Yarab tunamuomba umlinde sheikh wetu na umpe umr mrefu wenye kudumu azd kutuombea nasisi shukran sheikh Othman Allah atakulipa zaid inshaallah hatuwez kukulipa hata theluth ya ulichosoma Allah ndio atakulipa inshaallah taala 🤲🤲
Kwa uwezo wa Dua hii na kisomo hilo Allah aniondolee kila kilichokua kibaya ktk mwili wangu na mji wangu.iwe majini..uchawi hasad kijicho,na kila kilichojificha Allah akidhihirishe amiin akionyeshe..mungu nisaidi
Masha'Allah me kisomo kilivyoisha Wallah nlijiona mwepes japo katkt ya dua nlihic usingizi mzito af miguu ikawa inawaka moto na vidole vilikufa ganzi Alhamdulillah
Aslm alkm ww......wallah Sheikh Othman, Allah akutaqabalie Dua zako ya Rabb. Allah akupe umri furaha afya njema na mafanikio duniani na akhera. Akulinde, akukinge, na akuhifadhi ya Rabb. Jazakallah kheir 🙏. Twakupenda sana. Allah akuweke. Shukran. Wlkm slm ww.
Subhananllah hi ni me kabisa shekhe maana Kira siku me hospital napimwa Kira kitu nipo Sawa yaarabi naomba iyo kitu inayonisumbua kwa mwili wangu na Maisha yangu naomba uviondoshe kupitia kisomo hiki shukuran jazziran shehe wetu kwa msaada wako maana mtihani wallah Allah atufanyie wepes waja hasa sisi tulio nchi za watu yarabi turinde na hii mitihani subhananllah subhananllah subhananllah
Shukran jazaka ALLAH khery Mola akuhifadh wallahi kaz unayo ifanya ni kubwa Allah akulipe mema dunian na akhera Namuomba Allah ajalie Kazi yako hii iwe sababu ya Allah kukulipa jannah fridous kesho akhera Inshallah
Mashallah jazakallah khair sheikh Allah akupe kila la kheri hapa dunia na kesho akhera allah akondoshee mazito akufanyie yawe mepesi wallahy qur'an ni shifaa ulipokua wasoma nilisikia kisunzi naskia moyo wanienda mbio jasho jembamba lanitoka lkn nimehisi tofauti baada ya kisomo shukran sanaa sheikh Allah akupe mwisho mwema
Eh mwenyezi mungu kupitia duwa hii nifunguliwe Kila kilicho fungwa katika mwili wangu nakama Kuna kibaya chochote katika mwili wangu basi vitoweke kwa uwezo wako Allah inshallah 🙏
Allah akufanyie wepesi shekh wetu akupe ulinzi zidi ya kila aina ya vitimbi vya masheitwan wakijin na kibinadamu , waliokuwA wadogo na hata walio wakubwa Almighty Allah akupe ulinzi. Aaaaaaamin
Dua zako ziwe dawa ya maradhi nilionayo hayo yote unayo yazungumzia ninayo Allah akupe maisha marefu uzidi kutusaidia sie waislam nawasiokuawaislamu Mungu alete wepesi inshaallah Allahumma Ameen🤲🤲🤲
Waleyk msalaam sheikh nasikza kisomo nikiwa Saudi nashukru sana Leo nilikua nimechanganyikiwa lkn nashukru Allah ameniponya kupitia kisomo chako mungu azidi kukupa uzima wa kher izidi kutusaidia
