KISOMO KIZITO CHA KUONDOSHA UCHAWI, MASHEITWANI, MAJINI WALIOSHINDIKANA MWILINI. SH. OTHMAN MICHAEL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 542

  • @AsiaNassoroMpili
    @AsiaNassoroMpili 11 месяцев назад +5

    Yarabi kupitia duwa hii iwe mwanzo na mwisho WA matatizo marazi yote mwanzo WA utosi adi unyayo amiiiiiin 🙏🙏

  • @mwanaidsaid7512
    @mwanaidsaid7512 2 года назад +38

    Yarabi kwa kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu. Na mwanangu inshallah 😭😭😭

    • @asiaiddi2539
      @asiaiddi2539 2 года назад +5

      Amiiin amiiin

    • @yusrajuma6714
      @yusrajuma6714 Год назад +2

      Amiin

    • @ashatsheh6614
      @ashatsheh6614 Год назад +2

      Yaarabi kwa kisomo hiki naomba unitolee matatizo Mimi na kizazi changu yaliyo miilini mwetu na utukinge na hasad za binadamu wenye husda choyo vijicho tukinge na majini eee molla wangu

    • @UmmuMaryam-ym1um
      @UmmuMaryam-ym1um Год назад +2

      Inshallah Amin

    • @muanassarachide1842
      @muanassarachide1842 Год назад +1

      Chehe nataca cuonguela na simo tafadal

  • @azizamisembe-zy9bn
    @azizamisembe-zy9bn Год назад +4

    We mungu kupitia kisomo hiki naomba watoto wangu wapatwe kufunguliwa nyumba ndoa kazi ya me wangu na ofsi yangu ifunguliwe na malazi yote yaonndoke katika nyumba yangu amen

  • @user-tf5sh8wm7m
    @user-tf5sh8wm7m Год назад +3

    Yah rabi nakuomba kwa dua hii nifungulie njia ya maisha yang mi na familia yang ameen

  • @bazilassey1227
    @bazilassey1227 4 года назад +11

    Alhamdulillah baada ya kusikiliza hicho kisoma asubuhi. Nilikuwa naumwa masikio koo kama linakatwa na nyembe kifua yaani vurugu halikuwa lakawida nasema tena alhamdulillah naendelea vizuri na ninetuma kwa watu kadri allah alivyoniwezesha na wanashukuru.Yaa allah mhifadhi shehe wetu na shari za mashetwani wa kijini na kibinadam

  • @JohariHamis-c4g
    @JohariHamis-c4g 5 дней назад

    Yaah Allah kupitia kisomo hiki nipone maradh yang na Majin waliokuwa wabay ktk mwil wngu amiin inshaallah

  • @JohariHamis-c4g
    @JohariHamis-c4g 5 дней назад

    Kupitia kisomo hchi ya Allah naomb nifunguliwe mim na mume wngu tufunguliwe amiin inshaallah

  • @ashurafundi2873
    @ashurafundi2873 2 года назад +7

    Mashaallah baada ya kusikiliza kisomo hiki mwili wangu mwepesi sana mungu akusimamie wewe na familly yako

  • @user-xp9iu9hz1s
    @user-xp9iu9hz1s 6 месяцев назад +1

    Ya rabbi kupitia kisomo iki ya allah tujalie shifaa katika familia yetu aamin🙏🙏

  • @bossmatuta1492
    @bossmatuta1492 3 года назад +8

    MaashaaAllah ... Nipo 🇰🇪 kenya na Baada ya kusikiliza kisomo hiki mimi ,ndugu yangu na mamangu na Alhamdulillah sihr ikadhihirika. Jazaakallahu kheyr Sheikh Othman and your team for initiating this ruqya and supplication and also taking your time to guide us through WhatsApp on how we will get the the medicinal oil🙏🏿

  • @jacobponga1540
    @jacobponga1540 2 года назад +6

    Masha Allah, Hongera sana Ustadh wetu umenitia utulivu ktk nafsii yangu kipitia usomaji wako wa Qur'an, Smart unaweza Jazakallahu kheri

  • @KasimuNgware
    @KasimuNgware 16 дней назад

    ❤mwenyezi mungu nakuomba uniponye maradhi yangu mazito kupitia dua za mashee wako

