SIRI MUJARABU YA DUA HIZI KATIKA KUPATA PESA KILA SIKU | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- SIRI MUJARABU YA DUA HIZI KATIKA KUPATA PESA KILA SIKU | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
Katika video hii tunaelezea Siri ya Dua hizi katika kupata pesa nyingi kila siku kwa uwezo wa Allah (SWT). Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafuata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako yote.
-----------------------------------------------------------------------------------------
Maelezo yake:
Surah:
Ayah:
-----------------------------------------------------------------------------------------
Utaratibu wake:
Faida ya 1:
Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
Kuwa na Udhu na ueleke Qibla
Tia Nia
Soma Dua hii mara 1000:
( يَا صَاحِبَ اللُّطْفِ الْـخَفِيِّ بِكَ أَسْتَعِيْنُ وَأَكْتَفِيْ )
Soma Dua hii kwa muda wa masiku saba (7) ya kufuatana.
Faida ya 2:
Baada ya Swala za Faradhi
Kuwa na Udhu na ueleke Qibla
Tia Nia
Soma Dua hii mara 19:
( يَا لَطِيْفُ يَا خَفِيَّ الْأَلْطَافِ أَدْرِكْنِيْ بِلُطْفِكَ الْـخَفِيِّ إِنَّنِيْ فَقِيْرٌ مُحْتَاجٌ ذَلِيْلٌ )
Dumu kusoma Dua hii kila siku
------------------------------------------------------------------------------------------
Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
----------------------------------------------------------------------------------------------
Copyright Notice:
► Every content we made are licensed to our channel.
► All audios, videos and images are copyrighted and fully licensed.
► Elements used in this video are edited by us are copyrighted and fully licensed.
► So, you do not have permission to use or reupload our content without our permission.
Copyright © 2024 Mohamed Alidini. All rights reserved.
**********************************************************************
Jazakallah khaira Allah akulipe heri nyingi zisizo mfano,pia natoa shukrani kuna mtu ktk baadhi ya video zako alichomekeza mada akiomba umuelekeze dawa ya mtoto kuacha kukojoa kitandani,ulivyoelekeza nami nikamwelekeza mwanangu ana miaka 14 akafanya alhamdulillah amepona nimehangaika kumtibia sana tuu,
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatu... naomba unielekeze na mimi hiyo njia ya mtoto kuacha kukojoa kitandani shukran.
Asalaam aleykum warahmatullah wabarakatuh Namimi pia naomba maelekezo
@Habybty w/salaam ni hivi usiku wakati wa kulala km ni mtoto mkubwa mwambie asome ayatul kursiyu x 5 ktk viganja vyake kisha ajipake mwili mzima afanye hivi kwa cku 7 km hawezi mfanyie wewe mwenyewe
@@MagunoMtanda w/salaam nimeshaelekeza soma coment
@hadijaismail3619 shukran UKHTY Allah akuhifadhi
Mashallah tabarakallah wa jazakallah kheiran jazeelah sheikh wetu kipenzi chetu.Shukran jazeelah kwa fawaaid nyingi unazotupa.
Tabarakallah! Allah (SAW) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Allah Akbar. Mwenyezi Mungu akupe kila la kheri Sheikh🥰🥰🥰🥰
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
9Y9b😊dc ,9 xgzz ,o 776fv.
.K,,c d9x,c v😢😀🤤research 4:52 v
Mashallah ya sheikh Endelea kufunza Allah Akupe mema duniani na Akhera na dhuria zako
Ameen ya Rabbal 'Aalmeen! Insha Allah. Shukran. 🤲🤲🤲🤲🤲
Waleikum Salam warahmatulah wabarakatuh Barakallahu fikum my brother
Ameen! All of us Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
Shukran kaka yetu kipenzi
Mungu akulipe mema hapa duniani na kesho akhera
Na assante kwa darsa hili
Nimeipenda na nitaifanyia kazi mungu akulinde kaka
Ameen Ya Rabbal 'Alameen. Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
Assalam Alykm warahmtullah wabarakatuh my lecturer hiv vitu adimu kwel kwel MASHAALLAH
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Karibu sana kakangu mpendwa!
@@mohamedalidini Shukran my lecturer wng Allah atuhfdh na atupe hidaya bora na pepo bora
@@FayeezAlbahassaney Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
Mashaallah jazakallahu lkheir.Mungu akuingize peponi bika ya hesabu kwa unavotusaidia.Amin.Nafuatilia sana vipindi vyako.tumekuelewa.Sheikh naomba dua masikio yangu sisikii vizuri
abarakallah! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Jazaakumllahu kheri
Waiyyaak!
Mersi,ishalah
Tabarakallah! Shukran!
