Alhamdulillah kila baada ya swala namswalia mtume mara 100. Na nikikaa ndio uradi wangu hata km nnakazi gani hata nikilala nasoma dua ya kulala kisha namswalia mtume mpaka napata usingizi. Namshukur Allah kwa kunipa wepesi wa kuitamka namuomba Allah anidumishe iwe uradi wakudumu ktk ulimi wangu. Nawaombea pia wenzangu Allah awape wepesi wa kumswalia Mtume Muhammad (S. A. W).
MashaAllah sheikh mm mwenyewe nimefanya ila si kwa kutaka utajiri kwa kumuombea mgonjwa wng na wallah kapona na alikua hata hawezi kuinuka Alhamdulillah
"Al hamdulillah, Maashaallah: M/Mungu akupe mazuri kwa ujuzi wake, na akunge nashari kwa haki ya Mtume Muhammad (s.a.w) wewe na familia yako kwa ujumla na umati Muhammad wote (Amiin).❤
Wallaih mm nmelelewa kikiristo lakini Baba yngu kizazi changu n Islam ata hizi mm n Muslim Kwa kweli nmepitia changa Moto nyingi tangu nlivyo slimu Alhamdulillaah 😍 naitaji mm pia n kizazi changu kiwe kimesimama ima n dini ya ALLAH AMIIN RABHI AMIN SHUKURU ALLAH
@@stoic_guild Npitia ila naami Allah Kareem najaribu ata ninapo mitiani mizito vp bsi nasumama n swala za ucku n zikr bsi Allah Akbar 😍 tusaidiane Kwa Kheri yke Allah n uslam tuzidi kuwa n ujasiri n kusamama n Kwa Kheri insha'Allah
Assalam aleykum sheikh othman maiko , shukran kwa mawaitha yako na kutuelekeza kwa kumswalia mtume wetu mpendwa Muhammad SWA na kumuomba Allah atujaalie tupate yale yote tunayo muomba,tumuombe Allah atupe nguvu ya kufanya ibaada ya usiku ili tupate neema zake, Inn Shaa Allah, Allah akujaalie mema kwa kutupa siri ambayo wengi wetu hatukuwa tunajua, Allah akupe afya na nguvu kueneza neema za Allah kwa wasio jua na kuwa fungua macho kuweza kuona mbale na kufanya kazi yake Allah, shukran sana sheikh Othman
Mwenyez mungu akupe maisha marefu shekhe nimejifunza jambo.eemwenyenzi.mungu.naomba.unipe.afya.na.uniondolee.maradhi.na.unifungulie.mirango.ya.ridhiki.Yaaarab✍️🙏
Shukran sheih mafunzo yako yamenipa faraja ya moyo kwa jinsi maisha yangu yalivyo kuwa magumu hadi nimeenza kufa moyo kila cku kulia, ila kuanzia sasa nitalitilia maanani na kumswalia mtume saw kila cku, jazzah yako iko kwa Allah
Waswalie wazazi wako acha upumbavu kwani muhamadi ndo kakuzaa ndo maana huna maisha ju unaacha kumswalia Mama yako alokubebea tumboni miezi 9 eti unamswalia muhamadi mtu ambae humjui pumbavu
In shaa Allah mwenyezi mungu anijalie uzima na afya leo naanza allah atufanyie wepesi atujalie kila mwenye uzito atufanyie wepesi ameen 🤲 sheikh Allah akujalie imani uzime na afya atuongoze sote kwenye khery ameen
Alhamdulillah! Shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah has unavyotoa mawaidha kidogo kidogo mtu anaelewa, Allah atufanyie wepesi katika kuyafanyia kazi mawqidha haya mujarab
"Al hamdulillah, Maashaallah: M/Mungu akupe mazuri kwa ujuzi wake, na akunge nashari kwa haki ya Mtume Muhammad (s.a.w) wewe na familia yako kwa ujumla na umati Muhammad wote (Amiin).