  • @omarsultan7195
    @omarsultan7195 4 года назад +10

    Kuna baadhi ya mashekh wanfichaficha elmu lkn ww shekh mashallah watu wananufaika Mungu akujaliye mwisho mwema inshallh

  • @user-hz6hm7vn3x
    @user-hz6hm7vn3x Год назад +3

    Mungu akujalie pepo ya firdausi kwasiku Ya leo nimeona majabu sn sikutegemea km nawez kutapika😭Ahmdulillah ya Allah🙏

    • @ladyr.r9964
      @ladyr.r9964 9 месяцев назад

      Pia mimi nimetapika nakusikia kisunzi nini maana yake nijuze mwezako

  • @mename6020
    @mename6020 4 года назад +10

    MashaAllah shehe Hana hiyana baadhi ya masheh wanasoma nusunusu... Allah akujaalie umri mrefu...

    • @ashminaog1068
      @ashminaog1068 3 года назад

      Amin

    • @fatumasabiti5612
      @fatumasabiti5612 3 года назад

      Aamiin 🤲🤲🙏

    • @nelsonboniphas4152
      @nelsonboniphas4152 3 года назад

      Shekh wangu Allah akupe nuru dunia na akher nimefaidika sana na dua zako nimepona mkono ulio kuwa ukinisumbua kupitia dua zako Allah akuzidishie imani

    • @mename6020
      @mename6020 3 года назад

      @@nelsonboniphas4152 Ameen Allahuma Ameen

    • @HakizimanaRiziki-cj3dr
      @HakizimanaRiziki-cj3dr 6 месяцев назад

      Namii yarbii nijaliye nipone mm nawananguu

  • @KasimuNgware
    @KasimuNgware 16 дней назад

    Amina yataisha kwakua akuna linaloshindakana kwako allah

  • @aliidrisahmad5797
    @aliidrisahmad5797 3 года назад +5

    mashallah mashaallah Shekh Othman Micha kisomokizito watu wengi timepona Masha Allah

  • @user-sz9om9ly4y
    @user-sz9om9ly4y 25 дней назад

    Natokea mkoa wa songwe,nimeipenda sana hii haya ya mtumishi wa mungu naipenda huenda matatizo yaliyo nizunguka mungu ndiye mwema.

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 4 года назад +21

    Masha Allah, Alhamdulillah nashukuru kwa Allah na kisomo kizuri , insha Allah Allah akulinde sheikh wetu na kila shari wewe na familia yako.

    • @zaitunibakari6724
      @zaitunibakari6724 3 года назад

      Me

    • @rehemaswaleh147
      @rehemaswaleh147 3 года назад +1

      @@zaitunibakari6724 mashallah kisomo dawa

    • @shabanihakorinoti1920
      @shabanihakorinoti1920 2 года назад

      Cheikh mungu akup kher hap duniani n'a akhera tena akuepush n'a kila shar yeyote kwa watu wako .tena neno lamwisho lako iwe shahadatu inshaallah

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug 2 года назад +1

    Mashaalah shehe,,,niliposikoliza dalili zilikuja kifua kuvimba,macho yakanitoka,mihemo,nikapoga ukelele mara l Kisha nikajikaza,nashukuru sana shekhe kwa darsa lako tunapata kufaidika baada yakujifunza meng ktk yotibe zako mbalmbl ,alah akujaalie mwisho mwema ktk Dunia hii

  • @naimajuma3577
    @naimajuma3577 6 месяцев назад +2

    Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba uniepushie nuksi za kuto olewa na uniepushie zinaa unijaalie Barakah katika maisha yangu na furaha uniepushie udwahifu wa mwili wangu

  • @ZawadyYahya-h2v
    @ZawadyYahya-h2v 26 дней назад

    Yah Allah kupitia kisomo hiki naomba yanitoe matatizo yangu katk mwili wng na nirud kama mwanzo inshaallah

  • @user-wo8go6wc3d
    @user-wo8go6wc3d 3 года назад +4

    Hauna hiyana jaman nikirud tanzania lazma nikitafute angalau nikupe shukran zako

  • @salmazaidalabrawi3723
    @salmazaidalabrawi3723 4 года назад +6

    Shukran sana shekh nimefanya kama ulivo kuwa ukisema alhamdulillah nimejihisi ila ulipokuwa ukisoma nilijiwa na usingizi mzito sana nilijikaza tuu nikamilishe kisomo baada ya kumaluza kisomo kwenye miguu nasikia vichomi vinachomachoma
    Jazaakallahu elf kheir 🙌

