Ukiona Unafanya Mambo Ya Aina Hii Ujue Wewe Lazima Ufanikiwe Kimaisha - Sh Othman Michael

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 49

  • @somoeali-es7se
    @somoeali-es7se 8 месяцев назад +2

    Asalam Alekum warahmatulaah wabarakatul kusema la kweli hii eli yako huwa yanipe utulivu sana huwa napenda sana kuleta dhikir sana Allah akujaze kheri inshaallah

  • @SumaAbduly
    @SumaAbduly 9 месяцев назад +8

    Shekhe mimi naitwa Ismail Abdul niko bukoba kagera natamani sana kukuona natamani unifanyie dua mimi nahangaika sana najituma sana nasikiliza sana mawaidha yako lakini elim yangu ya dini ni ndongo maelekezo yako pengine nashindwa kufanya kwa sasababu ya elim ndogo shekhe nifanyie dua kwa kutumia majina yangu Allah atakulipa lakini mambo yakienda vizur nitakutafuta popote niludishe shukrani

    • @NoorPrince-v1v
      @NoorPrince-v1v 9 месяцев назад

      Chukua namba huoini hapo juu

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 8 месяцев назад

      Chukua number yake mtaongea vizuri sana ingawa kushika kwake simu sio rahisi lakini unajaribi mara kadhaa utapata

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 8 месяцев назад +2

    Allah akuzidishie elmu na hekma yake na umri mrefu ili tuzidi kupata mazuri ya hekma inshallah Yarabby tujalie mapato ili tuwe watu wa kutoa zakay ,msaada kwa yatima ,kuchangia msikitini ipate kila kitu ndani na pia kwenda hijja wale tujaenda Yarabby 🤲 tujaalie mwisho wetu uwe bora 😢😢 ingawa Dunya ina mitihani allihamudulila 🤲

  • @Starshines-gc1fg
    @Starshines-gc1fg 8 месяцев назад +1

    Mashallaah allah akufanyie wepesi juu elimu unayotoa

  • @GodfreyNyongesa-so1rz
    @GodfreyNyongesa-so1rz 3 месяца назад

    Mashalla

  • @GodfreyNyongesa-so1rz
    @GodfreyNyongesa-so1rz 3 месяца назад

    Naomba Dua yako Shekhe

  • @GodfreyNyongesa-so1rz
    @GodfreyNyongesa-so1rz 3 месяца назад

    Naomba Dua yako Shekshe

  • @AishaHussein-xg5ph
    @AishaHussein-xg5ph 4 месяца назад

    Mashallah

  • @AishaHussein-xg5ph
    @AishaHussein-xg5ph 4 месяца назад

    Alhamdullilah

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 8 месяцев назад +1

    Assallam aleykum warahmatullahi wabarakatuh Shekh naomba nifanyie dua inshallah mm ni mkenya ila niko Saudiarabia na nina matatizo makubwa mno kutoka nyumbani kenya wabaya wanifata nikiwa huku Saudiarabia wallahi nina mitihani sana naomba dua sheikh 😔😔😔😔

    • @zuhurakarani8047
      @zuhurakarani8047 8 месяцев назад +1

      Chukuwa number yake hapo juu umtext WhatsApp

  • @FatumaMwalimu-f6w
    @FatumaMwalimu-f6w 8 месяцев назад +1

    Insha,ALLAH nafarijika khutba MashaAllah,❤

  • @ChikiraKitojo
    @ChikiraKitojo 8 месяцев назад

    Sheikh Othman samahani nakuomba unifanyie dua mambo ya kimaisha yaende sawa kwa jina naitwa chikira jafar kitojo niombee kwa Allah in shaa allah nami niweze fanikiwa sheikh

  • @SwaumuHussen
    @SwaumuHussen 8 месяцев назад

    Allah akupe afya njema shekhe Othman

  • @SalmaShabani-c7j
    @SalmaShabani-c7j 8 месяцев назад

    Natwa Salma shaban shekhe naomba Dua zako itawale ktk maisha yangu amina

  • @HabibaHared
    @HabibaHared 9 месяцев назад +2

    Mashaallah mashaallah mola akuhifathy

    • @MwajumaShaibu
      @MwajumaShaibu 8 месяцев назад

      Maashsllah Allah akuhifsdhi

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us 9 месяцев назад +2

    Sheikh niembee dua niko mbali nchi za kiarabu näpata mitihani kila nikija huku inshaallah nikirudi biidhini iilahi nitakutafuta unifanyie dua naitwa Jina mzaliwa na salama Allah akubarki sheik wetu

