SHEKH OTHMANI MAIKO ANASEMA SWALA HII YA MTUME NDIO IMEMPA UTAJIRI HUU WOTE sehemu 02

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 703

  • @tamemahmad9902
    @tamemahmad9902 Год назад +84

    Alhamdulillah kila baada ya swala namswalia mtume mara 100. Na nikikaa ndio uradi wangu hata km nnakazi gani hata nikilala nasoma dua ya kulala kisha namswalia mtume mpaka napata usingizi. Namshukur Allah kwa kunipa wepesi wa kuitamka namuomba Allah anidumishe iwe uradi wakudumu ktk ulimi wangu. Nawaombea pia wenzangu Allah awape wepesi wa kumswalia Mtume Muhammad (S. A. W).

    • @TalatibuSaidi
      @TalatibuSaidi Год назад

      Mashaalwa she mm natakA quwa ya kuwa mwepes wajambo jambo lakes Ni swala

    • @swalehekahema8072
      @swalehekahema8072 Год назад

      Allah akulipe kheri shekh kwani wengine tulikua hatujui haya

    • @AshaYazid
      @AshaYazid 10 месяцев назад

      Mashaallah

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 10 месяцев назад

      Maa Shaa Allah

    • @Attushbbyy
      @Attushbbyy 7 месяцев назад

      Mashallah

  • @neemamihiko5429
    @neemamihiko5429 8 месяцев назад +24

    Mimi pia nilijaribu siku moja nilipata pesa siku hiyo mashaallah

  • @AziziZainabu-jl5tu
    @AziziZainabu-jl5tu Год назад +218

    MashaAllah sheikh mm mwenyewe nimefanya ila si kwa kutaka utajiri kwa kumuombea mgonjwa wng na wallah kapona na alikua hata hawezi kuinuka Alhamdulillah

  • @HamzambwanaAli
    @HamzambwanaAli Месяц назад +2

    Allahummah swalliy alaa sayyidnaa Muhammad waala aalihi waashaabihi wasallam❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rallyscosmeticandgasaccess4839
    @rallyscosmeticandgasaccess4839 21 день назад +2

    MA ASHA ALLAH M/MUNGU ATUJAALIYE KHEIRAT 🤲🇰🇪🤲🇰🇪🤲🇰🇪

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Год назад +74

    Nampenda saana, kwa ajili ya ALLAH huyu sheikh. Ma sha allah. Namuomba ALLAH ampe afya, uzima na umri mrefu Yaarab. 🤲🇴🇲🇹🇿💕

  • @AbtwahiMohammed
    @AbtwahiMohammed Месяц назад +2

    "Al hamdulillah, Maashaallah: M/Mungu akupe mazuri kwa ujuzi wake, na akunge nashari kwa haki ya Mtume Muhammad (s.a.w) wewe na familia yako kwa ujumla na umati Muhammad wote (Amiin).❤

  • @TatuRashid-d6t
    @TatuRashid-d6t Месяц назад +2

    Allah mungu akuhifafhi na tukutane akhera na mtume wetu Mohammad S.A.W

  • @aminamansoor2131
    @aminamansoor2131 Год назад +22

    Wallaih mm nmelelewa kikiristo lakini Baba yngu kizazi changu n Islam ata hizi mm n Muslim Kwa kweli nmepitia changa Moto nyingi tangu nlivyo slimu Alhamdulillaah 😍 naitaji mm pia n kizazi changu kiwe kimesimama ima n dini ya ALLAH AMIIN RABHI AMIN SHUKURU ALLAH

    • @stoic_guild
      @stoic_guild Год назад +3

      Pole sana. Hata mimi nilisilimu ila kwa sasa nipo vizuri Alhamdulillah.

    • @aminamansoor2131
      @aminamansoor2131 Год назад +1

      @@stoic_guild Npitia ila naami Allah Kareem najaribu ata ninapo mitiani mizito vp bsi nasumama n swala za ucku n zikr bsi Allah Akbar 😍 tusaidiane Kwa Kheri yke Allah n uslam tuzidi kuwa n ujasiri n kusamama n Kwa Kheri insha'Allah

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад

      مبروووك الف مبروك allah awajaalie nuru ya dunia na akhera allahumma amiin.