  • @fatemaale7066
    @fatemaale7066 3 года назад +2

    Shekhe naomba unisaidie kwa visomo mana niko nje ya nchi niko saudia natoka kenya nimeskia mlipuko wa moto hapo mgongon ambapo uwa naskia uzito naamin hii dua na ln shaa Allah mungu amekubalia ubarikiwe shekhe othman popote ulipo

    • @najmagoa4727
      @najmagoa4727 3 года назад +1

      Mm pia niko saudia nasumbuliwa na mgongo na kifua ninaimani ikikisomo in shaaAllah nitaisi vzur

  • @NaimaKaka-yo4hb
    @NaimaKaka-yo4hb 5 месяцев назад +2

    Amin

  • @nadhifaernest-jv8xy
    @nadhifaernest-jv8xy 6 месяцев назад

    yarabil nijaarie afiya yangu irudi kama zama nawatoto wangu na mama yangu mdogo wangu nafamiria yangu yote kwaujumra tuna sumburiwa namarazi yasiyo jurikana tunakuomba kwauwoze wako Allah utuondoshee iimitihani yamaradhi Aamiin yarabil aramin lnshaallah 🙏

  • @jannemtani5305
    @jannemtani5305 Год назад +1

    Eee yalaab naomba kisomo hiki kiingie hadi ndan ya mishipa yangu ikatoe kila aina ya uchawi katika mwili wangu 😭😭🙏🙏

  • @user-js4ye3sb3b
    @user-js4ye3sb3b 6 месяцев назад +1

    Ya rabbi kupitia kisomo iki mungu nifungue kila changamoto niliokuwa nayo

  • @madunguonlinetv
    @madunguonlinetv 8 месяцев назад

    Mashallah Ewe Mwenyezimungu naomba uniondolee matatizo yote kwenye mwili wangu kupitia kisomo Hilo na yapotee kabisa inshallah

  • @user-zn4jj6lp6t
    @user-zn4jj6lp6t 7 месяцев назад +1

    Yarrab kupita dua hii iwe mwanzo n mwisho wa maradhi,machawi yote katika mwili mwangu n iwe dawa n yasinirudie tena inshallah

  • @MwanjabuHassanHaji
    @MwanjabuHassanHaji 3 месяца назад

    Yarabi nakuomba kupitia duwa hii uniondoshee husda za watu na majini na unifunguwe kwa yote nilofungwa ameen

  • @Rania-q6u
    @Rania-q6u 23 дня назад

    Yarabi nakuomba mjawako kupitia kisomo iki iwetiba katika mwili wangu inshallah

  • @hikimaatimago2236
    @hikimaatimago2236 3 месяца назад

    Mash Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @user-xg6tc6nx6e
    @user-xg6tc6nx6e Месяц назад

    Amini nakuomba mwenye zimungu unija lie uniondole wale wabaya wote inshallah

  • @sumayyahally3199
    @sumayyahally3199 9 месяцев назад

    Alhamdulinllah alhamdulinllah namshukulu Sana Allah nimesikiliza kisomo hiki naamin kwa uwezo wa Allah nimepona maana nimeteseka ss ivi naona Kuna nguvu furan imerudi shukuran yaraabi and shukuran shehe wetu jazzakhanllah

  • @user-zo9lb1id9v
    @user-zo9lb1id9v 5 месяцев назад

    Allah naomba kisomo hiki kiwe chakuniondolea maradhi niliyo nayo kichwa Hadi mwili wangu ameen

  • @user-jh5px2xl8u
    @user-jh5px2xl8u 3 месяца назад +1

    Akiamungu nilicho kiona reo kwenye hii dua mungu nfo anajuà nimejikuta nàjisaga sàga na kuria na kujipiga mahasili ya mtu alopàndsha shetani,, na alafu niko peke yangu na nimejisomea mwenyew na maji nimejitemea mwenyew shehee sina mtu

  • @bibitititv9333
    @bibitititv9333 6 месяцев назад

    Ewe Mwenyezi Mungu, nakuomba Kwa unyenyekevu mkubwa mbele yako kupitia Dua hii au kisomo hiki naomba niondoshee majini wabaya wote kbsa hasa jini " MAHABA " ambalo limenisumbua Kwa muda mrefu sn sn na amenitesa sana, ridhiki zangu zote zifunguke na niweze kupata hitaji la Moyo wangu, amina

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 4 года назад +6

    Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah .

