Shida Aina Yoyote Soma Uradi Huu X100 Utapa Unachotaka /Siri Iliyokuwepo /Sheikh Othman Micheal
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Shida Aina Yoyote Soma Uradi Huu X100 Utapa Unachotaka /Siri Iliyokuwepo Ndani Ya Uradi Huu /Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Micheal akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Shida Aina Yoyote Soma Uradi Huu X100 Utapa Unachotaka /Siri Iliyokuwepo Ndani Ya Uradi Huu /Sheikh Othman Micheal
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RUclips @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Mashallaah shekh Allah atuhifath nakupenda sana
In sha Allah kisomo hki kiwe kunfayakun biidhnillah maana twapandiwa maradhi kila kukicha ila mungu yu pamoja nasi
Shukrani Jazira Kwa HOTUBA MUAFAKA
Mashaallah mashaallah
Sheikh Asante Kwa mafunzo yak mazur sana
Asalamu alaikumu wallaha matulullah wabarakatu asanti chehe mbone mimi sidjuwe kishwahili ntafanya ajde na jduwa kinyarwanda tu
Shukran sana sheikh Allah atuzidishie twapata faida zaidi
Assalam alaikum akuomba unikumbu kwenye duo ayita yako uniombeye nihatari sana
Assalaimaleikmu nikumbuke kwaduwa🙏
Sheikh maelezo yk ni mazuri lkn unazunguka sn,ni vigumu msikilizaji wako kujua ni ipi mada unayoielezea,kwani hata hy dhikri kwa mgeni wako ktk kukusikiliza sidhani km atakuwa amefaidika vzr
Naomba tujuze hiyo adhkar
Asalaam aleikum warahmatullah wabarakatu, Ustadh Michael nakufuatilia sana mafunzo yako lakini mimi Nina mutuhihani wa kuyaelewa mambo mazito yako kwa lini yangu ya doa. Sijui kama niyase hapa nitasaidika?
Shekhe naomba nambayako
Namba ziko kwenye screen zinapita
Nachotaka kusema ukitafsiri Quran ni bora kutaja Imamu Aliyepokea hadithi kutoka kwa Mtume Muhammad S.A.W?
Swali ,Kama nime taja Hadithi mfano Al Islam Nadhifu -Uislamu ni Usafi.Fatanadhafu--Basijiafisheni Fainahu -- Hakika ya Amri na Shani na kuendelea swali nikisema Rwahau Twablaniyu. Hiyo iko sawa?
Sasa wapi katajaa hizoo azkari
Kataj mbon mwanzo
Unatangaza dunia tu wambie watu mambo ya peponi
Nawewe msaidie kutangaza ya pepon
Dunia Yako ndo Pepo Yako Unatakiwa uindae Pepo Yako Ukiwa Duniani na Adhakar ndio Ufungua Mambo ya Dunia na Akhera, Jitahidi Usome Uelewe Mambo Kwa kina
Mijitu mengine sasa hiyo pepo inatafutwa akhera kila kitu ni duniani hapa