Historia ya MTU mweusi imefichwa sana ila Qur'an nikitabu pekee kilichobaki kilicho beba historia ya MTU mweusi kwa usahihi kabisa wa kristo wachache tunao jielewa tunakiheshimu kitabu icho mungu ukubariki sheikh
Nasikitika sana kuikosa darsa hii ktk Masjid Billal Kiwalani kwa Gude DSM ni kila Alhamis baada ya swala ya Magharib,inshallah wiki inayokuja ntakuwepo!
Maasha Allah shekh huyu namkubali sana kwa mwa muonaje alivyo tulia na vitu vinazidi poromoka na ukikutana nae utaona akiwa kazungukwa na watu waki sikiza mawaidha na nasaha na amejaaliwa lafuzi nzuri kama shekh wetu Othman maalim wala huwezi choka kumsikiliza allah akupe umri mrefu baraaka allah fikum.
Assalam alaykum, afwan sheikh, kutokana na mawaidha yako ni kuwa nabii haletewi wahyi na Jibril {A.S}, lakini kutokana na mawaidha yako ya Ukubwa wa Allah, ni kuwa uliwahi kutaja kuwa Nabii Ibrahim {A.S} alijiwa na Jibril {A.S} kujuzwa kuwa jambo la kumfukuza yule mtu alokuwa anaabudu moto limemkasirisha Allah. naomba ufafanuzi kwa hili. Shukran
@@othmanmichael4241 Assalamualykum warahmatullahi wabarakatuh.... Niko nivile hupokea Daa'wa from different source;kisha Niko na various online classes. But In sha Allah... Nita compensate time ...
jaribu kuepuka visa vya israiliat na hadith dhaifu hata kama kuna faida ndani yake..ama ashiria kabisa.. msimulizi mzuri lakini facts ndio zinafaa zaidi katika dini
Shekh Assalaam alaykum.. Umesema dhurqanain alilikuta jua linazama ktk chemchem ya tope, chemchem ambayo kubwa kuliko dunia... Swali langu sasa iyo chemchem ipo ktk dunia hii au nyingne na je uyo dhurqanain alitembea duniani au mbinguni kwny iyo chemchem kubwa kuliko dunia, afuwan
Zipo sababu nyingi zinazopatikana za kuitwa kwake Dhulqarnain kwa sababu mojawapo ni kwamba yeye ncha zote za dunia Mashariki mpaka Magharibi alikuwa anaendesha hukumu yake, alikuwa ameishinda, na Allah swt alimpa uwezo juu ya Nuru na Kiza (Dhulmat) na ndio hii sababu moja kubwa ya kupata jina hili la Dhulqarnain.
As aleykum warahmatullah wabarakatuh,,,Jazakha Allah kheer,,,,,nimefurahi xana na darsa sheikh,,,nimepongeza mno kupata funzo juu ya Dini yangu,,,, Allah akuzidishiye ilmu uzidi kutunufaisha,,,twakutakia kila la kheeri katika juudi zako za kuboresha Dini,,,Allah akupe umri mrefu,,,,Bi idhni Allah,,, naskiza nikiwa (IRQ)
Assalam Alaykum Warahmatullah. Mimi niulize tu, hivi kuna faida yoyote ya kumwita mwanao, Dhulqarnayn. Au ni jina baya kwa sababu maana yake kilugha, ni PEMBE MBILI?
Allah maamin Sheikh. Allah tunamuombea Sheikh wetu maisha marefu yenye afya. Hakika huyu ni zawadi kwa umma.
Allha huma ajirna mina nar ameen.
Inshallah mungu akujalie afya ili uweze kutupa history kama hiyo na nyingine
armor shalick .
