HISTORIA YA DHUL QARNAYN ( JUJA MAAJUJA ) SH. OTHMAN MICHAEL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 248

  • @muhidinally3753
    @muhidinally3753 5 лет назад +25

    Allah maamin Sheikh. Allah tunamuombea Sheikh wetu maisha marefu yenye afya. Hakika huyu ni zawadi kwa umma.

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 5 лет назад +4

    Allha huma ajirna mina nar ameen.

  • @armorshalick1320
    @armorshalick1320 5 лет назад +7

    Inshallah mungu akujalie afya ili uweze kutupa history kama hiyo na nyingine

  • @aishaamohamed453
    @aishaamohamed453 5 лет назад +8

    BarakaAllahu feekum

  • @abdulally9745
    @abdulally9745 5 лет назад +1

    Jazakalah khaira wa baada likhair janatu naima

  • @hamza89945
    @hamza89945 3 года назад +1

    Shekh mzuri. Mashallah Mungu akubarik

  • @waynejohn2239
    @waynejohn2239 Год назад +3

    Allah akujalie mwisho mwema

  • @aishasibomana918
    @aishasibomana918 2 года назад +1

    Manshallah shekh Allah akulipe kila rakheri

  • @fadhilikidunale7671
    @fadhilikidunale7671 4 года назад +2

    MashaAllah

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 лет назад +5

    ماشاء الله يا شيج

  • @chumemarehema8328
    @chumemarehema8328 4 года назад

    Mashallah kisa kizuru

  • @waynejohn2239
    @waynejohn2239 7 месяцев назад +4

    God bless❤you and all Muslim in the world

  • @asayubeejr1199
    @asayubeejr1199 5 лет назад +113

    Jamani kama mmemkubali shekh alivo tulia na kumuiga othman maalim gonga like yako ili twendee saw

  • @stephenguga7601
    @stephenguga7601 5 лет назад +75

    Historia ya MTU mweusi imefichwa sana ila Qur'an nikitabu pekee kilichobaki kilicho beba historia ya MTU mweusi kwa usahihi kabisa wa kristo wachache tunao jielewa tunakiheshimu kitabu icho mungu ukubariki sheikh

    • @hatibuahmadi7237
      @hatibuahmadi7237 5 лет назад +11

      nikweli kabisa mimi nakuombea kwamungu akujaalie ukifuate kitabu cha allah nauwe mwislam inshaa allah

    • @rashidkhalifa8430
      @rashidkhalifa8430 5 лет назад +6

      Kwa nn usifuate njia ya kheri

    • @aminamichael1706
      @aminamichael1706 5 лет назад +5

      Allah akuzidishie elim sambamba na hekma ulonayo akujuze haki yake na batwili uongoke inshaalla

    • @khadijaal6548
      @khadijaal6548 5 лет назад

      Hatibu Ahmadi
      Aamin

    • @khadijaal6548
      @khadijaal6548 5 лет назад +1

      Rashid Khalifa in shaa allah ataingiaa tumuombee

  • @waynejohn2239
    @waynejohn2239 Год назад +2

    Allah akulinde na Kila lashar

  • @mariabahati1264
    @mariabahati1264 4 года назад +6

    Mashallahu jazakalaahu kheira Sheick Mwenye Ezi Mungu akuneemeshe inshaallaah twashkuru saana sisi kwa ilmu unayotupa

    • @AthmanSud
      @AthmanSud 4 месяца назад +1

      MashaAlllah

  • @ramazubery8396
    @ramazubery8396 5 лет назад +36

    Allah anatujaalia Othman wapili alhamdulil llah .mashaallah mashaallah wallahi.

    • @eshaabdalla9725
      @eshaabdalla9725 5 лет назад +1

      Athman kama humjui utajua ni huyu tu Mashallah

    • @hamastien5439
      @hamastien5439 5 лет назад +2

      @@eshaabdalla9725 wallah ten.watu dunian wawili wawil

    • @hamisidaimu9734
      @hamisidaimu9734 5 лет назад

      Mashaallah mungu

  • @swalehayoub4816
    @swalehayoub4816 5 лет назад +24

    Nasikitika sana kuikosa darsa hii ktk Masjid Billal Kiwalani kwa Gude DSM ni kila Alhamis baada ya swala ya Magharib,inshallah wiki inayokuja ntakuwepo!