Ila leo nimeshikiliza kisomo hili inshallah mungu alete kher na iwe ndiyo shifaa kwangu mana nimekuwa mwenye huzun moyon mwangu il mim ndiy kwanz leo naanza kusikilizaa
Shekh mimi siyo mwisilamu ila ninamapepo yameshakataa kutoka na kipindi nasikiliza kisomo hiki nilikuwa najikuta kichwa kinazunguka nataka kuanguka lakini ufahamu nakuwa nao ,me yamekatalia kichwani hadi kwenye koromeo linabana nikimeza mate linaenda ila linarudi,mwanzoni nilikuwa nasikia vitu vinatembea mwilini tena vinachoma kama sindano lakini nikienda kupima ugonjwa haunekani.tangu elf 2015 hadi sasa 2024 yapo nateseka hadi nimeshataka kujaribu kujiua nisaidie ,lakin pia sipati radha ya tendo la ndoa ,na yananifunga kunya namaliza hadi mwezi bila kwenda toilet nisaidie tafadhari nipomkoa wa mwanza kayenze
Dua hii naomba njini alionikia nikiwa nimelala Kwa kiti mchana nikanyongwa nikakosa kutoka sauti adi pale nikapewa maji nikaongea, kutoka hapo nikangonjeka sana,ni miaka mbili Sasa nasubuka sana
Walleykum sallam warhamatullah wabarakatuh, Aamiyn Yarrabi Allah akulipe khery ,naitaji namba yako nipo mbali na nna mtihani mkubwa japo mbele ya Allah hkn kubwa
Hapo pakuchapa mtoto Hadi moyo wangu unauama nilimchapa Mwanangu miaka saba iliopita mpaka Leo sisahau ama kweli hayo mambo yapo jamani nilikua najuta nampaka Leo bado najuta tuu nahasira nalia hovyo jamani ila nashukilu shekhe naona nasaisika kupitia visomo vyako
Allah azid kukulinda Shekh Baada ya kutawadha nikaket chin na Earphones zangu kuanza kuskiliza Dua baada dua kufikia kati yarab nimeachama mdomo juu na misuli kukaza ,na kutetemeka.
Yarab tunamuomba umlinde sheikh wetu na umpe umr mrefu wenye kudumu azd kutuombea nasisi shukran sheikh Othman Allah atakulipa zaid inshaallah hatuwez kukulipa hata theluth ya ulichosoma Allah ndio atakulipa inshaallah taala 🤲🤲
Kwa uwezo wa Dua hii na kisomo hilo Allah aniondolee kila kilichokua kibaya ktk mwili wangu na mji wangu.iwe majini..uchawi hasad kijicho,na kila kilichojificha Allah akidhihirishe amiin akionyeshe..mungu nisaidi
Masha'Allah me kisomo kilivyoisha Wallah nlijiona mwepes japo katkt ya dua nlihic usingizi mzito af miguu ikawa inawaka moto na vidole vilikufa ganzi Alhamdulillah
Manshaallah mwenyezi mungu akuzidishiya umry wako aakube maisha marefu na akujaliye janatul fardows Aamin ya Rabi
Aslm alkm ww......wallah Sheikh Othman, Allah akutaqabalie Dua zako ya Rabb. Allah akupe umri furaha afya njema na mafanikio duniani na akhera. Akulinde, akukinge, na akuhifadhi ya Rabb. Jazakallah kheir 🙏. Twakupenda sana. Allah akuweke. Shukran. Wlkm slm ww.
Muniobe duwa wachawi wikonanifata
Ameen yaraab alamiin.
