Sheikh O.Maalim hakika ya muujiza lazima huendane na asili(nature) Uislam Ni dini ya maumbile pia. Bahari Ina kupwa na kujaa kwa maji pia bahari Ina milima,mabonde,tambarare n.k. Hivyo kunyoosha fimbo(hata njozini fimbo Ni alama ya uongozi. ) baharini iikuwa Ni maagizo ya kuwaongoza wafuasi wake kikamilifu ktk njia za bahari hata kwa maji ya ugoko au kongo mbili za miguu wavuke kabla maji kujaa mbele ya Firauni .Baada ya kitambo kidogo jioni Firauni na wafuasi wake walipofika ufukweni waliingia na kuwafuata watangulizi wao waliowaacha umbali mrefu Kisha wakiwa umbali bahari kutoka ufukweni maji yalianza kujaa kiasi zile njia hawakuziona ikiwa Musa as) na umma wake wakiwa sehemu salama kuvuka huku nyuma maji yaliyojaa na kuzidi yaliwasomba akina Firauni. Hii ndio falsafa ya asili inayopatikana ktk Qur'an na Islam na siyo simulizi za alfu hureira na hadithi za mama na mwana RTD eti bahari inachanuka Kama chanuo njia 12 Kisha panakuwa kweupe pee sijui pakavu Kisha panajifunga laa hasha hakuna ujuha huu Kwenye Islam hii Ni Hali au simulizi zisizowashawishi wale ambao wanadai hakuna huwepo wa mungu. Uislam Ni mantiki na haupingani na kanuni za maumbile na asili. Mwenyezi mungu ameweka angalizo kitabuni hatobadili kanuni zake .
Ndiyo uislamu ulikuwepo na ndo maana Allah alimtuma Nabii mussa kwenda kumlingania fir auni na watu wake wawe waislamu yaani wanynyekee kwa Allah pekee na kuhusu kwa mtume muhammadi yeye aliletwa kuja kuendeleza uislamu uliokuwa upo kwa karne za waliopita kwahiyo uislamu haujaanza kwa mtume muhammadi Bali ulikuwepo enzi na enzi
Ndy uislam ulianzia pale Adam alvyoumbwa maana ata salamu yake ya kwnz kuwasalimia Malaika ilkuw assalamualaikum warahmatullwah wabarakatu na wao wakaitkia baada ya Adam A.S kufark wakaja mitume mengne ambao wametajwa kwny Qur-an tukufu ambao n Idriss A.S,Nuhu A.S,HUD A.S,Swalehe A.S,Ibrahim A.S,Luty A.S,Ismail A.S,Is-haqa A.S,Yaqub A.S,Yusuph A.S,Shaib A.S,Ayoub A.S,Dhul- kiflin A.S,Mussa A.S,Haroun A.S,Daud A.S, Suleiman A.S,ILyaas A.S,Alyasaa A.S,Yuwnus A.S,Zakaria A.S,Yahya A.S,Issa A.S, Muhammad S.A.W
Mungu akupe Maisha malefu sheikh tunakupenda Sana Kwa mawaidha mazuli sana
Sheikh Othman mungu akulinde akujalie heri inshAllah
MASHA ALLAH ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA NA MSIMAMO WA KHEIR
Allahu Akbaru. Shukran sana Shekhe
Masha Allah 🙏 Allah akup umri mrefu
Mashaaallah Allah akupe umri mrefu na wenye barka ndani yake🙏🙏🙏
Sheikh Othman Maalim Allah akulinde na kila shari
Amiin yarabi ❤
ALLAH awalinde masheikh wote na kila shari na ALLAH awabashirie pepo
Inshaalah Allah Karim atujaalie wote tuwe waja wenye kusujudu na kumtegemea Mwenyezi Mungu Aaaamin Yaarabilaalamiin.
Sheikh Napenda nasaha zako sana mungu akujaalie inshallah
Subhaanallah walikuwana roho ngumu mno eewee Allahu tunusuru wajawako Allahumma Amiiin
Wallah wenzetu waliopita walipata mitihani ya kila namna
Amin
Amin 🤲
Ameen
Ameen 🙏🏻
Mashaallah shukurani kwanasah nzuri tu ustadhi
Asante sana kwa kutupa elimu hii
Alhamdulillah, Allah akujaaalie kila la heri kutokana na niya njema
Allah atakulipa kheri inshallah maana watoa daawa ya kueleweka mashallah ❤❤
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
Alhamdulilah mungu akujalie afya njema shkhe
Mansaha allah, mwenyezi mungu akujaarie afya njema.