    • @naseeha450
      @naseeha450 Год назад

      اميين يا اختي وانتي الله يجزاك خير

    • @yahyahassan8422
      @yahyahassan8422 Год назад

      MAASHALAAH

  • @wanusuleiman169
    @wanusuleiman169 Год назад +25

    Maashaallah maashaallah yaa sheikh Oathman .Allaah akulipe kheri na akuepushe kilalashari uzidi kuitetea kalima ya Allaah .

  • @w4058
    @w4058 Год назад +13

    Alhamdulilah Rabilaalamin tunamshukuru Allaah anaetupa uwezo wa kumsalia Mtume SAW Alhamdulilah Rabilaalamin tunapata faraja nafsini mwetu

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Год назад +30

    Allahuma swaali wasalim wabaarik ala seyidna Muhammad walaa alihi wa swahbihi wasallam.

  • @FatmaBintmussa
    @FatmaBintmussa Год назад +3

    Asalamu alaykum sheghe wangu othmani maiko umenipa elmu ambayo sijawahi kuipata kwa sheghe yyte alhamdulillah Allah akupe umri mrefuu wenye manufaaa

  • @sitnafaraj2813
    @sitnafaraj2813 Год назад +22

    Assalam aleykum sheikh othman maiko , shukran kwa mawaitha yako na kutuelekeza kwa kumswalia mtume wetu mpendwa Muhammad SWA na kumuomba Allah atujaalie tupate yale yote tunayo muomba,tumuombe Allah atupe nguvu ya kufanya ibaada ya usiku ili tupate neema zake, Inn Shaa Allah, Allah akujaalie mema kwa kutupa siri ambayo wengi wetu hatukuwa tunajua, Allah akupe afya na nguvu kueneza neema za Allah kwa wasio jua na kuwa fungua macho kuweza kuona mbale na kufanya kazi yake Allah, shukran sana sheikh Othman

  • @fatumaibrahim8973
    @fatumaibrahim8973 Год назад +12

    Mwenyez mungu akupe maisha marefu shekhe nimejifunza jambo.eemwenyenzi.mungu.naomba.unipe.afya.na.uniondolee.maradhi.na.unifungulie.mirango.ya.ridhiki.Yaaarab✍️🙏

  • @shaphaina9941
    @shaphaina9941 Год назад +7

    Allahuma swali alaa sayidina muhamadi waali sayid na Muhammad

  • @mamafahad2782
    @mamafahad2782 7 месяцев назад +1

    Allahumma swaliiAlaa Sayyidnn Muhammad Wa alaa Aaaaly Sayyidna Muhammad S.A.W

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 7 месяцев назад +1

    Alla Akupe Afya shekhe kutu ilimisha fayda na sifa zake mtumi wetu اللهم صل وسليم عليه

  • @maimunamohamed3558
    @maimunamohamed3558 8 месяцев назад +3

    Shukran sheih mafunzo yako yamenipa faraja ya moyo kwa jinsi maisha yangu yalivyo kuwa magumu hadi nimeenza kufa moyo kila cku kulia, ila kuanzia sasa nitalitilia maanani na kumswalia mtume saw kila cku, jazzah yako iko kwa Allah

    • @bellasi349
      @bellasi349 6 месяцев назад

      Waswalie wazazi wako acha upumbavu kwani muhamadi ndo kakuzaa ndo maana huna maisha ju unaacha kumswalia Mama yako alokubebea tumboni miezi 9 eti unamswalia muhamadi mtu ambae humjui pumbavu

    • @khadijaacute
      @khadijaacute Месяц назад

      ​@@bellasi349hivi weww kenge wa mayai umetumwa ety acha kupotoxh watu pumbv weww uxhindwe

  • @RasiyaRasi-m1f
    @RasiyaRasi-m1f 11 месяцев назад +1

    Allahu Akbar takbiri nakuombeya Allah akuzidishiye kheira akupe mwisho mwema 🤲 😭😭😭 Wallahi 🤲🤲🤲

  • @ayubumwanga-n9u
    @ayubumwanga-n9u Месяц назад +1

    Kwl shekh nakufatilia Sana najifunza mengi kutoka kwako Allah atubariki

  • @malina9320
    @malina9320 Год назад +13

    In shaa Allah mwenyezi mungu anijalie uzima na afya leo naanza allah atufanyie wepesi atujalie kila mwenye uzito atufanyie wepesi ameen 🤲 sheikh Allah akujalie imani uzime na afya atuongoze sote kwenye khery ameen

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 Год назад +53

    MashaAllah kuanzia leo nitakuwa namswalia mtume Mohamed (SAW)

    • @suleymanjuma4309
      @suleymanjuma4309 Год назад +1

      Kwa hiyo siku zote ulikuwagi humswalii mtume ?

