Technologia inaandaa ujio wake atakapokuja watu Wengi watakuwa wamepotea na watamfuata ispokuwa wale ambao Mungu atawajaalia iimani thabiti ktk mioyo yao Naomba Mungu anijaalie iimani thabiti.
😢😢😢aki umenifungua macho ya ndani nilikuwa sijui kuna mtu kama huyu atakuja masihi dajali,,subhanalla mimi sijui ata hiyo dua ya kujikinga😢😢😢😢 inauma sheikh sijui nitaijuaje
Mtume anaongeaje hadidhi anapotoa ujumbe kwa waumini wake maneno ya mtume yanageukaje kuwa hadidhi na anamtaja masihi sababu mtume anajua ndio hukumu yake imefika na wafuasi wake uma wa waislamu
Sheikh hizo ni hadithi za abunuwasi ni kweli Massiah Dajjal habari zake zipo lkn zilipozungumzwa na Mtume zilielezwa kwa lugha ya ishara ambazo zikitafsiriwa tunaeza kuona kwa jicho la pili vyenginevyo endelea kuwambia watu wamsubiri akinyesha mvua na kufufua watu.
Je huyo atazaliwa na binaadamu au huyo .?atakuwa tayali ameumbwa yupo?kama yupo yupo wapi kwasasa hivi naitaji chimboko lake nilijuwe kama ibilis ni kitoto chakijini kilichochukuliwa na malaika kulelewa je yeye masiijadali katokea wapi?
Nalia kwa mahaba ya mtume wetu SAW ❤SAW❤SAW❤SAW❤😢😢😢😢😢😢😢
Allah atuepushe na fitna ya masih dajjal jamii Islam
Allah atuepushe na adhabu ya masihi Dajjal
Subhanallah yaraby tupe mwisho mwema na utuepushee na shari za dunia hii
JAZAKA ALLAH KHAIRA SHEKH OTHMAN MAALIMU ALLAH AKUJAALIE UMRI MREFU SHEKH
Allaah utuepushe na hyo maisha dajjal
Allah a2linde na shari za wabaya wote InshaAllah
M.mungu tujaalie Iman kubwa juu yako 🙏🏼
Mola atuepushe na adhabu za Masih dajjal
Mwenyezi Mungu atuepushe na fitna za Masihi Dajjal. Allahuma Ameen
Ameen yaarabb
Ameeeeen
Aameen Thumma Aameen
AMIIIN ya rabilighami
Aamin
Mwenyezi mungu atuepushe na fitina za Dajjali inshaAllah amini rabinaalamin
Mashallah tabarakallah amazing dawah.
Allah atupe mwisho mwema na atukinge dhidi ya mass hidajal
Allah akuzidishie kila la kheri
Allah atuepushe na fitna za dajjal
SubhanAllah, Allah atuepushe na visanga na uongo wa Masihi Dajjal. MashALLAH Sheikh mchanga sana hapa. Allah amjalie umri mrefu. ❣❤❤
Masha Allah tabarakallah jazakumllahu khayra shekh wetu OTHMAN... uhibukii fiy llah kathiyra ❣️❣️❣️
ya ALLAH tujalia tuwe ni wenye kukufuata wewe tu ya Rabbi
Amin
Mungu atulinde na masih dajjar inshallah
Mwenyezi mungu atuepushe na msihi dajal
Ndio maana mm napenda sana dini yangu ya wuislamu alhamdulillah❤❤❤❤❤❤🎉
Allahu akbar Allahuakbar Allahuakbar
Technologia inaandaa ujio wake atakapokuja watu Wengi watakuwa wamepotea na watamfuata ispokuwa wale ambao Mungu atawajaalia iimani thabiti ktk mioyo yao Naomba Mungu anijaalie iimani thabiti.
Allah atunusuru nae na atupe khauli thabit ya kumshinda dhalili huyu
Mungu atakuokoa lakini kwa kumkri masihi mwenyewe
Mashallah Allah akuifadhi sheikh wetu minakupenda kwa ajili ya Allah S.W.T
2🎉 z
MashaAllah sheikh wetu Othman maalim .jazakaAllahu Alkheyr Mungu Akuhfadhi@@djafro8729
Mola atuepushe na riyaa(show off)
Mashallah
Mansaallah
😢😢😢aki umenifungua macho ya ndani nilikuwa sijui kuna mtu kama huyu atakuja masihi dajali,,subhanalla mimi sijui ata hiyo dua ya kujikinga😢😢😢😢 inauma sheikh sijui nitaijuaje
Soma suratl kafići km unanijua
mawaidha mazuri
Masha ALLAH
براك الله ولك
برك الله فيك ولك
Huyu Dajjal ni hii technology iloingia duniani imepotosha wengi na binadamu wamekuwa watumwa wa hiyo technology
0:24 0:30
You made a good point
Mola atuepushe na fitna za masikhi dajjal amiin yaarabbali ghalamiina 🤲.....ht hizo Aya kumi tu mtihani umaah muhamadu kuhifadhi 😢😢😢
Not true ,dajjal is dajjal not technology
Kabisaaa
Asalamu aleykum mtu asie mwisilamu akifariki waweza kumtolea dua.
Nakutarifu kwamba kishki tv utube Kuna kipindi cha maswali na majibu kila wiki unajibiwa hapohapo
Mtume anaongeaje hadidhi anapotoa ujumbe kwa waumini wake maneno ya mtume yanageukaje kuwa hadidhi na anamtaja masihi sababu mtume anajua ndio hukumu yake imefika na wafuasi wake uma wa waislamu
Sheikh hizo ni hadithi za abunuwasi ni kweli Massiah Dajjal habari zake zipo lkn zilipozungumzwa na Mtume zilielezwa kwa lugha ya ishara ambazo zikitafsiriwa tunaeza kuona kwa jicho la pili vyenginevyo endelea kuwambia watu wamsubiri akinyesha mvua na kufufua watu.
Mtume alikuwa anamzungumzia masihi yupi Masihi ni mmoja tu ni yesu atakuwaje na fitina na kama sio kuwa na hofu kwa ajili ya hukumu yenu
Masihi dajal, maana yake ni masihi wa uongo, ambapo kwenu nyie wakristo mnamwita anti-christ..
.... good response. Be blessed@@HasnuuMakame
kwani wewe unamjua sana yesu kuliko sisi waislamu?
Je huyo atazaliwa na binaadamu au huyo .?atakuwa tayali ameumbwa yupo?kama yupo yupo wapi kwasasa hivi naitaji chimboko lake nilijuwe kama ibilis ni kitoto chakijini kilichochukuliwa na malaika kulelewa je yeye masiijadali katokea wapi?
Kuludi kwa yesu duniani, huyo yesu kwa waisramu ndiyo dajjal na mtume anaogopa mbaya mbovu
Kasome Revelation, the false messiah ametajwa
Sikiza mawaidha vizuri my dear HAKUNA MUISLAMU ANAEMKUFURU BWANA YESU
Hata Mimi Huwa nafikiria Ivo, YESU wa waislam ndie dajal
Masha Allah