UTAJIRI MKUBWA WA UHAKIKA NDANI YA WIKI MOJA TU KWA YAKINI TUMIA URADI HUU NA DUA HII

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024

Комментарии • 214

  • @jamilafuad-5702
    @jamilafuad-5702 Год назад +51

    Mashallah asalkum vip hakika leo natoa ushuhuda kwa sala ya mtume s.w hakika ina maajabu makubwa subuhanaallah...mi niliposikia hay mawaidh nilimuhadithia mumewang na tukaaza kuyafanyia kazi hali yetu ilikuwa ngumu kimaisha basi baada ya siku 3 tu ilitokea risk tusioitarajia subuhanaallah Allah alitufanyia wepes na hadi sasa tunaendelea inshallah mpaka mwisho wa maisha yetu.

    • @sultanasalim5177
      @sultanasalim5177 Год назад +1

      Mashaallah

    • @rizikially9535
      @rizikially9535 11 месяцев назад +2

      Unasemaje hayo maneno naomba niandikie hapa

    • @jumaahmadi7909
      @jumaahmadi7909 11 месяцев назад +2

      Maashallah

    • @zenasalum2231
      @zenasalum2231 10 месяцев назад +2

      Maasha Allah

    • @omaramne4465
      @omaramne4465 9 месяцев назад

      ​@@rizikially9535unamsalimia mtume kuna namna tofauti ww utaangalia wepesi wako , Kama hujui hapa hapa RUclips Andika jinsi ya kumswali mtume itakuja alaf utaona.

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Год назад +26

    Sheikh unaniliza!!!! Nampenda Allah na mtume wake wallahi namswalia mtume idadi isiyo na hesabu hadi kufa yangu na kufufuliwa kwangu iwe hivyo mpaka ku uwanja wa hesabu aamin

    • @mkambaselemani-ej7np
      @mkambaselemani-ej7np Год назад

      Sgeh naomba uniandukue Sala ya maradhi ya mtune hii qibrikunubi nijisaidue

    • @alyazain290
      @alyazain290 Год назад

      Allaahumma aamin yaa rabby

    • @bipoposaidmohaa6242
      @bipoposaidmohaa6242 Год назад

      Assalam alekum vp hali zanu naomba kuandikiwa swala ya mtume iyo ya mwisho tafadhalini

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c 5 месяцев назад

      Maradhi na shida mara 1000
      Allahuma swali alaa Muhammad waala ali Muhammad twilb khulb wadhawahia waafiat liabidani washifahiwa wa nuril abusariw wadhwihawia wakhutil aluwahy wadhwihawia​@@mkambaselemani-ej7np

  • @omanomqn4345
    @omanomqn4345 Год назад +23

    Mashaallah,,, wallahi napenda kusikiliza mawaidha yako,,, yanatia raha moyoni na hamasa juu ya mtume muhammad SWALALLAHU ALAYHI WASSALAM,,,, kuanzia leo namie nataka nimswalie hadi nione matokeo,,

    • @sofiamunga9179
      @sofiamunga9179 Год назад +1

      Mashalah... Walah sheikh othman Allah akuzidishie hekma mawaidha yako haki yaniweka Sawa.

    • @nasreenmohammed9304
      @nasreenmohammed9304 Год назад

      Shikh Allah akuzidishie ww na ss Allah atupe kama anavyokupa ww
      Sheikh kwa kuwa dua zako zinapaa na ss tuombee dua kwa. Allah atuwezeshe tufikie kiwango cha kumsala Mtume wetu Muhammad. Saw

    • @maimunaabdallah1294
      @maimunaabdallah1294 Год назад

      😀

    • @geradybahati3127
      @geradybahati3127 Год назад

      Tunaomba atufundishe jinsi ya kuoga hedhi mashekh wengi Wanatuchanganya

  • @Capt.A.T
    @Capt.A.T Год назад +9

    Maa Shaa Allah. Tahadharini ndugu zanguni. Hakika Mwenyeenzi Mngu, yuko karibu sana haswa, katika sujud. Unapokuwa unaomba hazako katika sujud. Usitie mchezo wala fikra zakipuzi.
    Ilinipita fikra nikaitamka katika dua. Allahu Akbar ! Nitipaliwa vibaya sana hata kukosa pumzi na kububujikwa na machozi. Uchungu mwingi kifuani. Mpaka nilipo staghfir, na sala za mtume ndipo nikapata afwaani. Allahu Akbar.