Shukran sana shekh wetu.. jazzakallahu kheir
Afwan! Waiyyaak! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh ❤❤❤
AMIIN
Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Karibu. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Mashallah
Tabarakallah! Barakallahu Feek!
Mashaallah barakaallahfiika
Tabarakallah! Waiyyaak! 🤲🤲🤲🤲🤲
Shukran, wajazaaka llahu khaira
Waiyyaak! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Shukrani sana Allah hakulipe
Ameen! Nawe pia! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Allah akuhifadhi. Sheikh wetu shukrani jazila
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Nawe pia! 🤲🤲🤲🤲🤲
Waleykum Salam warahmatullah wabarakatullah
Karibu sana. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Sheikh mwenyenzi mungu akuzidishie kila la heri.
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
Jazakaalla khayra
Waiyyaak! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Shukran ❤
Afwan. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Maashallah 🎉
Tabarakallah! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Ok
Karibu Sana!
Shukran😊
Afwan.
Salaam aleikum sheikh nimependa sana mafundisho yako keep on Educating us Alaah akulinde,jee sheikh unapatikana wapi
Walaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Insha Allah, I will keep on sharing this valuable information. Thank you!
Asnte sanaaa
Karibu Sana!
Amen 🙌 yaa allah
Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Asalam alaikum warahmatulhah wabarakatuh shekh mi naomba usaidizi kama mnaandika itatusaidiya sisi wenye hatukusoma kiaraab utuandikiye kwa herufi za kizungu kwa ajili ya Alha tusaidiye
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. 'Ya sahib alllutf alkhafi bik 'astaein wa'aktafi. Ya latif ya khafi al'altaf 'adrikni bilutfik alkhafi 'innani faqir muhtaj dhalil'.
Asalam aleykum,shukrani
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Afwan.
Assalam alaikum sheakh wangu
Nini maan ya kikao kimoja nieleweshe tafadhali kwa ajili ya ALLAH 🙏🏼
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Maana yake ni kuifanya kwa wakati mmoja kwanzia ukianza hadi kumaliza.
@mohamedalidini masha Allah tabarakallah 🙏🏼
Shukran sana sheakh Allah akulipe khery INSHA'ALLAH 🤲🏼🙏🏼
@@YusuphShilla AMEEN YA RABBAL 'ALAMEEN! SOTE INSHA ALLAH! 🤲🤲🤲🤲🤲
Aslm alykm warahmatullah wabarakatuh,Allah akulipe kheri,kwa hakika quran ndio kila kitu ktk maisha,sheikh mm niko na mtt wa 11yrs,yuwakasirika saana,kitu kidogo yuwalia,jee waeza nielekeza?
Waalaikumussalam Warahamatullah Wabarakatuh. Kuna zile video mbili kuhusu kutuliza ukali wa mume na boss kazini. Naomba uziangalie na uzifanye kwa nia zako. Kwa Uwezo wa Allah (SWT) utafikia malengo yako.
Aslm aleikum warahmatulai wa barakatuh sheikh please nakuomba uniandikie kwenye lugha ya kiswahili please Sheikh wangu
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Tafsiri kwa lugha ya Kiswahili:
1. Ewe mwenye upole ulofichika kwako naomba msaada na natosheka nawe.
2. Ewe mpole mwenye upole ulofichika niwahi mimi kwa upole wako ulojificha kwani mimi muhitaji kwako na dhalili.
قبلت الإجازة
Kheiran Insha Allah! 😁
Aslm.aleykhum. tafadhali naomba niandikie shekh wang
Waalaikumussalam Warhamtullah Wabarakatuh. Dua ndio hizi:
( يَا صَاحِبَ اللُّطْفِ الْـخَفِيِّ بِكَ أَسْتَعِيْنُ وَأَكْتَفِيْ ) لَطِيْفُ يَا خَفِيَّ الْأَلْطَافِ أَدْرِكْنِيْ بِلُطْفِكَ الْـخَفِيِّ إِنَّنِيْ فَقِيْرٌ مُحْتَاجٌ ذَلِيْلٌ )
A.alykum sheikh .naziomba dua zote 2 kwa kiarabu .yaani Ile ya baada ya kila swala ya fardh na Ile ya usiku baada ya siku 7 .
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Bila shaka. ispokuwa ikiwa huwezi kwa kiarabu utaleta kwa lugha nyingine.
186......vevo
Kheiran Insha Allah!
Mtume Muhammad saw hakufundisha dua ya kutafuta pesa utajiri.
Haina shida. Una khiyari ya kufaidika au la. Unaweza kubaki katika hali yako uipendayo.