Jazaka Allahu kher shekhe
Yaa Allha kutokana na duwa hii niondoshee maradhii mm pamojaa na family yangu yarabi takabali duwaa
Sheikh kisomo chako nikikali shukran sana Allah amenitibu asante kwamsaada wako
Walikumusalam warahmatullahi wabarakatu masha Allah nashukur kwa msada sheikh Othuman Allah azidi kukupenda zaidi na kukuhifaz
Allah akuhifadhi duniani na akhera Inshaallah, nakupenda kwaajiri y Allah
Subhananllah hi ni me kabisa shekhe maana Kira siku me hospital napimwa Kira kitu nipo Sawa yaarabi naomba iyo kitu inayonisumbua kwa mwili wangu na Maisha yangu naomba uviondoshe kupitia kisomo hiki shukuran jazziran shehe wetu kwa msaada wako maana mtihani wallah Allah atufanyie wepes waja hasa sisi tulio nchi za watu yarabi turinde na hii mitihani subhananllah subhananllah subhananllah
shukran sheikh wetu Allah akuhifadhi Ya Allah nakuomba kupitia kisomo hiki iwe tiba kw maradhi yote ya rabbi
Shukran jazaka ALLAH khery Mola akuhifadh wallahi kaz unayo ifanya ni kubwa Allah akulipe mema dunian na akhera Namuomba Allah ajalie Kazi yako hii iwe sababu ya Allah kukulipa jannah fridous kesho akhera Inshallah
Mashallah jazakallah khair sheikh Allah akupe kila la kheri hapa dunia na kesho akhera allah akondoshee mazito akufanyie yawe mepesi wallahy qur'an ni shifaa ulipokua wasoma nilisikia kisunzi naskia moyo wanienda mbio jasho jembamba lanitoka lkn nimehisi tofauti baada ya kisomo shukran sanaa sheikh Allah akupe mwisho mwema
Eh mwenyezi mungu kupitia duwa hii nifunguliwe Kila kilicho fungwa katika mwili wangu nakama Kuna kibaya chochote katika mwili wangu basi vitoweke kwa uwezo wako Allah inshallah 🙏
Mashallaah kisomo kizuri sn mwenyezimungu akuzidishie kusaidia watu wengine km nilivo saidika mm tunakupenda sn kz zko zidimu daima dawama 🙏🙏🙏🙏
Allah akufanyie wepesi shekh wetu akupe ulinzi zidi ya kila aina ya vitimbi vya masheitwan wakijin na kibinadamu , waliokuwA wadogo na hata walio wakubwa Almighty Allah akupe ulinzi. Aaaaaaamin
Dua zako ziwe dawa ya maradhi nilionayo hayo yote unayo yazungumzia ninayo Allah akupe maisha marefu uzidi kutusaidia sie waislam nawasiokuawaislamu Mungu alete wepesi inshaallah Allahumma Ameen🤲🤲🤲
Inshaallah allah akuepushe na mahasind akuzidishie umri mrefu aķufungulie milango ya pepo umrikiam
Assalaam aleykum sheikh ...barakallah fi, Allah akuhifadh na akulinde kwa majini na mahasada. Shukran sana kwa kisomo
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh sheikh shukran kw kisomo mim nina mwak minne ninaumw migu imekuw ganz inawak mot napia hat kutembea nahis huwa nakanyag miba sheikh napia nahis kisomo chako kitanisaidia in sha Allah. Maan nimesh tembea mahospital wamekos maradh naomb sheikh unisaidie kwa kisomo in sha Allah
ALLAH akulipe Duniani na aghera ALLAH akusamehe ulipoteleza ALLAH akulinde na kila shari za majin na wachawi na wanadamu
Waleyk msalaam sheikh nasikza kisomo nikiwa Saudi nashukru sana Leo nilikua nimechanganyikiwa lkn nashukru Allah ameniponya kupitia kisomo chako mungu azidi kukupa uzima wa kher izidi kutusaidia
Jazakillah kheyran sheikh. Allah akuzidishie kheyr na akujaalie khatma njema.
Yaa Allah kupitia dua hii nifanyie wepesi kila kisichokuwa na kheri na mm kama ni husda,uchawi,majin basi inshaallah viniondoke
Shukran mizani yako na iwe nzito yaumul qiama kwa uzito wa sadaka hii
Shukrani Sana Allah akulipe kilakheri nilisikizaa ktkt nikawanausingizi mzitosana hadiulipo maliza naminikakaa sawaila nikawanauchovusana
Allah huma amiin yarab Allah bariik fii inshaa llah mungu ajalie shifaa yarab kwa visomo mungu awajalie kila kheri
Mashaallah kisomo kifanye kazi inshaallah Allah atufanyie wepesi
Asante sana shekhe Allah akurehemu
Mashaallah allah akuzidishie elm shekh wetu
Mashaallah Allah Akuhifadhi shehe wetu Alinde na kilashali ishaallah
Ahsante sana kwa kisomo chako kivizuri
Mashallah Allah akuzidishie kila la herii
Allah akujaalie2 mwisho mwema kwa Katoa dua...