    • @user-ic7iw2dh7o
      @user-ic7iw2dh7o 10 месяцев назад +1

      ah hatari sana Allah yupo karibu mnoooo ni kweli kabisa wala sikupingi mana na mimi nishafanya

  • @jamillahaidha8184
    @jamillahaidha8184 Год назад +9

    Naitekeleza na Nina hamu kuanza namuomba Allah aliyekujibu Shekh namimi anijibu kupitia uradi huu naamini kutokana na unayoyasema na viapo vyako kusisitiza, Yah Allah tukidhie haja zetu na Kama hazina kheri na sisi tubadilishie yenye kheri na turidhike nayo Ameeen

  • @user-rz7ss3ju7j
    @user-rz7ss3ju7j 4 месяца назад +2

    Sheikh Othuman Allah akuhifadhi akupe umri wenye manufaa kwako na kwa Uislamu wetu

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 Год назад +14

    Mie naanza in shaa Allah usiku huu wa kwetu uk 🇬🇧 nataka hii iwenikazi yangu hadi Alfajir ikiingia naanza saa saba hadi Alfajir in shaa Allah mungu atuwezeshe mana shekhe namatatizo mengi ya kifamiliya wallah watoto hadi mume Niombee allah atuwezeshe kwa kila mwenye nia in shaa allah Shukran shekh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah nafatilia sana vipindi vyako

    • @salummakame5086
      @salummakame5086 Год назад +2

      Assalaamu alaikum .
      Naomba makarama uloyaona baada ya kusoma nipate hamasa

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 19 дней назад

      Assalam aleykum ww
      Vipi dada mahra
      Tüpe majibu ya Swala ya Mtume

  • @aminaismailmikina1240
    @aminaismailmikina1240 Год назад +6

    Assalam alaykum waramatullah wabarakat shekh othman Mungu akubariki sana tena sana kwa darasa zako tangu nimeanza kusikiliza hizi daras zako kuhusu mtume wetu Muhammad nilianza kuzifanyia kazi hata mwezi mitatu haijaisha na leo usiku nimemuota mtume wetu Muhammad akisoma dua hii allahumma swali alaa saydina na muhammad mara 3 na nikaona noor ya taa moja kali san na mengine nimeyaona kweny ndoto mashallah 🤲

  • @lawamatu4221
    @lawamatu4221 8 месяцев назад +1

    Ma sha Allah....nimeanza usiku wa Leo...ninamatattizo mengi in shaa Allah mwenyezi Mungu atanifanyia wepesi

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Год назад +13

    Allahumma swali alaa saydina MUHAMMAD waalihi waas habihi wasalam❤️❤️❤️

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Год назад

      Asante Salma alkyumi umepatia

    • @user-zz5ng1yb8d
      @user-zz5ng1yb8d 8 месяцев назад +2

      Hapa bado zinanichanganya, ni hiyo alosema da salma,au allahumaswal alamuhamad yalabswal alaih wasalim,?

    • @ElizabethLizzy-pk3zj
      @ElizabethLizzy-pk3zj Месяц назад

      ​@@user-zz5ng1yb8dni hiyo ya salima

  • @wardaam3707
    @wardaam3707 Год назад +14

    Allahu akbar sheikh othmani tunashukuru kwa darsa zako

  • @firstlady9848
    @firstlady9848 Год назад +6

    Mimi sikupingi Sheikh langu Sala ya mtume imenipa chochote nikitakacho I love Muhammad ❤️💞💞 s.w.m

    • @nuuraalinoor3630
      @nuuraalinoor3630 Год назад

      mashaAllah thanks bro, which salawat were you reciting? please share with me.

    • @user-ic7iw2dh7o
      @user-ic7iw2dh7o 10 месяцев назад

      Allahumma swali wasalim alaa sayyidaa Muhammad (SAW)

    • @AsnatyMshamu
      @AsnatyMshamu 6 дней назад

      I love more muhamadi s.a.w

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 Год назад +5

    Mashaallah Mungu awaongezee duniani na kesho akhera nakependa kwaajili ya ALLAH mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja tuingie peponi kesho

  • @husnamasoud4989
    @husnamasoud4989 Год назад +9

    Shukran Ustadh, tutalifanyia kazi BibIdhniLlAh, Allah akuweke akuhifadhi na kila baya 🤲🏻

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 Год назад +4

    Mashaallah nikipaji kilioje ulichonacho, Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuinuwa na akupe nguvu na afya na ulinzi katika harakati zako Allahumma Ameen!
    Nashukuru kwa kwa kuzumzia umuhim wa sala ya mtume Muhammad, na nimefaidika na nimepata mazingatio!

