Kisa cha Miraj - Othman Maalim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 мар 2021
  • #Kisa #Mawaidha

Комментарии • 38

  • @AliNzaphila
    @AliNzaphila 4 месяца назад +3

    Allah akupe njiA nzuri ya kueneza dini yetu ya kislamu naomba Tu dua Mimi nilikua kila Aina ya uraibu lakini namshukuru mungu nimeacha kila kitu na sai naswali nikikosa swala hua naumia sana

  • @johnmoses2345
    @johnmoses2345 Год назад +3

    Masomo na wasio mzuri, naenda, mola akupe maisha mrefu, uendelee kunufaisha umma wake mtume.

  • @zenaibrahim437
    @zenaibrahim437 25 дней назад

    Jazaakallaah kheri shekh othman mashallah

  • @thumalove1886
    @thumalove1886 3 месяца назад +1

    ALLAH AKUHIFADHI SHEKH OTHMAN NA MASHEKHE WOOTE WANAO TUILIMISHA IN SHA ALLAH

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 Год назад +3

    Mashalla jaeak Alla million billion kheir

  • @amurimzungu-tn4jf
    @amurimzungu-tn4jf Год назад +2

    Mola akuhifadhi Maalim othman Maaalim

  • @mishikatana-ws4wi
    @mishikatana-ws4wi 3 месяца назад

    Allah akuhifadh pamoja na kizazi chako.

  • @user-fz5ff7rg1l
    @user-fz5ff7rg1l 5 месяцев назад +2

    InshaAllah mungu nijalie nikutane na shekhe othman

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 4 месяца назад +1

    Mashaallah mungu atuongoze

  • @josuzajsk398
    @josuzajsk398 Год назад +5

    Mashaa Allah tabaraka arrahmaan sheikh Othman.... in shaa Allah Allah azidi kukujaalia ilmu na sisi tunufaike 😍

  • @zuberikijangwa6708
    @zuberikijangwa6708 Год назад +1

    Mashaallah 🥰🥰 jazakanllah kheri othmani maalimu

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 5 месяцев назад

    Mashaallah mwenyezi mungu akujalie Kilalaher

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 5 месяцев назад

    SubhanaLLAH ALLAH ni Mwingi wa Rehma

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 9 месяцев назад

    Ma sha Allah Allah Othman Malim

  • @zenazena2451
    @zenazena2451 4 месяца назад +3

    Allwa akupe heri kumbwa pamoja na kizazi chako kiwe na ilimu

  • @user-pi3pg5we1c
    @user-pi3pg5we1c 3 месяца назад

    Mashallah

  • @hamisaabdalah6232
    @hamisaabdalah6232 4 месяца назад

    Masha Allah... Allah tabaraq

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 Год назад

    Jazaaka lahu haira sheikh wutu

  • @rehemawanjala-bu5oq
    @rehemawanjala-bu5oq 5 месяцев назад

    Mashaallah tabaraka Allah 🎉🎉🎉

  • @laufterchal8104
    @laufterchal8104 3 месяца назад

    Allah Akbar

  • @ngendakumanaselemani6722
    @ngendakumanaselemani6722 Год назад

    Shukran sana sheikh wetu

  • @user-os4eu4qd5m
    @user-os4eu4qd5m 4 месяца назад

    Jazzakah llah sheikh🤲🤲🤲

  • @pedrojoaonkavinge9535
    @pedrojoaonkavinge9535 9 месяцев назад

    Isso está muito claro, allah te abençoe Osman

  • @fatumamwinyi1943
    @fatumamwinyi1943 2 года назад +1

    Masha Allah kisa kizuri

  • @bahiyaseleman5838
    @bahiyaseleman5838 5 месяцев назад

    Moyo wangu hufarijika sana nikiwa na skiza visa

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 2 года назад

    Mashallah jazaka llahu lkheir 🥰

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed1871 2 года назад

    Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu JazakAllahu kheri

  • @amirisandoke19
    @amirisandoke19 Год назад

    Masha Allah tabaraka llah

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 6 месяцев назад

    Ma sha Allah

  • @asminamzamilu2550
    @asminamzamilu2550 4 месяца назад

    Mashaaallah

  • @abedishafii2054
    @abedishafii2054 Год назад

    Maashallah

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 7 месяцев назад +1

    She Unasema Wanawake wana Tabia ya kutokupenda Kushirikiana haswa kweye kushirikiana Mwanaume kwamba mwananamke anapenda Mume wake mwenyewe na sio mume kuoa wake wengine. Je, Wanaume nao Mbona hawapendi kushirikiana Mke mmoja wanaume wawiwili? Kwanini Kwa Wanawake iwe Raihisi kushirikiana Mume Lakini kwa Mwanaume hataki kushirikiana na Mwanaume mwingine? Hapo ndio penye kasoro kubwa ya Mwanamke kukandamizwa na kumfanya Mwanaume kama Mungu wa Duniani

    • @ms.zeyana7175
      @ms.zeyana7175 5 месяцев назад +3

      Hio ni sheria na imeekwa kwa mazingatio makubwa na aliamrishalo Allah basi limetolewa kwa mazingatio makubwa sana.. Sheria ni wanaume ndio waneruhusiwa ila wanawake sisi kwa maumbile yetu Allah ameona tunatosheka na mmoja na tukiwa na wengi basi athari kubwa anaweza kuipata mwanamke

    • @user-by1hy9gu4b
      @user-by1hy9gu4b 5 месяцев назад

      Ameamrisha allah,Allah ni mjuz

  • @user-hf2ip3yj3w
    @user-hf2ip3yj3w 7 месяцев назад

    Mashallah jazakaallahu kheiran

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 Год назад

    Mashallah