SIFA HIZI ZINATOSHA KUMTULIZA MUME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 янв 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 101

  • @user-no7fg8kh9y
    @user-no7fg8kh9y 3 месяца назад +4

    Darsa nzuri masha Allah, lakn wanaume wengi hawajui maana ya mwanamke kujipamba

  • @bintiomarmohammed2377
    @bintiomarmohammed2377 4 месяца назад +3

    Wàllahi mimi huwa napenda sana kusifiwa ninapo fanya jambo na mume wangu alikuwa hana hiyo tabia basi niliumia sana lkn kwa sasa amebadilika nikifanya jambo ananisifia alhamdulilah Allah amuongoze

  • @user-pk2km5nj3f
    @user-pk2km5nj3f 4 месяца назад +7

    Anty fatma wanaume wengine hawabebeki wewe mumewako km nimuelewa nirizkiyako nabahati mshukuru mungu usione wewe niuhodari nibahati umrpata kutoka kwamungu tunaweza natunafanya lkn imeshindikana uwe unazungumza wanawake tu nawanaume watupatisha dhambi

  • @user-we3os7cx7h
    @user-we3os7cx7h 4 месяца назад +2

    Sijaolewa ila nimependa sana haya maneno.... Maa shaa Allah ❤❤❤❤❤❤❤

  • @MeswalehShaban-mg5kk
    @MeswalehShaban-mg5kk 4 месяца назад +5

    Mashallah mashallah ❤...kupitia kwako mama najifunza mengi sna...Allah akujalie utajir w afya njema daima ili uzidi kutufunza yaliyomema ...

  • @user-bq4pn5wd7f
    @user-bq4pn5wd7f 4 месяца назад +2

    MA SHA ALLAH..huyu ukhty namtaka IN SHA ALLAH akuje kenya..ntampataje

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r 5 месяцев назад +3

    Mashallah kipindi kizuri hakika nafarijika snaa kukiangalia , Allah akulipeni kheri kuanzia ukhti na ah Rashid

  • @user-up9yl7lm1m
    @user-up9yl7lm1m 4 месяца назад +1

    Darsa Iko vzuri ma Sha Allah ila unaweza kujitahidi kubadilisha badilisha katika kila sekta ndani ya nyumba ila nahisi hao wanaume wengine watakua hawajui kabisa ivyooo kusifia labda wanaona cjui ni kujishusha au hata sielewi

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 5 месяцев назад +3

    Jazakallahu kheiran

  • @SalmaThabiti-jd5dk
    @SalmaThabiti-jd5dk 3 месяца назад +1

    Ukty fatmah km mumeo anakutwii na kukusikiliza mshukur mungu wenzio wanalia uku kwanza waume walio wengi hawana elim ya dini

  • @citykibonge2999
    @citykibonge2999 5 месяцев назад +2

    Maa Shaa Allah Tabaraka Allah❤ shukran ukthy kwa hili darsa.Nmejifunza mambo mengi.

  • @user-nw3dw7ol9k
    @user-nw3dw7ol9k 4 месяца назад +2

    Muaerekeze hawo wanaume

  • @mwantumswalehe2300
    @mwantumswalehe2300 5 месяцев назад +2

    Shukran jazaqallah kheiry ❤

  • @MansourMohdhaji
    @MansourMohdhaji 5 месяцев назад +1

    Jazaakumullahu khaira

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 5 месяцев назад +10

    Hapo pa kusema hhuenda hajalelewa hivyo nakubali tcha.mimi mume wangu hakulelewa na baba nikimaanisha babaye alifariki mapema saana.mimi nimelelewa na wazazii wote wawili.Bas najionea tofauti saana.wakati mwinge namwuuliza mbona baba yangu hufanya 1,2,3 kwa mama yangu lakini hata haelewi.kwa mfano hata upike nini hutasikia akikusifia.najiuliza kwa miaka yote 10 jamani hakuna siku nilipika kitamu?

