Asante sheikh wetu akupe umri mrefu Allah subhana wataala unayo tupa ni sure reality of life kweli tunaishi na majini mwilini riski zetu zimekuwa ngumu tumepigwa hasad Hadi twajiuliza maswali mengi . Asante sana atujalie Dua zetu Allah atusamehe
الله يحييك انشاالله Walio mbali na familia tumejiskia faraja tunaona kwamba tutafanukiwa kupitia darsa lako tutarudi nyumbani kwa kishindo wanawake tulioko saudia tuna IMANI tutarudi Burundi salama Mungu AKUPE maisha marefu
Aslm alkm vipi hali mimi pia ni mfuatiliaji mkubwa wa mada za SHEKHE kwa msaada wako tu shekhe anapatikana wapi au kama unweza Kuni saidia namba zake utakuwa umeokoa jahazi asante
Assalaam aleykum warahmatullah wabarakatu sheikh Othman. Mungu akuzidishie elmu na umri ulojaa afya njema na amani. Naomba namba yako ya simu ili niwasiliane nawe. Nna matatizo nataka nikuelezee unisaidie. Ntashukuru sana
Shehe Othumani na mm nina hasadi niko masasi naomba unikomboe maelezo ya kuondoa hasadi nimeyasikia ila kuvikariri vipengele vyote itakuwa shida naomba msaada wako
Huyu sheikh toka nianze kumfatiã mashallah 🥰 amenibadilisha sana Alhhamdulillah 🤲.... Allah amzidishie umri na ilmu
Na mie ngoja nianze kufatilia🤲🤲
AMEEN YA RABB ALAMEEN
AMEEN YA RABB ALAMEEN
Allahumma aamiin
Hataa mimi kwakweli amenibadilisha sana na asemayo ukiyafanyia kazi ni kweli kabsa. ALLAH ambariki sana na kumtunza.
shukran sheikh ushuhuda tumepata, Allah akuridhie na akulipe kheri Daima
SUBHANALLAH 😭HASSAD MBAYA SANA HASANTE SHEKHE KW KUTUPA ELIMU ,
Allah akulinde nilivyonufaika na wewe sipati kukwambia..kwa idhini ya Allah akufanye uendelee kuwa muda mwingi duniani
Ameeen
Shukran sana Sheikh wangu, una roho tajiri sana. Allah Subhana Wataala akuzidishie baraka
Allahumma aamiin
Shukran sheh kwa ulivo vitaj mm vyot nip nav mung akubarik kwa kutuokoa sheh mung atakulip ujir wak
Allahumma aamiin
Jazaakallah allah akulipe kila jema inshaallah
Inshallah mengi anayo sema ni kweli kabisa
Allah akuzdshie kheri na barka ww na waislamu wengine wenye moyo wa kutuvutia na kutusaidia sisi tusojua tujuwe alhamdulillah
Na mimi nimebadilika saana kupitia huyu sheikh Allah amuhifadhi.
Allah akuhifadhi SHEIKH Othman Michael
Sheikh Osman Micheal, May Allah SWA bless you abundantly na story yako mwisho ime niliza Alihamdulillah
Me nimekufuatilia juzi tu Alhamdullah Allah ananijibu pasipo na ufahamu Allah atakulipa
Mashaallah
Kisha unaomba wakati gani
Au wakati wowote
Plz nijibu manake nimejatibu
Sina Cha kukulipa kwa majibu Yako ila mungu atakulipa sawa
Masha Allah 🎉🎉 jazaakallahu khaira
Allah akbar❤❤❤❤❤asanteeee mwalim mngu azidi kukubariki
Mashaa Allah tabaraka arrahmaan.. ❤
Safi
😢😢😢😢 Shukraan sheikh .... Allah akupe kila hitaji la moyo wako
Ameeen
Allahumma aamiin
Amina
Allah akubaliki duniani naakhera
Allah atakulipa ujira wako inshaallah
Shekhe niombee mungu mm na familia yangu insha Allah
Asante saana
Allah akulipe fiduniya wal Akhera
MashAllah shucraan Sheikh kwa Ilmu hii
Sistr wng
Allah kulipe ujira mkubwa san siku ya kiama inshaallah na akupekila hitajio la moyo wako
Asante sheikh wetu akupe umri mrefu Allah subhana wataala unayo tupa ni sure reality of life kweli tunaishi na majini mwilini riski zetu zimekuwa ngumu tumepigwa hasad Hadi twajiuliza maswali mengi . Asante sana atujalie Dua zetu Allah atusamehe
Shukran Allahuma amina inshaallah Allah azikubali dua zetu❤
Mungu akulipe kila la kheri shehe wetu
الله يحييك انشاالله
Walio mbali na familia tumejiskia faraja tunaona kwamba tutafanukiwa kupitia darsa lako tutarudi nyumbani kwa kishindo wanawake tulioko saudia tuna IMANI tutarudi Burundi salama
Mungu AKUPE maisha marefu
Allah akupe umr mref na afya njema sheikh uzidi kutufumbuwa macho
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuhu
Namimi Niko Kigali nakupenda kwa ajili ya
Allah
Maalim latiba ya dua lin nataka nishiriki na mimi❤
Mashaallah shekhe dua zako makubuli Allah akulipe heri inshallah
Shukran shekh tutalifanyia kazi mana hali yangu ni ngumu
Shukrani sana kwa elim nzur sana kama iyo
Mungu akuhifadhi shekh nami ngoja nifanye inshaallah
Asante Sana Sheikh huna rohobaya ulichonacho kizuri unawapa wenzio.
