Exclusive:Huyu ndio Sheikh Walid Alhad Kipenzi cha wengi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 мар 2024
  • One and One na Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam

Комментарии • 61

  • @SURASHY24
    @SURASHY24 3 месяца назад +8

    Sheikh walid nakpenda sana kwaajili ya allah unasoma Quran vizuri sana

    • @a.856
      @a.856 3 месяца назад +1

      Jazakallah khayran

  • @abdimohamed7622
    @abdimohamed7622 Месяц назад +1

    Masha Allah mungu ampe umri mrefu na afya na ibada mustajabu

  • @mzamilomocho6531
    @mzamilomocho6531 3 месяца назад +3

    Shekh,, siku Moja natamani kama sio MDOGO wangu basi mwanangu atakuja asome kwako inshallah..

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 3 месяца назад +3

    Mashallah shukuran sheikh Walid tunakupenda kwa ajili ya Allah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 месяца назад +3

    Mash Allah Shekhe Walid nakupenda kwa ajili ya Allah.

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 2 месяца назад +1

    Nampenda sana sheikh walid

  • @KhalidMzala
    @KhalidMzala Месяц назад

    Mashaallah ❤

  • @worldlyrics7499
    @worldlyrics7499 3 месяца назад +3

    Mashaallah sheikh

  • @miskyabdillah7451
    @miskyabdillah7451 Месяц назад

    Hakika walim wahakikishe kujua jukumu hili la kujua tafsiri ya Quraan ndio sahihi. Shukran kwahilo lifanyiwe kazi🙏

  • @rukiaabdi9226
    @rukiaabdi9226 3 месяца назад +2

    MashaAllah.shukran

  • @omarmohamed-kn6fb
    @omarmohamed-kn6fb 3 месяца назад +1

    Tabaraka Allah Bi Ahsani Halikin

  • @MtandaKibari-zm4bj
    @MtandaKibari-zm4bj 3 месяца назад +1

    Binafsi shekhe Walid ni swahibu yangu
    Ni shekh wangu
    Ni mwalimu wangu
    Ni mtu mwenye hekima na hekima ndo uislam wenyewe
    Lkn hapo kwenye mahojiano na huyo mwanamke ambaye inaonyesha USO wake wallah ni fitina kubwa binafsi sijapendezwa
    Wanawake hebu jitambuweni ndugu zenu

    • @user-kk7re2jl8y
      @user-kk7re2jl8y 3 месяца назад

      Wewe Imani ipo moyon umeona yupo uchi hapo ndo maana waisalmu wengi wazinifu Sana yn upo kimwili

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 3 месяца назад +1

    Masha ALLAH ❤❤❤

  • @AshuraaMajdi
    @AshuraaMajdi 2 месяца назад

    Mashaa Allah Allah akulinde daima

  • @minnahhers7437
    @minnahhers7437 Месяц назад

    Ma shaa Allaah
    Tabarak Allaah

  • @yusufuadamu5476
    @yusufuadamu5476 3 месяца назад +2

    ما شاء الله

  • @rahmaseif9672
    @rahmaseif9672 3 месяца назад +1

    Mashalla

  • @jamshedaltiwani6481
    @jamshedaltiwani6481 3 месяца назад +1

    A.aleykum
    Baada ya miaka takriban 11 sasa ndo leo nakuona tena host wa kipindi hiki!!
    Classmate A level,
    Imenibidi nirudishe dakika nyuma kuona jina la host! Hahah
    Allah akubarike akujaalie kila la kheri kwenye maisha! Milima haikutani ila binadamu tunakutani
    Mohamed zahor said!

  • @suleimanmohamed3175
    @suleimanmohamed3175 3 месяца назад +1

    { وَبَشِّرِ ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ أَنَّ لَهُمۡ جَنَّـٰتࣲ تَجۡرِی مِن تَحۡتِهَا ٱلۡأَنۡهَـٰرُۖ كُلَّمَا رُزِقُوا۟ مِنۡهَا مِن ثَمَرَةࣲ رِّزۡقࣰا قَالُوا۟ هَـٰذَا ٱلَّذِی رُزِقۡنَا مِن قَبۡلُۖ وَأُتُوا۟ بِهِۦ مُتَشَـٰبِهࣰاۖ وَلَهُمۡ فِیهَاۤ أَزۡوَ ٰ⁠جࣱ مُّطَهَّرَةࣱۖ وَهُمۡ فِیهَا خَـٰلِدُونَ }
    [Surah Al-Baqarah: 25]

  • @ahz6907
    @ahz6907 3 месяца назад +1

    24:54 suratul baqarah aya 25

  • @zaynulkhatamiiy2023
    @zaynulkhatamiiy2023 3 месяца назад

    ( وَبَشِّرِ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ أَنَّ لَهُمْ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ ۖ كُلَّمَا رُزِقُوا مِنْهَا مِن ثَمَرَةٍ رِّزْقًا ۙ قَالُوا هَٰذَا الَّذِي رُزِقْنَا مِن قَبْلُ ۖ وَأُتُوا بِهِ مُتَشَابِهًا ۖ وَلَهُمْ فِيهَا أَزْوَاجٌ مُّطَهَّرَةٌ ۖ وَهُمْ فِيهَا خَالِدُونَ )