  • @ummulabduul-je8db
    @ummulabduul-je8db 6 месяцев назад +1

    ALLAHUMA SWALI ALLASAIDINA MUHAMMAD WAALIHI WASWAHBIHI WASALAM❤

  • @hafsawambi779
    @hafsawambi779 Год назад +6

    Jazzaka llah kheyri shukran sana sheikh Allah atuwafikishe kwa rehma zake

  • @CheiaNdiricho-kn4zb
    @CheiaNdiricho-kn4zb Год назад +4

    Masha allah ❤ sheikh nakupenda sana❤❤❤❤❤❤

  • @athmanharubu171
    @athmanharubu171 9 месяцев назад +3

    Masha Allah,mm sala ya mtume imeniondolea tatizo ambalo nilikuwa sijui nitafanya Nini?, wallahi haikufika hata masaa mawili nilipata nilichokuwa nakiomba, Alhamdullah,

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 Год назад +6

    Sh.umenifurahisha sana, Allah pekee atakushindia kila jema unalokusudia kutusaidia walimwengu.Nakukubali mtu wa Mungu.InshaAllah tuombeane uzima.

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Год назад +5

    Shukran sheikhe Ahsante sana nakupenda sana sheikhe kwa ajili ya Allah sheikhe namuomba Allah akuzidishie umri wenye afya njema na siha mzr akujaalie pepo ya fredaus kwa uwezo wake na Rehma zake Allah akujaalie uwe pamoja na Mtume wetu Muhammad s.A.w peponi

    • @yasmeeenmusajuma6531
      @yasmeeenmusajuma6531 Год назад

      Swala zausikuu

    • @suweidkhamis722
      @suweidkhamis722 Год назад

      Kila comment nakuona mashaallah

    • @Samsungjprime-ww9ve
      @Samsungjprime-ww9ve Год назад

      @@suweidkhamis722 Mashaallah napenda kufatilia na kuskiliza hawa masheikhe nafaidika na mengi nakujifunza mengi maana sesoma lkn angalau niwe mskilizaji ili nijuwe vyakujirekebisha nakujuwa yalo mzr na mabaya

    • @shemmaster7swaleyuun228
      @shemmaster7swaleyuun228 Год назад

      Aamin yaarabbi

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed1871 Год назад +5

    Assalam Aleikum warahmatullah wabarakatu
    ALLAAHUMMA SALII WA SALIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤❤❤
    Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akulipe kwa Nia yako yarabby

  • @zakhealthbeauty1619
    @zakhealthbeauty1619 Год назад +2

    Allah akbar leo nimekesha kwa ajiri yakusikiliza darsa lako mashaallah Mashaallah tabaraak rahman Allah akueke kwa ajiri yetu

  • @abdifarah-yq5tf
    @abdifarah-yq5tf Год назад +3

    Alhamdulillah nimemswalia mtume SAW nimepona gas ulecers

  • @roquaal5682
    @roquaal5682 Год назад +3

    Maashaallah allah akulipe pepo ya firdaus

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Год назад +4

    Alhamdulilah kwahíi neema kubwa cna

  • @ashumohd2192
    @ashumohd2192 Год назад +3

    Shukran saana ALLAH akulipe ujira mkubwa BiidhnLLAH 🤲

  • @bobomuamarg3856
    @bobomuamarg3856 Год назад +4

    Assalam alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuh.
    Wallahi kwa zawadi hii umetusambaziya . Nikuombee tu Allah Akuzawadiye kheri zote za Waja wema na Akulinde Allah na Alizo walinda Waja wema "Amin "

    • @bobomuamarg3856
      @bobomuamarg3856 Год назад

      Akulinde na Shari Alizo Walinda Waja wema "Amin "

    • @fatmaameer5333
      @fatmaameer5333 Год назад

      Shukran kwa kutujuza mambo ya kheri ALLAH akuhifadhi akuzidie kheri barak kwa ulivo navo

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Год назад +17

    Masha Allah awesome lecture..BarakAllah feek sheikh

  • @user-dg8dt5bg7q
    @user-dg8dt5bg7q 3 месяца назад

    Mashallah ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa darsa za NNABY MUHAMMAD SAW DAAIMAN ABADAH!!!!! ni hivo hivo sisemi kitu!! But swalatu NNABY ziendelee ndugu zangu utafanikiwa haqiqatan!!!!!!!!!!