مشاء الله تبارك الله الله يحفظك يا عثمان MIMI Niko saudia katika mazi yangu natokea Burundi nimefaidika kuskia darsa hili NA Assante kabisa mungu AKUPE mwisho mwema
Mashallah shukran saaana sheikh' wetu allah akulinde akupe mwisho mwema mimi alhamndulillah huwa namswaliya rasuul llah nishawahi kulala namuota mtume nahisi nipo nae kwenye ndoto nahisi namuona mtume lakin simuoni nahisi kama nipo nae karibu 😢dah allah atupe yale tunayo yataka na mwisho mwema amiiiin 🤲
Assalam alaikum: Mimi ninapenda Kufanya Adh-kari, nyiradi zangu imo Swala ya mtume, na ninaisoma mara mia tu, unaloliongea Shekhe wangu ni ukweli mtupu, pesa ni zinaingia tu bila kutegemea, hapo ni mara miamoja, acha niongeze bidii
Mashallah allahmdullah Allah akuajalie miongoni mwa waja wake wema akuajalie na mwisho mwema inshallah nitaifanyia kazi iyo swala na naamin Allah na mm ataniajalia inshalla amin
Wala sio uongo ni kua na imani na nia tu kila amal na nia ikiwa huna imani huwezi fanikuwa. Mtume mwenyewe S.A.W kasema ukimswalia swala zinamfikia aliko uongo wapi? Hata hio pepo huwezi ipata kama huna imani. Shaikh Othman Allah akuhifadhi umefikisha ilobakia kazi mtu kwake.
Ulikula chakula gan ndugiangu isje ikawa ulivimbiwa 😂 nakutania lkn kma ww ni mtu wa ibada bs ni kweli umemuota mtume maaan kwenye ndoto hizi huwa mtume umemuota kweli yy
Shekh Shukrani nilijua nipo peke yangu kwenye hili ila nimefanya uzembe miezi kadhaa Mm sijitambulishi kwako tutakutana inshallah acha leo hii ni rudi kwenye hiyo kazi inshallah mwanza tena nitarudi hapa
Alhamdulillah kila baada ya swala namswalia mtume mara 100. Na nikikaa ndio uradi wangu hata km nnakazi gani hata nikilala nasoma dua ya kulala kisha namswalia mtume mpaka napata usingizi. Namshukur Allah kwa kunipa wepesi wa kuitamka namuomba Allah anidumishe iwe uradi wakudumu ktk ulimi wangu. Nawaombea pia wenzangu Allah awape wepesi wa kumswalia Mtume Muhammad (S. A. W).
Mashaalwa she mm natakA quwa ya kuwa mwepes wajambo jambo lakes Ni swala
Allah akulipe kheri shekh kwani wengine tulikua hatujui haya
Mashaallah
Maa Shaa Allah
Mashallah
Mimi pia nilijaribu siku moja nilipata pesa siku hiyo mashaallah
MashaAllah sheikh mm mwenyewe nimefanya ila si kwa kutaka utajiri kwa kumuombea mgonjwa wng na wallah kapona na alikua hata hawezi kuinuka Alhamdulillah
MASHALLAH
Niandikie nami niisome siijui swalaganihiyo?
Salatu Ibrahimiya
Mashaa Allah Tabarakallah
@@hanifatanzania7258 sikiliza video mwanzo mwisho utaelewa tu
Allahummah swalliy alaa sayyidnaa Muhammad waala aalihi waashaabihi wasallam❤❤❤❤❤❤❤❤
MA ASHA ALLAH M/MUNGU ATUJAALIYE KHEIRAT 🤲🇰🇪🤲🇰🇪🤲🇰🇪
Nampenda saana, kwa ajili ya ALLAH huyu sheikh. Ma sha allah. Namuomba ALLAH ampe afya, uzima na umri mrefu Yaarab. 🤲🇴🇲🇹🇿💕
Amiin ya Rabbi 🤲🇴🇲
Amin
MashaAllah MashaAllah jazzaka llahu hkeri
Ammin Allahuma Ammin 🤲 kwa sote inshallah
Ameen Yarab
"Al hamdulillah, Maashaallah: M/Mungu akupe mazuri kwa ujuzi wake, na akunge nashari kwa haki ya Mtume Muhammad (s.a.w) wewe na familia yako kwa ujumla na umati Muhammad wote (Amiin).❤
Allah mungu akuhifafhi na tukutane akhera na mtume wetu Mohammad S.A.W
Wallaih mm nmelelewa kikiristo lakini Baba yngu kizazi changu n Islam ata hizi mm n Muslim Kwa kweli nmepitia changa Moto nyingi tangu nlivyo slimu Alhamdulillaah 😍 naitaji mm pia n kizazi changu kiwe kimesimama ima n dini ya ALLAH AMIIN RABHI AMIN SHUKURU ALLAH
Pole sana. Hata mimi nilisilimu ila kwa sasa nipo vizuri Alhamdulillah.