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 2 месяца назад

      Mwenyezimungu atujaalie miongo mwa hao

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 3 месяца назад +4

    Host ashanivunjia Saumu,hivi kwa misingi gani wanawake wa kiislamu wana ruhusa ya kutoa matangazo na sauti zao tena bila nikabu

    • @qalbi8198
      @qalbi8198 3 месяца назад +2

      😂😂Pole lkn usisahau kuilipa

    • @omarsirleem7105
      @omarsirleem7105 3 месяца назад

      @@qalbi8198 ahsante nishapoa,ntailipa InshaAllah.....ila vijana ambao hatujaoa tukiona zile type zetu za wife material hatuna budi bali kutamani tu

  • @AshuraaMajdi
    @AshuraaMajdi 2 месяца назад

    Haya ndo maadili ya dini yetu ❤ lkn kwenda kwenye media za wanawake wasiyo jistiri 😢😢😢

  • @user-uk9oz6hn9s
    @user-uk9oz6hn9s 3 месяца назад +2

    Mm mwanagenzi. Lakini sijapatapo kuona mwanamke akimhoji sheikh nielemisheni

    • @rommyshabby3959
      @rommyshabby3959 3 месяца назад

      Haya mambo yapo katika nchi za kidommkrasia tu, mwanamke kumfanyia interview mwanaume daah huuu msiba

    • @sabrinasabrina8395
      @sabrinasabrina8395 3 месяца назад +1

      Mmeanzaa

  • @claudenduwimana9595
    @claudenduwimana9595 3 месяца назад

    Uyu host napenda anavo ongeya na uso wake piya

  • @user-cc6dx4kn7w
    @user-cc6dx4kn7w 3 месяца назад +1

    Sasa sheikh walid sauti nzuri kama ivyo mwanamke anaachaje kukufata umuoe? Vip ulimuoa? Sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah

  • @trucking2298
    @trucking2298 3 месяца назад +1

    Usufi nayo kazi

    • @salamanyale2226
      @salamanyale2226 2 месяца назад

      Mliachiwa hyo 2 kujion nyinyi mlitabiriwa pepo

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s 3 месяца назад +1

    Kabla ya usheikh wa mkoa alikuwa kanyooka kidogo lakini sasa hivi hovyo kabisa

    • @naufalfarouk-ts5jo
      @naufalfarouk-ts5jo 3 месяца назад +2

      Kuna ktu gan kibaya kwke au ni chuki tu

    • @matanohassan9667
      @matanohassan9667 3 месяца назад +1

      KWANI lazima awe Kama unavotaka wewe atazidi kuwa tofauti yeye KIONGOZI Na anaingiliana Na JAMII Nyingi alzima abadilike

    • @kimwerihamza4152
      @kimwerihamza4152 3 месяца назад +1

      Acha uharamu huo,ubinafsi tu umewajaa

    • @matanohassan9667
      @matanohassan9667 3 месяца назад +2

      Yaonekana uko Na HASADI Nyingi Sana Inshallah ukurudie mwenyewe

    • @barwani890
      @barwani890 3 месяца назад

      Hizo nifitna tu kumchukia ustaadh waleed Allah atakulinda ndugu yangu

  • @dr.madevualcantara4775
    @dr.madevualcantara4775 3 месяца назад +12

    Host vaa nikabu hiyo ni shubuha kukaa na maharimu kwako munaangaliana uso kwa uso hakuna ktk dini hiyo

    • @hussenahmed4284
      @hussenahmed4284 3 месяца назад

      Navile host nimzuri mashallah

    • @mansoorjalaludin429
      @mansoorjalaludin429 3 месяца назад +1

      Kwanza unatakiwa kutambu ni Sunna nikabu pili km si mke wa mtu haimlazimu

    • @abdilahiabdilahi3748
      @abdilahiabdilahi3748 3 месяца назад +1

      Na Madaktari wafanye nini? wavae vipi?

    • @user-kk7re2jl8y
      @user-kk7re2jl8y 3 месяца назад

      Ila dini za kishetani Bwn yani zina Sheria za kimwili tu

    • @hilalihalfani7333
      @hilalihalfani7333 3 месяца назад

      Huyo camera Mani ni baba yako

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 3 месяца назад

    Kamaume gundua shee waridi anapata shida kumtizama host 😂 marachini marajuu dada vaa nikabu waridi anawake4

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 месяца назад

      Hamna bwana.ni kwamba hawezikumkazia macho wakati wote maana hata dada hatoweza kuwa comfortable kumhoji.

  • @hadijamkieti1751
    @hadijamkieti1751 3 месяца назад

    Sasa Bismillah. Mnasema sio aya ya kwanza sasa inakuaje fat-ha iwe na aya Saba. Tusome jamaani

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 3 месяца назад +1

      Mbona sijamsikia akisema hivyo, kila nilivyomsikiliza