BarakaAllahu feekum
feek
Jazakalah khaira wa baada likhair janatu naima
Shekh mzuri. Mashallah Mungu akubarik
Allah akujalie mwisho mwema
Manshallah shekh Allah akulipe kila rakheri
MashaAllah
Mashaallaa
ماشاء الله يا شيج
zayyati yusufu jazaakallah kher mwilm
@@omarymughuna8116 hujambo
Mashallah kisa kizuru
God bless❤you and all Muslim in the world
Jamani kama mmemkubali shekh alivo tulia na kumuiga othman maalim gonga like yako ili twendee saw
Pia mi nimeona kabsa
@@MohamedHassan-tf3kn shukran sana Mohamed
Mungu akubaliki
Je jua nikatika myoto motoni ??????????
Maa sha Allah... Kweli kabisa anaelezea vilivyo kama Shekh Othman Maalim. ALHAMDULLILLAH.
Historia ya MTU mweusi imefichwa sana ila Qur'an nikitabu pekee kilichobaki kilicho beba historia ya MTU mweusi kwa usahihi kabisa wa kristo wachache tunao jielewa tunakiheshimu kitabu icho mungu ukubariki sheikh
nikweli kabisa mimi nakuombea kwamungu akujaalie ukifuate kitabu cha allah nauwe mwislam inshaa allah
Kwa nn usifuate njia ya kheri
Allah akuzidishie elim sambamba na hekma ulonayo akujuze haki yake na batwili uongoke inshaalla
Hatibu Ahmadi
Aamin
Rashid Khalifa in shaa allah ataingiaa tumuombee
Allah akulinde na Kila lashar
Mashallahu jazakalaahu kheira Sheick Mwenye Ezi Mungu akuneemeshe inshaallaah twashkuru saana sisi kwa ilmu unayotupa
MashaAlllah
Allah anatujaalia Othman wapili alhamdulil llah .mashaallah mashaallah wallahi.
Athman kama humjui utajua ni huyu tu Mashallah
@@eshaabdalla9725 wallah ten.watu dunian wawili wawil
Mashaallah mungu
Nasikitika sana kuikosa darsa hii ktk Masjid Billal Kiwalani kwa Gude DSM ni kila Alhamis baada ya swala ya Magharib,inshallah wiki inayokuja ntakuwepo!
mashaallah
weusi
mpoo
Mwanaasha Nuru
Tupo kumbe tuna thaman kubwa
kisachanabiiadam
@@mwanaashanuru6977 0ppppppppppp
Kama umemuona mjusi katulia anasikiliza daawah dodosha like
mashaallah sheikh MWENYEZI mungu akupe umri mrefu na afya njema inshaallah
sheikh othman huu mti kwa hapa tanzania unaitwa jina gani?
Yaani huyu Mpka sauti ni ya Othman Maalim... Mungu hakupe umri Mrefu
huyu ustadh Michael othman nampenda kwa ajili ya Allah nataka dua zako ustadh
Mashaallah mungu akujalie kila la kher katika kaz yko yakutangaz dini ya Allah insha'Allah
Mashaallah Sheikh sauti yko kidg ifanane na sheikh Othman Maalim Allah akuzidishie ilmu utupe nass
@Omar Alofi kwli yko ndugu sauti yao yanafanana sana
Lambda ni mwana funzi wake inshallah 🤣
@@jamalraja417 hatuwez kujua ilo km nikweli mwanafunz wake au laah
@@hildababyabdullah5627 Masha Allah, tena yuazungumza kwa utaratibu kama yeye
Shukran sheikh,baaraka Allah fiik
Naam Sheikh Mmungu kakujaalia khutba zako ni Pana na utulivu. Kabisa raha kukusikiliza na kusoma kwako. Tuifahamu quraan tupate elimu ya maana
Thank you sheikh I got you clearly, keep it up . Allah bless you /us inshaAllah
Hakika Sheikh Othman Maalim atabaki milele kwa kizazi hadi kizazi
ALLAH AKBAR
Kusema kweli shekhe napenda sanaa visa vya mitume na manabii nikiskiliza najikuta mara nyingi machozi yanilemba lemba
Maasha Allah shekh huyu namkubali sana kwa mwa muonaje alivyo tulia na vitu vinazidi poromoka na ukikutana nae utaona akiwa kazungukwa na watu waki sikiza mawaidha na nasaha na amejaaliwa lafuzi nzuri kama shekh wetu Othman maalim wala huwezi choka kumsikiliza allah akupe umri mrefu baraaka allah fikum.