  • @ghuuihgggu2968
    @ghuuihgggu2968 3 года назад +2

    Shuqran Sana Allah akujaalie kher katika maisha yako na akujaalie Afya njema inshaallah dua imenisaidia na mpaka hapa mgongo mbavu zaniuma najickia pia mwili mwepesi Ila nataman kuongea nawe japo wasap kwasababu nipo Oman na vocha ya kupiga kawaida inakuwa nigarama nami garama hiyo cna kutokana na hali yangu Ila inshaallah Allah anisaidie kwa hili inshaallah Naitwa Faudhia hamidu

  • @mwanaidibushuti9929
    @mwanaidibushuti9929 2 года назад +1

    Mashall mashall jazaka yako iko kwa Allah shekhe wangu naimani huu ndio mwanzo wangu mwema

  • @ashanibigira5898
    @ashanibigira5898 2 года назад

    Mashaal Allah akulipe kila laheri APA duniyani n'a kesho ahera akuo gezeye elimu update kumi imilisha Uma

  • @fatmahabbas7152
    @fatmahabbas7152 2 года назад

    Mmmmmm bismillah mashallaah yalonikuta siyakusema zaid ya Alhamdulillah 🤲

  • @HaroubSaid-sf3qw
    @HaroubSaid-sf3qw 4 месяца назад

    Mashaallah shukran Allah akulipe insha Allah

  • @patriciarudolph9089
    @patriciarudolph9089 Год назад

    Ewe mwenyezi Mungu kupitia somo hii niondole yote mabaya amboyo muovi ametuma kwa na wanganu! Niepushe na waouvu wote wa duniani Ameen!

  • @swaumupaji3623
    @swaumupaji3623 4 года назад +3

    Maa shaa Allaah TabakaAllaah Shukraan jaziilah Sheikh wetu binafsi nimenufaika na hichi kisomo

  • @munaabdullahi6796
    @munaabdullahi6796 4 года назад +5

    mash allah shukran mungu akuingishe janatul firdows

  • @sinadeRobinso
    @sinadeRobinso 4 месяца назад

    Allah ni linde Mimi na watoto wangu na make wangu Kwa dua ino insha'Allah itowe uchawi na majini yote ya liyo nyumbani kwangu na uchawi insha'Allah ameni

  • @user-cw5sk7wd6g
    @user-cw5sk7wd6g 3 месяца назад

    Yarab jalia kisomo hiki kiwe mwisho wa matatizo yangu Na family Inshallah amin

  • @bazilassey1227
    @bazilassey1227 4 года назад +7

    Mashaa allah mashaa allah hakika hiki kisomo kinanifaa mashaka hayaishi

  • @alishee6571
    @alishee6571 2 года назад +1

    mashallah mashallah mungu akulinde kwa kila jambo lako sheķ Athuman

  • @alimdahouma6226
    @alimdahouma6226 2 года назад +1

    Mashallah barakallah alhamdullahi jazakallah

  • @ZuuhRaniya
    @ZuuhRaniya 7 месяцев назад

    Yah rabby kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu yote yanao usumbua mwili wangu eeh mungu nakuomba nijaalie mja wako

  • @FatumaMoha-gf8zr
    @FatumaMoha-gf8zr Месяц назад

    Ya Allah kupitia kishomo hiki niondshe maradhi yangu na usinda na mwilini mwang nukisi n