  • @ibraismail753
    @ibraismail753 3 года назад +9

    Kama umemuona mjusi katulia anasikiliza daawah dodosha like

  • @HassanHassan-ts1vt
    @HassanHassan-ts1vt 5 лет назад +27

    mashaallah sheikh MWENYEZI mungu akupe umri mrefu na afya njema inshaallah

    • @aishasaid9110
      @aishasaid9110 3 года назад

      sheikh othman huu mti kwa hapa tanzania unaitwa jina gani?

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 лет назад +13

    Yaani huyu Mpka sauti ni ya Othman Maalim... Mungu hakupe umri Mrefu

  • @mariamsfamily482
    @mariamsfamily482 4 года назад +3

    huyu ustadh Michael othman nampenda kwa ajili ya Allah nataka dua zako ustadh

  • @saimaromar5937
    @saimaromar5937 5 лет назад +14

    Mashaallah mungu akujalie kila la kher katika kaz yko yakutangaz dini ya Allah insha'Allah

  • @hildababyabdullah5627
    @hildababyabdullah5627 5 лет назад +31

    Mashaallah Sheikh sauti yko kidg ifanane na sheikh Othman Maalim Allah akuzidishie ilmu utupe nass

    • @ibrahimwario3177
      @ibrahimwario3177 5 лет назад

      @Omar Alofi kwli yko ndugu sauti yao yanafanana sana

    • @jamalraja417
      @jamalraja417 5 лет назад

      Lambda ni mwana funzi wake inshallah 🤣

    • @hildababyabdullah5627
      @hildababyabdullah5627 5 лет назад

      @@jamalraja417 hatuwez kujua ilo km nikweli mwanafunz wake au laah

    • @ukhtysakinaa7664
      @ukhtysakinaa7664 5 лет назад +1

      @@hildababyabdullah5627 Masha Allah, tena yuazungumza kwa utaratibu kama yeye

  • @ummulkheir8321
    @ummulkheir8321 5 лет назад +17

    Shukran sheikh,baaraka Allah fiik

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 5 лет назад +6

    Naam Sheikh Mmungu kakujaalia khutba zako ni Pana na utulivu. Kabisa raha kukusikiliza na kusoma kwako. Tuifahamu quraan tupate elimu ya maana

  • @championshahidu2465
    @championshahidu2465 5 лет назад +14

    Thank you sheikh I got you clearly, keep it up . Allah bless you /us inshaAllah

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 5 лет назад +3

    Hakika Sheikh Othman Maalim atabaki milele kwa kizazi hadi kizazi

  • @issaramadhani9714
    @issaramadhani9714 5 лет назад +11

    ALLAH AKBAR

  • @mohamedAli-vf8hp
    @mohamedAli-vf8hp 5 лет назад +4

    Kusema kweli shekhe napenda sanaa visa vya mitume na manabii nikiskiliza najikuta mara nyingi machozi yanilemba lemba

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 5 лет назад +3

    Maasha Allah shekh huyu namkubali sana kwa mwa muonaje alivyo tulia na vitu vinazidi poromoka na ukikutana nae utaona akiwa kazungukwa na watu waki sikiza mawaidha na nasaha na amejaaliwa lafuzi nzuri kama shekh wetu Othman maalim wala huwezi choka kumsikiliza allah akupe umri mrefu baraaka allah fikum.

  • @abdulazizbamusa2039
    @abdulazizbamusa2039 5 лет назад +2

    Assalam alaykum, afwan sheikh, kutokana na mawaidha yako ni kuwa nabii haletewi wahyi na Jibril {A.S}, lakini kutokana na mawaidha yako ya Ukubwa wa Allah, ni kuwa uliwahi kutaja kuwa Nabii Ibrahim {A.S} alijiwa na Jibril {A.S} kujuzwa kuwa jambo la kumfukuza yule mtu alokuwa anaabudu moto limemkasirisha Allah. naomba ufafanuzi kwa hili. Shukran

  • @khamisoothman5294
    @khamisoothman5294 5 лет назад +13

    mashaa Allah jazak Allah khair

  • @salimdoctor691
    @salimdoctor691 5 лет назад +11

    Masha allah

  • @minaminaa1669
    @minaminaa1669 5 лет назад +10

    JazzakAllah kheir sheikh

  • @rahmamteri5592
    @rahmamteri5592 5 лет назад +10

    Mashallah shukran

  • @hubaamuj5129
    @hubaamuj5129 5 лет назад +5

    Assalamualykum warahmatullahi wabarakatuh. Maa sha Allah. Qur'an Inaelezea yote. Alhamdullillah.