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 Год назад +2

    Shukran sheik Jazakka Allahu kher 🙏Allah akulipe kher hpa leo duniani hdi kesho akhera.Allahu Akbar,Alhamdhulillahi 🤝

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Год назад +2

    Mashaa Allah tabaraka Allah, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka, Akupe mema duniani na Akhera.

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Год назад +5

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @azizadjumadazuu2731
    @azizadjumadazuu2731 Год назад +4

    Kwakwel Allah akujaze kheri

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Год назад +2

    Masha Allah shukran jazzakallah khairan

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 10 месяцев назад +1

    Maaa Shaa Allah Shukran Wajazaukum llah khayra

  • @abelsaranguti8732
    @abelsaranguti8732 Год назад +1

    masha Allah , mwenyezi mungu akuzidishie zaidi

  • @sabahabdallah5791
    @sabahabdallah5791 Год назад +3

    MashaAllah. Saw❤

  • @assinaassende7561
    @assinaassende7561 Год назад +3

    Allah akulipe kila laheli

  • @aidhajaafar391
    @aidhajaafar391 Год назад +3

    Mimi natoa shuhuda jamani ninauza biashara yangu alhamdulillah na ninaamini Allah atazidhisha

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c 5 месяцев назад

      Unasoma ngap Kila siku na wakat gan?

  • @nassibmalik9934
    @nassibmalik9934 Год назад +2

    Naamini bi idhini llahi ntapata majibu shekh nmeanza kumswalia mtume kwa speed kubwa sana 🙏🙏

  • @abdulhafidhelbahassany52
    @abdulhafidhelbahassany52 Год назад +2

    Masha Allah aturuzuqu mapenzi yakumpenda Mtume wetu na kumsalia yeye .
    Allah akubaarik sheikh. Masha Allah

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 Год назад +3

    Shekhe umenenepa maa shaa llah

  • @kulthum8335
    @kulthum8335 Год назад +1

    Mashallah jazakawallah Allah hakuzidishie

  • @allynyangehassan5121
    @allynyangehassan5121 Год назад

    Salam alaikum warahmtulillah wabarakatuh shukhuran ya sheikh Othman Michael Allah akuraishishiye duniani na akheran Allah Huma amin

  • @jumamohamedi5855
    @jumamohamedi5855 Год назад +1

    Maashaallah Allah akulinde uzidi kutupatia elimu hizi Inshaalaah

  • @fatmamuhammad4772
    @fatmamuhammad4772 Год назад +1

    MashaAllah ustadh na shukran kwa mawaidha yako mazuri yenye kutupatia manufaa jazaa yako kwa Allah.Allah akuhifadhi