@@stoic_guild Npitia ila naami Allah Kareem najaribu ata ninapo mitiani mizito vp bsi nasumama n swala za ucku n zikr bsi Allah Akbar 😍 tusaidiane Kwa Kheri yke Allah n uslam tuzidi kuwa n ujasiri n kusamama n Kwa Kheri insha'Allah
مبروووك الف مبروك allah awajaalie nuru ya dunia na akhera allahumma amiin.
اميين يا اختي وانتي الله يجزاك خير
MAASHALAAH
Maashaallah maashaallah yaa sheikh Oathman .Allaah akulipe kheri na akuepushe kilalashari uzidi kuitetea kalima ya Allaah .
Alhamdulilah Rabilaalamin tunamshukuru Allaah anaetupa uwezo wa kumsalia Mtume SAW Alhamdulilah Rabilaalamin tunapata faraja nafsini mwetu
Mshallah shekhe othumani maiko
Allahuma swaali wasalim wabaarik ala seyidna Muhammad walaa alihi wa swahbihi wasallam.
Inshaalah
Asalamu alaykum sheghe wangu othmani maiko umenipa elmu ambayo sijawahi kuipata kwa sheghe yyte alhamdulillah Allah akupe umri mrefuu wenye manufaaa
Assalam aleykum sheikh othman maiko , shukran kwa mawaitha yako na kutuelekeza kwa kumswalia mtume wetu mpendwa Muhammad SWA na kumuomba Allah atujaalie tupate yale yote tunayo muomba,tumuombe Allah atupe nguvu ya kufanya ibaada ya usiku ili tupate neema zake, Inn Shaa Allah, Allah akujaalie mema kwa kutupa siri ambayo wengi wetu hatukuwa tunajua, Allah akupe afya na nguvu kueneza neema za Allah kwa wasio jua na kuwa fungua macho kuweza kuona mbale na kufanya kazi yake Allah, shukran sana sheikh Othman
ämën
Mwenyez mungu akupe maisha marefu shekhe nimejifunza jambo.eemwenyenzi.mungu.naomba.unipe.afya.na.uniondolee.maradhi.na.unifungulie.mirango.ya.ridhiki.Yaaarab✍️🙏
Allahumma Aamiin
Allahuma swali alaa sayidina muhamadi waali sayid na Muhammad
Allahumma swaliiAlaa Sayyidnn Muhammad Wa alaa Aaaaly Sayyidna Muhammad S.A.W
Alla Akupe Afya shekhe kutu ilimisha fayda na sifa zake mtumi wetu اللهم صل وسليم عليه
Shukran sheih mafunzo yako yamenipa faraja ya moyo kwa jinsi maisha yangu yalivyo kuwa magumu hadi nimeenza kufa moyo kila cku kulia, ila kuanzia sasa nitalitilia maanani na kumswalia mtume saw kila cku, jazzah yako iko kwa Allah
Waswalie wazazi wako acha upumbavu kwani muhamadi ndo kakuzaa ndo maana huna maisha ju unaacha kumswalia Mama yako alokubebea tumboni miezi 9 eti unamswalia muhamadi mtu ambae humjui pumbavu
@@bellasi349hivi weww kenge wa mayai umetumwa ety acha kupotoxh watu pumbv weww uxhindwe
Allahu Akbar takbiri nakuombeya Allah akuzidishiye kheira akupe mwisho mwema 🤲 😭😭😭 Wallahi 🤲🤲🤲
Kwl shekh nakufatilia Sana najifunza mengi kutoka kwako Allah atubariki
In shaa Allah mwenyezi mungu anijalie uzima na afya leo naanza allah atufanyie wepesi atujalie kila mwenye uzito atufanyie wepesi ameen 🤲 sheikh Allah akujalie imani uzime na afya atuongoze sote kwenye khery ameen
Àmmin Kwa sote inshaalah
Como se reza irmão por favor preciso aprender 😢
MashaAllah kuanzia leo nitakuwa namswalia mtume Mohamed (SAW)
Kwa hiyo siku zote ulikuwagi humswalii mtume ?
@@suleymanjuma4309 Bora qmekiri kwa maandishi yake ndio wengineo hawamswalii mtu s.a.w
😂😂😂😂mtume anaswaliwa we una utukufu gani wa kumswalia mtume, mtume ndo akuswalie wewe, sasa ukimswalia ndo haendi motoni au😂
Mashallh allah atufanyie wepes inshalah kwa kila hambo
SWADAKTA SHEIKH SHUKRAN JAZAKALLAH KHAIRAH
Ni hakika siri kubwa ya kumswaliya mtumi wetu nimei iyona اللهم صل وسليم عليه
Barakallahufika Wajazakallahu khairan
Alhamdulillah! Shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah has unavyotoa mawaidha kidogo kidogo mtu anaelewa, Allah atufanyie wepesi katika kuyafanyia kazi mawqidha haya mujarab
Leo usiku Nitanzisha dua iyo, incha Allah Allah aikubalie🙏🙏🙏
Allah hadhu lillah shukurura sheikh kwa ukumbusho wakijitahidi kumsalia mthumee inshallah inshallah
Allah.akupe.maisha.marefu.uzidi.kuwaelimisha.waislaam.