    • @othmanmichael4241
      @othmanmichael4241 5 лет назад

      Umetukimbia wapi

    • @hubaamuj5129
      @hubaamuj5129 5 лет назад

      @@othmanmichael4241 Assalamualykum warahmatullahi wabarakatuh.... Niko nivile hupokea Daa'wa from different source;kisha Niko na various online classes. But In sha Allah... Nita compensate time ...

    • @othmanmichael4241
      @othmanmichael4241 5 лет назад

      Cndoo wewe ulikua klnikufahamuye au

    • @hubaamuj5129
      @hubaamuj5129 5 лет назад

      @@othmanmichael4241 sijaivuta twaswira...Sinaga kumbukumbu!

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 5 лет назад +11

    Masha Allah

  • @papaamularfins599
    @papaamularfins599 5 лет назад +12

    MashaAllah

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 5 лет назад +9

    Waalaikumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
    Shukran yaa sheikh othman kwa darsa hii mungu akujazie nuuru kifuani mwako inshaallah nasi atujaalie tuwe na mazingatio allahumma aamiin

  • @saidimohammed2455
    @saidimohammed2455 5 лет назад +10

    MASH Allah

  • @mwatimengao2398
    @mwatimengao2398 5 лет назад +10

    Maa shaa Allah

  • @nusaebahkeis6774
    @nusaebahkeis6774 5 лет назад +7

    Sauti yake kama.sheikh othman Maalim Mashallah

    • @aminashabani2906
      @aminashabani2906 4 года назад

      Allah akuzidishie elimu Nasisi utuelimishe. Inshaalla

  • @adammj6258
    @adammj6258 5 лет назад +2

    Hizi ndio zama za kujadili mada hii, sheikh tunaomba na habari ya Massih DAJJAL na wafuasi wake tulionao pamoja na ujio wa Massih mwenyewe

  • @nassormussa4236
    @nassormussa4236 5 лет назад +9

    MashaAllah

  • @cellcorner4747
    @cellcorner4747 5 лет назад +5

    Masha Allah

  • @suleimanbangu2707
    @suleimanbangu2707 5 лет назад +8

    Mashallaab ya sheikh

  • @alonsohamim9545
    @alonsohamim9545 5 лет назад +3

    Shukran

  • @fatmamombasa3430
    @fatmamombasa3430 5 лет назад +4

    Masha Allah

  • @yanikdabo2137
    @yanikdabo2137 5 лет назад +20

    Allahumma swalli alaa muhammadin waali sayyidna muhammad (saw)

  • @zainabuzainabu4372
    @zainabuzainabu4372 5 лет назад +2

    Sheikh mbna hawa waarabu wanasema nàbii swaleh alikua iraq

  • @hamadjuma1700
    @hamadjuma1700 5 лет назад +7

    Shukrya

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 лет назад +8

    Mashallah

  • @mohamedsharif1293
    @mohamedsharif1293 5 лет назад +5

    jaribu kuepuka visa vya israiliat na hadith dhaifu hata kama kuna faida ndani yake..ama ashiria kabisa.. msimulizi mzuri lakini facts ndio zinafaa zaidi katika dini

  • @omaryteddy62
    @omaryteddy62 2 года назад +1

    Masha Allah

  • @salehsuleimansaid8673
    @salehsuleimansaid8673 5 лет назад +2

    Ustimtoeee mtu makosa mfuate au tafuta njia yoyote ya kumkosaa

  • @zainabsaid3038
    @zainabsaid3038 5 лет назад +6

    Mashaallah tabarakhah

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 5 лет назад +2

    Asalam Aleikum huo ukuta alioujenga Dhul Karnayn bado upo?

  • @omaryshafii1174
    @omaryshafii1174 4 года назад +1

    kwa ujumla wengi mnaofanya vizur ktk mawaidha yenye utulivu na kueleweka rollmodel wenu ni OTHMAN MAALIM, jazzakhallahu khaira...

