Na ww shke wangu mzuri sna nakupenda sana ❤❤roho yangu ww daiman alaah rahmani akipenda inshaalah shke utakuja lini kenya njoo plzz tukule na ww idd Mombasa panga nawe kwa hisani yako bro mwaaaaac i love u so much forever.
Kwanza niseme alhamdulillah shukran❤❤❤ zote niza alaah rehma na amani zi mshukie kipenzi wetu shifaa wetu kiongozi wetu bwana wetu Mohammad rasulillahi swalallahu na mpenda sana alaah rahmani ailaze roho yake pema peponi inshaalah 🌹🌹💕💕💋💋😭😭
Aslm alkm ww.... Othman Michael Masha Allah!! Clip zake zina elimisha na kukuliwaza Masha Allah. Allah atuongoze. Jazakallah kheir sheikh. Allah akulinde 🙏
Kwanza niseme Alhamdulillah shukran zote niza Allah Rehma na manizimushukiye Mtume wetu kipenzi chetu kiongozi wetu na watakayo mufwata mpaka siku ya kuondoka duniyan wallah sheikh nashukuru sana Allah akujaliye umri murefu na ma sheikh wote tu endeleye kufaidika nyie niwatu muhimu sana katikajami mini moja mwawaliyo omba kuombewa Dua nasema Amiin Ya Rabby🤲 kwakutuombea mina wenzangu nanyie Allah awape zaidi hata kama sikuya mambo yangu haijafika nina iman kwakuombewa na watu wema apo nakuona pia unaka na waze I nsha Allah nina amin Allah atanijibu natakuja hapa kuwafahamisha I nsha Allah
Mashallah sheikh mawaidha Yako yatupa Iman zaidi Mola na ss ajalie Wana wetu wawe kama wewe sheikh inshallah mbeleni na wao waongoze wenziwao katika kufanya kheri na Kwa njia ya Allah ameen ishallah
MashaAllah Shukran Sana kwa Dua Nakuombe kwa Allah Akufanyia wepesi kwa kila Jambo lako inshaAllah Mia naomba unifanyia Dua kwa Mwangu Apate Shufa inshaAllah Dua Ya watu wengi ni Dawa
Jamaani tufuate hayo maneno anaoyesema she wet wallahi mimi ni wa kwanza kufanya hiyo dua, mashaallah nilikua sina kazi wallahi nini ila nimefanya siku mbili nakuswali siku mbili siku ya tatu nimeitiwa kazi
Yaani hayo maneno hayana shaka wallahi sanaa sanaa ya mtume yunus na mtume wetu Mohamed umemaliza ishi kifalme fuata hayo maneno ila cha msingi uwe na yaqini unachokifanya
Aslm alkm wwt ustadh Michael dawa ya uhasad hadi magoti inaniuma kutembea kwa shida kuswali shida kila mara kuchoka kusikia viungo inaniuma mimi mwenyewe ni daktari ninatibu watu watu wanapata afweni lakini mm mwenyewe niko mgonjwa
Na ww shke wangu mzuri sna nakupenda sana ❤❤roho yangu ww daiman alaah rahmani akipenda inshaalah shke utakuja lini kenya njoo plzz tukule na ww idd Mombasa panga nawe kwa hisani yako bro mwaaaaac i love u so much forever.
Kwanza niseme alhamdulillah shukran❤❤❤ zote niza alaah rehma na amani zi mshukie kipenzi wetu shifaa wetu kiongozi wetu bwana wetu Mohammad rasulillahi swalallahu na mpenda sana alaah rahmani ailaze roho yake pema peponi inshaalah 🌹🌹💕💕💋💋😭😭
Wonderful thànk very much may god bless you
Aslm alkm ww.... Othman Michael Masha Allah!! Clip zake zina elimisha na kukuliwaza Masha Allah. Allah atuongoze. Jazakallah kheir sheikh. Allah akulinde 🙏
Asante''miimitoka''nasikilliza''mafunzoyako''''nimebadilika''kabisaaa'''sahitoka''naanzakusali''satisayausu''nimeona''mabadiliko'''''mimi'naombaduwa''lenunisilm''''kabisakabisa''''namwenyezi'mungu''anipatanishe'nayulenimemupenda''awemunamimi''nieshiwekamamwanamuke''kamawengine'''asante
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh
Chkh wetu
Mwenyezimungu akupe kila la kheri
Ameen❤
Alhandullillah 🌹 inshallah Allah akuzidishie shekhe wetu
Mungu atazidi kiku bariki shekhe Othman Michael kwa kutufunza vitu vyenye kutuelimisha na kutubadirisha pia God bless you inshaaallah
Masha Allah mungu akuzidishie umri sheh wetu tunashkuru kwakutupa ilmu bila kutubania mungu azidi kukubariki
Kwanza niseme Alhamdulillah shukran zote niza Allah Rehma na manizimushukiye Mtume wetu kipenzi chetu kiongozi wetu na watakayo mufwata mpaka siku ya kuondoka duniyan wallah sheikh nashukuru sana Allah akujaliye umri murefu na ma sheikh wote tu endeleye kufaidika nyie niwatu muhimu sana katikajami mini moja mwawaliyo omba kuombewa Dua nasema Amiin Ya Rabby🤲 kwakutuombea mina wenzangu nanyie Allah awape zaidi hata kama sikuya mambo yangu haijafika nina iman kwakuombewa na watu wema apo nakuona pia unaka na waze I nsha Allah nina amin Allah atanijibu natakuja hapa kuwafahamisha I nsha Allah