Mashallah maalim mwenyezi mungu akupe Afya njema na umri mrefu wenye manufaa duniani mpaka Akhera.kwa faida hiyo
"Al hamdulillah, Maashaallah: M/Mungu akupe mazuri kwa ujuzi wake, na akunge nashari kwa haki ya Mtume Muhammad (s.a.w) wewe na familia yako kwa ujumla na umati Muhammad wote (Amiin).
Shekhe othamani nakupenda kwaajili ya Allah Allah akudizishie akujaalie kauli thabiti muachie Allah anaekudharau
Mashaaa Allah..Nakupenda kwa ajili ya Allah shekh Allah Akijaalie umri mrefu shekh tuzidi kufaidika na faida unazotupa inshaa Allah.
Shekh ottman inshallah nitakuletea mrejesho
مشاء الله تبارك الله
الله يحفظك يا عثمان
MIMI Niko saudia katika mazi yangu natokea Burundi nimefaidika kuskia darsa hili
NA Assante kabisa mungu AKUPE mwisho mwema
Mashaallah,Alihamundulillah nashukuru kwa mafunzo mazuri,endelea vyema kutupa darsa nasi tupate fursa zaidi kujua zaidi mambo mbalimbali kuhusu dini
Tunashukur sheh wetu kq kutupa darasa zuri na kutujaza imani mioyo yetu...allah akufanyie wepec kila hitaji lako na akupe maish marefu
Mashallah shukran saaana sheikh' wetu allah akulinde akupe mwisho mwema mimi alhamndulillah huwa namswaliya rasuul llah nishawahi kulala namuota mtume nahisi nipo nae kwenye ndoto nahisi namuona mtume lakin simuoni nahisi kama nipo nae karibu 😢dah allah atupe yale tunayo yataka na mwisho mwema amiiiin 🤲
In sha Allah Allah anijaalie na mm nipate haja zangu Asante shekhe kwa elimu
Shekhe mbn unaongea harak harak Jmn Asante kwa darsa zuli Allah akubariki dunian na akhera
Shekhe mwenyezi Mungu akupe afya njema namimi natia Nia yakumswalia mtume muhammadi swala llahu alayh wasalama,
Assalam alaikum: Mimi ninapenda Kufanya Adh-kari, nyiradi zangu imo Swala ya mtume, na ninaisoma mara mia tu, unaloliongea Shekhe wangu ni ukweli mtupu, pesa ni zinaingia tu bila kutegemea, hapo ni mara miamoja, acha niongeze bidii
Mashallah allahmdullah Allah akuajalie miongoni mwa waja wake wema akuajalie na mwisho mwema inshallah nitaifanyia kazi iyo swala na naamin Allah na mm ataniajalia inshalla amin
Danke sehr Shech. Ich liebe Muhammadin Swalla Llahu Alayhi Wasallam
Naitaji elimu uwa dua zngu n soma Kiswahili wallaih n pia ALLAH AKBAR 💯 uwa ananifanikisha Alhamdulillaah
Shukrani sheikh ntaanza leo uradi huu na inshaallah nisiusahau na kuuacha kabisa.
Wala sio uongo ni kua na imani na nia tu kila amal na nia ikiwa huna imani huwezi fanikuwa.
Mtume mwenyewe S.A.W kasema ukimswalia swala zinamfikia aliko uongo wapi?
Hata hio pepo huwezi ipata kama huna imani.
Shaikh Othman Allah akuhifadhi umefikisha ilobakia kazi mtu kwake.