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 5 лет назад +4

    Mashalah tabarak Allah daa ka malim

  • @nassorsaleh1811
    @nassorsaleh1811 5 лет назад +6

    daaaah mashallah tarikh nzuri sana

  • @maryammahamad303
    @maryammahamad303 5 лет назад +4

    Masha Allah

  • @sarahmohamed337
    @sarahmohamed337 5 лет назад +4

    M.mungu Akupe Siha nzuri ya Afya Sheikh uzidi kutuelimisha.Allahuma Amin🙏🙏

  • @mbwanamudi8698
    @mbwanamudi8698 5 лет назад +5

    Shekh wahindi nao sija sikia baba yao

  • @husha6372
    @husha6372 Год назад

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Kwa mtazamo Wangu hawo viumbe WAZUNGU Husema ni Dinosours au Kwa lugha nyingine huitwa GODZILLA

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 5 лет назад +3

    Jazzak Allahu khairan Sheikh Othman.

  • @azzuazeez4694
    @azzuazeez4694 5 лет назад +4

    *Masha Allah Tabarrakhllah
    Allah akuhifadhi na akuzidishie Uelewa utupe Elimu yake kupitia wewe mja wake

  • @abdulrazaktayeb
    @abdulrazaktayeb Год назад +1

    Mashallah...jazakallah

  • @hemedissa7675
    @hemedissa7675 5 лет назад +2

    Huo ndio uislamu bana raaha mustarehe

  • @kiparamotoempire777
    @kiparamotoempire777 5 лет назад +4

    Shekh Assalaam alaykum.. Umesema dhurqanain alilikuta jua linazama ktk chemchem ya tope, chemchem ambayo kubwa kuliko dunia... Swali langu sasa iyo chemchem ipo ktk dunia hii au nyingne na je uyo dhurqanain alitembea duniani au mbinguni kwny iyo chemchem kubwa kuliko dunia, afuwan

    • @issamwalim154
      @issamwalim154 5 лет назад +1

      Juwe lenyewe halipo duniani sisi tunamwanga 2 wajuwa

    • @idrisamodo6480
      @idrisamodo6480 5 лет назад +1

      Kiparamoto Empire jua halipo duniyan kwanz hivyo bila shak iyoo chemchem piya haitokuwep duniya

    • @kiparamotoempire777
      @kiparamotoempire777 5 лет назад

      @@idrisamodo6480 Alaa... Kwa iyo dhurqanain nae hakuwepo duniani na hao yaajuja hawakufungiwa duniani au umemuelewaje shekh

  • @leylerahmed1677
    @leylerahmed1677 5 лет назад +2

    Jazzakah llahu khairan

  • @amilymawazo8929
    @amilymawazo8929 5 лет назад +1

    km namuona Othman maalim iv ...akn shekh fasir ya juja wa maajuja ni hawa illuminate na freemanson families .,..jaribu kuperuz upya

    • @ramadhansharjah8065
      @ramadhansharjah8065 5 лет назад

      Hao sio Freemason bhana shekhe wangu,hao free mason ni yule Masihi Dajal kiunbeU mwenye Jicho moja,hao hajuja ni viumbe waharibfu watakao kuja duniani zama za mwisho pindi watakapo sema inshallah nakumaliza kula ule ukuta wa chuma

  • @almassoud3109
    @almassoud3109 5 лет назад +3

    Maashallah. Faida ilioje hii

  • @stewartnairo4897
    @stewartnairo4897 5 лет назад +3

    Allah akupe umri na hekima . inshaàllah !!!

  • @saidmsuya9420
    @saidmsuya9420 4 года назад +3

    MashAllah sheikh wangu

  • @kiumbembajuni129
    @kiumbembajuni129 5 лет назад +3

    Awahuma amin

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 3 года назад

    Zipo sababu nyingi zinazopatikana za kuitwa kwake Dhulqarnain kwa sababu mojawapo ni kwamba yeye ncha zote za dunia Mashariki mpaka Magharibi alikuwa anaendesha hukumu yake, alikuwa ameishinda, na Allah swt alimpa uwezo juu ya Nuru na Kiza (Dhulmat) na ndio hii sababu moja kubwa ya kupata jina hili la Dhulqarnain.