Shukran sana sheikh kwa ukumbusho allah akubarik inshaallah pamoja na waislam wote
Amina dhuma amina mungu atupe mwisho mwema sote
Mashaallah mashaallah swadaktaa ❤️ ❤❤❤
Jazaka llahu kher shekh
Sheikh othman jazakallah kher
Allah akujaalie kheri na sote atujaalie janah inshaallah
MashaAllah ❤❤❤
Mashaallah shekhe othumani
Maashaallah
jazakAllah kheir
Jazakaallah kheir al habib
🙏 Alhamdulilah
Mashallah Jazakalah kher
mashaAllah
MashaAllah May Allah bless you Ameen
Mashaa Allah Sheikh Athman Allah Akujaalie Umri Wenye Afya Njema Uzidi Kutuelimisha.Ameen
ALLAHU AKBAR ❤SUBHANALLAH ❤AS❤
Maasha-Allah shekh wangu napenda sana jinsi unavyoisoma Quran nilikuwa nataka pia quran tukufu urushe mtandaoni
Kisa kizuli Sana shukrani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Allhamdullillah shukran mungu akubariki inshaallar
Mashaalah Allah akulinde
Sh.othman MwenyeziMungu akupe umri mrefu
MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚💚
Sheikh othumani Allah akuhifadhi
Allah atanusur Inshallah
Amin yarab
Jazaqallahu kher
Mashallah mungu akupe afya njema
Mashallah Allah akbar
Allah akuhifadhi shekh wetu
Ma sha Allah
tabaraka allah
Mashallah❤
MASHAALLAH
mashallah ❤❤❤❤
Allah akulinde
Ma Sha Allah Sheik Othman Maalim
ALLAH Akbar
Subhanallah mtihani huo
Sheikh O.Maalim hakika ya muujiza lazima huendane na asili(nature) Uislam Ni dini ya maumbile pia. Bahari Ina kupwa na kujaa kwa maji pia bahari Ina milima,mabonde,tambarare n.k. Hivyo kunyoosha fimbo(hata njozini fimbo Ni alama ya uongozi. ) baharini iikuwa Ni maagizo ya kuwaongoza wafuasi wake kikamilifu ktk njia za bahari hata kwa maji ya ugoko au kongo mbili za miguu wavuke kabla maji kujaa mbele ya Firauni .Baada ya kitambo kidogo jioni Firauni na wafuasi wake walipofika ufukweni waliingia na kuwafuata watangulizi wao waliowaacha umbali mrefu Kisha wakiwa umbali bahari kutoka ufukweni maji yalianza kujaa kiasi zile njia hawakuziona ikiwa Musa as) na umma wake wakiwa sehemu salama kuvuka huku nyuma maji yaliyojaa na kuzidi yaliwasomba akina Firauni. Hii ndio falsafa ya asili inayopatikana ktk Qur'an na Islam na siyo simulizi za alfu hureira na hadithi za mama na mwana RTD eti bahari inachanuka Kama chanuo njia 12 Kisha panakuwa kweupe pee sijui pakavu Kisha panajifunga laa hasha hakuna ujuha huu Kwenye Islam hii Ni Hali au simulizi zisizowashawishi wale ambao wanadai hakuna huwepo wa mungu. Uislam Ni mantiki na haupingani na kanuni za maumbile na asili. Mwenyezi mungu ameweka angalizo kitabuni hatobadili kanuni zake .
Ameeen
Shukra jazakallahu kheir sikujua hizo phenomena zote ni hiyo tu ya majoka waallahi allah barik
Masha ALLAH
Jazakalah haira
Mashaallah akulipe kinachostahili
AS ❤SUBHANALLAH
SubuhanaAllah
Allah akbar hiyo siku ilikua kubwa 😢
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mashallah
❤ mashallah
Mashaallah
Mashallah kisa kizuri muno san
Alhamdhulillah
Alauakbar ❤
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar
Ya Allah niepushe na matamanio ya dunia
Masha Allah 😢so much love yaaah sheikh 🤲🏿
Maashallah kisa kizuri
💐💐💐
Masha Allah ❤️❤️❤️
💯
❤
سلام عليكم
Natamani moyo wangu ukinai na vitu vya dunia
Niwe mcha mungu kweli kweli cha ajabu kusali cjui ni uxito gani upo kwangu nikianza kusali mara nasixia nasahau nilifikia wapi
Jitahidi kupenda kufanya Ibadan utakuta mwili mzima unahitaji Ibada na kisajau kunatoka bila kupenda
Allah akusaidie
Maalim mm naomba msaada
Hi
Mungu akulinde na 👹👹👹👺👺👺
Tuleteeni kisa cha Mussa AS na Khidhir
Shehe naomba kuuliza kwani wakati huo wafiruni na musa uisillam ulikuwepo? Mbona uisilam umeanza mwaka miasitaa baada ya muhamadi kuwepo?
Ndiyo uislamu ulikuwepo na ndo maana Allah alimtuma Nabii mussa kwenda kumlingania fir auni na watu wake wawe waislamu yaani wanynyekee kwa Allah pekee na kuhusu kwa mtume muhammadi yeye aliletwa kuja kuendeleza uislamu uliokuwa upo kwa karne za waliopita kwahiyo uislamu haujaanza kwa mtume muhammadi Bali ulikuwepo enzi na enzi
@@jihadishabani4158 walitumia rugha gani wakatihuo kitangaza dini hiyo? na musa nikabila gani au niwanchi gani?
Ndy uislam ulianzia pale Adam alvyoumbwa maana ata salamu yake ya kwnz kuwasalimia Malaika ilkuw assalamualaikum warahmatullwah wabarakatu na wao wakaitkia baada ya Adam A.S kufark wakaja mitume mengne ambao wametajwa kwny Qur-an tukufu ambao n Idriss A.S,Nuhu A.S,HUD A.S,Swalehe A.S,Ibrahim A.S,Luty A.S,Ismail A.S,Is-haqa A.S,Yaqub A.S,Yusuph A.S,Shaib A.S,Ayoub A.S,Dhul- kiflin A.S,Mussa A.S,Haroun A.S,Daud A.S, Suleiman A.S,ILyaas A.S,Alyasaa A.S,Yuwnus A.S,Zakaria A.S,Yahya A.S,Issa A.S, Muhammad S.A.W
@@HEMEDIHAJI😂😂😂😂😂
@@asikastephen8515 mbn unacheka???
nchi ya kwanza ni qatar foreigner wakiondoka jeuri zao kwisha ,,,,maana hawataki kufanya kazi wao ni maboss 😂😂
Nchi za zote za kiarabu Mana wanatutuma vibaya 😅😅tukiondoka kitamramba
Amina Amina
Jazaka allah kheri
Masha Allah
Mashallah
Mashaallah
Maashaalah
Mashallah
Mashaallah
❤
Mashallah
Mashaallah