Assalam alaykum, afwan sheikh, kutokana na mawaidha yako ni kuwa nabii haletewi wahyi na Jibril {A.S}, lakini kutokana na mawaidha yako ya Ukubwa wa Allah, ni kuwa uliwahi kutaja kuwa Nabii Ibrahim {A.S} alijiwa na Jibril {A.S} kujuzwa kuwa jambo la kumfukuza yule mtu alokuwa anaabudu moto limemkasirisha Allah. naomba ufafanuzi kwa hili. Shukran
mashaa Allah jazak Allah khair
Masha allah
JazzakAllah kheir sheikh
Mashallah shukran
Assalamualykum warahmatullahi wabarakatuh. Maa sha Allah. Qur'an Inaelezea yote. Alhamdullillah.
Umetukimbia wapi
@@othmanmichael4241 Assalamualykum warahmatullahi wabarakatuh.... Niko nivile hupokea Daa'wa from different source;kisha Niko na various online classes. But In sha Allah... Nita compensate time ...
Cndoo wewe ulikua klnikufahamuye au
@@othmanmichael4241 sijaivuta twaswira...Sinaga kumbukumbu!
Masha Allah
Masha Allah mwenyezi mungu akulinde.
MashaAllah
Waalaikumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
Shukran yaa sheikh othman kwa darsa hii mungu akujazie nuuru kifuani mwako inshaallah nasi atujaalie tuwe na mazingatio allahumma aamiin
MASH Allah
Maa shaa Allah
Sauti yake kama.sheikh othman Maalim Mashallah
Allah akuzidishie elimu Nasisi utuelimishe. Inshaalla
Hizi ndio zama za kujadili mada hii, sheikh tunaomba na habari ya Massih DAJJAL na wafuasi wake tulionao pamoja na ujio wa Massih mwenyewe
MashaAllah
Masha Allah
Mashallaab ya sheikh
Shukran
Masha Allah
Allahumma swalli alaa muhammadin waali sayyidna muhammad (saw)
Sheikh mbna hawa waarabu wanasema nàbii swaleh alikua iraq
Shukrya
Mashallah
jaribu kuepuka visa vya israiliat na hadith dhaifu hata kama kuna faida ndani yake..ama ashiria kabisa.. msimulizi mzuri lakini facts ndio zinafaa zaidi katika dini
Masha Allah
Ustimtoeee mtu makosa mfuate au tafuta njia yoyote ya kumkosaa
Mashaallah tabarakhah
Asalam Aleikum huo ukuta alioujenga Dhul Karnayn bado upo?
kwa ujumla wengi mnaofanya vizur ktk mawaidha yenye utulivu na kueleweka rollmodel wenu ni OTHMAN MAALIM, jazzakhallahu khaira...
Mashalah tabarak Allah daa ka malim
daaaah mashallah tarikh nzuri sana
Masha Allah
M.mungu Akupe Siha nzuri ya Afya Sheikh uzidi kutuelimisha.Allahuma Amin🙏🙏
Shekh wahindi nao sija sikia baba yao
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Kwa mtazamo Wangu hawo viumbe WAZUNGU Husema ni Dinosours au Kwa lugha nyingine huitwa GODZILLA
Jazzak Allahu khairan Sheikh Othman.