  • @user-jh1vr1vt2k
    @user-jh1vr1vt2k 4 месяца назад +1

    Mashaallah ila miye nipo nnjee naombeni ushauri

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 месяца назад +1

    Nimejifunza ❤❤❤❤❤vingi❤❤❤

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 3 месяца назад +4

    Subhanaallah jamani vidole vyetu haviko sawa sawa kuna wanaume wengine hata ufanye yote hayo bado anakuona huna lolote

    • @BMboss108
      @BMboss108 3 месяца назад

      Ata nashangaa coz wanawake kila siku lawama ni zetu

    • @user-ef3ku6sw8k
      @user-ef3ku6sw8k 26 дней назад

      Nikwasababu hauna utii kwake iyondo funguo mwanamke lazma awe mtii kwa mumewe

  • @AbdallahAlhabsy-lu7zb
    @AbdallahAlhabsy-lu7zb 4 месяца назад +1

    Sana ukhuty fatma

  • @Eleonora-ei6yx
    @Eleonora-ei6yx 4 месяца назад +1

    Hayo mambo ya wanaume hayana formula.Wanaume wanataka wanawake tuwe 100%,sisi ni binadamu haitowezekana

  • @TausiAbdully
    @TausiAbdully 5 месяцев назад +1

    Mashaallha nimejifuza san

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 4 месяца назад +1

    Maaaashaaaallaah kwakwel Raha jaman Rahaaaa 😂😂😂😂

  • @NijebarikoMoise
    @NijebarikoMoise 4 месяца назад +1

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh kuna Wayne wengin awanafica sana

  • @juhudiyaislamiya2660
    @juhudiyaislamiya2660 3 месяца назад

    MashaAllah ukhti fatma

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 месяцев назад +1

    Maashaallah hukty Fatma

  • @bintiomarmohammed2377
    @bintiomarmohammed2377 4 месяца назад +1

    Nilikaa miaka kumi na mume wangu lkn sikujua anapenda chakula gani haswaa mpaka nilikua nashangaa lkn juzi tu niligundua ana penda sa chapati laini na maharagwe

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 5 месяцев назад +41

    Ukitaka mwanammke avae zile nguo za harusini apendeze basi mpe nafasi asiwe anatumika mno ktk nyumba...unakuta mwanammke km punda ndani kila kitu yy ..hana likizo wala mapumziko unadhani atajipamba saa ngapi...mke ana wtt 4 wadogo tokea asubuhi mpk jioni hana msaidizi...bwana hana usaidizi ndani unadhani atajipamba saa ngapi??unadhani nae hataki kupendeza??hapana lazima wanaume pia wajiangalie .ukitaka hayo lazima mkeo apate nafasi ya mapumziko pia.

    • @user-pw2dv9fr6r
      @user-pw2dv9fr6r 5 месяцев назад +5

      Hakika ungakuwa karibu yangu ningekununulia soda ukanywa bureee umeongea maneno mazuri sana I wish wanaume wote wangeyaona ,huna mda wa kujipaka mafuta tu ya Nazi mwilini kila kitu unafanya Kwa haraka haraka Kwa ulezi

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 5 месяцев назад +2

      ❤❤❤nimependa comment yako ni kama ulikuwa unaniona mimi.Yani ungekuwa upokaribu yangu Shamsa ningekupa zawadi yako

    • @user-pk2km5nj3f
      @user-pk2km5nj3f 4 месяца назад +1

      Wallah Umesema kweli tupu wanaume watuzeesha watuchukuwa majumbani kwetu wazuri wajatufuja Mimi nishachoka nakaa tu nalea wanangu

    • @HajiKahema-tw5to
      @HajiKahema-tw5to 4 месяца назад +1

      Apo umeongea

    • @user-nw3dw7ol9k
      @user-nw3dw7ol9k 4 месяца назад +1

      Mashallah

  • @user-ms5qu3dl7n
    @user-ms5qu3dl7n 4 месяца назад

    😮mh mtihani kwakweli ndowa zetu mungu atupe wpes t

  • @subralugege7019
    @subralugege7019 5 месяцев назад +5

    Walasio kamahawajui ni ujeuri tu wa wanaume nakujisikia sana tu

    • @user-qv8uo3bc6o
      @user-qv8uo3bc6o 5 месяцев назад

      Yaani mume mungine una Fanya yoote lakini yupo busy na wanawake wa kwenye simu michepuko mtihani mtupu

