Asante sheikh wetu akupe umri mrefu Allah subhana wataala unayo tupa ni sure reality of life kweli tunaishi na majini mwilini riski zetu zimekuwa ngumu tumepigwa hasad Hadi twajiuliza maswali mengi . Asante sana atujalie Dua zetu Allah atusamehe
Aslm alkm vipi hali mimi pia ni mfuatiliaji mkubwa wa mada za SHEKHE kwa msaada wako tu shekhe anapatikana wapi au kama unweza Kuni saidia namba zake utakuwa umeokoa jahazi asante
Assalaam aleykum warahmatullah wabarakatu sheikh Othman. Mungu akuzidishie elmu na umri ulojaa afya njema na amani. Naomba namba yako ya simu ili niwasiliane nawe. Nna matatizo nataka nikuelezee unisaidie. Ntashukuru sana
Wafundishe watu dua za kuomba rizki pana na iliyo halali,rizkun halalan wasia twayiba wacha kuwadanganya eti watakuwa matajiri na magari.msikitini ni sehem ya kumuabudu allah kuomba toba na pepo siyo sehem ya kuaga umaskini muongo tu wewe
Huyu sheikh toka nianze kumfatiã mashallah 🥰 amenibadilisha sana Alhhamdulillah 🤲.... Allah amzidishie umri na ilmu
Na mie ngoja nianze kufatilia🤲🤲
AMEEN YA RABB ALAMEEN
AMEEN YA RABB ALAMEEN
Mashaallah shekhe dua zako makubuli Allah akulipe heri inshallah
shukran sheikh ushuhuda tumepata, Allah akuridhie na akulipe kheri Daima
SUBHANALLAH 😭HASSAD MBAYA SANA HASANTE SHEKHE KW KUTUPA ELIMU ,
Shukran sana Sheikh wangu, una roho tajiri sana. Allah Subhana Wataala akuzidishie baraka
Na mimi nimebadilika saana kupitia huyu sheikh Allah amuhifadhi.
Me nimekufuatilia juzi tu Alhamdullah Allah ananijibu pasipo na ufahamu Allah atakulipa
Mashaallah
Kisha unaomba wakati gani
Au wakati wowote
Plz nijibu manake nimejatibu
Sina Cha kukulipa kwa majibu Yako ila mungu atakulipa sawa
Allah akuzdshie kheri na barka ww na waislamu wengine wenye moyo wa kutuvutia na kutusaidia sisi tusojua tujuwe alhamdulillah
Sheikh Osman Micheal, May Allah SWA bless you abundantly na story yako mwisho ime niliza Alihamdulillah
Shukran sheh kwa ulivo vitaj mm vyot nip nav mung akubarik kwa kutuokoa sheh mung atakulip ujir wak
Allah akbar❤❤❤❤❤asanteeee mwalim mngu azidi kukubariki
Shekhe niombee mungu mm na familia yangu insha Allah
Allah akulinde nilivyonufaika na wewe sipati kukwambia..kwa idhini ya Allah akufanye uendelee kuwa muda mwingi duniani
Ameeen
Masha Allah 🎉🎉 jazaakallahu khaira
Shukrani shekhe
Shukran sana
Inshallah mengi anayo sema ni kweli kabisa
Allah atakulipa ujira wako inshaallah
Subuhanallah hakika yote ulosema yapo
Asante Sana Sheikh huna rohobaya ulichonacho kizuri unawapa wenzio.
Shehke alhamdulillah ukija kiwalani utoe darasa kama hii hasa msikiti wa mama chuchu
Allah kulipe ujira mkubwa san siku ya kiama inshaallah na akupekila hitajio la moyo wako
😢😢😢😢 Shukraan sheikh .... Allah akupe kila hitaji la moyo wako
Ameeen
Mashaallah tabarakaah
Shukran sheikh wetu mawaiza mazuri
Mungu akupe afya njema Naumri mrefu ilituzidi kufurahi
Asante sheikh wetu akupe umri mrefu Allah subhana wataala unayo tupa ni sure reality of life kweli tunaishi na majini mwilini riski zetu zimekuwa ngumu tumepigwa hasad Hadi twajiuliza maswali mengi . Asante sana atujalie Dua zetu Allah atusamehe
Sheikh nipo kwenye mtihani mkubwa na familia yangu mwaka wa nne sasa.
Leo usiku ndio nimeanza kutekeleza mafundisho yako.
Inshallah uniombee nifaulu.