ITAKUWA UMESILIMU HIV JUZ LABDA AU NI CHUKI TU MTUME SIO KUFUNDISHA TU BALI KAWAOMBEA WATU WAPATE MALI MSIJITWISHWE USHABIKI WA MADHEHEBU NA ELIMU YA DINI HAMNA HILO NDIO TATIZO KUBWA KULIKO MNAVYOFIIRI MUONEKANE MNAJUA AU WACHAMUNGU ZAIDI
@@mohamedalidini umemjibu vizuri shekh wetu❤️
@@FatumaAdinani-o1g Alhamdu Lillah. Shukran!
Shukraan sna 🥹🥹
Waiyyaak! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Ao unaweza kutuandikiya kwa maandishi ya kizungu plz mfano
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. (1) _Ya swahib alllutf alkhafi bik 'astaein wa'aktafi_ - Meaning: O Possessor of hidden kindness, with You I seek help and am satisfied. (2) Ya latif ya khafi al'altaf 'adrikni bilutfik alkhafi 'innani faqir muhtaj dhalil - O Gracious One, O Hidden of graces, help me with Your hidden grace, for I am poor, needy, and humiliated.
اللهم صل على سيدنا محمد بقدر سعة العرش والكرسي وما 🚀 بينها 🕋
اللهم صل على سيدنا محمد بقدر زنة العرش والكرسي وما 🎆 بينها 🕋
اللهم صل على سيدنا محمد بقدر قدر العرش والكرسي وما ⚡️بينها 🕋
اللهم ارزقنا نمددها وفضلها وسعة رزقها وتقبل دعاءنا بفضلها يارب العالمين دايما ابدا🤲🤲🤲🌹🌹🌹🩷🩷🩷🌸🌸🌸💐💐💐
Ya Rabb! 🤲🤲🤲🤲🤲
Waraykumsam Salim idek sheikh tunakupenda biizinila tunakutakia Kila La heli
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲 Nami pia.
Shukran najifunza mengi kupitia video zako sasa niko na dozi ile yakuyazuia madhetani kuniingia mwilini ile x161 naomba na Dua ya kumkinga na kumtibu mtoto na degedege
Karibu! Insha Allah! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Shukran Shekhe
Afwan. Karibu sana!
Waghlayku salam mungu akulipe kheri
@@GooonGooon-d2b Ameen Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
SHUKRAN. TRANSLATE IN ENGLISH PLEASE
AFWAN. INSHA ALLAH!
Asalamalik ustadhi
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh.
Ni lazima hiyo dua isomwe kwa kiarabu?
Bila shaka. Ispokuwa ikiwa huwezi kusoma kwa kiarabu. Afwan.
🙏🙏🙏
Afwan. Karibu sana.
Ustadh mwenye matatizo ya hofu ya kuongea mbele ya watu afanye nn waweza tusaidia
@@shazilali945 Assalamu Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Fanya yafuatayo kwa Uwezo wa Allah (SWT) utaondoka huo uwoga:
1. Kila siku asubuhi na jioni kariri Dua ifuatayo mara 3: أعوذ بكلمات الله التامات من شر ما خلق
2. Kila siku asubuhi na jioni kariri Dua ifuatayo mara 3: بسم الله الذي لا يضر مع اسمه شيء في الأرض ولا في السماء وهو السميع العليم
3. Soma: آية الكرسي بعد كل صلاة، وقراءة الآيتين من آخر سورة البقرة كل ليلة: آمَنَ الرَّسُولُ بِمَا أُنْزِلَ إِلَيْهِ مِنْ رَبِّهِ وَالْمُؤْمِنُونَ [البقرة: 285]، إلى آخر السورة وقراءته: قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ والمعوذتين بعد كل صلاة مكتوبة مرة بعد الظهر والعصر والعشاء وثلاث مرات بعد المغرب والفجر
12:36
Kheiran Insha Allah.
Shekh baomba no yako unayopatkana warsap please
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Namba yangu ni hii: +254 700047708. Afwan.
Assalam Alykum,shekh wapatikana wap
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Niko Nairobi, Kenya.
Nyinyi miongoni mwa Masheikh mnachangia watu kuanza kutegemea majinni badala ya Mwenyezi Mungu. Dua bora ni ile ya kumuom a Mungu akuonyeshe njia sahihi ambayo si ya upotevuni. Kama utajiri ungekuwa ni bora angekuwa Mtume Muhammad saw. Kadari za Mola wetu ni bora kuliko mnavyo fikiria. Allah atupe fikara njema moaka siku tutakayo kutana naye.
Huyo atakua Hana akili
Kwani kusoma Dua Kwa ajili ya kipato Cha halali vibaya?
Yaani unamuomba Allah Kwa majina yake matukufu ni vibaya?