  • @user-ur7gr9nh9b
    @user-ur7gr9nh9b 5 месяцев назад +1

    Allah atakulipa kilalaqher

  • @user-up7lr3fe5j
    @user-up7lr3fe5j 4 месяца назад

    Asanteni saaana🎉🎉🎉❤❤❤

  • @HalimaKatotoally200-bw6xj
    @HalimaKatotoally200-bw6xj 4 месяца назад +1

    Asalaam aleykum warahmatullah wablatuh dada me nakupataj

  • @user-ox7fl5kp2m
    @user-ox7fl5kp2m 5 месяцев назад +2

    Assalam alaykum hapo nmeelewa lakini wenginne waume zetu hawasemi wanapenda nn nadhan akisema anapenda nn sidhani kama ninawezakushindwa kumpikia au kukifanya kitu anachokitaka

  • @FatumaHusseni-bp3fk
    @FatumaHusseni-bp3fk 5 месяцев назад

    Amn duaa nimeipenda Sana

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 5 месяцев назад

    Alhamdhulillah nimejifunza jambo ❤❤🎉🎉

  • @user-ky7uu2uv2f
    @user-ky7uu2uv2f 5 месяцев назад +1

    Sanaaaa ukhty fatma

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve 5 месяцев назад

    Mashaallah

  • @AbdallahAlhabsy-lu7zb
    @AbdallahAlhabsy-lu7zb 4 месяца назад +1

    Mwanamke awe na heshima kwa mumewe na kwa watu wa mume na kwa wazazi wa mume ndio mke ana pendeza na pia ajue mapishi ndio navutia kwa mume

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 4 месяца назад +1

    Ongea na wanaume ndo wanatuangusha"Sasa mme yupo tu Kama gunia asifu"akosoi hashauri" uji kipi anapenda kipi apendi duh"" Bora license tu

  • @user-lr9zc1yx2t
    @user-lr9zc1yx2t 4 месяца назад +2

    Kwakweli wanaume wanatuchosha majumbani

  • @khairatsaleh-se5is
    @khairatsaleh-se5is 5 месяцев назад

    Mashallh

  • @oman7710
    @oman7710 5 месяцев назад

    Allah akuhifadhi ukhty

  • @faiahmed469
    @faiahmed469 3 месяца назад +1

    Ughut Fatma unaweza kuwa unafnya Kila kitu kumridhisha mume lakin.ikiwa mume kunavitu anavipnda kama hizo nguo bas awe anavinunua avilete but ww unafnya na yy hajavpnda Wala hajasfu bas na afanye bidii yakuvileta anavyo ipnda

  • @bikombosalum665
    @bikombosalum665 5 месяцев назад

    Mashaallh tupe darsa dada

  • @user-ej9kv1ol2g
    @user-ej9kv1ol2g 5 месяцев назад

    Mashallah👏👏

  • @fatumakombo84
    @fatumakombo84 4 месяца назад +1

    Jmani naombeni kuuliza je km mume jeuri kuna daw au kisomo cha kupunguz jeuri

  • @user-up3pc6uu7w
    @user-up3pc6uu7w 4 месяца назад

    Asanteeee

  • @Qatar-vh5ff
    @Qatar-vh5ff 4 месяца назад

    Mashallah

  • @AshaAthuman-ju6vu
    @AshaAthuman-ju6vu 2 месяца назад

    ❤🎉

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 5 месяцев назад +3

    Asalaam alaayikum warahumatulah wabarakatuh shukuran ukhuty fatuma

  • @MamAdam-pm5du
    @MamAdam-pm5du Месяц назад

    1:06

  • @user-sz4kq9hl5k
    @user-sz4kq9hl5k 4 месяца назад +1

    Asalamu aleikumu warahmatulha wabarakatuh.naomba namba ya dadayetu Fatma jamani ❤❤❤