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Год назад

      ​@@suleymanjuma4309 Bora qmekiri kwa maandishi yake ndio wengineo hawamswalii mtu s.a.w

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 Год назад

      😂😂😂😂mtume anaswaliwa we una utukufu gani wa kumswalia mtume, mtume ndo akuswalie wewe, sasa ukimswalia ndo haendi motoni au😂

  • @ChiahudaSaid
    @ChiahudaSaid 2 месяца назад +1

    Mashallh allah atufanyie wepes inshalah kwa kila hambo

  • @FaudhiaIbrahimu-e6l
    @FaudhiaIbrahimu-e6l 3 дня назад

    SWADAKTA SHEIKH SHUKRAN JAZAKALLAH KHAIRAH

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 7 месяцев назад +2

    Ni hakika siri kubwa ya kumswaliya mtumi wetu nimei iyona اللهم صل وسليم عليه

  • @RaziaGamba
    @RaziaGamba 7 дней назад

    Barakallahufika Wajazakallahu khairan

  • @JamilaLutanjuka-op6rn
    @JamilaLutanjuka-op6rn 7 месяцев назад

    Alhamdulillah! Shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah has unavyotoa mawaidha kidogo kidogo mtu anaelewa, Allah atufanyie wepesi katika kuyafanyia kazi mawqidha haya mujarab

  • @imanipirfa225
    @imanipirfa225 Год назад +8

    Leo usiku Nitanzisha dua iyo, incha Allah Allah aikubalie🙏🙏🙏

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina Год назад +1

    Allah hadhu lillah shukurura sheikh kwa ukumbusho wakijitahidi kumsalia mthumee inshallah inshallah

  • @SarahMussa-j5t
    @SarahMussa-j5t 2 месяца назад +1

    Allah.akupe.maisha.marefu.uzidi.kuwaelimisha.waislaam.

  • @AllyMuhange-px2sj
    @AllyMuhange-px2sj 11 месяцев назад +1

    Mashallah maalim mwenyezi mungu akupe Afya njema na umri mrefu wenye manufaa duniani mpaka Akhera.kwa faida hiyo

  • @AbtwahiMohammed
    @AbtwahiMohammed Месяц назад

    "Al hamdulillah, Maashaallah: M/Mungu akupe mazuri kwa ujuzi wake, na akunge nashari kwa haki ya Mtume Muhammad (s.a.w) wewe na familia yako kwa ujumla na umati Muhammad wote (Amiin).

  • @mamiabdallamohamed3896
    @mamiabdallamohamed3896 Год назад +4

    Shekhe othamani nakupenda kwaajili ya Allah Allah akudizishie akujaalie kauli thabiti muachie Allah anaekudharau

  • @abdulrazackkipingu5437
    @abdulrazackkipingu5437 Год назад +12

    Mashaaa Allah..Nakupenda kwa ajili ya Allah shekh Allah Akijaalie umri mrefu shekh tuzidi kufaidika na faida unazotupa inshaa Allah.