  • @bakariwere300
    @bakariwere300 2 года назад +1

    Jazzaka llahu khairan Yaa Sheikh

  • @KOKILABORI
    @KOKILABORI Месяц назад

    Naogopa sana nkiskiliza kisomo hiki

  • @user-ne9uw9pp7i
    @user-ne9uw9pp7i 7 месяцев назад

    Yarabi mola wangu kijaalie kisoma iki iwetiba yamaradhi aya niliyonayo🤲

  • @zafafuswalehe2974
    @zafafuswalehe2974 4 года назад +2

    Mashallah shukran Allah akulipe inshallah

  • @OmAn-cz8kt
    @OmAn-cz8kt 2 месяца назад

    Allah akupe umri mrefu na wenye mafanikio hehe wetu inshallah

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Год назад

    Shukran sana jazaka Allahu kheri
    Nimeumwanaziwa namguu ghafla

  • @maisaalawy4512
    @maisaalawy4512 3 года назад +1

    Allahuma Ameen jazzakhalahu kher mashaallah.

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 года назад +6

    Shukran jazakallahu kheir sheikh Allah akupe unayoyataka yenye kheri nawewe
    Hatuna cha kukulipa Allah atakulipa

  • @aishatarimo6780
    @aishatarimo6780 3 года назад +2

    Jaman nilikuwa naumwa na tumbo nimesikiliza hii dua tumbo limeacha haliniumi...Allah akujaalie kila lenye kher shekh

  • @user-gy9cf2le8t
    @user-gy9cf2le8t 11 месяцев назад

    Sheikh othman michael allah namuomba akupe umuli mulefu wenye afiya njema na akupe moyo wakuvumilia mambo ya dunia tiba yako imenisaidia sana kwa idhini ya allah na dalasa lako limeniogezea imani dawa unazo tengeneza dawa ya mafuta ile yakupaka nidawa tosha sitaki kusemangi allah ndomujuzi

  • @ummilkheirmohammed
    @ummilkheirmohammed 4 года назад +4

    Mungu akulinde na macho ya uhasidi shekhe wetu hakika nawaidhika kupitia wewe alhamdulillah.naomba InshaAllah hii mada ya باب في كراهة النعمة usitukoseshe

  • @user-js4ye3sb3b
    @user-js4ye3sb3b 6 месяцев назад

    Katika dua ili namuomba mungu ili jini mahaba litoke kwenye mwiri wangu in shallwa

  • @aishaburundi7058
    @aishaburundi7058 3 года назад +3

    Masha Allah tabarakaallah 😍

  • @nooornoor120
    @nooornoor120 6 месяцев назад

    Ee yarabby kupitia dua hii nikafunguliwe afya ukanitimizie malengo yangu ya allah baba yetu mlezi mahali nilipo fungwa leo naamin kupitia kisomo hiki nimefunguka amiin ya rabby

  • @fauziamteti7389
    @fauziamteti7389 2 года назад

    Inshallah kisomo iki kiwe ufunguo wangu na kuepukana namashetani mungu hakuzidishie Dua za heri

  • @hassanishekidele6725
    @hassanishekidele6725 Год назад

    Yaarabi naomba kisomo hiki kikaingie ndani ya tumbo langu na moyo wangu kikatoe uchawi wote uliopo ktk mwili wangu inshaallah

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k 6 месяцев назад

    Ya rabby kupitia kisomo hichi iwe mwisho wa matatizo yangu na mtoto wangu inshallah

  • @amenaallahawazidishieumrin6235
    @amenaallahawazidishieumrin6235 3 года назад

    Shukran jazaka ALLAH khery Mola akulipe mema dunian na akhera na pepo ya fridous iwe makaazi yako

  • @mariamselemani1366
    @mariamselemani1366 Год назад

    N shukran sheh wetu Allâh akulipe Kila laher

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Год назад

    Shukran sana jazaka Allahu kheri

  • @ZuuhRaniya
    @ZuuhRaniya 7 месяцев назад

    Amin inshallah Allah atatufanyiawepesi wote tunao muomba

  • @user-si5pw9fe4h
    @user-si5pw9fe4h 2 месяца назад

    Kupitia kisomo hiki mwenyezi mungu nifungulie riziki zangu

  • @laylahasshim827
    @laylahasshim827 4 года назад +3

    Alhmdullih MashaAllah hii dunia ni kiboko ya yote wallah nilisikiliza saa 9 usiku nilivomaliza nikalala nikaanza kuota nakimbizwaa na kisuu n wanawake wawil moja mkubwaa mwingine mdogo huyo mdogo nilimpigaaa sana yule mkubwaa akaksirikaaa akaanza kunikimbiza yeye nilikimbia mwisho nikachokaa tukashikanaaa lkn hakuwa na nguvu tena ya kunipiga nikachukua ile kisu nikaondokanacho nikaamka nimetia udhu nimeswali alhmdullih