Shukrani sheikh Allah akulipe kila la kheri kwa kutujuza mengi mazuri
Allahumma swaliiAlaa Sayyidnn Muhammad Wa alhii wasuhabih Waaassallm
Mashaallah Allah akuweke
Nzuri jamani Allah akulipe pepo lafridausi asente sana
Ahsante sheikh mimi ni miongoni mwa wanaofuatilia ninashukuru sana
Mashaallah tabarak Allah ❣️ Allah akutsisihille afya inshallah
Mashaallah sheikh Allah atujaze Iman na elimu sisi pia na akuzidishie umri uzidi kutuelimisha
MashaAllah, Sheikh it's very true, I'm a living proof of swala za mtume, mashaAllah ziko na manufaa makubwa. Shukran sana
Asante sana shehe nimeelewa mungu akupe maisha marefu amina
Shukraan sheikh Aĺlah akujaze kheir naanza na hili in shaa Allah
Mashallah Shukran sanaaa kwa Mawidha yako mzuuur
Allahumma swalli a'laa sayyidina Mohammadin waa'lihy waas'habihy wasallim
Allahumaswale wasalim alay
Mwenye kutaka dunia anapewa na mwenye kupata akhera anapesa
Mashallah shee mwenyewe nimefanya nilikuw sin kaz ndani ya wiki nilipata wallah
Allahu maswalli Alaa sayyidina Muhammad waalihi waas haahabihi wasallim
Masha Allah nakupenda sana shee Kwa ajili ya Allah
Jazakallahu khair
Inshallah mungu akujalie neemah na pia unifanyie Dua nami niweze kufuata mtume Muhammad
Asante sheikh unayo yasema ni ukweli Allah akubaroki!
mashaaAllah tabarakiallah jazzakillah kheryren❤
Mashaallah sheikh letu,twakupenda kwa Ajili ya Allah
MashaAllah,,,, Shukran Jazillah Sheikh Wetu
Allah akupe siha na maisha marefu shekh othman
Salam aleykhum sheekh naitwa Abdulkarim juma usiku wa alhamisi tareh 20/04/2023 nilimuota mtume mohamad s.a.w kaja nafarasi mwenyew mabawa Kisha nikatoa shahada nikashtuka kutoka usingizini ilikuwa alfajir
Ulikula chakula gan ndugiangu isje ikawa ulivimbiwa 😂 nakutania lkn kma ww ni mtu wa ibada bs ni kweli umemuota mtume maaan kwenye ndoto hizi huwa mtume umemuota kweli yy
Allahumma swali alaa sayyidna mohammad waali alaa sayyid aaly Muhammad
Allah akulipe kila lakheri
MashaAllah ustadh mawaidha mazuri kwel mwenyez mung akukinde na nakupendaaa Kwa ajili ya Allah
ALLAHU AKBAR SHEKHE OTHMAN MICHAEL ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA WA HAPA DUNIANI KABURINI NA KESHO AKHERA
Allahumma swali alaa sayyidina Muhammad walii waswahbii wasalim
Shekh Shukrani nilijua nipo peke yangu kwenye hili ila nimefanya uzembe miezi kadhaa
Mm sijitambulishi kwako tutakutana inshallah acha leo hii ni rudi kwenye hiyo kazi inshallah mwanza tena nitarudi hapa
Mashaallah Allah akupe kheir zaid inshaallah uzidi kitutoa katika Giza
Shukran cheikh wetu ManshaAllah
Masha Allah sheh mm ndiy Natal nianze mungu anifanyie wepes
Allahu Maswali aala Saydna Muhammad waali wasaabihi Wasalim
Manshaallah nashukuru sheikh wangu
Mashallah Mashallah Mashallah shekh nataka nikuone inshallah
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi
Mashaallah Allah akujaalie heri
Asante sana Allah akubarki na aendelee kukueka uwe unatupatia mafunzo matam.
❤❤ mashaa Allah Sheikh Osman Maiko Allah atufanyie wepesi Inshallah
Mashaallah Tabarakallah shukran alhamdhulillah
Mashaallah in sha Allah mungu anipe nguvu na umri niwe miongoni wa ku msalia mtume yarabh...
Ameen
Ameen in sha Allah soteni kwa uwezo wa Allah
Allah akuhifadhi sheikh wetu hakika unatuamsha katka dini
Asante shekh Osman niombe dua Nina Majanga mengi
Allah ooooh Allah na muombea shekhe uyu mola ampe darja kwa kuelimisha watu yarabi hakika ana tufanta tuna kuamini pia
Asalm alkm shekhe naomba hiyo ya kuondosha maradhi shekhe tafadhali
Mashallah shehe wetu
Ahsante maghalimu kwa somo zuri Allah akuzidishie zaid na Zaid uzid kutupa ghelim ameen inshallah
Shukran Shehk mola akujalie maisha marefu sina likubwa na weza kukupa ila mola akupe maisha marefu
Mashaallah shukran saana shekhe.🤲