  • @hemedphd8532
    @hemedphd8532 Год назад +4

    Mashallah shekh wetu shukran shekh

  • @sulekhamohammed5358
    @sulekhamohammed5358 2 месяца назад

    Shukran Allah akupe Afya

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 Год назад +3

    alah akbar, mtume ninuru fanyeni hili linaukweli asilimia mia hakika

  • @AshuraRamadhan-hm6jc
    @AshuraRamadhan-hm6jc 11 месяцев назад +1

    MAA SHAA ALLAHU

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 Год назад +1

    Shukran sheikh na jikuta machoz inadondoka Mwez Mungu akulipe kila laheri🤲

  • @ZaiduHashim-ry1zr
    @ZaiduHashim-ry1zr Год назад +1

    Masha Allah Allah akupe unalo stahili

  • @fatumahayani4671
    @fatumahayani4671 Год назад +1

    Mashallah Allah akuhifadhi shekh na ss pia atujalie mwisho mwema

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Год назад +2

    mashaallah my shekh

  • @sofiaomar8939
    @sofiaomar8939 Год назад +1

    Shukran sheikh, nafaidika sana n darsa zako, alakujazie kheir ameen

  • @user-fv3ob5ww6w
    @user-fv3ob5ww6w 5 месяцев назад +2

    Kila nikisikia hii clip nahisi ipo kwa ajili yangu...huyo msomali hajamuona mimi wallah nimemuona mtume s.a w mara mbili ..mara yakwanza nilikua nimekithirisha sana kuswa usiku saa 9 hadi asbh naswali rakaa 11 kila usiki na kumswalia mtume ..nilimuota mtume akiwa mtu mzima nilifurahi sana ...mara ya pili nilioteshwa nikamuona akuwa mdogo kwenye umri wa miaka km 12 au 14 hv ...na hiyo siku asbh nilikua namkatia mume wangu kachumbri nilivyoikata nyanya huyo nyanya ikawa imeandikwa jina la Allah kwa kiarabu naomba niitume humu muione hadi najiogopa ..subhannah llah ...madarasa yako yatukuzwe Allah akulipe pepo na uwe na mwisho mwema amina

    • @AsnatyMshamu
      @AsnatyMshamu 6 дней назад

      Mashaallah, Allah akuzidishie

  • @SADIKIMALISAWA-ou8sk
    @SADIKIMALISAWA-ou8sk 3 месяца назад

    Jazaka allah khaira

  • @user-oy5gj8fv4b
    @user-oy5gj8fv4b 2 месяца назад

    Aslm alkm shekhe Othman mm napenda sanaaa kusikiliza mawaidha yko wallahi , Allah akuhifadhi

  • @saidira726
    @saidira726 Год назад +1

    Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh.
    Sheikh wangu endelea utupe mambo matamu ya Allah, Allah azidi kukupa nguvu na uwezo wa kuendelea kusaidia ummati Muhammad swalallahu alaihi wa alihi wa salam, kila wapingao mambo unayo fundisha watapinga Allah awe akiwafanya sababu ya kuzidi kupanda daraja, baadhi yetu tunafaidika na ilm yako

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Год назад

    Aslm alkm ww.... Masha Allah!!! Nikweli kabisaa hata mimi nikimaliza kumswalia nabii Muhammad S. A .w. mimi hucheuka. Allahu maswali wasalim aleyh.. Jazakallah kheir 🙏 Nikweli hilo bilashaka Masha Allah 🌹

  • @zowaina9946
    @zowaina9946 Год назад

    MANSHAALLAH tabaraka RAHMAN nakupenda kwa ajili ya ALLAH ALHAMDULILLAH

  • @user-xx1yw7jw2p
    @user-xx1yw7jw2p Год назад

    Jazaka lwaah kheir mungu akuzidishie ilmu uzidi kutufundisha tumepata faida nyingi alhamdulilaah

  • @saidamur5747
    @saidamur5747 Год назад +1

    Allah.akufanyie.wepesi.kwakila.jambo

  • @alyazain290
    @alyazain290 Год назад

    Allah akupe mwisho mwema yaa sheikh atukutanishe sote sisi na ww pamoja na bwana mtume s.a.w

  • @fatnaally-ou7xx
    @fatnaally-ou7xx Год назад +2

    Allah shekhe kiukwelli napenda nitoe ushuuda hata Mimi huwezi aminiii hizi wiki na fanya ibada Kwa wingi na kumswalia mtume na kuswali tahajudi nawaona mpakavmaswahaba wananiombea dua isitoshe mtume nae ananiombea msamaha Kwa Allah kiukweli na kuwa sitamani hata kulala nataka mudavwote niwe na fanya ibada mpaka wanangu wanaoba sasa mama mbona kama anachizika tumswalue mtume jamani

    • @fatnaally-ou7xx
      @fatnaally-ou7xx Год назад

      Nikichoka nakuwa nasikilizia kipindi chako kiukwelli ni kizuri mno naoneshwa mpaka wanao taka kunuzuru subhanaallah ama kweli muomba mungu akosi fungu lake

    • @athumanikhamisi3377
      @athumanikhamisi3377 Год назад

      اللهم صل على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 19 дней назад

      Allahu Akbar Maa Shaa Allah dada fatna
      Ahsante sana

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Год назад +3

    Hii swala ya mtume naiyamini asilimia 100

  • @UessoSalimo-cd3mw
    @UessoSalimo-cd3mw Год назад +1

    Mashaallah from Mozambique

  • @ayoubahmad7107
    @ayoubahmad7107 Год назад

    Shekh othman michle.....unanikosha sana.....ukitaka kuongeza mke wa tatu tuwasiliane mimi ni mpemba....itabid uelekee uku bi.idhnillah