Mashallah sheikh mawaidha Yako yatupa Iman zaidi Mola na ss ajalie Wana wetu wawe kama wewe sheikh inshallah mbeleni na wao waongoze wenziwao katika kufanya kheri na Kwa njia ya Allah ameen ishallah
Lailah anta subhaba innanaka kuntu minadwalimin hili ndilo ntalo dumu nalo kutoka kwako kaka angu walahi umenijenga sana kiakili k
Kwa ufahm nilivyomuelewa ustadhi ni lailah ila anta subhanaka inni kuntu minadhwalimin❤
Mashaallah sheikh Othman
JazakAllahu khairan kwa ukumbusho, in sha Allah, Allah a nijalie niweze kusoma hizo dua na nyiradh
NafurahishwaSanaNaDarsa
Asante saana Sheikh Allah akuzidishiee kheli n'a umburi muref kwakuzi kutupa elemu kubwa Saana nafurahia saana Darsa online JazzakaAllah khayran ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
MashaAllah Shukran Sana kwa Dua Nakuombe kwa Allah Akufanyia wepesi kwa kila Jambo lako inshaAllah Mia naomba unifanyia Dua kwa Mwangu Apate Shufa inshaAllah Dua Ya watu wengi ni Dawa
Shukran shheh
Bismillah Ma Sha Allwah,
JazakAllwahu khairan
Amen
Shekhe Othman mawaidha yako yanafariji sana nakupenda kwaajili ya allah
Shukran sana shehe wetu allah akulipe her kwasadaka nzur
Sukran saana sheikh Allah akujaze kheir na akuhifadhi
Allah akuongoze shehe wetu na akuingize katika pepo yake
Jazakllah khayra, Allah akuhifadhi na akupe afya njema
Tunakupend sn ALLAH AKUANDALIE PEPO YA FIRDOUS SHEKH
Masha allah
Mashallah jazz lllah lkh
Allah akujaze heri inshaallah
Mashallah shukran sheikh wetu Allah akuhifazi darass nzur Mashallah
Mashallah Allah akupe kila hitajio lako 🙏
Maashallah jazakallahul kheir
mashaAllah sheikh
Jazaka llahu khery
Shukurani.sana shehe Allah akuongoze ishaa.Allah
Jazzakallah kheir ALLAH akuzidishie
Maasha Allah 😇shukran Allah🥰 akulipe kheri
Mashaallah allah akuzidishie riziq
Shukran sana shkh. Athman M. Kwa kutu elimisha, jazakallah kheir
Allahumma Ameen Yaa Rabbal Alameen ♥️🙏🏻.
Mashallah tabarakallah allah akuhifadhi dunian na akhera allah atukubaliye duwa zetu
Wajazakallahu rhaira,shukran kwa zawadi ya duwa
Alhamdulillah panapo dhiki faraja yaja inshaAllah.
Maashaallah Allah akuhifadhi,ninakupenda kwaajili ya Allah mawaidha mazuri
Jamaani tufuate hayo maneno anaoyesema she wet wallahi mimi ni wa kwanza kufanya hiyo dua, mashaallah nilikua sina kazi wallahi nini ila nimefanya siku mbili nakuswali siku mbili siku ya tatu nimeitiwa kazi
Yaani hayo maneno hayana shaka wallahi sanaa sanaa ya mtume yunus na mtume wetu Mohamed umemaliza ishi kifalme fuata hayo maneno ila cha msingi uwe na yaqini unachokifanya
Mashaallah
Mashaallah Allah akuhifadhi akujalie kheri uweze kutupa faida Inshallah
Asant shekh wngu
Shukrani kwaukumbusho
Jazakallah kheiran
Asalam alaikum sheikh naomba Sala ya maradhi unirushie kwenye Simu yangu
Aslm alkm wwt ustadh Michael dawa ya uhasad hadi magoti inaniuma kutembea kwa shida kuswali shida kila mara kuchoka kusikia viungo inaniuma mimi mwenyewe ni daktari ninatibu watu watu wanapata afweni lakini mm mwenyewe niko mgonjwa
Shukran shekh
Kweli kabisa
Uhsant san sh
MashaAllah Sheikh wetu Allah akuzidishie na nasaa nzuri na mafunzo ya dini yetu mazuri.
Amiin🤲🤲🙏🙏
MwamisiAthmanOmar
ufunguwe mawazo sheikh tumezama
Aaallah atupe kituchakgeti
Maashaallah. Naweza kuzitumia hizi dua kwa niaba ya wanangu? Wapate mafanikio ya kazi?
Şükran şegh
Shekhe Wasiojuwa suratul yasin itakuwa je
MnguAKuzidishieBarakaNaNeemaZake
Laila haila antasubihanaka inkutu minali zwalimin ndio nadumu nayo inshallha
Hickory kitabu kama sina naweza tumia ganjularsh?
hii shule unayoitoa naielewa sannah
Jazaakallahu.
Allah taala mtukufu akubariki kwa hii a'amal tukufu iliyoifanya kuwa swadaqatunjaalia.
NmMungu akuzidishie shekhe wangu sichoki kujifunza kupitia mawaidha yako
Shukran jaziilan Sheikh, Allah akuhifadhi
Mashaallah