  • @TurkanCalender
    @TurkanCalender Год назад +2

    Shekh ottman inshallah nitakuletea mrejesho

  • @عبدالرحمن-ض9م
    @عبدالرحمن-ض9م 3 месяца назад +1

    مشاء الله تبارك الله
    الله يحفظك يا عثمان
    MIMI Niko saudia katika mazi yangu natokea Burundi nimefaidika kuskia darsa hili
    NA Assante kabisa mungu AKUPE mwisho mwema

  • @hadijasaidi331
    @hadijasaidi331 8 месяцев назад

    Mashaallah,Alihamundulillah nashukuru kwa mafunzo mazuri,endelea vyema kutupa darsa nasi tupate fursa zaidi kujua zaidi mambo mbalimbali kuhusu dini

  • @MimahYaseen
    @MimahYaseen 4 месяца назад

    Tunashukur sheh wetu kq kutupa darasa zuri na kutujaza imani mioyo yetu...allah akufanyie wepec kila hitaji lako na akupe maish marefu

  • @Mr.aboualhabbash
    @Mr.aboualhabbash Год назад +2

    Mashallah shukran saaana sheikh' wetu allah akulinde akupe mwisho mwema mimi alhamndulillah huwa namswaliya rasuul llah nishawahi kulala namuota mtume nahisi nipo nae kwenye ndoto nahisi namuona mtume lakin simuoni nahisi kama nipo nae karibu 😢dah allah atupe yale tunayo yataka na mwisho mwema amiiiin 🤲

  • @FawziaFawzia44
    @FawziaFawzia44 7 месяцев назад +1

    In sha Allah Allah anijaalie na mm nipate haja zangu Asante shekhe kwa elimu

  • @shamsaalrahbi7593
    @shamsaalrahbi7593 Год назад +4

    Shekhe mbn unaongea harak harak Jmn Asante kwa darsa zuli Allah akubariki dunian na akhera

  • @FadhiliAliy-p2n
    @FadhiliAliy-p2n Год назад +1

    Shekhe mwenyezi Mungu akupe afya njema namimi natia Nia yakumswalia mtume muhammadi swala llahu alayh wasalama,

  • @aminmicky7221
    @aminmicky7221 Год назад +12

    Assalam alaikum: Mimi ninapenda Kufanya Adh-kari, nyiradi zangu imo Swala ya mtume, na ninaisoma mara mia tu, unaloliongea Shekhe wangu ni ukweli mtupu, pesa ni zinaingia tu bila kutegemea, hapo ni mara miamoja, acha niongeze bidii

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 9 месяцев назад

    Mashallah allahmdullah Allah akuajalie miongoni mwa waja wake wema akuajalie na mwisho mwema inshallah nitaifanyia kazi iyo swala na naamin Allah na mm ataniajalia inshalla amin

  • @SaudaHassan-bk4wy
    @SaudaHassan-bk4wy Год назад +3

    Danke sehr Shech. Ich liebe Muhammadin Swalla Llahu Alayhi Wasallam

  • @aminamansoor2131
    @aminamansoor2131 Год назад +4

    Naitaji elimu uwa dua zngu n soma Kiswahili wallaih n pia ALLAH AKBAR 💯 uwa ananifanikisha Alhamdulillaah

  • @abdallahluhinda
    @abdallahluhinda 11 месяцев назад +1

    Shukrani sheikh ntaanza leo uradi huu na inshaallah nisiusahau na kuuacha kabisa.

  • @safiyahabib1230
    @safiyahabib1230 Год назад +3

    Wala sio uongo ni kua na imani na nia tu kila amal na nia ikiwa huna imani huwezi fanikuwa.
    Mtume mwenyewe S.A.W kasema ukimswalia swala zinamfikia aliko uongo wapi?
    Hata hio pepo huwezi ipata kama huna imani.
    Shaikh Othman Allah akuhifadhi umefikisha ilobakia kazi mtu kwake.

  • @AshaAlly-vy1yl
    @AshaAlly-vy1yl Год назад +1

    Shukrani sheikh Allah akulipe kila la kheri kwa kutujuza mengi mazuri

  • @mamafahad2782
    @mamafahad2782 7 месяцев назад

    Allahumma swaliiAlaa Sayyidnn Muhammad Wa alhii wasuhabih Waaassallm

  • @PiliMohammed-d7t
    @PiliMohammed-d7t 8 месяцев назад +1

    Mashaallah Allah akuweke

  • @OgandaSak-vv8ok
    @OgandaSak-vv8ok 6 месяцев назад

    Nzuri jamani Allah akulipe pepo lafridausi asente sana

  • @sikudhanichikambo6204
    @sikudhanichikambo6204 9 месяцев назад

    Ahsante sheikh mimi ni miongoni mwa wanaofuatilia ninashukuru sana

  • @saudinearalhasa2674
    @saudinearalhasa2674 10 месяцев назад

    Mashaallah tabarak Allah ❣️ Allah akutsisihille afya inshallah

  • @rehemaasman
    @rehemaasman 10 месяцев назад

    Mashaallah sheikh Allah atujaze Iman na elimu sisi pia na akuzidishie umri uzidi kutuelimisha

