SIFA HIZI ZINATOSHA KUMTULIZA MUME
HTML-код
- Опубликовано: 8 янв 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Darsa nzuri masha Allah, lakn wanaume wengi hawajui maana ya mwanamke kujipamba
Wàllahi mimi huwa napenda sana kusifiwa ninapo fanya jambo na mume wangu alikuwa hana hiyo tabia basi niliumia sana lkn kwa sasa amebadilika nikifanya jambo ananisifia alhamdulilah Allah amuongoze
Anty fatma wanaume wengine hawabebeki wewe mumewako km nimuelewa nirizkiyako nabahati mshukuru mungu usione wewe niuhodari nibahati umrpata kutoka kwamungu tunaweza natunafanya lkn imeshindikana uwe unazungumza wanawake tu nawanaume watupatisha dhambi
Sijaolewa ila nimependa sana haya maneno.... Maa shaa Allah ❤❤❤❤❤❤❤
Mashallah mashallah ❤...kupitia kwako mama najifunza mengi sna...Allah akujalie utajir w afya njema daima ili uzidi kutufunza yaliyomema ...
Aamiin
MA SHA ALLAH..huyu ukhty namtaka IN SHA ALLAH akuje kenya..ntampataje
Mashallah kipindi kizuri hakika nafarijika snaa kukiangalia , Allah akulipeni kheri kuanzia ukhti na ah Rashid
Darsa Iko vzuri ma Sha Allah ila unaweza kujitahidi kubadilisha badilisha katika kila sekta ndani ya nyumba ila nahisi hao wanaume wengine watakua hawajui kabisa ivyooo kusifia labda wanaona cjui ni kujishusha au hata sielewi
Jazakallahu kheiran
Ukty fatmah km mumeo anakutwii na kukusikiliza mshukur mungu wenzio wanalia uku kwanza waume walio wengi hawana elim ya dini
Maa Shaa Allah Tabaraka Allah❤ shukran ukthy kwa hili darsa.Nmejifunza mambo mengi.
Mashallah
Muaerekeze hawo wanaume
Shukran jazaqallah kheiry ❤
Jazaakumullahu khaira
Hapo pa kusema hhuenda hajalelewa hivyo nakubali tcha.mimi mume wangu hakulelewa na baba nikimaanisha babaye alifariki mapema saana.mimi nimelelewa na wazazii wote wawili.Bas najionea tofauti saana.wakati mwinge namwuuliza mbona baba yangu hufanya 1,2,3 kwa mama yangu lakini hata haelewi.kwa mfano hata upike nini hutasikia akikusifia.najiuliza kwa miaka yote 10 jamani hakuna siku nilipika kitamu?
😂😂😂
😂😂😂
Mashaallah ila miye nipo nnjee naombeni ushauri
Nimejifunza ❤❤❤❤❤vingi❤❤❤
Subhanaallah jamani vidole vyetu haviko sawa sawa kuna wanaume wengine hata ufanye yote hayo bado anakuona huna lolote
Ata nashangaa coz wanawake kila siku lawama ni zetu
Nikwasababu hauna utii kwake iyondo funguo mwanamke lazma awe mtii kwa mumewe
Sana ukhuty fatma
Hayo mambo ya wanaume hayana formula.Wanaume wanataka wanawake tuwe 100%,sisi ni binadamu haitowezekana
Mashaallha nimejifuza san
Maaaashaaaallaah kwakwel Raha jaman Rahaaaa 😂😂😂😂
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh kuna Wayne wengin awanafica sana
MashaAllah ukhti fatma
Maashaallah hukty Fatma
Nilikaa miaka kumi na mume wangu lkn sikujua anapenda chakula gani haswaa mpaka nilikua nashangaa lkn juzi tu niligundua ana penda sa chapati laini na maharagwe
Ukitaka mwanammke avae zile nguo za harusini apendeze basi mpe nafasi asiwe anatumika mno ktk nyumba...unakuta mwanammke km punda ndani kila kitu yy ..hana likizo wala mapumziko unadhani atajipamba saa ngapi...mke ana wtt 4 wadogo tokea asubuhi mpk jioni hana msaidizi...bwana hana usaidizi ndani unadhani atajipamba saa ngapi??unadhani nae hataki kupendeza??hapana lazima wanaume pia wajiangalie .ukitaka hayo lazima mkeo apate nafasi ya mapumziko pia.