  • @user-ur7gr9nh9b
    @user-ur7gr9nh9b 5 месяцев назад +2

    mm kwakweli nimefaidik san had naskiya uroho wandoa

  • @rabiahaji
    @rabiahaji 5 месяцев назад

    Mash Allah darsa nzr N taam ila sie wengine waume hatuna vp sheikh Rashid nafas 4 zote zishajaa?? 😢

  • @SaidsalehMohd
    @SaidsalehMohd Месяц назад

    Wanaume wengine hawajuw thamani ya mke ata ujipambe

  • @VeronicaWilliam-hz2tl
    @VeronicaWilliam-hz2tl 5 месяцев назад

    Assalam alaykum mume wangu kila ninalo lifanya kwake sioni Kama anailifura hiya najitaidi Sana naomba ushauri

  • @mwajumasaid7306
    @mwajumasaid7306 3 месяца назад

    ❤❤❤

  • @ahmedsalehe9489
    @ahmedsalehe9489 5 месяцев назад

    Assalam alaykum
    Ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 31, natafuta mwanamke wa kuoa, awe na dini na tabia nzuri, alio kua kiakili na hofu ya Allah

    • @MariamObotte
      @MariamObotte 5 месяцев назад

      Wewe dini unayo?, sifa unazo taka uwe nazo kwanza ww!!!!

    • @ahmedsalehe9489
      @ahmedsalehe9489 5 месяцев назад

      @@MariamObotte alhamdulillah nnazo kadri Allah alivyo nijalia.

    • @MariamObotte
      @MariamObotte 5 месяцев назад

      Enderea kutafuta, utapata tu!!!!!

    • @ahmedsalehe9489
      @ahmedsalehe9489 5 месяцев назад

      Kama wewe hujaolewa nambie

    • @MariamObotte
      @MariamObotte 5 месяцев назад

      Nimewahiwa!!!, tafuta wengine!!

  • @SalmaThabiti-jd5dk
    @SalmaThabiti-jd5dk 3 месяца назад

    Mi apo kwenye malofa wanamipango sibishi kbs yaaani mipango km mipango

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju 5 месяцев назад

    Ukhti wakati mwengine mume hakusifu kwa sababu ni ubakhili, kwahio hakukigharimia hicho unachojipambia. Akikusifu atajisuta nafsi yake

  • @user-nr7jq4ib7x
    @user-nr7jq4ib7x 5 месяцев назад

    Asalam ghalaykm jamanini asanteni kwanasaha nzuri imenifunza jambo

  • @mwanaedashekue7304
    @mwanaedashekue7304 5 месяцев назад

    😢😢

  • @user-jk2qg7ur9l
    @user-jk2qg7ur9l 4 месяца назад

    Sadata

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo 4 месяца назад

    Ngariba ni bora kuliko nyie mabaradhuli hamna wala hamjui maana ya yote munayoongea

  • @user-sg3lr1lc8k
    @user-sg3lr1lc8k 5 месяцев назад

    M

  • @RamlaNunguli-do1hw
    @RamlaNunguli-do1hw 5 месяцев назад

    Mm wifi zangu walinipaka mapoda ile tumerudi nyumbani kutoka ukumbini nikaenda kuoga narudi chumbani mme wangu ananambia laah huyu sasa ndio mke wangu😂😂😂😂😂

    • @user-rn6rr8cw5v
      @user-rn6rr8cw5v 5 месяцев назад

      😂😂😂

    • @RamlaNunguli-do1hw
      @RamlaNunguli-do1hw 5 месяцев назад

      @@user-rn6rr8cw5v hatarii😂😂😂

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 5 месяцев назад

      Mume amezoea jinsi ulivyo😂😂😂 bila makeup

    • @RamlaNunguli-do1hw
      @RamlaNunguli-do1hw 5 месяцев назад

      @@Zainab_salat nilicheka aliongea kwa msisitizo😂😂😂 alinikumbusha kuwa hapendi makeup kwa kweli

  • @husnashariff2237
    @husnashariff2237 4 месяца назад

    Naomba number ya ukti fatma

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 5 месяцев назад

    Mashallah