Mashaallah tabarakaah
Shukran sheikh wetu mawaiza mazuri
Mungu akupe afya njema Naumri mrefu ilituzidi kufurahi
Mungu akulipe zaidd
Masha Allah, Allah akulipe umenibadilisha sana
Mafundisho yako mazuri sana sana
Shukurani shekhe Allah akuzidishie inshaallah
Allah akulipe heri
Jazakallah khery shekh allah atakulipa
Shehke alhamdulillah ukija kiwalani utoe darasa kama hii hasa msikiti wa mama chuchu
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh, Shiekh, Ahsante, Allah akupe khaira Ameen
Aslm alkm vipi hali mimi pia ni mfuatiliaji mkubwa wa mada za SHEKHE kwa msaada wako tu shekhe anapatikana wapi au kama unweza Kuni saidia namba zake utakuwa umeokoa jahazi asante
Aslm alkm vipi hali naomba msaada nimekwama shekhe nampataje au namba yake ya simu
Shukrani sana kwahiyo tiba tutayifanyiyakazi ishaallah
Shukrani shekhe
Shukrani
Alhamdulillah
Shukran Allha akulipe kher
Alhamdhulillah sheikh
Jazakallah kheir
Allah aķuhifadhi
Sheikh Shukran kwa mawaidha mazuri🙏🙏🤝!!
JazaakkALLAHU khairaaan yaaa sheikhh
Mashaallah mashaallah
Shukran sheikh Allah akuzidishia
Sheikh wangu nakuja uniogeshe hayo maji kwa uhakika zaidi Narudi Tanzania kwajili yako
Allihamdulliah shekh kw kutugea mafunzo mema
Subhanallah pol san
Jadhakalau khaira nitaifanya hiyo
Aamiyn kwa sote
Shukran sana
Asante sheghe
Amiin amiin inshallah
Ameen yarabii
Mashallah
Asalam ALEYKUM ndug Zang waislam Na swali inaruhusiwa kuoga usiku
Shekhe mumewangu alikuwa anapesa kias ila asaivi kafilisika hata familia yake inamchukia yan ndugu tumbo moja na babake pia hawamtaki kwakweli
Shukraan sana
Mashaalah
😮😮😮
Mashaallah sheikh ila Mimi nataka kusomewa Dua na wewe Mimi niko Zanzibar
Me wangu asha ondoka malaika wanguu😭😭😭😭
Je wakristu wanawezaje kujia hiyo hasadi shekhe
Ass alam
Alykum
Shekhe
Umenibadilisha
Kiimani
Ninaomba
Uje
Korogwe
Hairul
Isilamia
Masjid
Kambi
Ya
Maziwa
Kilole
Utoe
Dawa
Inshalaa
Subhanallah nahis had kutetemeka... Tupe no za simu au app Yako you download tuwe tunakufatilia huko
Daaah tupo wengi wenye matatizo
Shukran sana sheikh
Shekhe mm nikohivyo tu mambo yangu hayaendi kabisa
Assalaam aleykum warahmatullah wabarakatu sheikh Othman. Mungu akuzidishie elmu na umri ulojaa afya njema na amani. Naomba namba yako ya simu ili niwasiliane nawe. Nna matatizo nataka nikuelezee unisaidie. Ntashukuru sana
Ww unae kashifu jichunguze shkh anaongea unakashifu
Sheikh izo dalili zote niko nazo
Subuhanallah hakika yote ulosema yapo
Shehe Othumani na mm nina hasadi niko masasi naomba unikomboe maelezo ya kuondoa hasadi nimeyasikia ila kuvikariri vipengele vyote itakuwa shida naomba msaada wako
Naomba kuuliza shekhe yafaa kuoga choon kama bafu ndo choo nifanyaje ?
Asw naomba namba yashehe
22:00
8:50 8:58 9:00 9:00
Ni mimi huyo😢dalili kama zote ninazo
Assalam alaykum shekh mm umenipta huu mtihani wa hasad nnifanye vp ili iondoke
Mwenye namba yake anisaidie
Mara ya Kwanza kufatilia sheikh umesema tiba ya hasadi umfate Mtu aliyekupa hasadi akutengenezee dawa je akikataha ama husimpate utafanyaje?
Sasa wakuandaa hayo maji ndo shida uku nyumbani ingkuwa tunaandaa wenyew ingekuwa vzury sana
Dah mm ndio nimeharibiwa na vyote viwili mpaka nataka kuchanganyikiwa,ngoja niamke ninawe hayo maji
Subhanna alla mambo ya watoto hayaendi kabisa shekh
Asalam aleykum naomba kuuliza iyo dawa ya maji unaweza jifanyia mwenyewe bila kufanyiwa na mtu?
Unatakiwa Ufanye Mwenyewe ndo Maana Akaelekeza jinsi ya kufanya