Hapo huna daliligani Hadi kusema ndio wanasababisha mtu ategemee MAJINI
Mbona mda mwngine hamfikirii mnayoyaongea
Kazi kukosoa tu yenu hamyaoni
Ukitoka tu nyumban unasoma Dua alafu iwe haifai kuomba Allah akupe kipato ?
Daah noma sana Akhuy
Kakangu umekuja na ukali Je unafamu Qur'an na Sunnah za Mtume (SAW) vyema? Je wajua mafunzo ya Mtume (SAW) kuhusu faida ya Surah Al-Waqiah? Ikiwa Muislamu hatakiwi kuwa tajiri basi Mtume (SAW) asingefunza. Pia Allah (SWT) Asingeteremsha Surah hizo. Je wajuwa kulikuwa na Maswahabah matajiri? Ungekuwa utajiri si muhimu kwa Waislamu, Mtume (SAW) angewakataza maswahaba wake kutafuta utajiri. Isitoshe Mtume (SAW) alimuoa Nana Khadijah (RA) ambaye alikuwa tajiri mkubwa Makkah zama hizo. Nafikiri nitachoka kuwaelimisha watu kama wewe. Naomba tusome zaidi Dini yetu na tuifahamu. Miye nadhani una kitu rohoni ambacho kinakufanya uchukie na uhisi vibaya watu wakiwa katika hali nzuri ya kifedha. Wewe wafurahi watu wakiwa maskini wakiombaomba. Wacha nokomee hapa! Shukran.
Khaswa uwahabi unatutafuna wengine ALLAH atustiri@@mohamedalidini
Hivi mbona ww huna akili kiasi hiki kwan kaelekeza kuomba majini au kumuomba Allah hii ni comment yako ya pili nakuona unalalamika hivi dah kuna watu hawajielewi kwenye hii dunia jamn huyu anahitaji maombi kwa kweli
@Xuxu-f7j soma Qur'an mwanzo mpaka mwisho kama utakuta aya inayo ekekeza kuomba utajiri wala hakuna palipo fundishwa na Mtume ombeni utajirii kwa maneno haya mtapata utajiri. Wewe kichwa kibovu na elimu finyu..
Elimu ya uganga ndiyo hizo za akina Sheikh Sharif Firdaus majinni mchanganyiko. La da na wewe umo kundini.
Asalam aleikum, kuna dua yako moja kuhusu biashara ulisema moja unaweka sehemu yako ya biashara,sasa nauliza wale wanaofanya biashara online inakuaje
Waalaikumussalam warhamtullah Wabarakatuh. Watasoma japo mara moja kila siku.
@mohamedalidini shukran sana ila samahan sijakuelewa vizuri hapo...naomba ufafanuzi
@@KhalidKhamis-n9d Namaanisha hivi, kwa wale wenye kufanya biashara mitandaoni (kuuzi vitu online) wataisoma hiuo Swala ya Mtume (SAW) kila siku japo mara moja. Kama yawezekana kuwekwa kwenye account ya biashara ya mtandao fulani waweza weka. Nadhani nimefahamika.
@@mohamedalidini asante jazakallah
@@KhalidKhamis-n9d Waiyyaak! Shukran.
Nilikuwa naomba uniandikie isomeke kama kiswahili
Sawa. Ewe Mwenye upole ulijificha kwako naomba msaada. Ewe Mpole Aliye na upole ulojificha niwahi mimi kwa upole wako kwani mimi ni fukara na mwenyeyekevu mbele yako.
Tuandikie Kwa kiswahili
Tafsiri zake ni hizi:
1. Ewe Mwenye upole ulojificha nataka msaada wako na natosheka kwako pekee.
2. Ewe Mwenye upole na upole ulojificha nipatilize kwa upole wako ulojificha mimi ni fakiri, muhitaji na ni dhalili kwako.
Inshaaallah @@mohamedalidini
@@ZakiaAlRamadani Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@mohamedalidini amina yarab amina🤲
@@ZakiaAlRamadani Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Hivyo Itafanyika Kununua Mafuta Aina 9-12 Kusomea Kisomo Kwa Lengo La Kuwa Anajipakaa Kila Siku Mara Moja Pia Kifanyike Kisomo Katika Maji Kuwekwe Na Dawa Kadhaa Atumie Siku 30 Matokeo Mazuri Tutapata Insha'Allah
Insha Allah! Barakallahu Feek! 🤲🤲🤲🤲🤲
Shukran shekh nimekutumia msg whatsap hujanijibu
Afwan. Insha Allah, nitaiangalia na nikujibu. Afwan.
Assalam alaykum Sheikh namba yako tafadhari
@@wardaam3707 Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Namba yangu ni hii: +254 700047708. Afwan.
Assalamualaikum shekhe
Naomba uiyandike
Shukrani pia maalim