Binafsi shekhe Walid ni swahibu yangu Ni shekh wangu Ni mwalimu wangu Ni mtu mwenye hekima na hekima ndo uislam wenyewe Lkn hapo kwenye mahojiano na huyo mwanamke ambaye inaonyesha USO wake wallah ni fitina kubwa binafsi sijapendezwa Wanawake hebu jitambuweni ndugu zenu
A.aleykum Baada ya miaka takriban 11 sasa ndo leo nakuona tena host wa kipindi hiki!! Classmate A level, Imenibidi nirudishe dakika nyuma kuona jina la host! Hahah Allah akubarike akujaalie kila la kheri kwenye maisha! Milima haikutani ila binadamu tunakutani Mohamed zahor said!
Sheikh walid nakpenda sana kwaajili ya allah unasoma Quran vizuri sana
Jazakallah khayran
Masha Allah mungu ampe umri mrefu na afya na ibada mustajabu
Shekh,, siku Moja natamani kama sio MDOGO wangu basi mwanangu atakuja asome kwako inshallah..
Mashallah shukuran sheikh Walid tunakupenda kwa ajili ya Allah
Mash Allah Shekhe Walid nakupenda kwa ajili ya Allah.
Nampenda sana sheikh walid
Mashaallah ❤
Mashaallah sheikh
Hakika walim wahakikishe kujua jukumu hili la kujua tafsiri ya Quraan ndio sahihi. Shukran kwahilo lifanyiwe kazi🙏
MashaAllah.shukran
Tabaraka Allah Bi Ahsani Halikin
Binafsi shekhe Walid ni swahibu yangu
Ni shekh wangu
Ni mwalimu wangu
Ni mtu mwenye hekima na hekima ndo uislam wenyewe
Lkn hapo kwenye mahojiano na huyo mwanamke ambaye inaonyesha USO wake wallah ni fitina kubwa binafsi sijapendezwa
Wanawake hebu jitambuweni ndugu zenu
Wewe Imani ipo moyon umeona yupo uchi hapo ndo maana waisalmu wengi wazinifu Sana yn upo kimwili
Masha ALLAH ❤❤❤
Mashaa Allah Allah akulinde daima
Ma shaa Allaah
Tabarak Allaah
ما شاء الله
Mashalla
A.aleykum
Baada ya miaka takriban 11 sasa ndo leo nakuona tena host wa kipindi hiki!!
Classmate A level,
Imenibidi nirudishe dakika nyuma kuona jina la host! Hahah
Allah akubarike akujaalie kila la kheri kwenye maisha! Milima haikutani ila binadamu tunakutani
Mohamed zahor said!
{ وَبَشِّرِ ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ أَنَّ لَهُمۡ جَنَّـٰتࣲ تَجۡرِی مِن تَحۡتِهَا ٱلۡأَنۡهَـٰرُۖ كُلَّمَا رُزِقُوا۟ مِنۡهَا مِن ثَمَرَةࣲ رِّزۡقࣰا قَالُوا۟ هَـٰذَا ٱلَّذِی رُزِقۡنَا مِن قَبۡلُۖ وَأُتُوا۟ بِهِۦ مُتَشَـٰبِهࣰاۖ وَلَهُمۡ فِیهَاۤ أَزۡوَ ٰجࣱ مُّطَهَّرَةࣱۖ وَهُمۡ فِیهَا خَـٰلِدُونَ }
[Surah Al-Baqarah: 25]
24:54 suratul baqarah aya 25
( وَبَشِّرِ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ أَنَّ لَهُمْ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ ۖ كُلَّمَا رُزِقُوا مِنْهَا مِن ثَمَرَةٍ رِّزْقًا ۙ قَالُوا هَٰذَا الَّذِي رُزِقْنَا مِن قَبْلُ ۖ وَأُتُوا بِهِ مُتَشَابِهًا ۖ وَلَهُمْ فِيهَا أَزْوَاجٌ مُّطَهَّرَةٌ ۖ وَهُمْ فِيهَا خَالِدُونَ )
Mwenyezimungu atujaalie miongo mwa hao
Host ashanivunjia Saumu,hivi kwa misingi gani wanawake wa kiislamu wana ruhusa ya kutoa matangazo na sauti zao tena bila nikabu
😂😂Pole lkn usisahau kuilipa
@@qalbi8198 ahsante nishapoa,ntailipa InshaAllah.....ila vijana ambao hatujaoa tukiona zile type zetu za wife material hatuna budi bali kutamani tu
Haya ndo maadili ya dini yetu ❤ lkn kwenda kwenye media za wanawake wasiyo jistiri 😢😢😢
Kwani c hyo amejistir
Manaangaika kujistiri, tusioilewa turapataje wachumba??
Mm mwanagenzi. Lakini sijapatapo kuona mwanamke akimhoji sheikh nielemisheni
Haya mambo yapo katika nchi za kidommkrasia tu, mwanamke kumfanyia interview mwanaume daah huuu msiba
Mmeanzaa
Uyu host napenda anavo ongeya na uso wake piya
Sasa sheikh walid sauti nzuri kama ivyo mwanamke anaachaje kukufata umuoe? Vip ulimuoa? Sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah
Usufi nayo kazi
Mliachiwa hyo 2 kujion nyinyi mlitabiriwa pepo
Kabla ya usheikh wa mkoa alikuwa kanyooka kidogo lakini sasa hivi hovyo kabisa
Kuna ktu gan kibaya kwke au ni chuki tu
KWANI lazima awe Kama unavotaka wewe atazidi kuwa tofauti yeye KIONGOZI Na anaingiliana Na JAMII Nyingi alzima abadilike
Acha uharamu huo,ubinafsi tu umewajaa
Yaonekana uko Na HASADI Nyingi Sana Inshallah ukurudie mwenyewe
Hizo nifitna tu kumchukia ustaadh waleed Allah atakulinda ndugu yangu
Host vaa nikabu hiyo ni shubuha kukaa na maharimu kwako munaangaliana uso kwa uso hakuna ktk dini hiyo
Navile host nimzuri mashallah
Kwanza unatakiwa kutambu ni Sunna nikabu pili km si mke wa mtu haimlazimu
Na Madaktari wafanye nini? wavae vipi?
Ila dini za kishetani Bwn yani zina Sheria za kimwili tu
Huyo camera Mani ni baba yako
Kamaume gundua shee waridi anapata shida kumtizama host 😂 marachini marajuu dada vaa nikabu waridi anawake4
Hamna bwana.ni kwamba hawezikumkazia macho wakati wote maana hata dada hatoweza kuwa comfortable kumhoji.
Sasa Bismillah. Mnasema sio aya ya kwanza sasa inakuaje fat-ha iwe na aya Saba. Tusome jamaani
Mbona sijamsikia akisema hivyo, kila nilivyomsikiliza