjiwe3467
    @listonjiwe3467 6 месяцев назад +1

    Mtume anaongeaje hadidhi anapotoa ujumbe kwa waumini wake maneno ya mtume yanageukaje kuwa hadidhi na anamtaja masihi sababu mtume anajua ndio hukumu yake imefika na wafuasi wake uma wa waislamu

  • @listonjiwe3467
    @listonjiwe3467 6 месяцев назад +3

    Mtume alikuwa anamzungumzia masihi yupi Masihi ni mmoja tu ni yesu atakuwaje na fitina na kama sio kuwa na hofu kwa ajili ya hukumu yenu

    • @HasnuuMakame
      @HasnuuMakame 6 месяцев назад +1

      Masihi dajal, maana yake ni masihi wa uongo, ambapo kwenu nyie wakristo mnamwita anti-christ..

    • @nash-hatali1465
      @nash-hatali1465 5 месяцев назад

      .... good response. Be blessed​@@HasnuuMakame

    • @Hasnamkame
      @Hasnamkame 11 дней назад

      kwani wewe unamjua sana yesu kuliko sisi waislamu?

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 6 месяцев назад

    Sheikh hizo ni hadithi za abunuwasi ni kweli Massiah Dajjal habari zake zipo lkn zilipozungumzwa na Mtume zilielezwa kwa lugha ya ishara ambazo zikitafsiriwa tunaeza kuona kwa jicho la pili vyenginevyo endelea kuwambia watu wamsubiri akinyesha mvua na kufufua watu.

  • @JaphetMkasa
    @JaphetMkasa 6 месяцев назад

    Je huyo atazaliwa na binaadamu au huyo .?atakuwa tayali ameumbwa yupo?kama yupo yupo wapi kwasasa hivi naitaji chimboko lake nilijuwe kama ibilis ni kitoto chakijini kilichochukuliwa na malaika kulelewa je yeye masiijadali katokea wapi?

  • @SaimonKefa
    @SaimonKefa 6 месяцев назад

    Kuludi kwa yesu duniani, huyo yesu kwa waisramu ndiyo dajjal na mtume anaogopa mbaya mbovu

    • @KivandiNdivo
      @KivandiNdivo 6 месяцев назад

      Kasome Revelation, the false messiah ametajwa

    • @ednamachocho3059
      @ednamachocho3059 2 месяца назад

      Sikiza mawaidha vizuri my dear HAKUNA MUISLAMU ANAEMKUFURU BWANA YESU

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 8 месяцев назад +2

    Masha ALLAH