Shukran shekh kwakisomo chako
Ila leo nimeshikiliza kisomo hili inshallah mungu alete kher na iwe ndiyo shifaa kwangu mana nimekuwa mwenye huzun moyon mwangu il mim ndiy kwanz leo naanza kusikilizaa
Inshallah Allah atatufanyiawepesi wote tunao pitia matatizo inshallah 🙏
Inshallah kisomo kikafanye kazi mimi pamoja na wazazi wangu Inshallah shukrani sheikh
Amin , amina !!?
Jee kama ni mja mzito waeza sikiliza hii Al rukia?
Pastor Niko pamoja kwamaombi niopee kwa Mimi nimgochwa kwatumbo 🙏🙏
Shukuran jaziran shehe wetu kwa dua zako Allah akufanyie wepesi kwa kira jambo
Ameen sote inshaallah
waleikum salam,mashallah namshukuru Allah kwa kukupa uwezo wa kuweza kuwasaidia wengine.
P
P
Jaman usingizi ulipo ntokea nzito hatari mungu nifanyie wepesi mja wako inshallah 🙏
Ya allaah naomba unifungie vifungo vyote vya kichawi na majini yote kwa dua hii
Ee mungu nakuomba unilinde kupitia dua hii na uniondilee uchawi wote nilio tumiwa majin na mashetani vifugo zote nataka zifunguke
Mungu akupe umri mlefu
Allah akuhifadhi
Asalamalaikum sheikh othman shukran mwenyezimungu akupe kheir na akulinde
Assalam Alleikum Warhammer tullaah wabarakatuh, Jazaa kallaahu haira sheikh
Shukran jazla sheikh, ALLAH akupe umri na akujaalie kila la kher hapa dunian na Akhera insha-ALLAH.
Mashaallahi.usitanz.wetu
Mashallah shukran shekh kwakisomo Allahamdhullilah
Amin
Yaj Allah tulinde tuepushe na maladhi 🙏
Asante shekhe jazakallah heri
Masha allah shuqran jazakaallah kheir sheikh
Asalamu alayikumu warhamatulahi wabarakahu Mashaal Allah akulipe kila laheri APA duniyani n'a kesho ahera Mashaal Allah
Amina may Allah give you long life.akujalie na pepo njema
E33Q32
Alla akupe umri mrefu uzidkuttusaidia ndugu zako
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Shukran jazaakaAllah kheir sheikh Michael Othaman.