  • @SabiraRodrigues-js5sf
    @SabiraRodrigues-js5sf 6 месяцев назад

    MashaAllah, Sheikh it's very true, I'm a living proof of swala za mtume, mashaAllah ziko na manufaa makubwa. Shukran sana

  • @ZainabuAlly-cc4ef
    @ZainabuAlly-cc4ef 7 месяцев назад

    Asante sana shehe nimeelewa mungu akupe maisha marefu amina

  • @wardaomar3001
    @wardaomar3001 11 месяцев назад +1

    Shukraan sheikh Aĺlah akujaze kheir naanza na hili in shaa Allah

  • @FatmaJuma-b5w
    @FatmaJuma-b5w Год назад +1

    Mashallah Shukran sanaaa kwa Mawidha yako mzuuur

  • @SophiaRajabMussa
    @SophiaRajabMussa 3 месяца назад

    Allahumma swalli a'laa sayyidina Mohammadin waa'lihy waas'habihy wasallim

  • @barkanassir2528
    @barkanassir2528 7 месяцев назад +1

    Allahumaswale wasalim alay

  • @MohamedSimba-tu2fq
    @MohamedSimba-tu2fq 7 месяцев назад +1

    Mwenye kutaka dunia anapewa na mwenye kupata akhera anapesa

  • @KhamiKhani-q7x
    @KhamiKhani-q7x 2 месяца назад

    Mashallah shee mwenyewe nimefanya nilikuw sin kaz ndani ya wiki nilipata wallah

  • @hassankasiga1234
    @hassankasiga1234 3 месяца назад

    Allahu maswalli Alaa sayyidina Muhammad waalihi waas haahabihi wasallim

  • @Issamuemede
    @Issamuemede 6 месяцев назад

    Masha Allah nakupenda sana shee Kwa ajili ya Allah

  • @RukundoMustafa-b3m
    @RukundoMustafa-b3m 4 дня назад

    Jazakallahu khair

  • @EliudOlemalilo
    @EliudOlemalilo Год назад +1

    Inshallah mungu akujalie neemah na pia unifanyie Dua nami niweze kufuata mtume Muhammad

  • @MukeshimanaMariam-y4h
    @MukeshimanaMariam-y4h 2 месяца назад

    Asante sheikh unayo yasema ni ukweli Allah akubaroki!

  • @aminakenyaa9337
    @aminakenyaa9337 7 месяцев назад

    mashaaAllah tabarakiallah jazzakillah kheryren❤

  • @BilalAhmad-vj5wp
    @BilalAhmad-vj5wp Год назад +1

    Mashaallah sheikh letu,twakupenda kwa Ajili ya Allah

  • @qwnlynuzlah3115
    @qwnlynuzlah3115 7 месяцев назад

    MashaAllah,,,, Shukran Jazillah Sheikh Wetu

  • @AbdulrahmanMarijani
    @AbdulrahmanMarijani 7 месяцев назад

    Allah akupe siha na maisha marefu shekh othman

  • @kareefsmoker4685
    @kareefsmoker4685 Год назад +4

    Salam aleykhum sheekh naitwa Abdulkarim juma usiku wa alhamisi tareh 20/04/2023 nilimuota mtume mohamad s.a.w kaja nafarasi mwenyew mabawa Kisha nikatoa shahada nikashtuka kutoka usingizini ilikuwa alfajir

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад

      Ulikula chakula gan ndugiangu isje ikawa ulivimbiwa 😂 nakutania lkn kma ww ni mtu wa ibada bs ni kweli umemuota mtume maaan kwenye ndoto hizi huwa mtume umemuota kweli yy