  • @fatinahasani882
    @fatinahasani882 Год назад

    Jazaka llahu khayra allah akufikishe mbali

  • @halimamathew285
    @halimamathew285 Год назад

    Mashaallah.mashaallah.shekhe.Allah.akuhifadhi

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 Год назад

    Mashallah sheikh tunakupenda kwani unatupa faida nyingi katika darsa zako mwenyez mungu akulipe kheri

  • @MmMm-hx6ln
    @MmMm-hx6ln Год назад +2

    ASALAM alaykum,sheikh mi nakuomba unapofahamisha Dua,au uradi bas jaribu kusoma taratibu maana tunaandika Ili tuipate vzr,hata ukiirejea mara mbili mbili itakua vzr sana, bila ya hivyo inatufanya tuirejeshe video Kila wakat kupata kuiandika ,ahsante

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Год назад +1

    Masha Allha

  • @nasradada7050
    @nasradada7050 Год назад

    MA Sha ALLAH tabaraka Allah kwa somo lako Allah akujaze umri WA faida na kwa thikri yako

  • @melchiorndayizeye9761
    @melchiorndayizeye9761 Год назад +2

    ❤😂 walahii shekh, natanguliza shuklulani saaan mimi hapa ni muchristo lakini nilifuatilia hiii uladhi wa ko shehk ,mambo ya ukafili nimetupa nilukua na made ni ya kupfa mtu ,kwa week 1 tuuu. Ghali ya Nissan mpya ,deni kwisha kwa siku moja 😊😊 walahi mungu akupatie lehema.

  • @user-ce8ew9pc6y
    @user-ce8ew9pc6y Год назад

    Shekhe Mimi napenda Sana mawadha yao yemenipa elimu Alhamdulilah arwah akujaliie umli mlefu uzidi kutupa faida sisi navitukuu vyetu

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 Год назад

    Allah akufanyie wepes utufundishe na mengine

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m 8 месяцев назад

    Masha allah

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 Год назад

    mashaalah allah akulipe ishaalah

  • @najatmgaja9579
    @najatmgaja9579 8 месяцев назад

    Jazakallah

  • @saidamur5747
    @saidamur5747 Год назад +1

    Mashallah.shukurani.shekhe

  • @masudimwinyi7301
    @masudimwinyi7301 Год назад

    Mashallah sheikh wangu Allah akujaalie kheri ishallah

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 Год назад

    MashaAllah sheikh wetu Allah akuweke

  • @mesalimchama1874
    @mesalimchama1874 Год назад

    Shukran Allah atujalie miongoni mwao tutekeleze

  • @sulekhamohammed5358
    @sulekhamohammed5358 Год назад +1

    Shukran

  • @Asha-kj6fz
    @Asha-kj6fz Год назад

    Allah akupe umri mrefu inshaallah

  • @user-zh7xb5lm5s
    @user-zh7xb5lm5s 9 месяцев назад

    mashallah mazungumzo ya fikra

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 Год назад

    Mashallah Allah kujaalie umri mrefu wenye uchamungu ndani yake

  • @ayoubahmad7107
    @ayoubahmad7107 Год назад

    بارك الله فيك

  • @user-xx1yw7jw2p
    @user-xx1yw7jw2p Год назад

    Sheikh othman mungu akuzidishie kila la kheri

  • @faridahkavochi8079
    @faridahkavochi8079 Год назад

    Mashaallah tabarak Allah

  • @manasa2449
    @manasa2449 Год назад

    Shukran sheikh

  • @SelemaniHassan
    @SelemaniHassan 11 месяцев назад

    Inshallah mimi nitajitayidi sana inshallah nitakupeeni jibu

  • @fedhandunga5935
    @fedhandunga5935 Год назад

    Mashaa Allah Allah akulipe😥😥

  • @abdijabarkunyo55
    @abdijabarkunyo55 11 месяцев назад

    ManshaAllah,Leo naanza inshaAllah❤

  • @SifaNibigira
    @SifaNibigira Год назад

    Shukran san sheikh 🙏

  • @mohamedrokaz5272
    @mohamedrokaz5272 Год назад

    Mashaalh ustad mm pia nitaanza inshaalh mungu atupe kheri

  • @rukorioyusuf1268
    @rukorioyusuf1268 Год назад

    mashaallah nimependa mawaidha yako

  • @hadijagere
    @hadijagere Год назад

    Ma shaa Allah nataka nianze namimi