Shekh mimi siyo mwisilamu ila ninamapepo yameshakataa kutoka na kipindi nasikiliza kisomo hiki nilikuwa najikuta kichwa kinazunguka nataka kuanguka lakini ufahamu nakuwa nao ,me yamekatalia kichwani hadi kwenye koromeo linabana nikimeza mate linaenda ila linarudi,mwanzoni nilikuwa nasikia vitu vinatembea mwilini tena vinachoma kama sindano lakini nikienda kupima ugonjwa haunekani.tangu elf 2015 hadi sasa 2024 yapo nateseka hadi nimeshataka kujaribu kujiua nisaidie ,lakin pia sipati radha ya tendo la ndoa ,na yananifunga kunya namaliza hadi mwezi bila kwenda toilet nisaidie tafadhari nipomkoa wa mwanza kayenze
Kwa maoni yangu naona hakuna mutu asie kuwa na shaitwani juu izo Dalili kila mutu anamo 1 wala Zaidi
Shukran sana Mungu akuongoze katika yaliyo mema inshaAllah
Jzk keran
Dua hii naomba njini alionikia nikiwa nimelala Kwa kiti mchana nikanyongwa nikakosa kutoka sauti adi pale nikapewa maji nikaongea, kutoka hapo nikangonjeka sana,ni miaka mbili Sasa nasubuka sana
Nasikiliza kisomo nikiwa saud.may Allah aniondolee maradhi ishallah
Asalam leikum inshalah kher mim nasubuliwa na mguu nahis kama kuna wadudu
Walleykum sallam warhamatullah wabarakatuh, Aamiyn Yarrabi
Allah akulipe khery ,naitaji namba yako nipo mbali na nna mtihani mkubwa japo mbele ya Allah hkn kubwa
Hapo pakuchapa mtoto Hadi moyo wangu unauama nilimchapa Mwanangu miaka saba iliopita mpaka Leo sisahau ama kweli hayo mambo yapo jamani nilikua najuta nampaka Leo bado najuta tuu nahasira nalia hovyo jamani ila nashukilu shekhe naona nasaisika kupitia visomo vyako
Assalm alyikum walhumatullah wabalkat allah akup kila lakheri mimi nimrtowa myayu mala nyingi na jicho rakuchoto rikawa rinatowa machozi
Allah azid kukulinda Shekh Baada ya kutawadha nikaket chin na Earphones zangu kuanza kuskiliza Dua baada dua kufikia kati yarab nimeachama mdomo juu na misuli kukaza ,na kutetemeka.
Allah akujalie khel inshallah
AA! Sijakipata hicho kisomo ni dus gani? Lakini Shukran!
mashaallah may allah bless from Canada
Ur welcome in islamic
Allah akuzidishie inshallah
Shukran jazeelan 🤲🤲
Mashaallah Allah reward you.
Alhamdulillah
Mashallah
Shukran shekh
Kila mwenye kunifanyia uchawi haadhirike inshaallah
Asalam Alykum. Shukrani
Amen
Shukrani shelkh
Shekhe Michael mm nataka dawa nkupata wap
Ustdhi ntakupataje Mimi npo zanzbar
Allah Allah akulipe kher
Allah akuakupe umri mreeeeeeefu wenye kheri na bakara.
❤❤
❤
niombee dua nimekuwa mtumwa wa wachawi kila usiku wananifwata na kunikamua.
walykamu salaam warahumatullahi wabarakatuh
nifanyie maombi n mm
Wa Alaikum Salam warahmaturullah wabrakatuh djazaaka Allah kheri
Amiin yarabby
Ameeeen ameeeen ameeeen
Ameeeen ameeeen ameeeen ameeeen ameeeen ameeeen
Sheikh mie baadhi ya dalili nnazo allah atupe Shufaa kupitia visomo vyako tunavyo viskiliza
Assallaam.alayikum.usitanz.mm.nimesikiliza.dua.yako.bada.ya.mud.mguu.wa.kushoto.nimejikuta.vitu.vinafiya.finya..kweny.mguu.wangu
W slm ckiliza tena
@@othmanmichaelonline2866 inshallaahi
Aslm alkm shukran ALlah akujaalie kizazi chema
Shukran yarabi
Neema na maarifa zisikukome !!?
Shekh naweza pata no yako
Sheikh.nasubiri
Waalaykum salaam waramatullah wabarakatuh
Yaani dalili zote ninazo na nilipata baada TU ya kujifungua
Assallaam.ayakim.nilisikiliza.kw.mar.ya.pili.bada.ya.mud.nikapitw.na.usigiz.bad.yahapo.nikaota.eeti.nimelalia.mkono.wa.kulia.mut.akashuk.nikaza.kupabana.nae.nilimpiga.hadi.mkono.nikaw.ninanium.nikwa.usigizin.bad.ya.mud.nikashuta.hapo.hap.nikamuka
Ashura lekebisha alama za uwandishi mpendwa hizo nukata
@@husnaameen9309 inshallaaahi