  • @allyzicko8149
    @allyzicko8149 5 лет назад +2

    Shukrn

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 года назад +3

    Masha Allah Sheikh

  • @jumachawinga8147
    @jumachawinga8147 2 года назад +2

    ALLAH AKULIPE KWA HILI , MASHALLAH

  • @fatmaismail13
    @fatmaismail13 5 лет назад +3

    shukran sheikh

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 8 месяцев назад +1

    Allah akujaz khery

  • @hamisamaundi5661
    @hamisamaundi5661 5 лет назад +2

    Asante sheikh

  • @omarkhalfan3643
    @omarkhalfan3643 5 лет назад +6

    Mashaaallah

  • @ustadhibrahim3783
    @ustadhibrahim3783 5 лет назад +6

    Ma shaa allah ya sheikh allah baarik in shaa allah

  • @salminiyussuf989
    @salminiyussuf989 5 лет назад +3

    MaashaAllah

  • @rkenea4262
    @rkenea4262 5 лет назад +3

    Swadakta ya ust

  • @Banour001
    @Banour001 6 месяцев назад

    Assalam aleikm naulza huyu sheikh mtoto wa Sheikh Athman maaallim?! Maana kafanana sauti mashallah

  • @ramadhanimaangi2223
    @ramadhanimaangi2223 5 лет назад +1

    shekh yuko vizuri lakini mbona anatumia sana alama za illuminati?
    tazama vidole brake.

    • @meymahally8674
      @meymahally8674 4 года назад

      We pia uko huko nn mbona ukazijua ati?

  • @biroboy8545
    @biroboy8545 5 лет назад +3

    Alhamdulillah

  • @kayitesinanas4417
    @kayitesinanas4417 5 лет назад +2

    Mashallah Asante kwa Mawaidha mazuri

  • @rahmaalfan1776
    @rahmaalfan1776 3 года назад +1

    Shukran sheikh wetu barraka allahu feek wajazzaka allahu khery

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif8483 5 лет назад +8

    Mwanafunzi wa fundi Othman Maalim

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад +16

    Mashallah shukurani

  • @ibrahimkirumbi9173
    @ibrahimkirumbi9173 5 лет назад +12

    Mashallah

  • @kingmarxi2955
    @kingmarxi2955 5 лет назад +1

    Sheh m nakufatilia mafunzo yako uko poa sana type madin

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 5 лет назад +2

    Au ndugu yake huyu jamani aebu nambieni mana nna kiherehere

  • @wondersmotivation5543
    @wondersmotivation5543 5 лет назад +7

    As aleykum warahmatullah wabarakatuh,,,Jazakha Allah kheer,,,,,nimefurahi xana na darsa sheikh,,,nimepongeza mno kupata funzo juu ya Dini yangu,,,, Allah akuzidishiye ilmu uzidi kutunufaisha,,,twakutakia kila la kheeri katika juudi zako za kuboresha Dini,,,Allah akupe umri mrefu,,,,Bi idhni Allah,,, naskiza nikiwa (IRQ)

    • @othmanmichael1779
      @othmanmichael1779 5 лет назад +1

      wonders motivation shukra

    • @shahidugau1205
      @shahidugau1205 5 лет назад +1

      wonders motivation mashaa allah

    • @maningafaded7331
      @maningafaded7331 5 лет назад

      Maanswari ndo wanaomkosoa sheikh kwkuwa hao hawaamini waja wema waliopita pia wanawapinga mawalii wa mungu wakati hao ndo warithi wa mitume

    • @issakawanya8511
      @issakawanya8511 5 лет назад

      Jamani iyo duh ya mbali tumekua makanisani

    • @issakawanya8511
      @issakawanya8511 5 лет назад

      Mashaallah kwa kunipa hakma

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji1832 5 лет назад +2

    Assalam Alaykum Warahmatullah. Mimi niulize tu, hivi kuna faida yoyote ya kumwita mwanao, Dhulqarnayn. Au ni jina baya kwa sababu maana yake kilugha, ni PEMBE MBILI?

    • @azamansur7086
      @azamansur7086 5 лет назад

      Na me nangoja jibu hapa

    • @abinarisy1080
      @abinarisy1080 5 лет назад

      Dhul Qarnayn.DHUL=kutembelea au kudhulu,Dhul hijja.QARNAYN =miji miwili,ukiwa mmoja ni Qariyah.

    • @othmanhaji1832
      @othmanhaji1832 5 лет назад

      Shukran. Lakini naona bado hatujapata majibu tunayoyataraji

    • @rajabujuma4976
      @rajabujuma4976 5 лет назад +1

      Ndio inafaa kumuita mwanao Thulqarnayni

  • @binsilum7109
    @binsilum7109 5 лет назад +1

    Mungu akuzidishie shekh mawaiza safi sana kila la kher.