*Masha Allah Tabarrakhllah
Allah akuhifadhi na akuzidishie Uelewa utupe Elimu yake kupitia wewe mja wake
Mashallah...jazakallah
Huo ndio uislamu bana raaha mustarehe
Shekh Assalaam alaykum.. Umesema dhurqanain alilikuta jua linazama ktk chemchem ya tope, chemchem ambayo kubwa kuliko dunia... Swali langu sasa iyo chemchem ipo ktk dunia hii au nyingne na je uyo dhurqanain alitembea duniani au mbinguni kwny iyo chemchem kubwa kuliko dunia, afuwan
Juwe lenyewe halipo duniani sisi tunamwanga 2 wajuwa
Kiparamoto Empire jua halipo duniyan kwanz hivyo bila shak iyoo chemchem piya haitokuwep duniya
@@idrisamodo6480 Alaa... Kwa iyo dhurqanain nae hakuwepo duniani na hao yaajuja hawakufungiwa duniani au umemuelewaje shekh
Jazzakah llahu khairan
km namuona Othman maalim iv ...akn shekh fasir ya juja wa maajuja ni hawa illuminate na freemanson families .,..jaribu kuperuz upya
Hao sio Freemason bhana shekhe wangu,hao free mason ni yule Masihi Dajal kiunbeU mwenye Jicho moja,hao hajuja ni viumbe waharibfu watakao kuja duniani zama za mwisho pindi watakapo sema inshallah nakumaliza kula ule ukuta wa chuma
Maashallah. Faida ilioje hii
Allah akupe umri na hekima . inshaàllah !!!
MashAllah sheikh wangu
Awahuma amin
Zipo sababu nyingi zinazopatikana za kuitwa kwake Dhulqarnain kwa sababu mojawapo ni kwamba yeye ncha zote za dunia Mashariki mpaka Magharibi alikuwa anaendesha hukumu yake, alikuwa ameishinda, na Allah swt alimpa uwezo juu ya Nuru na Kiza (Dhulmat) na ndio hii sababu moja kubwa ya kupata jina hili la Dhulqarnain.
Shukrn
Masha Allah Sheikh
ALLAH AKULIPE KWA HILI , MASHALLAH
shukran sheikh
Allah akujaz khery
Asante sheikh
Mashaaallah
Ta
Ma shaa allah ya sheikh allah baarik in shaa allah
Mashallah
MaashaAllah
Swadakta ya ust
Assalam aleikm naulza huyu sheikh mtoto wa Sheikh Athman maaallim?! Maana kafanana sauti mashallah
shekh yuko vizuri lakini mbona anatumia sana alama za illuminati?
tazama vidole brake.
We pia uko huko nn mbona ukazijua ati?
Alhamdulillah
Mashallah Asante kwa Mawaidha mazuri
Shukran sheikh wetu barraka allahu feek wajazzaka allahu khery
Mwanafunzi wa fundi Othman Maalim
Mashallah shukurani
Shukran
Mashallah
Sheh m nakufatilia mafunzo yako uko poa sana type madin
Au ndugu yake huyu jamani aebu nambieni mana nna kiherehere
Mwanafunzi wake huyi
As aleykum warahmatullah wabarakatuh,,,Jazakha Allah kheer,,,,,nimefurahi xana na darsa sheikh,,,nimepongeza mno kupata funzo juu ya Dini yangu,,,, Allah akuzidishiye ilmu uzidi kutunufaisha,,,twakutakia kila la kheeri katika juudi zako za kuboresha Dini,,,Allah akupe umri mrefu,,,,Bi idhni Allah,,, naskiza nikiwa (IRQ)
wonders motivation shukra
wonders motivation mashaa allah
Maanswari ndo wanaomkosoa sheikh kwkuwa hao hawaamini waja wema waliopita pia wanawapinga mawalii wa mungu wakati hao ndo warithi wa mitume
Jamani iyo duh ya mbali tumekua makanisani
Mashaallah kwa kunipa hakma
Assalam Alaykum Warahmatullah. Mimi niulize tu, hivi kuna faida yoyote ya kumwita mwanao, Dhulqarnayn. Au ni jina baya kwa sababu maana yake kilugha, ni PEMBE MBILI?
Na me nangoja jibu hapa
Dhul Qarnayn.DHUL=kutembelea au kudhulu,Dhul hijja.QARNAYN =miji miwili,ukiwa mmoja ni Qariyah.
Shukran. Lakini naona bado hatujapata majibu tunayoyataraji
Ndio inafaa kumuita mwanao Thulqarnayni
Mungu akuzidishie shekh mawaiza safi sana kila la kher.