  • @جزيرةعبدالله
    @جزيرةعبدالله 9 месяцев назад +2

    Shekh naomba niombee ndua maan kunamambo yananisumbuw sn shukuran

  • @FatumaMwalimu-f6w
    @FatumaMwalimu-f6w 8 месяцев назад +1

    Nisamee but I really like you mashaala

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 8 месяцев назад

      🙄🙄🙄🙄

  • @SaumuZungufya
    @SaumuZungufya 8 месяцев назад

    Manshaallah ❤❤❤❤

  • @TagirOmar
    @TagirOmar 9 месяцев назад

    Allah akulinde shekhe, niombe mambo yangu yanakwama jina langu, Tagir Omar sumail

  • @jasminiIssa-y2q
    @jasminiIssa-y2q 8 месяцев назад

    Amiin yarabila alamiin 🤲 yarabiraalamin

  • @REHEMAKUNANI
    @REHEMAKUNANI 8 месяцев назад

    Aminaaaaah rabbil alaaminaaah

  • @EstaWambi
    @EstaWambi 9 месяцев назад

    Mashallaa shehe niombe niko na mitihan ming mno

  • @meowzna
    @meowzna 9 месяцев назад +1

    Jazakallahu Kheir Sheikh🤲🙏

  • @Mundhiriawadhi
    @Mundhiriawadhi 8 месяцев назад

    Allah akudumishe katikaimani

  • @MwajumaShaibu
    @MwajumaShaibu 8 месяцев назад

    Maashsllah

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 9 месяцев назад

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤❤❤❤❤

  • @AliWazir-o9n
    @AliWazir-o9n 9 месяцев назад

    Mashhallah baraka llahul-Kheyr

  • @FatumaMwalimu-f6w
    @FatumaMwalimu-f6w 8 месяцев назад

    Let me🎉

  • @AsnatiAmiri
    @AsnatiAmiri 9 месяцев назад

    Mashallah shekh wetu Allah akulipe ujira mwema

  • @AliWazir-o9n
    @AliWazir-o9n 9 месяцев назад

    Maashallah

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 8 месяцев назад

    Salaam aleyku, shekhe naomba dua zako,kilaninapoishi nachukia na kilaninapofanya kazi nachukia na boss mpaka wafanyakazi wenzangu,naomba dua zako

  • @meowzna
    @meowzna 9 месяцев назад

    Shukran👏

  • @WadhhatRasheed
    @WadhhatRasheed 9 месяцев назад

    Mashaallah Allah akuhifadh 🤲

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us 9 месяцев назад

    Mashaallah mashaallah mashaallah

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 9 месяцев назад

    allah akuhifadh

  • @SalmaRashid-di1qz
    @SalmaRashid-di1qz 8 месяцев назад

    Shekhe wangu naomba uniombee Dua risk zangu zifunguke

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 9 месяцев назад

    yaaan mashallh

  • @mwanasomoali-d1e
    @mwanasomoali-d1e 8 месяцев назад +2

    Salam alaikum Sheikh mm naitwa mwanasomo kutoka Kenya Nina matatizo Maisha magumu niliachana mume Nina watoto mume wngu mlevi said napata tabu mwanagu Nae alinusurika Na kubakwa sijui Ni Nini hiki napitia

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 8 месяцев назад

      Allah akupe subla kipenzi pia jitahid kuswari kwa wakati uamke ucku umkabidhi mwenyezi mungu matatizo Yako yataisha tu

  • @FatumaMwalimu-f6w
    @FatumaMwalimu-f6w 8 месяцев назад

    Assalam alaikum😂

  • @Mwajuma-bm8om
    @Mwajuma-bm8om 8 месяцев назад

    Shekhe naomba uniombe 30:30

  • @SalmaShabani-c7j
    @SalmaShabani-c7j 8 месяцев назад

    Shekhe Nina matatizo ya ndoa naomba uniombee niolewe nikakae na mme wangu tufurahie maisha😅😅

    • @KhairathLwoga
      @KhairathLwoga 8 месяцев назад

      Wakati wa kuomba ndoa omba Mungu akupe mume mwenye hofu ya Allah usisahau hyo