Hakika ungakuwa karibu yangu ningekununulia soda ukanywa bureee umeongea maneno mazuri sana I wish wanaume wote wangeyaona ,huna mda wa kujipaka mafuta tu ya Nazi mwilini kila kitu unafanya Kwa haraka haraka Kwa ulezi
❤❤❤nimependa comment yako ni kama ulikuwa unaniona mimi.Yani ungekuwa upokaribu yangu Shamsa ningekupa zawadi yako
Wallah Umesema kweli tupu wanaume watuzeesha watuchukuwa majumbani kwetu wazuri wajatufuja Mimi nishachoka nakaa tu nalea wanangu
Apo umeongea
Mashallah
😮mh mtihani kwakweli ndowa zetu mungu atupe wpes t
Walasio kamahawajui ni ujeuri tu wa wanaume nakujisikia sana tu
Yaani mume mungine una Fanya yoote lakini yupo busy na wanawake wa kwenye simu michepuko mtihani mtupu
Allah atakulipa kilalaqher
Asanteni saaana🎉🎉🎉❤❤❤
Asalaam aleykum warahmatullah wablatuh dada me nakupataj
Assalam alaykum hapo nmeelewa lakini wenginne waume zetu hawasemi wanapenda nn nadhan akisema anapenda nn sidhani kama ninawezakushindwa kumpikia au kukifanya kitu anachokitaka
Amn duaa nimeipenda Sana
Alhamdhulillah nimejifunza jambo ❤❤🎉🎉
Sanaaaa ukhty fatma
Mashaallah
Mwanamke awe na heshima kwa mumewe na kwa watu wa mume na kwa wazazi wa mume ndio mke ana pendeza na pia ajue mapishi ndio navutia kwa mume
Ongea na wanaume ndo wanatuangusha"Sasa mme yupo tu Kama gunia asifu"akosoi hashauri" uji kipi anapenda kipi apendi duh"" Bora license tu
Kwakweli wanaume wanatuchosha majumbani
Mashallh
Allah akuhifadhi ukhty
Ughut Fatma unaweza kuwa unafnya Kila kitu kumridhisha mume lakin.ikiwa mume kunavitu anavipnda kama hizo nguo bas awe anavinunua avilete but ww unafnya na yy hajavpnda Wala hajasfu bas na afanye bidii yakuvileta anavyo ipnda
Mashaallh tupe darsa dada
Mashallah👏👏
Jmani naombeni kuuliza je km mume jeuri kuna daw au kisomo cha kupunguz jeuri
Asanteeee
Mashallah
❤🎉
Asalaam alaayikum warahumatulah wabarakatuh shukuran ukhuty fatuma
1:06
Asalamu aleikumu warahmatulha wabarakatuh.naomba namba ya dadayetu Fatma jamani ❤❤❤
mm kwakweli nimefaidik san had naskiya uroho wandoa
Usijal
Mash Allah darsa nzr N taam ila sie wengine waume hatuna vp sheikh Rashid nafas 4 zote zishajaa?? 😢
😂😂
Wanaume wengine hawajuw thamani ya mke ata ujipambe
Assalam alaykum mume wangu kila ninalo lifanya kwake sioni Kama anailifura hiya najitaidi Sana naomba ushauri
❤❤❤
Assalam alaykum
Ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 31, natafuta mwanamke wa kuoa, awe na dini na tabia nzuri, alio kua kiakili na hofu ya Allah
Wewe dini unayo?, sifa unazo taka uwe nazo kwanza ww!!!!
@@MariamObotte alhamdulillah nnazo kadri Allah alivyo nijalia.
Enderea kutafuta, utapata tu!!!!!
Kama wewe hujaolewa nambie
Nimewahiwa!!!, tafuta wengine!!
Mi apo kwenye malofa wanamipango sibishi kbs yaaani mipango km mipango
Ukhti wakati mwengine mume hakusifu kwa sababu ni ubakhili, kwahio hakukigharimia hicho unachojipambia. Akikusifu atajisuta nafsi yake
Asalam ghalaykm jamanini asanteni kwanasaha nzuri imenifunza jambo
😢😢
Sadata
Ngariba ni bora kuliko nyie mabaradhuli hamna wala hamjui maana ya yote munayoongea
M
Mm wifi zangu walinipaka mapoda ile tumerudi nyumbani kutoka ukumbini nikaenda kuoga narudi chumbani mme wangu ananambia laah huyu sasa ndio mke wangu😂😂😂😂😂
😂😂😂
@@user-rn6rr8cw5v hatarii😂😂😂
Mume amezoea jinsi ulivyo😂😂😂 bila makeup
@@Zainab_salat nilicheka aliongea kwa msisitizo😂😂😂 alinikumbusha kuwa hapendi makeup kwa kweli
Naomba number ya ukti fatma
Mashallah