  • @aslially6539
    @aslially6539 Год назад +7

    Allahumma swali alaa sayyidna mohammad waali alaa sayyid aaly Muhammad

  • @ArunaAlly-h2m
    @ArunaAlly-h2m 6 дней назад

    Allah akulipe kila lakheri

  • @maimunfaridah5448
    @maimunfaridah5448 Год назад +1

    MashaAllah ustadh mawaidha mazuri kwel mwenyez mung akukinde na nakupendaaa Kwa ajili ya Allah

  • @AbuubakarLuambano
    @AbuubakarLuambano Год назад +2

    ALLAHU AKBAR SHEKHE OTHMAN MICHAEL ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA WA HAPA DUNIANI KABURINI NA KESHO AKHERA

  • @nouratshomari2546
    @nouratshomari2546 Год назад +1

    Allahumma swali alaa sayyidina Muhammad walii waswahbii wasalim

  • @mwinyially9646
    @mwinyially9646 Год назад +2

    Shekh Shukrani nilijua nipo peke yangu kwenye hili ila nimefanya uzembe miezi kadhaa
    Mm sijitambulishi kwako tutakutana inshallah acha leo hii ni rudi kwenye hiyo kazi inshallah mwanza tena nitarudi hapa

  • @RuwaidaSaidy
    @RuwaidaSaidy 9 месяцев назад

    Mashaallah Allah akupe kheir zaid inshaallah uzidi kitutoa katika Giza

  • @hawaciza1510
    @hawaciza1510 2 месяца назад

    Shukran cheikh wetu ManshaAllah

  • @SaudaMfaume
    @SaudaMfaume 3 месяца назад

    Masha Allah sheh mm ndiy Natal nianze mungu anifanyie wepes

  • @mainguali6046
    @mainguali6046 8 месяцев назад

    Allahu Maswali aala Saydna Muhammad waali wasaabihi Wasalim

  • @zubedahusein7560
    @zubedahusein7560 4 месяца назад

    Manshaallah nashukuru sheikh wangu

  • @samirahassani8606
    @samirahassani8606 6 месяцев назад

    Mashallah Mashallah Mashallah shekh nataka nikuone inshallah

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw 6 месяцев назад

    Barakah ALLAHU fiiqum hbbi

  • @saidinamasenga
    @saidinamasenga 11 дней назад

    Mashaallah Allah akujaalie heri

  • @NtandusdaughterNtandu
    @NtandusdaughterNtandu 5 месяцев назад

    Asante sana Allah akubarki na aendelee kukueka uwe unatupatia mafunzo matam.

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 Год назад +2

    ❤❤ mashaa Allah Sheikh Osman Maiko Allah atufanyie wepesi Inshallah

  • @HamisiAthumani-yq3iv
    @HamisiAthumani-yq3iv 5 месяцев назад

    Mashaallah Tabarakallah shukran alhamdhulillah

  • @mwanaidhusen7551
    @mwanaidhusen7551 Год назад +5

    Mashaallah in sha Allah mungu anipe nguvu na umri niwe miongoni wa ku msalia mtume yarabh...

  • @KhadijaMbwana-kb8ib
    @KhadijaMbwana-kb8ib 4 месяца назад

    Allah akuhifadhi sheikh wetu hakika unatuamsha katka dini

  • @MomadeAnli-tx6uw
    @MomadeAnli-tx6uw 7 месяцев назад

    Asante shekh Osman niombe dua Nina Majanga mengi

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Год назад

    Allah ooooh Allah na muombea shekhe uyu mola ampe darja kwa kuelimisha watu yarabi hakika ana tufanta tuna kuamini pia

  • @mwanamisidini1950
    @mwanamisidini1950 Год назад +4

    Asalm alkm shekhe naomba hiyo ya kuondosha maradhi shekhe tafadhali

  • @ZahorsuleimanMwita-l8w
    @ZahorsuleimanMwita-l8w 9 дней назад

    Mashallah shehe wetu

  • @hassanalkinanga
    @hassanalkinanga Год назад

    Ahsante maghalimu kwa somo zuri Allah akuzidishie zaid na Zaid uzid kutupa ghelim ameen inshallah

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 Год назад +4

    Shukran Shehk mola akujalie maisha marefu sina likubwa na weza kukupa ila mola akupe maisha marefu

  • @kakkadija7355
    @kakkadija7355 Год назад +1

    Mashaallah shukran saana shekhe.🤲