  • @user-lz3vk5yb4d
    @user-lz3vk5yb4d 4 месяца назад

    Inshallaah🎉🎉

  • @azizasalum2408
    @azizasalum2408 2 года назад

    Asalamu alaykum warahmatullah wabarakatu.. mashallah mashallah..shukran sana ..Allah akujalie kher na barka na akupe afya na Siha Amin Amin yaraby.

  • @user-jo5rf4wp7g
    @user-jo5rf4wp7g 7 месяцев назад +1

    Allah nifanyie wepesi kupitia dua hii nateseka mm

  • @UstadOmar-rl3ze
    @UstadOmar-rl3ze Год назад +1

    Sheikh wangu mung akubariki inshaallah

  • @user-vy1fl7zv8n
    @user-vy1fl7zv8n 23 дня назад +1

    Yarabi niondoshee matAtizo kikimaliza kisomo hiki

  • @loozyshtarte5501
    @loozyshtarte5501 2 месяца назад

    Mungu anijalie wepesi majini yatoke mwili

  • @ZuuhRaniya
    @ZuuhRaniya 7 месяцев назад

    Ewe mwenyezi mungu kupitia duwa hii nifunguliwe Kila kilicho fungwa katika mwili wangu nakama Kuna kibaya chochote katika mwili wangu basi kitoke kiludi kilipo toka uchawi uliopo katika mwili wangu utoke kwauwezo wako mungu wangu

    • @SaidFupi
      @SaidFupi 2 месяца назад

      Amin Allah afanye wepes

  • @Hajra-ty5io
    @Hajra-ty5io 4 месяца назад

    Ya allah kupitia hii dua naomba kuondoka kwa kila matatizo yaliyopo mwilin mwangu

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 2 года назад

    Jazaaka lahu khaira sheikh

  • @AzizaMuhiddin
    @AzizaMuhiddin Месяц назад

    Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee maradhi na sihli mwilini mwangu, uniondosheshe nuksi na mikosi, unijalie nuru pia mwanangu umuondoshee kila aina ya maradhi na umpe ufaham ktk masomo yake inshallah 🙏

  • @user-ij9yi7bm8m
    @user-ij9yi7bm8m 10 месяцев назад

    wallah Allah atuondolee haya majini ktk mwili wangu

  • @mohamedathman2619
    @mohamedathman2619 3 года назад +1

    Allah atakojaalia men's in Shaa Allah

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 3 года назад +1

    Alhamdulilah mungu akuhifadhi shekh Athuman

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 2 года назад

    Masha-ALLAAH shukran jazla sheikh

  • @user-ug6cj3zq7r
    @user-ug6cj3zq7r 10 месяцев назад

    Yarrab naomba nisaidie niweze kupona matatizo yangu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼amiin🙏🏼 thumaa amiin

  • @user-bi2xp7wf1h
    @user-bi2xp7wf1h Год назад

    Ya Allah nakuomba kwa kisomo hiki unifungue vifungo vyote mm n familia yangu uniondoshee jini,mashetwan n kila ubaya kwa uwezo wako

  • @user-gb6zl9te4g
    @user-gb6zl9te4g Год назад

    Mashaallah Allah akulipe

  • @mariamramadhan4296
    @mariamramadhan4296 2 года назад

    shukran sana allah akuzidishie taufiq

  • @mussaali7647
    @mussaali7647 3 года назад +1

    Maashallahu

  • @aminahmusa3723
    @aminahmusa3723 2 года назад +1

    Shukrani Mungu akupe maisha marefu inshallah

    • @Twariqabaalwy
      @Twariqabaalwy 9 месяцев назад

      Naomba nitafute kwa email zangu

  • @asharonga6660
    @asharonga6660 Год назад

    Panga zote na uchawi wote dhiti ya familia yangu uwe mwisho InshaAllah

  • @aminaabdiazi3447
    @aminaabdiazi3447 2 года назад +1

    Mashaalah alaah tabarak