Allah akupe njiA nzuri ya kueneza dini yetu ya kislamu naomba Tu dua Mimi nilikua kila Aina ya uraibu lakini namshukuru mungu nimeacha kila kitu na sai naswali nikikosa swala hua naumia sana
She Unasema Wanawake wana Tabia ya kutokupenda Kushirikiana haswa kweye kushirikiana Mwanaume kwamba mwananamke anapenda Mume wake mwenyewe na sio mume kuoa wake wengine. Je, Wanaume nao Mbona hawapendi kushirikiana Mke mmoja wanaume wawiwili? Kwanini Kwa Wanawake iwe Raihisi kushirikiana Mume Lakini kwa Mwanaume hataki kushirikiana na Mwanaume mwingine? Hapo ndio penye kasoro kubwa ya Mwanamke kukandamizwa na kumfanya Mwanaume kama Mungu wa Duniani
Hio ni sheria na imeekwa kwa mazingatio makubwa na aliamrishalo Allah basi limetolewa kwa mazingatio makubwa sana.. Sheria ni wanaume ndio waneruhusiwa ila wanawake sisi kwa maumbile yetu Allah ameona tunatosheka na mmoja na tukiwa na wengi basi athari kubwa anaweza kuipata mwanamke
Allah akupe njiA nzuri ya kueneza dini yetu ya kislamu naomba Tu dua Mimi nilikua kila Aina ya uraibu lakini namshukuru mungu nimeacha kila kitu na sai naswali nikikosa swala hua naumia sana
Masomo na wasio mzuri, naenda, mola akupe maisha mrefu, uendelee kunufaisha umma wake mtume.
Jazaakallaah kheri shekh othman mashallah
ALLAH AKUHIFADHI SHEKH OTHMAN NA MASHEKHE WOOTE WANAO TUILIMISHA IN SHA ALLAH
Mashalla jaeak Alla million billion kheir
Mola akuhifadhi Maalim othman Maaalim
Allah akuhifadh pamoja na kizazi chako.
InshaAllah mungu nijalie nikutane na shekhe othman
Mashaallah mungu atuongoze
Mashaa Allah tabaraka arrahmaan sheikh Othman.... in shaa Allah Allah azidi kukujaalia ilmu na sisi tunufaike 😍
Mashaallah 🥰🥰 jazakanllah kheri othmani maalimu
Mambo
Mashaallah mwenyezi mungu akujalie Kilalaher
SubhanaLLAH ALLAH ni Mwingi wa Rehma
Ma sha Allah Allah Othman Malim
Allwa akupe heri kumbwa pamoja na kizazi chako kiwe na ilimu
Mashallah
Masha Allah... Allah tabaraq
Jazaaka lahu haira sheikh wutu
Mashaallah tabaraka Allah 🎉🎉🎉
Allah Akbar
Shukran sana sheikh wetu
Jazzakah llah sheikh🤲🤲🤲
Isso está muito claro, allah te abençoe Osman
Masha Allah kisa kizuri
Moyo wangu hufarijika sana nikiwa na skiza visa
Mashallah jazaka llahu lkheir 🥰
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu JazakAllahu kheri
Masha Allah tabaraka llah
Ma sha Allah
Mashaaallah
Maashallah
She Unasema Wanawake wana Tabia ya kutokupenda Kushirikiana haswa kweye kushirikiana Mwanaume kwamba mwananamke anapenda Mume wake mwenyewe na sio mume kuoa wake wengine. Je, Wanaume nao Mbona hawapendi kushirikiana Mke mmoja wanaume wawiwili? Kwanini Kwa Wanawake iwe Raihisi kushirikiana Mume Lakini kwa Mwanaume hataki kushirikiana na Mwanaume mwingine? Hapo ndio penye kasoro kubwa ya Mwanamke kukandamizwa na kumfanya Mwanaume kama Mungu wa Duniani
Hio ni sheria na imeekwa kwa mazingatio makubwa na aliamrishalo Allah basi limetolewa kwa mazingatio makubwa sana.. Sheria ni wanaume ndio waneruhusiwa ila wanawake sisi kwa maumbile yetu Allah ameona tunatosheka na mmoja na tukiwa na wengi basi athari kubwa anaweza kuipata mwanamke
Ameamrisha allah,Allah ni mjuz
Mashallah jazakaallahu kheiran
Mashallah