Shukran shekh tutalifanyia kazi mana hali yangu ni ngumu
Amina
MashAllah shucraan Sheikh kwa Ilmu hii
Sistr wng
Jazakallah khery shekh allah atakulipa
Mashaa Allah tabaraka arrahmaan.. ❤
Allihamdulliah shekh kw kutugea mafunzo mema
Shukran sheikh Allah akuzidishia
Asante saana
Ww unae kashifu jichunguze shkh anaongea unakashifu
Me wangu asha ondoka malaika wanguu😭😭😭😭
Shukurani shekhe Allah akuzidishie inshaallah
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi
JazaakkALLAHU khairaaan yaaa sheikhh
Shukrani sana kwa elim nzur sana kama iyo
Amena
Shukrani sana kwahiyo tiba tutayifanyiyakazi ishaallah
Shukran Allha akulipe kher
Mafundisho yako mazuri sana sana
Mungu akuhifadhi shekh nami ngoja nifanye inshaallah
Subhanna alla mambo ya watoto hayaendi kabisa shekh
Jazakallah kheir
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh, Shiekh, Ahsante, Allah akupe khaira Ameen
Aslm alkm vipi hali mimi pia ni mfuatiliaji mkubwa wa mada za SHEKHE kwa msaada wako tu shekhe anapatikana wapi au kama unweza Kuni saidia namba zake utakuwa umeokoa jahazi asante
Aslm alkm vipi hali naomba msaada nimekwama shekhe nampataje au namba yake ya simu
Sheikh Shukran kwa mawaidha mazuri🙏🙏🤝!!
Aamiyn kwa sote
Mashallah
Shukrani
Mashaalah
Amiin amiin inshallah
Shukraan sana
Asalam ALEYKUM ndug Zang waislam Na swali inaruhusiwa kuoga usiku
Asante sheghe
Shekhe mm nikohivyo tu mambo yangu hayaendi kabisa
Subhanallah pol san
Jadhakalau khaira nitaifanya hiyo
Ass alam
Alykum
Shekhe
Umenibadilisha
Kiimani
Ninaomba
Uje
Korogwe
Hairul
Isilamia
Masjid
Kambi
Ya
Maziwa
Kilole
Utoe
Dawa
Inshalaa
Assalaam aleykum warahmatullah wabarakatu sheikh Othman. Mungu akuzidishie elmu na umri ulojaa afya njema na amani. Naomba namba yako ya simu ili niwasiliane nawe. Nna matatizo nataka nikuelezee unisaidie. Ntashukuru sana
Shukran sana sheikh
Subhanallah nahis had kutetemeka... Tupe no za simu au app Yako you download tuwe tunakufatilia huko
Ni mimi huyo😢dalili kama zote ninazo
Asw naomba namba yashehe
Assalam alaykum shekh mm umenipta huu mtihani wa hasad nnifanye vp ili iondoke
Hizi dalili hatoki mtu hasa wanawake
Hiyo hadithi inapatikana kitabu gani na ameipokea nani?
Asalam aleykum naomba kuuliza iyo dawa ya maji unaweza jifanyia mwenyewe bila kufanyiwa na mtu?
Unatakiwa Ufanye Mwenyewe ndo Maana Akaelekeza jinsi ya kufanya
22:00
Kama hauna bafu
Subhanallllah
Eti sehem ya kuuaga umaskini ni misikitini kwahiyo allah alituambia twende msikitini tukatajirike we kweli tapeli
Sasa mm mkristo nitajuaje dual na sijui kuswali wala kuomba nifanye nini
Itabidi usilimu {uifate haq}
Wafundishe watu dua za kuomba rizki pana na iliyo halali,rizkun halalan wasia twayiba wacha kuwadanganya eti watakuwa matajiri na magari.msikitini ni sehem ya kumuabudu allah kuomba toba na pepo siyo sehem ya kuaga umaskini muongo tu wewe
Unajua unachosema? Nini maana ya rizk pana?
Yaan wewe kila Darsa la huyu sheikh lazima useme negative 🤣
@@bahatimbande2207 darsa la kishenzi lazma liitwe ushenzi swali jingine
@@bahatimbande2207 shehe kwako miye kwangu shehena mshirikina tu huyo
Allah akuzdshie kheri na barka ww na waislamu wengine wenye moyo wa kutuvutia na kutusaidia sisi tusojua tujuwe alhamdulillah
Asante saana
Sheikh nipo kwenye mtihani mkubwa na familia yangu mwaka wa nne sasa.
Leo usiku ndio nimeanza kutekeleza mafundisho yako.
Inshallah uniombee nifaulu.